NIMEZALIWA UK WAZAZI WALINIPELEKA KUSOMA TANZANIA ILI NIIJUE ASILI YANGU NA MAADILI YETU YA KIAFRIKA

Пікірлер: 83

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistanceАй бұрын

    Instagram: maleek_lion_king08

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061Ай бұрын

    Interview Masha Allah, Mwenyezi mungu aendelee kumsimamia huyu kijana ana maadili. Hongera kwa wazazi.

  • @mohammedkidody5618

    @mohammedkidody5618

    Ай бұрын

    Amin🙏

  • @MellanieKay
    @MellanieKayАй бұрын

    Mimi ni Mmarekani/Mtanzania, nina watoto wamezaliwa huku, Nimekuwa nikiwaza sana kuhusu kuwapeleka kusoma bongo boarding ili wajifunze lugha na maadili yetu, ila nawazaga kama wataweza, what will the actual side effects be? Lionking kaelezea vizuri sana. I have watched majority of your videos Shena, this one is in my top 2. Kama ikikupendeza, naomba umhoji tena ila in English, special for children born abroad but with Tanzanian parents. Awape experience yake in English. I have translated some of this interview to my 9 year old son, but he'd enjoy, learn and appreciate it even more if it was in English. Great job Shena!🎉🎉 Congrats to Lionking's parents🎉🎉

  • @dottobraham9051

    @dottobraham9051

    Ай бұрын

    Ahsante kwa maelekezo hayo good boy to appreciate your parents.

  • @dottobraham9051

    @dottobraham9051

    Ай бұрын

    Hii inaitwa mlee mtoto katika njia ipasavyo. Hongereni sana wazazi

  • @dayana5513story
    @dayana5513storyАй бұрын

    Hakika Wazazi wamefanya kazi kubwa kijana hakubariki sana

  • @mohammedkidody5618

    @mohammedkidody5618

    Ай бұрын

    🙏

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein457025 күн бұрын

    Kijana yuko Vizuri Maa Shaa Allwah.Kuna la kujifunza hapo

  • @pammyk4476
    @pammyk4476Ай бұрын

    What a brilliant young man! This guy is just Brrrrrrrrilliant! Very matured, upright, wise, humble and very eloquent. He speaks and he entertains at the same time. He is so wise in the sense that he isn’t biased at all. He balances the conversation by reminding us that there are prons & cons to everything! For me, when he praised his father and spoke about how he fears his mother 😂(so typical of African mothers). Moreover, he knows his strengths, he is loyal and his character is so vivid through his speech and how he argues his points. Anajielewa! But when a boy is raised this well and publicly refers to his Father as a hero, it is a great reminder to our society that a man’s contribution in raising a boy well will definitely lead a better society. This boy’s generation will be fruitful as a result of his parents seed. He will make a very huge impact in the contemporary world of our boys to men who are in danger of extinction really (If you know you know). I’m so proud of you young man! My God may God keep you and keep blessing your parents! Shena, this interview was different and very interestingly intriguing. Keep shining ❤

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    Thank you for the nice comment It means a lot 🙏❤️

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1yАй бұрын

    Hata mdogo wangu aliwaleta. Wanae. tanzania. Wakosoma. Ndiyo. Wakarudi ulaya

  • @ashakassanga1
    @ashakassanga1Ай бұрын

    Hiyo story ya Mama nimechekaa 😂😂😂😂 nimewafanyia sana wanangu daah good boy keep it up

  • @NeemaSanga-bc4pz
    @NeemaSanga-bc4pzАй бұрын

    Hongera sana kijana kwa point nzuri

  • @yep_gt
    @yep_gtАй бұрын

    Hongera sana huyu kijana kaniongezea kitu kwenye malezi. Asante

  • @tutiwatuti
    @tutiwatutiАй бұрын

    Kaongea vizuri sana inaonekana amepata malezi bora sana

  • @fahimtalib5705
    @fahimtalib5705Ай бұрын

    😂Ishi miaka ya kobe ndugu, nusu ubantu nusu mzungu, umetufunza sana Don Kidodi stay blessed 🫡

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892Ай бұрын

    Hongera sana Mungu akubariki.

  • @user-yr2eg4dc6n
    @user-yr2eg4dc6nАй бұрын

    kidody naona umekonda saiv big up🤟👐

  • @maryamkhamfar4029
    @maryamkhamfar4029Ай бұрын

    A,alaykum Da Shena, naomba LINK ya ile video ya yule mwanamke anaeishi Ujerumani, ambae alifungwa Ugiriki kwa kosa la pasport, yule ambae mwenyeji wake alimuibia pasport yeke....ahsante

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    kzread.infomK3JtLHUyvg?si=ee5xEkMele5edTXO

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547Ай бұрын

    Safi sana umenda home kujua maadali yetu wazee wapo makini ongera yao

  • @user-gx9hg3dp1e
    @user-gx9hg3dp1eАй бұрын

    Hii ni best interview kijana mdogo lakn anaongea maneno mazito yenye kuelimisha jamii na ni mstaarabu sana🙌🤝

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueenАй бұрын

    Dah! Kweli kabisa maneno yako 🤝💯💯💯

  • @jamilaallysaid-if1jf
    @jamilaallysaid-if1jfАй бұрын

    Hongera mwanangu upo juu nakuwaminia mimi mamako kila la kheri

  • @mohammedkidody5618

    @mohammedkidody5618

    Ай бұрын

    ❤❤❤

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5Ай бұрын

    Nimempenda ana busara sana huyu kijana mdogo Mungu amlinde aje afanye manbo makubwa Tanzania ❤

  • @fatmahussein1238
    @fatmahussein1238Ай бұрын

    MaashaAllah huyu ana miaka ishirini kweli maneno yake ya mtu aliokomaa zaidi... Hongera sana

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312Ай бұрын

    Mm nimefirahi aliyorudu pesa kitukangani atafuta Ss hivi anamadili mazuri mm mweyewe nimeishi usa mika 8 Ss hivi nimrudi kuwaleya wanangu kifirika tena wamezaliwa USA

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5iАй бұрын

    MashaAllaah wa Alhamdulillaah kijana yuko vizuri sana na mshukuru wazazi wake kanyoka sana kwenye maadili yake

  • @SawayaNm
    @SawayaNmАй бұрын

    This is what I insisted all the time ukiwa wa raia wa Nchi zilizo endelea benefits are abundantly! This young man solidified my claim. After I acquired citizenship, benefits are ridiculous! All my kids born within and outside the country! They Acquired their citizenship at birth! Parental citizenship transferred to child automatically! People Google what benefits to be UK or US citizen! Stop hating the truth! 😂😊😂

  • @swedihaji5383
    @swedihaji5383Ай бұрын

    Upo vizuri kijana mungu hatakuongoza

  • @DM.2200
    @DM.2200Ай бұрын

    Shena naomba kujua ile stori ya shendwa inaendelea lin?

  • @faridapatel7584
    @faridapatel7584Ай бұрын

    Nimekupenda wewe mtoto uko mweupe kwa ukweli hongera

  • @rahmajaffar7007
    @rahmajaffar7007Ай бұрын

    He was raised well hongera kwa wazee wake

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623Ай бұрын

    🤔Kuchapa Ulaya Waafrika, Wahindi, Warabu na makundi mengine huadhibu watoto wao ni kinyume lakini na taratibu za Ulaya. Ole wako mtoto akushtaki utakiona cha moto bora ufanye kisirisiri. Yapo yanatokea wengine hufanikiwa na wengine huripotiwa na kuingia matatani

  • @user-fw6fb6zp9v
    @user-fw6fb6zp9vАй бұрын

    Hongera 🎉🎉 kwa wazazi kwa malezi mazuri

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793Ай бұрын

    Wazazi hawajakosea walichokifanyaaa

  • @simaisalim108
    @simaisalim108Ай бұрын

    Nimempenda anaongea kiakili❤

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944Ай бұрын

    Nimempenda kijana kaongea vizuri sana,na Kiswahili kuzuri

  • @user-jl9gi6fm4d
    @user-jl9gi6fm4dАй бұрын

    Yaani yuko vizuri

  • @hajimchomvu7878
    @hajimchomvu7878Ай бұрын

    Chotara , mashaallah una hekma Sana Allah akulinde

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017Ай бұрын

    Hongera Lion King kwa wazazi wako maana wana malezi mazuri na waliona mbali kwa kweli.kuna watz wapo ughaibuni watoto wao wameharibikiwa hadi ruhuma.kwa ajili ya makuzi na malezi ya ughaibuni yanachangia watoto kuharika kwa ajili ya uhuru na haki za watoto.

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887Ай бұрын

    Hizo sehemu alizotaja waswahili kibao tena wahuko wenzetu wenye marashi ya karafuu kuna sehemu kama michenzani

  • @harounramadhan9771
    @harounramadhan9771Ай бұрын

    Shena nafarijiaka sana Nikiwa kuwait Uyu brother Katiyawanao takiwa kurudi tena pls Nimeipenda sana hii Ushauri hakunauwekano akiwa inaganda ukawa unaona Kabla sisi kukuambia Tutashukuru sana kama utalifanyia kazihili asante

  • @rahabbrayson6552
    @rahabbrayson6552Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @atuamohamed9664
    @atuamohamed9664Ай бұрын

    Mashallah umepata malezi ya imani ongeza zaidi

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292Ай бұрын

    Safi sana maamuzi ya wazazi wako ni mazuri watoto wangu wamezaliwa na kukulia hapa 🇿🇦 31:49 31:54 31:56 31:57 31:57 31:57

  • @aminasoud7797
    @aminasoud7797Ай бұрын

    Hongera sana lion king umeongea point

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371Ай бұрын

    Cost benefit analysis

  • @abdulyibrahim2125
    @abdulyibrahim2125Ай бұрын

    Kijana kaongea vzur na kasema kweli ya kweli

  • @jaberrabora4757
    @jaberrabora4757Ай бұрын

    ❤❤❤

  • @hamidmohamed7727
    @hamidmohamed7727Ай бұрын

    Ndara si summer sasa winter utavaa ndara nnje vipi

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895Ай бұрын

    Kwangu mimi naona wazazi wamefanya jambo sahihi kumrudisha nyumbani kujifunza vya kwao

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154Ай бұрын

    Mtoto kaiva sana kwenye maadili wallah ya kitanzania yaaan unakula Kisha unaweza vizul muhudu aje kuchukua pili hapo kuweka nguo kwenye yale masaduku wewe unafikilia Tanzania Kuna watu wenye uitaji wa izo nguo unasafilisha kuwapatia hongeren sana wazazi wa huyu kijana haa 😅mtoto unamjua mbka fredy mvunja bei 😂

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814Ай бұрын

    Dada shena kama itakupendeza rudishie ile sorry ya yule mama anaeishi German Alifungwa jella Giris( gurus) pia akaibiwa pass na mwenyeji wake. NI history's ya kusikitisha sana pia kunachakujifunza apo jinsi ya kuishi na wa TZ , NI watu wasio jali hataukifa don't care mradi atimize ubaya wake

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    kzread.infomK3JtLHUyvg?si=TP1TIIs1fj2y-Dtt

  • @moxamedabdillahi3822
    @moxamedabdillahi3822Ай бұрын

    King lion umesema vizuri kwenye matibabu kuwa africa ukiumwa unatibiwa hapo hapo pia na hapa ukiwa waumwa unaenda emergency na kutibiwa baada ya kukamilika vipimo vyote na vyote unafanyiwa kwa siku moja

  • @esterMahenge
    @esterMahengeАй бұрын

    Mtoto mdogo akili kubwa god boy👏

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4ghАй бұрын

    QEEN kafa 2022 sep mimi nilikuwa Afrika narudi U.K

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676Ай бұрын

    Tanzania uwe na rangi nyeupe tu hupewi kazi ya jeshi

  • @estherkibui2371
    @estherkibui2371Ай бұрын

    Habari coach tupe sorry yako pia wewe.How you met your perner ❤

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    Angalia chini ndio video ya kwanza kabisa kujihoji

  • @hedayamohammed2781
    @hedayamohammed2781Ай бұрын

    Hili la hospital kubwa kuwa Muhimbili limenigusa sana.nilipoteza mtoto wangu kwa shida ndogo sana tulikuwa mkoani tuakapewa rufaa ya kwenda Muhimbili.Siku 3 tangia azaliwe ndo tumefika Muhimbili siku ya 6 ndo anapata opereshen akakutwa na shida nyingi zilizosababishwa na kuchelewa kupata huduma alifariki akiwa na miezi 2 hapohapo Muhimbili.Wakati huo kuna watoto walozaliwa Dar kwa shida hiyohiyo wamepata huduma mapema walipona

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    Pole sana, Mungu azidi kukutia nguvu. Sekta ya afya ni mtihani sana.

  • @hedayamohammed2781

    @hedayamohammed2781

    Ай бұрын

    @@OfficialDatingAssistance Amiiiiiini

  • @RealtorZanzibar
    @RealtorZanzibarАй бұрын

    Kwenye hospital Yuko sawa Kuna kuna mtu alitoka ulaya kutibiwa bongo

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256Ай бұрын

    Watoto wa Ulaya wako proud na fashion ila wa kibongo tuna big dreams 🙂(jokes) Kampuni,majengo,business alafu wao familia zao ni kujitegemea hamna chakuwaza anko wala aunt Sisi tunatafuta lakini unawaza kundi la nyuma yako kwamba utawasaidia vp

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815Ай бұрын

    Dogo nimemuelewa kinouma

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924Ай бұрын

    Shena kwani hana account insta jamani

  • @mohammedkidody5618

    @mohammedkidody5618

    Ай бұрын

    Ni maleek lion king

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641Ай бұрын

    Kwahiyo wewe , ulipelekwa nyumbani sababu ulikuwa mkorofi ili ukawe na utulivu 😅😅😅

  • @davisminja3742
    @davisminja3742Ай бұрын

    Shena.......please do something

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    About what kaka ?

  • @flavianakanga4726
    @flavianakanga4726Ай бұрын

    African parents waaa only the eye will tell

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    The eye 👁️ tells all 😁

  • @nasibujuwe3038

    @nasibujuwe3038

    Ай бұрын

    Wow shena..leo nimeipanda sana show yako..nimeangalia show zako nyingi...mimi naishi Canada kwa miaka mingi sana ni watoto wangu nimewaza hapa Canada laki nichoshukuru kila mwaka watoto wangu wanakwenda bongo kila mwaka uyu kijana nimempenda bule vijana wangu ni wazawa wa hapa Canada na kila summer wanapenda kwenda nyumbani bongo na Wana ulimli kama wa uyu kijana alivyokwenda nyumbani kwenye miaka 14

  • @nasibujuwe3038

    @nasibujuwe3038

    Ай бұрын

    Wazazi nawapa ongela sana kwa kumpa maadili uyu kijana wetu mashahalla nimempenda bule amepata malezi mazuri in western countries like me I live here na watoto wangu najuwa kweri anachosema

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470Ай бұрын

    Wanaume wa bomgo Mtu ana miaka 30 anakaa kwa Baba 😂😂 akiambiwa kuoa anataka Mke alelewe na Wazazi wake!!!

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618Ай бұрын

    Hi guys,ningependa kuwajuulisha kuwa mm ni kaka yake tunaishi wote huku uk😊

  • @user-ui4oh8gf8n

    @user-ui4oh8gf8n

    Ай бұрын

    MashaaAllah. VIPI NAWE JUU YA DESPIRIN?

  • @judithlugongo8804
    @judithlugongo8804Ай бұрын

    Kijana yuko sahihi Ana maadili mema hongera kwa wazazi pia

  • @ninanombo2784

    @ninanombo2784

    Ай бұрын

    Uko vizuri sana kijana Mungu azidi kukutunza.endelea kuwasikiliza wazazi wako na utafika mbali sana.

Келесі