CHOZI LA MWANAMKE LINAFUNGA MIKONO - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
Sheikh Othman Michael akinena na akina Baba juu ya Wanawake
Жүктеу.....
Пікірлер: 151
@sisterwinner18 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini wakuongea maneno kama hayo hawapo umenguza moyo wangu naomba angalau wananaume wangeelewa hayo maneno ubarikiwe sana naitwa beatrice
@sabrasaid7739
8 ай бұрын
Amiin
@HusseinSaleh-zx7ix
8 ай бұрын
Ingiya dini ya kiislam sasa
@darknight-yq3zw
8 ай бұрын
Betrice ni mesikiya nakupenda na sikujuwi wallah ingiya kwenye dini ya haki
@AnnaMkasaАй бұрын
Dah hili limenigusa sana sheikh ❤ nami yalinikuta haya kwa mwanangu ila nimemsamehe mwangu kabisa hapa dunian mpaka mbingun japo leo sina family kwa sababu yake ila nimemsamehe kwakua nampenda mwanangu Allah ambariki sana na amsamehe kwa uwezo wake❤❤🙏
@user-hd4go9xk7nАй бұрын
Nililia sana hila sasa hata hafanye kitu gani wala moyo wangu hauna maumivu tena nabado hanaendelea namatukio yake hila moyo hauna wasiwasi tena ❤
@user-hk6ls3yw9q8 ай бұрын
Mashallah: laiti masheikh wote tungetoa mawaidha Kama haya uislam tungeupeleka mbele,
@user-hd4go9xk7nАй бұрын
Yanayo nikuta kwenye ndoa yangu hila mimi umwambia mume wangu akuna kipya chini ya jua yote namuachia mungu uweza kuwa nimajaribu ana nijaribu mola wangu kumwambia mume wangu nakuachia mungu hatanilipa uwa nakosea sheikh
@user-tr9jj3rd9g8 ай бұрын
Allah akulipen kila lakheri😊
@theresiapatrick78609 ай бұрын
Mimi Ni mkristo lkn umenigusa, nimekuekewa vzr sn Hadi nimelia lkn chozi la baraka kwako. Mungu akubariki Shekh wangu
@saadamasud45919 ай бұрын
Shekh umenigusa saaana allah akupe afya uendelee kutuelemisha zaid na zaid kwa kwely mi nimelizwa saana lakin nasema alhamdulilah
@bilqismathuku
8 ай бұрын
2kowengi dadaa subra domuimu,.
@user-zt6re1dr5f8 ай бұрын
Allah atusitir vifua vimesheheni majonz yatokanayo na madhila ya 1 wanaume japo twawavumilia,mungu awasamehe
@RukaiyaSaid-il5ny3 ай бұрын
Allah akupe maisha marefu ostz
@Kondoa8059 ай бұрын
SUBHANALLAH ninaomba tu Allah anijaalie yaliyo pita yasije yakajirudia kwangu na kwa kizazi changu hakika no huzuni kwa kweli
@kalamuMedia
9 ай бұрын
Kuna baadhi ya maswahaba waliwahi pitia Giza haswa kabla hawajauingua Uislamu Ila walibadilika na wakawa ni vioo wa Dini yetu,nawewe unaweza
@user-sv6zy3hc8o9 ай бұрын
Asalam alykom sheghe othmani michael tunashukuru kwa mawaiza yako na mafundisho tunakupenda kwajili ya allha
@AliceNirera-mi9ck8 ай бұрын
You are the best sheikh in the World cheikh Othman
@DelightfulPenguin-wk4kv6 ай бұрын
Mashallah Mola akuajalie kila la khreri na akuzidishie uwe mwenye kuzidi kutupa nasaha
@carolinekwakala74399 ай бұрын
Ahsante Sana sheikh umefundisha vizuri na umegusa maisha yangu. Mume niliyenaye Ni jehanu tesha.
@najmasaidy7317
8 ай бұрын
😢😢😢😢
@user-ky7lm3qp3e8 ай бұрын
Shekh Mimi ni mkristo lakini mawadha Yako yamenigisa sana Sanaa yananikuta Kila siku Mimi ni wakulia tu😭😭
@mariambakari37513 ай бұрын
Allah atusamehe pale tunapowakosea wazazi wetu yarrab
@osmansalim1729 ай бұрын
Nakuelewaga sana shekh othman, unatujenga sana watu wawe na hofu na ALLAH
@a.8569 ай бұрын
Jazakallah khayran
@happysamwel38809 ай бұрын
Nimelia mimi
@ElizabethWamcha8 ай бұрын
Nakuckiliza nimeshindwa kuvumilia machoz ynanitoka mungu akujaalie uzima afya
@SalmaSeleman-wj4wk7 ай бұрын
Sheghe ninafarijika sana pindi ninaposikia mawaidha alwaaa akujaalie husnuli ghatima
@joycebongo92759 ай бұрын
Mashallah sheikh mimi haya mawaidha yamenigusa sana Allah akuzidishie
@jumahamad37239 ай бұрын
Napenda mawaidha ya sheikh Othmani Michael
@djaliaumuganwa57387 ай бұрын
❤❤❤❤ mashaa allah allah akupe ujira mwema sheikh wetu
@delinevamwakapasa69489 ай бұрын
Wanawake mungu atusaidie
@FatumaBegamu-cy6ue6 ай бұрын
Thank you so much sheikh for bringing this out.this is areality
@kadzojamesjameskadzo39508 ай бұрын
Subhanallah bless you sheikh❤
@RodaMtangi-bu6vs5 ай бұрын
Mungu akuzidishee umri mrefu
@pilimark35778 ай бұрын
Mungu akubariki shekh Othman hakika umenena yaliyo ya kweli haswaaa
@MonicaKaskazi-ju2is9 ай бұрын
Barikiwa Sana shehe
@husseinibrahim54389 ай бұрын
JAZAKA ALLAH SHEIKH
@shamusathebeautifully59459 ай бұрын
Mashallah Shukran sheikh Allah akulipe kila la kheri 💙💙💙💙
@timejames50999 ай бұрын
Mashallah mwenyezimungu akuhifadhi na akupe kheri ututolee mawaidha zaid inshallah mawaidha yako yanagusa familia zetu
@leticialawi95697 ай бұрын
Aksante nimejifunza mengi Amen
@levinalyimo62409 ай бұрын
Jamani sheihk nakupenda sana mawahdha yako mazur sanaaaaaa
@ElizabethFesto-fv2ku8 ай бұрын
Una sema kweli japo mimi si wa imani yako
@bilqismathuku
8 ай бұрын
Karibu Eliza.
@user-yustajoseph9 ай бұрын
Marshalls.mungu.akuzidishie
@joycebongo92759 ай бұрын
Mashallah sheikh Allah akubariki
@madamfathmachimammy23898 ай бұрын
Subhana Allah u made me into tears 😢😢 imenigisa Sana
@mariamumsanzu82668 ай бұрын
MASHAAALLAH 😊shukrani sanaa sheikh
@user-ws9ch4uj1d7 ай бұрын
Baraka Allah
@kinegahamisi95629 ай бұрын
Shukrani Sana sheikh nimejifunza kitu hapo
@elizabethmwangi58748 ай бұрын
MashaAllah shukran sheikh🙏
@HalimaNyakure-mx9xy9 ай бұрын
Mashallah shiekh Othman Allah akuzidishie
@user-fj4wx6xd3y9 ай бұрын
❤❤❤❤❤mungu akuzidishie uendelee kutukumbusha.
@chuilion30999 ай бұрын
Shehe Yani wanaume wasasa Yani sijui tuwaweke fungugani
@halimamaliyo81218 ай бұрын
Kweli kabisa Sheikh, inshallah Mungu atupe subra na uvumilivu kwenye ndoa🙏
@wazirimwamba885
8 ай бұрын
Nikweli sheikh mingu akujalie
@nusratbintabdullah57139 ай бұрын
Aki shukran sheikh ilove you my sweet mummy very much ❤❤❤ ndio maana nabambana warabuni ili nifurahishe wazazi wangu na wanangu
Пікірлер: 151
Mimi ni mkristo lakini wakuongea maneno kama hayo hawapo umenguza moyo wangu naomba angalau wananaume wangeelewa hayo maneno ubarikiwe sana naitwa beatrice
@sabrasaid7739
8 ай бұрын
Amiin
@HusseinSaleh-zx7ix
8 ай бұрын
Ingiya dini ya kiislam sasa
@darknight-yq3zw
8 ай бұрын
Betrice ni mesikiya nakupenda na sikujuwi wallah ingiya kwenye dini ya haki
Dah hili limenigusa sana sheikh ❤ nami yalinikuta haya kwa mwanangu ila nimemsamehe mwangu kabisa hapa dunian mpaka mbingun japo leo sina family kwa sababu yake ila nimemsamehe kwakua nampenda mwanangu Allah ambariki sana na amsamehe kwa uwezo wake❤❤🙏
Nililia sana hila sasa hata hafanye kitu gani wala moyo wangu hauna maumivu tena nabado hanaendelea namatukio yake hila moyo hauna wasiwasi tena ❤
Mashallah: laiti masheikh wote tungetoa mawaidha Kama haya uislam tungeupeleka mbele,
Yanayo nikuta kwenye ndoa yangu hila mimi umwambia mume wangu akuna kipya chini ya jua yote namuachia mungu uweza kuwa nimajaribu ana nijaribu mola wangu kumwambia mume wangu nakuachia mungu hatanilipa uwa nakosea sheikh
Allah akulipen kila lakheri😊
Mimi Ni mkristo lkn umenigusa, nimekuekewa vzr sn Hadi nimelia lkn chozi la baraka kwako. Mungu akubariki Shekh wangu
Shekh umenigusa saaana allah akupe afya uendelee kutuelemisha zaid na zaid kwa kwely mi nimelizwa saana lakin nasema alhamdulilah
@bilqismathuku
8 ай бұрын
2kowengi dadaa subra domuimu,.
Allah atusitir vifua vimesheheni majonz yatokanayo na madhila ya 1 wanaume japo twawavumilia,mungu awasamehe
Allah akupe maisha marefu ostz
SUBHANALLAH ninaomba tu Allah anijaalie yaliyo pita yasije yakajirudia kwangu na kwa kizazi changu hakika no huzuni kwa kweli
@kalamuMedia
9 ай бұрын
Kuna baadhi ya maswahaba waliwahi pitia Giza haswa kabla hawajauingua Uislamu Ila walibadilika na wakawa ni vioo wa Dini yetu,nawewe unaweza
Asalam alykom sheghe othmani michael tunashukuru kwa mawaiza yako na mafundisho tunakupenda kwajili ya allha
You are the best sheikh in the World cheikh Othman
Mashallah Mola akuajalie kila la khreri na akuzidishie uwe mwenye kuzidi kutupa nasaha
Ahsante Sana sheikh umefundisha vizuri na umegusa maisha yangu. Mume niliyenaye Ni jehanu tesha.
@najmasaidy7317
8 ай бұрын
😢😢😢😢
Shekh Mimi ni mkristo lakini mawadha Yako yamenigisa sana Sanaa yananikuta Kila siku Mimi ni wakulia tu😭😭
Allah atusamehe pale tunapowakosea wazazi wetu yarrab
Nakuelewaga sana shekh othman, unatujenga sana watu wawe na hofu na ALLAH
Jazakallah khayran
Nimelia mimi
Nakuckiliza nimeshindwa kuvumilia machoz ynanitoka mungu akujaalie uzima afya
Sheghe ninafarijika sana pindi ninaposikia mawaidha alwaaa akujaalie husnuli ghatima
Mashallah sheikh mimi haya mawaidha yamenigusa sana Allah akuzidishie
Napenda mawaidha ya sheikh Othmani Michael
❤❤❤❤ mashaa allah allah akupe ujira mwema sheikh wetu
Wanawake mungu atusaidie
Thank you so much sheikh for bringing this out.this is areality
Subhanallah bless you sheikh❤
Mungu akuzidishee umri mrefu
Mungu akubariki shekh Othman hakika umenena yaliyo ya kweli haswaaa
Barikiwa Sana shehe
JAZAKA ALLAH SHEIKH
Mashallah Shukran sheikh Allah akulipe kila la kheri 💙💙💙💙
Mashallah mwenyezimungu akuhifadhi na akupe kheri ututolee mawaidha zaid inshallah mawaidha yako yanagusa familia zetu
Aksante nimejifunza mengi Amen
Jamani sheihk nakupenda sana mawahdha yako mazur sanaaaaaa
Una sema kweli japo mimi si wa imani yako
@bilqismathuku
8 ай бұрын
Karibu Eliza.
Marshalls.mungu.akuzidishie
Mashallah sheikh Allah akubariki
Subhana Allah u made me into tears 😢😢 imenigisa Sana
MASHAAALLAH 😊shukrani sanaa sheikh
Baraka Allah
Shukrani Sana sheikh nimejifunza kitu hapo
MashaAllah shukran sheikh🙏
Mashallah shiekh Othman Allah akuzidishie
❤❤❤❤❤mungu akuzidishie uendelee kutukumbusha.
Shehe Yani wanaume wasasa Yani sijui tuwaweke fungugani
Kweli kabisa Sheikh, inshallah Mungu atupe subra na uvumilivu kwenye ndoa🙏
@wazirimwamba885
8 ай бұрын
Nikweli sheikh mingu akujalie
Aki shukran sheikh ilove you my sweet mummy very much ❤❤❤ ndio maana nabambana warabuni ili nifurahishe wazazi wangu na wanangu
@bilqismathuku
8 ай бұрын
mashaAllah,,,baaraka Allahu laka,Allah akufanyie wepesi.
@wahdasakihi
7 ай бұрын
Allahu akbaru
Maaashallah Allahuakbaar ربنا زدنا علم ورزقنا فهماا
@Sam-hk9hi
8 ай бұрын
Maaashalah sheikhe unatufundusha mambo mazuri. Allah akuzidishie kheri. Amiin
Allah akulipe inshaalah.
Mungu akubariki sana kwa hayo mafundisho kwani Kama unaniona ninavyoila
Ubarikiwe baba kwa mafundisho yako. Tumebarikiwa sana
@saramwalilino9140
8 ай бұрын
😊😊😊😊
Mashaallah mawaidha mazuri
Mashaallah tabarakallah
nikweli shekh mungu awaguse wanaume wote😭😭
Mashaallah shukran ❤❤❤❤
Subhannah llah Mungu atupe wepes
Alahamdulillah
Mashaallah shukrani sana
ALHAMDULILLAH sheikh mimi silii tena maana mume ameniliza sana ameniumiza sana ila nimemsamehe,sitakaa nimpende tena ALLAH nakuomba
@radhiarukemo6150
8 ай бұрын
Pole sana. Naelewa unavyojisikia
شكرن جزاك الله خير
innallillah wainalillah rajuun 😭😭😭😭😭
Jazzakallah shekhe yameniumiz mimi mawaidha haya😢
Mungu akulinde 🙏
Masha allah allah akkulipe ujiramwema❤❤
@ZainabuOmary-nt7xf
8 ай бұрын
Mashaalah mungu akuzidishie umri
Mashaalah Mwenyewe ziMungu akulipe
Allah akutangulie katika kz yko inshallah ❤
Mashallah shukran
Shekh wanawake tunaliasasa wanaume Yani sijui tuwaweke katika fungu gani
Cheikh Allah akulipe kila lahkeri ❤
Shehe mungu akulinde
Mashallah
Safi sana shekh Michael
Mawaidha mazur sna
😢 Mimi naliya kila siku kuhusu vijana wangu wawili waliyo nisaliti
Nasikiliza mwaidha Sasa yananiliza sana kutokana na maisha yangu ya ndoa
@maryamsaid1307
8 ай бұрын
Pole
Mashaallah
Subuhanall mungu awe anatupa subra
@umfarooqjumbe1702
7 ай бұрын
Subra tunayo sema t ndo tulishaumia ivyo mpaka machoz yatoke iwe ahuen
Ubarikiwe sana.
Masha Allah ❤ shukran sana shekh
@CF-ho9zh
8 ай бұрын
😊😊😊😊😊
Asalam Alekum mawdha. Yako manzuri Sana wanaume wanatutia simu Sana kwenye moyo lakini tunawapenda Ila mungu atujarie subira
@najmasaidy7317
8 ай бұрын
Kabisa😢😢
Mimi sio wa dini yenu ila Mungu akubariki.
@kalamuMedia
9 ай бұрын
Akubariki nawe,zaidi...Allah akujaalie bahati kama jina lako
Lailahailalah
Umetuona wanawake leo tumefikiwa thx🎉
Sheikh kiarusi ndo nin sijawah kuelewa na sio mara moja naskia hilo neno
ni kweli shekhe wanaume wana2fanya 2badilike hawna mapenzi ya dhati m2 unapenda yy anamambo mengi
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
MUNGU ATUSAIDIE sana
❤❤❤
I sheikh umenigusa mno yaani inabidi tu umuachie Mungu afanye maamuzi kwangu
Shukran
M mkristu lkn nimesikiliza nimeumia nimejifunza nimeona km unaniongelea mm jmn😢
Somo Zuri
Hii mada igekuwa y lisaa jaman niukwel mtupu unaogea sheikh maiko🎉
Asalamu alaykum warahmatullah tunashkuru kwamamawaiza yako
Asallam-alleykum shekhe inshaallaaa tupatie masikio yakusilia
Sheikh iyonikweli
We mtu anakutukana Kama hakujui anakupiga Kama hajawah kukuambia nakupenda kwa nn usitoe machozi ya uchungu acha wakome
Lau wanaume wote wangelikuwa kama wewe Sheikh hakika pepo tungeingia sote😢