ANGALIA MWINJILISTI WA KISABATO ALIVYOTAPATA TOKA KWA MWALIMU MAULANA ..WAPI AYA UKRISTO NI DINI??

Пікірлер: 221

  • @michaelmarco8353
    @michaelmarco83533 жыл бұрын

    Mwijilisti, Mungu akubaliki sana piaakulinde.umejibu vena sana. Kristo ni dini.

  • @waltershayo1339

    @waltershayo1339

    2 жыл бұрын

    Nyie ni wapingaji tu lkn kristo sio dini ni aliyepakwa mafuta

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas933 жыл бұрын

    Thakbirrrr shekh maulana hangera nduguyangu hongereni sana

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas933 жыл бұрын

    Wallahi hongereni sana ma shekh wangu Allah awahifadhi sana sana Wallahi nashukuru sana sisi kuwa waislamu ni neema kubwa sana hatuna budi kushukuru kwa neema kubwa hii Alhamdulillah Thumma Alhamdulillah Thumma Alhamdulillah

  • @kimsi682
    @kimsi682 Жыл бұрын

    Hapana, hapana, hapana! Yeye ni mnafiki tena legent...lakini kwa hakili yake haswa nyie nyote. You are all legends in you brains only.kwa akili tu lakini sio kwa ukweli!! Mnauliza kitu mnajua vizuri kabisa hakiko ndani ya biblia directly, lakini cha kweli kabisa kimaandiko, hila hakiko directly.. Just hilarious! Unafiki mtaacha lini?

  • @r.w94
    @r.w942 жыл бұрын

    Assalamualaikum warahmatullahi wabarokatu greetings to one Lord Allah SWT says indeed Allah is great and Allah never exists but before words there is takbir 😊

  • @user-qr7et3vl5z
    @user-qr7et3vl5z3 ай бұрын

    Dah wallah uislamu kweli nimtamu na nimzuli yaani mashallah

  • @shahdujamada578
    @shahdujamada5783 жыл бұрын

    Alhamdu lillah allah awajalie kher

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    This Sheikh MAZINGE is Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, wants you to do. So you too can be SAVED!

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17253 жыл бұрын

    Kwa kweli tuna penda kuangalia na kusikiliza debet, lakini kwa nini mna foka? Zungumzeni kwa taratibu ili tufahamu vizuri

  • @myamwezmyamwez8669
    @myamwezmyamwez86693 жыл бұрын

    Kwahiyo mchungaji kakubali kitabu cha Allah! Takbeer! Kweli Allah hakosei!

  • @shillingihamisi635
    @shillingihamisi6352 жыл бұрын

    Takbir ALLAH AKBAR

  • @mohameddyzubeir2326
    @mohameddyzubeir23263 жыл бұрын

    Wakristo bana wanacheka lkni wanaelewa Dah hawa jamaa wamepotea

  • @epimackoscar25
    @epimackoscar252 жыл бұрын

    Hawa mashekh wanatakiwa wasome haya nzima ya biblia waelewe ilikuwa inalenga nini sio kudakia neno moja na kulitumia kama fimbo na mihemko mingi , kamwe hawataelewa injili ambayo wameelekezwa wawatafute waliopewa hiyo injili ili waelewe ,watoke gizani , Mungu akubaliki muinjilist hakika roho ya Mungu ingali nawe ktk kujibu maswali vizuri

  • @jotafungo4622
    @jotafungo46223 жыл бұрын

    Shukrani sana mwl Maulana Habshi

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26103 жыл бұрын

    Alhamdulillah kwakuwa Mimi uislam

  • @aquilinerichard7226
    @aquilinerichard72263 жыл бұрын

    Nnawasiwasi na hao wanaojiita wa kristo hapo kwny mdahalo uwezo wao wakujib maswal ni mdogo sn alafu unaambiwa ni wainjilisti soma 1wakorintho 3:23 naona kama wanafanya vibwagizo kweli ya dini ni ukristo pekee neema ya wokovu ikiwafikia mtaelewa nnachoandika

  • @marymfugwa847

    @marymfugwa847

    3 жыл бұрын

    Hao ni waislamu wanao jiita wakristo! Hata kiswahili chao tu kinaonyesha siyo wakristo.

  • @jumannekingu526
    @jumannekingu5262 жыл бұрын

    Yesu alikuja kuokoa ulimwengu ,hakuleta dini ,wala mtu haingii mbinguni kwa sababu ya dini.maana zilikuwepo na hazikuwasaidia wanadamu.

  • @abdullyamiry160

    @abdullyamiry160

    2 жыл бұрын

    Ujasoma wewe,,

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Жыл бұрын

    Takbir takbir takbir takbir Allah akbar Allah akbar Allah akbar

  • @raheemarahman1435
    @raheemarahman14353 жыл бұрын

    Maisha yke mkirsto kumsilimisha nipagumu mno walahi subhanallah nishida man anaambiwa atowe aya inayosema ukoristo nidin anababaisha tu aiseee

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas933 жыл бұрын

    Kumbe unamjuwa Allah pia thakbirrrrr

  • @mylifemyhistory3609
    @mylifemyhistory36093 жыл бұрын

    Allah akbar

  • @medardissa6253
    @medardissa62533 жыл бұрын

    Allah anatambua ukristo

  • @amosmoses7800
    @amosmoses78003 жыл бұрын

    Ni viZuLi kuwePo nA miJaDaLa kaMA hii

  • @user-bu9wq4lp3f
    @user-bu9wq4lp3f3 жыл бұрын

    Hajielewi huyo pastor

  • @kimewakamoviesproducts609
    @kimewakamoviesproducts6092 жыл бұрын

    Wakristo juu tuu

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus40403 жыл бұрын

    Hahaha anapata hamu jmn tuiulize hamu yenyewe inasemaje

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi84053 жыл бұрын

    Huyo jamaa wakikristo kashindwa kujibu kabsa. Kaulizwa aya gani ktk bibilia ukristo ni dini sijui kajibu nn yan. Kajibu tofauti kabsa. Ni neema kubwa sana kuwa ktk uislamu

  • @naftalmonda1353
    @naftalmonda13533 жыл бұрын

    ALLAHU AKBAR

  • @waltershayo1339
    @waltershayo13392 жыл бұрын

    Toa Aya yaani ujanja ujanja kwenye dini haukubalili

  • @waltershayo1339
    @waltershayo13392 жыл бұрын

    Hivi shetani katajwa ktk vitabu je ni mzuri to a Aya ukristo ni dini

  • @gerrymimi9387
    @gerrymimi93872 жыл бұрын

    Wakristo wanaamini kuwa hakuna dining impelekayo kwa Mungu isipokuwa amepita kwa Kristo. WEWE NG'ANG'ANA SOMA Yohana 14:6

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus40403 жыл бұрын

    Doctor kaacha swali kataja masanamu

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Mungu haangalii dini bali swala ni majina kuandikwa Mbinguni. Jaza waumini pata maswalu shinda ubishi lakini jina lako liko mbinguni? Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni. Luka 10:20

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Жыл бұрын

    Jisalimishe acha ukafiri ndugu

  • @hassnakhamis3489
    @hassnakhamis34893 жыл бұрын

    Wakirsto wagumu kuelewaaa duh

  • @ashasuleiman2084
    @ashasuleiman20843 жыл бұрын

    Allhamdulillah to be a muslim🙏

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus40403 жыл бұрын

    Hahaha udoctor wakujibu wa kisabato inasemaje

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi28543 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂mchungaj kapata ilham

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18053 жыл бұрын

    Kweli wwe Myahudi wa kiTanzania hauna lolote.Tokazamani ungesilimu,lakini JURI YAKO TUU.MSKINI NYIE WAKRISTO.

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    Ismail usijione mtukufu mbele ya wakristo

  • @harshimissah-wn3cc
    @harshimissah-wn3cc2 ай бұрын

    Mbn umejibu kama mtoto asiefaham

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv26742 жыл бұрын

    Jifunze quran kusoma na kuandika gusa picha yangu hapo

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas933 жыл бұрын

    Msiba huu wakristo Allah awaonyeshe njia yaki kwani mko katika hasara kubwa sana

  • @AliIbrahim-lv5cq

    @AliIbrahim-lv5cq

    3 жыл бұрын

    Ukuphi mwenehu 🤣😂

  • @georgeikinya2779

    @georgeikinya2779

    3 жыл бұрын

    The problem in this world matters religion every body thinks he / she is better than everyone else’s. So laughable Africans trying to out do each other comically on foreign religions.

  • @mamaabaraka393
    @mamaabaraka3933 жыл бұрын

    Mwenzeni nimeelewa swali Ila jbu cjalielewa

  • @saadkobelski8705
    @saadkobelski8705 Жыл бұрын

    Ww jibu swali wapi ukiristo dini

  • @khamismcha9294
    @khamismcha92943 жыл бұрын

    Jib swali wew mbona una garagara tu jibu

  • @waltershayo1339
    @waltershayo13392 жыл бұрын

    Wajibu swali

  • @kisiwaonlinetv
    @kisiwaonlinetv3 жыл бұрын

    NINGEOMBA MTUWEKEE FULL MDAHALO MAANA HIVI VIPANDE VIFUP VINACHANGANYA KUFUATILIA

  • @rahimuomari3280
    @rahimuomari32802 жыл бұрын

    Downloads

  • @sirdioncornel2875
    @sirdioncornel28753 жыл бұрын

    na hakuna msabato anaweza fanya huo ujinga kujadili ujinga wenu

  • @wezhc3013
    @wezhc30133 жыл бұрын

    Hawa wakristo hawajielewi wala hawajui kusoma kitabu vizuri

  • @minahadi2190

    @minahadi2190

    3 жыл бұрын

    Yan jibu hana kaz kuropokatu 😄😄

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka8553 жыл бұрын

    Waislamu sindano imewaingia Allaha anasema Kristo ndio Dini halafu waislamu mwampinga Allah.

  • @asminnassor6832

    @asminnassor6832

    2 жыл бұрын

    Sasa Kama unamwamini Allah kwann usiwe muislam

  • @waltershayo1339
    @waltershayo13392 жыл бұрын

    Toa aya ukristo ni dini

  • @DuliBrillant-mr8er
    @DuliBrillant-mr8er2 ай бұрын

    Lete aya uctuvurugeee wap bible imesema ukristo ni dini ya haki uctuletee mambo ya kiama halaf mbona nyiny wakristo mnapotea

  • @khamishaji9508
    @khamishaji95082 жыл бұрын

    ilham 😂😂😂

  • @katalatechniques534
    @katalatechniques5343 жыл бұрын

    TAQBIIR!!!!!

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant49023 жыл бұрын

    Naona mnafarakana wenyewe

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie35732 жыл бұрын

    Wucristo sio dini , dani ni nafundisho ya watu wa Galatiya 3:16

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie35732 жыл бұрын

    Wasilamu wamekawuka kbsa

  • @waltershayo1339
    @waltershayo13392 жыл бұрын

    Hujajibu swali

  • @josephkiswili1955
    @josephkiswili19553 жыл бұрын

    Waislamu huwa wanaulizaga maswali kinyume ya maandiko wapi katika BIBLIA imeandikwa ukristo ndani ya BIBLIA hakuna neno ukristo lenye lipo ni wakristo.

  • @wezhc3013

    @wezhc3013

    3 жыл бұрын

    Wewe ndio uwaaelewi kwanza nyinyi mumepotea hakuna kitu mtapata duniani wala akhera

  • @simonkaggwanjala9597

    @simonkaggwanjala9597

    3 жыл бұрын

    Kaka Qur'an inasema wazi uislam ndio dini ya haki, sasa apo pastar kasema christo ni wa mungu nyny ni "wa christo" yaani akimaanisha nyny ni wake yeye christo au huelewi kiswahilii haijasema ukiristo ni deni aliokuja nayo yesu.Soma Uislam na ukiristo wako ndio utajia wapi ipo dini ya kwelii

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26103 жыл бұрын

    Yani raha Sana

  • @bensonlangat640

    @bensonlangat640

    3 жыл бұрын

    Kabisa kaka Kanisani kuna raha zaidi.

  • @kutailadifi2854

    @kutailadifi2854

    3 жыл бұрын

    @@bensonlangat640 raha ipi mnashindwa kujibu maswali

  • @bensonlangat640

    @bensonlangat640

    3 жыл бұрын

    @@kutailadifi2854 Lakini Nabii Elyaas alitambua hii maneno mapema.

  • @unclejonah7350
    @unclejonah73503 жыл бұрын

    wasabato waislamu hii mijadala Ina nia ya kujitengezea makundi ama kupeleka watu mbinguni

  • @monalisalebasoto2538
    @monalisalebasoto25383 жыл бұрын

    Kwa uwo mjadala nimeamini ukristo ndo Kila kitu na yesu n Mungu hakika

  • @yakoboyakobo6911

    @yakoboyakobo6911

    3 жыл бұрын

    Poa kaka

  • @hadijahshabani2674

    @hadijahshabani2674

    2 жыл бұрын

    Yesu cyo mung ndug zindukaaaaa

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Жыл бұрын

    Kw andiko lipo toweni andiko ukristo ni dini

  • @sirdioncornel2875
    @sirdioncornel28753 жыл бұрын

    mnapoteza muda nyie hapo hamna kazi za kufanya

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus40403 жыл бұрын

    Sasa kiyama kinakujaje hpo

  • @ashuranurudin1120
    @ashuranurudin1120 Жыл бұрын

    Taqbiiiiiiir

  • @harunaalli3401
    @harunaalli34013 жыл бұрын

    mwenye akili atatambua ukwelu???

  • @aminahassan7698
    @aminahassan76982 жыл бұрын

    Tatizo hawaelewi wakristo

  • @aminahariri2058
    @aminahariri20583 жыл бұрын

    Njooni kwetu Kwani uislam ndio dini ya haq

  • @lizzymbatia1925

    @lizzymbatia1925

    2 жыл бұрын

    Yaaaan hakuna tiketi inayoitwa dini ambayo itamfikisha mwanadamu peponi,Ila je matendo yako yanampendeza Mungu sio dini,tutakuja kuhukumiwa pasipo kujua ,wakati tumeshika dini matendo yakaja tuangusha

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus40403 жыл бұрын

    Yuko wapi Allah hpo ??

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni. Luka 10:20

  • @lizzymbatia1925

    @lizzymbatia1925

    2 жыл бұрын

    Wakristo wote Mungu kakataaa kabisa marumbano yasiyo na roho mtakatifuu,acheni kabisa msifikiri mnatetea Mungu, Mungu hakai kwenye Hilo kusanyiko kabisa tokeni huko njoni mhubiri habari njemaaaaaa ya ufalme WA Mungu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37153 жыл бұрын

    Mbona yupo straight na kaeleweka. .Allah anashusjaje kitabu kwa wakristo na wayahudi halafu hatambui dini zao inaingia akilini kweli? Acheni ushamba. Waislamu wote wanaoshangilia Ni vilaza

  • @alisonso4194

    @alisonso4194

    3 жыл бұрын

    Dhhh ndg yang pole sana endelea tu ivo ivo kuamin kma ukiristo ndy dini ya haki iko siku utakuja kuelewa na itakua umesha chelewa

  • @simonkaggwanjala9597

    @simonkaggwanjala9597

    3 жыл бұрын

    Kaka Allah kawataja hao kama watu wa kitabu (Ahlu al kitab) kwamba wamepotea kwasababu wamebadilisha na kuwakataa mitume walioletewa

  • @husnaaliy6158

    @husnaaliy6158

    3 жыл бұрын

    daaaah chunga cna maneno yko

  • @latifachepa4435

    @latifachepa4435

    2 жыл бұрын

    Chunga sana ulimi wako ndugu yangu

  • @justinesteven1036
    @justinesteven10363 жыл бұрын

    mbona amuoneshi vipande vyote kwann mnakata kata kwa nini mnaficha ukweli bali mnatuonesha vipande vyenu tu.

  • @justinesteven1036

    @justinesteven1036

    3 жыл бұрын

    waislamu siku zote ni watu wa mwilini hawana elimu ya roho.tangu lini mtu ambaye hana roho mtakatifu na ajamkili Bwana Yesu akawa na elimu ya roho ndomaana wanasumbuliwa na majini every day.ni wajuzi wa mdomoni kupotosha watu kwa mambo wasiyoyajua point zao ni za kitoto sana polojo nyingi sana kama madalali wa dini

  • @abdulkareemamry2043

    @abdulkareemamry2043

    3 жыл бұрын

    @@justinesteven1036 Kati ya wakristo na waislam wapi wanaongoza kwa kuondolewa mashetan na mapepo

  • @justinesteven1036

    @justinesteven1036

    3 жыл бұрын

    @@abdulkareemamry2043 :nakuuliza je waislam awajagi kanisani kutolewa mapepo au majini?mbona unaongea kitu ambacho akina logic

  • @justinesteven1036

    @justinesteven1036

    3 жыл бұрын

    @@abdulkareemamry2043 pia nimefurai sana kwa kusema wakristo wanauwezo wakutoa watu majini kuonesha kwamba ukristo ni imani yenye nguvu kuliko nguvu za majini.ufalme mmoja uwezi ukajifitini wenyewe.jina la Yesu lina uwezo na nguvu kubwa sana hata majini yanakimbia yenyewe.

  • @simonkaggwanjala9597

    @simonkaggwanjala9597

    3 жыл бұрын

    @@justinesteven1036 Kaka naomba unieleweshe imani yako adi leo sijawahi kuielewaa. Ivi mungu ni Yashua au Yesu

  • @geraldstanslaus2796
    @geraldstanslaus27963 жыл бұрын

    Acheni ujinga

  • @vivanimajogoo3462
    @vivanimajogoo34622 жыл бұрын

    Majamaa wabishii tyu

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus40403 жыл бұрын

    Let andiko usabato ni dini wewe

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani29833 жыл бұрын

    Kumbe mnamjuwa ALLAH lakini mnajifanyisha kumtaja taja yesu kuwa yeye ndie Mungu nawakati sio kweli 😄😄😄😄

  • @yousupjabri7304

    @yousupjabri7304

    3 жыл бұрын

    Wew huja wajua hawa...wakishondwa mada kwakukosa ushahid ktk kitabu Chao na wakagundua kua ndan ya Quran kuna mahala mungu kawataja ndo hapo wanapo mkubali nakutamka jina lake vzr kwasababu mda huo mtetez wake ni quran.wapuuz sana hawa sasa hapo kakamatika Hana Aya lazima atoe ktk Quran tena sio kwa usahihi ni kwakigeuza maandiko ili kutengeneza anacho kitaka😥😥😥😥 .

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Yote tisa upate wafuasi usipate Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni. Luka 10:20

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37153 жыл бұрын

    Ukristo ni dini wagalatia 3:26-29. Qoran 5:68. Achani ushoga mbugila nyie. 1 wakorintho 3:23

  • @saidimwampombe4976

    @saidimwampombe4976

    3 жыл бұрын

    kaka mbona povu linakutoka yann utukane ju ya mambo ya mungu

  • @ibnismail8831

    @ibnismail8831

    3 жыл бұрын

    Ungelienda kuwasaidia makafiri wenzio naon unapaniki 2

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    Ibn Ismail imeandikwa wapi wakristo ni makafiri

  • @ibnismail8831

    @ibnismail8831

    3 жыл бұрын

    @@kibatofinest8840 pmbn na hy kwnza usiwe mfa maji wwee

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    @@ibnismail8831 so we uko sahihi na wakristo wamepotea?

  • @mwalimameir4305
    @mwalimameir43053 жыл бұрын

    Ilo swali halijibiki milele wache wasisilimu Allah akawachome

  • @rahimaan6481

    @rahimaan6481

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣jibu hakuna hapo

  • @kutailadifi2854

    @kutailadifi2854

    3 жыл бұрын

    😂😂😂yoka nianzage kuskizaga midahalo Sijawah kupatapo hilo jibu

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    Kuelewa kazi za Mungu zingine ni beyond human knowledge

  • @shabanimlisho2163
    @shabanimlisho21633 жыл бұрын

    Kweli wakristo mmepotea

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    Angalia maisha yako na uhusianio wako na Mungu wako kesho kiama sote tutakuwa sawa mbele ya Mungu na tutahukumiwa sawa hakutakuwa na upendeleo

  • @nicholauszephania3000

    @nicholauszephania3000

    3 жыл бұрын

    Ww ndo umepotea tn snaa kutaf dini za watu weupe ususan miarab ambayo haiwatak kabisa watu weus ata kidogo

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa86133 жыл бұрын

    Tatizo ni mmoja wakristo tunaingia kwny mtego wa Dini ukimuhuliza mwislamu Dini ni nini? Kila mtu anajibu la kwake ila jmn ukristo sio Dini ni njia ya kwenda kwa Mungu ila Dini ni kifaa cha kumtafuta Mungu ukristo hauwezi kuwa Dini kwa sababu tiari unamungu wakristo wengi tunaingia kwenye huu mtego sijui kwa nini

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    3 жыл бұрын

    unajua maana ya ukristo?

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@mohamedimohamedi8933 Ukristo ni ile hali ya mkristo jinsi anavyoendenda kama Yesu kristo

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    3 жыл бұрын

    @@charlesjoseph2092 how Jesus was prayed like Muslims by prostrates, Jesus never ate pork like Muslims, Jesus mother wore hijab like Muslims, Jesus salaam like Muslims amaani iwe pamoja nanyi the same like Muslims Jesus not for u

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@mohamedimohamedi8933 Wewe muongo Yesu alisema Sharom maana yake amani iwe kwenu

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    3 жыл бұрын

    @@charlesjoseph2092 sharom in Jews in Arabic the same thing what about u Christians?

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita62843 жыл бұрын

    HAHAHAAAA

  • @edinahkemuntomainya6551
    @edinahkemuntomainya65512 жыл бұрын

    Waislaam jueni kwamba dini haitapeleka mtu mbinguni bali imani

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Жыл бұрын

    "Na anayetafuta Dini usiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake naye Akhera atakuwa katika waliokula khasara"(85:3)Qur'an.

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Жыл бұрын

    "Je wanataka Dini isiyokuwa ya M/Mungu ba hali kila kilichomo mbinguni na ktk ardhi kimesilimu kw kumtii yeye kikipenda kisipende na kwake yeye kitarejeshwa"(83:3)Qur'an.

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Жыл бұрын

    "Enyi Mlioamini(Waislam)mcheni M/Mungu kama ipasavyo kumcha Wala Msife ila nanyi ni Waislamu"(102:3)Qur'an.

  • @edinahkemuntomainya6551

    @edinahkemuntomainya6551

    Жыл бұрын

    @@dulividuli5237 John 3:16 ukimkana YESU Kristo hata Mungu mwenyewe atakukana.Yesu peke yake ndio njia ya kuenda mbinguni.Maana yeye ndio njia, ukweli na uzima.Ukimuamini Yesu na kumkubali rohoni mwako basi wewe hauna budi kuenda mbinguni.

  • @majutojohn1968
    @majutojohn19683 жыл бұрын

    Uislamu ni Dini ya Haki

  • @mizzainallahwainailalhiraj8576
    @mizzainallahwainailalhiraj85763 жыл бұрын

    Jmn wenzetu wakaid lkn alokufa ndo anajuwa muda aloupoteza ktk dini isiyo sahihi

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    Kufuru hiyo

  • @brownmwakyusa7954
    @brownmwakyusa79543 жыл бұрын

    Naomba serikali izue

  • @bensonlangat640
    @bensonlangat6403 жыл бұрын

    Tunaangalia Sana Sheikh na waislamu wanaendelea kumsifu Bwana Yesu.

  • @saidiissa4673

    @saidiissa4673

    3 жыл бұрын

    Kumsifu yesu sio kosa, kosa yesu kumuita mungu na kumsingizia uongo

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    3 жыл бұрын

    yesu ni mtume wa kwa wanaisreali

  • @bensonlangat640

    @bensonlangat640

    3 жыл бұрын

    @@mohamedimohamedi8933kumbe umepata Yesu ni mtume,basi,endelea tu kusoma,utapata tena ni mtume kwa ulimwengu,ukienda Sana ufika hata,John 3:16 utasikia maneno mazuri

  • @bensonlangat640

    @bensonlangat640

    3 жыл бұрын

    @@saidiissa4673 na kwambia unakuja mzuri tu,ukiendelea utajua pia kukuri kama mwokosi ndio vyema zaidi.

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    3 жыл бұрын

    @@bensonlangat640 Mathews 15:24 he answered i was sent to lost sheeps of Israelis

  • @shabanrama802
    @shabanrama8023 жыл бұрын

    Hakuna katika vitabu vya Mungu kuwa ukristo ni dini Ya Mungu.hakuna hio

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    Na hata katika Qurani hakuna Andiko unyenyekevu ni dini ya Mungu kama unaandiko NDAni ya qurani linasema unyenyekevu ni Dini ya Mungu toa

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@Mchora_tz Ila zinazosema Uislam ni Dini ya Mungu Aya hizo hakuna??

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@Mchora_tz Ndio sisi ni wafuasi wa Yesu kristo ambae Yeye ndie njia na kweli na Uzima mtu haendi Mbinguni isipokua kwa njia ya Yeye na ndio maana Alisema Mimi ndimi nuru ya ulimwengu Yeye anifuate hatakwenda gizani Bali atakua na Nuru ya Uzima, Yohana 8:12 Sasa wewe unajiita Umma Wa Muhamadi Yani Mfuasi wa muhamadi akati Muhamdi Mwenyewe ukisoma Qurani 10:102 anasema Hajui atakachofanywa wala nyie mtakavyofanywa Yani hajui, Yani nimuache Yesu kristo nifate Muhamadi ambae Hajui mtakavyofanywa???

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@Mchora_tz hata Mimi nimekuaomba Aya inayosema unyenyekevu ni Dini umesema Aya hiyo hakuna

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@Mchora_tz na Yesu ni zaidi ya nabii Soma Qurani 43:61

  • @mchezakamaliog265
    @mchezakamaliog2653 жыл бұрын

    Mnabahati gwajima hayupo mbona mngeyakanyaga😂😂😂😂😂😂😂

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    Kukamua Maiti Mavi hii nayo niyamitume na manabii??

  • @kutailadifi2854

    @kutailadifi2854

    3 жыл бұрын

    @@charlesjoseph2092 kwenu mnakamuaga Kumbe

  • @tymchanneltv1143

    @tymchanneltv1143

    3 жыл бұрын

    Point Ni nini

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63463 жыл бұрын

    Wakiristo wanasikitisha sana maskini tuwaonee huruma mashekh msichoke kuwaonesha njia malipo yenu kwa Mungu. Hawa ni binadamu wenzetu

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    Ionee huruma imani yako kwa maana unaona ya wenzako ya kwako huyaoni

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    3 жыл бұрын

    @@kibatofinest8840 sio kuyaona ya kwangu. Nyie muko dini ya upotofu. Sisi tuko ya ukweli. Sisi tukifa tutasamehewa dhambi zetu Lakini nyie ni motoni milele. Hilo ndilo tunawahurumia

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    @@bigmanfish6346 😂😂ndugu sasa naona imani yako ndio potofu eti ukifa ndo utasamehewa dhambi zako?

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    3 жыл бұрын

    @@kibatofinest8840 ndio. Hata kama muislam ataadhibiwa na Mungu kwa makosa ambayo hakusamehewa, Lakini baadae atasamehewa na kuingizwa peponi. Lakini kafiri atakaa motoni milele. Je wajua maana ya milele??

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    3 жыл бұрын

    @@kibatofinest8840 hivi nikuulize? Bibilia imesema yesu kaingia msikitini. Hio aya huioni? Ikasema watu wamsujudie Mungu. Ikasema yesu alivaa kanzu na watu wazikwe kwa sanda. Hivi wewe kipofu huoni hizo aya?? Yesu Asema yeye ametumwa na Mungu Lakini Paulo Asema yesu ndie Mungu. Hivi utasikiza yesu ama paulo??

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth59573 жыл бұрын

    Hawa wasabato ni MAKAFIRI Kuna vitu vingine havihitaji degree wala uprofesa....wala diploma...haya majamaa mbona hayajielewi????

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    Kufuru hiyo bwana khalid

  • @mobutu3884
    @mobutu38843 жыл бұрын

    Tatizo nililogundua hapa huyu anaepost hizi video anachukua vipande vipande ndio anapost ila ukitafta mdahalo mzima na ukasikiliza kwa makini tena sana bila ushabiki utapata kitu, kuna point za maana sana nimejifunza mengi mno. Believe me kuna dini haipo sawa.

  • @kibatofinest8840

    @kibatofinest8840

    3 жыл бұрын

    Hamna dini haipo sawa zote ziko sawa kila dini inaamini kuwa kuna Mungu aliye hai wala hafi na ipo siku sote tutahukumiwa kwa matendo yetu hapa duniani

  • @nurdinsuleimang719
    @nurdinsuleimang7192 жыл бұрын

    Hakika dini mbele ya mwenyezingu ni uisilam

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37153 жыл бұрын

    Biblia katika 1 wakorintho 15 inasema Kama katika maisha haya TU tumemtumaini kristo sisi ni masikini kuliko watu wote. Na hapo hao waliolala katika KRISTO wamepotea. Maana yake mkristo anapaswa kumtumaini kristo katika maisha haya na maisha yajayo baada ya kufa. Usipoamini msaada wa kristo baada ya kufa kufufuliwa basiwaliokufa katika ukristo wamepotea. Lazima muelewe conditional sentences nyie maamuma wa kiislam.

  • @nicholauszephania3000

    @nicholauszephania3000

    3 жыл бұрын

    Wote mmepotea kufata dini za watu weupe

  • @waltershayo1339
    @waltershayo13392 жыл бұрын

    Wajibu swali

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial16293 жыл бұрын

    Waislam bhana postn vipande vyote mbona mnavificha vingine mnaficha Nini😂😂😂😂

  • @mathewnemes5469

    @mathewnemes5469

    3 жыл бұрын

    Kaka hawa waislamu ni wahuni balaa wanaweka vile vipande vinavyowahusu wao tu waweke mdahalo wotee ili tujue mbivu na mbichi.

  • @alawyjr4741

    @alawyjr4741

    3 жыл бұрын

    Vipande vipo vingi ww angalia utaviona

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni. Luka 10:20

  • @japhethgeriad4519

    @japhethgeriad4519

    2 жыл бұрын

    UBARIKIWE

Келесі