No video

MASWALI NA MAJIBU KATIKA MUHADHALA TURBO COUNTY YA UASIN GISHU TAREHE 8-7-2019

MPE MIC NA USTADH YUSUF WAMBUGU,USTADH SAID MWIRIGI NA USTADH HAMISI (CAMERA MAN)MUST WATCH

Пікірлер: 116

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @bambelmos8635
    @bambelmos86354 жыл бұрын

    Sheikh Yusuf THE LION MASHALLAH😎

  • @beardedalade
    @beardedalade11 ай бұрын

    Yusuf ni master.....anawaserve maandiko hadi wakristo wanafurahia😂😂😂

  • @jamalathman6219
    @jamalathman62193 жыл бұрын

    Shukran sheikh Yusuf Allah awape mazuri hapa duniani na kesho akhera,wape dozi wakiristo mpaka baragumu lipulizwe

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    3 жыл бұрын

    Amin sote

  • @najatsalum2122
    @najatsalum21223 жыл бұрын

    Nakubembeleza yaa Allah nakubembeleza yaa Allah ,mpe afya shekh Yusuf wambugu.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    3 жыл бұрын

    Amin sote

  • @najmamohmad6348
    @najmamohmad63485 жыл бұрын

    Mungu awape subra Mana mtaa wote ni wakristo kuelewa ni ngumu Allah awe nanyi

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @ndihunzefx_tz1174
    @ndihunzefx_tz11745 жыл бұрын

    Allahu Akbar ×3,,,,Baraka llahu taufiq Masheikh zetu hawa,,kwakweli wanafanya kazi nzito na adhimu mnoo!

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Alhamudulillah

  • @kausarabdulwahab3907
    @kausarabdulwahab39075 жыл бұрын

    Ma'Sha'Allah Dawaah mpaka Akhira. Tumefurahia kipindi cha leo yaani kama ningekua mkristo nigesilimu hapo hapo kuligana na maelezo na evidence ulizo zitoa lakini ubaya watu wanangangania Yesu atiachukue thambi zao na nguvu yaani by force. Huyo jamaa wa black shirt nikisirani hajifahamu atianataka kutisha waislamu. WAPI? kama mtume wetu si Muhammad mwalimu Kweli.

  • @abuuyaasinrashidirashidi9638
    @abuuyaasinrashidirashidi96385 жыл бұрын

    ustaadh yusuph nakupenda kwa ajili ya Allah ,Allah yuko nawe zidisha ikhilas kwenye hii kazi tukufu .

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Inshaa-Allah

  • @mohamedAli-vf8hp
    @mohamedAli-vf8hp5 жыл бұрын

    Waallahy ustadh yusuf huu mjadala unang'a na nimeupenda mungu awajazi mema mashekhe wetu amiin

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @salimalriyami7654
    @salimalriyami76542 жыл бұрын

    Allah, akuzidishie elim zaidi Insha Alla.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    2 жыл бұрын

    Amin sote

  • @minaminaa1669
    @minaminaa16695 жыл бұрын

    MashaAllah Allah awalipe mema duniani na kesho Akhera Mashekh kwa kazi yakuitangaza dini yetu ya haki

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @saidabae7101
    @saidabae71015 жыл бұрын

    Ustadh yusuf na said Aki kazi mnayofanya yataka moyo ukiwa na hasira huwezi toboa Allah awabariki ndugu zangu

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @rkenea4262
    @rkenea42625 жыл бұрын

    Insha Allah tuombee ma shekhe wetu ambao wamejitolea kufanya kazi hii ngumu kwa ajili ya Allah insha Allah mwenyezi mungu awape subra ya Rabby

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @oopsm3574
    @oopsm35745 жыл бұрын

    Duu Saidi hana kazi mskini...

  • @viques254
    @viques2542 ай бұрын

    Yusufu amehifadhi Quran na bibilia kwa pamoja 😄😄😄.. Mimi sio muislamu lakini naskia raha tu.. This guy has a very extraordinary IQ.

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim26635 жыл бұрын

    Mungu awazidishie subra waalimu zetu

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @saidabae7101
    @saidabae71015 жыл бұрын

    Masha Allah tuko pamoja kaka zangu katka imani Allah Awe pammoja nanyi

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @adamabdallah2245
    @adamabdallah22455 жыл бұрын

    MASHA-ALLAH wahadhir mana munawakwamisha kweli mungu awazidishie elimu

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @maryammagenyo5087
    @maryammagenyo50873 жыл бұрын

    YUSUF 🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥

  • @salimalmahrizi395
    @salimalmahrizi3954 жыл бұрын

    Uislamu unanguvu Alhamdulillah Ustadh Yusuf peke yako umechalenge na Makafiri 5 na umeshinda kwa jina la Allah.Allah akubariki.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed8374 жыл бұрын

    Shekh yusuf hakosi majibu mashallah wewe kuja bila maadiko utashangaaa pupa itaisha mashallah

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Alhamudulillah

  • @rkenea4262
    @rkenea42625 жыл бұрын

    Subhanah Allah huu ndo ukiristo

  • @abdullahibaris7182
    @abdullahibaris71824 жыл бұрын

    SUBHAANNALLAH

  • @bahatihadijabahati7456
    @bahatihadijabahati74565 жыл бұрын

    Mashaa Allah sheikh Yusuf Allah akulinde na Shari in shaa Allah

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @yayoohome2385
    @yayoohome23855 жыл бұрын

    Ma Shaa ALLAH, brother Yusuf maandiko yametembea

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Thanks

  • @ashamasudi9441
    @ashamasudi94415 жыл бұрын

    MashaAllah Allah awalipe mema dunia na akhera maan hawa wenzetu kuelewa ni ngumu sana anae kuja na moto anatulia mwenyewe

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @makenakendi282
    @makenakendi2824 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @allyhamisi4709
    @allyhamisi47095 жыл бұрын

    Shukran sana ustaz yusuf , chukuwe na ustaz muhammad yule anayevaa kilemba akusaidiye , naon hupat kupunzik hao wapo wengi wakristo

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Ustadh mohammad ako shule,akipata muda atapatikana

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82625 жыл бұрын

    Mashallah

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi96595 жыл бұрын

    masha Allah sheikh wetu simba. Salimia sheikh Saidi na Hamisi pia

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Inshaa-Allah

  • @salimalmahrizi395
    @salimalmahrizi3955 жыл бұрын

    Huyo mzee hana elimu yoyote .Ustadh Yusuf wafundishe tu usichoke kesho Allah atakulipa Jannah l firous,

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @maryammagenyo5087
    @maryammagenyo50873 жыл бұрын

    Mashallah mungu awake nguvu na afya njema Ameen

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    3 жыл бұрын

    Amin sote

  • @rehemaahamadiahmadi566
    @rehemaahamadiahmadi5665 жыл бұрын

    Jamani nawaombea masheikhe wetu waongezeke mwalimu Yusuf anaumia mno maana hapumziki na wakristo Ni pasua kichwa poleni sana .

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Alhamudulillah Allah ananipa nguvu ya kufanya kazi yake

  • @minaminaa1669
    @minaminaa16695 жыл бұрын

    Inalilay wainailay Rajiuun. ..

  • @malicboy7973
    @malicboy79734 жыл бұрын

    hahaha,, shukran sheikh Yusuf,, Allah akuzidishie hekma zaidi na zaidi.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @hamastien5439
    @hamastien54395 жыл бұрын

    Mashaallah barak llah.fikum wabarak aaleyi aalayikum

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin

  • @abdulahihassankadir9770
    @abdulahihassankadir97705 жыл бұрын

    Sheikh yusuf wapi Yule mzee wetu wa discipline, usimuache atakusaidia kwa wale hawakuja kwa nia nzuri

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7405 жыл бұрын

    Hahaa....Walimu wa kikristo jumlisha wengineo wanafika jumla yao 10....Lkn Sheikh Yusuf umewaonyesha kwamba hawana wanalolijua...!..ni Fujo tu’ Na hawajui ukiwa si mtulivu kwenye maneno ya MUNGU Ndio unaaibika zaidi...! Umewadunga sindano kwelikweli’ dawa imewaingia....!...ALLAH akipenda kesho tuwafanyie BRAIN SURGERY ...!...Yaani operation ya ubongo maana hawa inaelekea wana matatizo ya msalaba kwenye bongo zao...! ..ALLAH awape nguvu Masheikh wetu IN SHAA ALLAH...!

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin sote

  • @fatumahaji5697

    @fatumahaji5697

    5 жыл бұрын

    Napenda sana unavyo wadunga dindano hao makafiri mungu awape ufahamu waijue Dino ya kweli

  • @yunisboshe7227
    @yunisboshe72274 жыл бұрын

    masha Allah.

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi96595 жыл бұрын

    raha sana,lakini sheikh put some order in the muhadhara please .jazakallah

  • @mwanahamisially5234
    @mwanahamisially52345 жыл бұрын

    Mpe Mike huyoooo

  • @ummua5006
    @ummua50064 жыл бұрын

    Allah awape subra na awalipe kheri. Amiyn

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin sote

  • @alsaarh239
    @alsaarh2395 жыл бұрын

    Yusuf hawa watu wanashida sana mishkil hawa toi majibu wanasikitisha sana

  • @OfficalMiya
    @OfficalMiya5 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Thanks

  • @abdullahibaris7182
    @abdullahibaris71824 жыл бұрын

    Ati sina dambi LAHOWLA WALLAQUWATA ILLA BILLAH

  • @bakarikimaiyo8634
    @bakarikimaiyo863410 ай бұрын

    Confused Hussein

  • @bashirbakora9901
    @bashirbakora99015 жыл бұрын

    MaashaaALLAH sheikh

  • @hamidahamida1473

    @hamidahamida1473

    4 жыл бұрын

    Subhanalha

  • @hamidahamida1473

    @hamidahamida1473

    4 жыл бұрын

    Huyuwawapi

  • @hamidahamida1473

    @hamidahamida1473

    4 жыл бұрын

    Ghuumsibawalha

  • @deluxermahyono5290
    @deluxermahyono52904 жыл бұрын

    Siku hiyo ilikuwa kukuru kakara kazi ipo kwakweli hawa watu sijui wakooje? Noma sana.

  • @yaswe5017
    @yaswe50175 жыл бұрын

    wakriisto msiba mkubwa

  • @rashidmalingwa808
    @rashidmalingwa8083 жыл бұрын

    Tatizo hawajui bible wanaendeshwa tu kanisan n wachungaji na kutoa sadaka watu washibe

  • @yaswe5017
    @yaswe50175 жыл бұрын

    Hussein hana swali kwely hawasomi ushindani 2

  • @abdullahibaris7182
    @abdullahibaris71824 жыл бұрын

    Wacha ufundishue

  • @farhiyaisma4674
    @farhiyaisma46744 жыл бұрын

    weh 1:20:03 hiyo Gari inakimbisha post ya stima kama duaro kerikeri

  • @malicboy7973
    @malicboy79734 жыл бұрын

    hehehe,, ustadh Yusuf umewatoa kijasho 😂😂. halafu mashaallah hao jama wako kama sita na unawaweka sawa. 👍

  • @muhsinkaid6662

    @muhsinkaid6662

    3 жыл бұрын

    Hjjk

  • @higahassib6614
    @higahassib66145 жыл бұрын

    Huyo Mzee ata hajui anaongea nini ata ukristo haujui

  • @oopsm3574
    @oopsm35745 жыл бұрын

    Heee wanaikataa bible yao sasa duu mambo haho.

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu49334 жыл бұрын

    Yanakimbia nini sasa? Shauri zao na ubishi wao!

  • @mwanahamisially5234
    @mwanahamisially52345 жыл бұрын

    Mwl usiend mbio

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Safi

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24445 жыл бұрын

    Eti Abu Ja'al na Abu Lahab😂😂😂😂😂😂

  • @jaffarumar708
    @jaffarumar7085 жыл бұрын

    Jazakallahukher

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Amin

  • @ashrafissa778

    @ashrafissa778

    4 жыл бұрын

    Mashallah shekhe yusufu mungu akupe umli wenye khr

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim26635 жыл бұрын

    Wakristo hawana lolote

  • @janenjenga5639
    @janenjenga56395 жыл бұрын

    Huwezi egemenya upanda wako.siku ya kiama inakunja Yesu ahukumu waliyo hai na wavu.

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    😂😂😂yesu hahukumu mtu,yeye pia atakuwa na maswali ya kujibu

  • @janenjenga5639

    @janenjenga5639

    5 жыл бұрын

    @@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp kujibu nani

  • @aghahanjuma7448

    @aghahanjuma7448

    5 жыл бұрын

    Jane Njenga To a andiko

  • @janenjenga5639

    @janenjenga5639

    5 жыл бұрын

    @@aghahanjuma7448 soma bibilia

  • @softymoha5484
    @softymoha54845 жыл бұрын

    Allahu Akbar! Sheikh jameni unafanya kazi kubwa sana. Yaani Hawa watu Kuelewa ndio shida au vipi? Haaaa.... Sindano umewadunga kweli kweli, wabishi sana hao

  • @jibabaazuaf162
    @jibabaazuaf1625 жыл бұрын

    Maji yanagawanywa said ana kiu na hajapewa duh kuna watu wana roho mbaya

  • @sismnfamily3426

    @sismnfamily3426

    5 жыл бұрын

    Said amekunywa soda hataki maji yao!!!

  • @yussufdaudi9408

    @yussufdaudi9408

    5 жыл бұрын

    MashAllah br0 yusuf

  • @saidabae7101

    @saidabae7101

    5 жыл бұрын

    @@sismnfamily3426 🤣🤣🤣 we unamambo

  • @sismnfamily3426

    @sismnfamily3426

    5 жыл бұрын

    @@saidabae7101 kama hawataki kumpa mwalimu wetu tufanyeja sasa😂😂😂

  • @alimwatajiri4083
    @alimwatajiri40835 жыл бұрын

    Huyu Hussein ni wawapi?

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    5 жыл бұрын

    Ni mutanizania

  • @alimwatajiri4083

    @alimwatajiri4083

    5 жыл бұрын

    @@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp huyu amepotea kabisa hata hajui analoliuliza

  • @bakarikimaiyo8634

    @bakarikimaiyo8634

    10 ай бұрын

    Hussein wa SDA

  • @issamohamed9927
    @issamohamed99274 жыл бұрын

    One man against a whole team and they are all using Google.....may Allah guide them

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @maryammagenyo5087
    @maryammagenyo50873 жыл бұрын

    Napenda wewe sana ni kwa akili ya Allah

Келесі