Mama anayedai ametumwa na Yesu apambana na sheikh Hassan kariuki

Пікірлер: 1 200

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha38532 жыл бұрын

    Wahadhiri Allah awape Kila la kheir bible wanajuwa Quoran tukufu wanajuwa ............Alhamdullillah Mola kwa Neemah yakuwa mwislam

  • @juliusochieng6947
    @juliusochieng69472 жыл бұрын

    Mimi namuamini yesu kristo kam mutetezi wangu na imeandikwa kwa na kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri na hakuna yoyote atakae uona ufalume wa mungu pasipo kupia kwake

  • @shabansalee4924

    @shabansalee4924

    2 жыл бұрын

    Kwani nabii wakwanza ninani apa duniani

  • @mshihiliramadhani9088

    @mshihiliramadhani9088

    2 жыл бұрын

    Mtapiga got wakat mkiswali mnakalia viti 😂😂😂

  • @aminayunis7545

    @aminayunis7545

    5 ай бұрын

    Hata kristo haijulikana na yesu SI mkristo na hawatambui

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u7 ай бұрын

    MashaAllah TabarakahAllah Allah awape umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah

  • @tanzaniaunforgettable4401
    @tanzaniaunforgettable44012 жыл бұрын

    Mungu akuacha dini kwaio kila mtu na Imani take...kwaio faith yako isiwe faith ya mtu mwingne...amini unachokiamni sio kumuaminisha mwingine....Cha msingi kila mtu aamin anachokiamin.....kwasababu ww shekh Nan ulishawai kumuona amekufa na kurud kwamba kaenda peponi..kwaio don't judge...God ndo anajudge

  • @naturalist9517

    @naturalist9517

    2 жыл бұрын

    Ao wako biashara tu kudanganya wananchi wa kawaida.

  • @virejiangingo288
    @virejiangingo2882 жыл бұрын

    Yesu Krisho Ndiye njia ya kweli na uzima milele .

  • @dralhajijbmatatala4580

    @dralhajijbmatatala4580

    2 жыл бұрын

    Njia ya Kwenda Wapi?...

  • @ladyjamilamohammed2577
    @ladyjamilamohammed25772 жыл бұрын

    Assalamu Alykum warhamatullah wabarakatuh....Takbirr!!!!💪🤣Allah akujalie Kheir Sheikh...na akufanyie wepesi ili uendelee kuelimisha Ummah....Akupe mwisho mema

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh amiin amiin amiin sote

  • @yusramasenga4046

    @yusramasenga4046

    2 жыл бұрын

    Ameeeeen ya rabb

  • @fridausbakari5163
    @fridausbakari51632 жыл бұрын

    Mashaallah ❤️. Alhamdulillah nna miaka sita toka nmeslimu. Naupenda sana uislamu. Allah atuzidishie Imani. Umma wke muhammad.

  • @barnabaabel9522

    @barnabaabel9522

    2 жыл бұрын

    Ndo umeamua kupotea kabisa

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    2 жыл бұрын

    @@barnabaabel9522 umepotea wewe pole sanaa mwenzio huyoooo ameachana na upofu na ubishi

  • @sophiahamisi706

    @sophiahamisi706

    2 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @jacquelinemwakasala9563

    @jacquelinemwakasala9563

    2 жыл бұрын

    VIP mapepo yanavyokuvaa unaotaga ndoto nzuri wewe kwel lazima utakuwa unateseka mi nakwambia

  • @jacquelinemwakasala9563

    @jacquelinemwakasala9563

    2 жыл бұрын

    Yaan huyo dada mkristo ndo hajui hajui hajui anatia aibu tu.unajibishana na hao watu hujui hata maandiko unatakiwa MTU uwe umeshiba vizur ndo unaingia mashindanonj

  • @emathumani2901
    @emathumani29012 жыл бұрын

    Acha nimpende Yesu ambaye ndie njia ukweli na uzima Wa maishayangu Mimì🙏🙏

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    Жыл бұрын

    Yesu alikuwa mwisilamu kama unampenda lazima umfuate

  • @nathanch7766

    @nathanch7766

    Жыл бұрын

    @@salimdaawah123 Andiko please...sio maneno kavu

  • @isseamin2017

    @isseamin2017

    Жыл бұрын

    ​@@nathanch7766 mkristo Soma bibilia mathayo 26:39

  • @isseamin2017

    @isseamin2017

    Жыл бұрын

    ​@@nathanch7766 mkristo Soma bibilia mathayo 26:39

  • @hashim.22kamal27

    @hashim.22kamal27

    Ай бұрын

    Mariko.12.vs.14

  • @sherysuleiman2016
    @sherysuleiman20162 жыл бұрын

    Alhamdulillah a'laa niimatil-islaam 🥰

  • @zaidanmwalingo5485
    @zaidanmwalingo54852 жыл бұрын

    Najivunia kuwa mkristo, namjua Mungu Alie hai anayejibu, anaeponya, huko peponi mnakodhan mtaenda uzuri wote tupo tutashuhudia, wewe tenda mema halafu uone Mungu atakupeleka wapi

  • @halimayusuf3113

    @halimayusuf3113

    2 жыл бұрын

    Thank you Jesus for saving me ,,,I love you Lord

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Jina Jesus ni fake because Mariamu hakuongea kizungu je alipozaa mtoto wake alimuita aje kwa lugha yake

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Pili Yesu kwa bibilia hajatumwa kwa wa African ametumwa kwa waisraeli

  • @leahrumona1558

    @leahrumona1558

    2 жыл бұрын

    @@halimayusuf3113 Siku ya kihama ndio itatambua pahali mtu ataenda sisi wakristo tuna njia ya kutupeleka mbinguni ambayo ni yesu mwana wa Mungu aliye hai

  • @rendee267
    @rendee2672 жыл бұрын

    Sisi sote ni kazi ya mkono wa Mungu ......Mungu ni mmoja, yeye yule Jana ,Leo na hata milele.........na wote siku ya mwisho tutaenda sehemu inayostahiri.

  • @allydavy6919

    @allydavy6919

    Жыл бұрын

    Ww kama c muislam huendi popote

  • @ismailali-nd5dp
    @ismailali-nd5dp Жыл бұрын

    Alhamdulilah I am proud to be among one of the Muslims..

  • @budapest8596
    @budapest85962 жыл бұрын

    Allah ndie mungu wa pekee hakuna mungu mwengine isipokuwa yeye tu Allah.

  • @ladyjamilamohammed2577

    @ladyjamilamohammed2577

    2 жыл бұрын

    True talk.... MashaAllah,, Alhmdullillah 🙏

  • @rabsonmanyama3129

    @rabsonmanyama3129

    2 жыл бұрын

    au bas

  • @lindatasha3960
    @lindatasha39602 жыл бұрын

    Mimi na Yesu damu ata waseme ngapi yeye ndio mkombozi wangu yeye ndio njia na usima wa milele ,,atarudi kujukuwa walio wake walio fwata Sheria za mwenyezi Mungu na kuwaugumu walio zikataa njia za mwenyezi Mungu hallelujah 🙏🙏 ,,wanadamu munabisha na akuna mtu anajuwa siku ya mwisho vile kutakuwa ni vema Kila mtu afwate Imani yake hati siku ya mwisho kwa sababu ni Mungu alituumba sisi wote na akakuweka muislam na Mimi mukristo ,,sisi wote ni watoto wa Mungu na akuna anaye juwa kama ni mkamilifu Amen🙏🙏🙏

  • @omaar5693

    @omaar5693

    2 жыл бұрын

    Nani amewadanganya yesu atarudi kuwachukuwa, kama rahisi angeondoka na japo mmoja kati ya wale 12

  • @saumbliz8983

    @saumbliz8983

    4 ай бұрын

    Dada yesu mwenyewe hawajui mana alisema mwamkubali machoni ndani yenu mwafanya mambo yenu nanyi mwamuabudu bure

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya77282 жыл бұрын

    Huyo Mama ni Mwanajeshi imara , kwamimi nampa hongera.

  • @twaybachellah914

    @twaybachellah914

    2 жыл бұрын

    @@suleymanally4729 si vyema kumtusi wapo katika kuelekezana tu

  • @suleymanally4729

    @suleymanally4729

    2 жыл бұрын

    @@twaybachellah914 saw nashkur kwa nasah zak asante san

  • @hannahwainaina286

    @hannahwainaina286

    2 жыл бұрын

    Kabisaa no matter how many they are she is still in her faith😍😍jstrong

  • @elinapouljensen9244
    @elinapouljensen92442 жыл бұрын

    Jibu ni mahali alipo nasi pia tuwepo..yeye yupo mbinguni mahali alipo mungu Mkuu baba na yesu ameketi mkono wa kuume wa mungu baba mwenye enzi wote wanaomfuata yesu apo ndipo watakuwepo, yesu ameshawaandalia iyo sehemu nzuri ya kupumzikia

  • @raffeiystar2870

    @raffeiystar2870

    2 жыл бұрын

    Panaitwaje sasa?? Maana yake kunawez kuwa hata hapahapa Tanzania au burundi sindivyo

  • @elinapouljensen9244

    @elinapouljensen9244

    2 жыл бұрын

    @@raffeiystar2870ndio jitahidi ufike mahali pazuri ulipoandaliwa ujionee mwenyewe kama ni mbinguni uko uko au apa apa walipoumbiwa Adam na awa yote yanawezekana, Kwani wenye uamuzi si wao

  • @hamissuche6576
    @hamissuche65762 жыл бұрын

    Wallah kuzaliwa muislamu ni neema kubwa sana, kwanza muislamu kuelewa kitu huwa ni haraka na rahisi sana c kama hawa wenzetu mabumbumbu wallah,. Yaani uyu mama anaongea kama anatoka usingizini

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Nashukuru Mungu kuniumba mkristo ni neema kubwa sana

  • @marymrembomrembo7866
    @marymrembomrembo78662 жыл бұрын

    Kwa jina la yesu wagonjwa upona Amen

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Hahaaaa mbona wakati wa coronavirus hawakupona mpaka kanisa zikafungwa

  • @marywaithera5102
    @marywaithera51022 жыл бұрын

    Mungu n moja.. twaenda wote mbinguni . Mbingu ni moja na jehanamu ni moja pia

  • @ceesluichannel2020
    @ceesluichannel20202 жыл бұрын

    Im proud to be a Christian but I come to understand it's lack of understanding between Christian and Muslims which is true yesu he was born

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    2 жыл бұрын

    Pole sana aisee

  • @pongwebeachhotel2806

    @pongwebeachhotel2806

    2 жыл бұрын

    Please be awakening is still early you are not too late,to get your permanent life in jannah tomorrow akhera.dont be wasted your time.

  • @analyticalguru5851
    @analyticalguru58512 жыл бұрын

    Mashallah see the woman has no way out. Wakristo wabishani sana kama wayahudi waliomkata Isa (Jesus)

  • @aishawangui6635
    @aishawangui66352 жыл бұрын

    Huyo mama ni mmoja wawale hubadirisha maneno ya Mungu wakijua ..pahari anaona ukweli uabadirisha na maswali ndiyo wafuasi wake wasielewe chochote

  • @marymrembomrembo7866
    @marymrembomrembo78662 жыл бұрын

    Siku za mwisho kila goti litapigwa na kukiri yesu ni Bwana mkatae mkubali hallelujah

  • @lailatuahmadi6525

    @lailatuahmadi6525

    2 жыл бұрын

    Ukiwa na maana yesu ndio mngu wako, innalilah wainnallirah rajuun. Naomba tu nkwambie kitu kimoja hapa duniani mngu ni mmoja tu. Na wala yesu sio mngu

  • @suweidkhamis722

    @suweidkhamis722

    Жыл бұрын

    Ukifa kafiri ww utajilaumu sana

  • @saumbliz8983

    @saumbliz8983

    4 ай бұрын

    Innalilahi wa inaileyhi rajiun ,,pole sana

  • @janethedward5381
    @janethedward53812 жыл бұрын

    Mungu ni mmoja na kila mtu ana muamini ilimradi tusiabudu sanamu ila imani ya mtu ndie inae mponya na akuna alie kufa akarudi akasema kwa Mungu pakoje ila imani ya mtu ndie inae mponya Mungu ni mmoja

  • @halimakalinga7764
    @halimakalinga77642 жыл бұрын

    MashaaAllah jazzak la kheri alhamdulilah kuzaliwa kwenye din ya haki

  • @musanike3079
    @musanike30792 жыл бұрын

    Sheikh Kariuki Mashallah ukona Subra na huyo Mama.. mii hapa wacha tuu

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d2 ай бұрын

    Poleni sana ma sheikhe zetu mna Kazi kubwa sana kabisa ,,Allah azidi kuwa hifadhi . Ao ku elewa Kwao niku gumu sana kabisaaaa😂😂😂

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u7 ай бұрын

    MashaAllah TabarakahAllah Allah awape umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah😅

  • @theshafiqs256
    @theshafiqs2562 жыл бұрын

    Alhamdhulillah,uislam ndo njia

  • @fatumaalisaid9816
    @fatumaalisaid98162 жыл бұрын

    Masha Allah,,,,,,I proud to be Muslim 🥰🥰🙌🙌😘😘😘

  • @mugabekashindi4111
    @mugabekashindi41119 ай бұрын

    Tumufate yesu jamani alie kufa msalabani kwajili yaku ondoa Zambi zetu Sisi wana adam mimi na kufata yesu wangu nakupenda❤ sana Amen

  • @josephndungu6805
    @josephndungu68052 жыл бұрын

    Waaaaooow,,, kazi zuri Sheeehe wangu

  • @josephndungu6805

    @josephndungu6805

    2 жыл бұрын

    Asante sana sheikh salim

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Welcome brother

  • @rahmamkali2895
    @rahmamkali28952 жыл бұрын

    Alhamdulillah kwa kuzaliwa muislamu 🥰

  • @zainabuferrous3482

    @zainabuferrous3482

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @japhetthabit9428
    @japhetthabit94282 жыл бұрын

    Dada yangu hatukutumwa tumuaibishe yesu bali tuwaubiri mataifa habari njema kila aaminie ataokoka na kubatizwa na asie amini ataukumiwa, usibishane na walio laaniwa tayari, we ubili injili usishindane na mtu bila ya sababu ikiwa akudhuru Kwa neno lolote.

  • @mwanashagladys4581

    @mwanashagladys4581

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @japhetthabit9428

    @japhetthabit9428

    2 жыл бұрын

    @@fadhilaongezaongeza226 amen ubarikiwe pia

  • @salomemzungu6388

    @salomemzungu6388

    2 жыл бұрын

    Ooh! yes asiyekubali kushindwa cmshindani.that why hawananga miujiza they just depending from witchcraft if their have problems or troubles,but the thing that i know is i will receive the miracles through my faith na kitu chakushangaza ni wakati kunamashindano ya Christian and Muslim,Muslim hupenda ubishi without the word of God or they Allah.

  • @japhetthabit9428

    @japhetthabit9428

    2 жыл бұрын

    @@salomemzungu6388 hatukutumwa kushindana bali muhubiri injili, Mathayo 28:19-20

  • @fatumamnyenze9696

    @fatumamnyenze9696

    2 жыл бұрын

    Wacha kutukana usilamu ww shoga pia ss tunatembeza dini ww ndea ulilaaniwa 👹😡

  • @lynnkyra4101
    @lynnkyra41012 жыл бұрын

    Mtashindana lkn siku inakuja,kila ulimi utamkiri Yesu kuwa bwana na mwokozi wetu.nampenda Yesu wangu

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Na usishahau Yesu ni mwisilamu hakuwa mkristo

  • @lynnkyra4101

    @lynnkyra4101

    2 жыл бұрын

    @@salimdaawah123 Jesus was a jew not a muslim

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    @@lynnkyra4101 Jew tribe or a religion please any evidence

  • @lynnkyra4101

    @lynnkyra4101

    2 жыл бұрын

    @@salimdaawah123 Jesus was raised as a Jew and remained Jewish and he never intended to create a new religion,,,,, He was neither a Muslim nor a Christian bcoz Islamic religion was introduced in the 7th century by Prophet Muhammad while Jesus came in the 1st century. Christianity was introduced after his death and resurrection.

  • @lynnkyra4101

    @lynnkyra4101

    2 жыл бұрын

    Kila mtu amini kile anachoamini bible inatufundisha mtu haji kwa baba bila mwana so sisi tunamini kuwa hatuwez kwenda mbinguni bila kumkiri Yesu kristo na kutenda yaliyo mema.na siku ya mwisho Yesu anarudi

  • @melisahakatu2512
    @melisahakatu25122 жыл бұрын

    Amina amina wewe shekhe kilichokuleda hapo nini kama hukuchamwa na mwoto wa yesu

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Yesu ni nabii hana moto

  • @jackiewayesu7426
    @jackiewayesu74262 жыл бұрын

    “Let not your hearts be troubled. Believe in God; believe also in me. In my Father’s house are many rooms. If it were not so, would I have told you that I go to prepare a place for you? And if I go and prepare a place for you, I will come again and will take you to myself, that where I am you may be also. And you know the way to where I am going.” Thomas said to him, “Lord, we do not know where you are going. How can we know the way?” Jesus said to him, “I am the way, and the truth, and the life. No one comes to the Father except through me. If you had known me, you would have known my Father also. From now on you do know him and have seen him.” Philip said to him, “Lord, show us the Father, and it is enough for us.” Jesus said to him, “Have I been with you so long, and you still do not know me, Philip? Whoever has seen me has seen the Father. How can you say, ‘Show us the Father’? Do you not believe that I am in the Father and the Father is in me? The words that I say to you I do not speak on my own authority, but the Father who dwells in me does his works. Believe me that I am in the Father and the Father is in me, or else believe on account of the works themselves. John 14:1‭-‬11 ESV bible.com/bible/59/jhn.14.1-11.ESV

  • @husseinfarhiya469

    @husseinfarhiya469

    2 жыл бұрын

    Huyu hata hajui anachokiongea nenda ukasoma vzur ndio ucomment hpo

  • @raliaabdi3881

    @raliaabdi3881

    2 жыл бұрын

    Ur talking about new testament which is a Mzungu version,use old testament for u to know the whole truth .

  • @annettevuseletse2964

    @annettevuseletse2964

    2 жыл бұрын

    Let's believe in whom we trust and put first no one can take away what u have hold on it

  • @ladyshazshow3296

    @ladyshazshow3296

    2 жыл бұрын

    @@raliaabdi3881 why do you want him to read old testament hes making point

  • @jackiewayesu7426

    @jackiewayesu7426

    2 жыл бұрын

    @@raliaabdi3881 Jesus answered them, “I told you, and you do not believe. The works that I do in my Father’s name bear witness about me, but you do not believe because you are not among my sheep. My sheep hear my voice, and I know them, and they follow me. I give them eternal life, and they will never perish, and no one will snatch them out of my hand. My Father, who has given them to me,is greater than all, and no one is able to snatch them out of the Father’s hand. I and the Father are one.” John 10:25‭-‬30 ESV bible.com/bible/59/jhn.10.25-30.ESV

  • @adeladaudi8780
    @adeladaudi87802 жыл бұрын

    Wewe mama umebarikiwa Umemtetea Yesu mbele ya umati wa watu. Andiko linasema atayenionea aibu na Mimi nitamuonea aibu mbele ya baba Yangu! Hakika Mungu azidi kukubariki na kukuinua.

  • @shabansalee4924

    @shabansalee4924

    2 жыл бұрын

    Ukimuabudu binadamu mwenzako motoniiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    7 ай бұрын

    Asimame Imara Wakiondoka wanaungua Moto

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    7 ай бұрын

    ​@@shabansalee4924na wanamwabudu Muhamad

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile43012 жыл бұрын

    Katika Biblia maneno ya Yesu yanasema , Mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu hawezi kwenda Mbinguni bila kupitia kwake, kama huja mkiri Yesu kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu huwezi wewe moja kwa moja ni Jehanum ya moto uwe mkristo au mwislam ipo cku mtakuja kujua na mda utakuwa umeisha naitaman sana siku hiyo.

  • @husseinfarhiya469

    @husseinfarhiya469

    2 жыл бұрын

    N mm natamani snaaaa ujuwe dini y kweli nia kiislamu walai hakuna mahali bible imesema dini y kweli nia kikristo

  • @mwanashaali4863

    @mwanashaali4863

    2 жыл бұрын

    Hii njia ya kweli na uzima ndio imewatia tamaa poleni kashike udhu usujudie Mola wako god of the heaven and earth

  • @mildredkhagali8357

    @mildredkhagali8357

    2 жыл бұрын

    @@mwanashaali4863madiko yanasema usihapa kwa mbingu wala aridhi kwa sababu mbingu ni mahali Pake mtakatifu anapo keti na aridhi ni mahali Pake pa kuweka mikuu ikiwa unamkataha yesu hiyo heven and Erth ni baba yake alihumba sikulaum uko kibofu mungu a akufunguhe macho

  • @mildredkhagali8357

    @mildredkhagali8357

    2 жыл бұрын

    @@husseinfarhiya469 somo Yohana 6:35-36 wacha kua kibofu yule aliye umba mbingu na aridhi akakuhumba wewe katika tumbo la mama yako ndiye aliye mtumwa yesu Kristo hapa Duniani ili watu wote wamwamini wawache kutenda maovu na mungu alikua na uwezo wa kuzua asisulupishwe lakini alitaka wanayo pinga haki kama wewe wahamini ndio akafa akafufuka.siku ya tatu

  • @husseinfarhiya469

    @husseinfarhiya469

    2 жыл бұрын

    @@mildredkhagali8357 ww hata hujielewa kabsaaa hakuna chenye umenifunza hapo

  • @marthajovin5905
    @marthajovin59052 жыл бұрын

    Hakuna anaejua anaenda wapi acheni ujinga na hakuna anaejua huko peponi , mnapotosha watu mungu ni mmoja. Tenda wema na ishi katika kweli

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73772 жыл бұрын

    mm nafutilia sana wakrsto hawana hoja n dhahir shaakir kuwa ukrsto n mıpango mıpango tu ya mwanadam na cıo din ya mungu

  • @reginamwikali2140

    @reginamwikali2140

    2 жыл бұрын

    Hiyo uisilamu ndio uliopotea kabisa

  • @bedamligo4802

    @bedamligo4802

    2 жыл бұрын

    Imani si kama unavyodhania ndugu yangu

  • @kabaleracho1785
    @kabaleracho17852 жыл бұрын

    Alhamdullilah am am proud to be a Muslim

  • @ladyjamilamohammed2577

    @ladyjamilamohammed2577

    2 жыл бұрын

    Exactly....Allah atujalie mwisho mwema🙏

  • @alunasozi5676
    @alunasozi56762 жыл бұрын

    Yn hata iwejeeee mm ntabaki kuwa mkristo Im proud to be christian ,,,

  • @shohritahodhan-ui1rk
    @shohritahodhan-ui1rk Жыл бұрын

    Umejibu vizuri mungu ya wahindi kaibiwa

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu49332 жыл бұрын

    Mama hajielewi! We unasikia au kuona maandishi na bado unajilazimisha ili tu ubaki kukaa na upotofu wako wa kusema Yesu ni Mungu! Khaaa wakristo wabishi jamani loh

  • @ladyjamilamohammed2577

    @ladyjamilamohammed2577

    2 жыл бұрын

    Hataa...Allah atufundie..wasiyo mwamini Kwa Yy ndo Mungu mmoja...basi ataendelea kuwapoteza Hadi siku ya mwisho ..so yy hajielewi

  • @shababygirlshambuwa8388
    @shababygirlshambuwa83882 жыл бұрын

    Takbirrrrrrr waisilamu wenzangu hahahahaha mashallah shekhe

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    Allah akbal

  • @assfzainab912

    @assfzainab912

    2 жыл бұрын

    ALLAH AKBARU

  • @silviakahuya4526
    @silviakahuya45262 жыл бұрын

    Mkatee mkubali yesu ni mwana wa mungu alikufaa kwa ajili yetu Ili tupate huzima wa milele siku ya mwisho mtashangaa kuona akirudi tutende mema tumuone yesu

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile43012 жыл бұрын

    Sisi wakristo tukifa kama tulimpokea Yesu kristo na kumwamini kuwa bwana na mwokozi wa maisha yetu moja kwa moja tunaingia Mbinguni na kama ulikuwa mkristo na mtenda mabaya moja kwa moja Jehanam

  • @mahatyussuf1074

    @mahatyussuf1074

    2 жыл бұрын

    Isaya 51:6 Inueni macho yenu mbinguni, mkaitazame nchi chini; maana mbingu zitatoweka kama moshi, Hakuna mbingu unasema mtaenda itakuwa moshi

  • @mwanashaali4863

    @mwanashaali4863

    2 жыл бұрын

    @@mahatyussuf1074 jibu zuri sana

  • @jamesmgonda

    @jamesmgonda

    2 жыл бұрын

    Kama ukifa unaenda moja kwa moja ..Yesu atarudi kuchukua akina Nani?? Una Aya kutetea ulichoandika??

  • @shabansalee4924

    @shabansalee4924

    2 жыл бұрын

    @@jamesmgonda ww nimchungaji nikupe zawadi ama

  • @suzanaamisi
    @suzanaamisi2 жыл бұрын

    Kbs 🙏 sisi wa kristo tuna henda mbinguni amen mama ubarikiwe

  • @alinaalina3089

    @alinaalina3089

    2 жыл бұрын

    Yesu Yesu ndagupenda sana kwenye uko usifiwe

  • @khadijakitsao5451

    @khadijakitsao5451

    2 жыл бұрын

    Wanalazima aungame vitu zauongo

  • @susanraphael5894

    @susanraphael5894

    2 жыл бұрын

    Amina wajina

  • @mohammedamour4930

    @mohammedamour4930

    2 жыл бұрын

    Mbinguni hata ndege zinafika

  • @bedamligo4802

    @bedamligo4802

    2 жыл бұрын

    @@mohammedamour4930😢mh!

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi50312 жыл бұрын

    John 8 verse 12 inasema Mimi ndimi njia kweli na uzima. kando na yesu hamna uzima.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Sijaona mahali inasema kando na Yesu hakuna njia mbona unaongesha bibilia

  • @gestinakuya8117
    @gestinakuya81172 жыл бұрын

    Jamani mimi nawapeni Pole waislamu wote mnabahati mbaya kuzaliwa waislamu ukweli nawambieni

  • @user-nf1ms4ke5k

    @user-nf1ms4ke5k

    3 ай бұрын

    Tukupe pole wewe uliezaliwa mkiristo, na mnaona WAz kuwa ukristo sio dini.

  • @salmashukuru7627
    @salmashukuru76272 жыл бұрын

    Masha allah 🌹 namshukur allah baada ya kusilim nipo vizur naupenda uislam ni miaka minne sasa nimekuwa mwislam 💕💕

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Masha Allah Mungu akuhifadhi

  • @iam_mobam

    @iam_mobam

    2 жыл бұрын

    Woow MUNGU akupe afya our Lovelly

  • @ahmadsayyeed7910

    @ahmadsayyeed7910

    2 жыл бұрын

    Wow Maa Shaa Allah hongera sana

  • @shuwehaomar1370

    @shuwehaomar1370

    2 жыл бұрын

    Bora umeijua njia mapema

  • @sophianyangalio3796

    @sophianyangalio3796

    2 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @theclan9951
    @theclan99512 жыл бұрын

    God I'm your daughter! , I'll never betray you... And I want you to know that am proud to be a Christian 💒

  • @analyticalguru5851

    @analyticalguru5851

    2 жыл бұрын

    No one needs to know that

  • @analyticalguru5851

    @analyticalguru5851

    2 жыл бұрын

    God doesn't have children he has only servants if he had children hell would not be existing ok you can't burn your children ok

  • @Zsdaughter

    @Zsdaughter

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/p3uctc6Yabizgaw.html

  • @nancymoraa8480

    @nancymoraa8480

    7 ай бұрын

    Amen

  • @jamalathman6219
    @jamalathman62192 жыл бұрын

    Huyo mama ako na shida ya ufahamu lugha, Allah amuongoze aijue dini yaki uisilamu

  • @susankushykushy4215

    @susankushykushy4215

    2 жыл бұрын

    Ajuwee aje

  • @dulleyjuma842

    @dulleyjuma842

    2 жыл бұрын

    Amiiin na wako wengi wasiyojua ALLAH(SWT)AWAONGOZE

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo53062 жыл бұрын

    Bora nimezaliwa ndani ya uislam,maana mkristo huwa anaujua ukweli ila kwakua kajazwa Imani potofu Basi hahami kwenda ktk ukweli

  • @carendeborah5687

    @carendeborah5687

    2 жыл бұрын

    Maana wewe ndo uliyewaumba ...wewe mtakatifu sana..kumbuka hamna aliyemkamilivu humu duniani unless quaran yakwambia wote ni wakamilivu.

  • @mohaali1231
    @mohaali12312 жыл бұрын

    Masha Allah Adinul Nasteh

  • @husseinfarhiya469
    @husseinfarhiya4692 жыл бұрын

    Alhamdulillah am proud to be Muslim walai dini y haki (ukweli)

  • @claudemofi465
    @claudemofi4652 жыл бұрын

    Wewe tafuta mwalim Dashi akufunze neno la Mungu achana nauyu mama tafuta kidume mwenzio.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Mwambie atutafute kama yeye kidume

  • @eunicenthenya9125
    @eunicenthenya91252 жыл бұрын

    Well done beautiful lady.Heko👌these fellows need alot.They only criticize the word as a group what of an individual.

  • @zarubiambonde8986
    @zarubiambonde89862 жыл бұрын

    Mashaallah ♥naupenda uislam

  • @rehemamjasambu9933
    @rehemamjasambu99332 жыл бұрын

    Mshukuru Allah kwa kukuumba na kuwa muislam maana amekupendelea tumshukuru Kwa kutenda mema

  • @Bntv-4928
    @Bntv-49282 жыл бұрын

    Tatizo Huyo Mama Hana uelewa mpaka na Dini husika anayeipambania ,,, huwezi weka hoja ktk masuala ya Dini endapo huna uelewa Mpana.... Uje uulize wap tunapelekwa kwa wale wenye uelewa Mpana....... Ipo hivi ndg zangu waisilam.. sote tulioishi ktk Imani njema na kufuata Yale Mungu anayohitaji tufuate.... Basi tutaenda Peponi/ kwenye mji wa uzima wa milele huko hapana Magonjwa wala taabu ya aina yeyote .... Ndo maana hata hua mnaona wachungaji wanapokua wanafanya mazishi ya mkristo mwenzao ... Nanukuu..... Mungu ametoa na Mungu ametwaa Jina lake lihimidiwe,,,, Mungu na ailaze Roho ya marehemu Mahala pema Peponi.... Kwahyo tutaenda Peponi ... Huyo ndg yetu mama. Kdg hajajibu ilivotakiwa

  • @anitamwende8329

    @anitamwende8329

    2 жыл бұрын

    Indeed it's the end of the world,wanangu mumekosa maandili,how can you compare the power of God forgetting we are all created by one supreme God, religion will not take you to heaven nor "peponi" may God forgive you ,

  • @johnmwangi9943
    @johnmwangi99432 жыл бұрын

    I didn't want to comment but I will. We Africans are here urging about foreign religions which even those who brought it are now concentrating on development and well being of their people. I was a Christian but I'm no longer religious, I'm concentrating on doing the right and respecting the law!!

  • @watene7975

    @watene7975

    2 жыл бұрын

    You're Right be Blessed

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani13372 жыл бұрын

    MashaAllah masheikhe wetu Allah awabariki kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu muzidi kupigania dini ya haki mbele ya Allah inshaAllah Amiin

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Aameen ameen ameen sote

  • @hezronkipkazi9933

    @hezronkipkazi9933

    2 жыл бұрын

    Mimi ni mkristo lakini huyu mama hajijui

  • @hezronkipkazi9933

    @hezronkipkazi9933

    2 жыл бұрын

    naomba kujifunza Quran

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    Amiin yaraby

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    @@hezronkipkazi9933 Inshallah ALLAH akuongoze ingia you tube sikiliza tafsir ya Qur aan inshallah utapata uongofu

  • @jilloabdul8098
    @jilloabdul80982 жыл бұрын

    MashaAllah may Allah bless you more and give knowledge to spread Islam.

  • @mshihiliramadhani9088

    @mshihiliramadhani9088

    2 жыл бұрын

    Mashallah amiin

  • @imammwangauri9326
    @imammwangauri9326 Жыл бұрын

    Walimu wangu mungu awajazie kila la heri kwa juhudi mnayo ifanya na malipo yenu mtayapata siku ya malipo

  • @samikadar
    @samikadar2 жыл бұрын

    Sheikh Ngugi. Strong bro InshAllah. Allah SWT Awazidishie nguvu jamaa mko jihad hapo.

  • @puritynaima7000

    @puritynaima7000

    2 жыл бұрын

    Ss munavunza amri za mung;unahukumu mwenzako kabil ww hujahukumiw;

  • @maryamemmanuel1880
    @maryamemmanuel18802 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah hakika hakuna dini ya haki na kweli ispokua uislam

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Dini ya kikristo ndiyo dini ya haki na uhakika

  • @mamumiyaskitchenvlogs5858
    @mamumiyaskitchenvlogs58582 жыл бұрын

    Maskini Allah awatowe katika kiza. Mswiba wallahi

  • @rashidchaulamngubibalikism7486
    @rashidchaulamngubibalikism74862 жыл бұрын

    Dada hawawezi kuelewa wao ni WA mwilin mtabishana Hadi kesho hiyo ni Imani nyingine

  • @nooroman2535
    @nooroman25352 жыл бұрын

    MashaAllah Mashelhk yetu Asante kwa kazi nzuri lnalila wainalilai rajiuni

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Ni msiba sana Allah awaongoze hawa wakristo

  • @stellah3844

    @stellah3844

    2 жыл бұрын

    @@salimdaawah123 Siyo wote na si kila mtu anaijua bible au Quruan vnzur,,,,,,, Mungu wetu ni mmoja mbona mnasema wakristo hawajielewi kwasababu ya mtu mmoja au watu wachache? Achen hizo bhana.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    @@stellah3844 sawa

  • @andreaotaigo40
    @andreaotaigo402 жыл бұрын

    Yohana 14:6 - Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

  • @promyomari3192

    @promyomari3192

    2 жыл бұрын

    kweli dungu yangu

  • @andreaotaigo40

    @andreaotaigo40

    2 жыл бұрын

    @@promyomari3192 ubarikiwe

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    2 жыл бұрын

    @@promyomari3192 Tatizo hamfuati matendo yote ya Yesu, badala yake mnachagua ya kufuata na ya kuacha!

  • @stephenstevo5799

    @stephenstevo5799

    2 жыл бұрын

    @@fatmazullu4933 kwahivyo unamaanisha nyinyi mnafuata yote na you guys you are perfect that you never sin

  • @jannyrose5367

    @jannyrose5367

    2 жыл бұрын

    Hakuna njia nyingine asema Alfa na Omega?

  • @yusrayushau641
    @yusrayushau6412 жыл бұрын

    Mkorogolization! Mungu akuongoze mama

  • @celinemollel766
    @celinemollel7662 жыл бұрын

    Namshkuru Mwenyez Mungu kwa lman niliyonayo ktk vitu vya dunia usiwah jaribu kushindana na maandiko

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Ukweli lazima watu waambie hakuna anayeshindana ila ukweli unauma

  • @celinemollel766

    @celinemollel766

    2 жыл бұрын

    @@salimdaawah123 lakin siku ya mwisho utajisemea pekeako

  • @jastinisalonimolelijastini7587

    @jastinisalonimolelijastini7587

    2 жыл бұрын

    @@salimdaawah123 nyie waislam mnataka sisi wakristo tukuje upande wenu Lakin mtazubiri sana mungu Atabaki kuwa mungu bwana yesu Asifiwe

  • @salma-fc4xc
    @salma-fc4xc2 жыл бұрын

    Mama anajichanganya😅🙌anaulizwa swali hajibu ipasavyo🤝🇹🇿

  • @ashwramashallah7242
    @ashwramashallah72422 жыл бұрын

    Masha'allah tabaraka rahmani ..najivunia kua muslim..alhmdulillah

  • @saumusabali356
    @saumusabali3562 жыл бұрын

    Ma Sha Allah

  • @saumbliz8983
    @saumbliz89834 ай бұрын

    MashaAllah am proud to be Muslim 😂😂😂

  • @wanjirubens
    @wanjirubens2 жыл бұрын

    i just love how east african coexist with their Difference in Religion without war Not like some Westafrica or middle east countries

  • @saumukazungu565
    @saumukazungu5652 жыл бұрын

    Ukweli nikwamba kati ya hii Dunia tunaomba mungu mmoja tu ispokua vitabu ndo vinakoroga watu

  • @monaishm9445

    @monaishm9445

    2 жыл бұрын

    Kabsa Mungu moja Mungu ndo anajua achen kuba nanga maneno anae kufa anajua

  • @sifajacky7779
    @sifajacky77792 жыл бұрын

    Alhamdulillah kuona Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala amenitowa katika giza 🤲🏻

  • @yohanaazaeli3862

    @yohanaazaeli3862

    2 жыл бұрын

    Weunaenda motoni kasome Vizuri anawadanganya Huyo jamaa na manenoyake

  • @sifajacky7779

    @sifajacky7779

    2 жыл бұрын

    @@yohanaazaeli3862Usijali kaka. Mwenye kuwa na funguo ya mbingu ao moto ni Allah Subhanah wataala Ya Hayy Ya Qayyum Ya Malik Ya Jabbar.

  • @jackiewayesu7426

    @jackiewayesu7426

    2 жыл бұрын

    @@sifajacky7779 wewe sio mwarabu dada usiongee lugha ambayo huijui yasemaje Soma Biblia utapata ukweli

  • @sifajacky7779

    @sifajacky7779

    2 жыл бұрын

    @@jackiewayesu7426 Asante kwa ushauri ila usisahau kuwa na wewe sio mu Israel wala mu Roman. dini zote ziko na walio zianzisha na sisi tukachukuwa uamuzi wa kuchaguwa dini tunayo rizika nayo. na mimi Alhamdulillah nimerizishwa na kuwa Muislam.

  • @zalhathasaid2060

    @zalhathasaid2060

    2 жыл бұрын

    @@sifajacky7779 Allah asimamie.imani yako mpka kufa kwako inshallah

  • @demycratia2567
    @demycratia25672 жыл бұрын

    Binadamu wote waelewe kuwa MUNGU NI mmoja ila mwendako hamkujui

  • @fakihisilima3414
    @fakihisilima34142 жыл бұрын

    Dah mjadala umeenda shule

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu57652 жыл бұрын

    Masha Allah, mashekh wetu Allah awape afya njema

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Aamiin amiin amiin pia wewe

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    Mashallah shekheeeeeeeeee🙏🙏🙏🙏🙏a

  • @marygatiji5576
    @marygatiji55762 жыл бұрын

    Wakristu turaenda parandiso tujae pamoja na mungu cz alituma mwanae akuje kutukomboa kutoka dhambini

  • @rukiaismail2569
    @rukiaismail2569 Жыл бұрын

    The best thing we need to do is to listen and understand.this can guide us

  • @asiathoya7660
    @asiathoya76602 жыл бұрын

    Yesu wangu ananitosha. Only Jesus is the way to heaven

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    2 жыл бұрын

    YESU ANAWEZA YOTE APEWE SIFA

  • @analyticalguru5851

    @analyticalguru5851

    2 жыл бұрын

    Hawezi bila Mungu na yy ndiye kustahiki sifa ona maneno ya bibilia inawaponza wapi mmeona Quran na makosa hukumu ni ya Allah soma dini ya Uislamu na ukristo bila kiburi kwani Hawa wachungaji ni maumbwa Isiah 56: 10 sawa si mm nasema ni bibilia yako unayoamini ok

  • @mshihiliramadhani9088

    @mshihiliramadhani9088

    2 жыл бұрын

    @@analyticalguru5851 waambie hawaeleweki na wamepotea

  • @janugabu8099

    @janugabu8099

    2 жыл бұрын

    Nyie wote waisilamu acheni kucheza na Mungu aloe hai mtakufa huo mda ni Bora mkatubu kuliko kupotezza muda hapo kwa kumkebehi Yesu sasa hivi ni mda wakujitakasa hiyo mnaemkebehi atarudi muda so mrefu wanafki nyinyi

  • @lailatuahmadi6525

    @lailatuahmadi6525

    2 жыл бұрын

    Yan mnachokosea nyie ni ile kumfanya sjui yesu ndio mngu yesu sio mngu ata iweje. Mngu ni mmoja na wala hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika ata mmoja. Ndo mana kwa sisi waisalm tunasema hapana mollah apasae kuabudiwa kwa haki ispo allah na hakika mtume mhammad ni mtume wake.

  • @michaelkiuta1979
    @michaelkiuta19792 жыл бұрын

    Yesu namba moja, mtu hawezi kufika kwa MUNGU kama hatapitia kwa yesu kwanza amin amin utapona asante...............

  • @damas5665

    @damas5665

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Mamake Yesu pia alipitia kwa Yesu?????

  • @saraaudax8138

    @saraaudax8138

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @DR.SAIFILLAH.5363

    @DR.SAIFILLAH.5363

    Жыл бұрын

    Mungu gani uyo!??

  • @mightlybeloved6763
    @mightlybeloved67632 жыл бұрын

    Hilo andiko ambao mumesoma kwanza linawachapa nyi waislamu vile tayari mumekubali kwamba Yesu alikufa na akafufuka. Kama hamuamini alikufa na akafufuka mbona mnaamini sehemu moja ya hio maneno alisema .

  • @kasimmohamed8225
    @kasimmohamed82252 жыл бұрын

    Mama kichwa kigumu cn haelewi kakaririshwa

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga76822 жыл бұрын

    Masha allah.watching from Boston USA

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Masha Allah May Almighty Allah bless you and your family and everything you're doing May Almighty Allah put baraka on it

  • @nubianqueen6700

    @nubianqueen6700

    2 жыл бұрын

    Chicago Illinois! Asalam walaykum warahmatulahi wabarakatuh kaka!

  • @duncanamadi6921
    @duncanamadi69212 жыл бұрын

    Spiritual things are spiritually discerned. The carnal mind cannot comprehend it. Jesus is the Way, the Truth and the Life. No one cometh to the Father except by him(Jesus Christ)

  • @analyticalguru5851

    @analyticalguru5851

    2 жыл бұрын

    Wewe Wacha kuita akili zetu carnal kama yako iko sawa jibu maswali aliyoulizwa mama huyu ktk vedio kama ww dume jibu na toa dalili sawa mama anapigwa na Matthew pekee 🤣💥

  • @shamsanassoro9822
    @shamsanassoro98222 жыл бұрын

    MaashaaAllah mashekhe wetu huyo mama hawez kuelewa kamwe,anachoongea hakielewi, najivunia kuwa muislam, ameshindwa huyoooo, uislam nirahaaa

  • @abdiabdulla5572
    @abdiabdulla55722 жыл бұрын

    Masha Allah Allah akuzidishie

  • @nailejilejimollel7762
    @nailejilejimollel77622 жыл бұрын

    Mungu yupo na anatutetea wakristo amen

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 жыл бұрын

    Mungu mgani???

  • @damas5665

    @damas5665

    2 жыл бұрын

    AMEN

  • @jannyrose5367

    @jannyrose5367

    2 жыл бұрын

    @@salimdaawah123 WA Abraham, Issac na Jacob,Wala soo Mungu WA Muhammad WA kuslimisha shetani na majini 😭

  • @ibrahimlaiza
    @ibrahimlaiza2 жыл бұрын

    Mashaallah kheri walai

  • @jackiewayesu7426

    @jackiewayesu7426

    2 жыл бұрын

    Usiseme Kher, Moto unawangojea Jehanamu nyinyi waislamu Wapinga kristo angalia Mohammed yupo moto tayari kzread.info/dash/bejne/aGuXqJSbgqqvhco.html

  • @user-lq6dd9pt7k
    @user-lq6dd9pt7k8 күн бұрын

    Yesu ndie njia ukweli na uzima,.dada acha kubishana na waislamu,fanya kazi uliyo itiwa

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    8 күн бұрын

    Elimu ndio shinda kwako hii inaitwa mjadala au debate

  • @motherteresa8469
    @motherteresa84692 жыл бұрын

    Dada ni hivi,new Jerusalem hiko mbinguni, Hakuna njia nyingine ya kwenda mbinguni kumuona Baba hila kupitia kwa yesu Kristo.That new Jerusalem hiyo siku za mwisho itashuka kutoka mbinguni.Ndiyo maskani ya mungu pamoja na wanadamu.Amen.

  • @vickytanui1158

    @vickytanui1158

    2 жыл бұрын

    Umenena🙏🙏🙏