DR. SULLE AMCHAKAZA NDACHA NA KUZIBA USO KWENYE MDAHALO WA BIBLIA NA QRUAN KIPI KITABU CHA MUNGU

#AdilTV

Пікірлер: 855

  • @joetheone3354
    @joetheone33542 ай бұрын

    Mungu akubariki sana Prof. Ndacha, hakika umeenda kuwatafuta waliopotea. Mungu akubariki sana Ndacha❤

  • @ishileo9438

    @ishileo9438

    4 күн бұрын

    🎉

  • @suuahmed71
    @suuahmed715 ай бұрын

    Namshukuru MUNGU kwa kunipa neema hii yakunifanya Muislamu. MUNGU anipe mwisho mwema nikifa na shahada ya Laailaha illa ALLAH

  • @SalimuMbonyumukiza

    @SalimuMbonyumukiza

    5 ай бұрын

    Ameni Allahu Allamu wisilamu nem kweli Inshallah Allahu Akujaliyedungu nakafiri dacha Akuwe musilamu

  • @zahrahusain7203

    @zahrahusain7203

    4 ай бұрын

    Amin

  • @ibrahimallymohd3645

    @ibrahimallymohd3645

    4 ай бұрын

    Amiin thumma amiin

  • @bellasi349

    @bellasi349

    3 ай бұрын

    Sasa we unakufa naiyo shahada n'a allah mwenyewe anaingia motoni n'a Muhammad wake

  • @bellasi349

    @bellasi349

    3 ай бұрын

    @@SalimuMbonyumukiza yan ndacha akawe dini 1 n'a shetani hivi we zimo au majin yamepanda

  • @obadimedi
    @obadimedi5 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe /Congo DRC

  • @hanifa9153

    @hanifa9153

    5 ай бұрын

    Motoni😅

  • @kahindialfred7

    @kahindialfred7

    5 ай бұрын

    Amen

  • @NancyOgoro

    @NancyOgoro

    4 ай бұрын

    Asifiwe kabisa

  • @lulkul7784

    @lulkul7784

    3 ай бұрын

    😂 ati bwana may Allah guide you people

  • @AymanKhalfan-ss2rs
    @AymanKhalfan-ss2rs3 ай бұрын

    Hakika mimi ni muislamu na naipenda dini yangu hakikah namtegemea allah kwa kila kitu alhamdudillah🤲🤲🤲

  • @YusufKevo

    @YusufKevo

    Ай бұрын

    AllahuAkbar

  • @floraflora5717
    @floraflora57174 ай бұрын

    Ndacha Mungu akubariki sana

  • @chaltonmsagha102
    @chaltonmsagha1024 ай бұрын

    Mwalimu Ndacha Mungu akubariki sana,kwa majibu na maswali yenye Unawapea

  • @user-pf8yt8mh4r
    @user-pf8yt8mh4r5 ай бұрын

    Alhamdhulillah,namshukuru Allah kw kunijaalia n kuzaliw ktka dini y uislam

  • @evangelistusengimanaelie9589
    @evangelistusengimanaelie95893 ай бұрын

    Ndasha mungu akubalik kwa kazi hiyi uri gitoreya kufanya pongezi sana ndugu

  • @MirajiMajii
    @MirajiMajii5 ай бұрын

    Allah atujalie sote waislamu tufe katika dini ya kiislamu Dr sule mungu akupe maisha marefu uzidi kututetea

  • @abbyzaq6270

    @abbyzaq6270

    Ай бұрын

    shekhe dini ya Mungu haitetewi,inajitosheleza yenyewe..msikilize ndacha,ila usiuache uislamu maana utauwawa.

  • @user-zt5kd3ze2f
    @user-zt5kd3ze2f5 ай бұрын

    Doctor sule mungu akupe maisha marefu unajuwa san mungu akijaaliye sana

  • @Mudathirmasoudlx2lm

    @Mudathirmasoudlx2lm

    3 ай бұрын

    Inshaallaa

  • @lulkul7784

    @lulkul7784

    3 ай бұрын

    Ameen Yaa Allah 🤲

  • @ihuriroGroup
    @ihuriroGroup5 ай бұрын

    Wa Christ Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen Love from Burundi

  • @user-pf8yt8mh4r
    @user-pf8yt8mh4r5 ай бұрын

    Alhamdhulillah!🎉❤ Najvunia sana kw Allah akunijaalia ku kwnye neema y Uislam

  • @pareslyelijah7565
    @pareslyelijah7565Ай бұрын

    Mungu akubariki Ndacha.

  • @saudaumar3354
    @saudaumar33546 ай бұрын

    Shukran ALLAH Kutuletea kitabu kisiokuwa na shaka ndani yake.Allah muhifadhi Dr sule na timu yote Inshallah awape mahitaji yao

  • @muniraally4091

    @muniraally4091

    6 ай бұрын

    Takbeer

  • @hamisimzalendo

    @hamisimzalendo

    6 ай бұрын

    Aamin insha-allah

  • @RazaanOmar

    @RazaanOmar

    6 ай бұрын

    Aaamin inshaalah

  • @lizndunchez720

    @lizndunchez720

    5 ай бұрын

    Waisalamu wajinga sna

  • @OMARYKAHUNGO-mn4mf

    @OMARYKAHUNGO-mn4mf

    5 ай бұрын

    Mjinga wewe uliyepotea​@@lizndunchez720

  • @khadijabalolwaeuphrasie3488
    @khadijabalolwaeuphrasie34886 ай бұрын

    Maa shaa Allaah Dr Suley Allaah akupe umri mrefu wenye heri

  • @jaybreezy4129

    @jaybreezy4129

    5 ай бұрын

    🎉

  • @OMMYDIMPOZ-wn2if

    @OMMYDIMPOZ-wn2if

    3 ай бұрын

    Insha’Allah mungu amzidishie nguvu azidi kufunza umma..🙏

  • @user-fn5uo8tn5k
    @user-fn5uo8tn5k3 ай бұрын

    Mwalimu ndacha mungu akutie nguvu kwani mungu atateta na anaeteta nawe. Mungu n mungu atabaki kuwa mungu tu.

  • @joshuakorir2003
    @joshuakorir20034 ай бұрын

    Pr. Ndacha na waamini wote wakristo mungu awe nanyi daima na milele

  • @RiziWan-iy7ur

    @RiziWan-iy7ur

    3 ай бұрын

    Unamuamin wakati kashindwa kujibu swali simple

  • @AllyHajiru

    @AllyHajiru

    3 ай бұрын

    We ndacha unaporojo tu unadini

  • @sadikhanboy
    @sadikhanboy4 ай бұрын

    Namkubali sana doctor Sule Mashallah Mwenyezi Mungu awabariki sana Mashekhe wetu❤Mungu azidishie ili Muwafunze ukweli wakristo🙏🙏☝️❤️

  • @imanwilliam4073

    @imanwilliam4073

    3 ай бұрын

    Tusilimu ilihali Mungu wetu anatenda kweli, Yesu amenitendea mengi nimeshuhudia tokea nikiwa mdgo nije nislimu kwajili ya kuwafurahisha watu😅

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw2 ай бұрын

    Mungu akulinde ndacha

  • @AmisiNdalama
    @AmisiNdalama3 ай бұрын

    Merci pasta mwakaauu wataokoka

  • @mosessiame7882
    @mosessiame7882Ай бұрын

    From Lusaka Zambia ndacha mungu azidi kukupa neema nyingi🙏🙏🙏

  • @joelkilonzo2017
    @joelkilonzo201729 күн бұрын

    Wow wow wow, ndacha the best. May God through Jesus enable you to call fire 🔥. Compete with fire

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda30056 ай бұрын

    Tukiacha ushabiki kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi na mababu zetu wanaabudu imani flani nasi tukabaki huko huko kuamini tu tutakuwa na tabia ya kubisha bisha tu siku ziende ILA ILA UISLAM DINI YA HAKI YA MUNGU NDO INAYOPASWA KUFWATWA NA WANADAMU WOTE namshukuru Mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye dini yake ya khaki uislamu

  • @ussihussein9264

    @ussihussein9264

    6 ай бұрын

    Swadakta

  • @jassminemubarak2828

    @jassminemubarak2828

    6 ай бұрын

    wewe kama mimi tu iseeee acha tuendelee kuiamini hiiii din yt

  • @abdallahmkali3251

    @abdallahmkali3251

    6 ай бұрын

    Allah Akbar

  • @charlesboniphace2249

    @charlesboniphace2249

    6 ай бұрын

    Hahaaaa

  • @AbasiIshaqa-dy9ce

    @AbasiIshaqa-dy9ce

    6 ай бұрын

    Sahihi kabisa.ndiyo.dini.anayo.ikubari allah

  • @mirindiombeni
    @mirindiombeniАй бұрын

    Mungu akubariki kiboko cha walimu

  • @fatmahassan387
    @fatmahassan3876 ай бұрын

    MashaAllah Dr sule Asante Kwa kutetea kitabu cha mlmungu

  • @abdikarim324
    @abdikarim3246 ай бұрын

    Kwa kweri mwenyezi mungu ni mmoja, LA ILAHA ILALAH,

  • @godsonishengoma5378

    @godsonishengoma5378

    6 ай бұрын

    Nazichukia dini ktokana na kfananishwa na kaburi 7b kila azaliwaye anamezwa nayo.! Kila mtenda dhambi anayo dini.. Aiteteaye dini yake na ksema ni ya haki ahakikshe kat yao wa dini hyo hakna hata m1 mtenda dhamb! Mungu ni wa wote wenye mwili lkn sis wenye mwili ha2mwabudu Mungu m1.!

  • @Agoodservant

    @Agoodservant

    Ай бұрын

    Jesus Christ ni mwema ❤❤

  • @abdikarim324
    @abdikarim3246 ай бұрын

    Dr shule ,mashinge, Allah awape nguvu kwa kazi yake,

  • @imanwilliam4073

    @imanwilliam4073

    3 ай бұрын

    Tusilimu ilihali Mungu wetu anatenda kweli, Yesu amenitendea mengi nimeshuhudia tokea nikiwa mdgo nije nislimu kwajili ya kuwafurahisha watu😅

  • @gerkombo6512
    @gerkombo65126 ай бұрын

    Ikifika zamu ya wakristo wao wanajibu maswali kwa hoja nzito na kufuata maandiko, lakin ikifika zamu yenu waislamu hamjibu hoja mnaaza kuleta stori nyingi, mipashi na maelezo kibao. Kiufupi waislamu hawana point. Big up ndacha.

  • @asiliTz23

    @asiliTz23

    6 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @KisaMasudi-ky1cm

    @KisaMasudi-ky1cm

    6 ай бұрын

    Acha uongo au nyie ndo amueleweki zaidi ya kelele naomba uwe mkwwli lati ya Dr Sule na Ndacha nan anajibu kwa ufaha bila kelele

  • @OrtanceNelly

    @OrtanceNelly

    5 ай бұрын

    Kabisa 🙏😊

  • @user-rs8qg4ch8l

    @user-rs8qg4ch8l

    4 ай бұрын

    Kumbe kichaa wee acha ushabiki

  • @gerkombo6512

    @gerkombo6512

    4 ай бұрын

    @@user-rs8qg4ch8l wewe ndo chizi ambaye huelewi somo.

  • @abdikarim324
    @abdikarim3246 ай бұрын

    Mashallah, nimekuona ustath kuria bin kaguo

  • @wesakawesaka3516
    @wesakawesaka35162 ай бұрын

    Mazinge ana maswali zaifu sana

  • @RashidMuhusini-jq1eq
    @RashidMuhusini-jq1eq6 ай бұрын

    Allah awafanyie wepes wakristo wote wasilimu

  • @imanwilliam4073

    @imanwilliam4073

    3 ай бұрын

    Tusilimu ilihali Mungu wetu anatenda kweli, Yesu amenitendea mengi nimeshuhudia tokea nikiwa mdgo nije nislimu kwajili ya kuwafurahisha watu😅

  • @samwelingasa1638

    @samwelingasa1638

    Ай бұрын

    Nisilimu nije macca ambayo inavamiwa na manzige waislamu hamshutuki

  • @KelvinMwakilasa-ll3kz

    @KelvinMwakilasa-ll3kz

    29 күн бұрын

    Very poor

  • @user-py1nd9jg8p
    @user-py1nd9jg8p2 ай бұрын

    Dr. Sule na mazinge allah awape maisha marefu na muendelee kuutetea uislamu na kuwaelimisha wasioelewa

  • @Agoodservant
    @AgoodservantАй бұрын

    Mkristo na muislam Mungu mmoja wapi na wapi Bwana Yesu asifiwe.

  • @VeroJoel-dg7tn

    @VeroJoel-dg7tn

    18 күн бұрын

    Itaelewa tu wakati ukifika

  • @FundiSimon
    @FundiSimon3 ай бұрын

    Ndacha Mungu akupe maisha marefu yenye kheri nyingi hapa dunian

  • @UTENDAJI118
    @UTENDAJI1184 ай бұрын

    Pasta ndacha ubarikiwe

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78236 ай бұрын

    Professor Mazinge uyo DD Allah akuhifadhi.

  • @user-cg1ef9lu8g
    @user-cg1ef9lu8g5 ай бұрын

    Manshaalah mwenyezimungu awalinde na kuwapa nguvu inshallah

  • @user-py1nd9jg8p
    @user-py1nd9jg8p2 ай бұрын

    Alhamdulillah kwa kuzaliwa muislamu, allah anijaalie nifie iman yangu

  • @mutulaObedi
    @mutulaObedi2 ай бұрын

    Ndacha tuko nyuma yako tuba kuombeya Mungu akupe Nguvu unawafundisha hawasikiyi tu' basi usichoke hata yesu hakuchoka Katika injili

  • @andrewmalamsha3042
    @andrewmalamsha30423 ай бұрын

    Amina MUNGU akubariki m naona mashehe wakubwa wote hawakosi majini je mt wa MUNGU anastahili kuish majini noo roho mtakatifu atosha

  • @sakinahassani1455
    @sakinahassani14555 ай бұрын

    MashaAllah uislam wetu Allah awazindue waingie kweny uislam

  • @MaryMmm233-yh3hf

    @MaryMmm233-yh3hf

    5 ай бұрын

    Hakuna mwenye atafata hio uislam mubaki nao wenyewe

  • @athumanimkwamba550
    @athumanimkwamba5505 ай бұрын

    Inshallah Dr sule mung akupe maisha maref kwakwel unajua

  • @SalimuMbonyumukiza

    @SalimuMbonyumukiza

    5 ай бұрын

    Mungu Akupe Shifa dr Sule kweli

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi34716 ай бұрын

    جزاكم الله خيرا و احسن الجزء❤❤❤

  • @abdikarim324
    @abdikarim3246 ай бұрын

    Nyinyi ni ushambiki mnatafuta, ila najua mnanjua nyinyi wote LA ILAHA ILALAH,

  • @xtrod1625

    @xtrod1625

    3 ай бұрын

    haya Lala salama😂💔

  • @RehemaKingu

    @RehemaKingu

    2 ай бұрын

    ujielewi

  • @IbrahimKizozo
    @IbrahimKizozo4 ай бұрын

    Dk sule wew ni mwamba hasant mola alihamdulilah kwa kuniwezesha kuzaliwa katika dini ya hakhi uislam ndiyo dini ya khaki🎉

  • @user-fh8kv1mt6k

    @user-fh8kv1mt6k

    3 ай бұрын

    Asikudanganye mtu ndugu yangu hakuna dini ya kweli ila kwa waislamu wanafata mambo ya kidini ndio maana wao siku zote hawawezi kuafanya chochote bila utumia nguvu za majini

  • @imanwilliam4073

    @imanwilliam4073

    3 ай бұрын

    Tusilimu ilihali Mungu wetu anatenda kweli, Yesu amenitendea mengi nimeshuhudia tokea nikiwa mdgo nije nislimu kwajili ya kuwafurahisha watu😅

  • @user-bk3nb6kw5n
    @user-bk3nb6kw5nАй бұрын

    MashaAllah had raha.. Shekh mazinge n doctor sule N wengineo Allah awazishie umr hil muwatoe wtu kwenye kiza.. Nawapenda kwa Ajili y Allah

  • @user-ou5pp9yw4k
    @user-ou5pp9yw4k6 ай бұрын

    Mashaallah mungu awahifadhi

  • @eduardobabou3022
    @eduardobabou30225 ай бұрын

    Huyu ndacha pia ni balaa❤

  • @oscaroscars07811

    @oscaroscars07811

    Ай бұрын

    Bana

  • @MaxwellLilinga
    @MaxwellLilinga13 күн бұрын

    Pastor ndacha heshima kubwa kwako kuwaonyesha njia IPO kwenye bibilia ❤

  • @user-co4lx7uo8i
    @user-co4lx7uo8i3 ай бұрын

    Allahu akbar,ma shaa Allah Allah awalipe ujira wenu kwa kazi yenu ya dawaah nawapenda sana Dr Sule na ustadh Mazinge na maustadh wetu woote baraakAllah feekum

  • @OsamaAlly
    @OsamaAlly3 ай бұрын

    Allah akuingeze elimu zaidi

  • @user-ch8tj8kl1n
    @user-ch8tj8kl1n5 ай бұрын

    Kweli kabisa wengi wanafuata dini kwa sababu wamekuta wazazi kwenye dini yenyewe ila tunapaswa kutafuta ukweli,,.Alhamdullillahi nmejuana dini ya ukweli na ya haki ambayo ya kiislam❤❤❤

  • @YusuphMbwilo-xh9mu
    @YusuphMbwilo-xh9mu3 ай бұрын

    Ukitaka kujua kamakweri koloan siokitabu chamungu nenda kwa waganga wakyenyej wote wanatumia koloan kuloga watu nasio bibilia ko bibilia ki koloan nivitab vyakiganga asante ndacha

  • @user-zs6ze9hn6p

    @user-zs6ze9hn6p

    10 күн бұрын

    😂😂😂koloan

  • @professorimmah

    @professorimmah

    10 күн бұрын

    Biblia haina dual stahiki coz ilishachakatwa Na ndo manager yesu hakuwai kuingia kanisani

  • @professorimmah

    @professorimmah

    10 күн бұрын

    ​@@user-zs6ze9hn6pNa waganga hutumia irizi Na mizizi mashehe hutumia kurani pia wakristo ni Freemason mfano papa wenu pia ukifa utaona kaburini

  • @MombasaKwetu-ft9ky
    @MombasaKwetu-ft9ky3 ай бұрын

    Nashukuru mungu Kwa kunijalia kuzaliwa muislam 🙏

  • @user-ly8sz7qv6i
    @user-ly8sz7qv6i4 ай бұрын

    Am proud to be a Muslim

  • @user-wf6lg2ol2k
    @user-wf6lg2ol2k3 ай бұрын

    Shukran Allah kwa kunipa Imani ya kua muislamu..Isha Allah Isha Allah Isha Allah ❤ uislamu

  • @samwelrobert9687

    @samwelrobert9687

    3 ай бұрын

    Umepotea

  • @HappyMunisi-ig6he

    @HappyMunisi-ig6he

    2 ай бұрын

    Nyie ndomnamuulizia punda😅😅😅kwani alikuwa punda wenu au

  • @evangelistusengimanaelie9589
    @evangelistusengimanaelie95893 ай бұрын

    Hallelujah Hallelujah bwana yesu asifiwe

  • @catherinekimonga5026
    @catherinekimonga50266 ай бұрын

    Msihukum , Nany Msije Mkahukumiwa🙏

  • @Delphinkakule
    @Delphinkakule29 күн бұрын

    I'm proud of you Ndacha

  • @eghteenauto3737
    @eghteenauto37376 ай бұрын

    Allahu akbar

  • @morachasammy7692
    @morachasammy76922 ай бұрын

    Nashukuru sana kusilimu ❤. Napenda dini ya yangu na nabii wangu Muhammad

  • @whitetigerprincy5882

    @whitetigerprincy5882

    2 ай бұрын

    Aliyempa unabii ni nani kaua watu wengi kisa wamfata yeye

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    20 күн бұрын

    Allah akudumishe kwenye uislam mpakasikuya mwisho. Nduguyangu katika iiman❤

  • @user-dg8eh5kr4e
    @user-dg8eh5kr4e3 ай бұрын

    Asante mazinge mungu akuweke🙏

  • @JAFAREDOKET
    @JAFAREDOKET2 ай бұрын

    Alhamdulillah Nashukuru Allah Kunijalia Uislamu

  • @user-xz2yp5uu1l
    @user-xz2yp5uu1l4 ай бұрын

    Mungu akufunike ndacha.watu waokoleowe

  • @GeoffreyShitandi

    @GeoffreyShitandi

    2 ай бұрын

    Ubarikiwe Ndacha

  • @ZahidahAli-ys1fg
    @ZahidahAli-ys1fg25 күн бұрын

    Nakukubali san doctor sule we mchungaji umechemsha hama din ww kuw mwisilim

  • @abdikarim324
    @abdikarim3246 ай бұрын

    LA ILAHA ILALAH,

  • @LovelyDandelion-wm8cp

    @LovelyDandelion-wm8cp

    5 ай бұрын

    Muhammad lasulilah❤Islam Allah atupe nguvu ya kuwaokoa wezetu naishaallah wawe kwenye kamba ilonyooka ❤muslim

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880Ай бұрын

    MWANZILISHI WA IMANI YA WAKRISTO NI YESU, YUKO HAI MPAKA LEOOOOO ELEWA APO WAISLAMU

  • @lupakisyomwasibata7062
    @lupakisyomwasibata7062Ай бұрын

    Ndacha Mungu ni mkuu anakupenda. Tulio ona mdaharo wote sule alipigika

  • @DavidAlexandre-ui4nw
    @DavidAlexandre-ui4nwАй бұрын

    Mungu awe nawe mtumishi wa Mungu,akufunuliye zaidi

  • @user-sv3em3hm8u
    @user-sv3em3hm8u4 ай бұрын

    Kweli kaka angu mungu atufishe tukiwa waslima

  • @cabylake2320
    @cabylake23206 ай бұрын

    Mashaallah mashaallah love Muslim ❤❤😊

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q5 ай бұрын

    Ndacha mungu akuifadhi uishi miaka mingi dunian awakuwez woteawo kazyao niuongo fitna majungu shirk

  • @user-rs8qg4ch8l

    @user-rs8qg4ch8l

    4 ай бұрын

    Umelewa lakin vizuri eti

  • @asiliTz23
    @asiliTz236 ай бұрын

    Jamani hebu kuweni watu wazima kwanini msifanye kama Elia yapigwe maombi ijulikane Mungu wa kweli ni yupi Mungu hatetewi anajitetea sasa nyinyi mnabishana tu na kubishana kwenu hakuna faida kwa watu kwasababu kila mtu anaona upande wake ni upo sahihi

  • @geofkabo7843

    @geofkabo7843

    5 ай бұрын

    Aminaa

  • @PetroPaul-fu8mp

    @PetroPaul-fu8mp

    5 ай бұрын

    Hapo umenena barikiwa sana

  • @goodluckkigwenenge8953

    @goodluckkigwenenge8953

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂👍

  • @timotheebwemere9960

    @timotheebwemere9960

    4 ай бұрын

    Hauja muona muoga ambaye anachungwa na security kwakuofiya mayisha yake

  • @kamandadubu2563

    @kamandadubu2563

    3 ай бұрын

    Wengine wanajua ipi dini ya kweli wanajipumbaza tu

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26105 ай бұрын

    ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR alhamdulilah kwakuwa mimi nimuislam

  • @GentiKiza-wv2eg
    @GentiKiza-wv2eg4 ай бұрын

    Ndacha Mungu akubariki sana mwalimu wangu

  • @johnsonbernald11
    @johnsonbernald113 ай бұрын

    Kwanza namshukuru mwenyezi kwa kunipa uhai hadi leo napia namshukuru baba yangu kwa kunishauli na kuniambia amini kilichondani ya moyo wangu, na nitakachoamini ndio dini yangu. Siangalii jina langu nililopewa na mwanadamu bali naheshimu imani yangu, katika maisha yangu yote nitaishi katika uislamu na sio dini nyingine,

  • @NANCYLAZARO-uc9fn
    @NANCYLAZARO-uc9fn5 ай бұрын

    MashAllah tabarakallah

  • @jamesmwalugha280
    @jamesmwalugha280Ай бұрын

    Jibu la Yesu kunukuu biblia ni kitabu Cha Mungu... Marko 7:13..

  • @user-bq4nl1xx8o
    @user-bq4nl1xx8o3 ай бұрын

    Mashallah hongera sana doctor sule wewe ni shujaa wa waislam nakukubali sana

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo18 күн бұрын

    Amina

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya33446 ай бұрын

    Ma sha Allah

  • @MtengelaMtengela
    @MtengelaMtengela2 күн бұрын

    asante kwa kutupa elimu ya kujua biblia na kuruan kipi sahihi

  • @saidam.k213
    @saidam.k21320 күн бұрын

    Alhamdulillah for being a muslim

  • @user-se8gx6er9p
    @user-se8gx6er9p2 ай бұрын

    Ndacha mungu akubaliki zidi kuafundisha manejo ya yesu

  • @CharlesDanielnyanda
    @CharlesDanielnyanda6 күн бұрын

    Mungu akubariki ndacha

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis11 күн бұрын

    Ndacha mungu akubaliki sana

  • @user-uo8ut8fv6i
    @user-uo8ut8fv6i2 ай бұрын

    Munguakubariki ndachi kwakuwaerewesha waisiram

  • @leilasaid3623
    @leilasaid36234 ай бұрын

    Alah awapeni mri mregu viongozi wetu wa kiislamu

  • @MtengelaMtengela
    @MtengelaMtengela2 күн бұрын

    Ndacha unanijua kweli na hiyo kweli ipo ndani ya biblia mungu akubaliki

  • @user-wg2ve9cz5z
    @user-wg2ve9cz5z4 ай бұрын

    Allihamdulila neemati Islam Tupemwisho mwema waisilam wote dunian amiin

  • @user-pv2qn8qh9w
    @user-pv2qn8qh9w4 күн бұрын

    Alhamdhulillah kwa kuzaliwa muislam

  • @EspoirNshokano
    @EspoirNshokano5 ай бұрын

    Kuacha ushabiki Ndacha ana hoja nzito kwa waislamu hata vichwa vinawauma. Hata majibu ya waislamu inaonyesha kwamba hoja ni nzito

  • @goodluckkigwenenge8953

    @goodluckkigwenenge8953

    5 ай бұрын

    ❤❤❤❤ hata mimi naguswa sana na huyo ndach anajua sana

  • @joetheone3354

    @joetheone3354

    2 ай бұрын

    Hawana hoja wanaongea ushabiki😂😂 wameulizwa thibitisha Quran kama ni kitabu sahihi Cha Mungu bila kutumia Quran wamechemka😂😂

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880Ай бұрын

    I LOVING JESUS

  • @JosephWotenya
    @JosephWotenya10 күн бұрын

    Ndacha mungu anakubariki sana

  • @abdikarim324
    @abdikarim3246 ай бұрын

    Allah Akbar

  • @bakarimwaguluwe-yh2dn
    @bakarimwaguluwe-yh2dn3 ай бұрын

    Doctor Sule! MashaAllah

  • @user-li2ei8md6l
    @user-li2ei8md6l6 ай бұрын

    Du we shekh Allah akujahalie mwish mwem

  • @BlandinaadrinoEduadr
    @BlandinaadrinoEduadr11 күн бұрын

    All in all mungu awabariki sanaa lakini mdahalo wenu utaibua vitaaaa

  • @richardngethe9131
    @richardngethe91312 ай бұрын

    Uisilamu ni dini ya kishetani kama alivyo eleza vizuri ndacha.mungu akubariki sana.

  • @user-lo8zr4fn9i
    @user-lo8zr4fn9i4 ай бұрын

    Mashallah Allah awaongoze nami aniongoze katka njia iliyonyooka

Келесі