KAMA USHAAWAHI SALITIWA NA MUME AU MKE DAWA YAKE SIKILIZA HII
Жүктеу.....
Пікірлер: 452
@evelynejuvenary26312 жыл бұрын
Wow ujumbe wa moto huu... Mimi ni mkristu lkn umenikonga moyo wangu Sana.... Mwenyezi Mungu akutunze Sana 🙏
@HalimaSaidi-jo9ng
3 ай бұрын
Swadakta Allah akulinde kwakilajambo
@husnaameen93092 жыл бұрын
mashaAllah ustadhi wewe ni doctor ., mashaAllah nimepata mume mwema mwenye hizi sifa ulizosema mungu aniwekee mume wangu inshaAllah 🥰
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Maashallah Allah awadumishe
@lkshmykomar5472
2 жыл бұрын
Amina Yarab alamin
@hasnaally1713
2 жыл бұрын
Mashallah hungera mama
@user-pj8ed9kn6g
2 жыл бұрын
Mashaallah habbity Allah awadumishe kwenye ndoa yenu🤲🤲
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Amiin Allah atuekee waume zetu na atulinde na hasad, amiin.
@goldenqueen44842 жыл бұрын
Sauti ya Othman Michael imefanana sana na ya Othman maalim ....kuitofautisha ni uangalie kuskiliza tu nafkria n yule mwengne ..Mashallah Allah awaeke miaka mingi inshallah mashekhe wetu .....Tuna jifunza umu umu kw hutba zenu ..JAZAKHA-ALLAH KHERY ❤❤
@sitiabubakar2892
2 жыл бұрын
Yaani Kwa audio nashindwa kuwatofautisha
@goldenqueen4484
2 жыл бұрын
@@sitiabubakar2892 umeonaeee 🥰
@fatmakhalef3450
2 жыл бұрын
Mashaa Allah kabisa sana tena
@khaashfarfarid4221
2 жыл бұрын
Jmn naomba no yake sh othmn
@bintykigan9285
2 жыл бұрын
Sana tena
@hasnatyoficial60562 жыл бұрын
Daaah hii imenigusa sanaa nimegundua mume wangu anatoka na mdogo wangu wa kuzaliwa nae hakiyamungu roho imeniuma kupita kias na nasema kutoka moyoni namchukia mdogo wangu na mmewangu ad siku ntakayo kufa Allah anisamehe
@fatmakhanii1676
2 жыл бұрын
Pole sana msameh japo hutokua nae karibu Allah nawe atakusameh pengine ni mtihani tu huo ulompitia binadam hatujakamilika inauma sana
@rehemasoud7805
2 жыл бұрын
Msamehe sanaa na muombe mungu akuepushie na hilooo
@mealisuleiman4020
2 жыл бұрын
Msamehe mdogo wk ni shetwani amempitia hata yy mwenyewe yuwa juta kutenda hicho kitendo
@fatmakhanii1676
2 жыл бұрын
@@mealisuleiman4020 kabisa
@ismailowino2866
2 жыл бұрын
Subhanallah,pole sana ukhty.Mimi naelewa unachopitia ila wasamehe wote kwa maana hii chuki itakuumiza nafsi.
@kisunaomar3138 Жыл бұрын
Hakika wanawake tunatakiwa tujue nini ndoa,upi uzito wa ndoa na mume ni kitu gani..Allah atujaalie ndoa zilizo jaa mawadat,sakina.atufanye wenye kuridhika,na tuwe tulizo kwenye macho yao,tusio na waume Allah atujaalie,na walio kwenye ndoa ziwe zenye kheri.darsa zuri mashallah
@shefumasanja-wn6lj
8 ай бұрын
Asante
@dismassamwel71302 жыл бұрын
Hii elimu nzuri nimeipenda sana,hakuna kitu chenye mtihani kama ndoa au mahusiano,yanahitaji subra na msaada wa MUNGU
@salumkifan3637
2 жыл бұрын
Nkweli kaka
@salmahanai36012 жыл бұрын
shekhe umeupamba.moyo wangu kwa maneno mazuri maashaallah
@taybahnasoro60492 жыл бұрын
Allah aniongoze niwe wa kulizika kwa mume wangu inshaallah na ndoa yetu iwe mpya kila iitwayo leo na niwe mke mwema yarrabi mwenye busara aman na upendo na huruma pia kwa mume wangu
@georgetavalentine46862 жыл бұрын
Mafunzo mazuri 👏👏👏 though am a Roman catholic
@arafakassela53982 жыл бұрын
Yani nampenda shekhe Othman kwajiri ya Allah akuweke zaid iliuzid kutuhelimishe
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Kabisa Amin
@mariamyoyote81722 жыл бұрын
Shukran shekhe jazaka'Allahu kher minal dunia wa akhera 🙏🙏ujuwe shekhe hivyo unavyozungumza napata fikira ya kuolewa niishi Kwa mapenzi mema na mume wangu lkn bado Allah ajanipa na nipo kazini wallah naogopa pengine nikaingia kufanya Mambo mabaya kabla ya ndia kwasababu hivyo unavyozungumza namna bakiluishi Kwa upendo kunakitu kinanijia na ninaogopa lkn itabidi nianze kufanya Ibaada na kuomba utulivu na kujizuia haya matamanio ninayo yahisi ya Allah nifanyie wepes katika Hilo pia shekhe niombee shukran shekhe balakaallahu fihiii
@reemareemo2698
2 жыл бұрын
Pora ata ange mpiga tuu asira ziishe
@tawaqthabith1689
Жыл бұрын
Inshallah mola akujalie
@user-ws9ek8dj5n2 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH sheikh wetu kipenzi #othmanmichael kwa kila ilmu tunayo pata kupitia kwako MWENYEZI MUNGU akupe uzima na maisha marefu,ummah mzima atupe maskizano,uaminifu,mapenzi,kuongozana,atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema Amiin ya Rabbil Allamin
Am a Christian but listening to you teaches me alot 👌,am even dating a Muslim soon to funga nikha😊
@rahmatahmed1871
2 жыл бұрын
MashaAllah karibu katika uislam mammy
@aaa64sa13
2 жыл бұрын
MashaAllah!!!
@mariamjack9471
2 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema inshaallah
@khadijaangore4408
2 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah. karibu kwa dini ya haki.❤❤❤❤💞💞💞💞💞😘😘😘
@yussuphsultan1400
2 жыл бұрын
Mashaaa Allah....Allah sw akufanyie wepesi....ingia Kabisa kwenye uislamu Ili ujifunze na ujue jinsi ya kuomba dua jambo lako liwe jepesi Kwa idhni yake
@asmaasmi90192 жыл бұрын
MashAllah tabaraka rahman jazaaqa Allah kher
@zainabmaulidi98462 жыл бұрын
MASHA ALLAH sheikh wetu Allah Akujalie umri mrefu wenye kheri tuzid kunufaika
@sharifaabdi95012 жыл бұрын
Kwa kweli yote ni mitihani ya dunia2 hiyo Allah atujaalie minalfaidhina.Pia shekh wetu kipenz tunaomba dua kutoka kwako Allah atuepushe na mabalaa mazito kama hayo na pia atujaalie katika waja wema inshaallah
@mahmoodalghefeili5370
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@hamidaasiimwe42662 жыл бұрын
Asalaam Aleykum sheikh Othman Asante kwa yote. na utuwombe kwa Allah, tufiko kwako mashalla
@twahambonde40952 жыл бұрын
Shida ya wanaume hawawezi kumsamehe wakisalitiwa ila ndio wanaongoza kwa usaliti......Yarabi tuweke mbali na zinaa
@alhabsialooshi9315 Жыл бұрын
Mashaallaaa shekh alla ukupe mwisho mwema ila mm mumewangu aliniacha kwatara3 mpigo ila nashukulu na baba yangu alikua mcha wangu alinipa somo na sikuweza kushawishika kurudiana tena mpaka leo hii ninamiaka10 sijaingia kishawishi kuludi kwake
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Allah Akujaalie umri wenye heri nawe uwwmrefu uzidi kutuelimisha. Allah atujaalie tuwe wasikivu na tusiyoolewa Allah atupe Mumewema lnshallah🤲
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin yarab
@user-ws9ek8dj5n2 жыл бұрын
Amiin ya Rabbil Allamin sheikh
@ismailowino28662 жыл бұрын
Masha'allah, jazakallahu khayr Sheikh.Yaani hii darsa imenigusa mahali duh!
@ashajuma18222 жыл бұрын
Shukran jazakallahu kheir.. Allah akuhifadhi sheikh
@user-mi9bz5gy2u5 сағат бұрын
Aki naskia nmeguzwa mahali,mungu akuongoze uzima uzidi kutuelemisha
@SleepyGalaxy-nw5of5 ай бұрын
Subhanallah shukran sheikh napenda mawaidha yako course yananipa ujasiri na Aman ya moyo wangu mungu akubarik🙏
@fatemafatema47802 жыл бұрын
Mashaalla mashaallah sheikh Othaman unamafunzo mazuri sana .yaret ingekuwa nusu ya watu wanafuata basi uhasama na ugonmvi ndani ya nyumba usingekuwepo mungu akubarik.mungu akupe uzima wa afya.hata usemaji wako sheikh wewe mtaratibu sana.nampa hongera sana mkeo.mungu awajaazie kila lenye kheri na nyinyi ameen
@omarchoro5936
2 жыл бұрын
Allah akujalie kher
@owuorsharon21772 жыл бұрын
Nimeguswa sana na mfunzo yako inshallah mungu akujalie
@najuf80212 жыл бұрын
Allah akuhifadhi kwaajili yetu shekhe mchanganyiko ule wamafuta ALHAMDULILAH umenisaidia
@rahmamohammedmohammed7987
2 жыл бұрын
Nambie namie huo mchanyiko dawa ya nini
@adamdengu3382 жыл бұрын
Mashaallah inatakiwa Subira zaidi ktk dunia hii . Na tuliambiwa tuisha nawe kwa makini wanawake . Lakini yanafikanga mwisho na Allah anakuonnyesha yote .
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin
@antusatesha78592 жыл бұрын
Jazakha allah sheikh
@irenelaizer47892 жыл бұрын
Masha Allah my Allah protect you sheikh nimjifunza kitu pamoja sijaolewa ila Allah anijalie mme wa hivyo hakika nitamjali
@azizadjumadazuu2731 Жыл бұрын
Maa shaa Allah sheikh wetu tunanufaika na mafunzo yako!!! Allah akujaze kheri
@zeinababdulla81372 жыл бұрын
Mashallah.shukran sheikh
@aishahamadi92612 жыл бұрын
Maashallah umetujeja Sana ustadh ndoa nyingi zinayumba kwasababu ya uzinifu Ila Allah atuongoze katika njia zilizonyooka na ftatilia nikiwa uganda
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa uwoga hawana watu wala imani
@lkshmykomar54722 жыл бұрын
Mashallahu shukuran shehe wetu Allah atuhfadh na maas ya zina
@saadahydar7106
2 жыл бұрын
v ýcyuucyyuyyyyyyyyyû cuu7uyy7yu77777uu7u7uu7uuuuuuu7c7777777777777777777777777777777777777777777vvv777777777777777777777777uuu
@saadahydar7106
2 жыл бұрын
u juuuuvuuuuuuuu u
@AMI-ip1lx2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Apo Kwenye Honey Honeyy Honeyyyyyyyyyyy😂😂😂😂😂😂Nimecheka Mie Ila Nimependa Inapendeza
@matikamwagilomwagilo5312 жыл бұрын
Shekhee othmani m.mungu akujaalie kila la kherii ameeen
@bintimossisaidi1443
2 жыл бұрын
Amiin
@UncleChenShoushan2 жыл бұрын
Allah aniepushe siwezi uwa mimi sheikh kasema kweli mwenyezi mungu amjaze kheri
@saidjumanne64522 жыл бұрын
Asante Sana othuman Michael kwa dawa safi mwenyezi mungu akuzidishie maisha maref ilituendelee kupata dawa nzr amen
@julesngama25082 жыл бұрын
Haaaaaaaa Nihatari sana Ndugu yangu, bwana Yesu wali muuliza kitu gani tuna weza kuwapa taraka wake zetu . Akajibu mwakizini njo muna ruhusiwa kuwapa taraka
@aminataramio82542 жыл бұрын
Shukran cheikh wangu mungu akulipe kilishikuwa cha kheri kwako
@jamilanassoro84082 жыл бұрын
Jazak Allah khairan
@shabaniomary62352 жыл бұрын
Sheikh, alhamdulil laahi, Allaah akujaze zaidi ilmu,nakuomba tuletee kisa cha Dhulqarnaini kwa urefu.
Jazzaka llahu kher shekhe Mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila hasad nakupenda shemela wangu
@mwinyisaumu2 жыл бұрын
Subhana Allah tuombee Sisi mabinti tupate rizki Za ndoa tunusurike Na zinaa
@philipsenge22222 жыл бұрын
Mashauri mazuri kabisa,ila wanawake ni wabaya sana,ni kuishi ishi tu kwa kupitiza muda,ila wao siyo watu wazuri
@cishahayoali1136 Жыл бұрын
Asante sheikh kwa kutuzinduwa!
@zainabusingirankabo74872 жыл бұрын
Ma sha ALLAH tabarakallah asante sana Muheshimiwa
@aishaselemani65742 жыл бұрын
Shukran ya sheikh Allah atukinge na uzinifu
@rehemamkumbo67462 жыл бұрын
Safi sana shekh barikiwa kwa mafundisho mazuri mwenyezi mungu akujalie kheri
@zainamkwizu29422 жыл бұрын
Napenda sana mawaidha yako umenibadilisha sana shekh mungu akupe umri mrefu wenye amali njema
@aishamunga66672 жыл бұрын
Mashaallah. Mashaallah Allah akupe umri na uzidi kutufundisha. In sha Allah. Shukran
@halimajuma62872 жыл бұрын
Manshaallah darsa zuri Sana Allah akudumishe
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Shukran sana ustadhi Allah tuepushe na mitihani hio yarrab
@dazuu32162 жыл бұрын
Mashaallah Allah akubarik san sheikh
@saumukonde4338 Жыл бұрын
Nina watoto 3 natafuta mume mwenye hofu Ya Allah, anistirii kwa ajili ya Allah, namiaka 28.
@oratrace2377
11 ай бұрын
ALLAH akujalie
@mahabubosman837
10 ай бұрын
Huko wapi
@JumaaZamiru
5 ай бұрын
Insha'allah utampata tawaqqar
@yanaclaudine80662 жыл бұрын
I'm Christian but u make me cry. May God akupe maisha malefu
@MA-kh2lr2 жыл бұрын
mwanamke anapenda emotional support... hata tu ile kusaidia watoto sometimes.. ukiwa nyumbani kaa na family yako.. mwanaume akiwa nyumbani kulala asema kachoka. kwani wanawake hawachoki?? ulezi. pia ni kazi kubwa sanaa ya watoto.
@hildaaloyce8043
Жыл бұрын
☑️☑️☑️☑️☑️☑️
@zakatyzakaty1426
Жыл бұрын
Ni kweli
@sashoright6496
Жыл бұрын
Umegusa panapotakiwa kabsaaa
@mariamsudi88452 жыл бұрын
Mashaallah tabalakallah shekh othamani
@MA-kh2lr2 жыл бұрын
Choka mimi na hawa wanaume.. 🤦♀️
@aflahabdula4084
Жыл бұрын
Choka voo ila dawa yao mdogo wangu nikuwapotezeya mimi mume wangu kanifanyia mengi sana mpaka nikajiuliza kwa nini au kwa vile nimetuliya ila sasa nawaleya wanangu tu simuulizi akitoka wala akiingia au anarudi wapi nafanya ule wajibu tu sinahabari na yeye mpaka anajiuliza
@aminaabas24352 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah mungu akupe kila LA kheir
@mariejunior56402 жыл бұрын
Asante sana, ubarikiwe sana ,nimejifunza kitu..
@mwanasitisalim36062 жыл бұрын
Nimejifunza Mambo makubwa na muhim usiku huu Asante sana
Kisa kizur mashallah, mungu atupe subrah na nyoyo za huruma na mapenz ya kwl, mungu atuepushe na Hali hizi
@saumkhalifan7700
Жыл бұрын
Assalamualaikum sheikh nnaswali tafadhali je ukiwa umeolewa na umepoteza hisia huna hamu na yule mume unapaswa kufanyaje
@piliramadan875 Жыл бұрын
Mashaallah Masha Allah
@user-tq4fi6lg9z2 ай бұрын
Mashaalah somo zur allah akupe kher shekh
@jaysplaylist53602 жыл бұрын
Shukran sheikh kwa darasa hili
@anetiarsen70612 жыл бұрын
A aleykum Asante kwa maneno yako matam
@gracealexander1450 Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA SHEKHE KWA UJUMBE HUU NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA MNO AMEEEEEEN
@janemusomba9632 жыл бұрын
Good teaching thank you God bless you..
@saidesalimo9032 Жыл бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿não dormo bem ate ouvir sua voz em mawaidha
@mwanasitisalim36062 жыл бұрын
Asante Sana ustadi
@yassirhamed99052 жыл бұрын
Allahu barick sheikh wetu uzidi kutupa elimu
@masterlava41312 жыл бұрын
Kaka Ukutane Na Huyo Mwanamke Nae Anaakiba Ya Fikra,Ndio Unaweza Ukamwambia Mpigie Aje Na Akafanya Hivyo, Siku Hizi Utapata Tabu Aise, Mwenye Haki Ndio Anakuwa Mkosaji Na Mkosaji Ndio Anakuwa Mwenye Haki Hadi Serikalini.Ni Mafunzo Mazuri Kwa Wenye Kujaariwa Amiin.
@kassimmurji632
Жыл бұрын
Uko sahihi ndugu
@AMI-ip1lx2 жыл бұрын
SubhanAllah
@anastaziamathayo71022 жыл бұрын
Mashallah,hongera kwa somo zuri
@muawiyakawere3942 жыл бұрын
Mola akubariki sheikh!
@FatmaMohamed-mf9kxАй бұрын
God blees you ❤❤
@jenifridajawabu8876 Жыл бұрын
Asante kwa SoMo lako
@ndibwamiahmed87422 жыл бұрын
Shukran yaa Ustadhi kwa Darasa lako.
@annwambui99202 жыл бұрын
Yaani mashallah unanifurahisha sana you make my day
@zainabunechesa86592 жыл бұрын
Mashallah shiekh
@MA-kh2lr2 жыл бұрын
Subhanallah... Allah atunusuru na vizazi vyetu yaarab.. Ameen.
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin yarab Amin thuma Amin
@bas28232 жыл бұрын
Now u know how to talk sweet issues for both of the males n females.👌
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
True
@priscillahsirya65442 жыл бұрын
Asante shekhe kwahili somo lako
@user-mp9ne9ji1d2 жыл бұрын
Shukran mualim
@yasalaam5902 жыл бұрын
Mashaallah hayo mafundisho kwakweli ni muhimu mno ndoa skuiz ni nyingi hazina mapenzi bali ndoa skuizi zina machozi ubabe ruu kwenda mbele subhana llah inshaallah kwa mawaidha haya wawe ni wenye kuzingatia amiin
Пікірлер: 452
Wow ujumbe wa moto huu... Mimi ni mkristu lkn umenikonga moyo wangu Sana.... Mwenyezi Mungu akutunze Sana 🙏
@HalimaSaidi-jo9ng
3 ай бұрын
Swadakta Allah akulinde kwakilajambo
mashaAllah ustadhi wewe ni doctor ., mashaAllah nimepata mume mwema mwenye hizi sifa ulizosema mungu aniwekee mume wangu inshaAllah 🥰
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Maashallah Allah awadumishe
@lkshmykomar5472
2 жыл бұрын
Amina Yarab alamin
@hasnaally1713
2 жыл бұрын
Mashallah hungera mama
@user-pj8ed9kn6g
2 жыл бұрын
Mashaallah habbity Allah awadumishe kwenye ndoa yenu🤲🤲
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Amiin Allah atuekee waume zetu na atulinde na hasad, amiin.
Sauti ya Othman Michael imefanana sana na ya Othman maalim ....kuitofautisha ni uangalie kuskiliza tu nafkria n yule mwengne ..Mashallah Allah awaeke miaka mingi inshallah mashekhe wetu .....Tuna jifunza umu umu kw hutba zenu ..JAZAKHA-ALLAH KHERY ❤❤
@sitiabubakar2892
2 жыл бұрын
Yaani Kwa audio nashindwa kuwatofautisha
@goldenqueen4484
2 жыл бұрын
@@sitiabubakar2892 umeonaeee 🥰
@fatmakhalef3450
2 жыл бұрын
Mashaa Allah kabisa sana tena
@khaashfarfarid4221
2 жыл бұрын
Jmn naomba no yake sh othmn
@bintykigan9285
2 жыл бұрын
Sana tena
Daaah hii imenigusa sanaa nimegundua mume wangu anatoka na mdogo wangu wa kuzaliwa nae hakiyamungu roho imeniuma kupita kias na nasema kutoka moyoni namchukia mdogo wangu na mmewangu ad siku ntakayo kufa Allah anisamehe
@fatmakhanii1676
2 жыл бұрын
Pole sana msameh japo hutokua nae karibu Allah nawe atakusameh pengine ni mtihani tu huo ulompitia binadam hatujakamilika inauma sana
@rehemasoud7805
2 жыл бұрын
Msamehe sanaa na muombe mungu akuepushie na hilooo
@mealisuleiman4020
2 жыл бұрын
Msamehe mdogo wk ni shetwani amempitia hata yy mwenyewe yuwa juta kutenda hicho kitendo
@fatmakhanii1676
2 жыл бұрын
@@mealisuleiman4020 kabisa
@ismailowino2866
2 жыл бұрын
Subhanallah,pole sana ukhty.Mimi naelewa unachopitia ila wasamehe wote kwa maana hii chuki itakuumiza nafsi.
Hakika wanawake tunatakiwa tujue nini ndoa,upi uzito wa ndoa na mume ni kitu gani..Allah atujaalie ndoa zilizo jaa mawadat,sakina.atufanye wenye kuridhika,na tuwe tulizo kwenye macho yao,tusio na waume Allah atujaalie,na walio kwenye ndoa ziwe zenye kheri.darsa zuri mashallah
@shefumasanja-wn6lj
8 ай бұрын
Asante
Hii elimu nzuri nimeipenda sana,hakuna kitu chenye mtihani kama ndoa au mahusiano,yanahitaji subra na msaada wa MUNGU
@salumkifan3637
2 жыл бұрын
Nkweli kaka
shekhe umeupamba.moyo wangu kwa maneno mazuri maashaallah
Allah aniongoze niwe wa kulizika kwa mume wangu inshaallah na ndoa yetu iwe mpya kila iitwayo leo na niwe mke mwema yarrabi mwenye busara aman na upendo na huruma pia kwa mume wangu
Mafunzo mazuri 👏👏👏 though am a Roman catholic
Yani nampenda shekhe Othman kwajiri ya Allah akuweke zaid iliuzid kutuhelimishe
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Kabisa Amin
Shukran shekhe jazaka'Allahu kher minal dunia wa akhera 🙏🙏ujuwe shekhe hivyo unavyozungumza napata fikira ya kuolewa niishi Kwa mapenzi mema na mume wangu lkn bado Allah ajanipa na nipo kazini wallah naogopa pengine nikaingia kufanya Mambo mabaya kabla ya ndia kwasababu hivyo unavyozungumza namna bakiluishi Kwa upendo kunakitu kinanijia na ninaogopa lkn itabidi nianze kufanya Ibaada na kuomba utulivu na kujizuia haya matamanio ninayo yahisi ya Allah nifanyie wepes katika Hilo pia shekhe niombee shukran shekhe balakaallahu fihiii
@reemareemo2698
2 жыл бұрын
Pora ata ange mpiga tuu asira ziishe
@tawaqthabith1689
Жыл бұрын
Inshallah mola akujalie
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH sheikh wetu kipenzi #othmanmichael kwa kila ilmu tunayo pata kupitia kwako MWENYEZI MUNGU akupe uzima na maisha marefu,ummah mzima atupe maskizano,uaminifu,mapenzi,kuongozana,atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema Amiin ya Rabbil Allamin
@adijarashidi1426
2 жыл бұрын
Waaleykum ssalam warahmatullahi wabarakatuh AAmin 🤲
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
@@adijarashidi1426 Amiin ya Rabbil Allamin
@rahmatahmed1871
2 жыл бұрын
Waleikum Msalam warahmatullah wabarakatu habibty
MAASHAALLAAH SHEIKH WANGU ALLAAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI NA AKUKINGE NA KILA BALAA
Nimefulahi.sana Kumsikiliza.uyu.shee.nampenda.san Mungu.amuweke.milele.siku.moja Aje.atatuwe.matati.nyagu🙏
Am a Christian but listening to you teaches me alot 👌,am even dating a Muslim soon to funga nikha😊
@rahmatahmed1871
2 жыл бұрын
MashaAllah karibu katika uislam mammy
@aaa64sa13
2 жыл бұрын
MashaAllah!!!
@mariamjack9471
2 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema inshaallah
@khadijaangore4408
2 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah. karibu kwa dini ya haki.❤❤❤❤💞💞💞💞💞😘😘😘
@yussuphsultan1400
2 жыл бұрын
Mashaaa Allah....Allah sw akufanyie wepesi....ingia Kabisa kwenye uislamu Ili ujifunze na ujue jinsi ya kuomba dua jambo lako liwe jepesi Kwa idhni yake
MashAllah tabaraka rahman jazaaqa Allah kher
MASHA ALLAH sheikh wetu Allah Akujalie umri mrefu wenye kheri tuzid kunufaika
Kwa kweli yote ni mitihani ya dunia2 hiyo Allah atujaalie minalfaidhina.Pia shekh wetu kipenz tunaomba dua kutoka kwako Allah atuepushe na mabalaa mazito kama hayo na pia atujaalie katika waja wema inshaallah
@mahmoodalghefeili5370
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
Asalaam Aleykum sheikh Othman Asante kwa yote. na utuwombe kwa Allah, tufiko kwako mashalla
Shida ya wanaume hawawezi kumsamehe wakisalitiwa ila ndio wanaongoza kwa usaliti......Yarabi tuweke mbali na zinaa
Mashaallaaa shekh alla ukupe mwisho mwema ila mm mumewangu aliniacha kwatara3 mpigo ila nashukulu na baba yangu alikua mcha wangu alinipa somo na sikuweza kushawishika kurudiana tena mpaka leo hii ninamiaka10 sijaingia kishawishi kuludi kwake
Allah Akujaalie umri wenye heri nawe uwwmrefu uzidi kutuelimisha. Allah atujaalie tuwe wasikivu na tusiyoolewa Allah atupe Mumewema lnshallah🤲
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin yarab
Amiin ya Rabbil Allamin sheikh
Masha'allah, jazakallahu khayr Sheikh.Yaani hii darsa imenigusa mahali duh!
Shukran jazakallahu kheir.. Allah akuhifadhi sheikh
Aki naskia nmeguzwa mahali,mungu akuongoze uzima uzidi kutuelemisha
Subhanallah shukran sheikh napenda mawaidha yako course yananipa ujasiri na Aman ya moyo wangu mungu akubarik🙏
Mashaalla mashaallah sheikh Othaman unamafunzo mazuri sana .yaret ingekuwa nusu ya watu wanafuata basi uhasama na ugonmvi ndani ya nyumba usingekuwepo mungu akubarik.mungu akupe uzima wa afya.hata usemaji wako sheikh wewe mtaratibu sana.nampa hongera sana mkeo.mungu awajaazie kila lenye kheri na nyinyi ameen
@omarchoro5936
2 жыл бұрын
Allah akujalie kher
Nimeguswa sana na mfunzo yako inshallah mungu akujalie
Allah akuhifadhi kwaajili yetu shekhe mchanganyiko ule wamafuta ALHAMDULILAH umenisaidia
@rahmamohammedmohammed7987
2 жыл бұрын
Nambie namie huo mchanyiko dawa ya nini
Mashaallah inatakiwa Subira zaidi ktk dunia hii . Na tuliambiwa tuisha nawe kwa makini wanawake . Lakini yanafikanga mwisho na Allah anakuonnyesha yote .
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin
Jazakha allah sheikh
Masha Allah my Allah protect you sheikh nimjifunza kitu pamoja sijaolewa ila Allah anijalie mme wa hivyo hakika nitamjali
Maa shaa Allah sheikh wetu tunanufaika na mafunzo yako!!! Allah akujaze kheri
Mashallah.shukran sheikh
Maashallah umetujeja Sana ustadh ndoa nyingi zinayumba kwasababu ya uzinifu Ila Allah atuongoze katika njia zilizonyooka na ftatilia nikiwa uganda
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa uwoga hawana watu wala imani
Mashallahu shukuran shehe wetu Allah atuhfadh na maas ya zina
@saadahydar7106
2 жыл бұрын
v ýcyuucyyuyyyyyyyyyû cuu7uyy7yu77777uu7u7uu7uuuuuuu7c7777777777777777777777777777777777777777777vvv777777777777777777777777uuu
@saadahydar7106
2 жыл бұрын
u juuuuvuuuuuuuu u
😂😂😂😂😂😂😂😂Apo Kwenye Honey Honeyy Honeyyyyyyyyyyy😂😂😂😂😂😂Nimecheka Mie Ila Nimependa Inapendeza
Shekhee othmani m.mungu akujaalie kila la kherii ameeen
@bintimossisaidi1443
2 жыл бұрын
Amiin
Allah aniepushe siwezi uwa mimi sheikh kasema kweli mwenyezi mungu amjaze kheri
Asante Sana othuman Michael kwa dawa safi mwenyezi mungu akuzidishie maisha maref ilituendelee kupata dawa nzr amen
Haaaaaaaa Nihatari sana Ndugu yangu, bwana Yesu wali muuliza kitu gani tuna weza kuwapa taraka wake zetu . Akajibu mwakizini njo muna ruhusiwa kuwapa taraka
Shukran cheikh wangu mungu akulipe kilishikuwa cha kheri kwako
Jazak Allah khairan
Sheikh, alhamdulil laahi, Allaah akujaze zaidi ilmu,nakuomba tuletee kisa cha Dhulqarnaini kwa urefu.
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu....JazakAllahu kheri yaa sheikh
MashaAllah sheihk wetu Allah akupe umri mrefu
Assante shehe ujumbe umenipendezeya🎉 mashallah
Jazakallahu khair kwa mafunzo. Mzuri Sanaa
Asante cheikh wetu umetufunza mengi
ماشاءالله حياك الله أحسن الحياة وطول العمر
Shukran jazakallahu khayran
Jazzaka llahu kher shekhe Mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila hasad nakupenda shemela wangu
Subhana Allah tuombee Sisi mabinti tupate rizki Za ndoa tunusurike Na zinaa
Mashauri mazuri kabisa,ila wanawake ni wabaya sana,ni kuishi ishi tu kwa kupitiza muda,ila wao siyo watu wazuri
Asante sheikh kwa kutuzinduwa!
Ma sha ALLAH tabarakallah asante sana Muheshimiwa
Shukran ya sheikh Allah atukinge na uzinifu
Safi sana shekh barikiwa kwa mafundisho mazuri mwenyezi mungu akujalie kheri
Napenda sana mawaidha yako umenibadilisha sana shekh mungu akupe umri mrefu wenye amali njema
Mashaallah. Mashaallah Allah akupe umri na uzidi kutufundisha. In sha Allah. Shukran
Manshaallah darsa zuri Sana Allah akudumishe
Shukran sana ustadhi Allah tuepushe na mitihani hio yarrab
Mashaallah Allah akubarik san sheikh
Nina watoto 3 natafuta mume mwenye hofu Ya Allah, anistirii kwa ajili ya Allah, namiaka 28.
@oratrace2377
11 ай бұрын
ALLAH akujalie
@mahabubosman837
10 ай бұрын
Huko wapi
@JumaaZamiru
5 ай бұрын
Insha'allah utampata tawaqqar
I'm Christian but u make me cry. May God akupe maisha malefu
mwanamke anapenda emotional support... hata tu ile kusaidia watoto sometimes.. ukiwa nyumbani kaa na family yako.. mwanaume akiwa nyumbani kulala asema kachoka. kwani wanawake hawachoki?? ulezi. pia ni kazi kubwa sanaa ya watoto.
@hildaaloyce8043
Жыл бұрын
☑️☑️☑️☑️☑️☑️
@zakatyzakaty1426
Жыл бұрын
Ni kweli
@sashoright6496
Жыл бұрын
Umegusa panapotakiwa kabsaaa
Mashaallah tabalakallah shekh othamani
Choka mimi na hawa wanaume.. 🤦♀️
@aflahabdula4084
Жыл бұрын
Choka voo ila dawa yao mdogo wangu nikuwapotezeya mimi mume wangu kanifanyia mengi sana mpaka nikajiuliza kwa nini au kwa vile nimetuliya ila sasa nawaleya wanangu tu simuulizi akitoka wala akiingia au anarudi wapi nafanya ule wajibu tu sinahabari na yeye mpaka anajiuliza
Masha Allah tabaraka Allah mungu akupe kila LA kheir
Asante sana, ubarikiwe sana ,nimejifunza kitu..
Nimejifunza Mambo makubwa na muhim usiku huu Asante sana
mashanlaa sheykh mola azidi kukuweka akupe umri mrefu namuomba anllaa anipe Subra
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu
Walah umenigusa moyo wangu shehe barikiwa
Mashallah maneno Mazur shukran
Kisa kizur mashallah, mungu atupe subrah na nyoyo za huruma na mapenz ya kwl, mungu atuepushe na Hali hizi
@saumkhalifan7700
Жыл бұрын
Assalamualaikum sheikh nnaswali tafadhali je ukiwa umeolewa na umepoteza hisia huna hamu na yule mume unapaswa kufanyaje
Mashaallah Masha Allah
Mashaalah somo zur allah akupe kher shekh
Shukran sheikh kwa darasa hili
A aleykum Asante kwa maneno yako matam
MUNGU AKUBARIKI SANA SHEKHE KWA UJUMBE HUU NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA MNO AMEEEEEEN
Good teaching thank you God bless you..
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿não dormo bem ate ouvir sua voz em mawaidha
Asante Sana ustadi
Allahu barick sheikh wetu uzidi kutupa elimu
Kaka Ukutane Na Huyo Mwanamke Nae Anaakiba Ya Fikra,Ndio Unaweza Ukamwambia Mpigie Aje Na Akafanya Hivyo, Siku Hizi Utapata Tabu Aise, Mwenye Haki Ndio Anakuwa Mkosaji Na Mkosaji Ndio Anakuwa Mwenye Haki Hadi Serikalini.Ni Mafunzo Mazuri Kwa Wenye Kujaariwa Amiin.
@kassimmurji632
Жыл бұрын
Uko sahihi ndugu
SubhanAllah
Mashallah,hongera kwa somo zuri
Mola akubariki sheikh!
God blees you ❤❤
Asante kwa SoMo lako
Shukran yaa Ustadhi kwa Darasa lako.
Yaani mashallah unanifurahisha sana you make my day
Mashallah shiekh
Subhanallah... Allah atunusuru na vizazi vyetu yaarab.. Ameen.
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin yarab Amin thuma Amin
Now u know how to talk sweet issues for both of the males n females.👌
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
True
Asante shekhe kwahili somo lako
Shukran mualim
Mashaallah hayo mafundisho kwakweli ni muhimu mno ndoa skuiz ni nyingi hazina mapenzi bali ndoa skuizi zina machozi ubabe ruu kwenda mbele subhana llah inshaallah kwa mawaidha haya wawe ni wenye kuzingatia amiin