HISTORIA YA SHEIKH MSELEM HADI KUINGIA GEREZANI (EPISODE 2)
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 53
Wallahi nampenda shekh mselem bin Ally nikimuona nahisi kama namuona baba yangu mzazi Allah akupe khusnul hatima in sha Allah
@ZeProfesa
5 ай бұрын
amin. atupe sote mwisho mwema
Allah akulipe pepo wewe na sisi kwan hakika mmepitia mazito mno. Twamuomba Allah pia akutilie alama ya ndio kwa mtihani wako huu wewe na wenzako na awapandishe daraja na pepo za juu Akhera. Kwan hakika dunia ni mapito.
@abuumkota5505
9 ай бұрын
Amiin
Allah Akbar sheh wetu ana juwa Sana
Dah! Allahu-akbar
Allah atawalipa Shekhe Mselemo hapa Duniani na kesho mbele ya haki In shaa Allah.
MashaAllah Shekh Msellem Allah akuhifadhi 🤲
Yaliyo pitasindwele tugange ya jayo tufanye ibada ili tutafute radhi za Allah basi tukifa upate malipo mema peponi Inshallah
Wazanzibar nawapenda munamsimamo sana
Jazakallah kheir
Jazakumullahu khair Shekh Rashid kutuletea Shekh wetu mpendwa na kumfaham.
Allah Subhaana akulipeni kheri na ahadi ya Kheri ni kweli tutakutana yotee
Ni kweli sheikh wetu,,, waislam tunakandamizwa ktk nchi hii,,,,ila wacha tu sote tutakufa
@tztanzania2262
10 ай бұрын
Na kinachosababisha ni tumefarakana sana tumeiacha Qur'an na sunna tukazusha mambo ktk dini Kisha tukapigwa udhalili lakin tukirud ktk dini sawasawa tutapata izza
MashaAllah
Allah akulinde sheikh Mselem Bin Aly. Allah akupe afya njema
MaashaAllah sheikh wetu
The only sheikh i know !!
Allah akupe kila la kheri duniani na akhera Shkh.Mselem bin Ally, aya ya mwisho uliomalizia mahojiano nathubutu kusema imebeba ujumbe mzito na hata km ingkw kipindi kizima umeizungumzia hiyo tu bac ingetosha kabbisa. جزاك الله الخيروبعدالخيرجناةالنعيم،امين ثم امين ثم امين
Allah amjaze kheir Sheikh Mselem na Allah akulipeni la kheir alfatah tv online
Allah akupe kila lilo la kheri sheikh wetu mimi ni shabiki yako wallahi
MashaAllah Allah aipe nguvu idhaa yetu hii Allah ampe umri mrefu sheikh wetu huyu ila naomba kaka Rashid utuletee sheikh Othman Maalim tupate historia yake na yeye inshaAllah
Allha akujalie Shee wangu natamani siku moja niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia Shee
Mwenyezimungu ni mueza wakila kitu
Tunamuomba Allah Akubari shekhe
Allah akupe kheri uitarajiayo na usiyoitarajia kwa wema huu wakutuletea wasifu wa mtu huyu wengi tumpendae ,,nikimsikiliza mara nyingi moyo wangu hupata furaha kidogo,lakini huzuni hua kubwa nikikumbuka madhila waliofanyiwa ,,binadamu wenzetu,,waislam wenzetu na mashehe wetu hawa
Allah akubariki sana katika maisha yako Sheikh mselem Ali
Mashaalah Allah akulipe pepo Sheikh
Nakukubali sana shekh mselem.. na malim rashid mi napenda kukuita mzaire tuwekee vitu vizuri zaidi ya hivi
@husseinbougers8275
9 ай бұрын
Atavitolea wapi vilivyo vizuri zaidi ya hivi? Au amlete Nani atakae kua fasaha wa maneno kuliko mtuhuyu anae hojiwa hapa? Una hiqidi moyoni jitakase
Sheikh Rashid tunamuomba tena sheikh Mselem please tufkirie hilo
Allah atakulipa ujira mwema shekhe moselem bin aly
@AbdiSilva-mt6xs
8 ай бұрын
Allah atakulipen hapa dunian na kesh yauml kiama shekh wet mselem bin aliy tunakupenden sanaa
Allah azidi kuwahfadhi
Masha Allah,,, Allahu-akbar
Tunaomba pia mahojiano na sheikh farid
Akasema wameufyata
Shukran, Pole sana Sheikh. Watupe number zake
Mashaallah naomba number ya shekh mselem
Nchii hii waislam ndio wanaotolewa kafara lkn wakatolik kina slaa na wenziwe sasa wanapiga kelele za uchochozi lkn wametiwandani sikutatu wakapewa dhamana
Tunaomba utuletee na sheikh othman maalim
ماشاء الله تبارك الله الشيخ وضح وطبق ما تعلمه حفظه الله اما انصار كارومي المجرم ويصفقونه ويرقصون له سيلقون ما يستحقون يوم القيامه
@ebrahimahanifaatrash5534
9 ай бұрын
و الله تمنيت أن أر ما جرى في الماضي و خاصة عنما يقول معلمنا شيخ بن علي
Wallwahi chozi limenitoka mselem hanabaya
naomba nipate nafax
KIKWETE NDIE FONDESHEN NYINYI MUBAKI MAGEREZA NA SHENI AKISAIDIA NA DR. MWINYI NA MASAUNI NA SEIF ALI IDDI CHONGO JICHO NA ZAIDI ILANI YA ccm KUHAKIKISHA URITHI WA NYERERE ,AUWAWE ATAE DAI ZANZIBA IWE HURU !
Hizi video naweza kuzipata vp?
@mussamgonola3983
10 ай бұрын
Download tu sheikh
aje huku kwetu moshi mselem atupe mawaidha
Muungu akulipe heri
Ulikuwa usimuulize swali kuhusu UAMSHO Ayo yashapita kwa nn uyarejeshe
@sadammkhamis8960
9 ай бұрын
Hiyo ndio historia ndugu yangu