Shekh Kipozeo Kamfungukia WEMA SEPETU Bila Uoga

Ойын-сауық

Пікірлер: 340

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe87274 ай бұрын

    Allah akulinde shegh kufikisha ujumbe kwa busar ingekua wengine washawatukana wote hapo,kama dini ya kwao

  • @emmajux8505
    @emmajux85054 жыл бұрын

    😂😂😂oa alie muelewa camera man ana makusudi kwa wema...gonga like tusep zetu

  • @husnatntalala6531
    @husnatntalala65315 жыл бұрын

    Ninapendaga mawaidha yako yanamafunzo Allah akupe umri mrefu inshaallah

  • @husnatntalala6531

    @husnatntalala6531

    5 жыл бұрын

    Asanteni kwa like zenu

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat91913 жыл бұрын

    Shehe kipoozeo muogope Allah usifurahishe watu eti unawaombea bongo movie waendelee yaani unawaombea waendelee kuonyesha uchi na kupotosha jamii asilimia kubwa ya vizazi vyetu vimeharibikia kwenye bongo movie kwa kuwatazama hao eti na waislam kabisa shehe uko vizuri sana nakukubali ukweli ni huu uislamu hauendi hivo hapo hakuna pazia ya kutazamana wanawake na wanaume wamechanganyikana wallah shehe anayejitambua hawez toa mawaidha hapo kwenye mchanganyiko kama kanisani tuisomeni dini ndugu zangu waislam

  • @angelamarlow510

    @angelamarlow510

    2 жыл бұрын

    Ismail bhn we nawe umenena ila shekhe yeye ajawaombea wakae uchi Bali ile kazi aitende kiufasahaa Na Mungu aongeze vyema ili wasitekwe na Dunia akamsahau Allah na kutenda mabaya

  • @issasheikh2270

    @issasheikh2270

    2 жыл бұрын

    @@angelamarlow510 kakosea sn coz anasema cc na wacristo ni ndugu wakati Mtume ametufundisha muislam ndugu yake ni muislam

  • @iddydawood2020

    @iddydawood2020

    2 жыл бұрын

    @@issasheikh2270 acha mihimko.sheikh amebaisha kuwa wakristo na waislamu wote ni ndugu kwa nasaba ya Adamu. na Allah amelithibitisha hilo. YAA AYYUHA NNAS KULUKUM MIN AADAM WA AADAM MIN TURAAB=enyi watu nyinyi wote mnatokana na Adamu na Adamu anatokana na udogo. na mtume asema: ENYI UMATI WANGU,WATU NI WA AINA MBILI KWENU: 1-ndugu yako ktk imaan 2-ndugu yako kwa Adam NA WOTE HAO WANA HAKI ZAO

  • @issasheikh2270

    @issasheikh2270

    2 жыл бұрын

    @@iddydawood2020 shukran

  • @muhammadali4394
    @muhammadali43942 жыл бұрын

    My favourite Sheikh Ma sha Allah...

  • @user-ox1md2jx9o
    @user-ox1md2jx9o4 ай бұрын

    Sheikh ana fanya Sawa, nzuri Allah akuhifadhi inshallah sheikh

  • @mrishosalum799
    @mrishosalum7995 жыл бұрын

    Allah akujaalie kila LA kheri sheikh na nyinyi wasanii amabao ni vioo vya jamii shikeni maneno hayo na myafanyie kazi

  • @binurusm8886
    @binurusm88865 жыл бұрын

    Hongera Sheikh Kipozeo kwa kuelimisha jamii, ukikaa na Mchungaji Daniel Mgogo uelimishaji jamii utaimarika vema, Mungu awabariki Viongozi wetu wote katika imani, Mungu Ibariki Tanzania, Aamin.

  • @mussaanthony7697
    @mussaanthony7697 Жыл бұрын

    Hongera sana baba shekhe wetu kipozeo wapoze hao kinadada maana muuu sanyingine wanatatanisha kila lakheli inshallah

  • @dallasme86
    @dallasme862 жыл бұрын

    Shekh ALLAH akupe umri na uzidikuelemisha na kusambaza Dini ya ALLAH INSH ALLAH

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu51012 жыл бұрын

    MashaAllah shukran sheikh

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo49733 жыл бұрын

    Allah akuu zidishie kher shekhe wetu 🙏

  • @innocentking8838
    @innocentking88385 жыл бұрын

    Mimi nimkristoo from Kenya ilaa mawadhii huwaa nayapendaa sana yaani ukiyaskilizaa kwa umakinii yanamaaanaa sana

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    5 жыл бұрын

    Karibu sana ndugu ktk dini ya haki

  • @ballboypt8860

    @ballboypt8860

    5 жыл бұрын

    @@zayyatiyussuf9566 nani kakwambia dini yako ndo ya haki

  • @mgeniali1768

    @mgeniali1768

    5 жыл бұрын

    @@ballboypt8860 Allah kasema au waona nn?we?

  • @chizainazahrrey4397

    @chizainazahrrey4397

    5 жыл бұрын

    tumien hekima zenu

  • @mgeniali1768

    @mgeniali1768

    5 жыл бұрын

    @@chizainazahrrey4397 kamilisha maneno tukuelewe

  • @bizekago4060
    @bizekago40602 жыл бұрын

    Kama unatoa mawaidha kwa kukwepesha ukweli kumbuka kuna siku ya hesabu allah atakulipa

  • @mohammedmatano6970
    @mohammedmatano69704 жыл бұрын

    Shekhe mawaidwa mmrwaa kabisa,Allah akijalie mema na akufanyie wepese penye na uzito inshallah.

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn61085 жыл бұрын

    sheghe kipozeo nakukubali sanaa Masha Allah in shaa Allah siku moja Allah ajaliee wepesii nikutane na ww In shaa Allah

  • @khamisshee4706
    @khamisshee47065 жыл бұрын

    Swadaqtaà shekh wangu maneno mazuri na ya busara sana

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97615 жыл бұрын

    Sheikh huyu nampendaga sana kwa mawaidha yake ,yaani ana mawaidha mazuri na ana utani sana mtu huchoki kumsikiliza.15.04.19.

  • @abaafarhat9191

    @abaafarhat9191

    3 жыл бұрын

    Dini haitaki utani mbele yake kuna wanawake wana vimini vichwa wazi hakuna dini ya hivi na anamsifia mwanamke mbele ya halaik hii sio dini aliyekuja nayo mtume shehe awe sirious sio bila kujali watu watachukia ushahid wa hayo nenda katika qur an surat Nuur aya ya 30-31 we unadhan mawaidha hayo mtu atakuwa sirious?

  • @fatumahassan1371

    @fatumahassan1371

    2 жыл бұрын

    @@abaafarhat9191 hapo umesema

  • @sadaomar299

    @sadaomar299

    2 жыл бұрын

    Ismail kaita hata mtume ktk kulingania kwake walikuwepo wanawake ambao walokuwa hawakujistir na wengine wamejistir na walimfata rasuli na kun walobaki ktk dini yao na wala hakukataza watu wasilinganie pia ww ukimuona mtu usimshangae kisa kavaa kisket mlinganie kwa iman mbn allah atambadilisha na ww siku ukimuona utafurah ko kumlingania mtu sio lazima ajistir

  • @sadaomar299

    @sadaomar299

    2 жыл бұрын

    Vilevile hatukuambiwa tuwalinganie wanojistir tyu hawa wenzetu watalinganiwa na nani kutana nao uwalinganie tyu

  • @nassorothanksallotjuma3272
    @nassorothanksallotjuma32722 жыл бұрын

    Masha Allah Sheikh Maalim Kipozeo.

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike75685 жыл бұрын

    SHEKH KIPOZEO UMEFIKISHA MUNGU AMEONA,MTUMEﷺAMEONA,WAUMIN TUMEONA.جزاك ﷲ خير

  • @bukheytmohammad2831

    @bukheytmohammad2831

    5 жыл бұрын

    Sio kweli mtume ameona.....alishakufa rasoolullah Hajui kipozeo amesema nini...

  • @issahassan8361

    @issahassan8361

    2 жыл бұрын

    Mtume kaona nini apo

  • @mardinhalfany1413
    @mardinhalfany14135 жыл бұрын

    Sheikh jazzakallahair

  • @bakarishwaibu4537
    @bakarishwaibu45375 жыл бұрын

    mashaallah allah atuongoze sote tuwe wasema kweli kama wewe sheikh bila ya haya mbele za watu ameen

  • @geofreykitundu1326
    @geofreykitundu13265 жыл бұрын

    Shukrani sheikh kwa mawaidha mazuri

  • @wilfredmremi8274
    @wilfredmremi82745 жыл бұрын

    Shehe wasema jambo muhimu sana na naamini kila aliyehudhuria watakuwa walimu inshalla

  • @sabraham5308
    @sabraham53085 жыл бұрын

    Shukrani sheikh wangu kipozeo,najua elmu ipo hapo,tena bado nipo na wewe,lakini naona ni bora uachane na hayo.

  • @mariamlazizi8389
    @mariamlazizi83895 жыл бұрын

    Ma shaa Allah sheikh Allah akujalie maisha marefu

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Жыл бұрын

    Shukrani sana ya sheikh sahihi kabisaa

  • @omaridadi2130
    @omaridadi21302 жыл бұрын

    Ni mtihan kweli huu ndo maana Mimi nawakubali masheikh wa kisalaf yaan wanamsimamo kweli na Allah awaihifadhi.

  • @subulus_salaam2023

    @subulus_salaam2023

    Жыл бұрын

    Allah akubaarik akhi tuko pamoja

  • @wifematerial8943
    @wifematerial89435 жыл бұрын

    Mashaa ALLAH sheik mungu akupe umri tawilwi in shaa ALLAH... Umeniacha hoii ati nauza manii nauza manii 😅😅😅

  • @khalifahmtata8659
    @khalifahmtata86592 жыл бұрын

    Wallah kiama kimefika dalili zote zimejitokeza mashekh wanasaport movie laanatullaah

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz28715 жыл бұрын

    #UNAJUA SISI WAISLAMU WENGI TUNAKUWA HATUWEZI KUENDELEA SABABU YA #CHUKI_HUSDA_FITINA NA ROHO MBAYA KWAIYO MLIKUWA MUNATAKA AZUNGUMZE WATU WAKIWA WAMEJISTIRI SWALI YEYE KAKA NANI NA WAKATI NI MGENI #MWALIKWAAAAAAA

  • @ibrahtibah

    @ibrahtibah

    5 жыл бұрын

    RAJABU WAHAJ wengi wana comment kwa jazba tu bila kuelewa mazingira Rajabu safi kwa kulitambua hilo

  • @sheikhsharifmaduatz2871

    @sheikhsharifmaduatz2871

    5 жыл бұрын

    @@ibrahtibah watu wengi mm nawatizamaga yaaan mtu kazi kumtoa kasoro mwenzake inafikia hatu et anaitwa hana #akil mara #njaa #mara huyo sio shekhe wakati wanasahau #mazingira yamekaaaje

  • @lailakhalid9399

    @lailakhalid9399

    5 жыл бұрын

    Kumlingania mtu ni sehemu yoyote na mahara yoyote na ktk mazingira yoyote Sema uwelewa ndio tatizo

  • @sheikhsharifmaduatz2871

    @sheikhsharifmaduatz2871

    5 жыл бұрын

    @@lailakhalid9399 pamoja

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Kweli na ukiwa mbaguzi wakupitiliza Mungu lazima akutenge

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry58173 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @mutomubaya
    @mutomubaya3 жыл бұрын

    Shukrani Sheikh kwa kutaja umuhimu wa vijana. Lakini ni muhimu tujue takriban kila mmoja wetu kuna makosa anayafanya kwa sababu tumepatiwa ujumbe wa Allah kwamba (kusoma) masomo ya Qur'an ndio jambo muhimu zaidi kuliko kutafuta pesa. Kwa nini hatukai vikao tukajadiliana njia ya kuwasaidia vijana wapate elimu tangu ya msingi hadi ya upili na ya chuo kikuu? Kwa nini wengi wao wanapoteza muda kwa mambo yasiyokuwa ya kuwanufaisha? Tusiwe watu wa kuongea kwamba ilmu ni kabla ya maneno na vitendo kisha hatuweki mambo katika vitendo.

  • @jumaidi3276
    @jumaidi32765 жыл бұрын

    Msiba huu kwa kweli

  • @nassirmohamed7293
    @nassirmohamed72935 жыл бұрын

    sheikh yupo sahihi, ni kweli wakristo ni ndugu zetu wa damu ,hajasema ni ndugu zetu ktk iman ,

  • @mwastimsingi9373
    @mwastimsingi93732 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @allysuleiman196
    @allysuleiman1965 жыл бұрын

    hongera

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne44715 жыл бұрын

    Kipozeo amewalingania watu anajua hilo nijambo jema.sana ujhmbe hmefika

  • @subirajohn728
    @subirajohn7285 жыл бұрын

    Mwenyezimungu awape afya njema viongozi wetu wa dini

  • @sabinaviolet805

    @sabinaviolet805

    5 жыл бұрын

    Amiin

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha135 жыл бұрын

    Nakupenda shekhe

  • @shariftwahir8493
    @shariftwahir84932 жыл бұрын

    Allah utuwongowe

  • @rechorecho9430
    @rechorecho94305 жыл бұрын

    Nimekupenda buree

  • @seifomar1148
    @seifomar11482 жыл бұрын

    Watu wapo vichwa wazi dahh njaa mbaya sana

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram14055 жыл бұрын

    nimekupenda shekhe kipozea kwa mawaiza yako mazuri

  • @mahamoudmasoud9196
    @mahamoudmasoud91965 жыл бұрын

    Naaam shekh wetu

  • @NurdinKishik
    @NurdinKishik5 жыл бұрын

    yaallaah

  • @lileoh3893
    @lileoh38933 жыл бұрын

    Asalam alaykum shehe wambie wanahalibu vizazi

  • @mkanduzmussaz2288
    @mkanduzmussaz22885 жыл бұрын

    Naona sheikhe kavaa tinted ili asione mizigo

  • @saidalumuli4938

    @saidalumuli4938

    5 жыл бұрын

    Neema za Allah

  • @mamapompy6514

    @mamapompy6514

    5 жыл бұрын

    Ahahaaaaaaa eti asione mizigo

  • @khadijaomar3299

    @khadijaomar3299

    5 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @elizabethjoseph2116

    @elizabethjoseph2116

    5 жыл бұрын

    Hahahahahahaa my friend bangi unayovuta iacheee mbavu zangu mimi hahahahaa

  • @mamapompy6514

    @mamapompy6514

    5 жыл бұрын

    @@elizabethjoseph2116 ahahaaaaaaaaa uwiiii

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis81882 жыл бұрын

    Ebwana shekhe gan uyo

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd91465 жыл бұрын

    Shekheh wa Mjin baba angu kuipa mgongo ďùñìà ñ kaz ñà ìmàñ yataka mòýò hv àñàè vaa kot wakhat wa joto na we ulye soma Đïñ bila kufanyia kaz Kuna utofaut gan nyìè ñďò mnao sababisha maas ñà uchafu nilikushusha Ťhàmàñ pìñď uzinduz wa jumba ĺà ìmàñ Kuna Shekhe alikua anasema KIPOZEO mtuu wà bid'ah nkawa ñà bisha

  • @sabinaviolet805

    @sabinaviolet805

    5 жыл бұрын

    Allah akulinde Shekhe mawaidha mazur

  • @muksinsaidi4892
    @muksinsaidi4892 Жыл бұрын

    mashaallah

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh86505 жыл бұрын

    Ujumbe umewafikia japo wanacheka.

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Wafundishe shk kipozeo

  • @fakihassan1369
    @fakihassan13695 жыл бұрын

    ibilisi anapenda wote

  • @user-lg1pc3gy6w
    @user-lg1pc3gy6w11 ай бұрын

    Kopozeo siamini kama ndowewe ulikuaga na sheikh umar bashir duu jitathmin

  • @faridabakari8511
    @faridabakari85115 жыл бұрын

    Nkweli shekh letu

  • @aidanbugufi6200
    @aidanbugufi62005 жыл бұрын

    Unahekima sana

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross11323 жыл бұрын

    Kama vile utani lkn inatisha sheikh yuko makini kajaaliwa na Mola wake

  • @khalfanndomoro2292
    @khalfanndomoro22925 жыл бұрын

    Sub hanallah masheikh wa miaka hii wengi wanaangalia dunia kuliko akhera al muhim tuwakumbushe Mara unamuona kaalikwa na msanii ambae yupo nusu uchi si kwamba hawajui ila wanaangalia maslahi roho inauma kuona hivyo

  • @kheirmbarouk8373

    @kheirmbarouk8373

    5 жыл бұрын

    Khalfan Ndomoro ha huyu kaona wapi alie muislam na asie muislam ni ndugu wa damu aa hapa ukakasi

  • @allymwene1567

    @allymwene1567

    5 жыл бұрын

    Ndugu elimu n pana hii kabla ya kulaumu na kulaan tujitahd kufikir na kutafuta elimu zaid tucwe kat ya watu wanne ambao Hawajui ila hawajui kama hawajui tutakuwa mizigo,naomba niulize yy kaalikwa na taasisi co kikundi cha dini ya uislam wa ukiristo je angetoa mashariti ili nije niwakute watu wako hv na mtume tunaehtaji aya kwa hapa ndivo alivoagiza ukialikwa toa masharti,na kama angekuta watu wote wapo sawa angemfundisha nan hv darasan wanafunz 10 wote wamepata mia nan utamfundisha pia tunaona shughuli za kiserikar mashehe wanahutubia wote wanajifunika,swali n lingine shehe kasema waislam na wakiristo n ndugu wa damu akafafanua tumetokana na baba na mama mmoja nan haelew hilo kwa mfano ww ukizaliwa na dada au kaka baba na mama mmoja akabadili dini co ndugu yako wa damu? Tubadilike waislamu tuache kujua wakat hatujui

  • @khalfanndomoro2292

    @khalfanndomoro2292

    5 жыл бұрын

    Ally Mwene kwaio angewakuta machangudoa wapo uchi angeendelea na darsa acha kuwa na mapenzi na sheikh wakat unapata hasara

  • @sheikhsharifmaduatz2871

    @sheikhsharifmaduatz2871

    5 жыл бұрын

    @@khalfanndomoro2292 acha usenge ww elewa basi kumamamak

  • @yammuhamed736

    @yammuhamed736

    4 жыл бұрын

    @@khalfanndomoro2292 kwahiyo alie kaa uchi asiambiwe na je ataambiawaje we unafikiri mawaidha ni msikitini tu unazani utamkuta wema msikitini kisha nikwamba wakristo ni ndugu zetu kutokana na Adam ndomana akasema ni ndugu zetu wa damu yaani kwamfano kaka yako akiwa Mkristo ni ndugu yako kwakuwa damu sjui unanielewa au uliza

  • @bibazanzibariyyah5043
    @bibazanzibariyyah50435 жыл бұрын

    Allahumusta'aan Allah amuhidi huyu mzee siwezi kumwita Sheikh Subhanallah anasahau aya hadithi kwa kulinda tonge yk Sheikh wa kweli hawezi kuhudhiria apo Abadankila maasi yapo kwanza mkusanyiko wa wanaume na wanawake haramu km hakuna hijab Allah atuongoze mzee kipozi Allah anakuona ooooh....!!!

  • @muhammadymanzi3815

    @muhammadymanzi3815

    5 жыл бұрын

    Hamna shekh hapo kwanz mpak uitwe shekhe ufanye kaz hapo alipo Wala juuzu 5 Hana kichwan yaan kaongea upuuz mtup الله amuongoze awez kuon haki

  • @sheikhsharifmaduatz2871

    @sheikhsharifmaduatz2871

    5 жыл бұрын

    #Yaaan nyie wasenge kwel inamaana mawaidha yatolewe kwa #Waislamu tyu wasiokuwa waislamu wasiambiwe achen usenge

  • @muhammadymanzi3815

    @muhammadymanzi3815

    5 жыл бұрын

    Allah akusamehe kwanza kwa kuwatukana walioelew kuwa kipozeo kakosea alafu huu Ni uislaam sio dini ya matusi pia tujitahidi kusoma ili tuelewe dini inataka nn sio kila aliye simama mbele za watu kuzungumza kasom au anajua huyu Ni zero brain pia allah akuongoze uelewe uache matux pia Amiin سبحان الله unatetea hizi pumba ama kweli zama za mwisho alizosema mtume محمد رسول الله ndo hizi

  • @sheikhsharifmaduatz2871

    @sheikhsharifmaduatz2871

    5 жыл бұрын

    Pengine we ndio unamdhambi mengi kushinda hata huyo aliesimaa hapo achen uzwzwa

  • @sheikhsharifmaduatz2871

    @sheikhsharifmaduatz2871

    5 жыл бұрын

    #Kwaiyo unatak kusema Kama yet hajasoma WW uliesoma to basi cd zako za mawaidha tukujue hujatoa hebu tuacheni unafk hata Kama amekosea lakin we unaejua to #cd zako tuone

  • @alhajwaupe6452
    @alhajwaupe64522 жыл бұрын

    Natamani nimuone sheokh kipozeo live nimzawadi

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary89705 жыл бұрын

    Kwan kamtaja wema hapo yeye ametowa som tuu kwawot walio shikliki hapo

  • @hamidamaghembe2488

    @hamidamaghembe2488

    5 жыл бұрын

    Mashaallah kshehe

  • @khubeybjandal7435
    @khubeybjandal74352 жыл бұрын

    Makafiri hupendana wao kwa wao, nyote ni makafir hapo

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70472 жыл бұрын

    Sheikh katoa maiwaidha kwa kutumia hikma na busara. Wale ambao wanamsema vibaya sheikh. Walitaka awaambie wasanii shikeni adabu zenu msiende utupu. Ile sifa na dua alowaombea ni njia ya kuwatulizanisha ili ujumbe uwafike.

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz28715 жыл бұрын

    #ALAFU KWA WALE AMBAO KAZI YAO KUWATOA WATU #KASORO KAMA WAO VILE WAMEKAMILIKA NA #KUWASEMA #MASHEKHE ET HAWANA ELIMU AU AKILI #SWALI WW AMBAE UNAJIFANYA UNA #ELIMU MBONA HATUJAWAI ONA AU KUSEMA #YESU SIO MUNGU AU KUWAMBIA KUWA WATU WASIABUDIE MASSANAMU #MKO KIMYA KAMA SIO NYIE ILA #AKIFANYA SHEKHE JAMBO #MSHAKUWA MASHEKHE #WAKUBWA #TENA MUNATOA #FATWA ACHENI UNAFKI NARUDIA TENA WAISLAMU #ACHENI UNAFIKI DAIMA HATUWEZI #ENDELEA KWA JAMBO LOLOTE SABABU YA UNAFIKI #MAPOVUUUUUU RUKSA NYAU #NYIE

  • @mozzasaif6634

    @mozzasaif6634

    5 жыл бұрын

    Maneno yako fact kijana waambie hawajielewi

  • @suleimanjuma5830

    @suleimanjuma5830

    5 жыл бұрын

    Kwan we wataka tuendelee tuwe wap? Kama utajir wapo waislam matajiri wakutupwa ...huwez kuendelea kwa kupindisha ukweli wewe...unajifunza dini mitandaoni....waislam na wakristo sio ndugu ...na wala huyo shekhe hayupo sahihi kusema maneno ya wema ni mazur wakat yeye kasema anakunywa pombe

  • @mozzasaif6634

    @mozzasaif6634

    5 жыл бұрын

    @@suleimanjuma5830 Na wewe kwanini unasemea huku?huyo shekhe na Wema watajuaje kama wanamakosa? Nenda katoe mawaidha kuhusu wao misikitini ujumbe utawafikia sio humu kwenye mitandao sawa na mbuzi kumpigia gitaa umechemsha bro.

  • @sheikhsharifmaduatz2871

    @sheikhsharifmaduatz2871

    5 жыл бұрын

    @@mozzasaif6634 safi sana brother mjitu mingine inakuwaga na jazba alafu hii bira ya shaka ni ile inayojita #Answarr sunnah kumbe ni #WAHABINAAAAA

  • @sheikhsharifmaduatz2871

    @sheikhsharifmaduatz2871

    5 жыл бұрын

    @@suleimanjuma5830 kwa akili yako jinsi ilivyo inaonesha dini bado ww ndio huijui sisi waislamu udugu wetu sio wakuzaliwa tumbo.moja bali ni kwa iman hawa wakirsto wao na sisi baba mmoja na mama moja au unataka kusema hal wamezaliwa na nani ngombe au acha jazba brother

  • @ramadhaniselemanichalachal6622
    @ramadhaniselemanichalachal66225 жыл бұрын

    Hapo hakuna Sheikh kuna Sheikhena

  • @athumanimcharo5904
    @athumanimcharo59042 жыл бұрын

    Inavyoonyesha huyu shkh apenda mademu xanaa

  • @focustz4408
    @focustz44085 жыл бұрын

    Tumewasoma

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat91912 жыл бұрын

    Hakuna shekh hapo shekh anayejielewa hawezi kwenda kufanya commedy hapo kwenye watu walio nusu uchi wamechanganyika wake kwa waume nk

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz28715 жыл бұрын

    #JAMBO LINGINE MBONA HIVYO WAKATI WENGINE MASHEKHE WETU WA MIKOA WANAZUNGUMZA KATIKA MKITUNAO YA #SIASA NA WATU WAKO KICHWA WAZI HIVI YALE HAMUYAONI🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud16727 ай бұрын

    Sauti bhn mbona kama hakuna fundi mitambo

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Жыл бұрын

    Hii

  • @dazzwazenji6719
    @dazzwazenji67195 жыл бұрын

    shekhe inatakiwa akitoa mawaiza wafuas wake wamfuate ila uyoo wema ndo kwanza anazdi kua mkorof

  • @prosperkonokono5716
    @prosperkonokono57162 жыл бұрын

    Nitaanzisha biashara ya kuuza manii 😀😀😀

  • @sakeenakenya6110
    @sakeenakenya61105 жыл бұрын

    Hutba ya huyu sheikh hunifurahisha sana, yani anatoa neno kwa Quran, but inafurahisha tu

  • @mwacitywakanay2101
    @mwacitywakanay21013 жыл бұрын

    Uuuwii

  • @ramamchina4730
    @ramamchina47302 жыл бұрын

    Din hii mashekhe zaifu njaa iz mbaya firamu ni halamu

  • @salhinaselemani9780
    @salhinaselemani97805 жыл бұрын

    Innalinlahi wainnailah rajiuun

  • @fisadikiwembe9787

    @fisadikiwembe9787

    5 жыл бұрын

    Shamshi Selemani kwnn

  • @hassaniidrissa5916

    @hassaniidrissa5916

    2 жыл бұрын

    Innalilahi wainna illahi rajiun

  • @ghhhhh303
    @ghhhhh3032 жыл бұрын

    Kutoa darsa kwa wenzetu wakiristo ni sawa lakini lazima usemi haki na usigope

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn61085 жыл бұрын

    nimependa somo la aoo watu wanne semaa nashindwa kuelewa wanne n yupi ikiwa 1. anajua na anajua kua anajua 2.ajui na ajui kua ajui 3. anajua lakni ajui kua anajua 4. .....!!? sas

  • @ismailjohn6108

    @ismailjohn6108

    5 жыл бұрын

    baasii ajui lakni anajua kua ajui

  • @mnongediplo4050

    @mnongediplo4050

    5 жыл бұрын

    Hajui lakn anajua kuwa anajua

  • @fauswalidauda8958

    @fauswalidauda8958

    5 жыл бұрын

    Hakika

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed35414 жыл бұрын

    Shekhe ungewapa nondo mpaka wapoteane hapo

  • @urbandigitaltz
    @urbandigitaltz5 жыл бұрын

    Hapandipo utakapojuwa nini uchamungu nanini imani

  • @samirybinaliy2564
    @samirybinaliy25643 жыл бұрын

    mh

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis86532 жыл бұрын

    Huyu sheikh simkubali hata kidogo mawaidha Yake mengi ni mtu wa kusifu sifu hususan kusifu maumbile ya wanawake sioni kama jamii inafaidika

  • @karanisalim601
    @karanisalim6014 жыл бұрын

    SHEE muogope muumba maksito siondugu zetu

  • @joelathiambo4312

    @joelathiambo4312

    2 жыл бұрын

    Katika watu aliowazungumzia wewe ni namba tatu

  • @idrissasalumu9810
    @idrissasalumu98105 жыл бұрын

    Ata ivo hajawai kutoa mawaidha,alikua comedian just,kwa udhwaif huo,sidhan atakutubu utaweza,

  • @muhammadymanzi3815

    @muhammadymanzi3815

    5 жыл бұрын

    Ofcz atakuw Ni comedia

  • @mavunofamily1993-bt3tm
    @mavunofamily1993-bt3tm Жыл бұрын

    Kweri vijana tunaandamwa sana na shetani hivyo yatupaswa tuwe makini na tumuludie Allah atunusuri na mambo Haram yasituerekee

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr45142 жыл бұрын

    Shekh tumbo

  • @ramadhantahila9131
    @ramadhantahila91312 жыл бұрын

    Ujumbe umefikaa sio lazima utoe ukali

  • @mohamedkisoma3492
    @mohamedkisoma34925 жыл бұрын

    duu

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona23535 жыл бұрын

    Na weye she Kipozeo, mbona huezeki???????????????? ddoooooooooooooooooooooooooo

  • @sakeenakenya6110

    @sakeenakenya6110

    5 жыл бұрын

    Sio yy tu, mwalimu sheikh yeyote, ambayo ameshika dini ki ukweli, hua hazeeki, hata akizeeka yy hua strong, ni neema yake Allah

  • @emmanuelahmedbyona2353

    @emmanuelahmedbyona2353

    5 жыл бұрын

    Kabsaaaaaa

  • @kiluviasamia6328
    @kiluviasamia63285 жыл бұрын

    Hata Mtume s.a.w alkaa na makarf na kuwalingania ili waingii ktk dn ya haki na kweli bla kukaa nao na kuwalingania hawataingia ktk uislamu .Wakrsto na waislima tumetoka kwa Adamu na Hawa .

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31045 жыл бұрын

    Mda mwingine shekhe unakera unatoa nasaha kwawatu wasiyemjua mungu wa kazi gani kwenda kusimama sehem kama hiyo

  • @cornelyakatangwa489

    @cornelyakatangwa489

    5 жыл бұрын

    Kaka toka lini mtume aliwaendea watenda mema? Tuu walio wabaya ndo wanahitajika kuokolewa ....amini nakuambia imani yako ni haba sanaaaaa

  • @saudamdoe1348

    @saudamdoe1348

    5 жыл бұрын

    Sasa hapo sindio anawanasihi taratibu ili wamjue Mungu. Kuna nafsi zingine kuzibadilisha zinahitaji nguvu nyingi ikiwemo mawaidha na kadhalika, natumai wengi wetu kupitia mkutano nafsi zetu zitabadilika Inshaallah

  • @bintomar7025
    @bintomar70252 жыл бұрын

    Kwan kipozeo nae ni shekhe?

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan21872 жыл бұрын

    Sarakasi jukwaani

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum50025 жыл бұрын

    Toa mawani shek we2

  • @mwigaali9780
    @mwigaali97805 жыл бұрын

    Sheikhe gni ww unae sapoti hururi za dunia ikiwemo zinaa

  • @fisadikiwembe9787

    @fisadikiwembe9787

    5 жыл бұрын

    Mwiga Ali kasapoti kivipi?

  • @shaabanadam2336

    @shaabanadam2336

    5 жыл бұрын

    Ambacho kazungumza umekielewa??hivi ukiwakuta watu uchi hutawalingani??

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57722 жыл бұрын

    Tumbo

  • @lovenessnazareth752
    @lovenessnazareth7525 жыл бұрын

    PATA UBUYU KWA BEI NAFUU KUTOKA ZANZIBAR NDOO KUBWA SH 60000 NDOO NDOGO SH 37000 KISADO SH 16000 MAWASILIANO 0672526851

  • @suleimanjuma5830
    @suleimanjuma58305 жыл бұрын

    Wakristo na waislamu sio ndugu...shehe anajipendekeza ...muangalieni sura yake wakati anaposema hilo neno la udugu ..hakutoa hoja yoyote

  • @allymwene1567

    @allymwene1567

    5 жыл бұрын

    Waislam wametokana na nan na wakiristo wametokana na nan jaribu kufikir unapockia kitu kabla ya kuropoka tusiufanye uislam kuwa mgumu ndugu zangu amesema ni ndugu katika damu inamaana tumetokana na baba,mama mmoja au ww kaka yako akibadili dini co ndugu yako

  • @suleimanjuma5830

    @suleimanjuma5830

    5 жыл бұрын

    Dini haisomwi mitandaoni wewe ...halafu uislam sio mgumu ndio lakini pia sio mrahisi kama kumvua dadapoa chupi..unasheria zake na taratibu..mtume s.a.w asema:almuslim akhu muslim ...muislam ndug yake ni muislam...sote tumetokana na Adam hilo halifany tuwe ndugu...mimi na anae abudu ng'ombe anaeabudu miti ni ndugu pia? Unakichaaa nini wewe..acha kushoboka ...mungu asema"antum tuhibunahum walakin la tuhibunakum ...nyie mnawapenda hao lakin wao hawawapendi nyie..acha kushoboka ...dini unaisomea mitandaoni

  • @marijanihasan2407

    @marijanihasan2407

    5 жыл бұрын

    Kk Suleiman uislam unakataza kuongelea Mambo usiyoyajua kwa kuchelea kukufuru bila kukusudia Sasa wewe Jambo hili huna elemu nalo liache au tafuta shehe uelimishwe vizuri wasaalam

  • @suleimanjuma5830

    @suleimanjuma5830

    5 жыл бұрын

    @@marijanihasan2407 elimu ninayo ...na sijajifunza mitandaoni

  • @suleimanjuma5830

    @suleimanjuma5830

    5 жыл бұрын

    @@marijanihasan2407 kama wakristo ni ndugu kisa tunatokana nao na adam na hawa ..basi hata wanao abudu mutu , mizimu, masanamu pia ni ndugu? Mtume alichokisema kweny hadithi sahihi "almuslim akhuu muslim" muislam ndug yake ni muislam...uislam unakwenda kwa dilili yani facts za kitabu na sunna...huyo shehe wenu aliposema hilo haku toa aya wala hadithi yoyote ....kwasababu haipo...hakuna udugu kati ya waislam wanao abudu mungu mmoja na wanaosema yesu ni mungu...honestly hakuna ..ni shobo tu za hyo shehe

Келесі