ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU HILAL SHAWEJI MAKARANI A.K.A KIPOZEO
@KhalidRashid-yr2hu9 күн бұрын
Wallah hamna shekhe nampenda dunian kama shekhe kipozeo yarrabi kwa rehm zako mjalie shekhe kipozeo pepo ya firdaus amiiiiiiiiiin
@mwaringakali483 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana bwana kipozeo Allah akupe afya na nguvu
@rajabukimosa3377 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe heri duniani na Akulipe wema Akhera
@hadjrahkhalfan3584 Жыл бұрын
Manshallah tabarakallah imam Abuu Hanifah kwa jibu zuri saana
@Moranotz10 күн бұрын
Mashallah isilamu ❤
@asrymohd6690 Жыл бұрын
Muda mwengine mada zako zinanikosha Mashallaaah
@abduladenya2435 Жыл бұрын
Sheikh Mola amjaze kheri ana ilmu kubwa na Bora zaidi,Kenya tuna m enzi
@zitoncombo1317 Жыл бұрын
Mashallah Tabarakallah shekh.
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
SubHanaAllah.. Allah atujaliye mwisho mwema
@zayanaduduna1405 Жыл бұрын
Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH ALLAH akupe JANNAH FILDAUSI ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@saidmwakulika9945 Жыл бұрын
Kugongozwa roho Allah atupe wepesi
@stevenkipara93105 ай бұрын
Mmmm! Mbona huyu Sheih yote anayo zungumza yapo kwenye bibilia Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Mtihani kwa kweli
@AllyMwambashi
9 ай бұрын
Kila la kheri shekhe
@saidmwakulika9945 Жыл бұрын
Yani 😂😂😂😂 ustadhi wangu huwa nakutambua sanaaa
@safielimjema4593 Жыл бұрын
Nakuelew sana sheikh kipoozeo
@RadjabuNiragira-xr5zr Жыл бұрын
Mansha allah nakupenda sana maana mawaifha yako napata faida alafu na unanicekesha
@mudrckshaamal-wb9vx Жыл бұрын
Shehe fundi mashaallaa baraka Allah
@jahmalnjambe2205
Жыл бұрын
Wisdom of the divine
@user-du6bd3no2b5 ай бұрын
Mzee wa mizigo miss bantu
@stanleychisasa4343 Жыл бұрын
A like this papa
@issachitupa590 Жыл бұрын
Shekh irali kipozeo nakukubali sana
@mohamedali7544 Жыл бұрын
Ustad kipozeo MashaAllah. Maustadhi wengi tz huwa nimatabibu Inna Lilah wa Inna Lilah rajiun
@user-sy3qw2zk1b11 ай бұрын
Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu na akuongezee hekima ktk mafundisho yako ya kilimani. Mimi ni mkristo lkn napenda kusikiza hekima hii ulionayo.
@ibnukhatwib2969
5 ай бұрын
Karibu katika dini ya haki,ndugu mpendwa
@nurdinibrahimu73129 ай бұрын
Alla Karim🙏
@othmanmasoud16727 ай бұрын
Maana vijana wa kileonataka kukifanya kila kitu mnajuwa kazi yenu kuwakosoa mashekhe tu hata kama hamjui
@pangapeter2758 Жыл бұрын
Nice
@abdallahbrek1698 Жыл бұрын
Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni
@fahadmussa8879
11 ай бұрын
Sun bwana wana chunguza mada nzima ili wapate kwakukosoa sio kupata dawa wao niubishanitu
@khadijanyevu586611 ай бұрын
Nayapenda mawaidha ya sheikh kipozeo lakini kwanini hapendi kuja Kenya??
Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi
@SultanAkram-ou8nt
4 ай бұрын
Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu una kikomo ,hivyo na ww hapo ndo mwisho wako wa kufikiri
@SultanAkram-ou8nt
4 ай бұрын
😊😊😊
@ManaseManase-in3bg Жыл бұрын
Naminywilu ndo wapi shekh
@saidimaliki8342
Жыл бұрын
Mkoa pwani
@aisharajimbo6784
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@othmanmasoud16727 ай бұрын
Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake
@soudhussein7396 Жыл бұрын
Ukitaka kumjuwa IBLIS kwanza ijuwe nafsi yako mwenyewe.
@edoedo4973 Жыл бұрын
MASHEIKH WETU MNAFULAI SANA KUPATA RAIS MWANAMKE MASHEIKH INABIDI TUPATE NA MAIMAMU WANAWAKE
Пікірлер: 50
ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU HILAL SHAWEJI MAKARANI A.K.A KIPOZEO
Wallah hamna shekhe nampenda dunian kama shekhe kipozeo yarrabi kwa rehm zako mjalie shekhe kipozeo pepo ya firdaus amiiiiiiiiiin
Kazi nzuri sana bwana kipozeo Allah akupe afya na nguvu
Mashaallah Allah akupe heri duniani na Akulipe wema Akhera
Manshallah tabarakallah imam Abuu Hanifah kwa jibu zuri saana
Mashallah isilamu ❤
Muda mwengine mada zako zinanikosha Mashallaaah
Sheikh Mola amjaze kheri ana ilmu kubwa na Bora zaidi,Kenya tuna m enzi
Mashallah Tabarakallah shekh.
SubHanaAllah.. Allah atujaliye mwisho mwema
Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH ALLAH akupe JANNAH FILDAUSI ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kugongozwa roho Allah atupe wepesi
Mmmm! Mbona huyu Sheih yote anayo zungumza yapo kwenye bibilia Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Mtihani kwa kweli
@AllyMwambashi
9 ай бұрын
Kila la kheri shekhe
Yani 😂😂😂😂 ustadhi wangu huwa nakutambua sanaaa
Nakuelew sana sheikh kipoozeo
Mansha allah nakupenda sana maana mawaifha yako napata faida alafu na unanicekesha
Shehe fundi mashaallaa baraka Allah
@jahmalnjambe2205
Жыл бұрын
Wisdom of the divine
Mzee wa mizigo miss bantu
A like this papa
Shekh irali kipozeo nakukubali sana
Ustad kipozeo MashaAllah. Maustadhi wengi tz huwa nimatabibu Inna Lilah wa Inna Lilah rajiun
Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu na akuongezee hekima ktk mafundisho yako ya kilimani. Mimi ni mkristo lkn napenda kusikiza hekima hii ulionayo.
@ibnukhatwib2969
5 ай бұрын
Karibu katika dini ya haki,ndugu mpendwa
Alla Karim🙏
Maana vijana wa kileonataka kukifanya kila kitu mnajuwa kazi yenu kuwakosoa mashekhe tu hata kama hamjui
Nice
Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni
@fahadmussa8879
11 ай бұрын
Sun bwana wana chunguza mada nzima ili wapate kwakukosoa sio kupata dawa wao niubishanitu
Nayapenda mawaidha ya sheikh kipozeo lakini kwanini hapendi kuja Kenya??
Cre
Sheikh, Mtwara hakuna Nanjilinji, yapasa kuweka kumbukumbu sawa.
❤
Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi
@SultanAkram-ou8nt
4 ай бұрын
Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu una kikomo ,hivyo na ww hapo ndo mwisho wako wa kufikiri
@SultanAkram-ou8nt
4 ай бұрын
😊😊😊
Naminywilu ndo wapi shekh
@saidimaliki8342
Жыл бұрын
Mkoa pwani
@aisharajimbo6784
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake
Ukitaka kumjuwa IBLIS kwanza ijuwe nafsi yako mwenyewe.
MASHEIKH WETU MNAFULAI SANA KUPATA RAIS MWANAMKE MASHEIKH INABIDI TUPATE NA MAIMAMU WANAWAKE
@hassancharo1496
Жыл бұрын
UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE IMAM MWANA MKE ULI MUONA WAPI😢
@ashaabubakar5036
Жыл бұрын
Do you real mean it ama wasema thuu for the sake of
@abdulhakimhasan7673
Жыл бұрын
Imamu mwanamke ni kombo na dini ya kiislamu.
@saidisesa5446
Жыл бұрын
Sasa kama maka ni nchi takatifu aliko zaliwa mtukufu wa drja,mbona makka wakitutangazieni muandamo wa mwezi tunpingaa
@mohammedsururu4047
Жыл бұрын
Kwani huyo rais wame muweka mashekhe