HISTORIA YA MAJJINI // SHEIKH OTHMAN MAALIM

USISAHAU KU SUBSCRIBE

Пікірлер: 44

  • @PrincessZAmlima-qh1uq
    @PrincessZAmlima-qh1uq6 күн бұрын

    Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama154211 күн бұрын

    Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936Ай бұрын

    Alhamdulillah ,jazaka Allah Kheur

  • @IbrahimMambo-l9r
    @IbrahimMambo-l9r4 күн бұрын

    ❤Mashaallah

  • @sidesaid4604
    @sidesaid4604Ай бұрын

    MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i12 күн бұрын

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186Ай бұрын

    Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi

  • @abdallahkawambwa6179
    @abdallahkawambwa6179Ай бұрын

    😢JAZAKA LLAHU KHEIYRU SHEIK MOLA AKULINDE ZAID NA MAADUI WKO ISHAALLAH

  • @NgarigariOmari
    @NgarigariOmariАй бұрын

    Jazaakallahu khair

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i12 күн бұрын

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @WonderfulSeagull-lg1tz
    @WonderfulSeagull-lg1tzАй бұрын

    Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438Ай бұрын

    AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤

  • @OmarOmar-q2q
    @OmarOmar-q2q7 күн бұрын

    Duh

  • @farris_2549
    @farris_254910 күн бұрын

    Sheikh wet u Allah akuhifadhi.

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f20 күн бұрын

    Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤

  • @antonymwenda305

    @antonymwenda305

    4 күн бұрын

    Masha Allah

  • @Kautharkabanga
    @KautharkabangaАй бұрын

    Shukran yaaah shekhe Othman maalim

  • @NanaHsn525
    @NanaHsn525Ай бұрын

    Allah akupe afia ma umri sheik Othman

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n27 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @businesscenterenglishcours9136
    @businesscenterenglishcours913611 күн бұрын

    mashaAllah

  • @azzaaltouqi2323
    @azzaaltouqi2323Ай бұрын

    بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai12 күн бұрын

    Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman

  • @a.856
    @a.856Ай бұрын

    Jazakallah khayran

  • @IssaSalim-kv4gr
    @IssaSalim-kv4grАй бұрын

    Jazakallah khaira

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821Ай бұрын

    Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .

  • @lovemamsafricana2611

    @lovemamsafricana2611

    17 күн бұрын

    Sema tu ilmu yake ya ufafanuzi haimfikii Sheikh Othman

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821Ай бұрын

    Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5uАй бұрын

    مشأ الله

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4kАй бұрын

    ❤❤❤❤

  • @alyehemed4477
    @alyehemed4477Ай бұрын

    Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran

  • @lovemamsafricana2611

    @lovemamsafricana2611

    17 күн бұрын

    Wallahi narudiarudia vipande anaposoma ❤

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623Ай бұрын

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa872825 күн бұрын

    MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!

  • @lovemamsafricana2611

    @lovemamsafricana2611

    17 күн бұрын

    Pole kwa kukosa kuelewa elimu ni nini.

  • @alijuma7674
    @alijuma7674Ай бұрын

    Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3s10 күн бұрын

    Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9lАй бұрын

    Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa

  • @zaidiissa3714

    @zaidiissa3714

    7 күн бұрын

    Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo

  • @issackmakanga5603
    @issackmakanga5603Күн бұрын

    Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i12 күн бұрын

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i12 күн бұрын

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @HeriethMatemba
    @HeriethMatembaАй бұрын

    Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i12 күн бұрын

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤