HII NDIO DAWA YA MWANAUME MWENYE GUBU (HUBBUL HALAL)

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 30

  • @rizumohd5074
    @rizumohd507424 күн бұрын

    Subhana allah kauli ya wanaume mnawapenda wake zetu sio wote.

  • @FunnyRamadhan-gz5ic
    @FunnyRamadhan-gz5icАй бұрын

    Mashallah kabisa.umesema neno lizuri(kuniwiya sadaka)

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b4 ай бұрын

    Asante hii gubu jamani kama boss wangu Allah amsamehe

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50834 ай бұрын

    Wanawake wa kizanzibari wakizungumza huwa inanijia kama tone ya mama samia

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman4 ай бұрын

    Tunaomba mitume kwenye Tik Tok

  • @ZainabJolie
    @ZainabJolie4 ай бұрын

    Mwanaume mwenye gubu ana zarau saaaaaaaana 😢😢

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b4 ай бұрын

    Huku kazi zote Allah atuongoze wanawake

  • @nduwimanafatma9948
    @nduwimanafatma99483 ай бұрын

    Nahayo yakutazama ndoa za wengine ndio yanaharib ndoa zetu

  • @GhaniyeHaji-hv3je
    @GhaniyeHaji-hv3je4 ай бұрын

    Mashaallah ukhty wang umepndz sn mn huadhihirisha mapamb

  • @aboudhamid3
    @aboudhamid33 ай бұрын

    Somo mtoto pamoja na wenzako nimefuatilia advice zenu kwa kuwaongoza wanandoa kama wake watatilia maanani basi tutakua na wake bora na hapo nasema ndio pepo ya dunia.

  • @GhaniyeHaji-hv3je
    @GhaniyeHaji-hv3je4 ай бұрын

    Swadakta ukhty aisha

  • @mamii7935
    @mamii79354 ай бұрын

    Shukran mi niliuliza kama nikijipamba anapenda akasema kikiwa kibaya nitasema 😅😅 nilichoka nikaviacha haswa.

  • @mziguwaosman8539
    @mziguwaosman85394 ай бұрын

    Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu jamani hasa kwa upande wa USA tuna mengi ya kusema maana tukianza hatuta maliza mwanamke kama mwanaume mwanaume kama mwamke

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak66704 ай бұрын

    Kungwi mtoto umesema vizuri Sana 'sort out unacho ambiwa nikosa' hakuna anaetaka kumgomba mkewe kama yuko sawa. Tatizo ni mtu kukubali kujirekebisha au kubadilika bila kuona anadogoshwa au kejeliwa.

  • @thaammarsaidrashid8516
    @thaammarsaidrashid85164 ай бұрын

    😢Daaaah Sina usimi na ilo gubu alo nalo

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak66704 ай бұрын

    Makungwi muna kazi ngumu Sana Kwa sasa coz mwaletewa wari ambao mama zao wenyewe wanahitaji kufundwa. Zamani ilikua warii wanapata mafunzo 80% nyumbani na 20% kwenu.Cku hizi wari wafundishwa mpaka kupika na usafi Kwa kungwi kweli watashika yote munayo wafunza katika huo muda mdogo? Sheikh Othman Maalim ana msemo husema 'kama kilemba kimeroa saruni itakua hali gani.

  • @zaynaothman6505
    @zaynaothman65054 ай бұрын

    Hehee mfalme njozi

  • @juhudiyaislamiya2660
    @juhudiyaislamiya26604 ай бұрын

    Sheikh Rashid Salum hiyo ndio gubu

  • @user-hk3xi6kf9d
    @user-hk3xi6kf9d4 ай бұрын

    Somo peke yke katosha, wengine shangwe tuu

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman4 ай бұрын

    Vipambe vipande

  • @qz680
    @qz6802 ай бұрын

    MUME SURAUALI ALIMUOWA UKHTY SADA ZANZIBAR NI MUME ANAGUMU SANA NA HATAKI KAZI KUCHUHULIKIA WATOTO WANANE ALIMZALISHA MKE INAMFAA HII NA ABADILIKE

  • @user-ge5yp9me7y

    @user-ge5yp9me7y

    Ай бұрын

    Naomba no ya simu dada

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany2874 ай бұрын

    Huyu Shogaake Somo mtoto hana maneno naona bora abakie tu kwenye kund la waskilizaji🙄😢

  • @RahmaRashid-lc6nw

    @RahmaRashid-lc6nw

    4 ай бұрын

    Nadhani hawajampa nafasi kwa uzuri

  • @juhudiyaislamiya2660

    @juhudiyaislamiya2660

    4 ай бұрын

    Swadkta ​@@RahmaRashid-lc6nw