NAWASHANGAA HAWA WAKRISTO ETI YESU NI MUNGU UCHAMUNGU WANAUTOA WAPI | USTAZ MAZINGE NA DR SULE
#AdilTV • NAWASHANGAA HAWA WAKRI...
Жүктеу.....
Пікірлер: 190
@user-sp6gb6mf5y4 ай бұрын
Takbiriiiiiiiiiiii Allah Akibar
@johannesmusa13934 ай бұрын
Am great full to heir your knowledgeable of debating, Godless you in Jesus Name Anen!!
@husseinibrahim5438 Жыл бұрын
Sheikh Uthman Mazinge May ALLAH Protect You from evil eye ALLAHUMMA AMEEN
@KhadijaMohamed-mc7hs Жыл бұрын
Yani ukiwa kafiri hata akili inazibwa kabisa Yani huyu mchungaji anasema Aya inasema waambie Mimi ni mtu kama nyinyi ameshindwa kuelewa kua jibril anaishusha Quran inayo Toka Kwa Allah anashushiwa mtume Muhammad s.a.w anaambiwa mtume awaambie kua yeye mtume ni mtu kama wao Kwa hivo anachowaambia anaambiwa na Allah awaambie na wakifate kama anavokifata yeye binadamu kama nyinyi
@ashirafumsafiri3615 Жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu shehk Habib mazinge
@ameldakavishe4892 Жыл бұрын
Nawambieni wakristo waisilam acheni siasa mungu yupo
@munawwarbashir2680
Жыл бұрын
Mungu yupo ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa
@HabeebiHabeebi-rr6rk3 күн бұрын
Waislamu tunamkubali yesu km Nabii wengine..
@georgechiwango7381 Жыл бұрын
Fainali ni Yesu atakakapo rudi yeye atajisemea mwenyewe.
@najimsuleiman3690
Жыл бұрын
Sasa mbona ewe wamsemea.
@ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын
Am tz🇹🇿TAKBIR ALLAH AKBAR tuashie MAZINGE wetu kila mmoja na kabir lake alikushika mkono muingie wrote moyoni 🤐ALLAH YAALAM
@olaislukumay2208Ай бұрын
Yesu Ni Mungu hilo halina ubishi
@user-ef9kv6io6j3 ай бұрын
Huyo yesu hana uungu wowote
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Umri wa Ukristu ni 2023. Haujawahi kushindwa,ila umeshinda na unaendelea kushindwa katika mengi. * Yesu ni Mkuu kuliko manabii wote, Yesu ni Mtu na ni Mungu pia. Yesu kuhusu kusema Mungu,soma Yohana 14:1-11
@mathayomedia2090 Жыл бұрын
Kusamehe ni sifa ya Mungu tu. Mwanadamu husamehe kosa na sio viñgiñevyo!
@RehemaSaidi-ve1ib3 ай бұрын
Mungu yupo anatosha ndo nnamuamin yote atayarekebisha itafika subirini.Mazinge wasikukaushe koo hao waloumbika vichwa koko hawanyooki hata kwa mboko
@suleimantsanje2939 Жыл бұрын
yesu sio Mungu bana munawazimu nyinyi aki
@khadijakayuzi8471 Жыл бұрын
Takbiriiiiiiiiiiiiii
@user-sp6gb6mf5y
4 ай бұрын
Takbiriiiiiiii Allah Akibar
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Jiulize Kwa Nini kalenda inayoendelea ni ya 2023?. Majibu mnayo ila unafurahisha henge Yesu ni Mungu soma Yoh.14.
@mohralijuma3040 Жыл бұрын
Allah Tabaaraka Wataala kashasema kuwa ndani ya nyoyo zao muna kutu na Allah atawazidishia maradhi ndio kama hawa makafiri wanaopinga ukweli na hawa wanao andika comment za upingaji haki kutoka kwa Allah (S. W)
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Ukisikia kaweka mguu maana yake ni kizuizi na kuweka mkono maana yake ni msaada ndio maana watu wanasema nilikuwa nishafanikiwa lakini fulani ametia mguu mana amezuia kiswahili kinawenyewe
@mathayomedia2090 Жыл бұрын
Sababu nyingine Yesu alisamehe dhambi moja kwa moja eg: utakachokuwa nami pepon(mnyanga'nyi anambiwa
@evakssegen7526 Жыл бұрын
WEWE NI MSALITI SAAANA MJINGA WEWE MTUKANE SANA YESU LAKINI CHA MOTO UTAKIONA
@user-us1cn9wi7s
3 ай бұрын
😂
@user-fe1ny4qc7r8 ай бұрын
Wacristo shida iko wap yesu ni mungu kwel jmn hata hamfikirii jmn
@ramadzuwa9507 Жыл бұрын
Waambie ukwel ustadh
@joachim5650 Жыл бұрын
Mazinge awe anasoma biblia vizuri asi kate maneno ya biblia
@SalmaMohamed-ck3og Жыл бұрын
Allahu Akbar
@donclassicMOZ Жыл бұрын
Allah karim
@johnbosco290110 ай бұрын
Sura za mashee azina nuru
@sadan-cf3nv Жыл бұрын
Aslm alkm mashaallah mashaallah mazinge Allah akubariki na akujalie umri wakristo kama hao ni wale wale pigwa muhuri laanatullah
@jacques9499 Жыл бұрын
Nina washukuru ninyi wote upande wote miwili kua sababu mwanzo mungu alianza ku umba kilakitu katika roho mtakatifu kwasababu yeye peke yake ni mtakatifu na hanakunja kuwokowa waulimwengu wote katika roho ndani ya Christo. Yesu mwenyezi mungu Tu atche maneno ya mazehebu bila roho mtakatifu akuna mwana damu ata elewa neno la Mungu Amen
@NimoJama-iw6tg6 ай бұрын
My brother don't waste your breath
@user-io8hn1jb4d3 ай бұрын
Kwanza Neno Mungu hujui maana yake nini, mazingaombwe msakatonge mzee wa kiki 😂
@KarimMingwalu10 ай бұрын
Takbir
@lungusii Жыл бұрын
WAJRUSTO NNATIA AIBU NA GURUMA YAANI MNAZOMEA TUU BILA POINTI
@bennymochiwa4800 Жыл бұрын
Wakrsto wamekosa hoja kbs
@shukulutumaini Жыл бұрын
Lait mngekuwa na akili ya kujua kuwa dunia IPO mwisho msingefanya ujinga huo
@markomargwe3923 Жыл бұрын
Wakristo tuwe makini mpinga kristo yupo kazini.
@KadirMapande10 ай бұрын
Awa makafiri ilikua ni wa kuchinjwatu mana wamewekwa vizibo
@pungopungo411 Жыл бұрын
Tuachieni Yesu kristo. Hebu tulete hoja ya mashetani na uchawi
@najryaautbya2774 Жыл бұрын
Asanteni.sana
@pungopungo411
Жыл бұрын
Kama yesu sio mungu kinachowaumiza ninini mbona nyinyi washali sana. Hatutaki majini. Yanawatia umaskini. Hadi mnakaa chini viti hamtaki.
@pungopungo411
Жыл бұрын
Nani kakwambia yesu ni mungu?mmengangana hata akiwa mungu au sio mungu kinawakera nini?hebu kawaulizeni wahindi kua ngombe ni mungu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Hiyo mijini yenu imezaliwa na nani ?hebu siku moja lijadiliwe hilo .tumuache yesu mkombozi. Kwetu yesu kristo ni hakimu na nguvu za mungu. Ndio maana twampenda. Acheni wivu. Mlango uko wazi. Karibuuu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Eti nawashangaa wakriso hata sisi tunawashangaa mnavyofuga mijini. Hadi huruma sio mshangao tu
@frankjohn8706
Жыл бұрын
HAKUNA MTU ANAEPAMBANA NA KISICHO KITU. KAMA ISINGEKUA WALA PASINGEBISHIWA. HABARI ZA YESU NI HABARI ZA UFALMU WA MUNGU ALIEMKUU MUUMBA NYOTE AJUAE LUGHA ZOTE HASHINDWI LOLOTE NA HANA UTAIFA WALA LUGHA MOJA TU.
@suleimanmrita19929 ай бұрын
wee pasta acha kudanganya watu na kuongea uwongo uislam ni dini ya haki na kweli ukiristo sio dini
@msellemkassim2515 Жыл бұрын
Luke 2-21 kutahiriwa yesu
@costacongo7131 Жыл бұрын
Wwe ni comed
@zulficarbacarsuale6877 Жыл бұрын
Mashallah
@zuhraajafar
11 ай бұрын
Allaah akibr kwel wakiriso hawaelew wanachokisoma
@halimaa9367 Жыл бұрын
Subhanalha Alha nimtu sio kweli hayo
@nalingarowl7048
Жыл бұрын
2.4 bilion.idadi ya Wakristo
@mahadboy5124 Жыл бұрын
Kisiwe kitabu cha mungu hlf ukute maneno ya mungu kwaio aloandika nan wa kiristo akili 0
@brownmtofole Жыл бұрын
Subirieni siku ya khiama mtaona ni nani atatoa hukumu
@Alislamre
Жыл бұрын
Yeah ndio maana Allah akaweka siku ya qiamah kusudi ila angalieni Sanaa mnatutesa waislam ila kila kitu kinamwishoo na mwisho wake haupo mbali mnatushingizia kila ubaya ili mpate ukubwa wa dunia ila naona karibuni tuu mtaona wenyewe
@faustinesamani6359 Жыл бұрын
Yaani hawa wote wanaojadili imani yetu wakristo ni kundi ambalo ni familia yashetani kwa vile hawana imani na dini yoyote vinginevyo wangejadili imani yao ni washenzi tu.
@Alislamre
Жыл бұрын
Wait subiri utajuwa ukishafunikwa na udongo ndio utajuwa mungu sahihi na yupi ila nakusihi tafuta research ufanye maana hakuna sehem yesu alisema yy ni mungu isipokuwa maneno yenu mlioandika nyinyi wenyewe
@jumarobertonyancha8605
Жыл бұрын
Wewe kichwa machi
@msellemkassim2515 Жыл бұрын
Quren 5-85 wakristo wanijuwa haki hufuata.
@loner_wolf Жыл бұрын
Hilo andiko la mathayo 22:32 pastor unadanganya umma, jaribu kusoma 22:29-22:32 kama ulivyosema ndio utagundua yesu alikuwa anamnukuu mungu, sio kwamba yeye ni mungu..... Kweli sisi wakristo hatuna hoja ya kubishana na ukweli.
@SaidKhamis-up4np
Жыл бұрын
Kweli kijanawangu na nakusihi ufanye utafiti kwa kukaa na kisoma qur ani na bibilia bila kuegemea upande wowote ili upate ukweli na ufuate usifuate mkumbo na kukaririshwa baadhi ya sehemu za maandiko ila kipende chenye ukweli kikafichwa
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
UBISHI WA.NIMI??? YESU AMEZALIWA NA MWANAMKE.
@msellemkassim2515 Жыл бұрын
Titos 2-13 Paul asema jesus ni mungu.
@arafatali2796
Жыл бұрын
Ni titos na paula ndo kasem yesu mwenyewe hajasema
@athumanmagomba5930 Жыл бұрын
Endeleeni kumziaki yatawakuta ya brazili
@user-rt5vq5vc3k10 ай бұрын
Njoon kwenye Uislamu ndio din ya hakiiii
@UssenebacarBacarassane2 ай бұрын
4:12
@rehemakudra868 Жыл бұрын
Hapo anamajini kibao
@yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын
Uislamu umeanzishwa na Mtume Muhammad.....ila Ukristo umeanzishwa na Mwenyezi Mungu ila akaja Duniani kwa mfano wa Binadamu kwaajili ya kuukomboa Ulimwengu Mzima
@kelvinkabuagi7954
Жыл бұрын
Andiko unalo
@madhuru2554
Жыл бұрын
Ukristo si dini bali ni jina yohana 4:21
@Osamaally
4 ай бұрын
Tupe saluki kuwa ukrisko ni dini ya mungu
@oredidunia120 Жыл бұрын
Mzee Kabunda Yuko wapi mbona si muoni
@shukulutumaini Жыл бұрын
Wew shekhe huna akil fanya kaz ya MUNGU na sio kiwaona wenzio hawafai hujielewi kabisaaaaaaaa waabudu mapepo hamna hata MUNGU hamumujui jielewen achen ujinga wa kubishania din mtafte MUNGU
@user-po1qk1jf7v2 ай бұрын
Mshamba mkubwa unaacha kuwahubiria mashoga wengi vijana wa kisiram ivi unajisikiaje na nawaamini wako hao
@KB-IbnSwahib10 Жыл бұрын
Huyu mchungaji mbona kajibu kijanjajanja tu hajielew
@officialsaddmfalme5381 Жыл бұрын
14/11/2022
@edwinnzalanga Жыл бұрын
Acha uongo
@sululuzungu9587 Жыл бұрын
iv nyie wakristo mna akili nyie daaa🤣🤣🤣
@mathayomedia2090 Жыл бұрын
Sina 3:13
@yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын
Waislaamu huwa tunawaelimisha sn kila Siku kuwa Uislamu Sio Dini Sahihi ya Mwenyezi Mungu...ila Ukristo na Uyahudi tu ndio Dini 2 Pekee za Mwenyezi Mungu
@jamilarahj1593
Жыл бұрын
👅👅👃🖕
@ipyanawatson4222 Жыл бұрын
YESU MWANA WA MUNGU Elewa kiswahili je? kama wewe mtu.mwanao atakuwa nani mnyama au mtu?
@prosperkonokono9385 Жыл бұрын
ilindeni imani yenu kuliko vyoote mlindavyo
@issakongolo2832 Жыл бұрын
Mazinge 😂😂😂
@faustinesamani6359 Жыл бұрын
Sisi wakrito tunaamini hivyo wewe ibilisi usieamini inakuuma nini? Eti mtume atusemee atatusemea nini na hali kafa?
@kassimrajabu56
Жыл бұрын
Ukapimwe mkojo,Suleiman yuko hai?Adam yuko hai?
@ramadhanmshakula459
Жыл бұрын
Aki wakristo mko na shida wallah
@tituscheketa497 Жыл бұрын
Naona umekosaka kazi sasa mazinge
@eliyamgalihya7704
Жыл бұрын
huyo anawapotosha watu wote waende Ahera kwani hujui nia ya mbinguni ni nyembamba? hebu angalia muislamu mwenzao alivyowaambia ISSA NI ROHO YA ALLAH KWA MWISLAMU MCHA MUNGU NA MWENYE ELIMU ATAELEWA NA ANAYEIJUA QURAN JE ROHO YA ALLAH NI YA MILELE? QURAN: (Al-Anbiya 21:19) Inasema Mkumbukeni mwanamke aliyetunza ubikira wake. Tulimpulizia ndani yake Roho yetu, na kumfanya yeye na mwanawe kuwa ishara kwa wanadamu wote. QURAN (Al-Tahrim 66:12) imeandikwa: Na Allah amemtoa kama mfano,Mariamu,binti wa Imran,ambaye alitunza ubikira wake na ambaye ndani yake tulimpulizia Roho yetu;ambaye aliyaamini maneno ya Bwana na maandiko yake na alikua kweli Mcha Mungu Vilevile tunaona katika Sura ya ALnisa 4:171 Quran inasema: Masih, Isa mwana wa Mariam, alikua ni Mtume wa Allah na neno lake alilolirusha (alilolituma) kwa Mariamu ,Roho kutoka kwake ,na si zaidi ya hapo (Al-nisa4:171)Tunachojifunza hapa ni kuwa,kumbe kilichoingia tumboni mwa Mariamu ni Roho ya Allah. Katika Al-Anbiya 21:91 na Al-Tahrim 66:12 tumeona Quran ikisema wazi kabisa kuwa Allah anamwita Isa Roho yetu. SASA MWISLAM PINGA HAPO HIYO QURAN NA ENDELEA KUMDHIAKI ISA NA MARIAMU AU TATIZO HUWA NI KIARABU?
@atifdullar6332 Жыл бұрын
Kama mtu unasoma vitabu kwa usahihi utakua haki ipo wap
@lushidulajidanda2321 Жыл бұрын
Wewe Mazinge niuongo wewe nimwafilika utabaki kuwa mwafirika
@njiaya6833 Жыл бұрын
acha kuwapotosha watu wewe mazinge mwenye akili ahitaji maelezo mengi kya hivyo sikiliza huyu ufunguke akili yako kzread.info/dash/bejne/n6qo1LCFdpi_oZM.html
@esthersawiga99796 ай бұрын
WAZEE WA KUEDITI VICHWA VYA HABARI NA KUKATA VIDEO KULINGANA NA MATAMANIO YENU JIANDAENI KUINGIA MOTONI
@glaury9938 Жыл бұрын
Nakuombea yesu akuokoe ili tuone utavyolia wewe ni paulo aliekuwa anachinja wakristo alipookolewa akamsifu nakujua kweli halafu mbona mzee sana tofauti na miaka yko
@msellemkassim2515 Жыл бұрын
Yohana 8-40 yesu asema mimi ni mtu
@athumanmagomba5930
Жыл бұрын
Ulijua ni mzim
@user-io8hn1jb4d
3 ай бұрын
Sasa ila andiko gani 😂
@johnbosco290110 ай бұрын
Majini yanawakausha
@HabeebiHabeebi-rr6rk
3 күн бұрын
Tuki ongoka sote ulimwenguni....nani ataingia jehanamu?hiyo ni kazi ya ibilisi anae washikilia team yake ili asiwe pekee..
@nodisc5534 Жыл бұрын
Unadhalilisha Dini kiukweli😊
@user-jj7qc1we1q
11 ай бұрын
Kivipi,dini inadhalilisha?
@rehemakudra868 Жыл бұрын
Ndio soma bilbia utaona
@jamalsamma3457 Жыл бұрын
ya siku nyingi sana hii nilikuwa naitafuta kweli🤣🤣🤣😂
@davidkmusictv571 Жыл бұрын
Wavinga kristo mnadhiaki hila siku ya kiama mjue kila ngoti litapingwa na kila ulimi utakiri yesu ni mungu
@nassorsharifu9837
Жыл бұрын
Bado hujatumia akili yako vyema,
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Baki n upumbav wko
@habibjuma842
Жыл бұрын
@@nassorsharifu9837 ok
@mahadboy5124 Жыл бұрын
Yesu ni mungu wa Ibrahim na Yakubu na isihaka wakat hao wamekuepo kabila ya yesu
@jeanberchmansngendakuriyo28148 ай бұрын
Waislam, ni wapi ktk Neno la Mungu ambapo Yesu kasema “Mimi si Mungu”?
@AbukariBilali
6 ай бұрын
Luke 18:18
@majidsudi2324
13 күн бұрын
Yohana 8:40 lakini Sasa mnataka kuniuwa mm mtu niletumwa ya kweli 😂
@wanyooshetv9987 Жыл бұрын
Makafiri walikipata cha Moto 😁
@johnsulle4679
Жыл бұрын
Uyu mazinge c alifungwa jela kwasab akili ndogo ndomana kakutana na majinga wenzake kupiga kampeni za watu flani anafikir atatingisha kweli imani za wakristo c tumekomaa kiimani jomba na imani cyo izo kampeni zako kama unatafuta kiki nakufananisha na akina Umber ruty
@protasmathias506411 ай бұрын
huyu jamaa kazi yake ni kukosoa tu, hana kazi iingine kwa maneno yako inaonekana umeshindwa wew kufanya, acha wachungaji wafanye kazi za Mungu wamjue yesu wa kwel, huon hata aibu kujiabisha kama umeshindwa, ambao hawajui watakuunga mkono.
@johnsulle4679 Жыл бұрын
Uyu mazinge alifungwa kwasabu akili ndogo sana utawadanganya wasio na akili kama za kwako ukitaka Elim ya biblia nipigie cm ya mkononi usipige kampeni za akina mdee hapo hufundishi ila ni kama unapiga kelele za kampeni
@rehmathatim6715
Жыл бұрын
mungu hawezi kua mwanaadamu na hazai vipi mungubabebwe na mwanaadamu
@raphaeljulo3826 Жыл бұрын
Fuata dini yako wacha kudharau dini zingine
@ibraheemqassim3018 Жыл бұрын
Mwenyekit ndugu zake mafir wanatoka nje ya mada anakausha ila hatak mazinge afanye ivyo
@pungopungo411
Жыл бұрын
Siafadhali mumkashifu huyo wakwenu ana baba na mama huyo unaemkashifuunamjua babake. au mnatafuta majanga . Kamulizeni paulo aliekua akiitwa sauli. Yeye hakua akikashifu tu alikua akiua mitume kilichompata anajua yeye hadi kujikojolea.
@pungopungo411
Жыл бұрын
Mnatushawishi tuje huko nunueni viti kwanza hatukai chini kama kuku sisi .
@pungopungo411
Жыл бұрын
Uzushi uongo. Wivu.fujo.ushawishi.ulianza bado dunia ina watu 4.sebuse sasa tumeshonana hahaha
@wanyooshetv9987
Жыл бұрын
@@pungopungo411 hukai chini ila utafukiwa chini silimu kabla ya umauti kukufika umuabudu ALLAAH aliyekuumba
@SaidKhamis-up4np
Жыл бұрын
@@pungopungo411 vitu ni kwaajili ya sehemu ya kufanya biashara na sio kwaajili ya ibada
@rebeccaamadi Жыл бұрын
😂😂😂😂😂injili iendelee mbele
@zuhraajafar
11 ай бұрын
😂😂😂😂🤣wakirist munashida san
@rebeccaamadi
11 ай бұрын
@@zuhraajafar Shida ipo ila tungojee siku ya kihama siku ambayo kila mmoja ataambatana na matendo yake
@georgechiwango7381 Жыл бұрын
Jamani someni Quran sura 2 aya 97 na 98 mjue kama Quran ni neno la Mungu au la.
@unjuinkuganda1991 Жыл бұрын
WOTE HAMNA KAZI
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Kafir mkuu ukifa motini ww
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Au unaish milele hufi ww inaonesh at akil huna
@davis9951 Жыл бұрын
Tunasemewa vipi na Mohamed ambaye Ako kaburini hivyo si msukule
@ilhammaulid892
Жыл бұрын
Kama huelewi usiitukane mitume
@isayajoseph8344 Жыл бұрын
w aafrika hatujitambui din hiz za mchongotu zinawapotezea muda
@adanabdi3656
Жыл бұрын
Masha Allah sheikh wetu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Huyo mazinge anapata wapi pesa za kuendesha maisha yake? Sababu kila hamkapo anawaza kwenda kumkashifu Yesu kristo .iko siku utakutana nae .inaonyesha unampenda sana. Na yeye anakupenda usijali.
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Din mchong n iy yko ww il y kiislam co y mchong
@johnsulle4679 Жыл бұрын
Jaman hawa jamaa wanaopotosha imani za watu c nikutane nao cku moja hawana akili wamebakia kukarir hii tu wakristo hatusemi yesu ni mungu ambaye una akili punjo kama hawa jamaa masheke Bali tunasema yesu ni mwana wa mungu ambaye alitoa uhai wake kwa ajili yetu ni pamoja na nyie mbumbumbu mnaopotoshwa na hao wanajiita masheke
@kadzokadzo2894 Жыл бұрын
Acheni kufata wakristo jameni fateni Dini yenu
@zainabrashid385 Жыл бұрын
Kama yesu ndo mungu je Adam at ataitwa nan? Na kabla ya yesu kuzaliwa baba yetu Adam na Hawa waliumbwa na nan maana yesu alokuwa hayupo Wala mama yake alokuwa hayupo dunia aliiumba nani
Пікірлер: 190
Takbiriiiiiiiiiiii Allah Akibar
Am great full to heir your knowledgeable of debating, Godless you in Jesus Name Anen!!
Sheikh Uthman Mazinge May ALLAH Protect You from evil eye ALLAHUMMA AMEEN
Yani ukiwa kafiri hata akili inazibwa kabisa Yani huyu mchungaji anasema Aya inasema waambie Mimi ni mtu kama nyinyi ameshindwa kuelewa kua jibril anaishusha Quran inayo Toka Kwa Allah anashushiwa mtume Muhammad s.a.w anaambiwa mtume awaambie kua yeye mtume ni mtu kama wao Kwa hivo anachowaambia anaambiwa na Allah awaambie na wakifate kama anavokifata yeye binadamu kama nyinyi
Mungu akupe umri mrefu shehk Habib mazinge
Nawambieni wakristo waisilam acheni siasa mungu yupo
@munawwarbashir2680
Жыл бұрын
Mungu yupo ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa
Waislamu tunamkubali yesu km Nabii wengine..
Fainali ni Yesu atakakapo rudi yeye atajisemea mwenyewe.
@najimsuleiman3690
Жыл бұрын
Sasa mbona ewe wamsemea.
Am tz🇹🇿TAKBIR ALLAH AKBAR tuashie MAZINGE wetu kila mmoja na kabir lake alikushika mkono muingie wrote moyoni 🤐ALLAH YAALAM
Yesu Ni Mungu hilo halina ubishi
Huyo yesu hana uungu wowote
Umri wa Ukristu ni 2023. Haujawahi kushindwa,ila umeshinda na unaendelea kushindwa katika mengi. * Yesu ni Mkuu kuliko manabii wote, Yesu ni Mtu na ni Mungu pia. Yesu kuhusu kusema Mungu,soma Yohana 14:1-11
Kusamehe ni sifa ya Mungu tu. Mwanadamu husamehe kosa na sio viñgiñevyo!
Mungu yupo anatosha ndo nnamuamin yote atayarekebisha itafika subirini.Mazinge wasikukaushe koo hao waloumbika vichwa koko hawanyooki hata kwa mboko
yesu sio Mungu bana munawazimu nyinyi aki
Takbiriiiiiiiiiiiiii
@user-sp6gb6mf5y
4 ай бұрын
Takbiriiiiiiii Allah Akibar
Jiulize Kwa Nini kalenda inayoendelea ni ya 2023?. Majibu mnayo ila unafurahisha henge Yesu ni Mungu soma Yoh.14.
Allah Tabaaraka Wataala kashasema kuwa ndani ya nyoyo zao muna kutu na Allah atawazidishia maradhi ndio kama hawa makafiri wanaopinga ukweli na hawa wanao andika comment za upingaji haki kutoka kwa Allah (S. W)
Ukisikia kaweka mguu maana yake ni kizuizi na kuweka mkono maana yake ni msaada ndio maana watu wanasema nilikuwa nishafanikiwa lakini fulani ametia mguu mana amezuia kiswahili kinawenyewe
Sababu nyingine Yesu alisamehe dhambi moja kwa moja eg: utakachokuwa nami pepon(mnyanga'nyi anambiwa
WEWE NI MSALITI SAAANA MJINGA WEWE MTUKANE SANA YESU LAKINI CHA MOTO UTAKIONA
@user-us1cn9wi7s
3 ай бұрын
😂
Wacristo shida iko wap yesu ni mungu kwel jmn hata hamfikirii jmn
Waambie ukwel ustadh
Mazinge awe anasoma biblia vizuri asi kate maneno ya biblia
Allahu Akbar
Allah karim
Sura za mashee azina nuru
Aslm alkm mashaallah mashaallah mazinge Allah akubariki na akujalie umri wakristo kama hao ni wale wale pigwa muhuri laanatullah
Nina washukuru ninyi wote upande wote miwili kua sababu mwanzo mungu alianza ku umba kilakitu katika roho mtakatifu kwasababu yeye peke yake ni mtakatifu na hanakunja kuwokowa waulimwengu wote katika roho ndani ya Christo. Yesu mwenyezi mungu Tu atche maneno ya mazehebu bila roho mtakatifu akuna mwana damu ata elewa neno la Mungu Amen
My brother don't waste your breath
Kwanza Neno Mungu hujui maana yake nini, mazingaombwe msakatonge mzee wa kiki 😂
Takbir
WAJRUSTO NNATIA AIBU NA GURUMA YAANI MNAZOMEA TUU BILA POINTI
Wakrsto wamekosa hoja kbs
Lait mngekuwa na akili ya kujua kuwa dunia IPO mwisho msingefanya ujinga huo
Wakristo tuwe makini mpinga kristo yupo kazini.
Awa makafiri ilikua ni wa kuchinjwatu mana wamewekwa vizibo
Tuachieni Yesu kristo. Hebu tulete hoja ya mashetani na uchawi
Asanteni.sana
@pungopungo411
Жыл бұрын
Kama yesu sio mungu kinachowaumiza ninini mbona nyinyi washali sana. Hatutaki majini. Yanawatia umaskini. Hadi mnakaa chini viti hamtaki.
@pungopungo411
Жыл бұрын
Nani kakwambia yesu ni mungu?mmengangana hata akiwa mungu au sio mungu kinawakera nini?hebu kawaulizeni wahindi kua ngombe ni mungu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Hiyo mijini yenu imezaliwa na nani ?hebu siku moja lijadiliwe hilo .tumuache yesu mkombozi. Kwetu yesu kristo ni hakimu na nguvu za mungu. Ndio maana twampenda. Acheni wivu. Mlango uko wazi. Karibuuu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Eti nawashangaa wakriso hata sisi tunawashangaa mnavyofuga mijini. Hadi huruma sio mshangao tu
@frankjohn8706
Жыл бұрын
HAKUNA MTU ANAEPAMBANA NA KISICHO KITU. KAMA ISINGEKUA WALA PASINGEBISHIWA. HABARI ZA YESU NI HABARI ZA UFALMU WA MUNGU ALIEMKUU MUUMBA NYOTE AJUAE LUGHA ZOTE HASHINDWI LOLOTE NA HANA UTAIFA WALA LUGHA MOJA TU.
wee pasta acha kudanganya watu na kuongea uwongo uislam ni dini ya haki na kweli ukiristo sio dini
Luke 2-21 kutahiriwa yesu
Wwe ni comed
Mashallah
@zuhraajafar
11 ай бұрын
Allaah akibr kwel wakiriso hawaelew wanachokisoma
Subhanalha Alha nimtu sio kweli hayo
@nalingarowl7048
Жыл бұрын
2.4 bilion.idadi ya Wakristo
Kisiwe kitabu cha mungu hlf ukute maneno ya mungu kwaio aloandika nan wa kiristo akili 0
Subirieni siku ya khiama mtaona ni nani atatoa hukumu
@Alislamre
Жыл бұрын
Yeah ndio maana Allah akaweka siku ya qiamah kusudi ila angalieni Sanaa mnatutesa waislam ila kila kitu kinamwishoo na mwisho wake haupo mbali mnatushingizia kila ubaya ili mpate ukubwa wa dunia ila naona karibuni tuu mtaona wenyewe
Yaani hawa wote wanaojadili imani yetu wakristo ni kundi ambalo ni familia yashetani kwa vile hawana imani na dini yoyote vinginevyo wangejadili imani yao ni washenzi tu.
@Alislamre
Жыл бұрын
Wait subiri utajuwa ukishafunikwa na udongo ndio utajuwa mungu sahihi na yupi ila nakusihi tafuta research ufanye maana hakuna sehem yesu alisema yy ni mungu isipokuwa maneno yenu mlioandika nyinyi wenyewe
@jumarobertonyancha8605
Жыл бұрын
Wewe kichwa machi
Quren 5-85 wakristo wanijuwa haki hufuata.
Hilo andiko la mathayo 22:32 pastor unadanganya umma, jaribu kusoma 22:29-22:32 kama ulivyosema ndio utagundua yesu alikuwa anamnukuu mungu, sio kwamba yeye ni mungu..... Kweli sisi wakristo hatuna hoja ya kubishana na ukweli.
@SaidKhamis-up4np
Жыл бұрын
Kweli kijanawangu na nakusihi ufanye utafiti kwa kukaa na kisoma qur ani na bibilia bila kuegemea upande wowote ili upate ukweli na ufuate usifuate mkumbo na kukaririshwa baadhi ya sehemu za maandiko ila kipende chenye ukweli kikafichwa
UBISHI WA.NIMI??? YESU AMEZALIWA NA MWANAMKE.
Titos 2-13 Paul asema jesus ni mungu.
@arafatali2796
Жыл бұрын
Ni titos na paula ndo kasem yesu mwenyewe hajasema
Endeleeni kumziaki yatawakuta ya brazili
Njoon kwenye Uislamu ndio din ya hakiiii
4:12
Hapo anamajini kibao
Uislamu umeanzishwa na Mtume Muhammad.....ila Ukristo umeanzishwa na Mwenyezi Mungu ila akaja Duniani kwa mfano wa Binadamu kwaajili ya kuukomboa Ulimwengu Mzima
@kelvinkabuagi7954
Жыл бұрын
Andiko unalo
@madhuru2554
Жыл бұрын
Ukristo si dini bali ni jina yohana 4:21
@Osamaally
4 ай бұрын
Tupe saluki kuwa ukrisko ni dini ya mungu
Mzee Kabunda Yuko wapi mbona si muoni
Wew shekhe huna akil fanya kaz ya MUNGU na sio kiwaona wenzio hawafai hujielewi kabisaaaaaaaa waabudu mapepo hamna hata MUNGU hamumujui jielewen achen ujinga wa kubishania din mtafte MUNGU
Mshamba mkubwa unaacha kuwahubiria mashoga wengi vijana wa kisiram ivi unajisikiaje na nawaamini wako hao
Huyu mchungaji mbona kajibu kijanjajanja tu hajielew
14/11/2022
Acha uongo
iv nyie wakristo mna akili nyie daaa🤣🤣🤣
Sina 3:13
Waislaamu huwa tunawaelimisha sn kila Siku kuwa Uislamu Sio Dini Sahihi ya Mwenyezi Mungu...ila Ukristo na Uyahudi tu ndio Dini 2 Pekee za Mwenyezi Mungu
@jamilarahj1593
Жыл бұрын
👅👅👃🖕
YESU MWANA WA MUNGU Elewa kiswahili je? kama wewe mtu.mwanao atakuwa nani mnyama au mtu?
ilindeni imani yenu kuliko vyoote mlindavyo
Mazinge 😂😂😂
Sisi wakrito tunaamini hivyo wewe ibilisi usieamini inakuuma nini? Eti mtume atusemee atatusemea nini na hali kafa?
@kassimrajabu56
Жыл бұрын
Ukapimwe mkojo,Suleiman yuko hai?Adam yuko hai?
@ramadhanmshakula459
Жыл бұрын
Aki wakristo mko na shida wallah
Naona umekosaka kazi sasa mazinge
@eliyamgalihya7704
Жыл бұрын
huyo anawapotosha watu wote waende Ahera kwani hujui nia ya mbinguni ni nyembamba? hebu angalia muislamu mwenzao alivyowaambia ISSA NI ROHO YA ALLAH KWA MWISLAMU MCHA MUNGU NA MWENYE ELIMU ATAELEWA NA ANAYEIJUA QURAN JE ROHO YA ALLAH NI YA MILELE? QURAN: (Al-Anbiya 21:19) Inasema Mkumbukeni mwanamke aliyetunza ubikira wake. Tulimpulizia ndani yake Roho yetu, na kumfanya yeye na mwanawe kuwa ishara kwa wanadamu wote. QURAN (Al-Tahrim 66:12) imeandikwa: Na Allah amemtoa kama mfano,Mariamu,binti wa Imran,ambaye alitunza ubikira wake na ambaye ndani yake tulimpulizia Roho yetu;ambaye aliyaamini maneno ya Bwana na maandiko yake na alikua kweli Mcha Mungu Vilevile tunaona katika Sura ya ALnisa 4:171 Quran inasema: Masih, Isa mwana wa Mariam, alikua ni Mtume wa Allah na neno lake alilolirusha (alilolituma) kwa Mariamu ,Roho kutoka kwake ,na si zaidi ya hapo (Al-nisa4:171)Tunachojifunza hapa ni kuwa,kumbe kilichoingia tumboni mwa Mariamu ni Roho ya Allah. Katika Al-Anbiya 21:91 na Al-Tahrim 66:12 tumeona Quran ikisema wazi kabisa kuwa Allah anamwita Isa Roho yetu. SASA MWISLAM PINGA HAPO HIYO QURAN NA ENDELEA KUMDHIAKI ISA NA MARIAMU AU TATIZO HUWA NI KIARABU?
Kama mtu unasoma vitabu kwa usahihi utakua haki ipo wap
Wewe Mazinge niuongo wewe nimwafilika utabaki kuwa mwafirika
acha kuwapotosha watu wewe mazinge mwenye akili ahitaji maelezo mengi kya hivyo sikiliza huyu ufunguke akili yako kzread.info/dash/bejne/n6qo1LCFdpi_oZM.html
WAZEE WA KUEDITI VICHWA VYA HABARI NA KUKATA VIDEO KULINGANA NA MATAMANIO YENU JIANDAENI KUINGIA MOTONI
Nakuombea yesu akuokoe ili tuone utavyolia wewe ni paulo aliekuwa anachinja wakristo alipookolewa akamsifu nakujua kweli halafu mbona mzee sana tofauti na miaka yko
Yohana 8-40 yesu asema mimi ni mtu
@athumanmagomba5930
Жыл бұрын
Ulijua ni mzim
@user-io8hn1jb4d
3 ай бұрын
Sasa ila andiko gani 😂
Majini yanawakausha
@HabeebiHabeebi-rr6rk
3 күн бұрын
Tuki ongoka sote ulimwenguni....nani ataingia jehanamu?hiyo ni kazi ya ibilisi anae washikilia team yake ili asiwe pekee..
Unadhalilisha Dini kiukweli😊
@user-jj7qc1we1q
11 ай бұрын
Kivipi,dini inadhalilisha?
Ndio soma bilbia utaona
ya siku nyingi sana hii nilikuwa naitafuta kweli🤣🤣🤣😂
Wavinga kristo mnadhiaki hila siku ya kiama mjue kila ngoti litapingwa na kila ulimi utakiri yesu ni mungu
@nassorsharifu9837
Жыл бұрын
Bado hujatumia akili yako vyema,
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Baki n upumbav wko
@habibjuma842
Жыл бұрын
@@nassorsharifu9837 ok
Yesu ni mungu wa Ibrahim na Yakubu na isihaka wakat hao wamekuepo kabila ya yesu
Waislam, ni wapi ktk Neno la Mungu ambapo Yesu kasema “Mimi si Mungu”?
@AbukariBilali
6 ай бұрын
Luke 18:18
@majidsudi2324
13 күн бұрын
Yohana 8:40 lakini Sasa mnataka kuniuwa mm mtu niletumwa ya kweli 😂
Makafiri walikipata cha Moto 😁
@johnsulle4679
Жыл бұрын
Uyu mazinge c alifungwa jela kwasab akili ndogo ndomana kakutana na majinga wenzake kupiga kampeni za watu flani anafikir atatingisha kweli imani za wakristo c tumekomaa kiimani jomba na imani cyo izo kampeni zako kama unatafuta kiki nakufananisha na akina Umber ruty
huyu jamaa kazi yake ni kukosoa tu, hana kazi iingine kwa maneno yako inaonekana umeshindwa wew kufanya, acha wachungaji wafanye kazi za Mungu wamjue yesu wa kwel, huon hata aibu kujiabisha kama umeshindwa, ambao hawajui watakuunga mkono.
Uyu mazinge alifungwa kwasabu akili ndogo sana utawadanganya wasio na akili kama za kwako ukitaka Elim ya biblia nipigie cm ya mkononi usipige kampeni za akina mdee hapo hufundishi ila ni kama unapiga kelele za kampeni
@rehmathatim6715
Жыл бұрын
mungu hawezi kua mwanaadamu na hazai vipi mungubabebwe na mwanaadamu
Fuata dini yako wacha kudharau dini zingine
Mwenyekit ndugu zake mafir wanatoka nje ya mada anakausha ila hatak mazinge afanye ivyo
@pungopungo411
Жыл бұрын
Siafadhali mumkashifu huyo wakwenu ana baba na mama huyo unaemkashifuunamjua babake. au mnatafuta majanga . Kamulizeni paulo aliekua akiitwa sauli. Yeye hakua akikashifu tu alikua akiua mitume kilichompata anajua yeye hadi kujikojolea.
@pungopungo411
Жыл бұрын
Mnatushawishi tuje huko nunueni viti kwanza hatukai chini kama kuku sisi .
@pungopungo411
Жыл бұрын
Uzushi uongo. Wivu.fujo.ushawishi.ulianza bado dunia ina watu 4.sebuse sasa tumeshonana hahaha
@wanyooshetv9987
Жыл бұрын
@@pungopungo411 hukai chini ila utafukiwa chini silimu kabla ya umauti kukufika umuabudu ALLAAH aliyekuumba
@SaidKhamis-up4np
Жыл бұрын
@@pungopungo411 vitu ni kwaajili ya sehemu ya kufanya biashara na sio kwaajili ya ibada
😂😂😂😂😂injili iendelee mbele
@zuhraajafar
11 ай бұрын
😂😂😂😂🤣wakirist munashida san
@rebeccaamadi
11 ай бұрын
@@zuhraajafar Shida ipo ila tungojee siku ya kihama siku ambayo kila mmoja ataambatana na matendo yake
Jamani someni Quran sura 2 aya 97 na 98 mjue kama Quran ni neno la Mungu au la.
WOTE HAMNA KAZI
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Kafir mkuu ukifa motini ww
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Au unaish milele hufi ww inaonesh at akil huna
Tunasemewa vipi na Mohamed ambaye Ako kaburini hivyo si msukule
@ilhammaulid892
Жыл бұрын
Kama huelewi usiitukane mitume
w aafrika hatujitambui din hiz za mchongotu zinawapotezea muda
@adanabdi3656
Жыл бұрын
Masha Allah sheikh wetu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Huyo mazinge anapata wapi pesa za kuendesha maisha yake? Sababu kila hamkapo anawaza kwenda kumkashifu Yesu kristo .iko siku utakutana nae .inaonyesha unampenda sana. Na yeye anakupenda usijali.
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Din mchong n iy yko ww il y kiislam co y mchong
Jaman hawa jamaa wanaopotosha imani za watu c nikutane nao cku moja hawana akili wamebakia kukarir hii tu wakristo hatusemi yesu ni mungu ambaye una akili punjo kama hawa jamaa masheke Bali tunasema yesu ni mwana wa mungu ambaye alitoa uhai wake kwa ajili yetu ni pamoja na nyie mbumbumbu mnaopotoshwa na hao wanajiita masheke
Acheni kufata wakristo jameni fateni Dini yenu
Kama yesu ndo mungu je Adam at ataitwa nan? Na kabla ya yesu kuzaliwa baba yetu Adam na Hawa waliumbwa na nan maana yesu alokuwa hayupo Wala mama yake alokuwa hayupo dunia aliiumba nani
@hanafanysociety7405
Жыл бұрын
Una akili ya mbele nakupataje?
@caringtonbarasa4501
Жыл бұрын
Hamjajibu jee Allah alitoa unyayo wake?
😁😁😁 wakristo wanalia lia tu humu kwenye comments
Mtume wenu mbn aja fufuka kwann mna abudu mfu
@SwediNurdini
Жыл бұрын
Waislamu hawaabudu mtume yeyote nawe umepumbaa utakuja kuchekwa
@athumanmagomba5930
Жыл бұрын
@@SwediNurdini uyo Muhammad ni nani
@SwediNurdini
Жыл бұрын
@@athumanmagomba5930 Muhammadi ni mtume wa mwenyezimungu na ni binadamu ndugu yangu
Mshenzi tu wewe hamna lolote na motoni utaingia na hiyo kanzu
@abubakarimussa9131
Жыл бұрын
Wewe ninani
@fatumamnyazilewa5466
Жыл бұрын
Hukumu haitoki kwa mwanadamu,ww ko na moto mpaka unahukumu motoni ataigia,jifunze na kama huna cha kujibu heri uangalie tu
@samwelndaki201
Жыл бұрын
Waislamu mmekosa kazi sababu mtume wenu hafai.ndio maana mnashambulia ukristo mti wenye matunda lazima upigwe mawe.
Endeleeni kuabudu majini itajulikana siku umauti itakapo kufika ukikutana nae uko unae mpinga