NIMEZALIWA UK WAZAZI WALINIPELEKA KUSOMA TANZANIA ILI NIIJUE ASILI YANGU NA MAADILI YETU YA KIAFRIKA
Жүктеу.....
Пікірлер: 83
@OfficialDatingAssistanceАй бұрын
Instagram: maleek_lion_king08
@zainabsibuma-omary7061Ай бұрын
Interview Masha Allah, Mwenyezi mungu aendelee kumsimamia huyu kijana ana maadili. Hongera kwa wazazi.
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Amin🙏
@MellanieKayАй бұрын
Mimi ni Mmarekani/Mtanzania, nina watoto wamezaliwa huku, Nimekuwa nikiwaza sana kuhusu kuwapeleka kusoma bongo boarding ili wajifunze lugha na maadili yetu, ila nawazaga kama wataweza, what will the actual side effects be? Lionking kaelezea vizuri sana. I have watched majority of your videos Shena, this one is in my top 2. Kama ikikupendeza, naomba umhoji tena ila in English, special for children born abroad but with Tanzanian parents. Awape experience yake in English. I have translated some of this interview to my 9 year old son, but he'd enjoy, learn and appreciate it even more if it was in English. Great job Shena!🎉🎉 Congrats to Lionking's parents🎉🎉
@dottobraham9051
Ай бұрын
Ahsante kwa maelekezo hayo good boy to appreciate your parents.
@dottobraham9051
Ай бұрын
Hii inaitwa mlee mtoto katika njia ipasavyo. Hongereni sana wazazi
@dayana5513storyАй бұрын
Hakika Wazazi wamefanya kazi kubwa kijana hakubariki sana
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
🙏
@mohamoudhussein457025 күн бұрын
Kijana yuko Vizuri Maa Shaa Allwah.Kuna la kujifunza hapo
@pammyk4476Ай бұрын
What a brilliant young man! This guy is just Brrrrrrrrilliant! Very matured, upright, wise, humble and very eloquent. He speaks and he entertains at the same time. He is so wise in the sense that he isn’t biased at all. He balances the conversation by reminding us that there are prons & cons to everything! For me, when he praised his father and spoke about how he fears his mother 😂(so typical of African mothers). Moreover, he knows his strengths, he is loyal and his character is so vivid through his speech and how he argues his points. Anajielewa! But when a boy is raised this well and publicly refers to his Father as a hero, it is a great reminder to our society that a man’s contribution in raising a boy well will definitely lead a better society. This boy’s generation will be fruitful as a result of his parents seed. He will make a very huge impact in the contemporary world of our boys to men who are in danger of extinction really (If you know you know). I’m so proud of you young man! My God may God keep you and keep blessing your parents! Shena, this interview was different and very interestingly intriguing. Keep shining ❤
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Thank you for the nice comment It means a lot 🙏❤️
@user-fh7wu8vx1yАй бұрын
Hata mdogo wangu aliwaleta. Wanae. tanzania. Wakosoma. Ndiyo. Wakarudi ulaya
@ashakassanga1Ай бұрын
Hiyo story ya Mama nimechekaa 😂😂😂😂 nimewafanyia sana wanangu daah good boy keep it up
@NeemaSanga-bc4pzАй бұрын
Hongera sana kijana kwa point nzuri
@yep_gtАй бұрын
Hongera sana huyu kijana kaniongezea kitu kwenye malezi. Asante
@tutiwatutiАй бұрын
Kaongea vizuri sana inaonekana amepata malezi bora sana
@fahimtalib5705Ай бұрын
😂Ishi miaka ya kobe ndugu, nusu ubantu nusu mzungu, umetufunza sana Don Kidodi stay blessed 🫡
@judithsalvatory2892Ай бұрын
Hongera sana Mungu akubariki.
@user-yr2eg4dc6nАй бұрын
kidody naona umekonda saiv big up🤟👐
@maryamkhamfar4029Ай бұрын
A,alaykum Da Shena, naomba LINK ya ile video ya yule mwanamke anaeishi Ujerumani, ambae alifungwa Ugiriki kwa kosa la pasport, yule ambae mwenyeji wake alimuibia pasport yeke....ahsante
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
kzread.infomK3JtLHUyvg?si=ee5xEkMele5edTXO
@ayshasaid1547Ай бұрын
Safi sana umenda home kujua maadali yetu wazee wapo makini ongera yao
@user-gx9hg3dp1eАй бұрын
Hii ni best interview kijana mdogo lakn anaongea maneno mazito yenye kuelimisha jamii na ni mstaarabu sana🙌🤝
@AfricaQueenАй бұрын
Dah! Kweli kabisa maneno yako 🤝💯💯💯
@jamilaallysaid-if1jfАй бұрын
Hongera mwanangu upo juu nakuwaminia mimi mamako kila la kheri
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
❤❤❤
@maria_mutondioriginal5Ай бұрын
Nimempenda ana busara sana huyu kijana mdogo Mungu amlinde aje afanye manbo makubwa Tanzania ❤
@fatmahussein1238Ай бұрын
MaashaAllah huyu ana miaka ishirini kweli maneno yake ya mtu aliokomaa zaidi... Hongera sana
@mapishiyetumazuri2312Ай бұрын
Mm nimefirahi aliyorudu pesa kitukangani atafuta Ss hivi anamadili mazuri mm mweyewe nimeishi usa mika 8 Ss hivi nimrudi kuwaleya wanangu kifirika tena wamezaliwa USA
@user-pd2fk6kt5iАй бұрын
MashaAllaah wa Alhamdulillaah kijana yuko vizuri sana na mshukuru wazazi wake kanyoka sana kwenye maadili yake
@SawayaNmАй бұрын
This is what I insisted all the time ukiwa wa raia wa Nchi zilizo endelea benefits are abundantly! This young man solidified my claim. After I acquired citizenship, benefits are ridiculous! All my kids born within and outside the country! They Acquired their citizenship at birth! Parental citizenship transferred to child automatically! People Google what benefits to be UK or US citizen! Stop hating the truth! 😂😊😂
@swedihaji5383Ай бұрын
Upo vizuri kijana mungu hatakuongoza
@DM.2200Ай бұрын
Shena naomba kujua ile stori ya shendwa inaendelea lin?
@faridapatel7584Ай бұрын
Nimekupenda wewe mtoto uko mweupe kwa ukweli hongera
@rahmajaffar7007Ай бұрын
He was raised well hongera kwa wazee wake
@amourmtungo623Ай бұрын
🤔Kuchapa Ulaya Waafrika, Wahindi, Warabu na makundi mengine huadhibu watoto wao ni kinyume lakini na taratibu za Ulaya. Ole wako mtoto akushtaki utakiona cha moto bora ufanye kisirisiri. Yapo yanatokea wengine hufanikiwa na wengine huripotiwa na kuingia matatani
Chotara , mashaallah una hekma Sana Allah akulinde
@joycebenjamin6017Ай бұрын
Hongera Lion King kwa wazazi wako maana wana malezi mazuri na waliona mbali kwa kweli.kuna watz wapo ughaibuni watoto wao wameharibikiwa hadi ruhuma.kwa ajili ya makuzi na malezi ya ughaibuni yanachangia watoto kuharika kwa ajili ya uhuru na haki za watoto.
@caashamacalini3887Ай бұрын
Hizo sehemu alizotaja waswahili kibao tena wahuko wenzetu wenye marashi ya karafuu kuna sehemu kama michenzani
@harounramadhan9771Ай бұрын
Shena nafarijiaka sana Nikiwa kuwait Uyu brother Katiyawanao takiwa kurudi tena pls Nimeipenda sana hii Ushauri hakunauwekano akiwa inaganda ukawa unaona Kabla sisi kukuambia Tutashukuru sana kama utalifanyia kazihili asante
@rahabbrayson6552Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@atuamohamed9664Ай бұрын
Mashallah umepata malezi ya imani ongeza zaidi
@nyakatongongo4292Ай бұрын
Safi sana maamuzi ya wazazi wako ni mazuri watoto wangu wamezaliwa na kukulia hapa 🇿🇦 31:49 31:54 31:56 31:57 31:57 31:57
@aminasoud7797Ай бұрын
Hongera sana lion king umeongea point
@gloriamwanjali9371Ай бұрын
Cost benefit analysis
@abdulyibrahim2125Ай бұрын
Kijana kaongea vzur na kasema kweli ya kweli
@jaberrabora4757Ай бұрын
❤❤❤
@hamidmohamed7727Ай бұрын
Ndara si summer sasa winter utavaa ndara nnje vipi
Mtoto kaiva sana kwenye maadili wallah ya kitanzania yaaan unakula Kisha unaweza vizul muhudu aje kuchukua pili hapo kuweka nguo kwenye yale masaduku wewe unafikilia Tanzania Kuna watu wenye uitaji wa izo nguo unasafilisha kuwapatia hongeren sana wazazi wa huyu kijana haa 😅mtoto unamjua mbka fredy mvunja bei 😂
@adammjomba5814Ай бұрын
Dada shena kama itakupendeza rudishie ile sorry ya yule mama anaeishi German Alifungwa jella Giris( gurus) pia akaibiwa pass na mwenyeji wake. NI history's ya kusikitisha sana pia kunachakujifunza apo jinsi ya kuishi na wa TZ , NI watu wasio jali hataukifa don't care mradi atimize ubaya wake
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
kzread.infomK3JtLHUyvg?si=TP1TIIs1fj2y-Dtt
@moxamedabdillahi3822Ай бұрын
King lion umesema vizuri kwenye matibabu kuwa africa ukiumwa unatibiwa hapo hapo pia na hapa ukiwa waumwa unaenda emergency na kutibiwa baada ya kukamilika vipimo vyote na vyote unafanyiwa kwa siku moja
@esterMahengeАй бұрын
Mtoto mdogo akili kubwa god boy👏
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
QEEN kafa 2022 sep mimi nilikuwa Afrika narudi U.K
@fatmamansour676Ай бұрын
Tanzania uwe na rangi nyeupe tu hupewi kazi ya jeshi
@estherkibui2371Ай бұрын
Habari coach tupe sorry yako pia wewe.How you met your perner ❤
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Angalia chini ndio video ya kwanza kabisa kujihoji
@hedayamohammed2781Ай бұрын
Hili la hospital kubwa kuwa Muhimbili limenigusa sana.nilipoteza mtoto wangu kwa shida ndogo sana tulikuwa mkoani tuakapewa rufaa ya kwenda Muhimbili.Siku 3 tangia azaliwe ndo tumefika Muhimbili siku ya 6 ndo anapata opereshen akakutwa na shida nyingi zilizosababishwa na kuchelewa kupata huduma alifariki akiwa na miezi 2 hapohapo Muhimbili.Wakati huo kuna watoto walozaliwa Dar kwa shida hiyohiyo wamepata huduma mapema walipona
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Pole sana, Mungu azidi kukutia nguvu. Sekta ya afya ni mtihani sana.
@hedayamohammed2781
Ай бұрын
@@OfficialDatingAssistance Amiiiiiini
@RealtorZanzibarАй бұрын
Kwenye hospital Yuko sawa Kuna kuna mtu alitoka ulaya kutibiwa bongo
@gracelyimo6256Ай бұрын
Watoto wa Ulaya wako proud na fashion ila wa kibongo tuna big dreams 🙂(jokes) Kampuni,majengo,business alafu wao familia zao ni kujitegemea hamna chakuwaza anko wala aunt Sisi tunatafuta lakini unawaza kundi la nyuma yako kwamba utawasaidia vp
@kachabisnea8815Ай бұрын
Dogo nimemuelewa kinouma
@nurumwangoka5924Ай бұрын
Shena kwani hana account insta jamani
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Ni maleek lion king
@marykennedymarwa1641Ай бұрын
Kwahiyo wewe , ulipelekwa nyumbani sababu ulikuwa mkorofi ili ukawe na utulivu 😅😅😅
@davisminja3742Ай бұрын
Shena.......please do something
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
About what kaka ?
@flavianakanga4726Ай бұрын
African parents waaa only the eye will tell
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
The eye 👁️ tells all 😁
@nasibujuwe3038
Ай бұрын
Wow shena..leo nimeipanda sana show yako..nimeangalia show zako nyingi...mimi naishi Canada kwa miaka mingi sana ni watoto wangu nimewaza hapa Canada laki nichoshukuru kila mwaka watoto wangu wanakwenda bongo kila mwaka uyu kijana nimempenda bule vijana wangu ni wazawa wa hapa Canada na kila summer wanapenda kwenda nyumbani bongo na Wana ulimli kama wa uyu kijana alivyokwenda nyumbani kwenye miaka 14
@nasibujuwe3038
Ай бұрын
Wazazi nawapa ongela sana kwa kumpa maadili uyu kijana wetu mashahalla nimempenda bule amepata malezi mazuri in western countries like me I live here na watoto wangu najuwa kweri anachosema
@jennytugara9470Ай бұрын
Wanaume wa bomgo Mtu ana miaka 30 anakaa kwa Baba 😂😂 akiambiwa kuoa anataka Mke alelewe na Wazazi wake!!!
@mohammedkidody5618Ай бұрын
Hi guys,ningependa kuwajuulisha kuwa mm ni kaka yake tunaishi wote huku uk😊
@user-ui4oh8gf8n
Ай бұрын
MashaaAllah. VIPI NAWE JUU YA DESPIRIN?
@judithlugongo8804Ай бұрын
Kijana yuko sahihi Ana maadili mema hongera kwa wazazi pia
@ninanombo2784
Ай бұрын
Uko vizuri sana kijana Mungu azidi kukutunza.endelea kuwasikiliza wazazi wako na utafika mbali sana.
Пікірлер: 83
Instagram: maleek_lion_king08
Interview Masha Allah, Mwenyezi mungu aendelee kumsimamia huyu kijana ana maadili. Hongera kwa wazazi.
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Amin🙏
Mimi ni Mmarekani/Mtanzania, nina watoto wamezaliwa huku, Nimekuwa nikiwaza sana kuhusu kuwapeleka kusoma bongo boarding ili wajifunze lugha na maadili yetu, ila nawazaga kama wataweza, what will the actual side effects be? Lionking kaelezea vizuri sana. I have watched majority of your videos Shena, this one is in my top 2. Kama ikikupendeza, naomba umhoji tena ila in English, special for children born abroad but with Tanzanian parents. Awape experience yake in English. I have translated some of this interview to my 9 year old son, but he'd enjoy, learn and appreciate it even more if it was in English. Great job Shena!🎉🎉 Congrats to Lionking's parents🎉🎉
@dottobraham9051
Ай бұрын
Ahsante kwa maelekezo hayo good boy to appreciate your parents.
@dottobraham9051
Ай бұрын
Hii inaitwa mlee mtoto katika njia ipasavyo. Hongereni sana wazazi
Hakika Wazazi wamefanya kazi kubwa kijana hakubariki sana
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
🙏
Kijana yuko Vizuri Maa Shaa Allwah.Kuna la kujifunza hapo
What a brilliant young man! This guy is just Brrrrrrrrilliant! Very matured, upright, wise, humble and very eloquent. He speaks and he entertains at the same time. He is so wise in the sense that he isn’t biased at all. He balances the conversation by reminding us that there are prons & cons to everything! For me, when he praised his father and spoke about how he fears his mother 😂(so typical of African mothers). Moreover, he knows his strengths, he is loyal and his character is so vivid through his speech and how he argues his points. Anajielewa! But when a boy is raised this well and publicly refers to his Father as a hero, it is a great reminder to our society that a man’s contribution in raising a boy well will definitely lead a better society. This boy’s generation will be fruitful as a result of his parents seed. He will make a very huge impact in the contemporary world of our boys to men who are in danger of extinction really (If you know you know). I’m so proud of you young man! My God may God keep you and keep blessing your parents! Shena, this interview was different and very interestingly intriguing. Keep shining ❤
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Thank you for the nice comment It means a lot 🙏❤️
Hata mdogo wangu aliwaleta. Wanae. tanzania. Wakosoma. Ndiyo. Wakarudi ulaya
Hiyo story ya Mama nimechekaa 😂😂😂😂 nimewafanyia sana wanangu daah good boy keep it up
Hongera sana kijana kwa point nzuri
Hongera sana huyu kijana kaniongezea kitu kwenye malezi. Asante
Kaongea vizuri sana inaonekana amepata malezi bora sana
😂Ishi miaka ya kobe ndugu, nusu ubantu nusu mzungu, umetufunza sana Don Kidodi stay blessed 🫡
Hongera sana Mungu akubariki.
kidody naona umekonda saiv big up🤟👐
A,alaykum Da Shena, naomba LINK ya ile video ya yule mwanamke anaeishi Ujerumani, ambae alifungwa Ugiriki kwa kosa la pasport, yule ambae mwenyeji wake alimuibia pasport yeke....ahsante
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
kzread.infomK3JtLHUyvg?si=ee5xEkMele5edTXO
Safi sana umenda home kujua maadali yetu wazee wapo makini ongera yao
Hii ni best interview kijana mdogo lakn anaongea maneno mazito yenye kuelimisha jamii na ni mstaarabu sana🙌🤝
Dah! Kweli kabisa maneno yako 🤝💯💯💯
Hongera mwanangu upo juu nakuwaminia mimi mamako kila la kheri
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
❤❤❤
Nimempenda ana busara sana huyu kijana mdogo Mungu amlinde aje afanye manbo makubwa Tanzania ❤
MaashaAllah huyu ana miaka ishirini kweli maneno yake ya mtu aliokomaa zaidi... Hongera sana
Mm nimefirahi aliyorudu pesa kitukangani atafuta Ss hivi anamadili mazuri mm mweyewe nimeishi usa mika 8 Ss hivi nimrudi kuwaleya wanangu kifirika tena wamezaliwa USA
MashaAllaah wa Alhamdulillaah kijana yuko vizuri sana na mshukuru wazazi wake kanyoka sana kwenye maadili yake
This is what I insisted all the time ukiwa wa raia wa Nchi zilizo endelea benefits are abundantly! This young man solidified my claim. After I acquired citizenship, benefits are ridiculous! All my kids born within and outside the country! They Acquired their citizenship at birth! Parental citizenship transferred to child automatically! People Google what benefits to be UK or US citizen! Stop hating the truth! 😂😊😂
Upo vizuri kijana mungu hatakuongoza
Shena naomba kujua ile stori ya shendwa inaendelea lin?
Nimekupenda wewe mtoto uko mweupe kwa ukweli hongera
He was raised well hongera kwa wazee wake
🤔Kuchapa Ulaya Waafrika, Wahindi, Warabu na makundi mengine huadhibu watoto wao ni kinyume lakini na taratibu za Ulaya. Ole wako mtoto akushtaki utakiona cha moto bora ufanye kisirisiri. Yapo yanatokea wengine hufanikiwa na wengine huripotiwa na kuingia matatani
Hongera 🎉🎉 kwa wazazi kwa malezi mazuri
Wazazi hawajakosea walichokifanyaaa
Nimempenda anaongea kiakili❤
Nimempenda kijana kaongea vizuri sana,na Kiswahili kuzuri
Yaani yuko vizuri
Chotara , mashaallah una hekma Sana Allah akulinde
Hongera Lion King kwa wazazi wako maana wana malezi mazuri na waliona mbali kwa kweli.kuna watz wapo ughaibuni watoto wao wameharibikiwa hadi ruhuma.kwa ajili ya makuzi na malezi ya ughaibuni yanachangia watoto kuharika kwa ajili ya uhuru na haki za watoto.
Hizo sehemu alizotaja waswahili kibao tena wahuko wenzetu wenye marashi ya karafuu kuna sehemu kama michenzani
Shena nafarijiaka sana Nikiwa kuwait Uyu brother Katiyawanao takiwa kurudi tena pls Nimeipenda sana hii Ushauri hakunauwekano akiwa inaganda ukawa unaona Kabla sisi kukuambia Tutashukuru sana kama utalifanyia kazihili asante
❤❤❤❤❤
Mashallah umepata malezi ya imani ongeza zaidi
Safi sana maamuzi ya wazazi wako ni mazuri watoto wangu wamezaliwa na kukulia hapa 🇿🇦 31:49 31:54 31:56 31:57 31:57 31:57
Hongera sana lion king umeongea point
Cost benefit analysis
Kijana kaongea vzur na kasema kweli ya kweli
❤❤❤
Ndara si summer sasa winter utavaa ndara nnje vipi
Kwangu mimi naona wazazi wamefanya jambo sahihi kumrudisha nyumbani kujifunza vya kwao
Mtoto kaiva sana kwenye maadili wallah ya kitanzania yaaan unakula Kisha unaweza vizul muhudu aje kuchukua pili hapo kuweka nguo kwenye yale masaduku wewe unafikilia Tanzania Kuna watu wenye uitaji wa izo nguo unasafilisha kuwapatia hongeren sana wazazi wa huyu kijana haa 😅mtoto unamjua mbka fredy mvunja bei 😂
Dada shena kama itakupendeza rudishie ile sorry ya yule mama anaeishi German Alifungwa jella Giris( gurus) pia akaibiwa pass na mwenyeji wake. NI history's ya kusikitisha sana pia kunachakujifunza apo jinsi ya kuishi na wa TZ , NI watu wasio jali hataukifa don't care mradi atimize ubaya wake
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
kzread.infomK3JtLHUyvg?si=TP1TIIs1fj2y-Dtt
King lion umesema vizuri kwenye matibabu kuwa africa ukiumwa unatibiwa hapo hapo pia na hapa ukiwa waumwa unaenda emergency na kutibiwa baada ya kukamilika vipimo vyote na vyote unafanyiwa kwa siku moja
Mtoto mdogo akili kubwa god boy👏
QEEN kafa 2022 sep mimi nilikuwa Afrika narudi U.K
Tanzania uwe na rangi nyeupe tu hupewi kazi ya jeshi
Habari coach tupe sorry yako pia wewe.How you met your perner ❤
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Angalia chini ndio video ya kwanza kabisa kujihoji
Hili la hospital kubwa kuwa Muhimbili limenigusa sana.nilipoteza mtoto wangu kwa shida ndogo sana tulikuwa mkoani tuakapewa rufaa ya kwenda Muhimbili.Siku 3 tangia azaliwe ndo tumefika Muhimbili siku ya 6 ndo anapata opereshen akakutwa na shida nyingi zilizosababishwa na kuchelewa kupata huduma alifariki akiwa na miezi 2 hapohapo Muhimbili.Wakati huo kuna watoto walozaliwa Dar kwa shida hiyohiyo wamepata huduma mapema walipona
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Pole sana, Mungu azidi kukutia nguvu. Sekta ya afya ni mtihani sana.
@hedayamohammed2781
Ай бұрын
@@OfficialDatingAssistance Amiiiiiini
Kwenye hospital Yuko sawa Kuna kuna mtu alitoka ulaya kutibiwa bongo
Watoto wa Ulaya wako proud na fashion ila wa kibongo tuna big dreams 🙂(jokes) Kampuni,majengo,business alafu wao familia zao ni kujitegemea hamna chakuwaza anko wala aunt Sisi tunatafuta lakini unawaza kundi la nyuma yako kwamba utawasaidia vp
Dogo nimemuelewa kinouma
Shena kwani hana account insta jamani
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Ni maleek lion king
Kwahiyo wewe , ulipelekwa nyumbani sababu ulikuwa mkorofi ili ukawe na utulivu 😅😅😅
Shena.......please do something
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
About what kaka ?
African parents waaa only the eye will tell
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
The eye 👁️ tells all 😁
@nasibujuwe3038
Ай бұрын
Wow shena..leo nimeipanda sana show yako..nimeangalia show zako nyingi...mimi naishi Canada kwa miaka mingi sana ni watoto wangu nimewaza hapa Canada laki nichoshukuru kila mwaka watoto wangu wanakwenda bongo kila mwaka uyu kijana nimempenda bule vijana wangu ni wazawa wa hapa Canada na kila summer wanapenda kwenda nyumbani bongo na Wana ulimli kama wa uyu kijana alivyokwenda nyumbani kwenye miaka 14
@nasibujuwe3038
Ай бұрын
Wazazi nawapa ongela sana kwa kumpa maadili uyu kijana wetu mashahalla nimempenda bule amepata malezi mazuri in western countries like me I live here na watoto wangu najuwa kweri anachosema
Wanaume wa bomgo Mtu ana miaka 30 anakaa kwa Baba 😂😂 akiambiwa kuoa anataka Mke alelewe na Wazazi wake!!!
Hi guys,ningependa kuwajuulisha kuwa mm ni kaka yake tunaishi wote huku uk😊
@user-ui4oh8gf8n
Ай бұрын
MashaaAllah. VIPI NAWE JUU YA DESPIRIN?
Kijana yuko sahihi Ana maadili mema hongera kwa wazazi pia
@ninanombo2784
Ай бұрын
Uko vizuri sana kijana Mungu azidi kukutunza.endelea kuwasikiliza wazazi wako na utafika mbali sana.