SHEIKH AHMED HASSAN asimulia maisha yake kutoka utotoni hadi sasa
KNOW YOUR SHEIKH// UMJUE SHEHE WAKO
Жүктеу.....
Пікірлер: 53
@abuuahusa64594 ай бұрын
imetajwa nchi yangu tanzania nimejiskia vizuri sana ...... ALLAH amtunze sheikh wetu
@mcgapapu2 ай бұрын
Sheikh Ahmed Hassan Naomba Allah Akupushe Mbali na Ungojwa Wowote Na akulinde Uumivu wote hapa Dunia Na Ukitangulia Basi Akupe Mwisho Mwema🙏 Nakupenda Na Nta endelea kukuombeya Kwa Allah Mazuli Suudi Kutoka Rwanda 🇷🇼
@RamlaMohamed-jy3ft3 ай бұрын
natamani saaana nionane na huyu sheikh namuona too kwa tv in shaa allah mungu atukutanishe peponi
@Safina-dc7esАй бұрын
Mashallah sheikh Hassan Allah akupe uwepesi kwayote unayofanya hapa duniani na kesho Aherah
@mirajiissa46032 ай бұрын
Maa shaa Allah ,,, Allah akulipe azidi kukuhifadhi na akujaalie afya njema na mwisho mwema na akujaalie jannah kwa jitihada zako na mapenzi yako kwa mama yako... Tunakupenda sana Tanzania
@fatmahassan47906 ай бұрын
MaSha Allah TabarakaLlah. Mungu Akuhifadhi Akufanyie sahali na Wepesi. Akujaalie JANNATUL AL FIRDAUS Malipo Yako. Mungu AwaRahamu Wote Waliotangulia Mbee Za Haki Awakundulie makaburi Yao Awatilie Nuur Na Cc Atupe Husnul Khatimah.
@shadhilmakame5 ай бұрын
From Tanzania.....Ukaribie tuuu
@faizunmohd98392 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah naku fatilia sana napenda sana darsa zako Mashaallah..Allah barik
@mohseifsailor58444 ай бұрын
Nampenda sanaa uyu shekhe dah
@farhanharet90443 ай бұрын
I love this sheikh for Allah's sake
@ConfusedIslandParadise-fs9ri4 ай бұрын
Ustadh wangu, nimzuri sana, yuko sharp sana! ALLAH AKUZIDISHIE, wewe na Marhemu Mwalim Bwana
@aminayusuf30515 ай бұрын
Mashaallah napenda mawaidha ya sheikh ahmed from nairobi
@m.s767Ай бұрын
Allah azidi kukupa ikhlas na akuthibitishe kwa haqq
@ahmadabdalla6194 ай бұрын
Mashallah Mashallah mm sina ya ziyada nawaombea duwa mashekh wetu wote Allah awahifadhi awape umrimrefu wazidi kutunufaisha🙏 NA ningeomba sahi aitwe shekh othman malim na shekh nurdin kishki 🙏🙏🙏🙏
Assalamualaikum, mashallah tabarakallah aki sheikh mmi uwa nafaidika sana kwa mawaidha yako
@aziza90935 ай бұрын
Ashaallah Allah barak
@m.s767Ай бұрын
Allahumma baarik huyu shekh mnyenyekevu sana Allah amlipie mema duniani na akhera.kwakweli imetutouch nyoyo zetu
@shadhilmakame5 ай бұрын
Maashallah ❤
@khadijaali-gm4ywАй бұрын
Mashaallah kila la kheri sheikh wetu ,Allah akupe maisha yenye barka
@mubah5872Ай бұрын
Mashallah Allah amlipe kwa elimu na azidi kuisaidia Jamii yake inshaalah Ameen biithllah
@busaleh5494Ай бұрын
Maashallah sheikh wetu. Allah akuwafikishe. Karibu Pemba _ Zanzibar.
@user-fc4vl8zi4r2 ай бұрын
Allah akuhifadhi akupe wepesi wa dunia na akhera kama wewe ulivomthamini mama Allah atakupandisha darja
@HabibalKalbiАй бұрын
Mashallah tabaraqallah mweyezi mungu akuepushe na kila la shari na akupe kila kheir
@naifal05072 ай бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah wabaraqatuh...MashaaAllah Sheikh..Allah akuhifadhi ''''Kwa atakae jaaliwa ku taka kutoa mchango wake kwaajil ya Allah...kwa . Markaz ya sheikh wetu. .. Tunaomba Mawasiliano Tafadhar...🇹🇿
@AbdallahSuleiman-pi1ouАй бұрын
Allah akujaze kheir mamangu si muislam ila mawaidha yako huwa yana mgusa
@ubahamisi431Ай бұрын
Allah akuzidishie kila la heri sheh wetu mpendwa
@nassortrans124 ай бұрын
ماشاء الله
@user-ov4dt7yt1f3 ай бұрын
Laiti ungefanya bahthi ya kutosha na umuulize shehe wetu his struggles towards promoting sunnah and the great debate he had alongside DrMohamed osman and sheikh bahero in mombasa. This is something you can never blindfold ❤
@bintimgenibintimgeni1564 ай бұрын
MashaAllh
@ABDULRHEEM-kr1kr6 ай бұрын
Convey message of Islam to all people of the world and to everyone who will come also convey message of Islam to all world leaders...........
@adamson98516 ай бұрын
Mashaallah!
@MimaMummy-zk2qi4 ай бұрын
Ma sha Allah Sheikh wetu Allah akuzidishie Zaidi na zaidi In Sha Allah
@WazirJuma-gd5oo3 ай бұрын
Shk Hassan allaah akwihifazi akupe jaza wewe na femilia yako, khakika wewe ni mwalimu mwema, dawa yako inapenya sana,
@user-fc4vl8zi4r2 ай бұрын
Mashaallah mashaallah
@abulali92644 ай бұрын
Allah akupe kila la kheri ustadh wangu wewe na ustadh almarhum Athman shee Allah awalipe kila la kheri fiy din waduniya wal akhera
@abulali9264
4 ай бұрын
Nakumbuka mukija madrasa yetu Answar siku ya jumamosi na jumapili tukiwa na munaqasha,muhadatha na mutwaraha mukituulize maswali mukitupa motisha ya hali ya juu.
@user-by2cg4eq2r4 ай бұрын
As alaikum hata Mimi nikukubali Sana mwlm Allah akubakishen salaama insha'Allah
@abdulazizshadau80823 ай бұрын
Mashallah
@atkaali-mz5stАй бұрын
assalamualaikum warahmatullahi wabarakatuh samahn ndugu mtangazaji naomba japo number za cm za shekh Kwan Ninashida muhimu na yeye
@abobrigante6 ай бұрын
ASalama aleykum
@peacemaker27895 ай бұрын
Naomba number ya sheikh..Ahsante
@user-or7ks3xm4t
18 күн бұрын
Mimi pia naomba namba ya sheikh hassan
@user-kn8dj7rl1rАй бұрын
Japo mimi ni mkiristo ila nakiri kusema nimefutilia sana utuba zako kama vile amani ya nafisi dunia na udanganyivu kubabaika na kupanic kimaisha hakika nimejifuza mengi mwenyenzi mungu akupe afya njema na maisha marefu ili uzidi kutuelimisha
@mutomubaya
Ай бұрын
Karibu tuwe Waislamu
@user-jv9jp5hi9q4 ай бұрын
Mashallah sheikh wetu Allah akuzidishie zaidi na zaidi inshaallah,ninaombi sheikh naomba number yako please 🙏
@user-ov4dt7yt1f3 ай бұрын
Muhimu WA kutumia Visa katika uzungumzaji imekuwa summarised na hii ayah. Surah maida. قُلْ إِنِّي عَلَىٰ بَيِّنَةٍ مِّن رَّبِّي وَكَذَّبْتُم بِهِ ۚ مَا عِندِي مَا تَسْتَعْجِلُونَ بِهِ ۚ إِنِ الْحُكْمُ إِلَّا لِلَّهِ ۖ يَقُصُّ الْحَقَّ ۖ وَهُوَ خَيْرُ الْفَاصِلِينَ
@massykgaassfghjkkl53644 ай бұрын
Asalamu Alaikum Sheikh kindly how can someone contact you!
@user-by2cg4eq2r
4 ай бұрын
Naomba namba yako ya WhatsApp ust
@massykgaassfghjkkl53643 ай бұрын
Asalamu Alaikyumu Sheikh Ramadan Kareem, we need your number please 🙏
@TheKameme
Ай бұрын
Asalaam aleikum..Thank you for the request...I have attempted to find out how to reach Shk Ahmed but in vain as there is no contact of his given.. Pls, pls provide us with a contact . Ahsante.
Пікірлер: 53
imetajwa nchi yangu tanzania nimejiskia vizuri sana ...... ALLAH amtunze sheikh wetu
Sheikh Ahmed Hassan Naomba Allah Akupushe Mbali na Ungojwa Wowote Na akulinde Uumivu wote hapa Dunia Na Ukitangulia Basi Akupe Mwisho Mwema🙏 Nakupenda Na Nta endelea kukuombeya Kwa Allah Mazuli Suudi Kutoka Rwanda 🇷🇼
natamani saaana nionane na huyu sheikh namuona too kwa tv in shaa allah mungu atukutanishe peponi
Mashallah sheikh Hassan Allah akupe uwepesi kwayote unayofanya hapa duniani na kesho Aherah
Maa shaa Allah ,,, Allah akulipe azidi kukuhifadhi na akujaalie afya njema na mwisho mwema na akujaalie jannah kwa jitihada zako na mapenzi yako kwa mama yako... Tunakupenda sana Tanzania
MaSha Allah TabarakaLlah. Mungu Akuhifadhi Akufanyie sahali na Wepesi. Akujaalie JANNATUL AL FIRDAUS Malipo Yako. Mungu AwaRahamu Wote Waliotangulia Mbee Za Haki Awakundulie makaburi Yao Awatilie Nuur Na Cc Atupe Husnul Khatimah.
From Tanzania.....Ukaribie tuuu
Mashaallah tabarakallah naku fatilia sana napenda sana darsa zako Mashaallah..Allah barik
Nampenda sanaa uyu shekhe dah
I love this sheikh for Allah's sake
Ustadh wangu, nimzuri sana, yuko sharp sana! ALLAH AKUZIDISHIE, wewe na Marhemu Mwalim Bwana
Mashaallah napenda mawaidha ya sheikh ahmed from nairobi
Allah azidi kukupa ikhlas na akuthibitishe kwa haqq
Mashallah Mashallah mm sina ya ziyada nawaombea duwa mashekh wetu wote Allah awahifadhi awape umrimrefu wazidi kutunufaisha🙏 NA ningeomba sahi aitwe shekh othman malim na shekh nurdin kishki 🙏🙏🙏🙏
MASHALLAH MUNGU AKUPE AFYA SHEIKH
Asalaam Alekum warahmatulahi wabarakatu mashaAllah
Mungu azidi kukueka mwalimu wetu
Assalamualaikum, mashallah tabarakallah aki sheikh mmi uwa nafaidika sana kwa mawaidha yako
Ashaallah Allah barak
Allahumma baarik huyu shekh mnyenyekevu sana Allah amlipie mema duniani na akhera.kwakweli imetutouch nyoyo zetu
Maashallah ❤
Mashaallah kila la kheri sheikh wetu ,Allah akupe maisha yenye barka
Mashallah Allah amlipe kwa elimu na azidi kuisaidia Jamii yake inshaalah Ameen biithllah
Maashallah sheikh wetu. Allah akuwafikishe. Karibu Pemba _ Zanzibar.
Allah akuhifadhi akupe wepesi wa dunia na akhera kama wewe ulivomthamini mama Allah atakupandisha darja
Mashallah tabaraqallah mweyezi mungu akuepushe na kila la shari na akupe kila kheir
Assalaam alaykum warahmatullah wabaraqatuh...MashaaAllah Sheikh..Allah akuhifadhi ''''Kwa atakae jaaliwa ku taka kutoa mchango wake kwaajil ya Allah...kwa . Markaz ya sheikh wetu. .. Tunaomba Mawasiliano Tafadhar...🇹🇿
Allah akujaze kheir mamangu si muislam ila mawaidha yako huwa yana mgusa
Allah akuzidishie kila la heri sheh wetu mpendwa
ماشاء الله
Laiti ungefanya bahthi ya kutosha na umuulize shehe wetu his struggles towards promoting sunnah and the great debate he had alongside DrMohamed osman and sheikh bahero in mombasa. This is something you can never blindfold ❤
MashaAllh
Convey message of Islam to all people of the world and to everyone who will come also convey message of Islam to all world leaders...........
Mashaallah!
Ma sha Allah Sheikh wetu Allah akuzidishie Zaidi na zaidi In Sha Allah
Shk Hassan allaah akwihifazi akupe jaza wewe na femilia yako, khakika wewe ni mwalimu mwema, dawa yako inapenya sana,
Mashaallah mashaallah
Allah akupe kila la kheri ustadh wangu wewe na ustadh almarhum Athman shee Allah awalipe kila la kheri fiy din waduniya wal akhera
@abulali9264
4 ай бұрын
Nakumbuka mukija madrasa yetu Answar siku ya jumamosi na jumapili tukiwa na munaqasha,muhadatha na mutwaraha mukituulize maswali mukitupa motisha ya hali ya juu.
As alaikum hata Mimi nikukubali Sana mwlm Allah akubakishen salaama insha'Allah
Mashallah
assalamualaikum warahmatullahi wabarakatuh samahn ndugu mtangazaji naomba japo number za cm za shekh Kwan Ninashida muhimu na yeye
ASalama aleykum
Naomba number ya sheikh..Ahsante
@user-or7ks3xm4t
18 күн бұрын
Mimi pia naomba namba ya sheikh hassan
Japo mimi ni mkiristo ila nakiri kusema nimefutilia sana utuba zako kama vile amani ya nafisi dunia na udanganyivu kubabaika na kupanic kimaisha hakika nimejifuza mengi mwenyenzi mungu akupe afya njema na maisha marefu ili uzidi kutuelimisha
@mutomubaya
Ай бұрын
Karibu tuwe Waislamu
Mashallah sheikh wetu Allah akuzidishie zaidi na zaidi inshaallah,ninaombi sheikh naomba number yako please 🙏
Muhimu WA kutumia Visa katika uzungumzaji imekuwa summarised na hii ayah. Surah maida. قُلْ إِنِّي عَلَىٰ بَيِّنَةٍ مِّن رَّبِّي وَكَذَّبْتُم بِهِ ۚ مَا عِندِي مَا تَسْتَعْجِلُونَ بِهِ ۚ إِنِ الْحُكْمُ إِلَّا لِلَّهِ ۖ يَقُصُّ الْحَقَّ ۖ وَهُوَ خَيْرُ الْفَاصِلِينَ
Asalamu Alaikum Sheikh kindly how can someone contact you!
@user-by2cg4eq2r
4 ай бұрын
Naomba namba yako ya WhatsApp ust
Asalamu Alaikyumu Sheikh Ramadan Kareem, we need your number please 🙏
@TheKameme
Ай бұрын
Asalaam aleikum..Thank you for the request...I have attempted to find out how to reach Shk Ahmed but in vain as there is no contact of his given.. Pls, pls provide us with a contact . Ahsante.