Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman
@augustomariosama154211 күн бұрын
Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh
@mbwanamtops4936Ай бұрын
Alhamdulillah ,jazaka Allah Kheur
@IbrahimMambo-l9r4 күн бұрын
❤Mashaallah
@sidesaid4604Ай бұрын
MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA
@MindaWilson-d7i12 күн бұрын
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤
@andrewmoi2186Ай бұрын
Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo
@WonderfulSeagull-lg1tzАй бұрын
Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh
@husseinibrahim5438Ай бұрын
AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤
@OmarOmar-q2q7 күн бұрын
Duh
@farris_254910 күн бұрын
Sheikh wet u Allah akuhifadhi.
@user-fy4op1sw2f20 күн бұрын
Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤
@antonymwenda305
4 күн бұрын
Masha Allah
@KautharkabangaАй бұрын
Shukran yaaah shekhe Othman maalim
@NanaHsn525Ай бұрын
Allah akupe afia ma umri sheik Othman
@user-hu4sd7bg8n27 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@businesscenterenglishcours913611 күн бұрын
mashaAllah
@azzaaltouqi2323Ай бұрын
بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله
@UstadhiRai12 күн бұрын
Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman
@a.856Ай бұрын
Jazakallah khayran
@IssaSalim-kv4grАй бұрын
Jazakallah khaira
@husseinchaka1821Ай бұрын
Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .
@lovemamsafricana2611
17 күн бұрын
Sema tu ilmu yake ya ufafanuzi haimfikii Sheikh Othman
@husseinchaka1821Ай бұрын
Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.
@user-du2fy5sd5uАй бұрын
مشأ الله
@user-dn7gn6ib4kАй бұрын
❤❤❤❤
@alyehemed4477Ай бұрын
Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran
@lovemamsafricana2611
17 күн бұрын
Wallahi narudiarudia vipande anaposoma ❤
@azizayassin3623Ай бұрын
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
@nabiimgongolwa872825 күн бұрын
MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!
@lovemamsafricana2611
17 күн бұрын
Pole kwa kukosa kuelewa elimu ni nini.
@alijuma7674Ай бұрын
Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni
@user-oy8sb7jg3s10 күн бұрын
Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi
@user-wm9hr7fx9lАй бұрын
Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa
@zaidiissa3714
7 күн бұрын
Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo
@issackmakanga5603Күн бұрын
Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?
@MindaWilson-d7i12 күн бұрын
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤
@MindaWilson-d7i12 күн бұрын
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo
@HeriethMatembaАй бұрын
Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema
@MindaWilson-d7i12 күн бұрын
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤
Пікірлер: 44
Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman
Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh
Alhamdulillah ,jazaka Allah Kheur
❤Mashaallah
MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤
Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi
😢JAZAKA LLAHU KHEIYRU SHEIK MOLA AKULINDE ZAID NA MAADUI WKO ISHAALLAH
Jazaakallahu khair
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo
Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh
AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤
Duh
Sheikh wet u Allah akuhifadhi.
Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤
@antonymwenda305
4 күн бұрын
Masha Allah
Shukran yaaah shekhe Othman maalim
Allah akupe afia ma umri sheik Othman
❤❤❤❤❤
mashaAllah
بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله
Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman
Jazakallah khayran
Jazakallah khaira
Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .
@lovemamsafricana2611
17 күн бұрын
Sema tu ilmu yake ya ufafanuzi haimfikii Sheikh Othman
Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.
مشأ الله
❤❤❤❤
Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran
@lovemamsafricana2611
17 күн бұрын
Wallahi narudiarudia vipande anaposoma ❤
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!
@lovemamsafricana2611
17 күн бұрын
Pole kwa kukosa kuelewa elimu ni nini.
Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni
Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi
Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa
@zaidiissa3714
7 күн бұрын
Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo
Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo
Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤