MFAHAMU DADA ALITEKA HISIA ZA WATU WENGI
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 43
Bismilahi Mashaallah Sister Layla umejistiri vizuri hata watizamaji na waskilizaji wanaona raha kukuskiliza. Mtangazaji Mungu akubarik na kazi yako.
Mungu akuzidishie kheri baraka na amani katika kuelimisha umma
Mashallah mtangazaji umekimbiza ,hakika wewe hatukuiti mtangazaji wewe ni msomi ,au mtangazaji msomi Mashallah,mi nafurahi sana Allah akuwezesheni
Dada you are the real raw model kwa wanawake wema wa kiislam
Alhamdulillah nikiwa oman 🇴🇲 madam nakufuatilia ww na alfatah ❤
Bismilah Ma Sha Allah TabarakaAllah Blessed from Allah 🤲🤲
ASSALAMU ALEIKUM. HATA MIMI NI KENYA KWA SASA NIKO SAUDIA NAKUFATILIA MA SHA ALLAH
Mashallah,alfatah ,watu wote mnaotuletea watu wa mana ,mi nimpongeze huyo Director anaewatafuta hao washiriki , Allah akulipeni kheri
@TheFire_Gamer
Ай бұрын
Unamaneno mazuri Alhamdulilah
@TheFire_Gamer
Ай бұрын
Usipende kuapaupa
@TheFire_Gamer
Ай бұрын
Wallahi
@TheFire_Gamer
Ай бұрын
Kubwa kujitibu mwenyewe ni kumshukuru mungu kusema Alhamdulilah
Huyu dada namfuatilia mpole sana saut mzur
Mashaallah natarajia atasoma hii comment nampenda sanaaa huyuuu mwanamke
Maashallah dada upo vizuri points na elimu..na mtangazaji you are the best of best unaeeza good personality na upangaji wa maswali
Hongera kwa juhudi kubwa unayofanya kuwasaidis watu ktk saikolojia
Naam,hakika tunajifunza mengi.
Mashaallah wajina nakupenda nakufatilia sana
Allah akujaalie mwisho mwisho nasisi tunaokufatilia pia
Mashallah mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Wewe Dada Ni malkia Yaan Unahikma nimekupenda nimekupenda bure Jaman Nnimfatilie kwa Jina lipi naona Account zake pls Nimegundua anaongea Kama Mama Samia Huyu awekwe makamo wa Rais nchi yetu itanyanyuka sana Mashallah Allah akuhifadh Dafa layla Na Shar za binaadam na majin Kwa kipaj ulichonacho Wapo watakaojivunia na wapo watakaochukia Mim Nakupongeza Namuomba Allah akuhifadh na kila shar🥺😍😍😍😍😍😍😍😍Love u much love from UAE😍😍😍😍😍😍😍
@bintsalimalbimany287
Ай бұрын
Namomba Account zake pls
@nduwimanafatma9948
Ай бұрын
Madam laila abubakar@@bintsalimalbimany287
MaashaAllah madam
Me personal ilove this sister for ALLAH
Madame Leilah hongera
maashallah mtangazaji msomi
Nzuri sana
Allahumma Barik dada umevaa Hijabu yako inavyopaswa
@AishaIddy-bt3rl
Ай бұрын
Hakuna Hijabu Hapo Usijiongopee
Mie pia nasikia sauti kama ya mama Samia Suluh. Kiswahili ndio h😅chi tunachokijua maana siku hizi kiswahili kimepotea
Nakukubali madam Leyla nakufatilia nikiwa dubai
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER NDUGU YANGU
USA 🇺🇸
Hata mie naitaka
Mashallah nampenda sana huyu dada
Mimi Nipo UAE Nikweli Kabisa Na Napenda Sana Hata Nimejifunza Mengi Kwaajiliyangu Na Watoto Wangu..??
mashaallah mashaallah mnafanya kaz kubwa sana al fatah kuleta watu ambao wanaleta faida kubwa sana katika jamiii
Asalaam aleykum warhmatul Llah wabarakatuh Naomba namba ya dada Leyla namuhitaji kwa masuala muhimu sana
@wadhhasuleiman2621
Ай бұрын
Ingia Instagram Yake Ameweka number zake
Channel yako ni ngani?
@HashimMusii
Ай бұрын
Alfatah
Hata mie naitaka