MASWALI NA MAJIBU KATIKA DA-WAA BAXTON MOMBASA COUNTY DAY 4 PART 1

DA-WAA NA USTADH YUSUF WAMBUGU, USTADH HUSSEIN MWENJA, USTADH MUHAMMAD SAID, USTADH OMAR

Пікірлер: 26

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau86974 ай бұрын

    Mungu awalipe ishaalla ❤❤❤❤❤

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau86974 ай бұрын

    Pastor yujaribu ku kwepa lakini mnae mmenichekesha saana sheik alipo sema Pastor labulary eeeh nimecheka yangu yole mungu awalipe

  • @user-hw3wh1nf7k
    @user-hw3wh1nf7k4 ай бұрын

    Allahu akbar

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6344 ай бұрын

    Wallah hii kazi inahitaji uvumilivu sana,kama una hasira za haraka huiwezi...unauliza mtu nyanya anakujibu kitunguu nikama unapigia mbuzi gitaa

  • @jumahamad9463
    @jumahamad94634 ай бұрын

    AS'SALAAM ALAYKUM SHEIKH MOHAMMED HAWOO NDIO MAPASTOR KINA BABUU WA SHAKAHOLA

  • @razakialiyas25
    @razakialiyas254 ай бұрын

    Allah nina waombia hao mahubiri yetu hafia nźuri ile waweze kutangaza kazi ya allah.

  • @Sal.0
    @Sal.04 ай бұрын

    Swdakta ustad. HEKALU ni NENO ya Ki IBRANIA, mahali panao SUJOODU WaIslamu wa zama hizo. SINAGOGI ni NENO la KiARAMAIC, mahali Wa SUJOODUO Wa Islamu, zama za ESSA. Na MASJID, ni Neno ya zama za MUHAMED s.a.w, mahali watu wa SUJOODUO humu! Ni SIMPLE! LAKINI... KaKristo ni KAongo na wana penda ku BADILISHA maana za Verses! Siku MukuRisotO ata ANZA tuu, kusema UKWELI, basi siki hio KIYAMA ita SIMAMA! TabarakAllah Team

  • @samuelondieki9164

    @samuelondieki9164

    4 ай бұрын

    Ndugu yangu wakati wayesu hakukua Na uislamu Wala wakristo kulikua Na uyahudi tu msipoteze watu

  • @Sal.0

    @Sal.0

    4 ай бұрын

    @@samuelondieki9164 HAKUNA kitu kama 'uyahudi'!Hio ni porojo ulio TUNGA Wewe! 'Wa YAHUDI', ai 7ZAA wa IRAQI Prophet YAKUB, wali kuwa ni KABILA 12, tuu, sio Dini! Na Biblia, ambao nyinyi HAMU SOMI, ina SEMA, katika MaHEKALU, watu walikuwa wana SUJUDU! Na WaYAHUDI woteeeeeee, walio fuata VITABU, wali kuwa wame AMRISHWA ku SUJUDU! Biblia ina sema, MUSA ka SUJUDU. IBRAHIM ka SUJUDU. Na Yesu, Ka SUJUDU...."and jesus went a ritto further, and fellon his FACE and prayed! Na biblia ina sema, "yeyote ashikaye maneno ya kitabu cha BIBLIA, mu SUJUDIYE Bwana Mungu wako"! Do you want me to go ON???? Ni NENO tuu, cha 'Muslim' ndio inawa sumbua! Maana ya NENO Muslim, ni one who submits himself to the ONE CREATOR! Therefore to SHOW that ONE has SUBMITTED, then, ONE must place his/her FOREHEAD, on the GROUND, in TOTAL SUBMISSION! Like jesus did, in the Garden if Getsomany! Ume understand OMERA? That is the meaning of the word SUJUDU, contained in the Bible! Ubaya, nyiye 'waKristo', HAMUNA ELIMMU yeyote kuhusu HISTORY ya Middle East. Na HAMU somi? Mume kaa tu muki DANGANYWA na PASTOR wenu, waki TUMIA STORYBOOK walio TUNGA WaZungu, in 1611AD! Sio makosa yenu, 'WaKristo'! HAMU SOMI!

  • @user-vw5bn4pf4y

    @user-vw5bn4pf4y

    3 ай бұрын

    ​@@samuelondieki9164pole sana. History unaoisoma ni ile iliyotungwa na wapagani lama walioandika biblia

  • @razakialiyas25
    @razakialiyas254 ай бұрын

    Yusuf nataka kufunza da-waah plan kwangu walai

  • @protusmuliro2796
    @protusmuliro27964 ай бұрын

    Yani mm huyu sheikh Yusuf wambugu na team yako kweli mumenifanya nikaupenda ukristo kwa muda mrefu Sana Allah ukujaaliye inshallah

  • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp

    4 ай бұрын

    Matayo 24, 24

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh4 ай бұрын

    nimempenda sana uyu mtumishi wa Mungu amewabana waislamu kweli kweli maana anayajua maandiko kbs

  • @Sal.0

    @Sal.0

    4 ай бұрын

    You mean WATUMWA wa WaZungu? 'Mungu' HA ISHI Vipingo Ridge, ili awe na WaTumishi yakum Safishia Nyumba na, kum OSHIA Ma Gari zake!

  • @samuelondieki9164

    @samuelondieki9164

    4 ай бұрын

    Huyu naye anaweza

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah15954 ай бұрын

    Mm hua nauliza huyu sheikh yussuf ana tatizo gan 😢 na sijapata jibu sheikh wetu ana nn mbona kila siku anadhoofika

  • @oopsm3574
    @oopsm35744 ай бұрын

    Mchungaji kapiga chenga ya mwili😅😅😅

  • @mohammedabdinur6236
    @mohammedabdinur62364 ай бұрын

    😂😂😂😂 Ako na bibiliya mpya

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia36824 ай бұрын

    inalalilaah waina aleyhi rajiun....huyu pastor ni wa wapi? anaulizwa wapi Yesu ni mwokozi wake na analeta maji na mkate. biblia ana beba kutafuta riziki tu.

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim68664 ай бұрын

    Asiogope kutaja kanisa lake analoabudia siku ya jumamosi au jumapili aseme asiogope kutaja kanisa lake

  • @samuelondieki9164

    @samuelondieki9164

    4 ай бұрын

    Kanisa halitakuzaidia usipompokea yesu

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim68664 ай бұрын

    Ustadhi Yusuf nakuomba muje likoni approved uwanjani muje muwailimishe wakristo huyo pastor ni muonga wa kumjibu maswali yenu huyo niwale matapel ni kwa nini habiri kanisini?yuwahubiri mtaani kulagua pesa za raiya ni muongo huyu ni tapel

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim68664 ай бұрын

    Huyo ni tapeli hanaukweli siku yakanisa anakwenda kanisagani ?kama yeye ni pastor kweli!

  • @Adm9464
    @Adm94644 ай бұрын

    Haki this is laughable, this guys are confused for not understanding the scripture they take pride in . Mchungaji was not able to even read and understand his own new bible