HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 137

  • @rashidomar2771
    @rashidomar277110 ай бұрын

    Leo shekh rashid umenikosha sana ,,umemleta mtu ambaye nampenda sana kwa ajili ya Allah,,allah akubariki sana

  • @malongoisack5811
    @malongoisack581110 ай бұрын

    Huyu sheikh mselem nakupenda sana kwa ajili ya Allah

  • @hamadsuleimaan802
    @hamadsuleimaan80210 ай бұрын

    Ktk mashekh nnaowakubali huyu ni namba moja Nampenda sana shekh Msellem Aliy

  • @amirybeka9602
    @amirybeka960210 ай бұрын

    Mashaallah sheikh mselem Allah akuhifadhi, akupe umri mrefu wenyew kher naww.

  • @muhidinsuleiman4315
    @muhidinsuleiman431510 ай бұрын

    Asante sana sh Rashind. Sheikh Msellem nampenda sana na Allah amueke tuzid kusoma kupitia yy inshaallah.

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany28710 ай бұрын

    Mashallah Asante sheikh Rashid Allah akulipe kher kwa kutuletea Shekh mselem 😢Dah kwakwel mim siwez kusahau nipo Mdog nasikia tu mama angu kila siku akilia Bas akiwekwa mawaidhsa yake shekh msellem uone askitika jaman Siku izi wanatukosesha darsa za sheikh msellem Yaan Mpaka amenifanya na mimi Nimpende Allah akupe umr mrefu sheikh Msellem akuepushe na shar za binaadam na majini😢🤲🤲

  • @nasrasalum6298

    @nasrasalum6298

    9 ай бұрын

    Amen

  • @mirajimohamed7606
    @mirajimohamed76069 ай бұрын

    Masha Allah alhamdulillah nakupenda shk Mselem bin Ally kwa aajiri ya Allah napenda ambavyo una present mada zako na hauna upande kama mashekh wengine

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed480810 ай бұрын

    Mashaallah Allah akupe pepo ya juu sheikh mselem

  • @stevenmichaelmaganga4828
    @stevenmichaelmaganga48289 ай бұрын

    My favorite shekh watch him everyday

  • @user-ns2br3me2n
    @user-ns2br3me2n8 ай бұрын

    Allah akuweke sheikh mselem nakupenda sna kama mtu hakufahamu uyo haelewi popote

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula862210 ай бұрын

    Maa shaa allah shekh langu hili nampenda sana kwaajil ya allah allah aendelee kumlinda na kumuhifadhi

  • @ibugharib389
    @ibugharib38910 ай бұрын

    MASHAALLAH, JAZZAKALLAH kher.wallah sura yake na bashasha zake anapocheka unajua huyu sheikh yuko vizur Allah akuzidishie ELMU YENYE manufaa. Bega kwa bega mpaka Firdaus

  • @twahaabrahman-ev8co

    @twahaabrahman-ev8co

    10 ай бұрын

    Bega kwa bega Mpaka firdaus Pole Sana Ndugu

  • @ibugharib389

    @ibugharib389

    10 ай бұрын

    @@twahaabrahman-ev8co POLE ya nini

  • @ahmadjuma-xx5nd
    @ahmadjuma-xx5nd9 ай бұрын

    Mashaa allah sheh mselem allah azid kukuhifadh

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py10 ай бұрын

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @is-hakaame
    @is-hakaame9 ай бұрын

    Mashaallah Allah amjaalie husnil lhatma sheikh Mselem yeye pamoja na sisi🙏

  • @Allybinamour
    @Allybinamour10 ай бұрын

    mashallah mwalim wetu shekh mselem bin ally allah akujalie umri mrefu wenye kheri ili tuzidi kunufaika na elimu yako.allah akulinde na kila shari.

  • @zanlec7357
    @zanlec73579 ай бұрын

    Masha Allah. Sheikh Mselem ni fundi wa kuongea na Fasaha san hatoki nje ya mada ni mtulivu mno. Allah amhifadhia na husda za mahasidi.

  • @binloufy454
    @binloufy45410 ай бұрын

    Ma sha allah hii ni hazina ytu katka ulimwengu wetu allah atuekee na azidi kutuekea ktika elimu ya kubwa ya dunia na akhera Tunakupenda sana kipenzi chetu sheikh mselem bin allay

  • @selemanimlahagwa6942
    @selemanimlahagwa69423 ай бұрын

    Shekhe wng mselem ally nakupenda sana kwaajir ya Allah . Allah hakupe maisha marefu insha'Allah

  • @user-wy7jl3do3c

    @user-wy7jl3do3c

    2 ай бұрын

    Sheikh Allah akupe afya njema uzidi kutuonesha nuru ya Allah

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo7 күн бұрын

    Ma sha allah Sheikh msel Allah akuhifadhi

  • @cadabra7402
    @cadabra74029 ай бұрын

    Huyu mja wa Allah nampenda snaaaaaaaa , juzi nilienda kupiga picha nikakutana nae harusini anatoa mawaidha kuhusu ndoa Wallah maneno yanakuingia , nilitaman asimalize kuongea , anaongea kwa utulivu , bashasha , Allah amempenda sna ,Allah amdumishe yeye na sisi katika imani thabit. Ya Allah hakika unasikia na unaona chochote kile mwanadamu anachokifnya na hata kile asichokifanya kilichomo tu kwenye nafsi yake , nakuomba mola wangu unipe ucha Mungu mimi na waislamu wengine , na utufufue hali ya kuwa nyuso zetu zina nuru yako Mola wetu mtukufu, Amiin. 10:14

  • @TunauzaSimu-fn2ff

    @TunauzaSimu-fn2ff

    16 күн бұрын

    Amiin ya Rabbi

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor356910 ай бұрын

    Mashaallah huyu Sh, Msellem ni mtu muhimu kwenye jamii ana tawadhui kubwa

  • @kassimomar7589
    @kassimomar758910 ай бұрын

    Huyu mtu namkubali Sana Allah ampe afya njema

  • @floramateru
    @floramateru10 ай бұрын

    Masha ALLAH maalim yuko vizuri ALLAH SW AMUHIFADHI

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba901910 ай бұрын

    Alhamdulillah tunashkuru sana Sheikh Rashid hakika tumefarajika sana kupa history ya Sheikh Mselem wengi tulikuwa tunabambanyana juu ya historia yake Allah amzidishie umri mrefu aweze kutuelimisha zaid na pia Tunamuomba Allah aizidishie muangaza alfatah tv iweze kutuletea mazuri zaidi

  • @user-yl1mx8cu1x
    @user-yl1mx8cu1x9 ай бұрын

    Mashallah shekh wetu,mungu akupe upeo zaidi wa kuyuongoza

  • @fatumahussein6399
    @fatumahussein63999 ай бұрын

    Masha Allah!!! Shk Mselemu Allah amhifadhi. Ni miongoni mwa mashk nnao wakubali Sana.

  • @JemzMaalim
    @JemzMaalim10 ай бұрын

    Maaashllh ALLH SW amhifadhi shekhe wetu

  • @solomonadams6337
    @solomonadams633710 ай бұрын

    Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu A¿huyu Mzee Allah amemjaalia akili za elimu he's very wise Sheikh I really really love him..💯👌

  • @khamishaji-fw1km
    @khamishaji-fw1km9 ай бұрын

    Namkubal sana maalim nashukuru sana shehe MUNGU azid kukulinda sana

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe782310 ай бұрын

    Mash Allah Shekhe Mselemo Allah akupe umri wenye wenye manufaa kwetu sote Amiin Rabbil Alaamin.

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa605410 ай бұрын

    MashaAllah Tabaraka Allah

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman121810 ай бұрын

    Allah atuwekee viongozi wetu Hawa wazidi kutuelimisha

  • @abiiajmi2399
    @abiiajmi23999 ай бұрын

    Mashaallh wewe ni wangu hasa ❤❤❤ mungu amekujalia hekma

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano376510 ай бұрын

    SHEIKH MSELEM ,ALLA AKUWEKE PEMA IMANI YANGU WEWE UNARADHI NA UNA KHERI KATIKA UCHAMUNGUWAKO ,WAZAZI WAKO ALLAH AWAVIKE TAJI DUNIANI NA AKHERA ,ULI PATA RADHI ZA MTUME ,SIO KAMA HAWA WANAJIVUNIA VYETI VYAKUJITOA KINYESI WAKOSEFU WA ADABU .

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad646310 ай бұрын

    Mashaa الله leo tuna mgeni mkubwa sana. Mashaa الله ...الله akuhifadhi abuyi.

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed10 ай бұрын

    Namkubali Sana Allahu Akuhifadhi wewe ni Mzanzibari Hasa umechanganya Damu kwa kila Kisiwa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @asalkhan9168
    @asalkhan916810 ай бұрын

    Kwa ajili ya Allah sheikh nakukubali sana

  • @omarmsuya5373
    @omarmsuya537310 ай бұрын

    Maashallah Allah amfanyie shekhe wetu wepesi

  • @husseynomar9523
    @husseynomar95233 ай бұрын

    MashaAllahu al imaam Sheikh Mselem ❤

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi65610 ай бұрын

    ماشاء الله الله يحفظك ويبارك فيك

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous163610 ай бұрын

    Nampenda sheikh Mselem bin Ally mno wallah allah atuekee mwanazuoni wetu biidhinillah

  • @MaliganyaWilson-ef3pk
    @MaliganyaWilson-ef3pk10 ай бұрын

    Nampenda sana huyu sheikh mungu amrahisishie pepo yake.

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola398310 ай бұрын

    MashaAllah MashaAllah Allah akupe umri mrefu ya sheikh

  • @user-lx2wg4je3t
    @user-lx2wg4je3t2 ай бұрын

    Allah. Mjalie kila la kher sheh wetu

  • @user-pi5sf5qz1j
    @user-pi5sf5qz1j9 ай бұрын

    Ishaahla mungu akubariki milele

  • @Amirshamte
    @Amirshamte3 ай бұрын

    Mashallah sheikh maelem nakupend sana kwa ajili ya Allah mungu akulinde na kwa pamoja mungu atupe mwisho mwema inshallah

  • @binmasoud4150
    @binmasoud415010 ай бұрын

    Mashallah Allah akulinde na kila shari na atukutanishe sote peponi. Najua umejishusha kuhusu elimu lkn mm na jamii ya wengi naamini tunakuchukulia kuwa ni mwenye elimu na muono mpana. Allah akuhifadhi.

  • @ZUHURAKHALFAN-mc8nd
    @ZUHURAKHALFAN-mc8nd10 ай бұрын

    Allah akuhifadhi SHEIKH Mselem AKULINDE NA SHARI

  • @profesamakame5179
    @profesamakame517910 ай бұрын

    Asalam Alaykum sheikh Rashid kweli wasomi mara zote c wenye kujisifu hz ndio hekma za sheikh wetu

  • @user-gn2we2tp4c
    @user-gn2we2tp4c10 ай бұрын

    Allah akujali heri na uendele kutupa Eli ya ahera

  • @husseinbudaga2953
    @husseinbudaga29539 ай бұрын

    Allah akujaalieni saana..

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis654410 ай бұрын

    Mashallah Allah awajaze kheri mashekh wetu

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis654410 ай бұрын

    Mashallah Yani shekh elimu alionayo anasema hajasoma sijui engesoma ingekuaje leo Mt anapitia kitabu kimoja anaaza kuandaa mijadala duh

  • @asiamohamedy2643
    @asiamohamedy26439 ай бұрын

    Mashallah shekh wetu yaan maneno yako huwa matamu ya hekma na huachi kitu kwenye ukwel unasema hufumbii jicho chochote nikwel semen ukwel japo wapo wtu watakasrka kulingana na ukweli huo lkn unakuwa ushaufikisha ALLAH akupe afya njema shekh wetu

  • @UkhtySauShamsiaMahonda
    @UkhtySauShamsiaMahonda10 ай бұрын

    SH rashid salim #LEO umeikonga nyoyo yangu

  • @firdaus7428
    @firdaus742810 ай бұрын

    ‏ما شاء الله

  • @user-jv8ki9ut2p
    @user-jv8ki9ut2p9 ай бұрын

    Mashallah Allah akulinde akuepushe na kila baya nakupenda kwaajil y ALLAH

  • @issakhamis9581
    @issakhamis958110 ай бұрын

    Mash ALLAH tupo pamoja

  • @FathimaZubair-jt4cg
    @FathimaZubair-jt4cg9 ай бұрын

    مشاءالله ❤️

  • @abdallaomarkhamiskhamis9656
    @abdallaomarkhamiskhamis965610 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-gs9bb8rs5p
    @user-gs9bb8rs5p9 ай бұрын

    Mashaalah best shekh

  • @jumamkali8307
    @jumamkali830710 ай бұрын

    ❤ Masha Allah

  • @marischidy63
    @marischidy6310 ай бұрын

    Masha.alla.tunaomba.sehemu.yapili

  • @Abuu_Mundhiri
    @Abuu_Mundhiri10 ай бұрын

    Mwendelezo tafadhali

  • @muhamadhusein5260
    @muhamadhusein526010 ай бұрын

    Shekh mselem ni kipenzi chetu, Wewe ni adui kwa ccm,adui kwa makafiri na adui kwa masalafi, Allah atakuhifadhi na maadui hao

  • @vincentcharles4385

    @vincentcharles4385

    10 ай бұрын

    Kipenzi,kumbe unalala nae wewe,kafiri na shoga ni wazazi wako,by the way Mselem your smart guy,may Allah protect you.

  • @salumchoma8731
    @salumchoma87319 ай бұрын

    Alhamdulillah shekh wetu

  • @nasrimswaki4824
    @nasrimswaki482410 ай бұрын

    naam maashallah

  • @user-ck8xn9md3h
    @user-ck8xn9md3h9 ай бұрын

    Mashaallah shekh wangu

  • @AbubakarKumbwani-yq5vg
    @AbubakarKumbwani-yq5vg9 ай бұрын

    Halafu kuna genge la watawala wahuni wakamzushia kesi ya uongo ya ugaidi,ALLAH awaangamize wahuni wale.

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone97210 ай бұрын

    Mashaa Allah sheikh hatujuwani Lakini inaonesha no msomi na anajuwa akisemacho... Na kipindi hichi ni Safi Sana tu.. History ni Tamu iwapo itakuwa ya kweli na sh ndio ni mtu wa ukweli

  • @hamissalum6023
    @hamissalum602310 ай бұрын

    🙏🙏

  • @zainabhassan1514
    @zainabhassan151410 ай бұрын

    Tunaomba sehem ya pili inshaalah

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y10 ай бұрын

    Me nimesoma comments za watu wengi nimeona bora nitoe Rai alfatah muweke darsa za Tafsiri za sheikh kutoka suratul baqra au muendeleze suratu nisai alipofika pale msikiti wa Radio anour daraja bovu

  • @AbubakarKumbwani-yq5vg
    @AbubakarKumbwani-yq5vg9 ай бұрын

    Sheikh Mselem wewe una elimu kubwa ila hauna vyeti,elimu na vyeti ni vitu viwili tofauti ndio mana kuna watu wana vyeti lakini elimu hawana au elimu yao ndogo haiendani na ukubwa wa vyeti vyao.ALLAH akujaalie umri mrefu na siha njema ili uzidi kutoa elimu.

  • @ussiamini2868
    @ussiamini286810 ай бұрын

    Mm mwenyewe nakukubalisanaa shehe mselemu

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed863710 ай бұрын

    POLE SANA SHEIKH,KUHUDHURIA MIKUTANO ISIWE SABABU YA KUWEKWA JELA..ANAESHUKIWA HUFATILIWA muda hadi kuwa na UKWELI NDANI YAKE,kisha kushtakiwa hapo

  • @UmmuAbdillah-th1ib

    @UmmuAbdillah-th1ib

    9 ай бұрын

    Fatma Huwo gopa wew😂

  • @UmmuAbdillah-th1ib

    @UmmuAbdillah-th1ib

    9 ай бұрын

    Eti bint ahmed

  • @user-es9dz2bc2w
    @user-es9dz2bc2wАй бұрын

    Kwa majina naitwa Sheikh JUMA RASHIDI maoni yang ni kwamb Sheikh Mselem Bin Ally ni Mwanazuoni wa kizazi chetu aliye na msimamo wa kuigwa kwa waislamu katika nchi hii

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV
    @SHEIKHMWAIPOPOTV10 ай бұрын

    Waislamu wengi tunaroho mbaya sana igeni wenzetu wakristo wanamaalifa sana sisi ni mazuzu walahi tupunguze fitna kama alikosea si basi tupunguze unafiki waislamu

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV

    @SHEIKHMWAIPOPOTV

    10 ай бұрын

    Sasa mselemu munamtukana hapo kakosea nini kama alikosea mbona selekali imemachia tunakosea sana huyo ni kiongozi ndio maana tunalanika waislamu kutukana viongozi wa dini ya mungu mselemu kafanya kazi ya mungu inchi hii

  • @maryammachanoomarymachano951
    @maryammachanoomarymachano95110 ай бұрын

    Nime frahi kuskia history ya shekh Mselem

  • @ZaynabSeiph-me5nr
    @ZaynabSeiph-me5nr10 ай бұрын

    Allah Akbar nimejifunza kitu,,kusoma sio madgrii na vyeti, mashekh igeni kutoka kwa shekhe uislam sio kuwa mfuas wa kundi fulani

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil499410 ай бұрын

    Watu wengi waona mumeonewa kumbe sio kweli mulitaka kuonewa mulilinganiwa sana muache vujo lkini mulijikuta wababe kilicho tokea munakijuwa nyinyi Rudi ni ktk haki

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba901910 ай бұрын

    Tunasubiri shehemu ya pili

  • @awadhabed
    @awadhabed10 ай бұрын

    Asalamu Alleikum..Nitafurahi na nitashukuru kupata number ya Sheikh Rashid ya Whatsap kwa kufanya kheri zaidi kupitia yeye.Shukran.Allah aitie Qaboul Ujumbe wangu Umfikie.

  • @alfatahtvonline3374

    @alfatahtvonline3374

    10 ай бұрын

    0777858490 hii ndio namba yangu

  • @adamaliali2206
    @adamaliali220610 ай бұрын

    Kuingizwa gerezani

  • @abdulhamidjabu6530
    @abdulhamidjabu653010 ай бұрын

    kichwa cha habari tofauti na maelezo

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    10 ай бұрын

    Utafauti wake nn na hy ni Historia yake

  • @user-fo1sf4og7f
    @user-fo1sf4og7f10 ай бұрын

    Shee mselem naitaji niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil499410 ай бұрын

    Makhawariji wa zanzibar( muamsho mulitusababishia maafaa kweli ) hivyo bc mupate funzo dini sio vita dini ni kusoma na kufundisha sw Iko ivyo namuomba allah awaondoshe tabia za ukhawariji murudi ktk mstari wa sawa sawa ammin

  • @AllyMassud

    @AllyMassud

    10 ай бұрын

    Mafa gani yalio fanywa na mwasho

  • @saidyussuf2291

    @saidyussuf2291

    10 ай бұрын

    Kawafate uwanusuru ndugu zako watoke , usitake kufungua mdomo wako hapa ujione una elimu kubwa wakati hata kutawadha hujui , sioni kama busara kuanza kuwaambia watu wasojua ataa maana ya khawaarij , tumia njia za kielimu ukamuongoze , maana hapa hutopata faida zaidi ya kufanya izo sifa zako za kipumbavu , NA UWE MAKINI ALLAH ANAJUA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA AU UNATAFUTA SIFA KWASABABU ANAJUA DHAMIRA YAKO

  • @zahormohd

    @zahormohd

    10 ай бұрын

    Wewe punda kama wale wa mwembe makumbi

  • @user-ey3bk3pl6k
    @user-ey3bk3pl6k9 ай бұрын

    Degree sio kitu mbele ya Allah wewe upo juu ya hata mbele ya maprofessa

  • @cadabra7402
    @cadabra74029 ай бұрын

    Mbona imemaliza fupi?

  • @alisalum7036
    @alisalum703610 ай бұрын

    Hawa masheikh wa bidaah kweli hawajasoma lkan ukiwa ni mchache wa elimu utadanganyika nao. Tumuombe Allah atuongoze kwenye Haki

  • @azruntravel4306

    @azruntravel4306

    10 ай бұрын

    Jifunze kutohukumu watu si katika Manhaj yetu

  • @Waytozanzibar

    @Waytozanzibar

    10 ай бұрын

    Kasome wewe Sasa 😅

  • @suleimanhamad2396

    @suleimanhamad2396

    2 ай бұрын

    Muogope allah kijan hiki ulichoandik kinahifadhiw kweny kitab chak

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil499410 ай бұрын

    Ukweli waumwa sana nasaha humfa mwenye kuamini hata ukanifokea ukweli ndio huuo

  • @AllyAbdallah-ug3se

    @AllyAbdallah-ug3se

    10 ай бұрын

    Umeusaidia nini uislam muwahabi ww

  • @hamissalum6023

    @hamissalum6023

    10 ай бұрын

    Achana nae aongee then atatulia

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil499410 ай бұрын

    Hawa walifanya fujo ndio wakafungwa walitaka kuchafua amani ya nchi hawakuonewa Bali ni haki Yao kufungwa na tegemea wamejifunza kitu hawato rejea Tena ,Not heshimu watawala ktk nchi yko usifanye vujo dini sio fujo dini nikusoma

  • @rashidomar2771

    @rashidomar2771

    10 ай бұрын

    Wewe inaonyesha ni muakilishi wa ibilisi na shetani ,pamoja na wenzenu firiaun na hamana,,Allah azivize fikra zenu inshaallah,akakulipeni mnachostahiki kwa maudhi na mateso mnayoyafanya kwa viumbe wenzenu inshaallah

  • @zahormohd

    @zahormohd

    10 ай бұрын

    Hawa hawakufanya fujo bali walitumia haki yao ya kikatiba wacha kupotosha jamii

  • @hamicpina1151

    @hamicpina1151

    10 ай бұрын

    Hili jamaaa nyamwezi ccm nmelishtukizia shoga

  • @salimobeid1470
    @salimobeid147010 ай бұрын

    Huyu ni sh mselem bin Ally ni mkweli na muwazi na hana majibuni ni mtu ambae anajua kua siku baada ya hii leo nayo kutakua na kila neno linahukumiwa

  • @ramadhanimwasi1647
    @ramadhanimwasi164710 ай бұрын

    tunaomba mselem aje huku kwetu Moshi atupe dawa

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry524110 ай бұрын

    Ana akili mpaka nyengine zinapukutika

  • @vincentcharles4385

    @vincentcharles4385

    10 ай бұрын

    Kama ana akili atengeneze ndege 😎

  • @twahaabrahman-ev8co
    @twahaabrahman-ev8co10 ай бұрын

    Sheikh Msellem kumbe umesoma mpaka kwa MASHIA ndomana unaruhusu dini Mseto

  • @hashimseif1194

    @hashimseif1194

    10 ай бұрын

    Nadhani pale alipomtaja Abdillahinasir kipindi kile alikuwa bado hajawa shia ,alikuwa kule kwao Mombasa akipinga bidaa na hapa unguja alikuwa Sheikh Nassor Bachu na Darusalama alikuwa Mayunga ,Sheikh Kingaru ,Sheikh Pori, Sheikh Doga.Baadae Mayunga naAbdillahi Nassir wakaingia ushiani.Hivyo alikuwa Abdillahi Nassir alikuwa akija kutoka Mombasa alikuwa akija hata Tanga akipinga maulid ,khitma kunuti na akisema Allah ataonekana akhera,l akini kwa masikitiko baadae waliingia ushiani.

  • @suleimanhamad2396

    @suleimanhamad2396

    2 ай бұрын

    Muogop allah

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z9 ай бұрын

    Fundi huyu

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z9 ай бұрын

    Wewe ni zaidi yahaa walosoma..shule

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil499410 ай бұрын

    Naam tupate funzo kwamba kupambana na watawala ni jambo ambalo halipo na kufanya maandamano sio Sheria na misingi ya uislamu hivyo basi wezetu wamejifunza kitu kuwa watawala htuwawezi tunatakiwa tuwatii ktk mambo ya kheri na Wala tusiwakhalifu hebu tuwatiie watawala tuone Raha Note dini sio vita na maandamano dini ni kwa kusoma

  • @hamicpina1151

    @hamicpina1151

    10 ай бұрын

    Uxtuletee uccm mjomb

Келесі