(A) 060 MAZINGE Vs MCHUNGAJI YAHYA..... NANI KAMPA NABII MUHAMMAD UTUME SOUTH AFRIKA 2014
Akasha Daawah Channel
Жүктеу.....
Пікірлер: 920
@hussaynmuhammad87822 жыл бұрын
All the way from Canada Mazinge may Almighty Allah grant you Jannatul firdaus and all of Ummati Muhammad (SAW)
@khamishaji8386 жыл бұрын
Maashaallah Habib Othman mazinge inshaallah Allah atazidi kukupa ujasiri wa hali ya huu zaidi na akujaalie uzidi kujiamini katika kuwaelimisha makafiri na kutangaza uislamu namuomba mungu anijaalie angalau nipate robo ya ujuzi ulonao ili nifanikiwe katika masomo yangu.inshaallah Allah atakufisha ukiwa muislamu.aamin aamin aamiin
@halimamwachilimwachili5099
5 жыл бұрын
Aamiin.
@emmanuelngewa8894
2 жыл бұрын
neema ya Mungu iliyonifikia mimi ikufikie na wewe umpokee yesu acheni ukaidi
@tifahfauzia91574 жыл бұрын
Mtume mohamad s.a.w ndie mtume wa Allah kipenzi cha Allah hata mumkatae yeye ndie kipenzi chetu tena kipenzi cha Allah, poleni sana wakristo hoja potofu , Allah muongoze sheikh wetu mazinge na waislam wote hapa duniani Aamiin yarabi
@davido-scooper9471
3 жыл бұрын
Pole kufanaimani potofu
@nawwarsultwaan6404
3 жыл бұрын
@@davido-scooper9471 we kafiri fanya usilimu ww mpumbavu w
@ghalibchikomele521
3 жыл бұрын
Qq
@shekhazahran4608
2 жыл бұрын
Mwehu huyu kabisaa upotofu utaona utakapo rejea kwa Allah
Jammanni,..mbona mwatutoa nyama mdokoni??. Duuu! sheikh Mazinge bwana. Wallahi Mungu atakulipa...waambie wao chuki ya nini??? Mohammad (s.a.w) ni mtume tena wa mwisho.TAKBIIIR. ALLAHU AKBAR.
@thuebamohammedswaleh6897
8 жыл бұрын
Allahu akbar
@shebbyclassic7594
7 жыл бұрын
Allah mlipe Ustadhi Mzinge amari Njema
@fbhj443
6 жыл бұрын
Mesaid Tsozi AllAHU Akbar
@fbhj443
6 жыл бұрын
Shaban Hamisi Amiin yaa Rabbi
@abdimoge3839
6 жыл бұрын
Allahu akabr
@alialijuma96103 жыл бұрын
Mashaa Allah mazinge mungu akupe umbri uwajuze wasio jua
@ammarsalah56933 жыл бұрын
Am here today Sheikh mazinge Jazakamu Llah kheir...Allah akulinde na azidi kukueka ili uzidi kuwapa iiman hawa wenzetu wazidi kuingia katika dini iliyokuwa haqi (ISLAAM) In Sha Allah
@nassoorg8832
3 жыл бұрын
Amin yaaraby
@lakasid3860
3 жыл бұрын
Nani alisema ni dini yahaki
@waltershayo13392 жыл бұрын
Huwa sh Mazinge ananifurahisha anapocheka Anamaanisha Allah akuhifadhi
@asutfaile26478 жыл бұрын
Ustaz Mazinge may the almighty protect you.
@chajuma4375
4 жыл бұрын
wazulimu awo
@maherzain615
3 жыл бұрын
Ameen
@rukiahalid58073 жыл бұрын
Anayeangalia tena saii tujuane Kwann nisipte🤣🤣🤣napitaaa,,nisipite kwann🤣🤣🤣
@PrinceMoreto
3 жыл бұрын
Nipooo😂😂
@abdulrahmanmussa4479
3 жыл бұрын
Hahaah napitaaaa
@abasimachano2964
3 жыл бұрын
Nipo hpa
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
Haaasa nisipite kwa nn😂😂😂😂😂😂 mchungaji kazi kwako 😂😂
Muhammad (S.A.W) ni mtume Wa mungu kweli na wala hakuna hoja.
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Sahihi asa na uo ndoukweli
@mwasaharijani1209
4 жыл бұрын
Yes alisema katika Yohana 14:6 Mimi ndimi njia, na keeping, na uzima; mtu haji kwa baba ila kwa njia ya Mimi.
@jeffjf6089
4 жыл бұрын
hao wanakuumiza kichwa2 mazing
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@rashidmoreno4714 жыл бұрын
Allah hakuzidishiye umri na afya uzindi kuilinganiyaniya dini ya Allah ameen
@fauthiajuma68875 жыл бұрын
Na ndio maana hapatokea mtume mwingine zaid ya Mohammed s.w.a takbiriiiii.....Allah akbar
@suleimanally9900
5 жыл бұрын
Allah akibar
@geoffreyembasa8483
4 жыл бұрын
Marcus Garvey
@mumkmamy5186
4 жыл бұрын
Allahu Akbar
@hibrashiblinho53
4 жыл бұрын
Vp
@nawwarsultwaan6404
3 жыл бұрын
Allah u akbar
@beatricezacharia43134 жыл бұрын
Mungu akulipe kwakwazi nzuri yakuwaelimisha hao ndugu zetu wenyewe ni ujanja ujanja tu hila point awana
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
Wow Beatrice Zacharia ulisilimu?!
@habaumedia7932
3 жыл бұрын
@@fatmazullu4933 itakuwa amesilimu
@afyapwid10396 жыл бұрын
Aya aliyoitoa kwenye Quran kwamba nabii Ibrahim amechaguliwa na kizazi chake chote, Hio imetosha kuwa mtume Muhammad alichaguliwa pia, kwa sababu mtume Muhammad ni kizazi cha nabii Ibrahim. Halafu Qur'an inatumia kuchaguliwa ama kutumwa. Sasa nabii musa alichaguliwa kwenye aya aliyoitoa na kuna aya inasema tumekutuma Muhammad kama tulivyomtuma musa kwa firauni. Kama hamuna wasi wasi nabii musa alichaguliwa kwenye hio aya, bas pia kubalini hii aya iliosema tumekutuma Muhammad kama tulivyomtuma musa kwa firauni basi na mtume Muhammad alichaguliwa. Sasa hata kuamini kwako kuna mushkil kwa sababu pia ungepata aya inayosema Muhammad alichaguliwa na ALLAH, pia usingeamini. Ninachoomba, hao waliosema wameipitia Qur'an yote hawakupata andiko kuwa mtume Muhammad alichaguliwa, warudi kuisoma tena Qur'an na ALLAH atawafungua macho waone maana hawaoni.
@mwakakhamis5762
5 жыл бұрын
Swadaktaa niljua viziwi tu kumbe vipofu pia Wakirsto hamna lenu kwanza katufuteni diniiii
@safiayusuf3482
4 жыл бұрын
Yende akafanye utafiti, ni kipi kizazi cha nabii Ibrahim then asimame mbele za watu
@mickidadamiri1371
4 жыл бұрын
Afya Pwid10 hi..
@edenedna8934
4 жыл бұрын
Wanachakuliwa kwa jina sio kizazi,.
@josemourinho8781
4 жыл бұрын
Ww ndo huoni vzur
@ibrahimkhamis45403 жыл бұрын
"Alafu kuna mama ananiangalia hivi...mimi ndie mazinge..."Waislamu Takbir..."
@mickeluis6594
3 жыл бұрын
Asalam aleikum umati Muhammad? Kwanini uislam unapigwa vita duniani? Hili niswali lakuumiza kichwa sana. ILA MM NAVOJUA APIGWAYE VITA SANA NI MSEMA KWELI
@edwarddavid8076
3 жыл бұрын
@@mickeluis6594 vita mnajipiga wenyewe kila siku uarabuni
@ayunramadhan31045 жыл бұрын
Nakupenda mazinge kwa ajili ya Allah
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@seifali59738 жыл бұрын
ustadh mazinge kazi nzuri jazakallah kheir wape waislamu faida na waelezee wakristoo ukweli huenda wakatoka gizani wakaingia katikaa nuur inshallah
@nabilaantar6425
6 жыл бұрын
seif ali nakupongeza mazinge
@millionairejeffreysunofbez3766
4 жыл бұрын
Kwa akili yako, mkristo anamfata yesu aliye hai, na nuru ni yesu mwenyewe, sasa apo nani yupo gizani..na islamu unamfuata aliyekufa sasa nani bola, aliye hai ata milele na ataludi kwetu, na aliyekufa hawezi kuludi, ww kwa akili utamfuata nani..???
@zouzou2849
4 жыл бұрын
@@nabilaantar6425 ⁹ppon khôl union Ni
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@eddy4998
3 жыл бұрын
@@millionairejeffreysunofbez3766unaamini kuwa yesu mungu ila mungu hafi Wala hatokufa yesu yupo wapi sasa
@ShivKumar-kk8yt8 жыл бұрын
Allah akulinde allah yazidak mzee mazinge
@johnpepe4501
3 жыл бұрын
INSHA ALLAH
@richardlaizer3005
3 жыл бұрын
Mazinge mwenyewe kafiri2 laana xumack
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@nawwarsultwaan6404
3 жыл бұрын
@@richardlaizer3005 kafiri ww na babaako usojielewa ww
@wamoroboy8963
3 жыл бұрын
@@nawwarsultwaan6404 af na wewe ujiite mwanadini kwa mitusi hyo 0
Mazinge i Love you so Much...Yahya Amefariki Dunia Allah amsameh,amweke pamoja na wema,peponi....
@hajrasaid1533
3 жыл бұрын
Ammin
@raheemkio4293
3 жыл бұрын
Aaamin
@anuarrymriri35876 жыл бұрын
Hakika m2me Muhammad ni m2 wa Allah
@barakakasamia5036
3 жыл бұрын
Acha ushabiki kwenye maswala ya imani, apo umeelewa kitu gani?
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
@@barakakasamia5036 sasa wewe hajaelewa nn acha imani zakurithi bila kusoma
@maherzain615
3 жыл бұрын
اللهم صلى وسلم وبارك على محمد وال وصحبه
@rukiamusa99163 жыл бұрын
Alhamdulilah mashaala ahsante kwa kutetea dini yetu mungu aku zidishie
@issaally98067 жыл бұрын
wafahamishe mwalim mazinge
@masamasa23873 жыл бұрын
Mashallah Sheikh Mazinge Allah akuzidishie umri Ili uzidi Kutuelimisha Ss Waislam na makafiri Wasio Jua Dini Ya Haki Niya Kiislamu Takbirrrrrrr
@hassanmpwepwe38265 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mzinge inshallah
@mustaphamusteshi3559
4 жыл бұрын
hassan mpwepwe mbona waliishia mkwal tu
@halimahalosh13358 жыл бұрын
ningetamani nijue mwisho jamani Allah akbar jamani Mazinge mola akulinde na akupe umri mrefu ili uendelee kutangaza dini
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Aamin
@nuurayasin5211
5 жыл бұрын
WALAI NATAMANI SANA2NINGEKUWA Kule
@chrisniyomukiza1684
3 жыл бұрын
Fuata part B
@emmanuelnyandoa6517
3 жыл бұрын
.
@josephezekielmasolwa82833 жыл бұрын
Huyu Mazinge,,,anahitaji msaada wa Mungu, kwa Jina la Yesu Kristo. AMEULIZWA AONYESHE MAHALI MOHAMMED "AMECHAGULIWA"
@sultanamour8501
2 жыл бұрын
Umerogwa wewe
@Anuarmustafa4128
2 жыл бұрын
Kweli amerogwa na alie mroga kafa
@athumanally84934 жыл бұрын
Wamaa arsal naka illa rahmatallil alamina hatukukutuma ewe muhammad ispokua uwe rehma kwa viumbe vyote
@bintiiomary95004 жыл бұрын
Twajivunia kuwa n ustad Othuma Mazinge🕋🕋🕋
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@abdul-razzakmuhammed3058
3 жыл бұрын
Sana tena Na mungu atuekee.
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
May Allah protect him 🙏
@nelsonfesto71373 жыл бұрын
Mwli masenge, uko vizuri unajiamini kwenye uwongo
@halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын
Shukran Sheikh Mazinge Allah akupe umri ln shaa Allah,
@donardbudole743
4 жыл бұрын
Yohana omar ni kibokoo Mungu akubariki San
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@mohammedwoge49474 жыл бұрын
Allahu Akbar shikh mazinge Allah awe na ww
@ajiahussein88137 жыл бұрын
MA shaa ALLAH
@masharubundevu37654 жыл бұрын
Safi sana Ustadhi Mazinge waambie makafiri hao wasojielewa Mungu akuweke inshaallah
@kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын
Asa usipite kwa nn, kwa nini usipite Habibi Mazinge pita pita pita hahaha patamu apo, Allah awahifadh Akasha's group na akulipeni kla la khery
@mumkmamy5186
4 жыл бұрын
Aameen
@mahsnirmohammed24937 жыл бұрын
Mazinnge nakubali maneno yako kwasababu unalo lisema liko kamili kwenye Quraan na Bible unasema inavo takiwa sio kubadilisha maneno
@allyzzege8816
5 жыл бұрын
Mahsnir Mohammed good
@sharifkombo8520
4 жыл бұрын
Aa
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@sideboy49094 жыл бұрын
Hakuna dini yakweli na ya hakki zaidi ya uislamu na muhammad (sw) ni mtume wakweli wakristo msidanganywe tokeni kwenye upotevu ushauri wangu
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
Ukweli bro Vipi???
@ibrahimhaki4762
4 жыл бұрын
Jidanganye tu
@romanusfikiri3194
4 жыл бұрын
Mnadanganywa eti dini ya haki,mimi nataka niwaulize ivi kwanini uislam unaambatana na uchawi yani kukuta shehe ni mchawi au mwanga ni kitu cha kawaida sana,kwann waislamu mashehe lazma wahe wachawi?
@jamsonjuma17224 жыл бұрын
Dk mazinge hongela sana kwa kuwa elewesha hao makafili tikbrii allah Akbar
@zillarajab78734 жыл бұрын
Masha Allah, kazi nzuri saaaana jazakallah
@nyagaantony14862 жыл бұрын
Huyu pastor ako sawa. Yesu asifiwe sana
@ummyhawaaweis38678 жыл бұрын
Allah awajaalie kheri kina ustadh mazinge na wenzake wote wanaopigania dini ya Allah
@AliSaid-yw7jp
8 жыл бұрын
aaamin
@johnmdzomba2506
8 жыл бұрын
Amiin
@abdimoge3839
6 жыл бұрын
Amiin.
@mumkmamy5186
6 жыл бұрын
Aameen
@mwakakhamis5762
5 жыл бұрын
Aamin
@rbagha52802 жыл бұрын
This Sheikh is Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, wants you to do. So you too can be SAVED!
@MariaMaria-gq4kd3 жыл бұрын
Jamani ndungu zangu waisilamu mkubalini yesu mkombolewe sio kupinga kristo nani alie toa pepo kwa jina la mhamadhi
@abasikassim2566
3 жыл бұрын
Unapotea dadaangu
@abdulrahmansalim97734 жыл бұрын
Ma shaa Allah. Sawa sawa sadaqta Sheikh mazinge Mwenyezi Mungu akuzidishie ameen.
@saidially4814 жыл бұрын
Allah akupe kila la kheri ust mazinge
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
Ameen
@habaumedia7932
3 жыл бұрын
Mung mkubwa
@ibrahimabdul54908 жыл бұрын
Tatizo lenu nyinyi makhafiri ufahamu wa lugha ya kiswahili kweni ni mtihani mkubwa.. Yaani lugha ya kiswahili ni lugha yetu lakini yahitaji taaluma na ufasihi mkubwa sana. Hususani kama nyinyi makhafiri lugha kiswahili mnaiongea kiblokeni sana kuliko kiswahili fasagha. Ekesha mnajifanya mnaufaham mkubwa wa lugha kumbe ( ZERO )tu. Pore sana mm huwa nakuoneen huruma sana nikikuoneni jinsi ulipotea..! Yaani kama vile duniani hampo na akhera mnatafutwa..!
@mwakakhamis5762
5 жыл бұрын
Hahahaaaaa!!! Tatizo shulee
@dekhasheikh68527 жыл бұрын
waislamu takbirrrrr
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Dekha Sheikh Allah akbar
@mumkmamy5186
6 жыл бұрын
Allahu Akbar
@halimamwachilimwachili5099
5 жыл бұрын
Allah Akbar.
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Allah akbar
@khalidsalmin7682
4 жыл бұрын
ALLAH AKBAR
@nyawitatheboss34494 жыл бұрын
Alhaabibiiii maziingeee maashaaaaallaaah
@salmaathman19738 жыл бұрын
A,A zidisheni mihadhara ndio watu watoke ujingani ,maana wengi wa wakristo wanaongezea maneno juu ya vitabu vya dini, tena hata HAYA hawana. lo!!! wanapotosha watu kweli.
@danielsajilo4143
4 жыл бұрын
Pole sana ndugu yng S's wakristo ndo tuyewapa kitabu soma qurr
@ramazecha28772 жыл бұрын
Mashallah mazinge kiboko ya makafir walasilimishe
@mohammadalfani80043 жыл бұрын
Jazakah Allah... Tena uyo mchungaji n muislam
@muhidinhassan25637 жыл бұрын
Jazakallah ustadh mazinge
@brownjustin29243 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 i like this argument its very friendly, spiritual and powerful
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
Me too I really like this 😅😅😅😅😅😅
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
Yesuu kumbe mzungu🙆🙆🙆😒😂😂nimejua Leo🙄
@shekhazahran4608
2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Ila kitendo cha Muhamad kupewa utume na Mkewe kinafurahisha sana🤣🤣🤣🤣🤣😂😂alafu Mashehe wanabadilisha eti Mungu ndio kamteua
@Tonemils Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji Yahya Mungu akubariki
@emmanuelngewa88942 жыл бұрын
mimi huwa namshukuru sana Mungu hii mihadhara imeokoa maisha yangu. nilikuwa mwislamu kweli kweli. ndipo mwaka 2009 mpaka 2010 kulitokea moto wa mihadhara hasa kanda ya ziwa wilaya ya bukombe na maeneo mengi ya huko wakaja wahadhiri kutoka kigoma wakafanya mahojiano wiki tatu usiku na mchana na wakristo,, hoja nyingi sana za kiimani zilizungumzwa, majini na uislamu, sabato, ubatizo, uungu wa yesu, na mengine mengi sana tangu hapo nikaachana na uislamu na leo nimkristo ninaye mngoja yesu huku niiitunza sabato ya Bwana ndugu zangu hii mihadhara msiichukulie kama ushabiki ifatilieni kwa umakini ukiguswa na jambo lifatilie linaweza kuwa na hatima ya maisha ya wokovu. Munugu awabariki sana
@Anuarmustafa4128
2 жыл бұрын
Wewe utajijuwa mwenyewe uislam hatoki mtu hapa
@kuluthumushear76598 жыл бұрын
kila la kheri shekhe wangu mazinge
@hawaaabdoul7286
5 жыл бұрын
Waislam asalamu alaikum
@omarhakizimana7595
4 жыл бұрын
Kbx nampendasana mazinge
@naimamunishi12413 жыл бұрын
sheikh mazinge masha allah nakupenda sana
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@majomasliman78563 жыл бұрын
Marshall mazinge Allah akupe umri mrefu namani ninge ona mwisho
@iddrisarajabu63295 жыл бұрын
Masha Allah mungu akulipe
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@ramadhanimkopi2897
3 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuongoze
@sabrinakhamis77313 жыл бұрын
Alafu kuna mama mmja ananiangalia ivi🙄😂😂😂😂😂mm ndo mazinge😂😂😂🙆🙆🙆ndo nimekufa kucheka 😂😂😂😂😂
@omarymasoudykisondo3896 жыл бұрын
Mikwara yote navunja! Haha mazinge Allah akuifadhi
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
Aameen Yaa Rabb
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@abubakariomari32374 жыл бұрын
Mm mazingenakukubali sanapiganamungu anakuandalia pepo utaingiabila kipingamizi
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Kiboko ya makafili nimazinge Allah akupe afyanjema yarrab
@issaally98067 жыл бұрын
allah akujaalie kheri mwalim mwazinge
@ibad-urrahmanmedia241
7 жыл бұрын
Amen
@mamatuishi-mamatuondoke8822
7 жыл бұрын
Sokio langu zito kweli kusikia haya"wanikosesha raha kabisa"mungu tu tusaidie
@barakakasamia50363 жыл бұрын
Aisee uyu mchungaji ana uwepo wa Mungu wahali yajuu sana, adi Mazinge kwakuto jielewa anaubiri wakristo ni wacha Mungu
@minhajsahal4467 Жыл бұрын
Allahumabarik sheikh mazinge
@khalfanali60383 жыл бұрын
Allah akujaalie kuwa ni mtu mwema na mwenye subra
@catherinenyokabi57463 жыл бұрын
Mbona mazinge hujibu swali.
@edwarddavid8076
3 жыл бұрын
Hana hoja tatizo hawasikilizi wanashabikia tu, hawawezi kuelewa ukisikiliza kwa makini hajajibu swali
@husnajim83293 жыл бұрын
Ya Rabb Mpe Umri Ustadh Wetu Mazinge... Aameen Ya Rabb
@raismbaraka43488 ай бұрын
SubhanaAllah❤
@arafamohammedy76538 жыл бұрын
ALLAH AKBAR
@AliSaid-yw7jp
8 жыл бұрын
mungu mkubwa
@habaumedia7932
3 жыл бұрын
Allah akbar
@111dudi6 жыл бұрын
Ama huyu Mchungaji bwege kweli. Anaamini maneno ya quraan halafu namkataa aliyeipokea. Anawapoteza watu
@janetjackson9586
4 жыл бұрын
YAHYA AL SAQRY kaka kuruhani ni samary ya biblia bila kupinga
@nohatredbutlove5786
4 жыл бұрын
@@janetjackson9586 sasa umeona wapi summary ikawa kubwa kuliko kitabu chenyewe? 🤣🤣
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
@@janetjackson9586 yafaa uwlewe kuwa Mungu hakuwahi leta kitabu kiitwacho biblia kwa nabii yoyote,hata yesu haijui biblia ila anaijua injili ndicho kitabu alichopewa. Biblia jiulize imetoka wapi?
@aishaomari1881
4 жыл бұрын
Nduguzang mungu awape ufaham
@habaumedia7932
3 жыл бұрын
Sanaa
@djomary62984 жыл бұрын
Jazakhallau kheir
@toyikininga64032 жыл бұрын
Iyi moya mzee Mazinge ulishindwa.
@kabobamchiz51733 жыл бұрын
Simkubal hyo muhamadd
@teamvitendo72694 жыл бұрын
Allahu akbar❤
@tamiah-zm4io4 жыл бұрын
Yan uyo mkiristo anaamin km quran ipo sawa na anaisoma..n kuamin km quran imemchagua musa n wengineo...ila haamin anaeisoma ambae n Muhammad s.a.w?? Na aya zinazomtaja Muhammad kmn mtume anazikataa n kusema ni maneno yke tu...sasa unataka waislam wafanyaje coz ukitajiwa aya unasema n maneno yke..mazinge kasema Mungu kamtuma malaika ampelekee Muhammad quran...yan maneno yke yy mungu...ndo kashachaguliwa mbona hajatumwa mpelekee mwengine..n umesoma andiko km mungu hafanyi mambo yke tu ovyoovyo mpka achague bas alivyomchagua Gabriel apelekee na Muhammad ndo kachaguliwa kuwa wa kupelekewa
@jimimbz20087 ай бұрын
ALLAH ''..afamilia na tu napitaa sie ni wana wa ALALLH
@jorammarushwa15336 жыл бұрын
Yohana Omar wafundishe hao makafir wakislam bwana Yesu asifiwe sana
@fatmafatmaismail26956 жыл бұрын
Allah akuhifadhi mazinge
@chalajisamson2106 жыл бұрын
asante Yesu kwa kuniokoa maana wewe ni mwema sana.......na Roho wa uzima umenibarikia mmmmh...asante baba mtakatifu muumba wa mbingu na nchi kwa kutupenda sana.
@abedisalumu2295
4 жыл бұрын
Sasa kakuokoa vip nawakati yeye mwenyewe alishindwa kujiokowa mpaka akamlilia Mungu
@grationbutros3807
4 жыл бұрын
Sheikh umetixha xan mungu akubarki
@fineboyAfrica
3 жыл бұрын
@@abedisalumu2295 🤣🤣🤣🤣 kwel ukiristo ni ujinga wa hali ya juu
@lakasid3860
3 жыл бұрын
@@fineboyAfrica kama ukristo ni ujinga uislamu ni usenge wahali yajuu
@yusuphmlangi58703 жыл бұрын
Allah akuendeleze na akulipe shekh mazinge kwa kweli unastahili pongezi
@hamisinasoro4274 жыл бұрын
Allah akuzidishie mazinge
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
Shukran
@samiraalhabsi36974 жыл бұрын
Mazinge wape vidonge vyao uko juu Allah akuweke
@kelvinmichae7284 жыл бұрын
Hivi viongozi wa juu wa kikristo na umoja wa makanisa tz Mnawatambuaje hawa waalim wa kikristo maana isije ikawa wanafanya kazi ngum alf hawapati sapoti.
@mundhirseif7492
3 жыл бұрын
Kazi gani ngumu iko wap hapo
@ngundejkassim32524 жыл бұрын
very logical answer from mazinge
@fbhj4436 жыл бұрын
wanamchukia Muhammad halafu mafundisho yake wanayafuata
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
Imagine
@abdulrahmansalim97734 жыл бұрын
Hujui kuzungumza Issa kaja kwa sababu ya wana esrael .Issa na akamaanisha atakuja Ahmad sasa wakristo bustard's wanafik mnazungumza nini???
@layleyla6 ай бұрын
Shaekhe Mazinge unaweza Masha Allah
@tiberiuskuja67642 жыл бұрын
Mazinge hapa umepondwa squarely na unajaribu kutumia nguvu za soda kupotosha
@rekichiuskadogo36578 жыл бұрын
YESU NI BWANA .
@fbhj443
6 жыл бұрын
Rekichius Kadogo bwana hata ww ni bwana
@nassrubushoot5750
5 жыл бұрын
Na wewe ni Bibi
@yesunialamayakiama.9013
4 жыл бұрын
@@fbhj443 Ndiyo yeye ni bwana ila sio BWANA.
@mamymdogomamy3670
3 жыл бұрын
Ww ni bibi🤣🤣🤣
@muddaththirhamoud12406 жыл бұрын
Mazinge ni nowmaa sio mchezooo 💪💪💪💪 waislamu oyeeee hamna mikwala bwana. Mungu gan uyo anae zaliwa na kutokea kama alopotokea binadam wa kawaida?? Sasa alivokua kuwa tumboni nani alikua ana uuu ngu ?
@salumuabedi20204 жыл бұрын
Akasha dawa
@abdimoge38396 жыл бұрын
Mdahalo ingezidishwa ili ustadh mazinge awatoe watu kwenye giza. Mungu akuingize janah sheikh ustadh mazinge.
@hamadimuya72488 жыл бұрын
hivi vinanda ni vya kuwaleta wakristo waliopotea kwenye njia ya haki.
Пікірлер: 920
All the way from Canada Mazinge may Almighty Allah grant you Jannatul firdaus and all of Ummati Muhammad (SAW)
Maashaallah Habib Othman mazinge inshaallah Allah atazidi kukupa ujasiri wa hali ya huu zaidi na akujaalie uzidi kujiamini katika kuwaelimisha makafiri na kutangaza uislamu namuomba mungu anijaalie angalau nipate robo ya ujuzi ulonao ili nifanikiwe katika masomo yangu.inshaallah Allah atakufisha ukiwa muislamu.aamin aamin aamiin
@halimamwachilimwachili5099
5 жыл бұрын
Aamiin.
@emmanuelngewa8894
2 жыл бұрын
neema ya Mungu iliyonifikia mimi ikufikie na wewe umpokee yesu acheni ukaidi
Mtume mohamad s.a.w ndie mtume wa Allah kipenzi cha Allah hata mumkatae yeye ndie kipenzi chetu tena kipenzi cha Allah, poleni sana wakristo hoja potofu , Allah muongoze sheikh wetu mazinge na waislam wote hapa duniani Aamiin yarabi
@davido-scooper9471
3 жыл бұрын
Pole kufanaimani potofu
@nawwarsultwaan6404
3 жыл бұрын
@@davido-scooper9471 we kafiri fanya usilimu ww mpumbavu w
@ghalibchikomele521
3 жыл бұрын
Qq
@shekhazahran4608
2 жыл бұрын
Mwehu huyu kabisaa upotofu utaona utakapo rejea kwa Allah
@joshuanoel4482
2 жыл бұрын
Sasa mzee utume wa kupewa na mkewe 😆😆😆
Kwann nisipite hpa napita usiniwekee mikwara hahahahha mazinge noma
Jammanni,..mbona mwatutoa nyama mdokoni??. Duuu! sheikh Mazinge bwana. Wallahi Mungu atakulipa...waambie wao chuki ya nini??? Mohammad (s.a.w) ni mtume tena wa mwisho.TAKBIIIR. ALLAHU AKBAR.
@thuebamohammedswaleh6897
8 жыл бұрын
Allahu akbar
@shebbyclassic7594
7 жыл бұрын
Allah mlipe Ustadhi Mzinge amari Njema
@fbhj443
6 жыл бұрын
Mesaid Tsozi AllAHU Akbar
@fbhj443
6 жыл бұрын
Shaban Hamisi Amiin yaa Rabbi
@abdimoge3839
6 жыл бұрын
Allahu akabr
Mashaa Allah mazinge mungu akupe umbri uwajuze wasio jua
Am here today Sheikh mazinge Jazakamu Llah kheir...Allah akulinde na azidi kukueka ili uzidi kuwapa iiman hawa wenzetu wazidi kuingia katika dini iliyokuwa haqi (ISLAAM) In Sha Allah
@nassoorg8832
3 жыл бұрын
Amin yaaraby
@lakasid3860
3 жыл бұрын
Nani alisema ni dini yahaki
Huwa sh Mazinge ananifurahisha anapocheka Anamaanisha Allah akuhifadhi
Ustaz Mazinge may the almighty protect you.
@chajuma4375
4 жыл бұрын
wazulimu awo
@maherzain615
3 жыл бұрын
Ameen
Anayeangalia tena saii tujuane Kwann nisipte🤣🤣🤣napitaaa,,nisipite kwann🤣🤣🤣
@PrinceMoreto
3 жыл бұрын
Nipooo😂😂
@abdulrahmanmussa4479
3 жыл бұрын
Hahaah napitaaaa
@abasimachano2964
3 жыл бұрын
Nipo hpa
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
Haaasa nisipite kwa nn😂😂😂😂😂😂 mchungaji kazi kwako 😂😂
@johnkimani5432
3 жыл бұрын
@@abdulrahmanmussa4479 the
Takbir sheikh mazinge.... Huyu mchungaji amechanganikiwa kwli
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
Muhammad (S.A.W) ni mtume Wa mungu kweli na wala hakuna hoja.
@mudkhamis3078
4 жыл бұрын
Sahihi asa na uo ndoukweli
@mwasaharijani1209
4 жыл бұрын
Yes alisema katika Yohana 14:6 Mimi ndimi njia, na keeping, na uzima; mtu haji kwa baba ila kwa njia ya Mimi.
@jeffjf6089
4 жыл бұрын
hao wanakuumiza kichwa2 mazing
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
Allah hakuzidishiye umri na afya uzindi kuilinganiyaniya dini ya Allah ameen
Na ndio maana hapatokea mtume mwingine zaid ya Mohammed s.w.a takbiriiiii.....Allah akbar
@suleimanally9900
5 жыл бұрын
Allah akibar
@geoffreyembasa8483
4 жыл бұрын
Marcus Garvey
@mumkmamy5186
4 жыл бұрын
Allahu Akbar
@hibrashiblinho53
4 жыл бұрын
Vp
@nawwarsultwaan6404
3 жыл бұрын
Allah u akbar
Mungu akulipe kwakwazi nzuri yakuwaelimisha hao ndugu zetu wenyewe ni ujanja ujanja tu hila point awana
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
Wow Beatrice Zacharia ulisilimu?!
@habaumedia7932
3 жыл бұрын
@@fatmazullu4933 itakuwa amesilimu
Aya aliyoitoa kwenye Quran kwamba nabii Ibrahim amechaguliwa na kizazi chake chote, Hio imetosha kuwa mtume Muhammad alichaguliwa pia, kwa sababu mtume Muhammad ni kizazi cha nabii Ibrahim. Halafu Qur'an inatumia kuchaguliwa ama kutumwa. Sasa nabii musa alichaguliwa kwenye aya aliyoitoa na kuna aya inasema tumekutuma Muhammad kama tulivyomtuma musa kwa firauni. Kama hamuna wasi wasi nabii musa alichaguliwa kwenye hio aya, bas pia kubalini hii aya iliosema tumekutuma Muhammad kama tulivyomtuma musa kwa firauni basi na mtume Muhammad alichaguliwa. Sasa hata kuamini kwako kuna mushkil kwa sababu pia ungepata aya inayosema Muhammad alichaguliwa na ALLAH, pia usingeamini. Ninachoomba, hao waliosema wameipitia Qur'an yote hawakupata andiko kuwa mtume Muhammad alichaguliwa, warudi kuisoma tena Qur'an na ALLAH atawafungua macho waone maana hawaoni.
@mwakakhamis5762
5 жыл бұрын
Swadaktaa niljua viziwi tu kumbe vipofu pia Wakirsto hamna lenu kwanza katufuteni diniiii
@safiayusuf3482
4 жыл бұрын
Yende akafanye utafiti, ni kipi kizazi cha nabii Ibrahim then asimame mbele za watu
@mickidadamiri1371
4 жыл бұрын
Afya Pwid10 hi..
@edenedna8934
4 жыл бұрын
Wanachakuliwa kwa jina sio kizazi,.
@josemourinho8781
4 жыл бұрын
Ww ndo huoni vzur
"Alafu kuna mama ananiangalia hivi...mimi ndie mazinge..."Waislamu Takbir..."
@mickeluis6594
3 жыл бұрын
Asalam aleikum umati Muhammad? Kwanini uislam unapigwa vita duniani? Hili niswali lakuumiza kichwa sana. ILA MM NAVOJUA APIGWAYE VITA SANA NI MSEMA KWELI
@edwarddavid8076
3 жыл бұрын
@@mickeluis6594 vita mnajipiga wenyewe kila siku uarabuni
Nakupenda mazinge kwa ajili ya Allah
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
ustadh mazinge kazi nzuri jazakallah kheir wape waislamu faida na waelezee wakristoo ukweli huenda wakatoka gizani wakaingia katikaa nuur inshallah
@nabilaantar6425
6 жыл бұрын
seif ali nakupongeza mazinge
@millionairejeffreysunofbez3766
4 жыл бұрын
Kwa akili yako, mkristo anamfata yesu aliye hai, na nuru ni yesu mwenyewe, sasa apo nani yupo gizani..na islamu unamfuata aliyekufa sasa nani bola, aliye hai ata milele na ataludi kwetu, na aliyekufa hawezi kuludi, ww kwa akili utamfuata nani..???
@zouzou2849
4 жыл бұрын
@@nabilaantar6425 ⁹ppon khôl union Ni
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@eddy4998
3 жыл бұрын
@@millionairejeffreysunofbez3766unaamini kuwa yesu mungu ila mungu hafi Wala hatokufa yesu yupo wapi sasa
Allah akulinde allah yazidak mzee mazinge
@johnpepe4501
3 жыл бұрын
INSHA ALLAH
@richardlaizer3005
3 жыл бұрын
Mazinge mwenyewe kafiri2 laana xumack
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@nawwarsultwaan6404
3 жыл бұрын
@@richardlaizer3005 kafiri ww na babaako usojielewa ww
@wamoroboy8963
3 жыл бұрын
@@nawwarsultwaan6404 af na wewe ujiite mwanadini kwa mitusi hyo 0
AKASHA DAAWAH tunakushukulu saaaaana kutufikisha masomo haya.
Mazinge i Love you so Much...Yahya Amefariki Dunia Allah amsameh,amweke pamoja na wema,peponi....
@hajrasaid1533
3 жыл бұрын
Ammin
@raheemkio4293
3 жыл бұрын
Aaamin
Hakika m2me Muhammad ni m2 wa Allah
@barakakasamia5036
3 жыл бұрын
Acha ushabiki kwenye maswala ya imani, apo umeelewa kitu gani?
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
@@barakakasamia5036 sasa wewe hajaelewa nn acha imani zakurithi bila kusoma
@maherzain615
3 жыл бұрын
اللهم صلى وسلم وبارك على محمد وال وصحبه
Alhamdulilah mashaala ahsante kwa kutetea dini yetu mungu aku zidishie
wafahamishe mwalim mazinge
Mashallah Sheikh Mazinge Allah akuzidishie umri Ili uzidi Kutuelimisha Ss Waislam na makafiri Wasio Jua Dini Ya Haki Niya Kiislamu Takbirrrrrrr
Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mzinge inshallah
@mustaphamusteshi3559
4 жыл бұрын
hassan mpwepwe mbona waliishia mkwal tu
ningetamani nijue mwisho jamani Allah akbar jamani Mazinge mola akulinde na akupe umri mrefu ili uendelee kutangaza dini
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Aamin
@nuurayasin5211
5 жыл бұрын
WALAI NATAMANI SANA2NINGEKUWA Kule
@chrisniyomukiza1684
3 жыл бұрын
Fuata part B
@emmanuelnyandoa6517
3 жыл бұрын
.
Huyu Mazinge,,,anahitaji msaada wa Mungu, kwa Jina la Yesu Kristo. AMEULIZWA AONYESHE MAHALI MOHAMMED "AMECHAGULIWA"
@sultanamour8501
2 жыл бұрын
Umerogwa wewe
@Anuarmustafa4128
2 жыл бұрын
Kweli amerogwa na alie mroga kafa
Wamaa arsal naka illa rahmatallil alamina hatukukutuma ewe muhammad ispokua uwe rehma kwa viumbe vyote
Twajivunia kuwa n ustad Othuma Mazinge🕋🕋🕋
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@abdul-razzakmuhammed3058
3 жыл бұрын
Sana tena Na mungu atuekee.
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
May Allah protect him 🙏
Mwli masenge, uko vizuri unajiamini kwenye uwongo
Shukran Sheikh Mazinge Allah akupe umri ln shaa Allah,
@donardbudole743
4 жыл бұрын
Yohana omar ni kibokoo Mungu akubariki San
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
Allahu Akbar shikh mazinge Allah awe na ww
MA shaa ALLAH
Safi sana Ustadhi Mazinge waambie makafiri hao wasojielewa Mungu akuweke inshaallah
Asa usipite kwa nn, kwa nini usipite Habibi Mazinge pita pita pita hahaha patamu apo, Allah awahifadh Akasha's group na akulipeni kla la khery
@mumkmamy5186
4 жыл бұрын
Aameen
Mazinnge nakubali maneno yako kwasababu unalo lisema liko kamili kwenye Quraan na Bible unasema inavo takiwa sio kubadilisha maneno
@allyzzege8816
5 жыл бұрын
Mahsnir Mohammed good
@sharifkombo8520
4 жыл бұрын
Aa
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
Hakuna dini yakweli na ya hakki zaidi ya uislamu na muhammad (sw) ni mtume wakweli wakristo msidanganywe tokeni kwenye upotevu ushauri wangu
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
Ukweli bro Vipi???
@ibrahimhaki4762
4 жыл бұрын
Jidanganye tu
@romanusfikiri3194
4 жыл бұрын
Mnadanganywa eti dini ya haki,mimi nataka niwaulize ivi kwanini uislam unaambatana na uchawi yani kukuta shehe ni mchawi au mwanga ni kitu cha kawaida sana,kwann waislamu mashehe lazma wahe wachawi?
Dk mazinge hongela sana kwa kuwa elewesha hao makafili tikbrii allah Akbar
Masha Allah, kazi nzuri saaaana jazakallah
Huyu pastor ako sawa. Yesu asifiwe sana
Allah awajaalie kheri kina ustadh mazinge na wenzake wote wanaopigania dini ya Allah
@AliSaid-yw7jp
8 жыл бұрын
aaamin
@johnmdzomba2506
8 жыл бұрын
Amiin
@abdimoge3839
6 жыл бұрын
Amiin.
@mumkmamy5186
6 жыл бұрын
Aameen
@mwakakhamis5762
5 жыл бұрын
Aamin
This Sheikh is Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, wants you to do. So you too can be SAVED!
Jamani ndungu zangu waisilamu mkubalini yesu mkombolewe sio kupinga kristo nani alie toa pepo kwa jina la mhamadhi
@abasikassim2566
3 жыл бұрын
Unapotea dadaangu
Ma shaa Allah. Sawa sawa sadaqta Sheikh mazinge Mwenyezi Mungu akuzidishie ameen.
Allah akupe kila la kheri ust mazinge
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
Ameen
@habaumedia7932
3 жыл бұрын
Mung mkubwa
Tatizo lenu nyinyi makhafiri ufahamu wa lugha ya kiswahili kweni ni mtihani mkubwa.. Yaani lugha ya kiswahili ni lugha yetu lakini yahitaji taaluma na ufasihi mkubwa sana. Hususani kama nyinyi makhafiri lugha kiswahili mnaiongea kiblokeni sana kuliko kiswahili fasagha. Ekesha mnajifanya mnaufaham mkubwa wa lugha kumbe ( ZERO )tu. Pore sana mm huwa nakuoneen huruma sana nikikuoneni jinsi ulipotea..! Yaani kama vile duniani hampo na akhera mnatafutwa..!
@mwakakhamis5762
5 жыл бұрын
Hahahaaaaa!!! Tatizo shulee
waislamu takbirrrrr
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Dekha Sheikh Allah akbar
@mumkmamy5186
6 жыл бұрын
Allahu Akbar
@halimamwachilimwachili5099
5 жыл бұрын
Allah Akbar.
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Allah akbar
@khalidsalmin7682
4 жыл бұрын
ALLAH AKBAR
Alhaabibiiii maziingeee maashaaaaallaaah
A,A zidisheni mihadhara ndio watu watoke ujingani ,maana wengi wa wakristo wanaongezea maneno juu ya vitabu vya dini, tena hata HAYA hawana. lo!!! wanapotosha watu kweli.
@danielsajilo4143
4 жыл бұрын
Pole sana ndugu yng S's wakristo ndo tuyewapa kitabu soma qurr
Mashallah mazinge kiboko ya makafir walasilimishe
Jazakah Allah... Tena uyo mchungaji n muislam
Jazakallah ustadh mazinge
🤣🤣🤣🤣 i like this argument its very friendly, spiritual and powerful
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
Me too I really like this 😅😅😅😅😅😅
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
Yesuu kumbe mzungu🙆🙆🙆😒😂😂nimejua Leo🙄
@shekhazahran4608
2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Ila kitendo cha Muhamad kupewa utume na Mkewe kinafurahisha sana🤣🤣🤣🤣🤣😂😂alafu Mashehe wanabadilisha eti Mungu ndio kamteua
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji Yahya Mungu akubariki
mimi huwa namshukuru sana Mungu hii mihadhara imeokoa maisha yangu. nilikuwa mwislamu kweli kweli. ndipo mwaka 2009 mpaka 2010 kulitokea moto wa mihadhara hasa kanda ya ziwa wilaya ya bukombe na maeneo mengi ya huko wakaja wahadhiri kutoka kigoma wakafanya mahojiano wiki tatu usiku na mchana na wakristo,, hoja nyingi sana za kiimani zilizungumzwa, majini na uislamu, sabato, ubatizo, uungu wa yesu, na mengine mengi sana tangu hapo nikaachana na uislamu na leo nimkristo ninaye mngoja yesu huku niiitunza sabato ya Bwana ndugu zangu hii mihadhara msiichukulie kama ushabiki ifatilieni kwa umakini ukiguswa na jambo lifatilie linaweza kuwa na hatima ya maisha ya wokovu. Munugu awabariki sana
@Anuarmustafa4128
2 жыл бұрын
Wewe utajijuwa mwenyewe uislam hatoki mtu hapa
kila la kheri shekhe wangu mazinge
@hawaaabdoul7286
5 жыл бұрын
Waislam asalamu alaikum
@omarhakizimana7595
4 жыл бұрын
Kbx nampendasana mazinge
sheikh mazinge masha allah nakupenda sana
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
Marshall mazinge Allah akupe umri mrefu namani ninge ona mwisho
Masha Allah mungu akulipe
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
@ramadhanimkopi2897
3 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuongoze
Alafu kuna mama mmja ananiangalia ivi🙄😂😂😂😂😂mm ndo mazinge😂😂😂🙆🙆🙆ndo nimekufa kucheka 😂😂😂😂😂
Mikwara yote navunja! Haha mazinge Allah akuifadhi
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
Aameen Yaa Rabb
@azminaahmad9620
3 жыл бұрын
Asante sn mazinge
Mm mazingenakukubali sanapiganamungu anakuandalia pepo utaingiabila kipingamizi
Kiboko ya makafili nimazinge Allah akupe afyanjema yarrab
allah akujaalie kheri mwalim mwazinge
@ibad-urrahmanmedia241
7 жыл бұрын
Amen
@mamatuishi-mamatuondoke8822
7 жыл бұрын
Sokio langu zito kweli kusikia haya"wanikosesha raha kabisa"mungu tu tusaidie
Aisee uyu mchungaji ana uwepo wa Mungu wahali yajuu sana, adi Mazinge kwakuto jielewa anaubiri wakristo ni wacha Mungu
Allahumabarik sheikh mazinge
Allah akujaalie kuwa ni mtu mwema na mwenye subra
Mbona mazinge hujibu swali.
@edwarddavid8076
3 жыл бұрын
Hana hoja tatizo hawasikilizi wanashabikia tu, hawawezi kuelewa ukisikiliza kwa makini hajajibu swali
Ya Rabb Mpe Umri Ustadh Wetu Mazinge... Aameen Ya Rabb
SubhanaAllah❤
ALLAH AKBAR
@AliSaid-yw7jp
8 жыл бұрын
mungu mkubwa
@habaumedia7932
3 жыл бұрын
Allah akbar
Ama huyu Mchungaji bwege kweli. Anaamini maneno ya quraan halafu namkataa aliyeipokea. Anawapoteza watu
@janetjackson9586
4 жыл бұрын
YAHYA AL SAQRY kaka kuruhani ni samary ya biblia bila kupinga
@nohatredbutlove5786
4 жыл бұрын
@@janetjackson9586 sasa umeona wapi summary ikawa kubwa kuliko kitabu chenyewe? 🤣🤣
@nooordubem2802
4 жыл бұрын
@@janetjackson9586 yafaa uwlewe kuwa Mungu hakuwahi leta kitabu kiitwacho biblia kwa nabii yoyote,hata yesu haijui biblia ila anaijua injili ndicho kitabu alichopewa. Biblia jiulize imetoka wapi?
@aishaomari1881
4 жыл бұрын
Nduguzang mungu awape ufaham
@habaumedia7932
3 жыл бұрын
Sanaa
Jazakhallau kheir
Iyi moya mzee Mazinge ulishindwa.
Simkubal hyo muhamadd
Allahu akbar❤
Yan uyo mkiristo anaamin km quran ipo sawa na anaisoma..n kuamin km quran imemchagua musa n wengineo...ila haamin anaeisoma ambae n Muhammad s.a.w?? Na aya zinazomtaja Muhammad kmn mtume anazikataa n kusema ni maneno yke tu...sasa unataka waislam wafanyaje coz ukitajiwa aya unasema n maneno yke..mazinge kasema Mungu kamtuma malaika ampelekee Muhammad quran...yan maneno yke yy mungu...ndo kashachaguliwa mbona hajatumwa mpelekee mwengine..n umesoma andiko km mungu hafanyi mambo yke tu ovyoovyo mpka achague bas alivyomchagua Gabriel apelekee na Muhammad ndo kachaguliwa kuwa wa kupelekewa
ALLAH ''..afamilia na tu napitaa sie ni wana wa ALALLH
Yohana Omar wafundishe hao makafir wakislam bwana Yesu asifiwe sana
Allah akuhifadhi mazinge
asante Yesu kwa kuniokoa maana wewe ni mwema sana.......na Roho wa uzima umenibarikia mmmmh...asante baba mtakatifu muumba wa mbingu na nchi kwa kutupenda sana.
@abedisalumu2295
4 жыл бұрын
Sasa kakuokoa vip nawakati yeye mwenyewe alishindwa kujiokowa mpaka akamlilia Mungu
@grationbutros3807
4 жыл бұрын
Sheikh umetixha xan mungu akubarki
@fineboyAfrica
3 жыл бұрын
@@abedisalumu2295 🤣🤣🤣🤣 kwel ukiristo ni ujinga wa hali ya juu
@lakasid3860
3 жыл бұрын
@@fineboyAfrica kama ukristo ni ujinga uislamu ni usenge wahali yajuu
Allah akuendeleze na akulipe shekh mazinge kwa kweli unastahili pongezi
Allah akuzidishie mazinge
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
Shukran
Mazinge wape vidonge vyao uko juu Allah akuweke
Hivi viongozi wa juu wa kikristo na umoja wa makanisa tz Mnawatambuaje hawa waalim wa kikristo maana isije ikawa wanafanya kazi ngum alf hawapati sapoti.
@mundhirseif7492
3 жыл бұрын
Kazi gani ngumu iko wap hapo
very logical answer from mazinge
wanamchukia Muhammad halafu mafundisho yake wanayafuata
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
Imagine
Hujui kuzungumza Issa kaja kwa sababu ya wana esrael .Issa na akamaanisha atakuja Ahmad sasa wakristo bustard's wanafik mnazungumza nini???
Shaekhe Mazinge unaweza Masha Allah
Mazinge hapa umepondwa squarely na unajaribu kutumia nguvu za soda kupotosha
YESU NI BWANA .
@fbhj443
6 жыл бұрын
Rekichius Kadogo bwana hata ww ni bwana
@nassrubushoot5750
5 жыл бұрын
Na wewe ni Bibi
@yesunialamayakiama.9013
4 жыл бұрын
@@fbhj443 Ndiyo yeye ni bwana ila sio BWANA.
@mamymdogomamy3670
3 жыл бұрын
Ww ni bibi🤣🤣🤣
Mazinge ni nowmaa sio mchezooo 💪💪💪💪 waislamu oyeeee hamna mikwala bwana. Mungu gan uyo anae zaliwa na kutokea kama alopotokea binadam wa kawaida?? Sasa alivokua kuwa tumboni nani alikua ana uuu ngu ?
Akasha dawa
Mdahalo ingezidishwa ili ustadh mazinge awatoe watu kwenye giza. Mungu akuingize janah sheikh ustadh mazinge.
hivi vinanda ni vya kuwaleta wakristo waliopotea kwenye njia ya haki.
@millionairejeffreysunofbez3766
4 жыл бұрын
Njia ya kweli ni kristo
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
@@millionairejeffreysunofbez3766 pole yako
umemkomesha sana mazinge uyo kafili 😅😅😅😅😅
@japhetymgumba5568
6 жыл бұрын
Os Alos
@Pos_tyger_jr7
4 жыл бұрын
Japhety Mgumba
Mazinge umeshafanya kaz nzur sana
Mashallah ustadh mazinge Mungu akuhifadhi yarabbi