SHUHUDIA DRONE CAMERA ILIVYO NASA MAMBO KWENYE MSIBA WA SHEIKH NYUNDO

usisahau ku like,comment,share na ku subscribe youtube channal yetu alfatah tv online, kwa maelezo zaidi piga simu +255 777 858490
#ALMARHUMSHEIKHNYUNDO
#ZANZIBAR

Пікірлер: 505

  • @NassorMohd-lp1dp
    @NassorMohd-lp1dp4 ай бұрын

    Ni miaka mine sasa Tangu Ututangulie ALLAH AKUJALIE KILA JEMA AKHERA ULIKO.

  • @halimaothmann2352
    @halimaothmann23524 жыл бұрын

    SubhanaAllah. Kifo cha shekhe wetu NYUNDO kila muislam akiona mazishi yk machozi yanamtoka Allah tupe hatma njema wajawako Aamin😭😭😭

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын

    Hata tulioko qatar tuna huzuni kompoteza kipenzi chetu shehe wetu Lakin mauti ni mlango kila mtu lazima atauingia yarabi mfanyie wepesi maisha yake ya kibri inshaallah mueke nuru katika kaburini mwake inshaallah wape subra family yake wakati huu wa huzuni inshaallah Pole.sana

  • @husseinmrisho6121

    @husseinmrisho6121

    4 жыл бұрын

    Inalilahi wainailaih rajighun alla amlipe janat firdaus allahuma amin.

  • @abdulmalikshariff9867

    @abdulmalikshariff9867

    4 жыл бұрын

    fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin Ameen

  • @hassanmirambo564

    @hassanmirambo564

    4 жыл бұрын

    fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin Dua nzuri ila rekebisha hapo ulipo andika kibri badala ya KABURI ili na mimi ni like

  • @abdulrahmanrajab4369

    @abdulrahmanrajab4369

    4 жыл бұрын

    Amn

  • @machintangachibwena5922

    @machintangachibwena5922

    4 жыл бұрын

    Mie nipo Germany pia ninahuzuni sana innalilah wainna ilaih rajuun

  • @rossamengo7211
    @rossamengo72114 жыл бұрын

    ALLAH amrehemu na amuangazie nuru kaburini kwake,awape subra familia na waislam wote duniani na tunamuomba ALLAH atujalie mwisho mwema waislam wote Amiin IN SHA ALLAH

  • @mussachuo3910

    @mussachuo3910

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @abdallahdullah8362

    @abdallahdullah8362

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @hilalkhamiss793

    @hilalkhamiss793

    4 жыл бұрын

    Mungu amlaze pahalipema ameena

  • @hawasaleh504

    @hawasaleh504

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @ummymohd1194

    @ummymohd1194

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid39184 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭 Hakika sio znz tu au tz hata ss tulio. Nnje ya Zanzibar nyoyo zetu zime jawa na simanzi Allah amrithie sheikh nyundo. Alifanya juhudi kubwa za kheirat. Aliwafunza wanawake wengi na ss vijana. Allah amjalie awe kwenye furaha sasahiv Allah atujalie na ss atupe wisho mwema. Tangulia sheikh nyundo nenda nasi tupo nyuma yako.😭😭😭😭 Bado tulitaman uwepo wako ila Allah ame kuhitaji. Hakika ni pigo kwa wenye Iman. Ewe mola wetu tuna kuomba uwalee mayatima alio waacha warahisishie riski zao. Wajalie wawe warithi wa elim njema.aaammin. Ewe mola wape subra wajane alio waacha warahisishie riski zao ya Allah.

  • @maryammct3967

    @maryammct3967

    4 жыл бұрын

    Amen😭😭😭😭😢😢

  • @oumshoaib8714

    @oumshoaib8714

    4 жыл бұрын

    Amen Amen Amen🙏 🇱🇺

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    4 жыл бұрын

    Allahumma Aamiin,

  • @gharibsheikh3632

    @gharibsheikh3632

    4 жыл бұрын

    Aaamin

  • @mwajumaabeidy8137

    @mwajumaabeidy8137

    4 жыл бұрын

    Amiin Yaarab

  • @faqrudiinmedia8539
    @faqrudiinmedia85394 жыл бұрын

    Amiin yarabii amuweke janatul firdos shikh nyundo

  • @Amneamne-qi2du

    @Amneamne-qi2du

    4 жыл бұрын

    Sio znz hata sisi tulio kuwepo Dubai tuna huzuni sana kwa kuondo kewa na Shekh wetu kipenzi cha Waislam Nyundo Allah ampe kauli thabit

  • @FatimaFatima-bx8ez

    @FatimaFatima-bx8ez

    4 ай бұрын

    Amin amin amin 🙏 🙏 mungu am weekend Mahalia permanently peponi 🙏 🙌 ishaallah 😢😢

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow4 жыл бұрын

    Ya Allah mwingi wa huruma mpe nuur katika makazi yake mapya nasi utupe mwisho mwema Ammin wallahi tumehuzunika japo tupo mbali nyoyo zinavuja machozi yahuzni

  • @ahmadmadhi8147

    @ahmadmadhi8147

    4 жыл бұрын

    Inna lillaah wa inna ilaihi rajiuun. Allah amghufurie na amjaalie amani na Nuru katika kaburi lke mwisho ampe kitabu chake kw mkono wa kulia. Na sisi atupe mwisho mwema Amiin

  • @PaziTuktuk

    @PaziTuktuk

    4 жыл бұрын

    Sheikh nyundo allahummaghfirlahu warhamhu waskanhu fil jannah🙏mi mkenya lakini nsuguyenu kwa dini 😭😭😭

  • @zubedaiwata5792
    @zubedaiwata57924 жыл бұрын

    Inalillah wainaillah rajiuun,,,yaaAllah muepushe mbali na adhabukali ya kaburi aamiyn

  • @sulezanzibar7505
    @sulezanzibar75054 жыл бұрын

    From #Moscow Russia 🇷🇺😭😭 kwaniaba Ya Wazanzibar wote hpa #Moscow tunatoa pole kwa wana family wote,Allah sw amsamehe makosa yake Amiini,daima Tutakukumbuka 😭😭🇷🇺🇹🇿

  • @husseinjamaldin1213

    @husseinjamaldin1213

    3 ай бұрын

    All the way from Rostov

  • @mwadawasaidi3752
    @mwadawasaidi37524 жыл бұрын

    Nipo USA 🇺🇸 kiukweli nimeumia sana kwa kuondokewa na Shekh wetu kipenzi nilikuwa nikimfatilia kila anapo fundisha ila kazi ya Allah haina makosa tutamkuta uko inshaallah Pmzika kwa amani baba yetu kipenzi cha watu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @janerouhassanjanerou7933

    @janerouhassanjanerou7933

    Жыл бұрын

    Mwadawa

  • @user-tb8vf2qy8l

    @user-tb8vf2qy8l

    4 ай бұрын

    Aslm alykm

  • @nassorhamad5225
    @nassorhamad52254 жыл бұрын

    Allah mpoee sheikh nyundo kwa wema msamehe dhambi zake na uweke pahali pema peponi uliko waweka maswahaba wema am in a rabbi amin

  • @felixsunga7059
    @felixsunga7059Ай бұрын

    Rip sheikh nyudo am a Christian bt really enjoy and follow the teachings of sheikh nyundo

  • @Fahari_Media__
    @Fahari_Media__4 жыл бұрын

    Namuomba ALLAH amjaalie sheikh wetu pepo ya firdaws na amuondolee adhabu ya kaburi na atupe pia mwisho mwema sisi sote Amiin

  • @mwajumaabeidy8137

    @mwajumaabeidy8137

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @medysaid1613
    @medysaid16134 жыл бұрын

    Hakika waislam tumeondokewa ni mtu muhimu kwetu zaid wazanzibar Allah amsamehe madhambi yake sheikh nyundo aifanye nyepesi safari yake

  • @rossamengo7211

    @rossamengo7211

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @sandrineakingeneye5162

    @sandrineakingeneye5162

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @fatmasaid3279

    @fatmasaid3279

    4 жыл бұрын

    Ameen Ya Rabby 🙏

  • @nasrakapama3670

    @nasrakapama3670

    4 жыл бұрын

    Amini

  • @maryammct3967

    @maryammct3967

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @tumatuma6478
    @tumatuma64784 жыл бұрын

    yaani mwanangu miaka 6 namuuliza unamjua ananambia namjua yule anatoa mawaida kisha anachekesha namuonesha picha ananambia huyu namjua yaani mpk hivi aaubuh hajaamini km kafa mana kaniuliza maswali kuhusu mtu akifa sahv ananambia yule kafa kweli au watu wanasema tu kwahio hatumuoni tena akisema subhana llah mtto hakuamin km huyu mtu hayupo

  • @saymarsaymar4654

    @saymarsaymar4654

    4 жыл бұрын

    Wallahi. Sheikh ametusaidia

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62024 жыл бұрын

    Innalillah wainnailayhi raajiuun Allah amsamehe amakosa yake ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia amin nasi atupe mwisho mwema amin.

  • @fatmasaid3279

    @fatmasaid3279

    4 жыл бұрын

    Ameen Ya Rabby 🙏

  • @oyay2821

    @oyay2821

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @wemakalamu3538

    @wemakalamu3538

    4 жыл бұрын

    Aammeen yarrab allahumma ammeen 🤲🤲🤲🤲

  • @shuuufadhil1349

    @shuuufadhil1349

    4 жыл бұрын

    Ameeen

  • @rehemahamisi9971

    @rehemahamisi9971

    4 жыл бұрын

    amina ishaa llah

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani43764 жыл бұрын

    Inna Lillah Wa Inna Illayh Raj'uun! Allah Akupe kauli thabit wewe,wazazi wetu na umma wote wa Mtume wetu kipenzi,Muhammad (S.A.W).Amiin! Hard way,but the only way.😥

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis9974 жыл бұрын

    Allah amuepushe na Adhabu za kaburi, Allah awazawadiye subrah kubwa jamii yake yote

  • @zainabmkomwa2064
    @zainabmkomwa20644 жыл бұрын

    Innalillah Wainnailayhi Rajiun 😭😭😭nyoyo zimejaa huzuni macho yamejaa majonzi Ya Rabb mpokee mjaa wako ya Allah tujaalie n sisi tuliobaki mwisho mwema ya Rabb

  • @abuuzahbeka7062

    @abuuzahbeka7062

    4 жыл бұрын

    Aamin Yaarabb aamin

  • @shuuufadhil1349

    @shuuufadhil1349

    4 жыл бұрын

    Ameeen

  • @sharifamohammad7776
    @sharifamohammad77764 жыл бұрын

    Allah amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa na amghufurie madhambi yake amuepushe na adhabu ya kaburi na akubali amali njema zake....Ameen

  • @hanifasilima4816
    @hanifasilima48164 жыл бұрын

    Allah amrehemu shekha wetu kipenz ampe qauli thabit atujalie mwisho mwema na SISI ishallah

  • @rehemasalimini5466
    @rehemasalimini54664 жыл бұрын

    Allah amrehemu shekh Nyundo ampe kauli thabiti amlaze mahali pema peponi kwa mawaidha yake yalitugusa sana ndani ya mioyo yetu kweli ametuachia darsa kubwa sana Allah amuangazie nuru katika kabri lake Aamiin

  • @TSUMAKATANA-dj2cj
    @TSUMAKATANA-dj2cj3 ай бұрын

    ALLAH ailaze roho yko palipoa nawema peponi inalillah wainallileh rajiun 😭😭😭😭

  • @aligedi2869
    @aligedi28694 жыл бұрын

    Tukiwa ujerumani ni huzuni kumpoteza sheikh, but ni kazi ya Allah haina makosa, Allah amfanyie wepesi huko, ya rab.

  • @NKOLAJUMANNE
    @NKOLAJUMANNE4 ай бұрын

    Mlezi wa viumbe U pamoja nawew wema ulio fanya utalipwa aamin aamin,, nakupenda sana shekh wang

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y4 жыл бұрын

    Allah amrehemu nasi tuwe na mwisho mwema

  • @hanshamis8525

    @hanshamis8525

    4 жыл бұрын

    Innalilah wa inna ilaih raajiuun

  • @ibrahimmnene1826

    @ibrahimmnene1826

    4 жыл бұрын

    Jamani kafalinitrna

  • @hassankatram5697
    @hassankatram56974 жыл бұрын

    Allah amjalie pepo na amfutie madhambi yake na pia sisi Allah atusameh na atupe mwisho mwema insha Allah....

  • @mrsramadhani2400
    @mrsramadhani24004 жыл бұрын

    Allah.ampe.makazi Mazuri.katika.moja Yabustani.peponi Amin

  • @nusurashaban955
    @nusurashaban9554 жыл бұрын

    Sheikh nilikuwaa nakupenda kwel kwel

  • @zillarajab7873

    @zillarajab7873

    4 жыл бұрын

    Machozi yamenitika, mungu aiweke nuru katika kabri lake. Na sie atujaalie mwisho mwema Ameen ya Allah🙏🏿

  • @nusurashaban955

    @nusurashaban955

    4 жыл бұрын

    @@zillarajab7873 Amiin

  • @abdulmtitu7478
    @abdulmtitu74784 жыл бұрын

    Mashaallah!!amesema mtume(s.a.w) ukitaka kujua wewe n mtu wa peponi au wa motoni,,tazama watu watasema nini baada ya kifo chako"mashallah sheikh wengi tunakusema kwa mazuri,na tunakudhania ni mwema inshaallah

  • @zahraabdi8772
    @zahraabdi87724 жыл бұрын

    Wallahi nihuzni kubwa kuondokewa na shekhe wetu...Allah amrahamu...kutoka Kenya

  • @hajjatbintkhamis8913
    @hajjatbintkhamis89134 жыл бұрын

    "INNA LILLAHY WAINNA ILAYHI RAAJIOUN" Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake Allah hakika tutarejea......waliofikwa na msiba tunawapa pole na Allah awape subra waqti huu wa huzuni,,,,mbele yetu nyuma yake

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz59824 жыл бұрын

    Allah msamehe mjawako na mpke na apokee kitabu chake katika mkono wa kulia.hakika binadam si kitu sijui twarongia nini

  • @fatmamdidi8108
    @fatmamdidi81084 жыл бұрын

    Allah amsamehe na amrehemu shkh wetu. Na ajaalie kaburi lake liwe katika viwanja vya pepo na si katika mashimo ya moto.

  • @salummussa7364

    @salummussa7364

    4 жыл бұрын

    Allah ampe kauli thabiti sheikh nyundo

  • @bittybitty2712
    @bittybitty27124 жыл бұрын

    Allah amrehem ampe kauli tabiti 🤲

  • @hamisihamisi5078
    @hamisihamisi50784 жыл бұрын

    Inna liLlahi wa inna ilaihi rajiuun.Allah amsamehe makosa yake sheikh wetu na amueke mahali pema peponi inshaAllah.

  • @harunahamis
    @harunahamis4 жыл бұрын

    Innalillah wainnalillah rajun twakuomba yarab tupe mwisho uliokua mwema

  • @nassermohamed1985

    @nassermohamed1985

    4 жыл бұрын

    Yarabi muhifadhi mja wako

  • @fettyameir4514
    @fettyameir45144 жыл бұрын

    Hakika kila nafsi itaonja mauti , Allah tujalie khusnul khatma 🤲 naye umpe kauli thabit Yarabbiy 🤲🤲

  • @fatmasaid3279

    @fatmasaid3279

    4 жыл бұрын

    Ameen Ya Rabby 🙏

  • @jumasimai1293

    @jumasimai1293

    4 жыл бұрын

    Mungu tupe subra

  • @abdulramanhemed3749
    @abdulramanhemed37494 жыл бұрын

    Allah amrahamu shekh wetu... sio msiba wa zazibar ni waislam wote kwa jumla ameacha mengi kwa mama zetu dada zetu yani sote kwa jumla

  • @calicabqaricalicabqari6598
    @calicabqaricalicabqari65984 жыл бұрын

    INNALILAHI WA INNA ILAYHI RAJICUUN SHEEKH NYUNDO FROM SOMALIA

  • @sylvestermlalo3944

    @sylvestermlalo3944

    4 жыл бұрын

    Allah amsamehe madhambi yake inshaallah

  • @sylvestermlalo3944

    @sylvestermlalo3944

    4 жыл бұрын

    Njia ni moja sisi sote tutaipita

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63084 жыл бұрын

    Allah AILAZE roho yake pahali pema peponi

  • @mayahhajih2636

    @mayahhajih2636

    4 жыл бұрын

    Allahahumah Amiiiiiin inshaaallah

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed8364 жыл бұрын

    umma ulikupenda na hiyo ndiyo neema ya allah unapo fanya kazi yake nasisi atujalie mwisho mwema

  • @abdubboru860
    @abdubboru8604 жыл бұрын

    May Allah grant him Jannatul Firthaws

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60804 жыл бұрын

    Innalilahi wailehiraju,un Allah amueke mahala pema peponi ameen yarabby

  • @fatmarefai9209
    @fatmarefai92094 жыл бұрын

    Poleni sana familia ya sheikh wetu Nyundo.Mungu awape wepesi kwa huu mda mgumu.

  • @saumuabdi1802
    @saumuabdi18024 жыл бұрын

    🙆‍♀️sina lakusema kazi ya mungu haina makosa pamoja tuseme Alhamndulillah

  • @hcgghfgg6679
    @hcgghfgg66794 жыл бұрын

    نسأل الله ان يرحمه و يتقبله في جنات النعيم. كم أسعد كثير من المسلمين بخطبه القوية و المعبرة . عاش في خدمة الإسلام والمسلمين. يعظم الله عزائكم و يصبر أهله و ذويه في هذا الفقد الكبير . تحياتي عبدالله من سلطنة عُمان

  • @safiamohamud1222
    @safiamohamud12224 жыл бұрын

    Innlillah wa innalillayn rajuuni Amsamehe makosa yake ampe Kitabu cheka kwa mkono wa kulia Jannahtul fardwos Amiiiiiiiiiiiiiiin Yaa Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲 Inshallah Polani sana Brother’s and sisters ZANZIBAR ❤️we ❤️✊F 🇸🇴live in 🇺🇸😢😢😢😢😢😢I crying with 😢you 🙏🏻😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @aminaothman6841

    @aminaothman6841

    4 жыл бұрын

    Asant safia allah atujaalie subra kwa sot inshallah

  • @nasorokobba3774

    @nasorokobba3774

    4 жыл бұрын

    Sheikh nyundo umekwenda mwamba ,,mola amekuita umeitikia wito Wa mola wako,,umepita kila maeneo kumtangaza mola mmoja ,,watu waache ushirikina ,,,wamuabudu mola mmoja ,,upita kuwaambia watu nini mola anataka ,,watu waache zinaa,,muda wako umekwisha Wendi wako umemaliza na muda umeisha ,,umeenda Kwa mola wako ,,kazi ya mola aina makosa ,,Allah akusameha akukilim pepo

  • @hamadimuya7248
    @hamadimuya72484 жыл бұрын

    Ina lilallahi waina ilayhi raajioub.May Allah subhanahu wata'ala grant him jannah for the work he has done and may allah have mercy on his soul in sha Allah.

  • @rashidally1211
    @rashidally12114 жыл бұрын

    Yaarabbih ampokee sheikh wetu al maruuhm nyundo

  • @fatmakhamis7876
    @fatmakhamis78764 жыл бұрын

    Kila nafsi itaonja umauti ila niseme alhamdulilah nineema kubwa mtu kuondoka akataja kwa mema yake tujitahidi tutafute razi za Allah ina lilah wainna ilaihi raajiuun

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu12004 жыл бұрын

    Allah amlaze pema peponi aameen yarabbi

  • @anniyahfacebeat8937
    @anniyahfacebeat89374 жыл бұрын

    allah amrehem, amfanyie wepec kwa safar yake hii. mungu ampe noor kwny kabri lake, ampe pepo kwa rehma zake, afanye kabri lake liwe ni miongon mwa vyumba vya pepo. AMIIN

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim2 ай бұрын

    Mja mwema huyu mashallah..Mufti kasalisha..

  • @hawaashaban8008
    @hawaashaban80084 жыл бұрын

    Allah msamehe skekhe wetu japo inatuuma San yaa Allah mpe Nuru kweny kaburi lake mpe pepo kwa rehema zako yaa rabbi na sis type mwisho mwema mola wetu tuhurumie😭😭😭😭😭😭

  • @shuuufadhil1349

    @shuuufadhil1349

    4 жыл бұрын

    Ameeen

  • @husseinidris2879
    @husseinidris28794 жыл бұрын

    Ma sha allah.... Allah amlaze pema sheikh wetu

  • @imond583
    @imond5833 ай бұрын

    kiukweli 😢hatutokuona tn hakuna shekh nilokupenda km ww nyundo mungu akujaalie safari njema ww pa1 na wazee we2 dah ujue niliposkia ckuamini km kwl umeondoka hakika kwl chema hakidumu dah

  • @fatummsagat5177
    @fatummsagat51774 жыл бұрын

    Napenda sn mawaidha yake, Allah ampe kauli thabit

  • @saudaomary9363
    @saudaomary93634 жыл бұрын

    Poleni sana ndugu jamaa na marafiki mungu msamehe mazambi yake

  • @mrbnaid5447
    @mrbnaid54474 жыл бұрын

    Mola karima ailaze roho yake mahali pema Amiin😭🙏

  • @millionairejeffreysunofbez3766
    @millionairejeffreysunofbez37664 жыл бұрын

    R.I.P , shekhe Nyundo, nikimkubali sana kwa elimu yake ya kidunia

  • @rizikigharib6391
    @rizikigharib63914 жыл бұрын

    inallillah lillah wainailayh rajiuun Allah msimamie ktk heri zake alizozifanya ktk dunia na umlipe ktk pepo ya firdaus na ss utujaalia mwisho mwema na wenye kutubia dhambi zetu na utukinge na balaa lililotuingilia la corona ss tupo ktk njia yako ya Allah

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein26354 жыл бұрын

    Inalillahi wainna ilaihi rajiuun,hakika Sheikh Nyundo alikuwa haogopi kukaumiwa kwa hali yoyote ili kuwazindua walio kuwa wamepotea na kumuasi ALLAH.Kiufupi mie sikuona uso kwa uso lkn kupitia simu yamkono,nimejifunza mambo kadha wa kadha juu ya dini yetu ya kiisilamu.ALLAH amjalie pazuri insha Allah🤲🤲🇰🇪

  • @suleimantora3131
    @suleimantora31314 жыл бұрын

    Shekhe msema kweli katika mambo ya kijamii Allah akulaze pema palipo na wema tutakukumbuka kwa ukweli wako sababu hakuna mashekhe wa kuyaongelea mambo ya jamii kwa kuona haya. Inna lillahi wa Inna ileyhi rajoun Poleni sana ndugu zetu Tanzania

  • @saidmswahili8793
    @saidmswahili87934 жыл бұрын

    Dawa mpaka kiamaaaa, Allah amlinde, amsameh na amuepushe na fitna za masihi ddajjaal yeye pamoja nasisi aamin aamin aamin

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed33904 жыл бұрын

    Mungu amlaze pema peponi Amin Yaarabi Njia yetu soote yeye katangulia nasi tupo nyuma yake kila mmoja kwa wakati wake Alhamdulillah

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull12654 жыл бұрын

    Hili kubwa has maan dah' sina la kusema kwa kweli .... mwenyez mungu amfungulie milango ya pepo .....sheikh wetu ya rabbi...

  • @medi222alrajhi9
    @medi222alrajhi92 жыл бұрын

    twamkumbuka mpaka leo shekh nyundo mungu amuweke mahala pema na wote walotangulia

  • @sheikhasalim1190
    @sheikhasalim11904 жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah amsameh makosa yake na awape subra wafiwa. Kwa kweli tumeondokewa

  • @miangijunior4358
    @miangijunior43584 жыл бұрын

    Innalillahi wa Inailaihi ra jiun Mimi binafsi katika masehe niliotokea kuwakubari na kuwapenda ile ukweli wa kuwapenda kwa Ajili ya Allah number Moja ni marehemu sheikh Hussein Hassan nyundo. Kiukweli nimehudhunishwa sn na ninaeumia na naendelea kuumia juu ya kifo Cha sheikh Hussein Hassan nyundo Ila Sina budi kukubariana na Allah Alipotuambia kuwa kila nafsi itaonja umauti. Namuomea kwa Allah Amrizie mjawake huyo na Kaburi lake liwe viwanja miongoni mwa viwanja vya Peponi Allahmma Amiin".

  • @sharifaallan2386
    @sharifaallan23864 жыл бұрын

    Allah akulaze pema peponi baba yetu

  • @abuubakarhaji3244
    @abuubakarhaji32444 жыл бұрын

    Allah msamehe shekh nyundo na ampe makaazi MEMA peponi Amin

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga40274 жыл бұрын

    Mbele yetu nyuma yako Shekhe Nyundo, mm ni Mkiristo ila huwa napenda sana mawaidha yako.

  • @juliusmwinga4051

    @juliusmwinga4051

    4 жыл бұрын

    Hata mimi #Ni yake mbele yetu nyuma

  • @juliusmwinga4051

    @juliusmwinga4051

    4 жыл бұрын

    Sio mbele yetu nyuma yake

  • @ktravel3527

    @ktravel3527

    4 жыл бұрын

    Mawaidha yake hayakua na upande alikua ana deal sana na kurekebisha vijana ndio maana wafuasi wake wengi ni vijana

  • @juliusmwinga4051

    @juliusmwinga4051

    4 жыл бұрын

    @@ktravel3527 Very True

  • @MOHAMEDMOHAMED-hi4qf

    @MOHAMEDMOHAMED-hi4qf

    4 жыл бұрын

    Natarajia uingie uislamu I.a

  • @ustadhmrishorunigangwe7024
    @ustadhmrishorunigangwe70244 жыл бұрын

    الهم إغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس اللهم آمين إن لله وإن إليه راجعون

  • @muryd6999

    @muryd6999

    4 жыл бұрын

    امين

  • @jamalnamkuna3961

    @jamalnamkuna3961

    4 жыл бұрын

    Aamin

  • @nzalilindi9514
    @nzalilindi95144 жыл бұрын

    Ya Rabby nfanyie wepesi kwenye makazi yske hayo mapya,ameen

  • @feisaliykhamis1325

    @feisaliykhamis1325

    4 жыл бұрын

    Amina mungu ilaze mahala mema peponi

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan31044 жыл бұрын

    Subhanallah subhanallah wallah nashindwa la kusema

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz7034 жыл бұрын

    Allahu maghfirlahum warhamhum waskinhu fil jannah.. Hakika kifo/msiba unapaswa kuwa mawaidha tosha kwetu sote. "Innalillahi Wainnailayhi Rrajioun"

  • @asfarsham9037
    @asfarsham90374 жыл бұрын

    Lailaha illa llah sie tulokuwa wapenzi wake kwa kuangalia video tumeumia vibaya sanaaa ,sijui watu wake wako hali gani. Allah awape subra.ameen

  • @mudiabeid3531
    @mudiabeid35314 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayh rajighun. Allah amlaze pahala pema . Kiukweli msiba umetugusa waislam wote ila ndio mauti ni haki kwetu sote na mauti yanakuja ghafla. Allah atupe khusnu lkhatima.

  • @jumakombo404
    @jumakombo4044 жыл бұрын

    Shekhe wetu nenda salama , Allah sw, Amekupenda zaidi, ila hatuwez kukusahau. Na sc tunakuja huko huko, Allah sw, Akulaze mahali PEMA. Amin.

  • @kassimjuma3869

    @kassimjuma3869

    2 жыл бұрын

    kgslb

  • @saidshuaib7645
    @saidshuaib76454 жыл бұрын

    INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAAJIUUN Mwz mungu amlaze mahali pama insha allah. Mie niko Iraq ila hata watu wamehuzinika sana kwa kifo cha shekh wetu

  • @ediyngoto1811
    @ediyngoto18114 жыл бұрын

    Allah amlipe kheir In sha Allah

  • @nakimanakhadija4329
    @nakimanakhadija43293 ай бұрын

    Innalillah wa innalillah rajiuni 😭 Allah amrehem uko alipo Sheik wetu

  • @ffed1876
    @ffed1876 Жыл бұрын

    Tutazidi kumkumbuka kwa daawa zake zenye mafunzo mazuri na Mola amuweke na waliowema waliotangulia Aamin Inna lillahi wainna ileihi rajiun Mola amswameh yy na sie pamoja.

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma19693 жыл бұрын

    Allahuma ghufrlahu warhamahuu filjannah Allah akusamehe madhambi yako in shaa Allah cc tulikupenda Ila mungu kakupenda zaidi

  • @sifajacky7779
    @sifajacky77793 жыл бұрын

    Inalillah wainailllah rajiun. Tunaomba Allah wetu mtukufu Subhanah wataala amuweke mahala pema peponi Sheikh wetu mpenzi na kipenzi cha Allah, Inshaallah 🙏 kusema kweli hautasahaulika kamwe kwenye nyoy zetu. mawaidah yako yame badilisha wengi ulimwenguni kote. Allah wetu mtukufu Subhanah wataala alifanye kaburi lako kuwa pepo miongoni mwa pepo Inshaallah 🙏

  • @zerotohero8212
    @zerotohero82124 жыл бұрын

    Yaa Allah tup mwisho mwema yaa rabb, hakika moyo moyo una huzunika na kujiuliza VIP nami nitakutana Allah na udhaifu na nakosa nilonayo??😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @thauratmuhamed2218
    @thauratmuhamed22184 жыл бұрын

    Mungu akueke pema pamoja na wema tunahuzun kubwa maskitiko makubwa tunakupenda sana shekh wetu ila mola wetu amekupenda zaid

  • @shtatsalfa1668
    @shtatsalfa16684 жыл бұрын

    Dah!!! Kweli tutarudi kwa Allah kama tulivyo kuja

  • @suleimansaid1570
    @suleimansaid15704 жыл бұрын

    Allah amsameh ampe makazi mema amee.na ww shekh allah aibar kazi yko na atupe mwisho mwema ameen

  • @meryamahmed777
    @meryamahmed7774 жыл бұрын

    ALLA MRRHEMU SHRKHE WETU

  • @wariditambi2077
    @wariditambi20774 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭Mungu akulaze Pema peponi akika mauti ni mlango kila mtu ata upitia mlango uo

  • @user-en2gp3fb7m
    @user-en2gp3fb7m6 ай бұрын

    Daaa wote tutaelekea njia ni moja imeuma sna

  • @mohamedkagoma7066
    @mohamedkagoma70664 жыл бұрын

    Mungu akupe kauri thabiti Shekh wetu mbeleako nyuma yetu Amin

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam151311 ай бұрын

    Apumzike kwa amani. Alikuwa Mwalimu mzuri. Mwanafalsa wa kweli.

  • @aminasalum1954
    @aminasalum19544 жыл бұрын

    INNALILLAH wainna ILLAYH Rajiunah hakika kila nafsi itaonja ummaut ALLAH amjaalie Qaul thabit naakuingize katika pepo yake ya firdaus aliangazie nnur katika Qabur lako uwe nimiongoni mwa wema walotangulia mbele ya khaq hakika umeacha alam ambayo niswadaq Jaaria kwa wanawake wakiislam nawanaume pia ulikua ukisisitiza saan stara nakukataza mabaya hakika kwamwenye kuelewa bs atakua amefaidi mmja wapo mimi ntakukumbuka saan shekhe nyundo,,,Rabbi tujaalie nasisi tulobaki mwisho mwema...Aamiin

  • @sekijajanjatv2047
    @sekijajanjatv20474 жыл бұрын

    Mungu amsamehe mazambi yake amuweke kwenye pepo yajuu shekhe wetu

  • @minahabdallah9710
    @minahabdallah97104 жыл бұрын

    Allah Ampe kauli thabit Shekhe wetu kipenz chetu ,sote njia yetu nimoja .

  • @user-dy7lj5vg3o
    @user-dy7lj5vg3o4 ай бұрын

    Inalilah wa inalilah ranjuni allah akupe pepo yake rhustaz wetuu

  • @Som-Hanoolaato
    @Som-Hanoolaato4 жыл бұрын

    INNA LILLAAH WA INNA ILAYHI RAAJIUUN - LAA ILLAAHA ILLA ALLAH MAHAMMADAN RASUULULLAH - YAA ALLAH MREHEMU YEYE NA WAISLAMU WOTE NA WOTE UTUPE SUBIRA NA AMAANI. YAA RABB TUSAMEHE NA UTUREHEMU KATIKA HII DHUNIA NA AQEERAH KWELI KIFO NI HAKI KABISA. ALLAH (SUBHAANAHU WATA'AALA) AMREHEMU NA AMPE NUURU KATIKA KABURI LAKE NA WAISLAAMU WOTE RAMADAAN MUBAARAK