NAWASHANGAA HAWA WAKRISTO ETI YESU NI MUNGU UCHAMUNGU WANAUTOA WAPI | USTAZ MAZINGE NA DR SULE

#AdilTV
• NAWASHANGAA HAWA WAKRI...

Пікірлер: 190

  • @user-sp6gb6mf5y
    @user-sp6gb6mf5y4 ай бұрын

    Takbiriiiiiiiiiiii Allah Akibar

  • @johannesmusa1393
    @johannesmusa13934 ай бұрын

    Am great full to heir your knowledgeable of debating, Godless you in Jesus Name Anen!!

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 Жыл бұрын

    Sheikh Uthman Mazinge May ALLAH Protect You from evil eye ALLAHUMMA AMEEN

  • @KhadijaMohamed-mc7hs
    @KhadijaMohamed-mc7hs Жыл бұрын

    Yani ukiwa kafiri hata akili inazibwa kabisa Yani huyu mchungaji anasema Aya inasema waambie Mimi ni mtu kama nyinyi ameshindwa kuelewa kua jibril anaishusha Quran inayo Toka Kwa Allah anashushiwa mtume Muhammad s.a.w anaambiwa mtume awaambie kua yeye mtume ni mtu kama wao Kwa hivo anachowaambia anaambiwa na Allah awaambie na wakifate kama anavokifata yeye binadamu kama nyinyi

  • @ashirafumsafiri3615
    @ashirafumsafiri3615 Жыл бұрын

    Mungu akupe umri mrefu shehk Habib mazinge

  • @ameldakavishe4892
    @ameldakavishe4892 Жыл бұрын

    Nawambieni wakristo waisilam acheni siasa mungu yupo

  • @munawwarbashir2680

    @munawwarbashir2680

    Жыл бұрын

    Mungu yupo ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa

  • @HabeebiHabeebi-rr6rk
    @HabeebiHabeebi-rr6rk3 күн бұрын

    Waislamu tunamkubali yesu km Nabii wengine..

  • @georgechiwango7381
    @georgechiwango7381 Жыл бұрын

    Fainali ni Yesu atakakapo rudi yeye atajisemea mwenyewe.

  • @najimsuleiman3690

    @najimsuleiman3690

    Жыл бұрын

    Sasa mbona ewe wamsemea.

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын

    Am tz🇹🇿TAKBIR ALLAH AKBAR tuashie MAZINGE wetu kila mmoja na kabir lake alikushika mkono muingie wrote moyoni 🤐ALLAH YAALAM

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208Ай бұрын

    Yesu Ni Mungu hilo halina ubishi

  • @user-ef9kv6io6j
    @user-ef9kv6io6j3 ай бұрын

    Huyo yesu hana uungu wowote

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Umri wa Ukristu ni 2023. Haujawahi kushindwa,ila umeshinda na unaendelea kushindwa katika mengi. * Yesu ni Mkuu kuliko manabii wote, Yesu ni Mtu na ni Mungu pia. Yesu kuhusu kusema Mungu,soma Yohana 14:1-11

  • @mathayomedia2090
    @mathayomedia2090 Жыл бұрын

    Kusamehe ni sifa ya Mungu tu. Mwanadamu husamehe kosa na sio viñgiñevyo!

  • @RehemaSaidi-ve1ib
    @RehemaSaidi-ve1ib3 ай бұрын

    Mungu yupo anatosha ndo nnamuamin yote atayarekebisha itafika subirini.Mazinge wasikukaushe koo hao waloumbika vichwa koko hawanyooki hata kwa mboko

  • @suleimantsanje2939
    @suleimantsanje2939 Жыл бұрын

    yesu sio Mungu bana munawazimu nyinyi aki

  • @khadijakayuzi8471
    @khadijakayuzi8471 Жыл бұрын

    Takbiriiiiiiiiiiiiii

  • @user-sp6gb6mf5y

    @user-sp6gb6mf5y

    4 ай бұрын

    Takbiriiiiiiii Allah Akibar

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Jiulize Kwa Nini kalenda inayoendelea ni ya 2023?. Majibu mnayo ila unafurahisha henge Yesu ni Mungu soma Yoh.14.

  • @mohralijuma3040
    @mohralijuma3040 Жыл бұрын

    Allah Tabaaraka Wataala kashasema kuwa ndani ya nyoyo zao muna kutu na Allah atawazidishia maradhi ndio kama hawa makafiri wanaopinga ukweli na hawa wanao andika comment za upingaji haki kutoka kwa Allah (S. W)

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Жыл бұрын

    Ukisikia kaweka mguu maana yake ni kizuizi na kuweka mkono maana yake ni msaada ndio maana watu wanasema nilikuwa nishafanikiwa lakini fulani ametia mguu mana amezuia kiswahili kinawenyewe

  • @mathayomedia2090
    @mathayomedia2090 Жыл бұрын

    Sababu nyingine Yesu alisamehe dhambi moja kwa moja eg: utakachokuwa nami pepon(mnyanga'nyi anambiwa

  • @evakssegen7526
    @evakssegen7526 Жыл бұрын

    WEWE NI MSALITI SAAANA MJINGA WEWE MTUKANE SANA YESU LAKINI CHA MOTO UTAKIONA

  • @user-us1cn9wi7s

    @user-us1cn9wi7s

    3 ай бұрын

    😂

  • @user-fe1ny4qc7r
    @user-fe1ny4qc7r8 ай бұрын

    Wacristo shida iko wap yesu ni mungu kwel jmn hata hamfikirii jmn

  • @ramadzuwa9507
    @ramadzuwa9507 Жыл бұрын

    Waambie ukwel ustadh

  • @joachim5650
    @joachim5650 Жыл бұрын

    Mazinge awe anasoma biblia vizuri asi kate maneno ya biblia

  • @SalmaMohamed-ck3og
    @SalmaMohamed-ck3og Жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @donclassicMOZ
    @donclassicMOZ Жыл бұрын

    Allah karim

  • @johnbosco2901
    @johnbosco290110 ай бұрын

    Sura za mashee azina nuru

  • @sadan-cf3nv
    @sadan-cf3nv Жыл бұрын

    Aslm alkm mashaallah mashaallah mazinge Allah akubariki na akujalie umri wakristo kama hao ni wale wale pigwa muhuri laanatullah

  • @jacques9499
    @jacques9499 Жыл бұрын

    Nina washukuru ninyi wote upande wote miwili kua sababu mwanzo mungu alianza ku umba kilakitu katika roho mtakatifu kwasababu yeye peke yake ni mtakatifu na hanakunja kuwokowa waulimwengu wote katika roho ndani ya Christo. Yesu mwenyezi mungu Tu atche maneno ya mazehebu bila roho mtakatifu akuna mwana damu ata elewa neno la Mungu Amen

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg6 ай бұрын

    My brother don't waste your breath

  • @user-io8hn1jb4d
    @user-io8hn1jb4d3 ай бұрын

    Kwanza Neno Mungu hujui maana yake nini, mazingaombwe msakatonge mzee wa kiki 😂

  • @KarimMingwalu
    @KarimMingwalu10 ай бұрын

    Takbir

  • @lungusii
    @lungusii Жыл бұрын

    WAJRUSTO NNATIA AIBU NA GURUMA YAANI MNAZOMEA TUU BILA POINTI

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Жыл бұрын

    Wakrsto wamekosa hoja kbs

  • @shukulutumaini
    @shukulutumaini Жыл бұрын

    Lait mngekuwa na akili ya kujua kuwa dunia IPO mwisho msingefanya ujinga huo

  • @markomargwe3923
    @markomargwe3923 Жыл бұрын

    Wakristo tuwe makini mpinga kristo yupo kazini.

  • @KadirMapande
    @KadirMapande10 ай бұрын

    Awa makafiri ilikua ni wa kuchinjwatu mana wamewekwa vizibo

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Tuachieni Yesu kristo. Hebu tulete hoja ya mashetani na uchawi

  • @najryaautbya2774
    @najryaautbya2774 Жыл бұрын

    Asanteni.sana

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Kama yesu sio mungu kinachowaumiza ninini mbona nyinyi washali sana. Hatutaki majini. Yanawatia umaskini. Hadi mnakaa chini viti hamtaki.

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Nani kakwambia yesu ni mungu?mmengangana hata akiwa mungu au sio mungu kinawakera nini?hebu kawaulizeni wahindi kua ngombe ni mungu

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Hiyo mijini yenu imezaliwa na nani ?hebu siku moja lijadiliwe hilo .tumuache yesu mkombozi. Kwetu yesu kristo ni hakimu na nguvu za mungu. Ndio maana twampenda. Acheni wivu. Mlango uko wazi. Karibuuu

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Eti nawashangaa wakriso hata sisi tunawashangaa mnavyofuga mijini. Hadi huruma sio mshangao tu

  • @frankjohn8706

    @frankjohn8706

    Жыл бұрын

    HAKUNA MTU ANAEPAMBANA NA KISICHO KITU. KAMA ISINGEKUA WALA PASINGEBISHIWA. HABARI ZA YESU NI HABARI ZA UFALMU WA MUNGU ALIEMKUU MUUMBA NYOTE AJUAE LUGHA ZOTE HASHINDWI LOLOTE NA HANA UTAIFA WALA LUGHA MOJA TU.

  • @suleimanmrita1992
    @suleimanmrita19929 ай бұрын

    wee pasta acha kudanganya watu na kuongea uwongo uislam ni dini ya haki na kweli ukiristo sio dini

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Жыл бұрын

    Luke 2-21 kutahiriwa yesu

  • @costacongo7131
    @costacongo7131 Жыл бұрын

    Wwe ni comed

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @zuhraajafar

    @zuhraajafar

    11 ай бұрын

    Allaah akibr kwel wakiriso hawaelew wanachokisoma

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Жыл бұрын

    Subhanalha Alha nimtu sio kweli hayo

  • @nalingarowl7048

    @nalingarowl7048

    Жыл бұрын

    2.4 bilion.idadi ya Wakristo

  • @mahadboy5124
    @mahadboy5124 Жыл бұрын

    Kisiwe kitabu cha mungu hlf ukute maneno ya mungu kwaio aloandika nan wa kiristo akili 0

  • @brownmtofole
    @brownmtofole Жыл бұрын

    Subirieni siku ya khiama mtaona ni nani atatoa hukumu

  • @Alislamre

    @Alislamre

    Жыл бұрын

    Yeah ndio maana Allah akaweka siku ya qiamah kusudi ila angalieni Sanaa mnatutesa waislam ila kila kitu kinamwishoo na mwisho wake haupo mbali mnatushingizia kila ubaya ili mpate ukubwa wa dunia ila naona karibuni tuu mtaona wenyewe

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 Жыл бұрын

    Yaani hawa wote wanaojadili imani yetu wakristo ni kundi ambalo ni familia yashetani kwa vile hawana imani na dini yoyote vinginevyo wangejadili imani yao ni washenzi tu.

  • @Alislamre

    @Alislamre

    Жыл бұрын

    Wait subiri utajuwa ukishafunikwa na udongo ndio utajuwa mungu sahihi na yupi ila nakusihi tafuta research ufanye maana hakuna sehem yesu alisema yy ni mungu isipokuwa maneno yenu mlioandika nyinyi wenyewe

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    Жыл бұрын

    Wewe kichwa machi

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Жыл бұрын

    Quren 5-85 wakristo wanijuwa haki hufuata.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Hilo andiko la mathayo 22:32 pastor unadanganya umma, jaribu kusoma 22:29-22:32 kama ulivyosema ndio utagundua yesu alikuwa anamnukuu mungu, sio kwamba yeye ni mungu..... Kweli sisi wakristo hatuna hoja ya kubishana na ukweli.

  • @SaidKhamis-up4np

    @SaidKhamis-up4np

    Жыл бұрын

    Kweli kijanawangu na nakusihi ufanye utafiti kwa kukaa na kisoma qur ani na bibilia bila kuegemea upande wowote ili upate ukweli na ufuate usifuate mkumbo na kukaririshwa baadhi ya sehemu za maandiko ila kipende chenye ukweli kikafichwa

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Жыл бұрын

    UBISHI WA.NIMI??? YESU AMEZALIWA NA MWANAMKE.

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Жыл бұрын

    Titos 2-13 Paul asema jesus ni mungu.

  • @arafatali2796

    @arafatali2796

    Жыл бұрын

    Ni titos na paula ndo kasem yesu mwenyewe hajasema

  • @athumanmagomba5930
    @athumanmagomba5930 Жыл бұрын

    Endeleeni kumziaki yatawakuta ya brazili

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k10 ай бұрын

    Njoon kwenye Uislamu ndio din ya hakiiii

  • @UssenebacarBacarassane
    @UssenebacarBacarassane2 ай бұрын

    4:12

  • @rehemakudra868
    @rehemakudra868 Жыл бұрын

    Hapo anamajini kibao

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын

    Uislamu umeanzishwa na Mtume Muhammad.....ila Ukristo umeanzishwa na Mwenyezi Mungu ila akaja Duniani kwa mfano wa Binadamu kwaajili ya kuukomboa Ulimwengu Mzima

  • @kelvinkabuagi7954

    @kelvinkabuagi7954

    Жыл бұрын

    Andiko unalo

  • @madhuru2554

    @madhuru2554

    Жыл бұрын

    Ukristo si dini bali ni jina yohana 4:21

  • @Osamaally

    @Osamaally

    4 ай бұрын

    Tupe saluki kuwa ukrisko ni dini ya mungu

  • @oredidunia120
    @oredidunia120 Жыл бұрын

    Mzee Kabunda Yuko wapi mbona si muoni

  • @shukulutumaini
    @shukulutumaini Жыл бұрын

    Wew shekhe huna akil fanya kaz ya MUNGU na sio kiwaona wenzio hawafai hujielewi kabisaaaaaaaa waabudu mapepo hamna hata MUNGU hamumujui jielewen achen ujinga wa kubishania din mtafte MUNGU

  • @user-po1qk1jf7v
    @user-po1qk1jf7v2 ай бұрын

    Mshamba mkubwa unaacha kuwahubiria mashoga wengi vijana wa kisiram ivi unajisikiaje na nawaamini wako hao

  • @KB-IbnSwahib10
    @KB-IbnSwahib10 Жыл бұрын

    Huyu mchungaji mbona kajibu kijanjajanja tu hajielew

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 Жыл бұрын

    14/11/2022

  • @edwinnzalanga
    @edwinnzalanga Жыл бұрын

    Acha uongo

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 Жыл бұрын

    iv nyie wakristo mna akili nyie daaa🤣🤣🤣

  • @mathayomedia2090
    @mathayomedia2090 Жыл бұрын

    Sina 3:13

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын

    Waislaamu huwa tunawaelimisha sn kila Siku kuwa Uislamu Sio Dini Sahihi ya Mwenyezi Mungu...ila Ukristo na Uyahudi tu ndio Dini 2 Pekee za Mwenyezi Mungu

  • @jamilarahj1593

    @jamilarahj1593

    Жыл бұрын

    👅👅👃🖕

  • @ipyanawatson4222
    @ipyanawatson4222 Жыл бұрын

    YESU MWANA WA MUNGU Elewa kiswahili je? kama wewe mtu.mwanao atakuwa nani mnyama au mtu?

  • @prosperkonokono9385
    @prosperkonokono9385 Жыл бұрын

    ilindeni imani yenu kuliko vyoote mlindavyo

  • @issakongolo2832
    @issakongolo2832 Жыл бұрын

    Mazinge 😂😂😂

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 Жыл бұрын

    Sisi wakrito tunaamini hivyo wewe ibilisi usieamini inakuuma nini? Eti mtume atusemee atatusemea nini na hali kafa?

  • @kassimrajabu56

    @kassimrajabu56

    Жыл бұрын

    Ukapimwe mkojo,Suleiman yuko hai?Adam yuko hai?

  • @ramadhanmshakula459

    @ramadhanmshakula459

    Жыл бұрын

    Aki wakristo mko na shida wallah

  • @tituscheketa497
    @tituscheketa497 Жыл бұрын

    Naona umekosaka kazi sasa mazinge

  • @eliyamgalihya7704

    @eliyamgalihya7704

    Жыл бұрын

    huyo anawapotosha watu wote waende Ahera kwani hujui nia ya mbinguni ni nyembamba? hebu angalia muislamu mwenzao alivyowaambia ISSA NI ROHO YA ALLAH KWA MWISLAMU MCHA MUNGU NA MWENYE ELIMU ATAELEWA NA ANAYEIJUA QURAN JE ROHO YA ALLAH NI YA MILELE? QURAN: (Al-Anbiya 21:19) Inasema Mkumbukeni mwanamke aliyetunza ubikira wake. Tulimpulizia ndani yake Roho yetu, na kumfanya yeye na mwanawe kuwa ishara kwa wanadamu wote. QURAN (Al-Tahrim 66:12) imeandikwa: Na Allah amemtoa kama mfano,Mariamu,binti wa Imran,ambaye alitunza ubikira wake na ambaye ndani yake tulimpulizia Roho yetu;ambaye aliyaamini maneno ya Bwana na maandiko yake na alikua kweli Mcha Mungu Vilevile tunaona katika Sura ya ALnisa 4:171 Quran inasema: Masih, Isa mwana wa Mariam, alikua ni Mtume wa Allah na neno lake alilolirusha (alilolituma) kwa Mariamu ,Roho kutoka kwake ,na si zaidi ya hapo (Al-nisa4:171)Tunachojifunza hapa ni kuwa,kumbe kilichoingia tumboni mwa Mariamu ni Roho ya Allah. Katika Al-Anbiya 21:91 na Al-Tahrim 66:12 tumeona Quran ikisema wazi kabisa kuwa Allah anamwita Isa Roho yetu. SASA MWISLAM PINGA HAPO HIYO QURAN NA ENDELEA KUMDHIAKI ISA NA MARIAMU AU TATIZO HUWA NI KIARABU?

  • @atifdullar6332
    @atifdullar6332 Жыл бұрын

    Kama mtu unasoma vitabu kwa usahihi utakua haki ipo wap

  • @lushidulajidanda2321
    @lushidulajidanda2321 Жыл бұрын

    Wewe Mazinge niuongo wewe nimwafilika utabaki kuwa mwafirika

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 Жыл бұрын

    acha kuwapotosha watu wewe mazinge mwenye akili ahitaji maelezo mengi kya hivyo sikiliza huyu ufunguke akili yako kzread.info/dash/bejne/n6qo1LCFdpi_oZM.html

  • @esthersawiga9979
    @esthersawiga99796 ай бұрын

    WAZEE WA KUEDITI VICHWA VYA HABARI NA KUKATA VIDEO KULINGANA NA MATAMANIO YENU JIANDAENI KUINGIA MOTONI

  • @glaury9938
    @glaury9938 Жыл бұрын

    Nakuombea yesu akuokoe ili tuone utavyolia wewe ni paulo aliekuwa anachinja wakristo alipookolewa akamsifu nakujua kweli halafu mbona mzee sana tofauti na miaka yko

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Жыл бұрын

    Yohana 8-40 yesu asema mimi ni mtu

  • @athumanmagomba5930

    @athumanmagomba5930

    Жыл бұрын

    Ulijua ni mzim

  • @user-io8hn1jb4d

    @user-io8hn1jb4d

    3 ай бұрын

    Sasa ila andiko gani 😂

  • @johnbosco2901
    @johnbosco290110 ай бұрын

    Majini yanawakausha

  • @HabeebiHabeebi-rr6rk

    @HabeebiHabeebi-rr6rk

    3 күн бұрын

    Tuki ongoka sote ulimwenguni....nani ataingia jehanamu?hiyo ni kazi ya ibilisi anae washikilia team yake ili asiwe pekee..

  • @nodisc5534
    @nodisc5534 Жыл бұрын

    Unadhalilisha Dini kiukweli😊

  • @user-jj7qc1we1q

    @user-jj7qc1we1q

    11 ай бұрын

    Kivipi,dini inadhalilisha?

  • @rehemakudra868
    @rehemakudra868 Жыл бұрын

    Ndio soma bilbia utaona

  • @jamalsamma3457
    @jamalsamma3457 Жыл бұрын

    ya siku nyingi sana hii nilikuwa naitafuta kweli🤣🤣🤣😂

  • @davidkmusictv571
    @davidkmusictv571 Жыл бұрын

    Wavinga kristo mnadhiaki hila siku ya kiama mjue kila ngoti litapingwa na kila ulimi utakiri yesu ni mungu

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    Жыл бұрын

    Bado hujatumia akili yako vyema,

  • @mohdahmada1061

    @mohdahmada1061

    Жыл бұрын

    Baki n upumbav wko

  • @habibjuma842

    @habibjuma842

    Жыл бұрын

    @@nassorsharifu9837 ok

  • @mahadboy5124
    @mahadboy5124 Жыл бұрын

    Yesu ni mungu wa Ibrahim na Yakubu na isihaka wakat hao wamekuepo kabila ya yesu

  • @jeanberchmansngendakuriyo2814
    @jeanberchmansngendakuriyo28148 ай бұрын

    Waislam, ni wapi ktk Neno la Mungu ambapo Yesu kasema “Mimi si Mungu”?

  • @AbukariBilali

    @AbukariBilali

    6 ай бұрын

    Luke 18:18

  • @majidsudi2324

    @majidsudi2324

    13 күн бұрын

    Yohana 8:40 lakini Sasa mnataka kuniuwa mm mtu niletumwa ya kweli 😂

  • @wanyooshetv9987
    @wanyooshetv9987 Жыл бұрын

    Makafiri walikipata cha Moto 😁

  • @johnsulle4679

    @johnsulle4679

    Жыл бұрын

    Uyu mazinge c alifungwa jela kwasab akili ndogo ndomana kakutana na majinga wenzake kupiga kampeni za watu flani anafikir atatingisha kweli imani za wakristo c tumekomaa kiimani jomba na imani cyo izo kampeni zako kama unatafuta kiki nakufananisha na akina Umber ruty

  • @protasmathias5064
    @protasmathias506411 ай бұрын

    huyu jamaa kazi yake ni kukosoa tu, hana kazi iingine kwa maneno yako inaonekana umeshindwa wew kufanya, acha wachungaji wafanye kazi za Mungu wamjue yesu wa kwel, huon hata aibu kujiabisha kama umeshindwa, ambao hawajui watakuunga mkono.

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Жыл бұрын

    Uyu mazinge alifungwa kwasabu akili ndogo sana utawadanganya wasio na akili kama za kwako ukitaka Elim ya biblia nipigie cm ya mkononi usipige kampeni za akina mdee hapo hufundishi ila ni kama unapiga kelele za kampeni

  • @rehmathatim6715

    @rehmathatim6715

    Жыл бұрын

    mungu hawezi kua mwanaadamu na hazai vipi mungubabebwe na mwanaadamu

  • @raphaeljulo3826
    @raphaeljulo3826 Жыл бұрын

    Fuata dini yako wacha kudharau dini zingine

  • @ibraheemqassim3018
    @ibraheemqassim3018 Жыл бұрын

    Mwenyekit ndugu zake mafir wanatoka nje ya mada anakausha ila hatak mazinge afanye ivyo

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Siafadhali mumkashifu huyo wakwenu ana baba na mama huyo unaemkashifuunamjua babake. au mnatafuta majanga . Kamulizeni paulo aliekua akiitwa sauli. Yeye hakua akikashifu tu alikua akiua mitume kilichompata anajua yeye hadi kujikojolea.

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Mnatushawishi tuje huko nunueni viti kwanza hatukai chini kama kuku sisi .

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Uzushi uongo. Wivu.fujo.ushawishi.ulianza bado dunia ina watu 4.sebuse sasa tumeshonana hahaha

  • @wanyooshetv9987

    @wanyooshetv9987

    Жыл бұрын

    @@pungopungo411 hukai chini ila utafukiwa chini silimu kabla ya umauti kukufika umuabudu ALLAAH aliyekuumba

  • @SaidKhamis-up4np

    @SaidKhamis-up4np

    Жыл бұрын

    ​@@pungopungo411 vitu ni kwaajili ya sehemu ya kufanya biashara na sio kwaajili ya ibada

  • @rebeccaamadi
    @rebeccaamadi Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂injili iendelee mbele

  • @zuhraajafar

    @zuhraajafar

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂🤣wakirist munashida san

  • @rebeccaamadi

    @rebeccaamadi

    11 ай бұрын

    @@zuhraajafar Shida ipo ila tungojee siku ya kihama siku ambayo kila mmoja ataambatana na matendo yake

  • @georgechiwango7381
    @georgechiwango7381 Жыл бұрын

    Jamani someni Quran sura 2 aya 97 na 98 mjue kama Quran ni neno la Mungu au la.

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Жыл бұрын

    WOTE HAMNA KAZI

  • @mohdahmada1061

    @mohdahmada1061

    Жыл бұрын

    Kafir mkuu ukifa motini ww

  • @mohdahmada1061

    @mohdahmada1061

    Жыл бұрын

    Au unaish milele hufi ww inaonesh at akil huna

  • @davis9951
    @davis9951 Жыл бұрын

    Tunasemewa vipi na Mohamed ambaye Ako kaburini hivyo si msukule

  • @ilhammaulid892

    @ilhammaulid892

    Жыл бұрын

    Kama huelewi usiitukane mitume

  • @isayajoseph8344
    @isayajoseph8344 Жыл бұрын

    w aafrika hatujitambui din hiz za mchongotu zinawapotezea muda

  • @adanabdi3656

    @adanabdi3656

    Жыл бұрын

    Masha Allah sheikh wetu

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    Huyo mazinge anapata wapi pesa za kuendesha maisha yake? Sababu kila hamkapo anawaza kwenda kumkashifu Yesu kristo .iko siku utakutana nae .inaonyesha unampenda sana. Na yeye anakupenda usijali.

  • @mohdahmada1061

    @mohdahmada1061

    Жыл бұрын

    Din mchong n iy yko ww il y kiislam co y mchong

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Жыл бұрын

    Jaman hawa jamaa wanaopotosha imani za watu c nikutane nao cku moja hawana akili wamebakia kukarir hii tu wakristo hatusemi yesu ni mungu ambaye una akili punjo kama hawa jamaa masheke Bali tunasema yesu ni mwana wa mungu ambaye alitoa uhai wake kwa ajili yetu ni pamoja na nyie mbumbumbu mnaopotoshwa na hao wanajiita masheke

  • @kadzokadzo2894
    @kadzokadzo2894 Жыл бұрын

    Acheni kufata wakristo jameni fateni Dini yenu

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 Жыл бұрын

    Kama yesu ndo mungu je Adam at ataitwa nan? Na kabla ya yesu kuzaliwa baba yetu Adam na Hawa waliumbwa na nan maana yesu alokuwa hayupo Wala mama yake alokuwa hayupo dunia aliiumba nani

  • @hanafanysociety7405

    @hanafanysociety7405

    Жыл бұрын

    Una akili ya mbele nakupataje?

  • @caringtonbarasa4501

    @caringtonbarasa4501

    Жыл бұрын

    Hamjajibu jee Allah alitoa unyayo wake?

  • @ashanassoro6492
    @ashanassoro6492 Жыл бұрын

    😁😁😁 wakristo wanalia lia tu humu kwenye comments

  • @athumanmagomba5930
    @athumanmagomba5930 Жыл бұрын

    Mtume wenu mbn aja fufuka kwann mna abudu mfu

  • @SwediNurdini

    @SwediNurdini

    Жыл бұрын

    Waislamu hawaabudu mtume yeyote nawe umepumbaa utakuja kuchekwa

  • @athumanmagomba5930

    @athumanmagomba5930

    Жыл бұрын

    @@SwediNurdini uyo Muhammad ni nani

  • @SwediNurdini

    @SwediNurdini

    Жыл бұрын

    @@athumanmagomba5930 Muhammadi ni mtume wa mwenyezimungu na ni binadamu ndugu yangu

  • @thomasitembe6836
    @thomasitembe6836 Жыл бұрын

    Mshenzi tu wewe hamna lolote na motoni utaingia na hiyo kanzu

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    Жыл бұрын

    Wewe ninani

  • @fatumamnyazilewa5466

    @fatumamnyazilewa5466

    Жыл бұрын

    Hukumu haitoki kwa mwanadamu,ww ko na moto mpaka unahukumu motoni ataigia,jifunze na kama huna cha kujibu heri uangalie tu

  • @samwelndaki201

    @samwelndaki201

    Жыл бұрын

    Waislamu mmekosa kazi sababu mtume wenu hafai.ndio maana mnashambulia ukristo mti wenye matunda lazima upigwe mawe.

  • @athumanmagomba5930
    @athumanmagomba5930 Жыл бұрын

    Endeleeni kuabudu majini itajulikana siku umauti itakapo kufika ukikutana nae uko unae mpinga

Келесі