MAZINGEA ALIPOMKARIBISHA DK SULE NCHINI KENYA HOJA ZA HATARI SANA JUU YA UUNGU WA YESU/ DINI YAJE ..

Пікірлер: 354

  • @kassimhamisi9662
    @kassimhamisi96622 жыл бұрын

    Sheikh suleiman mazinge mungu akulinde inshaallah akuzidishie subra

  • @saumkisira9328
    @saumkisira93282 жыл бұрын

    Allah awajalie umri mrefu mashekh wetu

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    2 жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @vimkhamis2794
    @vimkhamis279411 ай бұрын

    ALLAHU AKBAR.. ALLAH AWAHIFADHI MASHEHE WOTE

  • @kassimhamisi9662
    @kassimhamisi96622 жыл бұрын

    Mungu awahifadhi wote awa zidishie afya njema wazidi kueneza dini ya allah

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak74182 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah masheikh wetu mungu awajalie pepo inshaallah

  • @hassanially1773
    @hassanially17733 ай бұрын

    Mashaallah Allah awalinde mashekhe wetu mazinge na doctor suleiman

  • @Fick_vany96
    @Fick_vany969 ай бұрын

    Allah akupe pepo maznge wetu

  • @eshasalim5496
    @eshasalim54962 жыл бұрын

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Allahu Akbar

  • @HalimaAziz-to8th
    @HalimaAziz-to8th9 ай бұрын

    Allah awalinde masheh wetu insha Allah

  • @safiahussein7692
    @safiahussein76922 жыл бұрын

    Allah awape maisha marefu na afyaa njema

  • @johnhaule5924

    @johnhaule5924

    2 жыл бұрын

    Llllllp

  • @johnhaule5924

    @johnhaule5924

    2 жыл бұрын

    Llllllp

  • @ElsieMunezero
    @ElsieMunezero2 ай бұрын

    Kwakweli uislam neema kabisa mungu awape afya njema ma sheikh wetu n'a awape mwisho mwm

  • @jumamwete1600
    @jumamwete160010 ай бұрын

    Allahu Akbar 😊

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96792 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah, Maa Shaa Allah, Mbarikiweni Ma Sheikh.

  • @alidingongo443

    @alidingongo443

    Жыл бұрын

    Allahummah Aaamin Yarabb 🤲

  • @mwanahalimamwachili9679

    @mwanahalimamwachili9679

    Жыл бұрын

    @@alidingongo443 Àamiin.

  • @denisnkurunziza8936
    @denisnkurunziza893610 ай бұрын

    Allah Awape kira rakheri

  • @edithnimubona-uq1es
    @edithnimubona-uq1es6 ай бұрын

    Manshallah mwalim mazinge

  • @babysalma4912
    @babysalma491211 ай бұрын

    Ww ni kiboko mungu akulinde

  • @nassortwahir5089
    @nassortwahir5089 Жыл бұрын

    Sheikh mazinge mungu akubariq maana unakutana na watu vichwa vyao vibovu kwel

  • @NurdiniAbdala
    @NurdiniAbdala10 ай бұрын

    Allah awalipe ujira Bora na mkubwa mashekhe wetu .

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv26742 жыл бұрын

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio37962 жыл бұрын

    Waalakum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Tufaidike sote jamia guza link

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane4680 Жыл бұрын

    Sheh Mazinge anapaswa kweshimika

  • @user-ki6nw6ve7p
    @user-ki6nw6ve7p2 жыл бұрын

    Mashaalah

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Tufaidike sote

  • @husseinnihla6501
    @husseinnihla6501 Жыл бұрын

    Wakristo elfu moja wakija na Hoja zao mtoto mdogo wa miaka mi5 hawawezi kumbadilisha dini Maana hawana hata akili 😀😀😀😀

  • @kaderbakshaminkaderbaksh2156
    @kaderbakshaminkaderbaksh21562 жыл бұрын

    Mazinge pumzika bc tena unaupoozesha mihadhra waache vijana waendelee mazungumzo yamekuwa mengi shkh allah atakulipa kwa kazi kubwa uliyofanya kila mtu shahid allah m'aak

  • @Awatee
    @Awatee2 жыл бұрын

    Masha Allah tabaraka ALLAH

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Tufaidike sote guza link

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw11 ай бұрын

    Taakbir Allah Akbar...❤❤❤

  • @latifachepa4435
    @latifachepa44352 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Tufaidike sote

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid50652 жыл бұрын

    Mashaallah shekhe mazinge na wenzake Mungu awahifadhi mashekhe wetu..kutoka Kenya khadija..said nahdi mld

  • @kheirsalum3059

    @kheirsalum3059

    2 жыл бұрын

    kh

  • @hamoudslim3622

    @hamoudslim3622

    2 жыл бұрын

    Uwepo wa warabu bara la afrika mashariki ulianza lini? Jibu utalipata hapa 👇🏼 kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html

  • @gefreymtalo5613

    @gefreymtalo5613

    2 жыл бұрын

    UKIMKATAA YESU KRUSTO HUTAUONA UFALME WA MUNGU

  • @kodemamaloo5805
    @kodemamaloo58052 жыл бұрын

    MashaAllah...

  • @drlebon5793
    @drlebon57932 жыл бұрын

    Allah awalipe pepo

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan22962 жыл бұрын

    Walaekum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Tufaidike sote jamia inshaallah

  • @abuunuswaybnassibunassibu7714
    @abuunuswaybnassibunassibu77142 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/jKF8ytaJorXQdKg.html *Tukiwa tunaingia katikaa mwaka mwengine wa miladiyya 2022* *basi sikiliza kwa makini khutba hii ya ijumaa* *Mzungumzaji ABUU NUSWAYB NASSIBU NASSIBU* *ISIKILIZE NA UIENEZE ALLAHA ATAKUKIPA KWA JUHUD YAKO*

  • @Awatee
    @Awatee2 жыл бұрын

    Waleykum salam warahmatu llah wabarakatuh

  • @hamoudslim3622

    @hamoudslim3622

    2 жыл бұрын

    Uwepo wa warabu bara la afrika mashariki ulianza lini ? Jibu utalipat hapa 👇🏼 kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html

  • @innocentbaraka7609
    @innocentbaraka76092 жыл бұрын

    Ebu ninyi munajali kitu gani kuhusu dini kama jia ya kweli ni Yesu Kristo !? , Kama mumesoma yakobo , swali! , Yakobo alikuwa mufuasi wanani iliaandike dini!?

  • @sharifurajabu1058
    @sharifurajabu10582 жыл бұрын

    Waalah kuzaliwa mwisilam Raha San

  • @ramadhanigoagoa6430
    @ramadhanigoagoa64302 жыл бұрын

    Mazinge nikufuate wapi sina less niache pombe nisahidie shekhe nimluhudie mungu wangu shekhe mazinge tafadhari niswarie mimi mungu atakujaria sio mimi

  • @bawhizzy6202
    @bawhizzy62022 жыл бұрын

    Imani iliyo thabiti haiporwi

  • @fatmaal-ismaili5514
    @fatmaal-ismaili55142 жыл бұрын

    ماشاء الله تبارك الرحمن

  • @rukiyaissa2005

    @rukiyaissa2005

    2 жыл бұрын

    Nakukubali sn

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Guza link tufaidike sote

  • @hamoudslim3622

    @hamoudslim3622

    2 жыл бұрын

    Uwepo wa warabu bara la afrika mashariki ulianza lini ? Jibu utalipata hapa kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html

  • @mussasulman2696
    @mussasulman26967 ай бұрын

    Maswali ya Mazinge kama mahakamni eti wakili ananiuliza eti "Baba yako ni mwanamke au mwanaume" mimi nika panic nikamjibu wakili maneno machafu 😂 kilicho nikuta Mungu ndio anajua

  • @MakataWaMakatani

    @MakataWaMakatani

    3 ай бұрын

    Hahahahaha 🤣 hahahahaha subhanallah

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth59572 жыл бұрын

    Yesu alikufa kwa amri yake mwenyewe,,,,,Hahhahhahhhaaaaaha ,,,,,,,,,,,Mazinge ALLAH akupe maisha marefu Inshaallah

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    YESU KRISTO ndio Mungu wa kweli na zaidi ya Yeye hapana Mungu mwingine tubu kabla haujachelewa

  • @nuruabdallah6692

    @nuruabdallah6692

    2 жыл бұрын

    @@marianachriss2444 tubu ww uombe msamaha Kwa mola wako

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@marianachriss2444 yesu ni mtoto wa mariam

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Tufaidike sote

  • @khalidballeth5957

    @khalidballeth5957

    2 жыл бұрын

    @@marianachriss2444 naomba andiko Mkuu...acha kupotosha watu

  • @jumakongolo3793
    @jumakongolo379311 ай бұрын

    Mazinge

  • @ibrahimjuma7071
    @ibrahimjuma70712 жыл бұрын

    masha alla

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Guza link tufaidike sote inshaallah

  • @halimaomar5016
    @halimaomar50162 жыл бұрын

    Mungu awazidishie elmu na ufahamu kupigania uislamu ishaallah.

  • @noahwamalwa4385

    @noahwamalwa4385

    2 жыл бұрын

    Mohammed alikuwa muuaji hatari sana

  • @eppiemodest
    @eppiemodest2 жыл бұрын

    Wafuasi wa Kristo ni Wakristo. Msibabaishe ninyi Waislamu.

  • @hadijamahmud7851
    @hadijamahmud78512 жыл бұрын

    Mashaallah fanyeni mufike jomvu mombasa

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Tufaidike sote

  • @saadacharasaada1958

    @saadacharasaada1958

    2 жыл бұрын

    Yesu kafa kwaamriyake mwenyewe nimecheka

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    Jomvu wamejaa

  • @toshboy1
    @toshboy12 жыл бұрын

    Hakuna kitu inaitwa ukristo, mbali wakristo yaani wafuasi wa kristo. Tena maneno mingi mumeweka chumvi kama kitabu cha Yohana, kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe pekee.(si mwanawe wa pekee) someni vizuri

  • @rehemajimmy8282

    @rehemajimmy8282

    2 жыл бұрын

    Pointless

  • @penuelfullsalvationchurch3350

    @penuelfullsalvationchurch3350

    2 жыл бұрын

    Naam

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    2 жыл бұрын

    Usha sema hakuna ukristo na kama ni wafuwasi walijita hivyo bila amri ya mmungu itakua si dini wattakua wametunga inatakiwa isa mwenyewe aseme mm mkristo na dini yangu ni mkristo isa ni muislam anatawadh na kusali kumuabudu mmungu mmoja angekua yy mungu vp amuabudu mungu mwingine na mitume ote ni waislam ibrahim ni muislam alivunja masanam na alitokea irag na ni muanzilishi wa alcaba leo nidio saudia arabia mana bii wote walitokea mashariki ya kati ila wazungu walitunga dini ambayo sio alie sema isa bin mariam kila kitu wamebadilisha kwa biashara zao na mavazi yao,

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma89702 жыл бұрын

    Dankan kaingiaa Cha kikeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hamoudslim3622

    @hamoudslim3622

    2 жыл бұрын

    Uwepo wa warabu bara la afrika mashariki ulianza lini ? Jibu utalipat hapa 👇🏼 kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html

  • @robi7printing291
    @robi7printing2915 ай бұрын

    Wa africa wote ni wahanga wa dini. Muhimu kurejea historia yetu. Kauli za majigambo hazijengi. Shirikianeni vema na si kwa ujuaji!

  • @mohamedsuleimansuleiman1620
    @mohamedsuleimansuleiman16202 жыл бұрын

    Mashallah

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87632 жыл бұрын

    Mashaallah, Alihamdurillah 🤲🏻

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Guza link tufaidike

  • @DominicKyenzeNzomo-hi4dj
    @DominicKyenzeNzomo-hi4dj Жыл бұрын

    Muamad

  • @arafalubuva3855
    @arafalubuva38552 жыл бұрын

    Alaah awalipe jamani kwa kazi kubwa mnayo fanya

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv48252 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Watu ☝️watatu hawataingia peponi

  • @samuelkimaro5138
    @samuelkimaro51382 жыл бұрын

    Nimesikiliza vyema kabisa ila nimegundua nitakuwa mmoja wakuhukumiwa kupitia masikio yangu.uchambuzi hakinifu hakuna kabisa yaani mtu anaadress jina la Mungu wake kama atakavyo yeye yaani ni kama anajimwambafai mbele za watu. Ifikie sehemu ifahamike dini ni njia tu yakumpeleka mtu peponi aijalishi utapitia njia gani hata ukiwa mpagani na ukazifuata sheria za Mungu utaiona pepo hivyo basi ifikie sehemu tujue sote ni chimbuko moja

  • @abuuzamah-shar9868

    @abuuzamah-shar9868

    2 жыл бұрын

    We jidanganye ivo siku ukifa ndoutajua dini Ninini nadini yakweli niipi

  • @abdullatifyahya646

    @abdullatifyahya646

    2 жыл бұрын

    Subir ufe ndo utajua hujui🤣🤣🤣

  • @bintyk5149

    @bintyk5149

    2 жыл бұрын

    Ahhahaha atakoma. Mana dini ya kiislam ndo mwenendo wa mwanadamu na kufuata sheria zake. Sasa ataenda kwa Mungu na amali gani?

  • @kabegosonslimited1814
    @kabegosonslimited18142 жыл бұрын

    .

  • @djkhalid4935
    @djkhalid49352 жыл бұрын

    Uyu jamaa anajua ukwl sema Ana kumjua zaidi allah

  • @johnthomas1903
    @johnthomas19032 жыл бұрын

    Hit u

  • @dianaradislauc6649
    @dianaradislauc66492 жыл бұрын

    Wakiritu jamani achaneni na haya mabaraza yenye mizaa mbele za mungu mnaangaika na wapiga lamri

  • @selemanitunda1821

    @selemanitunda1821

    2 жыл бұрын

    Sio kuangaika jibuni maswali

  • @bintyk5149

    @bintyk5149

    2 жыл бұрын

    Hahahahaha hawana et lakujibu. Ao hawataki kukubali ila wanajua vzr tu km uislam ndio dini sahihi

  • @allymnyenye8109

    @allymnyenye8109

    3 ай бұрын

    😅😅😅 eti wapiga Ramli .... bunjubatini mmoja ww

  • @khatibabass3106
    @khatibabass31062 жыл бұрын

    Wakiristo dini yenu haijitoshelezi na haijitetei ,yani ukisimama unataka kuutetea ukiristo basi utakukataa huez kuutetea utakusuta tu

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    Pole Sana YESU KRISTO ndio Mungu wa kweli na zaidi ya Yeye hapana Mungu mwingine

  • @lucasgasper5235

    @lucasgasper5235

    2 жыл бұрын

    Wewe ndio hujitoshelezi na uislam wako

  • @hawoibrahim2432

    @hawoibrahim2432

    2 жыл бұрын

    @@marianachriss2444 mulipotea, hamtaamini huyo yesu akiwaruka..... kwanza mrekebishe hizo contradictions za bible

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@hawoibrahim2432 YESU KRISTO ndio BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine tubu kabla haujachelewa

  • @sokakilumbi9293

    @sokakilumbi9293

    2 жыл бұрын

    @@marianachriss2444 Ufunuo wa Yohana 1:1 Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu.... eti yesu mungu!!!! sasa naomba uniambie mungu yupi aliyempa ufunuo mungu yesu???

  • @ritharr2235
    @ritharr22352 жыл бұрын

    Mwazinge hataki ukweli hataki mkristo atoe maandiko angalia ameruka kwa mwengine maana hataki ukweli

  • @aminamalilo6605

    @aminamalilo6605

    2 жыл бұрын

    Ajibu kwanza maswali ya kawaida mbona anamuuliza maswali ya kawaida

  • @mwoso
    @mwoso2 жыл бұрын

    Hayo maswali ni ya ujinga . Simoni elimu yoyote hapo. Ni kuchezea tu maandiko kupotosha mawazo ya watu. Shetani ashindwe!

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Guzalink ufaidi

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    2 жыл бұрын

    Huyo shetani wa wapi wa kizungu ndio ashindwe hapa hamtaki ukweli mnafata picha za kizungu mnamfanya yesu ibrahim alivunja masanam mzungu hana mitume hata mmoja alie shuka kwao ni mashetani tu kuvaa mavzi na pimbe kuhalalisha na kutaka sadaka kanisani

  • @rajabuwahanze7311
    @rajabuwahanze73112 жыл бұрын

    Diamond

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/onp7sNGSj5inotI.html Tufaidike sote

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange14832 жыл бұрын

    Kiboko yamakafiri

  • @jumajuma5969
    @jumajuma59692 жыл бұрын

    It co

  • @jacksonmhanga888
    @jacksonmhanga8882 жыл бұрын

    Na napenda Sana Mazinge anaposoma biblia lakin biblia inasema kuwa hata Yesu aliulizwa maswali kwa mitego ya kibinadamu tu ili wamnase tazama majibu yake yalikuwa short and clear

  • @khalidballeth5957

    @khalidballeth5957

    2 жыл бұрын

    sasa kama biblia inasema hivyo,,,,, hata Yesu alitegwa je hio biblia Yesu alishushiwa na nani?????

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@khalidballeth5957 we acha kuuliza uaichokijua hakuna kitabu kilicho kitakatifu kama biblia vingine vyote ni uongo na ubatili

  • @bennyasseralfred7139

    @bennyasseralfred7139

    2 жыл бұрын

    @@marianachriss2444 leta hushaidi vipi nikitabu kitakatifu ili tikuelewe

  • @mkude

    @mkude

    2 жыл бұрын

    @@khalidballeth5957 hahahahajaha duuuh yani hawa ndugu zetu wa kibinadamui wanataabu kweli kweli kauliza swali limemtega mwenyewe

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine tubuni na hamjachelewa

  • @athumanitanuke6795

    @athumanitanuke6795

    2 жыл бұрын

    8:40 luka, yesu ni mtu si mungu

  • @athumanitanuke6795

    @athumanitanuke6795

    2 жыл бұрын

    8:40 yohana

  • @AbdulAbdul-pr9qe

    @AbdulAbdul-pr9qe

    2 жыл бұрын

    8:16 yesu kaletwa na Mungu

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@athumanitanuke6795 acha maswali ya kipuuzi maana hujui hata Neno la Mungu,

  • @bennyasseralfred7139

    @bennyasseralfred7139

    2 жыл бұрын

    Kwaio walio mujua mungu kupitia musa na Ibrahim nawengine wanaabi bila kumjua huo yesu hukumu yao niyipi? Nijibu hapa usje kutipotesha tuu

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa18422 жыл бұрын

    Mashalah mazinge mungu akuweke saaana uendelee kutufundishia wanao kusumbua

  • @mkuuali9469
    @mkuuali94692 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo43792 жыл бұрын

    Allah awalipe kwa yale mnayoyafanya

  • @hamisimtonga1814
    @hamisimtonga18142 жыл бұрын

    U

  • @rayyanswaleh5813
    @rayyanswaleh58132 жыл бұрын

    Assallaam aleikum..hao wawili wawekwe pamoja kwa uwezo wa ALLAH wanaweza kusilimisha wengi sana.

  • @husseinnihla6501
    @husseinnihla6501 Жыл бұрын

    Kuna mtu anaitwa John matata Anasema hawana time ya kusoma quran ndugu yangu quran sio chezo quran huwez kuisoma Kama Chooni unaingia na kartasi 😀😀😀😀 quran ni usafi wewe unaiwezaje?

  • @williamkadzomba2570
    @williamkadzomba25702 жыл бұрын

    Maneno matupu acha maandiko yaseme

  • @eppiemodest
    @eppiemodest2 жыл бұрын

    Ninachojua ni kwamba. Bibilia ni kitabu kitakatifu. Kinaagiza. Wanyama wote wasiocheua na wasiokuwa na kwato nyama yake isiliwe ni haramu.

  • @MakataWaMakatani

    @MakataWaMakatani

    3 ай бұрын

    😂 hahahahaha

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper52352 жыл бұрын

    Uyo pepo limepanda hataki maandiko maswali ya hovyo anadokoa dokoa

  • @josephkiswili1955
    @josephkiswili19552 жыл бұрын

    Hapa mazinge kafundishwa BWANA ni mtu wa vita lakini akili imejaa makamasi haweli kukumbali

  • @hasankawanje4279

    @hasankawanje4279

    2 жыл бұрын

    We kumbe bwana wenu n mtu wa vita na si mungu

  • @ameenajumah7335

    @ameenajumah7335

    2 жыл бұрын

    Mazinge kiboko cha makafiri

  • @aliabdallah8456

    @aliabdallah8456

    2 жыл бұрын

    Bwana ni mtu wa vita tupe maana yake wewe mkristo inamaana gani usiweke neno ndani ya ubongo wako bure na ujui maana yake

  • @alhamad2179
    @alhamad21792 жыл бұрын

    ❤️ ❤️

  • @nasibumayumba8030
    @nasibumayumba80302 жыл бұрын

    Llp

  • @vonexmobile9116
    @vonexmobile91162 жыл бұрын

    Allaahu akbar

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Жыл бұрын

    Masha Allah,

  • @wardaomar1221
    @wardaomar12212 жыл бұрын

    Wakristo hawana akilii

  • @hillaryramadhani4790

    @hillaryramadhani4790

    2 жыл бұрын

    Wewe ndio mwenye akili

  • @edwardkarithi2347
    @edwardkarithi23472 жыл бұрын

    Thanks alot our br in Christ 4 putting up a good and exemplary fight for our lord and saviour Jesus Christ

  • @matanohamisihamisi9034

    @matanohamisihamisi9034

    Жыл бұрын

    G noii9 pool ooooo9😅😅 Is

  • @user-rn2cb9ln1v

    @user-rn2cb9ln1v

    9 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar54722 жыл бұрын

    Wakrso hawajielew wapowapo 2 km hayawan au majun

  • @redbutterfly4939

    @redbutterfly4939

    2 жыл бұрын

    Ingia page ya warabu Cristian Prince utajua kilichoko kwa Quran 🤮🤮🤮warabu kwa Sasa wameshidwa kuotetea Quran utakuta kwa hio page wengi wametoka na utajua mengi Quran unaongea mambo machafu🤮🤮

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@redbutterfly4939 ww kafiri tu huwezi kuijua quruan

  • @cityhunter6858

    @cityhunter6858

    2 жыл бұрын

    @@redbutterfly4939 unafkir waarabu wote ni waislam hakuna makafir kama nyie..?

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    Waislamu wanateseka sana na YESU KRISTO, Hakuna zaidi ya YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi Yeyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa

  • @athumanitanuke6795

    @athumanitanuke6795

    2 жыл бұрын

    Yan hapo wakristo had muelewe kuwa yesu si mungu bali ni mtu, na mtume wa Mungu

  • @pnrserviceslimited3089

    @pnrserviceslimited3089

    2 жыл бұрын

    Utahukumiwa weww mshamba usiejua maandiko dini huna ,kitabu huna , na Mungu hunaaaaa yaani msiba

  • @Nolithajack12

    @Nolithajack12

    2 жыл бұрын

    You are making comedy on you missing mazigi huna hoja

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@athumanitanuke6795 Pole Sana kwa kudanganyika na mafundisho ya mashetani

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@pnrserviceslimited3089 Pole Sana hakuna hukumu ya adhabu Juu ya walio ktk KRISTO YESU, Kuna siku inakuja utamtafuta YESU KRISTO kwa kutambaa na kulia kilio Cha kusaga meno, BWANA YESU KRISTO akusamehe Sana

  • @jumakongolo3793
    @jumakongolo379311 ай бұрын

    Sule

  • @JapharyBBudal
    @JapharyBBudal2 жыл бұрын

    Ninyi mtafuteni mwalimu Ndacha hapohapo nchini Kenya ili awafundishe maana maswali yenu yote ni ya kitoto sana.

  • @oopsm3574

    @oopsm3574

    2 жыл бұрын

    Ndacha hana mpango wowote , kiboko yake wambugu

  • @maherzain615

    @maherzain615

    2 жыл бұрын

    Atafutwe kwani ye nani.kiwa ye ako na hoja ajipeleke mwenyewe hapo

  • @selemanitunda1821

    @selemanitunda1821

    2 жыл бұрын

    Ndacha kakimbia

  • @mwoso
    @mwoso2 жыл бұрын

    Yesu ni mwana wa mungu wa pekee. je, Mohammed?

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    kuwa na adabu yesu mwana wa mungu kakwambia nani nyau wee

  • @mwoso

    @mwoso

    2 жыл бұрын

    @@heyumi2340 tetea imani yako kwa andiko sio matusi!

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@mwoso usimzungumzie Mohammed Mohammed hakuhusu ww baki ukisema yesu mwana wa mungu mungu hana mtoto wala hana dhiki ya kuwa na mtoto

  • @mwoso

    @mwoso

    2 жыл бұрын

    @@heyumi2340 Wewe huna hoja. Kwa heri

  • @superdemanka5192

    @superdemanka5192

    2 жыл бұрын

    @@mwoso wewe tupe andiko Mungu kataja yesu kama mwanao?

  • @josephkiswili1955
    @josephkiswili19552 жыл бұрын

    Mazinge anataka maneno ya mdomo hataki maadiko kafiri huyu

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    kafiri ni yule anayesema yesu ni mungu

  • @hasankawanje4279

    @hasankawanje4279

    2 жыл бұрын

    Kaka kafiri n yule asiekuwa muislam

  • @bintyk5149

    @bintyk5149

    2 жыл бұрын

    Kafir ni mtu ambaye anasema yeye ni mtoto wa Mungu. Haliyakua anajua yeye ni mtoto wa adamu na hawa. Mmejawa na ujinga nyie dah nawaonea huruma

  • @johnissango2357
    @johnissango23572 жыл бұрын

    we mazinge ni nanga hata ukisoma biblia miaka mia huweziielewa,hakuna dini inayoitwa ukristo .dini mana yake ni njia,yesu ndiye njia ya wakristo tunamfuata yesu ndipo tutafika mbinguni.unyenyekevu sio dini ni tabia .

  • @lkshmykomar5472

    @lkshmykomar5472

    2 жыл бұрын

    Utaenda kumwambiya M / Mungu huko mbele ya hak km ninjiya au ni barara

  • @hasankawanje4279

    @hasankawanje4279

    2 жыл бұрын

    Saa inaitwaje dini yako

  • @dhoulkefyljr8637

    @dhoulkefyljr8637

    2 жыл бұрын

    kwahiyo wewe dini yako ni ipi?

  • @williammbuvi32
    @williammbuvi322 жыл бұрын

    Waslamu wajifuze kuongea mbele ya wakristo

  • @MakataWaMakatani

    @MakataWaMakatani

    3 ай бұрын

    😂 hahahahaha

  • @johnmatatamusic3985
    @johnmatatamusic39852 жыл бұрын

    Sasa badala upiganie vitu vya maana wewe wapigania dini dini itakupeleka wapi wewee 😂😂😂😂😂😂, mko na bidii kukosoa bibilia sisi wakristo hatuna time Ya kusoma kuruan wala kulikosoa wala hatuna wakati wa kupoteza

  • @bintyk5149

    @bintyk5149

    2 жыл бұрын

    Ndo uijue dini ya kweli. Mushukuru wamejitolea kukutoeni sehemu iliopotea eh

  • @abuuwaziri4656

    @abuuwaziri4656

    Жыл бұрын

    Quruani ni kitabu kisicho na shaka ndani yke.

  • @eppiemodest
    @eppiemodest2 жыл бұрын

    Watu walijua Yesu kafa ni binadamu tu. Kumbe ni sivyo. Kumbe ni Mungu nafsi ya Pili. Baada ya kifo chake na miujiza kuonekana ndiyo watu wakajua aliyekufa ni nafsi ya pili ya Mungu.

  • @MakataWaMakatani

    @MakataWaMakatani

    3 ай бұрын

    😂 hahahahaha 🤣

  • @jacksonmhanga888
    @jacksonmhanga8882 жыл бұрын

    2petro 2:1 waalimu Kama hawa wapo maana ukisoma waraka huu wa pili wa petro tunaiona tahadhari kwamba Kuna manabii wa uongo na waalimu wa uongo ambao wanamkana hata aliyewanunua kwa gharama ya uhai wake na hayo yalitabiriwa hata kabla ya Yesu kutokea kuhusu Uungu wa Yesu hemu tusibabaike YOHANA 1:1_20 maana mtu anatumia ujuzi wake mwenyewe kwamba Yesu sio MUNGU kwa kuwa alizaliwa na mwanadamu kwani akina isaya wanapotabiri ujio wa masihi walisema atashushwa tuu bila kuzaliwa. NA KAMA SI HIVO basi niwaulize YOHANA alikuwa akimzungumzia nani huyo ambae alisema hawezi hata kuishika gidamu yake

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    Uyo yesu yeye mwenyewe kajitoa kua sio mungu leo hii iweje awe mungu ALLAH atuongoze ktk njia ilionyooka na atuepushe na ukafir amiin

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@Awatee YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya Yeye hapana Mungu mwingine tubu kabla haujachelewa

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    YESU KRISTO ndio Mungu wa kweli ni BWANA na mwokozi na zaidi ya Yeye hapana Mungu mwingine yoyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa

  • @sokakilumbi9293

    @sokakilumbi9293

    2 жыл бұрын

    wapi yesu kasema kuwa yeye mungu!!

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@sokakilumbi9293 kama unataka kujua ukweli kuwa allah sio Mungu wa kweli ni shetani mkubwa audanganye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehanamu soma ufunuo wa yohana 12-7-9,

  • @penuelfullsalvationchurch3350
    @penuelfullsalvationchurch33502 жыл бұрын

    MZNGE hiki unchkfnya unkosea mm njuwa wazi unafahamu ya kwamba Yesu ndiye kristo kipenzi cha mwenyezi Mungu AKETIYE KUUME kwa Mungu..na amepewa mamlaka ya duniani na mbiguni...Dar MZNGE unzngua

  • @dktabbaimran2002

    @dktabbaimran2002

    2 жыл бұрын

    Kasome vizuri usifuate upepo

  • @johnmatatamusic3985

    @johnmatatamusic3985

    2 жыл бұрын

    Waislam wote washamba

  • @redbutterfly4939
    @redbutterfly49392 жыл бұрын

    Brain washing watu na maswali za kijjinga🤮🤮would like to debate this people haha warabu wote wanahamia kwa huyo yesu mnajataa kukufa kwa yesu was even spoken in old testerment kukufa mwake was to show us the way of restriction njia ni msalaba utaniua ila roho yangu hautaimaliza

  • @arafalubuva3855

    @arafalubuva3855

    2 жыл бұрын

    Umepotea hakuna din mwarabu din ya kweli ni mbele ya Alaah ni din ya kiislam na si ukrcto ukipanik umeelewa ukweli ukowap kazi kwako.

  • @bintyk5149

    @bintyk5149

    2 жыл бұрын

    Swadaktaaa

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero64697 ай бұрын

    Waislam Mungu mko magayidi sana hamuna ukweri wowote

  • @MakataWaMakatani

    @MakataWaMakatani

    3 ай бұрын

    Hahahahahahaha 😂😂😂 🤣🤣🤣🤣 subhanallah poleeeee

  • @mfarisayobeda9502
    @mfarisayobeda95022 жыл бұрын

    Mihadhara ya kizaman hyo nenda kwa debate

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    Mashehe wanapaniki kwa sababu wanajua kuwa YESU KRISTO ndio Mungu wa kweli,

  • @muyugalimbu3728

    @muyugalimbu3728

    2 жыл бұрын

    Msiba huu

  • @mohameeddoaan2296

    @mohameeddoaan2296

    2 жыл бұрын

    Yani wewe yesu kwako nimungu wakati mungu akuzaliwa yesu alizaliwa

  • @pnrserviceslimited3089

    @pnrserviceslimited3089

    2 жыл бұрын

    Da we kichwa mchunga kweli yaani wewe sisi tuwe na Mungu alietahiriwa kakatwa govi sibora ni kaabudu kinyesi nikajua kwamba Mungu hakuna et kapitia kwenye vagina kama watoto wengine badilikeni nyinyi hamna dini kuliko kumwabudu kiumbe mwenzangu kakatwa govi kama mm

  • @AbdulAbdul-pr9qe

    @AbdulAbdul-pr9qe

    2 жыл бұрын

    Lete andiko wapi Yesu anasema yeye ni Mungu

  • @aminahaji7084

    @aminahaji7084

    2 жыл бұрын

    Wakiristo wanajua ukweli lakini tu akilizao zimechanganyika na sukari na chumvi ALLAH NDIE MUNGU WA KWELI1000000%

  • @johnissango2357
    @johnissango23572 жыл бұрын

    waislamu someni biblia namfuate mafundisho yake ndipo mtasamehewa madhambi yenu acheni kuhangaika na majina ya dini au madhehebu dini au dhehebu sio njia ya kukupeleka mbinguni biblia ndio kitabu sahihi vingine ni fotocopy.

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    Alhamdulilah sie tumepewa neema kubwa hii ya kumjua Mola wet na mitume yetu malaika vitabu vyake na Qudra zake na siku ya kufufuliwa bado tuu twahangaika nini kuna alama tele juu ya uwepo wake ALLAH bado tuu tuamini mungu alotahiriwa na kula haja kushawahi mungu kusikia kuomba uislam ndio dini ya Haki na haina pingamizi kbs kwa usafi na kila kitu

  • @alhadjmugisha5216

    @alhadjmugisha5216

    2 жыл бұрын

    Kiukwel mim siwez sm kitb ambach hakina msimam kila mwak kinabdilishwa unashndwa kuelw ,ushawah ona kitbu cha mungu kinabadilishwa kma sio uhun pol wakrsto,namshukur Allah kwakunizawadia kunifnya kuw mwslam pia atup mwish mwem waislm woot

  • @superdemanka5192

    @superdemanka5192

    2 жыл бұрын

    Johnny si tayari yesu kaafa kwa dhambi zenu wataka msamaha wa nini tena 😅

  • @samwelson2848
    @samwelson28482 жыл бұрын

    Mabishano 2 na maswali ya ujinga Tito 3:9 waislamu wanabishana na ukweli kuficha unafiki wao. Yesu ndiye jia pekee ukweli na uzima .

  • @MakataWaMakatani

    @MakataWaMakatani

    3 ай бұрын

    😂 hahahahaha

Келесі