YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp

YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp

EDUCATIONAL PROGRAMS ABOUT ISLAM THE PEACEFUL RELIGION BY USTADH YUSUF WAMBUGU WAMBUI 0728830597

Пікірлер

  • @shabirimohamedi5380
    @shabirimohamedi53806 сағат бұрын

    Allah akuongoze mwisilamu wakweli hapotei moja kwamoja Allah akubariki ila kweli uliniumiza sana katika midahalo mliofanya sehemu mbali mbali ila nilijua wewe unajua ukweli kwamba dini ya haki mbele ya Allah ni uislamu

  • @leonardadd
    @leonardaddКүн бұрын

    Huyu ndo Paulo, nasoma marekebisho yenu😊 sai 2024 mtafuteni Paulo🙏

  • @IbrahimHajj-q5g
    @IbrahimHajj-q5g2 күн бұрын

    Pole sana ndugu yangu may Allah grant you shifaa😢

  • @MulungiScovia
    @MulungiScovia3 күн бұрын

    MashaAllah

  • @haronkimutai4993
    @haronkimutai49933 күн бұрын

    Endelea kuwafundisha watu na kuonyesha watu ukweli uliofichwa na ibilisi. Mungu anakusudia watu wote waokolewe

  • @salimjuma9837
    @salimjuma98374 күн бұрын

    Mashallah Yusuf Wambogo

  • @bashirmahero7021
    @bashirmahero70214 күн бұрын

    Weslamu nawaomba kwa jumla tumpeleke Simba ya Allah hospitalilni au vip wenzangu

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino8285 күн бұрын

    Mualimo suleiman uko wapi???

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt5 күн бұрын

    MashaAllah..Allah.awape.ulinzi.woote.lnshaAllah

  • @user-ix2iv4wb6m
    @user-ix2iv4wb6m6 күн бұрын

    Kugombanisha Ndacha na msomaji wake haitawasaidia

  • @mtumwasamaki
    @mtumwasamaki7 күн бұрын

    Vyema kusema ukweli waambie kama ukweli ulikuwa unapindishwa kwa maslahi tu

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt8 күн бұрын

    Alhamdulilah mashaAllah😭😭😭😭😭AllahuAkbaru

  • @razakialiyas25
    @razakialiyas258 күн бұрын

    Sheikh yusuf nataka kufundishana

  • @smadon5638
    @smadon563811 күн бұрын

    Hivi huyu Yesu si Yule alipotea kwa uwanja wake alikuwa wapi tangu akiwa mwenye umri wa miaka 12😂😂

  • @DavidSungu-my3dh
    @DavidSungu-my3dh14 күн бұрын

    Je paulo amesilim

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman15 күн бұрын

    Wakristo nikama mkewa nabii ruti alimbiwa usigeuke nyuma rakini yeye aligeuka kwa zalau zake akageuka jiwe nahawa hatamuuwambie nini hawata waelewa yesu alisema wanamacho lakini hawaoni wanamasikia lakini hawasikii tuwaache mpaka mwishowao wataelewa kama Mzee wa upako Antony lusekero

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman15 күн бұрын

    Hivi kweli wakristo hawajui kutofautisha mungu na yesu au kusudi

  • @bashirmahero7021
    @bashirmahero702116 күн бұрын

    Kwa kweli simba ya Allha ,Allha akupe shufaa

  • @user-sn7qm8qm6t
    @user-sn7qm8qm6t17 күн бұрын

    Vita baridi baada yawaislam kukosa hoja

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga467719 күн бұрын

    Now I understand why Christian Prince educates and crushes people’s lies using their own books

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga467719 күн бұрын

    Now I understand why Christian Prince educates and crushes people’s lies using their own books

  • @MOHAMMEDMOSHE-sy3qi
    @MOHAMMEDMOSHE-sy3qi20 күн бұрын

    ^MWENYEZIMNGU^~^ALLAH {SUBHAANAHUU WATAALA}^ AKUPE Shifaa Upone Haraka Shekhe Wetu, AA'MIIN!!!

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp20 күн бұрын

    Amin

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel338020 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 waislamu wanapinga na vitabu vyao , wewe umesomewa kitabu chako mwenyewe kwamba muislamu wa kwanza ni mwanamke alfu unapinga ,vitupeni sasa kama mnaona havisemi kweli

  • @abdiidaawah-yv9bg
    @abdiidaawah-yv9bg20 күн бұрын

    MashaAllah Ustadh Wangu pole sana Allah akupe shifaa

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp20 күн бұрын

    Amin sote

  • @hamzamohamed377
    @hamzamohamed37721 күн бұрын

    Yussuf pole sana mungu alete shifaà

  • @TheLimbo11
    @TheLimbo1121 күн бұрын

    Ameen

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp21 күн бұрын

    Amin

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu576520 күн бұрын

    Allah akupe shifaa shekh wetu

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu576520 күн бұрын

    Allah akupe shifaa shekh wetu

  • @edwinmahonga4063
    @edwinmahonga406321 күн бұрын

    Wanataja neno bila kuelewa

  • @edwinmahonga4063
    @edwinmahonga406321 күн бұрын

    Hawa waislamu mada zao hazina msingi,ni kelele tu ya kuonyesha wenzao hawako pabaya,,,quran haina msingi duniani,,,hivi mtu alipata yesu ameishi kwanzà,,saa Muhammad amekuja baadaya 500 years,,,mbona hawa wapinga kristo ni vipovu

  • @edwinmahonga4063
    @edwinmahonga406321 күн бұрын

    Mbona nyinyi mwaosha nyuma mnapoenda msalani,,maanake kutoa uchafu,ubadizo ni kutoa uchafu wa dunia,,,

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp21 күн бұрын

    Kuocha nyumba ni usafi

  • @hassangalgallo8496
    @hassangalgallo849621 күн бұрын

    Sinagogi ni msikiti 😅😅😅 Quran 22:40

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin63423 күн бұрын

    subhanaAllah,so baada ya kusilimu wakamuekea sumu

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert798224 күн бұрын

    Yauma sana kifo cha ndundi, Allah ampe rehema kubwa, wallahi nilimsikiza hile miezi 3,nikapata nguvu saidi, ALHAMDULILLAH

  • @Allymbaruku991-lj1om
    @Allymbaruku991-lj1om24 күн бұрын

    Ma sha Allah

  • @MariamAsudi
    @MariamAsudi24 күн бұрын

    MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all

  • @rizikiali328
    @rizikiali32824 күн бұрын

    Allahumma ghfirllahu warahmuhu waskinhu filjanna

  • @rizikiali328
    @rizikiali32824 күн бұрын

    Mashallah masheikh Allah awahifadhi na awape nusra na waliosilimu

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp23 күн бұрын

    Amin sote

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm55824 күн бұрын

    M.mungu awajalie jannatu fildausi wote walotangulia mbele yahaki yarabi tunakuomba.

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu576524 күн бұрын

    Aamin yarab

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp23 күн бұрын

    Amin

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199524 күн бұрын

    Masha'allah Masha'allah Masheikh wetu

  • @user-bw5wj8dw5q
    @user-bw5wj8dw5q25 күн бұрын

    Waongo nyie

  • @user-ec5kk3vh1b
    @user-ec5kk3vh1b25 күн бұрын

    Uyuu Paulo achunge vizuli wewe wamekupa helala kabisa

  • @user-ec5kk3vh1b
    @user-ec5kk3vh1b25 күн бұрын

    Huuuu Paulo amekosa musimamu abaki kwa. Wukritso apo kwa uwislm anapotea kabusa naenda kwadini yamajini pole sana paulo

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l25 күн бұрын

    Wanaosika watumie akili zao kwan manabii walifundisha namn ya kusali ilo liko wazi

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt25 күн бұрын

    Paulo.tena.Innalilah..akwende

  • @abdallahkambi3613
    @abdallahkambi361327 күн бұрын

    There's a very big problem here, who was saying that Jesus was the word or the other verse he's talking about? was it Jesus or did Jesus pbuh instructed someone to record, its very confusing and shallow. that's why we feel sad for the Christians coz they like cheering for nothing. if you cannot connect christianity and the bible to Jesus pbuh, how can you claim to be his followers?

  • @abdiidaawah-yv9bg
    @abdiidaawah-yv9bg28 күн бұрын

    MashaAllah maustadh wetu wafikisha ujumbe maua

  • @user-le4wr7mq6v
    @user-le4wr7mq6v29 күн бұрын

    Kweli waislam ni waongo wakubwa kwann mnawadanganya watu hv mnawadanganya sana waislam wenzenu sana

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp24 күн бұрын

    Matayo 24:24

  • @josephmangare4836
    @josephmangare4836Ай бұрын

    Nitumie no yako

  • @SuzanaNyanda
    @SuzanaNyandaАй бұрын

    YESU ni mwingi wa REHEMA hakuna kama yesu

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    Mpumbavu huyo Soma Qur'an ndo utajua ni nani wa kufata

  • @elkairosway1895
    @elkairosway1895Ай бұрын

    Wamuita Yesu giza, na Yeye ndiye nuru ya kweli? Yesu mwenyewe anakutazama....atakujibu mwenyewe!

  • @elkairosway1895
    @elkairosway1895Ай бұрын

    When Eve gave time to the devil, she was led into disobedience and fell. Be careful when you give time to those who are in opposition to Jesus, God the Son, they are just like the devil who asked Eve, "Did God really say you do not eat of any tree? " Those people are asking you " Does the name and person of Jesus make sense before God? " The descendants of Ishmael are what Genesis 16:12 calls them. Please desist from arguing on the holy Word with those to whom the word is foolishness ... who are destined for hell, teach the Word to those the Word is salvation unto them. Amen