DEBATE | Sheikh Mazinge Jibu Yesu ni Mungu au ni mwana wa Mungu

Tazama sheikh Mazinge alivyowagaragaza wathabato

Пікірлер: 183

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54872 жыл бұрын

    Mungu tuwekee mazinge.. Kiboko ya makafiri

  • @hajathhajiselemani3019
    @hajathhajiselemani30192 жыл бұрын

    Mashallah sheikh wangu nimpendae kwa ajili ya Allah,,,,sheikh mazinge I love you from the moon and at the back sheikh

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi75852 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh Mazinge mwenye mungu akupe umrii mrefu uendelee kuitangaza Dini haki na ya kweli hakika mkristo mwenye ufaham na kujua baya na zuri akikuskilza atajua kweli ni ipi

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri68572 жыл бұрын

    This time around professor Mazinge we are watching you from Lusaka zambia, it's very interesting professorجغق ،you making us feel okay, you make us grow in loving Islam

  • @issmuking3987
    @issmuking39872 жыл бұрын

    yaaan mazinge wallah nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo43792 жыл бұрын

    Mazinge Allah akupe umri mrefu na hekma ya kupambana na hawa makafiri

  • @hassansumera7818
    @hassansumera78182 жыл бұрын

    Professor toa lecture wataelewa tu. Allah akupe umri mrefu tuendelee kunufaika zaidi kizazi Hadi kizazi.

  • @omarjeylan4113
    @omarjeylan41132 жыл бұрын

    MashaAllah TabarakaAllah i love this professor, i remember watching him since 1996 in mombasa Kenya when he use to come, Allah anijaliye to invite him n to be my VIP guest.

  • @eshasalim5496
    @eshasalim54962 жыл бұрын

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH

  • @bahatisaid5435
    @bahatisaid54352 жыл бұрын

    MashaAllah tabaraka Allahu Akibr ❤️ mazige Allah akuhifazi wallah

  • @kochantv8554
    @kochantv85542 жыл бұрын

    Wallah Dr mazinge nakupenda kwa Ajili ya Allah🙏

  • @fatumamuya2139
    @fatumamuya21392 жыл бұрын

    Maa shaa Allah shukran wote mlioshiriki

  • @samxx411
    @samxx4112 жыл бұрын

    Kama football, Mazinge ni Ronaldo na kama wrestling Mazing ni John Cena (Anajuwa hadi anakera) Mungu akuzidishie

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe38262 жыл бұрын

    Mashaallaah Allah ukupe umli mlefu shekh wangu mazinge na a2pe mwisho mwema inshaallah

  • @MkBoneface-dl4hn
    @MkBoneface-dl4hn10 ай бұрын

    Allah akujalie maishabora duniani Na ahera profeca mazinge

  • @ahmedabdirustu2193
    @ahmedabdirustu21932 жыл бұрын

    MashaAllah sheikh Mazinge barakallah, unaeleweka kabisa, Anaye taka haki, Haki hii hapa.

  • @maherzain615
    @maherzain6152 жыл бұрын

    Allah akupe afya na umri mrefu professor

  • @missrukia9661
    @missrukia96612 жыл бұрын

    Mashallhaaa

  • @tatumbaruku2727
    @tatumbaruku2727 Жыл бұрын

    Mashallah ustadh mazinge ,Allah akujaze afya njema uweze kuutetea uislamu daima.

  • @chabunu3367
    @chabunu33672 жыл бұрын

    Ndacha Kaa chini kabla hujakutana na mazinge huwezi kumshnda mazinge maana anatetea dini ya haki

  • @deqamoha7001
    @deqamoha70012 жыл бұрын

    Umewaosha Hawa mazinge

  • @alilalila5035
    @alilalila5035 Жыл бұрын

    MA Sha. ALLAH. MAZINGE. ALLAH. AKUPE. AFYA. NA UZIMA Aameen

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame38632 жыл бұрын

    Mazingue frofessa kwa waubir

  • @MkBoneface-dl4hn
    @MkBoneface-dl4hn10 ай бұрын

    Allah akubariki kwakazi kubwa unaifanya mazinge

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari54022 жыл бұрын

    Allah awalinde mashekhe wetu muzidi kupambana nao hao makafiri

  • @seifmziray2551
    @seifmziray25512 жыл бұрын

    Mashalakh

  • @ngusacharles475
    @ngusacharles4752 жыл бұрын

    Nakupenda Debate hii Sana Hawa jamaa wanaondoa chuki za Udini na ni faida kwa taifa,,letu.

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka43192 жыл бұрын

    Yesu ni Bwana, ni Mungu ni mwana ni mtume ni Mchungaji ni mwalimu na yote katika yote

  • @pilimusa3217

    @pilimusa3217

    2 жыл бұрын

    Yesu ni mtume, utume huo katumwa na nani?

  • @mwakoromamwanamgeni5420

    @mwakoromamwanamgeni5420

    Жыл бұрын

    Kafiri mkubwa wee!! Huna haya

  • @modinakshy6276
    @modinakshy62762 жыл бұрын

    Mashaallah inshaallah watafamu tu

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24442 жыл бұрын

    MAZINGE wallahi Allah akubariki Sana!

  • @salumunanguva9127

    @salumunanguva9127

    2 жыл бұрын

    Mazinge

  • @hirammbugua7593

    @hirammbugua7593

    2 жыл бұрын

    kwanini mazinge ndiye anaongea tu na ni kuongea na kujibu.waislamumko na ujanja furani.

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack61802 жыл бұрын

    Hahahahahaha wallah asie kuelewa Mazinge huyo hana FIGO

  • @omargbabaomar2004
    @omargbabaomar20042 жыл бұрын

    Masha Allah sheikh mazinge

  • @kudramzee5769
    @kudramzee57692 жыл бұрын

    Professional mazinge

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Mashaallah shekhe mazinge

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman85192 жыл бұрын

    She mazinge jinsi ninavokupenda nataman siku moja tuonane Allah akupe afya njema

  • @thomasalchannel1135
    @thomasalchannel11352 жыл бұрын

    Yesu Ni Mwana wa pekee wa Mungu;nasi Ni Mfano wa Sehemu za mwili wake kwa kuwa Yeye Ni kichwa nasi viungo.Waisilamu fahamuni Hilo.Yusufu Ni Baba Mlezi wa Yesu.Amin Amin

  • @jumanasoro8903

    @jumanasoro8903

    2 жыл бұрын

    Hujitambui

  • @fatumabakari1480

    @fatumabakari1480

    2 жыл бұрын

    Mung amezaaa Wap broo Thom😂😂😂

  • @hadiyamohamed594

    @hadiyamohamed594

    2 жыл бұрын

    Yesu ni binadamu kama mimi na wewe slivyoubwa ila kspewa unabii .

  • @thomasalchannel1135

    @thomasalchannel1135

    2 жыл бұрын

    Mungu hazai kwa mwanamke huzaa kwa NENO.Kabla ya misingi ya Dunia(Issa) apo na Mungu Baba

  • @athumanzahir8316

    @athumanzahir8316

    2 жыл бұрын

    Nyie mnabisha waislam hawampend yesu

  • @delefantasticali8377
    @delefantasticali83772 жыл бұрын

    Mashaallah big bro mazige

  • @rajabhamis8272
    @rajabhamis82722 жыл бұрын

    Mazinge Allah, akupe mwisho mwema na kauli thabiti,,

  • @hamisijm8437
    @hamisijm84372 жыл бұрын

    Masha allahy Baba mazinge Wamekuelewa

  • @heyumi2340
    @heyumi23402 жыл бұрын

    shekhe mazinge 🥰🥰🥰kiboko ya wakiristo

  • @AliMohamed-ng5ps
    @AliMohamed-ng5ps7 ай бұрын

    Mazinge mashaallah wafunze ❤❤❤❤

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed71382 жыл бұрын

    Maashaallaah Allhamdullaah

  • @nassarrostom1919
    @nassarrostom19192 жыл бұрын

    Mazinge unatetea dini ya Allah ❤❤

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    Mungu wetu sisi hana dini,yeye huiangalia lmani ya mtu juu yake tu. Dini ni Mpango wa MWANADAMU ili kumtafuta MUNGU. Mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU tu!!

  • @nassarrostom1919

    @nassarrostom1919

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 ivi mpaka Leo ujui dini gani ya kweli,? Polee

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@nassarrostom1919 Kwa Mungu hakuna dini,kuna Imani. Imani ya kwanza duniani ni Christianity. Ukristo upo duniani toka miaka ya 200,na hiyo dini yako imeanza miaka ya 600. Labda nikupe definition ya Dini; DINI ni mpango wa mwanadamu ili kumtafuta MUNGU,lakini mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU.. Sasa Ukristo siyo dini ni IMANI,sasa wewe kama unadhani dini yako itaku fikisha MBINGUNI,wait and see👀. Imani ni AMANI na UPENDO lakini dini ni VITA na CHUKI kati ya wanadamu,mna tabia yenu kwenye hiyo unaayoiita dini ya kweli,kuua watu wasio na hatia eti ndio unaenda ahera. Wonderful!!! Eti uue mtu uione mbingu mbona ni formula ngumu ya kishetani?? Badilikeni Mungu anaangalia IMANI ya mtu na matendo yake,pia jinsi mtu anavyozishika Sheria na Amri alizoweka tu. Hayo mengine ni yenu watu wa dini.

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@nassarrostom1919 problem is that Mungu hana dini

  • @nassarrostom1919

    @nassarrostom1919

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 Kwani ukristo ni nini!

  • @leadyl5757
    @leadyl57572 жыл бұрын

    Yesu juuuuuu

  • @achanifumos1093
    @achanifumos10932 жыл бұрын

    Kwa nini inaharibika sauti pindi akismama bwana mazinge?????..

  • @Bimariam-qn2gm
    @Bimariam-qn2gm Жыл бұрын

    Download

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari54022 жыл бұрын

    Vidume WA Allah.Allah awalipe.

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa54542 жыл бұрын

    Amina

  • @mastermacheni932
    @mastermacheni9322 жыл бұрын

    Yes yes yes yes

  • @user-en2gp3fb7m
    @user-en2gp3fb7m7 ай бұрын

    Mazinge waeleweshe ma a na hawajui kiswahili

  • @suedahmadi9091
    @suedahmadi90912 күн бұрын

    Iko njia ionekanayo njema machoni pa mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti

  • @maukadekandege6617
    @maukadekandege66172 жыл бұрын

    Ila hii midahalo mnajichanganya sanaaa

  • @suleymanally4729
    @suleymanally47292 жыл бұрын

    Naon kuna mdada kasmama hapo hat haon haya najisket lake 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jumashabani8474
    @jumashabani84742 жыл бұрын

    Muone huyo dada alivyo vaa hata mshipa wa haya hana duuh au ndio Rohomtakatifu yumoyoni

  • @tinnoaugusto7779
    @tinnoaugusto77792 жыл бұрын

    Shida n kwamba Biblia Ina mafumbo mazito ambayo n magumu kuyaekelewa kirahisi... Shekeh anatafiri kilaini tu sio kitabu Cha hadhi hiko... Em fanyeni hiyo midahalo na watu waliosomea SoMo la Biblia takatifu sio na walio kariri tafadhali

  • @fatumabakari1480

    @fatumabakari1480

    2 жыл бұрын

    We ndo huelew sa Ina mafumbo gan mnagusaa Gus tu mnaruka mambo

  • @adammj6258
    @adammj6258 Жыл бұрын

    Hadi hapo bado tu hamstuki!!?

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji22002 жыл бұрын

    Itakua mapacha

  • @amblozambloz8812
    @amblozambloz88122 жыл бұрын

    Huyo mazinge mnafiki alihaidi kubatiza kama kuna Aya ukristo ni dini... Alipewa na kitu alichofanya ni kunyamaza kumblock mwalimu ndacha kila mahali ndio wasikutane naye kwa mtutano yeyote

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua75932 жыл бұрын

    kwangu mimi mazinge hana point. ni ujinga tu.

  • @hadiyamohamed594

    @hadiyamohamed594

    2 жыл бұрын

    Huyo ni professor Dacha wenyewe anapikwa 🤣🤣🤣

  • @alsamali6964

    @alsamali6964

    2 жыл бұрын

    Toa point ww bc

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii5782 жыл бұрын

    Uyo mwanmke mm nilijua dume kumbe jike mwandishi au mchukua kamera t

  • @CharoHarrison
    @CharoHarrison5 ай бұрын

    Uislam dini ya shetani

  • @fatumabakari1480
    @fatumabakari14802 жыл бұрын

    Akii nyiee tuwaombee ndug zetu makufar Allah awaongoze coz Ile itakapofika khalidiina fiha abaada n mtihan 😩😩😩🤲🙏

  • @pilimusa3217

    @pilimusa3217

    2 жыл бұрын

    Hivi wakristo ni ndugu zetu?. Nielimishe

  • @johnayanga9880
    @johnayanga98802 жыл бұрын

    Huna la kuamba si adi Quran iansema Isa alizaliwa bila baba

  • @pilimusa3217

    @pilimusa3217

    2 жыл бұрын

    Adam bila wazazi

  • @kashindiidi8259
    @kashindiidi82592 жыл бұрын

    Debate ambazo ampost na za wa kristo! Ni vizuri mna post zote ili tujuwe oja

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking88152 жыл бұрын

    Kwa nini anaitwa Issa Bin Mariam na asiitwe Issa Bin Yusuf? Kwa hiyo kwa mujib wa Qur'ani Mariam ni mama wa mtoto na baba wa mtoto? Kama ni hivyo Issa baba yake ni nani?

  • @ikabako2454

    @ikabako2454

    2 жыл бұрын

    Na mie nnakuuliza Nabii Adam baba yake ni nani?

  • @fatumabakari1480

    @fatumabakari1480

    2 жыл бұрын

    Isa amezaliwa bila baba😂😂

  • @shabandamas1759
    @shabandamas17592 жыл бұрын

    Huyo mwanamke mbele hapo anafanyann

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤸wahubir wa kikirsto

  • @ummuswaleh6550

    @ummuswaleh6550

    2 жыл бұрын

    huyo mwanamke mwambieni aondoke hapo yupo uchi

  • @ummuswaleh6550

    @ummuswaleh6550

    2 жыл бұрын

    mazinge tanga sehemu mpo?

  • @suleymanally4729

    @suleymanally4729

    2 жыл бұрын

    @@heyumi2340 na mskert wake hata haya haoni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anawap nguvu mapastor wao

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@suleymanally4729 toka lini mwanamke wa kikitisto akawa na aibu 😂😂😂😂😂

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Hubirini Quran,kama ww unajua, nenda Vatican ambapo ndicho kiini Cha ukristo

  • @qerysir4410
    @qerysir44102 жыл бұрын

    Not impressive 🤪🤪

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde90512 жыл бұрын

    Mazinge unashangaza sana,yaani wewe na ushehe wako unashindwa kuelewa kuwa YESU ni Mungu?? Hata wewe ni Mungu au hijui?? YESU ni MUNGU na haibadiliki,na pia kwa utoto pia ni mwana wa MUNGU na hata wewe ni mwana wa MUNGU. Vyeo hivyo unavipata ukikubalika na MUNGU mwenyewe kwa kufuata amri na sheria za MUNGU.

  • @hamzafishten9560

    @hamzafishten9560

    2 жыл бұрын

    Sasa yesu kama ni mungu nani ku Kamuumba mama yake Mariam aca ujinga wewe tumikusha akili Mousa na yesu na kaja mbele

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@hamzafishten9560 Mjinga wewe usiyeijua KWELI ili ikuweke huru. Pmbvsnxsz👹😈👺🙀💀💩

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@hamzafishten9560 You don't know even writing.

  • @hamzafishten9560

    @hamzafishten9560

    2 жыл бұрын

    You to u don't know what u believe wewe ni mswaili aca kijifanya kama wewe ni mzungu ongea kiswaihil kafiri wewe

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@hamzafishten9560 Kafiri atakuwa wewe,mwenye imani ya mashetani na malaika zake,kuzuri zaidi l know what l believe and end of my journey. So l don't care whatnyou'll say about my Faith,so get lost with your religion👹