NDACHA ASHIDWA KUDHIBITISHA IBADA YA WAKRISTO

MADA IBADA YA MANABII NJIRU TOWN TAREHE 14:1:2020 NA USTADH YUSUF ,USTADH ABASS,USTADH MOHAMMAD,USTADH SAID

Пікірлер: 215

  • @josephchui479
    @josephchui4794 жыл бұрын

    Ndacha MUNGU akubariki sana unawafundisha waislamu

  • @farhathamdansalum9725

    @farhathamdansalum9725

    3 жыл бұрын

    Huyo haezi kufunza anawapotosha wakirsto tu

  • @daudijoseph4340

    @daudijoseph4340

    3 жыл бұрын

    @@farhathamdansalum9725 Pole sana kwa kuwa ungali gizani ndiyo maana unasema Ndacha anapotosha.

  • @farhathamdansalum9725

    @farhathamdansalum9725

    3 жыл бұрын

    @@daudijoseph4340 anapotosha watu

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24444 жыл бұрын

    Vidume vya Allah MashaAllah!

  • @josephchui479
    @josephchui4794 жыл бұрын

    Jamani ndacha anatisha MUNGU akubariki sana kaka yangu unawafundisha waislamu kama watoto Ukristo ndo dini ya manabii na mitumee

  • @prettyaysha7892

    @prettyaysha7892

    3 жыл бұрын

    Huo ni ushabiki lakini sio eti umejifunza chochote kutoka kwake, mm namuona kuropoka tu nakubabaika

  • @mrboma4343
    @mrboma43433 жыл бұрын

    Mashallah sheikh yusuf Allah atakupa kauli thabith

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    3 жыл бұрын

    Amin sote

  • @akeem1221
    @akeem12213 жыл бұрын

    Ndacha is good at confusing people, misconceptions. Deep in his heart, he knows the truth.

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi96594 жыл бұрын

    Masha Allah Ustadh Mohamed amefika . Dawa ya masabato

  • @yunisboshe7227
    @yunisboshe72274 жыл бұрын

    Thanks to ustadh wetu for that commitments and dedications for the religion of Allah.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Alhamudulillah

  • @ndikumanainnnocent7796

    @ndikumanainnnocent7796

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @ipyanapaul8268
    @ipyanapaul82682 жыл бұрын

    Mchungaji nakupenda sana kwa huduma yako ya maandiko matakatifu hakika ubarikiwe sana

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    2 жыл бұрын

    Amepotea

  • @zaidanawadhi2664
    @zaidanawadhi26644 жыл бұрын

    Mashallah mashekhe, Allah awajaalie afya muipambanie dini yetu inshallah.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu95902 жыл бұрын

    Masha Allah, Sheikh yussuf muendelee na dawah vizuri; Jazakumullahu kheyran .

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    2 жыл бұрын

    Amin sote

  • @yunisboshe7227
    @yunisboshe72274 жыл бұрын

    Allahu Akbar, may Allah guide our christian brothers and sisters...surely wako kwa upotevu

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @bahatihadijabahati7456
    @bahatihadijabahati74564 жыл бұрын

    Masha Allah, Allah wazidishie kila la kheri masheikh wetu na waekee wepesi katika mambo Mambo Yao in shaa Allah

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @habsosiman1736
    @habsosiman17364 жыл бұрын

    SubhanaaAllah may Allah(SwT)show him the right path

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @ayadehila4932

    @ayadehila4932

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @janelithasolomon5212
    @janelithasolomon52123 жыл бұрын

    Ahsante mlm Ndasa waambie hao waisilamu ukweli,,,wamekuwa gizani kwa muda mrefu,,, Ndo maana hawajui hata tofauti Kati ya Mungu Jehovah na .....mungu wao allah mungu wa kiarabu Pia Hawajui hata maana ya kusujudu,,, Ndo maana wanajua kuchamba tu na maji wakijua dhambi imeobdoka kumbe Ni kuacha dhambi,,,, Mungu awape macho ya rohoni Hawa wasilisha mashetani Wapo kwenye kiza kinene kweli kweli,,,, Damu ya Yesu ya thamani iendelee kunena mema juu wa wapiga ramli Hawa na wasoma albadili Janelitha From Tanzanian

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    2 жыл бұрын

    Mathayo 24:24

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu57654 жыл бұрын

    MASHA ALLAH, mashekh wetu Allah awatangulie kwa kila hatua na awape humri mrefu pamoja na afya njema Aamin yarabi

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum97253 жыл бұрын

    Ina lilahi waina ilahi rajiun, kwa kweli huyu Ndacha anawapotosha watu sana ila anajuwa ukweli In Sha Allah Allah ampe ufahamu huyu Ndacha aingie kwenye uislam In Sha Allah

  • @jamalathman6219
    @jamalathman62193 жыл бұрын

    Mashallah sheikh Yusuf wape dozi hao wakristo,Huyo pastor ndacha kachanganyikiwa hajui anachikiongea ila ni porojo tu zake

  • @robertmtandika2523
    @robertmtandika25233 жыл бұрын

    Sema sheh wachungaji wengi niwapinga kristo

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid97644 жыл бұрын

    Masha Allah🇹🇿 Wafundishe wajue dini yakweli

  • @interiorpaintingdesign9307

    @interiorpaintingdesign9307

    4 жыл бұрын

    Nipe andiko uislamu ni dini ya kweli na uzima. Ukinipa nasilimu

  • @muhammadngala1268

    @muhammadngala1268

    4 жыл бұрын

    @@interiorpaintingdesign9307 ww usisilimu baki hivyo hivyo cha moto utakiona baada ya mauti kukufika

  • @interiorpaintingdesign9307

    @interiorpaintingdesign9307

    4 жыл бұрын

    Sasa dini ya uislamu inaandamana na majini na shetani pia anabudu huko Yani kweli wewe ukiwa na akili penye shetani anaabudu itakua ni dini ya MUNGU wa kweli? Tumia akili yako vizuri. Dini ya shetani haiwezi kua ya MUNGU. Uruke ju ufanye Nini ni hivio. Ju shetani alisilimu naye akawa muislamu.

  • @uwesusaid9764

    @uwesusaid9764

    4 жыл бұрын

    @@interiorpaintingdesign9307 sheta niwewe

  • @muhammadngala1268

    @muhammadngala1268

    4 жыл бұрын

    @@interiorpaintingdesign9307 haina neno wacha iwe kama unavyosema lakini kumbuka nlichokuambia mwanzo cha moto utakiona baada ya mauti kukufika hapo ndio utajua maharagwe ni mboga na kua hamna dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu isipokua uislamu

  • @mohamedAli-vf8hp
    @mohamedAli-vf8hp4 жыл бұрын

    Ustadh muhammad napenda unqvyofunza sanaa huwa nafrai sanaa inshaallah naomba ustadh mpeni mic muhammad mwanzo mwanzo

  • @nairobiflavour
    @nairobiflavour3 жыл бұрын

    Huyu dacha ana neno LA mungu mungu amubariki

  • @ahmedikhamis2722
    @ahmedikhamis27224 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana mnayo ifanya masheikh wetu kz ya kufikisha ujumbe muhimu mungu awaepushie kila baya lililopo karibu yenu by Ahmed Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @fatmaismail13

    @fatmaismail13

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum97253 жыл бұрын

    Subhanah Allah, huyu Ndacha anasoma vitu bila kufafanua maneno yake uzuri anapotosha wakirsto tu

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    3 жыл бұрын

    🤔

  • @najmamohmad6348
    @najmamohmad63484 жыл бұрын

    Ma shaa Allah mungu awe pamoja nanyi mashekh wetu yani duh ni kz iliyo na ndacha

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga76822 жыл бұрын

    Masha Allah.watching from Boston USA

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38432 жыл бұрын

    Anajicheka mwenyewe Ndacha mwalimu mara aitwe yesu mara mwalim.

  • @divinahdivinahw513
    @divinahdivinahw5133 жыл бұрын

    Mungu ni mmoja kwa kuwa watu wote habadunianihatuelewanivizuri mambo yakusali vitabu vinaleta mabishano katiyetu Naye siku ya hukumu mungu atangalia matendo peke take kwa hivyo tutende mema.

  • @higahassib6614
    @higahassib66144 жыл бұрын

    Jazakallahu kheri thanks so much sheik Yusuf

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin,Afwan

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia59294 жыл бұрын

    Masha-Allah ustadhi Yusuf hiyo mhadhara ulifanya nimelala na furah sana tena sana, Leo umezika ndacha mzima mpaka akakwambia amwachie mwalimu Abbas, inalilah wa inalilah rajuni, ustadhi Yusuf ungekuwa humurumil huyu ndacha kama Leo angekuwa anakuona na anakimbia mbio sana, mpaka saai ustadhi Yusuf nakupongeza sana, siku yoyote ukikuja huku side ya kisumu na western nijulishe nkuletee zawadi yangu, kwa haki ustadhi Yusuf Mungu akuzidishie muda Leo umefurahisha waisilamu sana, umenipa maandiko mazuri yenye ntafundishie hawa makafiri,Mungu amjalie

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Alhamudulillah

  • @interiorpaintingdesign9307

    @interiorpaintingdesign9307

    4 жыл бұрын

    Nashukuru MUNGU kwa kuwapa wanadamu maaarifa yakuweza kusoma bibilia takatifu. Na waislamu waweze kuokoka.

  • @interiorpaintingdesign9307

    @interiorpaintingdesign9307

    4 жыл бұрын

    Ndacha kiboko yao

  • @interiorpaintingdesign9307

    @interiorpaintingdesign9307

    4 жыл бұрын

    Lakini Mimi huwanga najiuliza enyi waislamu mna akika mtafika kwa MUNGU wa kweli ili hali mnaabudu na shetani msikitini?

  • @jamilshisia5929

    @jamilshisia5929

    4 жыл бұрын

    @@interiorpaintingdesign9307 hata yesu alikuwa na mwanafunzi wake shetani Hiyo huiyoni? Na toa andiko inayo sema tunaswali na mashetan mskitini

  • @glorynoel8237
    @glorynoel82374 жыл бұрын

    Maasha sheikh yusufu

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6343 жыл бұрын

    mashaAllah jamani baada ya kuhuzunika nimecheka eti ndacha akilala ndo anaabudu,hahaha jamani,Mwenyezi Mungu atunusuru

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    Mashallah

  • @noorkeyz1083
    @noorkeyz10834 жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @abbaimran4122
    @abbaimran41223 жыл бұрын

    Amali ya kuhesabiwa siku ya kiyama mbele ya Allah SWT ni swalah na chenye kinatofautisha Uislamu na Ukristo hapa duniani ni swalah.Je,hao wakristo wanaswali huko kanisani au hapana?Na Yesu mwenyewe kaswali wanamuamini yupi ilhali wanampinga Yesu mwenyewe? Hakika dini ya haki mbele ya Allah SWT ni ya Uislamu,enyi kina Ndacha na wafuasi wake Mungu awaongoze ili mpate kalima njema siku yenu ya kuondoka kwenu hapa duniani la sivyo ni motoni expresssss.....

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi96594 жыл бұрын

    Sheikh Yusuf umempeleka mbio huyu , pole pole sheikh huyu Ndacha hana elimu na hikma walahi.

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent77962 жыл бұрын

    Wislam raha siraha 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @abdallashabaani4560
    @abdallashabaani45604 жыл бұрын

    Mashallaw mungu awabariki sana

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @rukiamusa9916
    @rukiamusa99163 жыл бұрын

    Maashalah mabruk vidume vya Allah waelimishe wajue dini ya haki kua mwisilamu ni rahaa huyu mwalimu pasta ana jichanya hata haeleweki kejeli ndio zakee tu !

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Safi ndacha,Mungu Yuko pamoja nawe,hakika hao mashekhe jasho linawatoka

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Ukristo ndio dini inayomtukuza Mungu si uidlsmu

  • @farhiaabdilahiali2194
    @farhiaabdilahiali21942 жыл бұрын

    Wanajaribu kuficha nuru ya Allah Kwa midomo yao Allah ata timiza nuru yake hata makafiri hawapendi. AS-SAFF 7-9

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Hata mfiche machafu ya humo kwenye korani yenu tumeshayajua,acha Yesu atukuzwe

  • @AaAa-kr9nb
    @AaAa-kr9nb4 жыл бұрын

    kwenda ndacha yuajua ukweli lakini yuapotosha ao wasio jijua watu waliswali msikitini na walivaa kanzu wajua kila kitu lakini upuzi ndio wako na wapotosha wenzio mungu arakuadhibu

  • @ritharitha1685

    @ritharitha1685

    4 жыл бұрын

    Nyinyi ndio mna potosha watu wasipokua makini wengi mtapotea nyinyi ndacha songa mbele na injili hongera sana ndacha

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    3 жыл бұрын

    @@ritharitha1685 sasa ww unasifia ndacha na hata hayo maandiko ya bibilia anayasoma nusu,mbona hamalizi maandiko

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri68572 жыл бұрын

    Watching from Lusaka zambia, Islam won this debate, Christian lost,we love and admire and appreciate the way you conduct those debates in your respective countries, they are very educative

  • @johnsonoyugi1773
    @johnsonoyugi17733 жыл бұрын

    Thank you brother Ndacha for teaching the truth of the Lord. May Jesus Christ strengthen you in His service. Amen.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    3 жыл бұрын

    😂😂😂Matthew 22:29

  • @timotheojumal894

    @timotheojumal894

    3 жыл бұрын

    @@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp unaunga S Tu mjomba Hujui lolote kuhusina na Biblia😀😀😀,wewe unavyoisoma Biblia unamawazo ya kiQurani ndio maana inakusumbua hata kuielewa, kwanza hilo Fungu halihusiani na matendo ya ibaada, hilo Fungu unataka kulitafsiri wewe unavyofikiri katika akili yako na haiwezekani, sasa hilo hilo Fungu tusome tuone kama kunauharisia wowote wa kuhusiana na Ibaada, Mathayo 22:24-30 [24]wakisema, Mwalimu, Musa alisema, Mtu akifa, akiwa hana watoto, ndugu yake na amwoe yule mkewe, ili ampatie nduguye mzao. [25]Basi, kwetu kulikuwa na ndugu saba; wa kwanza akaoa, akafariki, na kwa kuwa hana mzao, akamwachia nduguye mke wake. [26]Vivyo hivyo wa pili naye, na wa tatu, hata wote saba. [27]Mwisho wa wote yule mwanamke akafa naye. [28]Basi, katika kiyama, atakuwa mke wa yupi katika wale saba? Maana wote walikuwa naye. [29]Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu. [30]Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni. Basi tujaribu kuingiza akili zako apo kama zitatoshana na hilo andiko , kwanza Yesu kusema hivyo kwamba " Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu" Wapo watu waliokuwa wakimuuliza Yesu kuhusiana na habari za kuoa wake wengi kama ninyi WAISLAMU mnavyofanya mnaoa wanawake mia kwa tamaam zenu wenyewe, lakn Yesu ndio anawajibu wanapotea kwasababu ya mafikiria yao kama ninyi Mnavyoamini kuwa katka Paradise( makao ya milele) mtaenda na wake zenu huo ni uongo Mkubwa kama Yesu alivyosema mnapotea inamaana hiyo hilo andiko linasawazisha hoja Yenu ya madai hayo kwahiyo WAISLAMU mnapotea kwa Mujibu wa Maandiko matakatifu (Biblia) mbingu hakuna kuoa wala kuolewa Njooni kwa Yesu mkawe kama malaika mbingu wachaneni na Muhammad, sasa wewe hapo unatoa hilo andiko kwa mantiki ipi? maana haliingiliani na matendo ya Ibaada wala halina uhalisia wowote kwahiyo Hoja yako au makusudio yako ni Dhaifu.

  • @janekaari3788
    @janekaari37883 жыл бұрын

    Wanaoendelea kupinga pinga ukweli huu sababu ya kutetea dini ya kiislamu, Remember that th Judgement is waiting for u & me. Tengeneza uhusiano wako na Mungu aliyekuumba kabla hujafa ukishikilia dini bali si Mungu!! *Utalia siku ya mwisho!!!

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    3 жыл бұрын

    Matatizo hunjui tafsiri ya neno dini

  • @georgeasalla6967
    @georgeasalla69674 жыл бұрын

    Kweli mchungaji Ndacha,nakupata vizuri sana nikiwa Mererani Tanzania

  • @daudijoseph4340

    @daudijoseph4340

    3 жыл бұрын

    Nami pia Ndacha nampata100% nikiwa Kigoma TZ

  • @harbisulub
    @harbisulub4 жыл бұрын

    I love you all my brothers for the sake of Allah. I love your debates, continue your dawa. May Allah bless you all and your families.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin us all

  • @omargbabaomar2004
    @omargbabaomar20044 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @ahmedikhamis2722
    @ahmedikhamis27224 жыл бұрын

    Alafu uyo Ndacha anamatatizo kweli ety Qur an anaamini baadhi ya vipengele ila tumuombe mungu amuongoze aamini yote

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Tatizo nyi mnatamba kuiamini eti korani iko sawa kuliko biblia,wakati korani vya hovyo vingi na ndiyo hivyo mlivyodhani hatuvifahamu Sasa ndio tunawaekeza kuwa tunavifahamu hivyo mnavyoficha

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Kwa hiyo nami nasema wenye matatizo ni nyinyi waislamu

  • @shushu8105
    @shushu81052 жыл бұрын

    Alhamdulillah yarabiin kwanem yakuwa muslim kila mwislam ananur kakita uso wake tazama jinsi walivyo pendeza hapo

  • @aishawangui6635
    @aishawangui66353 жыл бұрын

    Huyu ndacha ni wale watu hupiga ukweli wakijua kupoteza wengine .Mungu amuongoe

  • @godisgreat1845
    @godisgreat18454 жыл бұрын

    Kwani huyu ndacha mnadhani ana elimu yoyote ya maneno ya Mungu huyu anatafuta ucheshi kwa kumtumikia ibilisi kwa kuwapoteza watu wasimuabudu Mungu huyu ni kafiri mkubwa hajui chochote amekaririwa aya za kumtusi Mungu akiniamini I asiingie jahannam pekeyake ila nawaambia makafiri wa kikristo msiposoma wenyewe mkajua Mungu anaabudiwa vipi basi hatakuwa na wa kumlaumu siku ya majuto mtajuta majuto makuu na muda wa kutubu haupo

  • @mussakilo4916

    @mussakilo4916

    4 жыл бұрын

    Sheh yusuf ipo cku nitakutafuta ninakufuatilia Sana unavyo wanyoosha akina ndacha pia mshauri huyo ndacha aache kmtukana alaah

  • @faizasaid8262

    @faizasaid8262

    4 жыл бұрын

    sema kweli kweli ila saiz hawezei ona ivo

  • @wadimtwana7286

    @wadimtwana7286

    4 жыл бұрын

    Kweli

  • @feisalabdi1005
    @feisalabdi1005 Жыл бұрын

    Masha allah

  • @SharifMustafa
    @SharifMustafa4 жыл бұрын

    Allahuakbar.

  • @stephenelieza6726
    @stephenelieza67264 жыл бұрын

    Mtabatizwa kupitia kweli tuu

  • @kibojewee2710

    @kibojewee2710

    4 жыл бұрын

    Uwongo mtupu uwongo mtupu, hahaha😂

  • @prettyaysha7892

    @prettyaysha7892

    3 жыл бұрын

    Pole kwa ndoto yako ya mchana

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq66653 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @annasongolo2887
    @annasongolo28872 жыл бұрын

    mungu ambariki dancha, mimi ni mkristo msabato,

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    2 жыл бұрын

    Wapi ukristo ni dini ya kweli?

  • @mwanaidishibe9275
    @mwanaidishibe92754 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @prettyaysha7892

    @prettyaysha7892

    3 жыл бұрын

    Mwanaidi shibe classmate👋

  • @mwanaidishibe9275

    @mwanaidishibe9275

    3 жыл бұрын

    @@prettyaysha7892 mbona sijakufahamu

  • @yusufathman2478
    @yusufathman24783 жыл бұрын

    Ndacha anajua ukweli

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Message kutoka Canada. Wapendwa Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein26353 жыл бұрын

    Asokubali kushindwa simshindani. " NDACHA " lazima tumsilimiahe in sha Allah 🤲🤲🤲🇰🇪

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    3 жыл бұрын

    Kabsa

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Ambao ni nyinyi waislamu hamkubali kushindwa,Sasa Hapo Ndacha kashindwa nini?Hata mjitahidi kuficha tumeshajua Kila kitu Cha waislamu hamna Mungu wa kweli

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Ndacha Mungu akulinde na na hao waislamu uwafundishe kwani wanadhani hatujui wanachoabudu ni uchafu mtupu

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Ndacha laxima ubatize waislamu hao

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Ndacha lazima awabatize mashekhe hao

  • @mohammadalfani8004
    @mohammadalfani80043 жыл бұрын

    Huyo Ndacha mgumu na mshindani sana ihali anajua Ukweli

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    Ata usipoiamini Kur,an huzidishi hupunguzi kuna wengi sana tunao iamini kwaiyo kwanyie wakiristo tu nikama ulo dondosha shindano kwenye bahari

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh2033 жыл бұрын

    Ushindwe kbsa wewe kwa jina la ALLAH

  • @Prisca-fj9zv
    @Prisca-fj9zvАй бұрын

    ndacha wewe ni baraka toka kwabwana amina

  • @mohammedali7803
    @mohammedali78034 жыл бұрын

    Jezakha''Allahu kheir

  • @interiorpaintingdesign9307

    @interiorpaintingdesign9307

    4 жыл бұрын

    Kile napenda ni waislamu ni watu wakulalamika Wala hawana helimu. Na ndio maana muhumad akawambia waulize waliotangulia waislamu Yani wakristo. 87:18 Qur'an photocopy

  • @alhabibymasoud3445

    @alhabibymasoud3445

    3 жыл бұрын

    ما شاء الله

  • @sefaniaslyvestertv1498
    @sefaniaslyvestertv14984 жыл бұрын

    Waislamu poleni kwa kuwa mnalazimisha kuvaa miwani ya mbao ili mupotee maksudi

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent77962 жыл бұрын

    Asalam alykum www ndacha rundi school unapoteza wa kristo

  • @AaAa-kr9nb
    @AaAa-kr9nb4 жыл бұрын

    we ndacha wajua lugha ungesema kifur fir kifudi.fudi sio kuanguka kifur fur

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi28544 жыл бұрын

    Ndacha kabeba vitabu Au Nn Jmn 😃 Ndacha muogope mungu.. unawapoteza tutu karibu ktk uisilamu dini y hakh

  • @AmiirAlwajidiAsomaal
    @AmiirAlwajidiAsomaal4 жыл бұрын

    Kazi nzuri ustadh

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Alhamudulillah

  • @estherkanini4627
    @estherkanini46272 жыл бұрын

    Hakuna kushidani hapa nikujua kweli

  • @MwandagasyaVicente
    @MwandagasyaVicente4 ай бұрын

    Wewe mutangazaji unapengamiya haupo serieuse

  • @thegospelmessage5039
    @thegospelmessage50393 жыл бұрын

    NDAcha hawezi kushindwa

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    3 жыл бұрын

    Eee ndacha kwamashidano ameshida, but kwa kufundisha hawezi, labda waisilam wamupatie elimu

  • @thegospelmessage5039

    @thegospelmessage5039

    3 жыл бұрын

    @@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp huyo ni mwalimu kutoka mbinguni

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja43982 жыл бұрын

    enzi zile dozz ilionja kama coctail ya pilipili dasha ilimwashaa😀

  • @faithwairimu1466
    @faithwairimu14663 жыл бұрын

    The debate is good between christians and muslims

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    3 жыл бұрын

    Alhamudulillah

  • @jumaakatembe7106
    @jumaakatembe71063 жыл бұрын

    Ndacha shida yako huna hoja, umeambiwa utetee ibada ya kikristo na Nani ameamrisha ifanywe hivyo... Sasa yeye aruka ruka kuthibutisha hawezi... Alafu maskini wale walioko pale pia wanajichekea tu na ukweli hawaujui...watu wapenda vya rahisi kweli yani raha tu..

  • @rajabkimia1876
    @rajabkimia18764 жыл бұрын

    Kazi njema kila la kheri Allah awafanyie wepesi kazi mzito Sana..... jazzaka Allahu

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @ibrahimiddi3134
    @ibrahimiddi31342 жыл бұрын

    Shukran masheikh wt lkn huyu ndacha c Kama haelew kuwa ukiristo c dini c unamuona anavotapatapa cjui kusujudu c kufany hiv au vp yn anajuw ukwel asaa. Ila anadangany wt

  • @hamisimuhammad6225
    @hamisimuhammad62252 жыл бұрын

    Leo ndacha kapatikana

  • @bahatihadijabahati7456
    @bahatihadijabahati74564 жыл бұрын

    Ndacha huyu alikufuru kitambo muache Ile cku yake ikifika ndo atajua hajui

  • @ritharitha1685

    @ritharitha1685

    4 жыл бұрын

    Nyinyi ndio mnakufuru ngojeni siku ya mwisho mtasema tungejua

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38432 жыл бұрын

    NDACHA NIPE KABILA LA YESU TAFADHALI?

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma37563 жыл бұрын

    Mashaallah wisilam ustadh yusufu we kimboko ya ndacha 😃😃😃🤝wape 🤣 wataelewa tu

  • @thegospelmessage5039

    @thegospelmessage5039

    3 жыл бұрын

    🕋huyu mungu wenu ni hili jiwe waislamu machukizo

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Hakika Ndacha kiboko ya hao maustadhi

  • @bilo1106
    @bilo11062 жыл бұрын

    Ndacha alipeleka urongo Tanzania ssa maana amemuacha yesu kenya amenda kutafuta pesa ..vile munavyopenda pesa waenda kutafuta hela chenji yake iko chin sana kenya ...usije ukazeekea huyko maana ujaz her ungeenda yuganda

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38432 жыл бұрын

    Ndacha biblia imeshuka kutoka wapi? Je imeandikwa na nani?na imeteremkia wapi na malaika gani kaishusha?

  • @bonanekad8702
    @bonanekad87024 жыл бұрын

    Ndacha is very intelligent congratulations

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Shindwe

  • @brotherblack6531

    @brotherblack6531

    3 жыл бұрын

    Ni mchovu sana

  • @najmagudeh203

    @najmagudeh203

    3 жыл бұрын

    Shindwe kbsa kwa jina la M.MUNGU

  • @ndikumanainnnocent7796

    @ndikumanainnnocent7796

    2 жыл бұрын

    mutafute ungine mucungaji ana iyirimu aje kuwateteya

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Ndiyo,Ndacha anaweza hajawahi kuzidiwa na waislamu

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38432 жыл бұрын

    JE ?YESU KATEREMSHIWA KENYA MBONA UNAMTA WEWE NA YESU SIO KABILA YAKO?

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub99853 жыл бұрын

    Ndacha show us how christians worship.

  • @timotheojumal894

    @timotheojumal894

    3 жыл бұрын

    John 4:23, 24 23 But the hour cometh, and now is, when the true worshippers shall worship the Father in spirit and in truth: for the Father seeketh such to worship him. 24 God is a Spirit: and they that worship him must worship him in spirit and in truth. This is how we worship " In spirit and in truth"

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia36824 жыл бұрын

    Ndacha anafundisha kiswahili na anasema kifuri kifuri badala ya kifudi kifudi.....huyu ni sarakasi na ukafiri na hata kiswahili hafahamu

  • @higahassib6614
    @higahassib66144 жыл бұрын

    huyu jamaa yuko na akili kweli . wewe haujui maana ya kusujudu acha kudanganya watu mbona waogopa

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia36824 жыл бұрын

    furaha kuona Mohamed Yariti

  • @sulaimansleemalhajri9108
    @sulaimansleemalhajri91084 жыл бұрын

    Ndacha anakuja kuharibu na kuchafuwa uisilam haje kufundisha wala kujifunza hatumie elimu anaongea maneno ya mitani.

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38432 жыл бұрын

    Mbona wewe hulali na kiatu kitandani kwako Ndacha acha upotofu,kiatu unachovaa kinakanyaga uchafu sasa chukua kiatu weka mezani wakati wa kula.

  • @khalifaali9229
    @khalifaali92293 жыл бұрын

    Ndacha hajujui lolote

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj12524 жыл бұрын

    Huyu Ndacha anajua kweli lakini-------

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed8374 жыл бұрын

    Ndacha hauwezani na Yusufu mwalimu wako huyo

  • @ipyanapaul8268
    @ipyanapaul82682 жыл бұрын

    Ijumaa ni siku ya mauaji siyo ibada

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    2 жыл бұрын

    Kwa andiko ripi?, wacha chuki bila sababu

  • @wadimtwana7286
    @wadimtwana72864 жыл бұрын

    We ndacha mwandawazimu sasa unataka waislamu wasali na viatu hata kama vina kinyesi vichekesho hivi.

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38432 жыл бұрын

    Umesema kusujudu kumeandikwa kwenye bibilia sasa umekiri mbona hausujudu kwenye Ibada zako.sasa hapo kuna agano la kwanza na la pili sasa hivyo vitabu vimeandikwa na nani kama kweli?Hoja yako haina msingi na wanawake wanasali wakiwa na nguo fupi?

  • @estherkanini4627
    @estherkanini46272 жыл бұрын

    Mbona msitoe nyinyi matajiri

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    2 жыл бұрын

    Waisilamu sio mabahiri

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed8374 жыл бұрын

    yusuf kiboko yake tasha shindano imeingia

  • @samxx411
    @samxx4112 жыл бұрын

    Naona ndacha haoneshi ibada za kikristo, kazi yake ni kupinga za waislam

Келесі