DEBATE Dr SUL, MAZINGE AND SHAFII

AKASHA DAAWAH TRADERS +254 721310082
KWA WALE WANAOISHI NNCHI ZA MBALI TAFADHALI TUWASILIANE KUPITIA #viber free calling

Пікірлер: 36

  • @babfahim
    @babfahim5 жыл бұрын

    Asalam aleikum ndugu katika imani natafta clip ya shekh. Shaffi ile akiwa kwa mjadala akitoa thibitisho ya mitumi kua waisilamu kutoka Adam mpaka Mtume Muhammad shukran!

  • @gitihadi1269
    @gitihadi12697 жыл бұрын

    pongezi sheikh Mazinge kwa kuilimisha ummah.

  • @omarbakran8337
    @omarbakran83377 жыл бұрын

    safi

  • @aishaaaa6987
    @aishaaaa69876 жыл бұрын

    Mashaallah M, mungu atawalipa inshaallah.

  • @SamsonNgendakumana-ek9vj
    @SamsonNgendakumana-ek9vj26 күн бұрын

    👍👍👍👍

  • @ngokaomary5123
    @ngokaomary51232 жыл бұрын

    MashaaAllah tabarakallah 🇧🇭🇧🇭🙏

  • @joasmakere9568
    @joasmakere95688 жыл бұрын

    bigup for all

  • @ififufufyf4334
    @ififufufyf43346 жыл бұрын

    Pamoja sana tupo waumi wake mtume muhmad

  • @millardayotheamazingworld1427
    @millardayotheamazingworld14276 жыл бұрын

    Siku akiondoka Dr. Sule na Mazinge dunian ntalia sana. Hawa Allah kawapa kipawa cha elimu

  • @maulidibnjuma9575

    @maulidibnjuma9575

    5 жыл бұрын

    Hakika, allah awadumishe milele inshaallah

  • @amilymawazo3610
    @amilymawazo36107 жыл бұрын

    sule,mazinge,shafii Allah atawalinda Inshaallah

  • @swamabubakar8983

    @swamabubakar8983

    6 жыл бұрын

    maashallah mashekh wetyu

  • @kadogoomushadi5409

    @kadogoomushadi5409

    Жыл бұрын

    Amiin yaarab sahihi

  • @ismailsaimoni4911
    @ismailsaimoni49117 жыл бұрын

    swadakta

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9417 жыл бұрын

    namuona Brother Yangu #Ally_Shantry Kokote Ulipo Bro nakutafuta Sana

  • @frankjohn8570
    @frankjohn85705 жыл бұрын

    kinachotafutwa ni ushindi wa maneno lkn huwezi kushindanisha uzima na mauti hapo kuna Nuru na Giza ukweli upo kwenye kitabu kinacho somwa sana hapo

  • @muhsinyahaya5822
    @muhsinyahaya58225 жыл бұрын

    Nawakubali Sana ndgu zangu ktk iman Sule Shafii na Mazinge Mungu azidi kuwapa Elim ili muweze kuwaondoa watu ktk kiza Mungu awalipe kila lililo la kheli kazi ya daawa ngum naijua

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    5 жыл бұрын

    Muhsin Yahaya hawa wako gizani alafu wanajifanya wanaona lkn Nuru wanaipinga na msamaha unapatikana si kwa njia nyingine yoyote ispokua kwa DAMU ya YESU

  • @najjysalym4653
    @najjysalym46537 жыл бұрын

    mazinge hakika wewe mjumbe wetu

  • @davisrotich116
    @davisrotich1165 жыл бұрын

    Msemakweli wemwalimu mkweli barikiwa

  • @jumaakitendo1774
    @jumaakitendo17745 жыл бұрын

    Amantu bilash

  • @minraya6322
    @minraya63222 жыл бұрын

    Maashallah mungu awahifhadhi mashekhe wetu lnn sha Allah

  • @kadogoomushadi5409

    @kadogoomushadi5409

    Жыл бұрын

    Amiin yaarab

  • @samakisamaki2549
    @samakisamaki25496 жыл бұрын

    jamaa kachoka kakabwa vibaya

  • @mwanashazinga9538
    @mwanashazinga95386 жыл бұрын

    doctor Sule masha Allah

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis2265 жыл бұрын

    Shekh sule mwenyezimungu AKUJAALIE UMRI MREFU SHEKH SULEIMAN

  • @kadogoomushadi5409

    @kadogoomushadi5409

    Жыл бұрын

    Amiin yaarab

  • @chrispinimpepo7447
    @chrispinimpepo74475 жыл бұрын

    mh duh wauwaji wakubwa ninyi yan mmuhukumu mtu wakt yy mung ndiye akumu duh yan kwahr ata mtoto awez kusilim

  • @millicentmadamyaya1608

    @millicentmadamyaya1608

    5 жыл бұрын

    chrispini mpepo Mimi namshukuru MUNGU kwa kunitoa huko na kumfuata kristo nina amani Sana moyoni mwangu 🙏🙏🙏 BWANA apewe sifa

  • @ramadhanwilbard8196

    @ramadhanwilbard8196

    2 жыл бұрын

    @@millicentmadamyaya1608 Na sheria za Nchi zinazo hukumu kunyonga mtu hadi kufa hapo vipi?

  • @millardayotheamazingworld1427
    @millardayotheamazingworld14276 жыл бұрын

    Akil za wakiristo bana

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    5 жыл бұрын

    MILLARD AYO THE AMAZING WORLD wanaakili sana wakristo ndiomana wasiona uhakika na mambo yao wanahangaikia mambo ya wakristo mchanakutwa na usikukucha,maana mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,hata kitabu kinachosomwa sana na kujadiliwa hapo ni cha wacristo kinacho tumika kanisani

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63463 ай бұрын

    Muidini yuko wapi siku hizi

  • @ismailsaimoni4911
    @ismailsaimoni49117 жыл бұрын

    swadakta

  • @ififufufyf4334
    @ififufufyf43346 жыл бұрын

    Pamoja sana tupo waumi wake mtume muhmad

  • @erishaaboumpangaje8597

    @erishaaboumpangaje8597

    5 жыл бұрын

    Mimi ni mpya ndani ya dini niko na mwaka lakini kuna mambo ambyo sijayaelewa sana kutokana na jamii yetu waisilamu