MAISHA NA HISTORIA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 329
Sio Zanzibar tu... Tanzania nzima inakupenda... Allah akuhifadhi sheikh wetu kipenzi...akuzidishie kila la kheri... Allahummah baarik
Kwenye asilimia 100 ya elimu ya dini nilionayo basi 85 imetoka katika maneno ya othman maalim allah akuhifadhi na akupe qauli thabit inshaallah atupe mwisho mwena
@asilahassan9965
3 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin
@ahz6907
3 ай бұрын
Amyn
@tiemahajimuindi8017
3 ай бұрын
Mola akuhifadhi Sheikh Othman Maalim
@ramadhanyusuf2401
2 ай бұрын
Kama ipi nipe moja tuu
@zaliqueenatibcomatib6755
2 ай бұрын
Amiin Amiin yarabii
Mash Allah kipenzi changu Shekhe Osman Maalim ni moja wapo ya Mashekhe ninao wapenda . Allah akuhifadhi.
Masha Allah Alfatah katika siku zote lakini leo nawapongeza saana kwa kumueka Sheikh Wang Othman Maalim,,kipenz chang,,huwa nafaidika saaana kupitia yeye Naitwa Ahmed kutoka Kenya Malindi....team yote Alfatah Allah awajaze...🙏🙏🙏
@KassimAlly-xp4dz
3 ай бұрын
Allahuma Amin
@harthaseif5497
2 ай бұрын
Mashallaah shekh wetu tunampenda sanaa mashallaah allaah akujaliee pepoyake yarab akukutanishe namtume wetu muhamad SAW mashallaah
@mohamedkalme5075
2 ай бұрын
❤
Tunakupenda kwa ajili ya Allah Shekh wetu kwa hakika usiondoke tena znz mpaka mwisho wa Maisha yako Allah akupe umre mrefu wenye manufaa
@KassimAlly-xp4dz
3 ай бұрын
Allahuma Amin
Mashaallah leo mimi nimefurahi sana kujua historia ya shekhe Othman Maalim nilikua natamani kusikia historia yake Allah akupeni kila la duniani na akhera
Mashallah kipenz cha watu shekh wetu mungu amjaalie kila la kheri
Nilimjua sheikh kupitia redio zanzibar kwenye visa vyake alivyokua anatoa mwezi wa ramadhani visa vya mitume na qisa nilichokua nakupenda sana ni qisa cha nabii yussuf
Shekh wengi tume ipenda dini kwasababu umekuwa ukifundisha kwa hekma na busara yani mtu asipo kuelewa wewe basi tena Allah akupe umri mrefu wenye manufaa tuna hitaji watu kama nyinyi Allah akuongezee elimu na aiweke nuru aongeze ufaham kwenye kila lakheri akuwekee baraka ❤
@asilahassan9965
3 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin
@ahz6907
3 ай бұрын
Amyn
@mikidadibandu3998
2 ай бұрын
Tunakupenda Sana hata Huku kwetu bara
Ma Shaa Allah ..Umejaaliwa Ilmu..busara..heshma..adabu..uskivu .mara nyingi au zote unajishusha chini kabisa kwa kumuogopa Mola wako mlezi....nahali yakuwa umejaaliwa neema ya ilmu na neema ya kueleweka na kuvutia unapotupatia ilmuu.. pasina na majigambo(majivuno) kwa kujiona mimi ndio mimi.. Nakuombea na kujiombe nafsi yangu na umma wa kiislam Mwenyezi Mungu atupe furaha ya Dunia na kesho Akhera yenye kumpendeza Mola wetu..ameen..ameen Allah humma ameen Allah Ibarik
@ummohammed8380
3 ай бұрын
Amiin yarab
@saidmwakinyezi1360
3 ай бұрын
Amin Yarabi
@asilahassan9965
3 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin
Mashaallah hakika shekh Allah akupe mwisho mwema ww ndio mwalim wangu bila napokusikiliza uwa nakuelewa moja kwa moja nakupata utulivu wa nafsi nasijawai kuchoka kuludia elimu yako
Maasha-Allah sheikh Othman Allah akupe pepo kwa rehma zake insha-Allah.
Mashaallah shekhe othman maalim mungu akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio kheri nyingi na Baraka 🙏 🙏 amin ishaallah. Natamani pia mimi mtoto wangu awe ka wewe ishaallah ❤❤❤asante kwa historia yako nzuri😊
Mm natoka mombasa kenya hua kila siku mpka nisikilizee mawaidha yko allah akuifahdhi na akuzidihie ilmu uzidi kutuilimisha nimepata faida kubwa sana kwako natamani niwekaribu nawe sazote I WISH WAS IN ZANZIBAR❤❤❤❤❤
Allah amuhifadhi Sheikh wetu na amzidishie kheri na baraka katika Elimu yake.
@asilahassan9965
3 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin
@SakinaSakinat-qd9rs
2 ай бұрын
Amiin Amiin Amiin
Allah umpe maisha marefu na umbashirie pepo ya darja ya juu Sana.
Masha-Allah. Allah Akuzidishie Umri , Na Akujaze Kula la Kheir ! 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪 Ni Sheikh ni nae mpenda sana ! .na masheikh wote vile vile na wapenda wote. Allah ! Atawalipa kula la kheir. 🙏🙏🙏
Mashaallah Mashaallah nakupenda kwajili ya Allah Allah akuhifadhi...tunafaidika sana na mawaidha yako yanatubadilisha allah akulipe kheri
Maashallah walitoka watatu kuja TZ yaani Ali, Omar na Othman. Majina yote ya masahaba wa bwana mtume S.A.W
@maymunahomar5016
15 күн бұрын
MaaShaaAllah ❤
JazaakAllahu khair sheikh Othman. We appreciate your teaching. Team Uganda 🇺🇬 😊
@allahisone6386
2 ай бұрын
NYABO, U KNOW KISWAHILI LANGUAGE?
Kipenzi cha Watanzania Nzima ❤❤❤Tunaomba Serekali ikupee Uraiya Kabisa Upate Passport ya Tanzania ❤❤❤
@allahisone6386
2 ай бұрын
HHHH
MaShaAllah, Allah Akuhifadhi Sheikh Wetu Tunajifunza Mengi kutoka kwako.
Masha Allah Masha Allah sheikh wetu Allah mpe umri mrefu wenye kheri na barka tele ili tuzidi ilimika
*Allahumma baarik sheikh kwa mawaidha zote ulizotufundisha tumefaidika mno. Jazaa yako kwa Allah. Na daima matani yako / comedy ndiyo huzidisha ladha kwa mawaidha yako.😂😂😂 Shukran sana* 💞
@allahisone6386
2 ай бұрын
NDUGU HIZO LETTER ZAKO UMEZIANDIKAJE???? NIME PENDA ULIVY ANDIK
@artisthusnatalal3099
2 ай бұрын
@@allahisone6386 Shukran
ما شاء الله شيخنا نحن نحبك كثيرا 😍
Allah akujaalie umri mrefu wenye siha na amali njema, ili uweze kutuelimisha na kuwafundisha tuliokuwa hatujui
Othmaan Maalim kwangu ni mwokozi😢 nilikua musharati, mwongo... nilikua kama umbwa mpaka nikaachwa na mke wangu. Sijui ilikuaje niskie mawaidha yake ya " Mali na Dunia" from that day nili badirika kua muisilamu, nikawa mtu sio umbwa tena. Na pia kila siku jua nakufwatilia kama umbwa yako Sheikh😢 hakuna kipindi kitanipitaka. Hekima na heshima naitosha kwako😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Maasha allah shelhe wangu nataman sikumoj tukutan nitafurah zaid nampenda shekhe othuman najifunz mambo meng kupitia mawaidha yake allah akuhifadhi
Shukran kwake mwalim wetu kwa yote unayo tufunza sisi ni wanafunzi wake kutoka Congo drc goma
Masha Allah Sheikh ama kwa hakika chema hujiuza...Allah atuzidishie na atujaalie Kila kheir yake ...Amin
Mimi nashindwa nimepata kigugumizi kuona historia ya ya huyu baba,nampenda kwa ajili ya Allah simu yangu imejaa maneno yake yake sauti mawaidha mafunzo matamu murua ya visa vya mitume yote hayachoshi kuyasikiliza nimejua mengi kupitia mawaidha yake .nashindwa kuelezea Allah ampe umri mrefu azidi kutuelimisha azidi kuelimisha sisi na vizazi vyetu vijavyo. Mimi dada yako. Nakupenda kwa ajili ya Allah.
Mashallah SHEIKH RASHID KWA KUMLETA MWALIM WETU SHEIKH WETU HATA WW NI MWALIM WAKO. KUNA SIKU ULINISABABISHA NIJE MSIKITINI NILISIKIA SAUTI YA SHEIKH OTHMAN MAALIM KUMBE KUJA UPO WEWE SHEIKH RASHID SALIM MASHALLAH ALLAH AKULIPENI KHERI.
Tafadhali Sheikh, umetueleza juu ya wazazi wako na ndugu zako na tumefaidika sana but pia tueleze juu ya familia yako, yaani mke (au wake) na watoto wako
Masha ALLAH Tabarakallah ❤ ♥❤.ALLAH akuhifadh sheikh wetu kipenz 4rm Kenya 🇰🇪
@kimarumarwa3464
3 ай бұрын
Zanzibar ni Makka ndogo tangu zamani,
@aishakinia4957
3 ай бұрын
Amiin Yaraab nimeenukia na mawaidha ya sheikh othman maalim Allah ampe umri mrefu
@allahisone6386
2 ай бұрын
😅AL-KAABA IPO? 😅
@SakinaSakinat-qd9rs
2 ай бұрын
@@aishakinia4957.. Amiin Amiin Amiin my dada
MashaAllah kaka Sheikh Othman maalimu Mola akupe umri
Allah akujalie maisha mema duniani na akhera inshallah babuu uthman Maalim .Much love from wajukuu zako upande huu wa kwale
Alhamdullillah nimejifunza mengi kuhusu othman mwalim na uisikize mpaka mwisho utafaidika naomba masheikh wote wajitahidi kuheshimiane kupate kuwa adhabu nasisi tufaidike ameeeen yarabeel alameeeen
TabarakaAllah fii nimyenyekevu kujibu maswali Allah azidi kukujaaliya Elmu utufunze dini yetu Islam
Mashaallah mashaallah mashaallah sheikhe wetu nakupenda sana sana kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi akujaliye umri wenye afya akuzidishie elimu zaidi akujaliye uwe miongoni wa waja wake walioridhiwa
Mashallah Allah akuhifadhi shekhe wetu
Kama shekhe Othman maalim nikimsikia roho yangu inasuzika mashaallh nani nampenda
@allahisone6386
2 ай бұрын
INASUZIKA NDIOOO WAMAANISHA?
A A W W Othuman Maalim sauti yoko ukisoma Qor an roho yangu inapata uturivu nakupenda kwa ajiri ya Allah.Aisha kutoka Rwanda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ummohammed8380
3 ай бұрын
Asallam aleikum ndugu yangu usiifupishe hii Usiandike kwa kifupi Kwenye salam kuna jina la Mungu haifai kukatishwa
@1nesoch
3 ай бұрын
@@ummohammed8380 Allah atusaheme makosa tunayofanya bila kujuwa ao kwa kusahau. Allahuma Amin.
Mashaallah barak Allahu feek sheikh wetu mpendwa otham maalim
MashaAllah mm hua najua katokea sehemu ya mjini kumbe katoka Digo ....Mola akuhifadhi sheikh wetu
Mashallah Allah atuekee sheikh wetu inshallah
Mashaallh Allah akupe kila la kheri sheikh wetu kipenzi
Katika masheli nawapendao Tanzania yy ndio namba moja Allah amuhifadhi na kila shari za watu wabaya
Mashaallah masjid konzi Jamiii inakufahamu Sana sheikh othman maalim Allah akupe umri mrefu. Cha ajabu sijawahii kusikia ukiongea kwa ukali upole na ukarimu ndio miongoni mwa sifa zako. Twakupenda kwa ajili ya ALLAH
@ahz6907
3 ай бұрын
Naaam...Amerithi kutoka kwa babake!
@allahisone6386
2 ай бұрын
💯%🤝
Maa shaaa ALLAH kazi nzuri walimu zetu...MOLA AWAHIFADHI KWA KAZI KUBWA MUNAYOIFANYA amin
Maa Shaa Allah Sheikh Othman Allah azidi kukuhifadhi kwa ajili yangu na wengine Allahumma Aamiyn
Alhamdulilah. Watu wa Unguja na Pemba wamekuvuliya kofiya na ushakuwa mtu wa hapo Unguja mpaka ucheshi wako na lafdhi ya lugha yako tunaipenda. Mashaallah
Masha Allah tabarakallah, mungu akuzidishie 🎉🎉🎉
Nakupenda sana sheikh othmaan maalim kutoka moyoni 🤝😊
MashaAllah, Sheikh Othman Maalim, my best sheikh, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu, afya njema, baraka na mafanikio tele ili tuendelee kufaidika na ilmu yako
Mashaallah mashaallah tabarakallahu may❤Allah bless him and happiness umuri tawilli.Allahu ma amini thuma amini
Masha'allah sheikh othman maalim kumbuka kurudi kenya
Asalaam aleikum Mungu amjaze kheri sheikh langu othman maalim. Nakumbuka siku nilipokutana na sheikh Othman maalim Mombasa kenya.nikamuuliza sheikh anipe nasaha mm kama kijana basi nasaha alonipa ni same haya maneno asemayo hapa. Masha Allah 😊 Mungu akujaze kheri
Maa sha Allah tabaaraka llahu, shekhe unanipa faraja sana kwa darsa zako najifunza mengi awali sikuyajuwa Alhamdulillah mungu akujaalie maisha marefu yenye mwisho mwema ❤
Maa shaa Allah baraaka Allah fika masheikh wetu Allah awalipe kila lenye kher nanyi
Ni Sheikh mzuri na Mwalimu aliyetimia.Amejaaliwa mvuto wa kusikilizwa na kutochosha masikio ya wasikilizaji wake.Hakika ni mjuzi aliyejaaliwa karama njema ya kufikisha.Allah amhifadhi na kumpanua zaidi ili Ummah uendelee kumfaidi na yeye anufaike pia,Biidhnillah.
@SakinaSakinat-qd9rs
2 ай бұрын
Amiin Amiin Amiin
Mashallah Mashallah yaani nimefurahi sana kujua historia ya sheikh othman Maalim Allah azidi kumpa umri mrefu mwenye furaha na imani kubwa na ampe afya azidi kuweza kutuelimisha na ampe pepo ❤❤❤❤😊😊
Mansha allah allah akuifadhi mimi napenda elimu yako
MashaAllah hii ni miongoni mwa KZread channel ambayo hujutii kuitazama Allah akujaalie heri na aikuze zaidi na zaidi ifike mbali
Mashallah ustadh osman amenisomesha Islamic teachers training college mikindani mombasa Allah (sw) amuhifadhi.
Mwenyezi Mungu amuhifadhi sheikh wetu Othman maalim kwa kazi kubwa anayoifanya tunaomba pia aje sehemu za Tanariver county Kenya
ALLAH akupe maisha na atupe kauli thabiti
Masha Allah mtu na mwanafunz wke nawapenda sna
Mashallah mashallah Mashallah Ama leo mmenifurahisha jaman Nampenda Sheikh Othman Maalim Sana sana Allah ampe umr mrefu wenye kher na yeye Amuepushe na Shari Kwa hakika mim Tangia nimdogo Nimekulia kuskia saut yake bas Ramadhan kila ikifika saa 8 Kuna visa vya mitum mama angu atega sikio Kumsikiliza bas kama mama Amwnirisisha yaan na Mamb haya ya mitandao Mashallah Allah ametupe neema Sasa tunamuona Live🥺Mashallah Wallah katika Masheikh walojaaliwa Vipaj bas mmoja ni yeye huyu Sheikh ninampenda Mpaka bas Halaf Sheikh Rashid ni kwel Saut yako Ukizungumza utasema ni shwilh Othman Maalim Na Nlijua tu utakuwa ni mwanafunz wake Mashallah Jazakumullah kher Allah akupen Umr mref wenye kher Akuhifadhin Dunian na kesh akhera😭🤲🥺😍🌹Ramadhan رمضان مبارك علينا وعليكم🌙🌹☺️❤️😍
Masha Allahukana Laahawulla qoywat illa billah jazakallahu kheir'na sheikh Othman na Mwenyezi Mungu atujalie sote kheir ya dunia na ya kesho akhera.
Mashalla barakallahu fii kum wallah nakupenda shekh kwa ajili ya Allah nafurahi sana unapotaja markit shukran sana jazakallah kheyr Allah akupe umri mrefu wa ibada
Nikimwacha dr sule hakika othuman maalimu ana hekima sana hata wakristo upenda kumsikiliza mungu ampe afya njema amina
Mashaa Allah Mashaa Allah,sheikh wetu ndugietu kutoka kenya mola akuzidishie umri uziidi kutuelimisha Raha kukusikia ukijielezea umewatia moyo vijana wengi sana
Huyu ni sheikh wangu حفظه الله
Hakika hii ni neema kwetu Allah amjalie kheri na ujira mwema inshhaallah.
Mashaallah Allah akulipe Kila La kheri
ALLAH (S.w)akuweke sheikh wetu akupe afya njema na nguvu na sifa tunajifunza mengi tunaelimika na mengi kupitia vipindi vyako,mawaidha yako na Elimu yako
Masha Allah Sheikh Othman Maalim mola akuzidishie kheri
MaashaAllah Allah akuhifadhi sheikh wetu...Alhamdulillah kwa ilmu tunayopata kwako
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Ma sha Allah ya sheik Othman Malim
May Allah accept your deeds sheikh. You have done a lot, we have learnt a lot your exemplary behaviour. May Allah bless you more and more!
MaashaaAllah. Ahsante sheikh Rashid kwa kutuwekea Sheikh wetu.,....
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU ALLAH AKUJAALIE KHER DUNIANI NA AKHER NA SS ALLAH ATUJAALIE TUWE MIONGONI MWA WAJA WEMA NA MWISHO MWEMA INSHALLAH
Mashallah Tabaraqallah mie nilitamani kujua na familia yake ana watt wangapi wake
@RahmaAbdallah-jf8uh
3 ай бұрын
Mi pia nilitamani kusikia swali ilo
MaashaaAllah. Tabaarakallaah. Sikutaka program imalizike. Namuomba Allah Tabaaraka waTa’aalaa ampe Sheikh Othman umri mrefu wenye baraka, afiya, busara, ikhlaas, tawfeeq na mwisho mema. Allah awahifadhi watoto na family wake. Allah abariki killa kitu la kheri akilofanya. Yaa Allah! Tunampenda Sheikh Othman bila kuwonana naye na tunakuomba umpende yeye na dhuriya na jamii yake. Umpe killa la kheri.
@rukiaomar7828
3 ай бұрын
Allahuma ameen
MaashaAllah shekh amepambana sana Allah amuhifadh aendelee kutufundisha visa vya waja wema
Mimi nampeda sheikh othman nikimsikiliza namuelewa sana na najifunza mengi pia kupitia yeye mungu amlipe heri na anasaidia kunibadilisha sana katika mapito yangu na uelewa juu ya dini amii yarabi
Salafy wanaumia san kukuona sheikh upo katik ubora na kazi ya kushajihisha watu waendelea kukazania kusoma san sira za mtume SAW nakupenda sana
Mashallah nakupenda kwa ajiil ya Allah
Jazzakllah kheir
Kwa kweli kabisa shekh wetu othuman maalim akitoa darasa ugusa moyo na lazima mtu abadike
mfikishie ujumbe wangu shekh mwambie nampenda....shekh wang pendwa mda wote...napenda hejka zake....daawa zake...allah atujalie mwisho mwema kw pamoja \
Allah akujalie maisha marefu,tuzidi kunufaika na elimu na hekima za mwanazuoni huyu.
Allah akuilhifadhi sheikh wetu kipenzi... akuzidishie kila la kheri....Allhummah baarik
Video yenye manufaa mengi MaashaaAllah. Allah amhifadhi Sh Othman na ambariki. Allah awarehemu wale ambao wamemlea Sheikh Othman na wale wamemsomesha. Yaa Allah! Tunampenda Sh Othman na tunakuomba umpende. Yaa Allah wahifadhi watoto wake na students wake na mlipe malipo mema.
Sheikh wangu wa nguvu Allah akujaze. Nafurahi kujua wewe ni wetu umetoka kwetu Kenya. Naomba Mungu anikutanishe na wewe sheikh wangu.
MashaAllah Sheikh Allah akuifadhi na akuzidishie elimu tufaidike.
My favorite shekhe yani nampenda saana uyu shekhe, namuomba Allah anijalie siku Moja nikutane nae na nnimbusu pia
Tamaa zangu zote shekhe wangu najua nimzaliwa wa Zanzibar nakupenda sana kwa ajili ya Allah mungu akupe umri mrefu wenye kheri na barka lkn pia Allah akulipe janna pamoja namtume inshallah
Tunakupenda sana Sheikh Othman Maalim Allah akuweke inshaalah. Akupe afya njema, imri mrefu