KANISA SI NYUMBA YA MUNGU/YESU HAKUTUMWA KWA ULIMWENGU MZIMA. MAZINGE , MBWANA RICO .K GROUND KENYA.

Пікірлер: 52

  • @luckyhardson18
    @luckyhardson182 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akutunze kwa Iman yako yahaya

  • @Junior-rl2hj
    @Junior-rl2hj2 жыл бұрын

    Mazinge oyeee

  • @abdulazizabdulaziz6692
    @abdulazizabdulaziz66922 жыл бұрын

    Yahyaaa Allah akurehemu in shaa Allah

  • @Ukhtyzuhura

    @Ukhtyzuhura

    2 жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @issmuking3987
    @issmuking39872 жыл бұрын

    Yaaan uislamu raha sanaaa maaana muislamu yyte aatakaekufa haliakua muislamu kamili akatelekeza mafundisho ya Mtume s a w kikamilifu basi peponi kwa uwezo wake mola

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/c5WLlLygk7nYgqQ.html

  • @arbaqrubaq6260
    @arbaqrubaq62602 жыл бұрын

    Yahya Allah Akurehem

  • @godfreymatias7489
    @godfreymatias74892 жыл бұрын

    Professor mazinge

  • @somojarso9614
    @somojarso96142 жыл бұрын

    Allah akurehemu Sheikh Yahya..msomaji maarufu wa UST.mazinge

  • @sharrifidris3422
    @sharrifidris34222 жыл бұрын

    Hizo zama MashaAllah..namuona sheikh harun olo odundo

  • @makenakendi9014
    @makenakendi90142 жыл бұрын

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @mikyfosikama8752
    @mikyfosikama87522 жыл бұрын

    Mashallah tabarakallah

  • @user-lo1ui8tb6b
    @user-lo1ui8tb6b4 ай бұрын

    Poleni wakristo hamutaki ukweli

  • @mussamohamedmohamed9629
    @mussamohamedmohamed96292 жыл бұрын

    Mashaa Allah,,

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Жыл бұрын

    Mashallah allah awaongoze kutangaza dini yetu watu wabafilike wamjue allah

  • @OmnayfAldosaru
    @OmnayfAldosaru2 жыл бұрын

    Mashallah shekhe mazinge

  • @saramss7262

    @saramss7262

    2 жыл бұрын

    Sasa UISLAM una Rahaa Gani Quran 142 inasemaje acheni upuuuuuziii wenuuu DINI Gani mnaasira Kama nyoka kwendeni huko Mashetanii Wekunduuu nyiyeeee ipo siku mtalijuwa Kama YESU ni Kristu

  • @mullerdacostar8778
    @mullerdacostar87782 жыл бұрын

    Allah akbar

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/c5WLlLygk7nYgqQ.html

  • @user-cd2tk7ov6d
    @user-cd2tk7ov6d10 ай бұрын

    Mashallah

  • @gharibislam1586
    @gharibislam15862 жыл бұрын

    Huyo maskini hajuwi analo lisema

  • @luckyhardson18
    @luckyhardson182 жыл бұрын

    Yahaya we ni mwamba.

  • @SamsonNgendakumana-ek9vj
    @SamsonNgendakumana-ek9vj16 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @user-hk2om2ef7m
    @user-hk2om2ef7m2 жыл бұрын

    Saimu, watufurahisha wallahi

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/c5WLlLygk7nYgqQ.html

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48242 жыл бұрын

    Masha"Allah RIP sheikh yahya

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/c5WLlLygk7nYgqQ.html guza link Al habibu

  • @user-cd2tk7ov6d
    @user-cd2tk7ov6d10 ай бұрын

    😅

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82932 жыл бұрын

    ماشاء الله تبارك الرحمن 😍😍😍😍🇴🇲

  • @bakarimnaku6896
    @bakarimnaku68962 жыл бұрын

    Bakari mnaku kazeri

  • @maherzain615
    @maherzain6152 жыл бұрын

    Huyu kijana sheikh shariff upo simskii kwenye mihadhara siku hizi

  • @mbwanakhamis9634

    @mbwanakhamis9634

    2 жыл бұрын

    Yko lkn naona sio sna kwnye mihadhara...

  • @geraldsanga4879
    @geraldsanga48792 жыл бұрын

    Mungu aturehemu, asante Kristo kwakuwa ulinyenyekea na ukatufundisha kuwarejeza watu kwako kwa upole. Maana kama Wakristo wangekuwa wanahubiri imani yao kama hawa jamaa basi amani ingekuwa ndogo. Maana daima wamejikita kukashifu na kutukana Wakristo badala ya kuhubiri imani yao.

  • @mohamedibra8322

    @mohamedibra8322

    2 жыл бұрын

    Hajatukanwa mtu hapo ni maandiko yanasomwa

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku32182 жыл бұрын

    Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh Naomba namba ya ustahi Rico Please 🙏 please please 🙏

  • @paulmkuki5638
    @paulmkuki56382 жыл бұрын

    Udini utawafanya wengi waikose pepo maana tunasimamia udini kuliko kuyatenda yaliyo mema

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv48252 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/c5WLlLygk7nYgqQ.html ☝️☝️🥺 Pia tusisahau

  • @johnissango2357
    @johnissango23572 жыл бұрын

    sasa kama ninyi ni wanyenyekevu mbona hammfuati yesu ambae yeye ndiye dini au njia ya kweli na uzima?mnafanya vizuri kuwa wanyenyekeva lakini bado hamna dini mnamfuata mohamad ,mohamad sio dini ni mtu tu kama sisi wala hajui atakachofanywa.

  • @ilovejesus666

    @ilovejesus666

    2 жыл бұрын

    Ndungu soma uelewe usikulupuke maana unaangamia kwa kukosa maarifa uyo Yesu wako kwa Waislamu ni mtume wa 24 nyie mnajua Waislamu hawamjui Yesu nauku sis tumajua Adi bibi yake na bibi wa bibi zake

  • @sosdododo5653

    @sosdododo5653

    2 жыл бұрын

    Wewe unamfwata yesu mbona hamfanyi

  • @sosdododo5653

    @sosdododo5653

    2 жыл бұрын

    Wewe unamfwata yesu wala hamna habari na yesu,yesu amesujudu nyinyi munasujudu na mumeqmbiwa musujudu munajidai ati tunamfwata yesu Kubwa kwenu kuomba ni kupiga magoti nani amewafundisha wapotevu wakubwa Ati tunamfwata yesu wanafiki wakubwa

  • @sosdododo5653

    @sosdododo5653

    2 жыл бұрын

    @@ilovejesus666 tena ati tunamjua yesu adi bibi yake Kebu nipe jina lababake mama wa yesu ambae ni maryam nyinyi munasema Mary

  • @ilovejesus666

    @ilovejesus666

    2 жыл бұрын

    @@sosdododo5653 ndugu yangu mim sio kafiri mimi ni muislamu tena uniambii kitu kuhusu Uislamu mim nakushangaa wew unaniganda

Келесі