RICO, MBWANA YAHYA .KISUMU KENYA WAKRISTO HAWAKUTOKA KWA ISHAKA WALA ISMAIL WAO WAMETOKA ANTOKIA.

Пікірлер: 30

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa51593 жыл бұрын

    saimu gwao hongera sana kwa kutuletea haya.naamini umefanya kazi kubwa sana mpaka kuziweka huku,dah ALLAH SW atakulipa pakubwa.nilishajiuliza hizi zitaingia lini youtube.

  • @binbadru1654
    @binbadru16543 жыл бұрын

    Allah awarehemu wahadhir na waislam wote waliokwisha tangulia,amin

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    3 жыл бұрын

    Amiiin

  • @makenakendi9014
    @makenakendi90143 жыл бұрын

    Mashallah ALLAH BARIIK always my brothers.

  • @allymuhammad325
    @allymuhammad325 Жыл бұрын

    Marehem Mbwana Mohamed, Marehem Sheikh Said Ricco, Marehem Yahaya Hosea, Allah awasamehe, awape qauli thaabit, na ajaalie makaburi yao yawe katika viwanja vya peponi😭😭

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma29412 жыл бұрын

    Kwakweli, nashukuru Allah kuwa mwislam. Alhamdulillah

  • @Hussayn21
    @Hussayn212 ай бұрын

    Haki ikifika Urongo bila ya Shaka inatoweka Mashallah. Allah Aturehemu na Atuepushe na Adhabu ya Kaburi… Aaaaaamin

  • @mariamjuma3684
    @mariamjuma36843 жыл бұрын

    Jazakumullahu kheyr akhy. Ma shaa Allah Hii imenikumbusha mbaaaali. Barakallahu feekum. Alhamdulillah tulikuwepo kwenye muhadhara. Allah awalipe na awarehemu wote. Ameen.

  • @bahatimataka229

    @bahatimataka229

    2 жыл бұрын

    Allah awarehemu wahadhir wote waliokwishatangulia. mbele ya haki

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    Amiiiiiiina Amiiiiiiina 🤲🤲

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 Жыл бұрын

    Yani wakristo badala yakujifunza bado hawa taki hata hizi zama uwazi na ukweli lakini watu bado hawataki kujifunza kweli ndugu zetu ni mtihani sana zindukeni wapendwa katika Adam 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @mulhatmzamil3492
    @mulhatmzamil34923 жыл бұрын

    Mashaallah. ALLAH BARIK

  • @KoomeNzima-lp4ql
    @KoomeNzima-lp4ql10 ай бұрын

    Mohamed ni nitume Wa uongo yesu ni mwana wa mungu

  • @khalidsalmin7682
    @khalidsalmin76823 жыл бұрын

    ALHAMDULILLAH 🤲🌷

  • @ameali1251
    @ameali12512 жыл бұрын

    Ahh timu imetimia hapa Mashaallah

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku32182 жыл бұрын

    Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh Naomba namba ya simu ya ustahi Rico please 🙏

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48242 жыл бұрын

    Masha"Allah somo kubwa Masha"Allah

  • @shabanikagobe6744
    @shabanikagobe67442 жыл бұрын

    Mashaallah majembe hayo

  • @janelithasolomon5212
    @janelithasolomon52122 жыл бұрын

    Majuha kweliiiiii nyie🤣🤣

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku32182 жыл бұрын

    Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme53812 жыл бұрын

    ,👏👏👏👏

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6343 жыл бұрын

    mambo yapo wazi tu,ata wakimkataa Ismael maandiko yanamkubali,Io ndo inanipa morale,Yesu israel na Muhammada pbuh kwa watu wote...itageuka kwa midomo yao lakini kimaandiko haigeuki,pwahahaha

  • @gabione3785
    @gabione37852 жыл бұрын

    Wacheni sarakasi zenu ;Wakristo in wafuasi wa kristo kama vile wanavyoitwa.Shetani huja kwa njia hiyo na pesa kutoka hiyo dini ya kishetani haitafaulu,uongo na ulaghai kwa uslamu ni maadili yenye kusifika ilimradi mtu a slimu.

  • @alexmwalim9714

    @alexmwalim9714

    2 жыл бұрын

    Andiko gani yesu kasema wafuadi wake waitwe wakrsto

  • @gabione3785

    @gabione3785

    2 жыл бұрын

    @@alexmwalim9714 Andiko gani kasema wafuasi wa muhamed waitwe waislamu?

  • @MakaiKasala

    @MakaiKasala

    2 жыл бұрын

    Baada ya Mwenyezi Mungu kukamilisha kushusha vitabu vyote vinne vya imani yaani Taurati, Zaburi, Injili na Qur'an, alishusha andiko la kuonesha kuwa kazi ya mitume imekwisha kamilika na dini imekalika kuanzia Taurati hadi Qur'an. Ushahidi Qur'an 5:3 ...Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu. USHAURI Shika neno la Mungu, ulisikie na ulifanyie kazi sio maneno ya wanadamu. Soma maandiko kabla ya kushika imani. Hii dunia inahadaa nyingi sana.. Sikiliza hapo maandiko kwa umakini.

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv48253 жыл бұрын

    Mzungu akubali uislam nakusilimu leokzread.info/dash/bejne/oY2pr7WlmLWom5c.html

  • @allyzaidi8179

    @allyzaidi8179

    3 жыл бұрын

    Mungu akulipe

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku32182 жыл бұрын

    Naomba namba ya simu ya WhatsApp ya ustahi Rico please 🙏 please please 🙏

  • @allymuhammad325

    @allymuhammad325

    Жыл бұрын

    Huyo mtu amefariki inafika miaka mitatu sasa!! Huyo anaejibu nae pia Ametangulia, ustaadh mbwana mohamed, msomaji pia ametangulia ustaadh Yahaya hosea

Келесі