HISTORIA YA SHEIKH MSELEM HADI KUINGIA GEREZANI (EPISODE 2)

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 53

  • @amourmohamedfaki4506
    @amourmohamedfaki450610 ай бұрын

    Wallahi nampenda shekh mselem bin Ally nikimuona nahisi kama namuona baba yangu mzazi Allah akupe khusnul hatima in sha Allah

  • @ZeProfesa

    @ZeProfesa

    5 ай бұрын

    amin. atupe sote mwisho mwema

  • @binmasoud4150
    @binmasoud415010 ай бұрын

    Allah akulipe pepo wewe na sisi kwan hakika mmepitia mazito mno. Twamuomba Allah pia akutilie alama ya ndio kwa mtihani wako huu wewe na wenzako na awapandishe daraja na pepo za juu Akhera. Kwan hakika dunia ni mapito.

  • @abuumkota5505

    @abuumkota5505

    9 ай бұрын

    Amiin

  • @kassimomar7589
    @kassimomar758910 ай бұрын

    Allah Akbar sheh wetu ana juwa Sana

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo10 ай бұрын

    Dah! Allahu-akbar

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe782310 ай бұрын

    Allah atawalipa Shekhe Mselemo hapa Duniani na kesho mbele ya haki In shaa Allah.

  • @firdaus7428
    @firdaus742810 ай бұрын

    MashaAllah Shekh Msellem Allah akuhifadhi 🤲

  • @salummzee9739
    @salummzee973910 ай бұрын

    Yaliyo pitasindwele tugange ya jayo tufanye ibada ili tutafute radhi za Allah basi tukifa upate malipo mema peponi Inshallah

  • @user-lx2wg4je3t
    @user-lx2wg4je3t2 ай бұрын

    Wazanzibar nawapenda munamsimamo sana

  • @husseynomar9523
    @husseynomar95233 ай бұрын

    Jazakallah kheir

  • @firdaus7428
    @firdaus742810 ай бұрын

    Jazakumullahu khair Shekh Rashid kutuletea Shekh wetu mpendwa na kumfaham.

  • @fatimajuma8900
    @fatimajuma890010 ай бұрын

    Allah Subhaana akulipeni kheri na ahadi ya Kheri ni kweli tutakutana yotee

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo10 ай бұрын

    Ni kweli sheikh wetu,,, waislam tunakandamizwa ktk nchi hii,,,,ila wacha tu sote tutakufa

  • @tztanzania2262

    @tztanzania2262

    10 ай бұрын

    Na kinachosababisha ni tumefarakana sana tumeiacha Qur'an na sunna tukazusha mambo ktk dini Kisha tukapigwa udhalili lakin tukirud ktk dini sawasawa tutapata izza

  • @makamekhamis1501
    @makamekhamis150110 ай бұрын

    MashaAllah

  • @zanlec7357
    @zanlec73579 ай бұрын

    Allah akulinde sheikh Mselem Bin Aly. Allah akupe afya njema

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu626510 ай бұрын

    MaashaAllah sheikh wetu

  • @jaafarmanhekman
    @jaafarmanhekman4 ай бұрын

    The only sheikh i know !!

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad78879 ай бұрын

    Allah akupe kila la kheri duniani na akhera Shkh.Mselem bin Ally, aya ya mwisho uliomalizia mahojiano nathubutu kusema imebeba ujumbe mzito na hata km ingkw kipindi kizima umeizungumzia hiyo tu bac ingetosha kabbisa. جزاك الله الخيروبعدالخيرجناةالنعيم،امين ثم امين ثم امين

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba901910 ай бұрын

    Allah amjaze kheir Sheikh Mselem na Allah akulipeni la kheir alfatah tv online

  • @jumangosho7569
    @jumangosho75699 ай бұрын

    Allah akupe kila lilo la kheri sheikh wetu mimi ni shabiki yako wallahi

  • @marvelousofzanzibar9556
    @marvelousofzanzibar955610 ай бұрын

    MashaAllah Allah aipe nguvu idhaa yetu hii Allah ampe umri mrefu sheikh wetu huyu ila naomba kaka Rashid utuletee sheikh Othman Maalim tupate historia yake na yeye inshaAllah

  • @user-fo1sf4og7f
    @user-fo1sf4og7f10 ай бұрын

    Allha akujalie Shee wangu natamani siku moja niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia Shee

  • @vich2mussa997
    @vich2mussa99710 ай бұрын

    Mwenyezimungu ni mueza wakila kitu

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim156810 ай бұрын

    Tunamuomba Allah Akubari shekhe

  • @rashidomar2771
    @rashidomar277110 ай бұрын

    Allah akupe kheri uitarajiayo na usiyoitarajia kwa wema huu wakutuletea wasifu wa mtu huyu wengi tumpendae ,,nikimsikiliza mara nyingi moyo wangu hupata furaha kidogo,lakini huzuni hua kubwa nikikumbuka madhila waliofanyiwa ,,binadamu wenzetu,,waislam wenzetu na mashehe wetu hawa

  • @idrissajuma7308
    @idrissajuma73089 ай бұрын

    Allah akubariki sana katika maisha yako Sheikh mselem Ali

  • @khairatsalum5183
    @khairatsalum518310 ай бұрын

    Mashaalah Allah akulipe pepo Sheikh

  • @allyidrissa2912
    @allyidrissa29129 ай бұрын

    Nakukubali sana shekh mselem.. na malim rashid mi napenda kukuita mzaire tuwekee vitu vizuri zaidi ya hivi

  • @husseinbougers8275

    @husseinbougers8275

    9 ай бұрын

    Atavitolea wapi vilivyo vizuri zaidi ya hivi? Au amlete Nani atakae kua fasaha wa maneno kuliko mtuhuyu anae hojiwa hapa? Una hiqidi moyoni jitakase

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous163610 ай бұрын

    Sheikh Rashid tunamuomba tena sheikh Mselem please tufkirie hilo

  • @AbdiSilva-mt6xs
    @AbdiSilva-mt6xs8 ай бұрын

    Allah atakulipa ujira mwema shekhe moselem bin aly

  • @AbdiSilva-mt6xs

    @AbdiSilva-mt6xs

    8 ай бұрын

    Allah atakulipen hapa dunian na kesh yauml kiama shekh wet mselem bin aliy tunakupenden sanaa

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm10 ай бұрын

    Allah azidi kuwahfadhi

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo10 ай бұрын

    Masha Allah,,, Allahu-akbar

  • @hajisalumomari3460
    @hajisalumomari34605 ай бұрын

    Tunaomba pia mahojiano na sheikh farid

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm10 ай бұрын

    Akasema wameufyata

  • @nuhukenny7183
    @nuhukenny718310 ай бұрын

    Shukran, Pole sana Sheikh. Watupe number zake

  • @abdillahomar4541
    @abdillahomar45419 ай бұрын

    Mashaallah naomba number ya shekh mselem

  • @abdallahally842
    @abdallahally84210 ай бұрын

    Nchii hii waislam ndio wanaotolewa kafara lkn wakatolik kina slaa na wenziwe sasa wanapiga kelele za uchochozi lkn wametiwandani sikutatu wakapewa dhamana

  • @abubakaralliy8435
    @abubakaralliy843510 ай бұрын

    Tunaomba utuletee na sheikh othman maalim

  • @asilclub
    @asilclub10 ай бұрын

    ماشاء الله تبارك الله الشيخ وضح وطبق ما تعلمه حفظه الله اما انصار كارومي المجرم ويصفقونه ويرقصون له سيلقون ما يستحقون يوم القيامه

  • @ebrahimahanifaatrash5534

    @ebrahimahanifaatrash5534

    9 ай бұрын

    و الله تمنيت أن أر ما جرى في الماضي و خاصة عنما يقول معلمنا شيخ بن علي

  • @HumudJumaa
    @HumudJumaa9 ай бұрын

    Wallwahi chozi limenitoka mselem hanabaya

  • @JiiniazJiiniaz
    @JiiniazJiiniaz3 ай бұрын

    naomba nipate nafax

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano376510 ай бұрын

    KIKWETE NDIE FONDESHEN NYINYI MUBAKI MAGEREZA NA SHENI AKISAIDIA NA DR. MWINYI NA MASAUNI NA SEIF ALI IDDI CHONGO JICHO NA ZAIDI ILANI YA ccm KUHAKIKISHA URITHI WA NYERERE ,AUWAWE ATAE DAI ZANZIBA IWE HURU !

  • @ramadhankhamis1363
    @ramadhankhamis136310 ай бұрын

    Hizi video naweza kuzipata vp?

  • @mussamgonola3983

    @mussamgonola3983

    10 ай бұрын

    Download tu sheikh

  • @ramadhanimwasi1647
    @ramadhanimwasi164710 ай бұрын

    aje huku kwetu moshi mselem atupe mawaidha

  • @alijuma8009
    @alijuma800910 ай бұрын

    Muungu akulipe heri

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry524110 ай бұрын

    Ulikuwa usimuulize swali kuhusu UAMSHO Ayo yashapita kwa nn uyarejeshe

  • @sadammkhamis8960

    @sadammkhamis8960

    9 ай бұрын

    Hiyo ndio historia ndugu yangu

Келесі