Je msalaba ni alama ya Mungu?Prof.Mazinge

Пікірлер: 6

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @ramadhanintangwa208
    @ramadhanintangwa208 Жыл бұрын

    Nice

  • @patrickmuhere5480
    @patrickmuhere5480 Жыл бұрын

    Yaaani ni Wazi Daniel Alimkaba Mazinge kwenye uongo Ikawa bora avuruge tu mahojiano ili watu wasijue nini kinachoendelea. Quran imejaa uongo na makosa mengi sana kwa kuwa walioandika ni watu wa taifa lingine kabisa wakijaribu kuiba imani na mitume ya Wayahudi miaka elfu kibao baada ya tukio, lazima kuwe na uongo. Mazinge kajua hilo kaona bora kumnyang’anya maiki Daniel kuliko kudhalilika.

  • @poveldeo9647
    @poveldeo9647 Жыл бұрын

    Jamaa hajwAh kufundisho MAFUNDISHO ya kwl yan nikudangany tu watu swal je mwezi je a lama ya nan kesho a nakwmbiah wakristo wachamungu na wasomi mujibu wa Quran hanaga jipya maneno mengi tu hakun jipya

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 Жыл бұрын

    Je mwezi ni alama ya shetani?

  • @sharifjuma1220

    @sharifjuma1220

    Жыл бұрын

    { وَمِنۡ ءَايَٰتِهِ ٱلَّيۡلُ وَٱلنَّهَارُ وَٱلشَّمۡسُ وَٱلۡقَمَرُۚ لَا تَسۡجُدُواْ لِلشَّمۡسِ وَلَا لِلۡقَمَرِ وَٱسۡجُدُواْۤ لِلَّهِۤ ٱلَّذِي خَلَقَهُنَّ إِن كُنتُمۡ إِيَّاهُ تَعۡبُدُونَ } [Surah Fussilat: 37] Ali Muhsin Al-Barwani: Na katika Ishara zake ni usiku na mchana, na jua na mwezi. Basi msilisujudie jua wala mwezi, bali msujudieni Mwenyezi Mungu aliye viumba, ikiwa nyinyi mnamuabudu Yeye tu.