HII NDIO DAWA YA MWANAUME MWENYE GUBU (HUBBUL HALAL)
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 30
Subhana allah kauli ya wanaume mnawapenda wake zetu sio wote.
Mashallah kabisa.umesema neno lizuri(kuniwiya sadaka)
Asante hii gubu jamani kama boss wangu Allah amsamehe
Wanawake wa kizanzibari wakizungumza huwa inanijia kama tone ya mama samia
Tunaomba mitume kwenye Tik Tok
Mwanaume mwenye gubu ana zarau saaaaaaaana 😢😢
Huku kazi zote Allah atuongoze wanawake
Nahayo yakutazama ndoa za wengine ndio yanaharib ndoa zetu
Mashaallah ukhty wang umepndz sn mn huadhihirisha mapamb
Somo mtoto pamoja na wenzako nimefuatilia advice zenu kwa kuwaongoza wanandoa kama wake watatilia maanani basi tutakua na wake bora na hapo nasema ndio pepo ya dunia.
Swadakta ukhty aisha
Shukran mi niliuliza kama nikijipamba anapenda akasema kikiwa kibaya nitasema 😅😅 nilichoka nikaviacha haswa.
Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu jamani hasa kwa upande wa USA tuna mengi ya kusema maana tukianza hatuta maliza mwanamke kama mwanaume mwanaume kama mwamke
Kungwi mtoto umesema vizuri Sana 'sort out unacho ambiwa nikosa' hakuna anaetaka kumgomba mkewe kama yuko sawa. Tatizo ni mtu kukubali kujirekebisha au kubadilika bila kuona anadogoshwa au kejeliwa.
😢Daaaah Sina usimi na ilo gubu alo nalo
Makungwi muna kazi ngumu Sana Kwa sasa coz mwaletewa wari ambao mama zao wenyewe wanahitaji kufundwa. Zamani ilikua warii wanapata mafunzo 80% nyumbani na 20% kwenu.Cku hizi wari wafundishwa mpaka kupika na usafi Kwa kungwi kweli watashika yote munayo wafunza katika huo muda mdogo? Sheikh Othman Maalim ana msemo husema 'kama kilemba kimeroa saruni itakua hali gani.
Hehee mfalme njozi
Sheikh Rashid Salum hiyo ndio gubu
Somo peke yke katosha, wengine shangwe tuu
Vipambe vipande
MUME SURAUALI ALIMUOWA UKHTY SADA ZANZIBAR NI MUME ANAGUMU SANA NA HATAKI KAZI KUCHUHULIKIA WATOTO WANANE ALIMZALISHA MKE INAMFAA HII NA ABADILIKE
@user-ge5yp9me7y
Ай бұрын
Naomba no ya simu dada
Huyu Shogaake Somo mtoto hana maneno naona bora abakie tu kwenye kund la waskilizaji🙄😢
@RahmaRashid-lc6nw
4 ай бұрын
Nadhani hawajampa nafasi kwa uzuri
@juhudiyaislamiya2660
4 ай бұрын
Swadkta @@RahmaRashid-lc6nw