Kweli hutosahau mpaka unatiwa kaburini kwa maneno machafu
@Aminamuhamed Жыл бұрын
S.A.W REHMA NA AMAN ZIMFIKIYE JUU YAKE NA MASWAHABA ZAKE NA AAL ZAKE ❤️
@user-qg4di9sc8g4 ай бұрын
Namuomba M/mungu amuongoze mume wangu
@mariammaulidlimo9332 Жыл бұрын
Mimi sina la kusema .... Allah akulipe duniani na akhera shekhe kwa mafundisho yako
@aamarsuleymain2932 Жыл бұрын
Sio kwa wanaume wa sasa mwanaume wa sasa ni gubu kero kwanza anataka pesa zako umlishe wanahitaji mwanamke uende kutafuta yeye analala unaludi hoi utatimiza majukumu ya ndani kweli wanaume mubadilike
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Ndivyo mnavyopenda hivo wengi ktk ninyi wanaona kazi ni bora kuliko mume
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
@@mirajiissa4603 Kwa hiyo akae nyumbani mle mawe...
@abdallahmahmoudy3528
Жыл бұрын
Sahihi, Allaah akuhufadhi
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
@@abdallahmahmoudy3528 Amin Insha Allah
@rahimaan6481
Жыл бұрын
Yani kweli kbsa wanaume walio wengi sasaiv anatafuta mwanamke alie na kazi au biashara,wao wamekaa tu vibomu sasa khaaa 😂😂 haya hawana wanaomba haoooo balaaa yani mtihani,tena wakishajua upo ughaibun mamaaaaaaa weeeee na ndoa utatangaziwa,ili upigwe vibomu vzr,me ntafunga tu jmn maana kila nikiwawaza hawa jamaa wasasa asilimia kubwa wapigaji😢
@AminKofaАй бұрын
Mashaalah❤
@mariamndarwemeye17617 ай бұрын
Kwa kweli, Allah awape subra wanawake wote dunian
@MaryamHamad-uw9of Жыл бұрын
Alhamdulillah Allah atujaze ufahamu kwa wanaume na wanake na kutuwezesha elimu na moyo wa kutekeleza yalio kua ni wajibu kwa kl mmoja ktk maisha ytu
@user-cd4ng3pr2z5 ай бұрын
Mungu,akuzidishie Kila la heri.,ul
@user-km7xy3ls6i6 ай бұрын
Allah😮akupe umri mrefu shekhe nakuoenda kwa ajili ya allah
@ibugharib389 Жыл бұрын
JAZZAKALLAH KHERI.Bega kwa bega mpaka Firdaus
@samayraqueen134 Жыл бұрын
MashaAllah sheh una mawaidha mazuri sana tunataka uje kwetu Burundi Inshallah
@RehemaMohd-yi9tu Жыл бұрын
Shukran sheikh Othman maalim kw kutkumbush hakika weng wet tunashau wajib na majukum yet kw waum zetu ila na kwa wanaum nao nijkm lao kuwjibk kw wezawao shukrn kw ukmbush.
@mwajumamohamed4696 Жыл бұрын
Mashallah,Mungu azidi kukupa umri usaidie kuelimisha kizazi chetu.Akujaaliye kila yalo mema duniani na akhera inshaallah
@ashrafyyousuf6821 Жыл бұрын
Allahu Akbar,wakumbushe ya sheikh😭😭😭
@abdallahmahmoudy3528 Жыл бұрын
Alhamdulillah, Allaah akulipe kheir maalim,darsa njema sana kwa mlokuwa bado kuolewa na kuoa,pateni faida ktk darsa hii Alhamdulillah
@kibambiibrahim57147 ай бұрын
Mashekhe Wangu nami niwakumbushe kuvaa Pete na saa mkono wa kulia Sio wa kushoto
@djafarsangara9465 Жыл бұрын
wanawake wa iyi carne walisha badilika sana kama wana jikamata kama wao ndiyo wa responsable wa wanaume , shukrani kwa ukumbusho sheikh
@shinayzashiraaz45882 ай бұрын
Subhanallah Jazakumullah kheirun
@ZuhuraSaid-sx8xh Жыл бұрын
Unacho kisema nikweli kabisa ila waume wetu mtihani mkubwa tunavumiliat inshallah mungu awaongoze
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
@HALIMAKOMBO-xx5gz5 ай бұрын
Asalamu aleikum warahmatullah wabarakatu. Shukran kwa darsa lako Allah barik. Sheikh naomba jawabu lako kma mumeo haezi kanya dadake anapokosea na siku zote anaambia mke kuwa astahamili maudhi yote ya dadake . Jee ni sawa yeye kama kiongozi wa familia kuyanyamazia kisa anaogopa familia yake na kupuuzia anachopitia mke . Na jee hapo inaezekana patikana vp furaha ndani ya ndoa hii
@hawamohammed6939 Жыл бұрын
Maashaallah Shekh Othman Maalim Unawapa Dawa Waume Na Wake Wajitambue Wajielewe Shukraan Shekh Allah Atakulipa Yalio Mema Inshaallah
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Ametoa darsa kwa watu wote wake kwa waume ,,, Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
@ashrafyyousuf68217 ай бұрын
Wana ume wote wange fata hivi, wallahi nsizani wange kuwepo wana waku dai talaka... Pale hambapo kiongozi kinapo geuka mashariti ndio inapo ingia shida... 😢
@YusufuBakheresa-kf2iw Жыл бұрын
MashaaAllah sheikh zama hizi mpk wanaume awajitabuwi tunapo toa darsa kw wanawake lawama nyingi ni kwamba wanaume awajui majukum yao sjui hao nao tuwambie nn
@mohammedibimkubwa4947
Жыл бұрын
Kwani ni uongo. Nyinyi ni viongozi kiongozi ni mfano.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Mtwambie nn na nyie ndio viongozi??? Wengi wenu siku hzi mnapenda mteremko. Utamkuta janadume zima kwenye tick-tock mkewe anafanya upuuzi nayy linabururwa km pumbavu hata haya halioni.
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
@pikanaauntzuu1466
Жыл бұрын
Kwani hamuoni majumba siku hizi yana hudumia na wanawake wanaume wapo bze na TV au games unaingia fb utako tiktok uningia insta siku imepita na bado anataka mwanamke huyohuyo ampe pesa leo mnataka kuolewa na mama zenu kwasbabu ndio wanaweza wapa pesa na wala hamuwi nao kwa mapenzi bali kwasbabu hamtaki kazi mnakubali kuwa nao lwasbabu ya pesa
@faizanassor6336 Жыл бұрын
MASHA ALLAH shukrain sheikh wetu ALLAH akujalie afya njema akuifaidhi ALHMDULLAH tunafaidika kwa kutufuza
@samiramohamed5699
Жыл бұрын
Cheik maanlim ukweli kuna wake wajibu mume vibaya lkn kunao waume majibu yao mabaya zaidi yetu
@saidally2262
Жыл бұрын
Allahu Akbar!.Allah atupe wake wema
@richbird.123 Жыл бұрын
Natamani mume wangu apitie hapa wallahy
@femidayahaya4882
Жыл бұрын
Pole sana Habibty! Zidisha Dua Allah amguse moyo wake ili akumbuke wajibu wake kama mume.
@enterenter7798
5 ай бұрын
😂
@AshaSaleh-qu8rk Жыл бұрын
Mungu awaaongoze waume zetu watambue majukumu yao ili waturahisishie majukumu yetu
@mohamedjuma7206
8 ай бұрын
Hili Sasa ndio neno.Sio wale wanaocomain Eti wanaume wa siku hizi.Mungu atuongoze wanaume tusitelekeze majukumu yetu
@user-zb2rp6fu8d10 ай бұрын
Wengine wanaowa tu bila ndoa napia mwanamke ndo anayejitafutia mahitaji huyu nae nmume aina gani je anahitaji kuheshimiwa
@mwajumaanthony5470 Жыл бұрын
Naombeni ushauri
@caswaralbadry8481 Жыл бұрын
Mwanaume akiwa mchamungu hapo anapaswa kumpata mwanamke mchamungu na mambo yataenda vizuri ama mwanaume akiwa wa hovyo akitaka mwanamke mwema i asije kumhatibu ni bora kwa mwanamke mchamungu kumkataa mwanaume huyo , mana mwanaume ananguvu ktk familia koliko mwanamke, nafasi ya kuchagua mwanamke mwema ni kwa mwanaume mwema tu si haki kwa yule asiekua mchamungu. Ama maswala kupokeleana vitu ni jambo la kujituma na kuzidisha mapenzi si lazima mpaka kusumbuana mambo mengine ukiashikilia mno yanleta hitilafu bora utafute lenye ukaribu wa kuleta mapenzi zaid.
@NuruKasim-nz1fc5 ай бұрын
Mimi hurauka Sasa kumi na nusu Nika mwacha mume wangu akiwa kitandani na nikirurudi kutoka soko hata hawezi niambie au kunipokea na ninapofua nguo zake huniuliza watafuta Pepo au thawabu Sasa Mimi hushangaa kwanini mume wangu huniambia hivyo
Mashaallah shekh ila wanaume wetu hawa niwazito Hata Katka ibada pia unamuambia mume wangu swali anakuambia nitaswal kesho kila siku kesho jee hayo Mengine atayaweza?
@fatimasaid9469 Жыл бұрын
Mashallah tabaraqah ❤
@nasrapaul270
Жыл бұрын
Inshallah
@user-dp2zn6ei2k
Жыл бұрын
Mashallah shehe kweli tupu
@AzizaAhmed-x1e4 күн бұрын
🎉😊😊😊😊😊😊❤❤❤❤❤
@user-wp1yi5qh7q Жыл бұрын
Shekhe wanaume wa sk hizi hawatak mwanamke asiefanya kazi au biashara wanataka wanamwake wapambanaji Sasa ndio maana tunachoka
@Sakasha-c8s22 күн бұрын
Wajaalie wanaume wenye wake wajuwe wajibu wao
@ashamshona9321 Жыл бұрын
Mashaallah shekh wangu
@safianamani1375 Жыл бұрын
Siyo duniya ya lewo..... Makatili hawaogobe Mola
@user-yk2uj6xb4l Жыл бұрын
Amina allah atujalie tuwe miongoni mwawaja ambao hatuwanyanyac wake zetu
@user-ju9mi1ft4v Жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah
@user-hj5fq7rt5m9 ай бұрын
Masha allah m/mungu akujalie mwisho mwema In sha allah m/mungu atujalie upendo kwa waume zetu❤
@daud405 Жыл бұрын
Allahu Akbar, wanawake Mungu aliwapendelea sana yaani kumtii tu mume anapata pepo... kwa kweli wanawake walio wengi hawataona pepo. wanawake wana usheutena mkubwa sana sababu ya tamaa.
@mohamedjuma7206
8 ай бұрын
Hehehe mungu sio mjinga bana.Alijua wengi watashindwa kutuheshimu tu ndio wakapewa hiyo offer
@user-bq4pn5wd7f5 ай бұрын
Kwahivyo wanawake wakomavu wazini wasiolewe..wadogo ndio wanafaa kuolewa
@AzizaAhmed-x1e4 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@AzizaAhmed-x1e
4 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@user-xm7fo9vx2o Жыл бұрын
Jazakkallahu lheir.
@AlmasihKiandikoАй бұрын
Okay
@habibahusein3883 Жыл бұрын
Shukran Sana shekh kwa darsa zuri
@RamlaAli-to7uo Жыл бұрын
Shukraan yaa sheikh...jazaka Allahu khayran.
@biswalhadogani-wt8kv
Жыл бұрын
Shee mm nimemfukuza mime WG kwa kunifosi mid nikakope blaki ili pesa akafanyie mambo take na deni ya ribs nilipe mile tena ananiamrisha nikope boda nikichelewa ktk biashara na pesa zangu zatumika ktk kila kazi pesa zake anaficha na chakula Hanna tens tabligh na kitambulisho anacho nilichoka kwakweli anachezea dini tuu mmmh mmmmh hapana
@zubedamusa9048
7 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe
@roudhamahmoud763 Жыл бұрын
Jqzakalah kher ya sheikh
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Sisi ambao wake zetu hawafanyi kazi tunastarehe jaman
@aminanahimana8759
Жыл бұрын
Hhhh Kabsaa Ma sha Allah Allah awazidishie kheri na wanandoa ote
@sultansallah8772
Жыл бұрын
@@aminanahimana8759 Aamin... Mana hawa wanaofanya kazi wanaodai wakiwezeshwa wanaweza lazma mume ajiandae na wali wa rice cooker
@khadijamgambo6874
Жыл бұрын
Wali wa rice cooker ni haki yako kumpkia mkeo... Hakuamrishwa mwanamke kupka wala kufua wala kuosha vyombo...
@sultansallah8772
Жыл бұрын
@@khadijamgambo6874 na kufanya kazi je kaamrishwa? rudi tena chuoni.... Ww unafikir mtume alikua anapikiwa na nani......
@user-xc2px9yu7p Жыл бұрын
Asante shehe othman maalimu kwa mawaidha yako mazuri
@user-ej9gb6eq2r7 ай бұрын
Huwezubadirisha duniya WWE kiricobaki wekura pess zamshahara tu
@MauwaSama9 ай бұрын
Mashaallah❤
@user-xm7fo9vx2o Жыл бұрын
Jazakkallahu lheir
@user-ru4ce3re2t5 ай бұрын
Wake zetu ivisasa awajitambui kwenye mari
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
Aisee kumbe wagumba hatuna ruhusa kuolewa subhan Allah! Na wajane pia marufuku sawa sheikh ahsantee!
@narknark4249
Жыл бұрын
Mungu atakupa, hakuna lisilowezekana mbele ya Mungu... Kila la heri mummy
@hamadfaki2503
Жыл бұрын
Utapata,mi mwenyewe natamani nipate mke asiezaa iwe tunacheza cheza kila wkt
@elbattawy2864
Жыл бұрын
Hujafahamu sister., Alitoa mfano Mtume S.A.W alioa wajane, fuatilia vizuri mawaidha yeye aligusia kwa vijana ambao wanataka kuingia sasa katika ndoa.
@wyckliffeamaasa5739 Жыл бұрын
TabbarkkAllah! Mafundisho mazuri Sana ila kwenye kizazi hiki hupati hata mmoja,maana hao wake wamegeuka vibaka tu,waenda mbio kumbe nyuma yako Kuna mwingine aandaliwa meza.
@pericykiko6198
Жыл бұрын
Mwanamke akishapenda kapenda ila akupende na usimjali na madharau pengine na watu wa mume wa karibu wanyanyase heeee siku akiota mabawa si rahisi kumrudisha
@user-wp1yi5qh7q Жыл бұрын
Alhamdlilah
@aminasaid9382 Жыл бұрын
Maashaallah Tabarakaallah sheikh Allah atuhifadh sote lakini samahani km nitakuwa nimekwaza mtu sauti yako ina panda na kushuka maneno mengine hayasikiki vizuri .tafadhali sauti iwe vizuri sheikh Shukran kwa Mawaidha mazuri
@zania1295
Жыл бұрын
Shukran sheikh.
@YusuphShaaban
6 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@mohammedibimkubwa4947 Жыл бұрын
Mm ningeomba pia mufanye jitihada yakuelimisha hao wanaume, maana mwanamke hujitahidi ila mda mwingine wanaume ni wauwaji wa mapenzi ya ndoa zao.
@totop3815
Жыл бұрын
Very true
@kholaabdulrahman1750
Жыл бұрын
Sheikh Allah akupe umri twaawil.
@user-uz3ge3tc5f5 ай бұрын
Sio kwa sasa
@muslimmuslim512 Жыл бұрын
Masha Allah
@ziadamsongo2302 Жыл бұрын
hizo zilikuwa enz za mitume nakama wapo basi niwewe shekhe ila hawa waume tulonao mtoto utabebelea mgongoni na kichwani beseni la mboga unapita mtaani mbogambogaaa ukirudi jiko limenuna upike vitoto vile nae akirudi ale na kuoga alale anasema hela hana
@sihabahusseinmdee1102
Жыл бұрын
ndio maana tukaambiwa tuchaguane kwa usahihi, mwanaume anaejua dini hawezi kumfanya mkewe kijakazi wake na mwanamke mwenye dini hawezi mkasirisha mume wake pia hivyo tuoane wenye dini
@AbubakariKifojo-nk7ek Жыл бұрын
Ahsant kwa darasa shekh
@user-ej9gb6eq2r7 ай бұрын
Huyajuwi chekh werogota tu ugewambiya wakezako
@NasraAmosi-or6sx Жыл бұрын
Ni kweli
@asteriashios1852 Жыл бұрын
siyo wa sasa hivi wamekuwa wanaume suruali ila hawapendi kutafuta wanazurura kwenda kucheza bao au vijiweni anangoja mkewe akimbizane na biashara alete chochote mke anatoka yeye anabaki amelala kitandani na ndiyo maana wanawake nao wamewabadilikia akatafute chochote bora alete chakula hajui km mwanamke kafanya ukahaba akalete chakula haya yote chanzo ni wanaume na mwanamke akishajua njia za hella tuu ataaanza kumdharau mwanaume yaani akishanogewa nje sahau ndo imetoka hivyo hatakuheshimu tena mjue hilo tabia mbaya zote wananzofanya wanawake wengi wa sasa zimesababishwa na wanaume kutokujishughulisha na kazi yoyote
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
@abdallahmahmoudy3528
Жыл бұрын
Swadakta, umesema Kweli, Allaah lkariim akuhufadhi, wengi ktk wanaume wapo hivyo,basi jutahidini msimuasi Allaah kwa ajili ya kutulilisha pia kutuvisha, Allaah akulipeni kheir na akusameheni madhambi yenu...
@caswaralbadry8481
Жыл бұрын
Hatari hii kwa kweli nalo jibu
@aishasaidi1182
Жыл бұрын
Jee shekhe kama mwamke yukonanyumba yakeharafu piayukonakaziake mumeakafunga ndoanayule mwanamke mwenyenyumba harafu matumizimengi anatoa mwanamke kulikohatayule mume aidha ukutemume hanakitu kabisa hapo nidhambi sidhambi
@issaathumani7610
Жыл бұрын
@@aishasaidi1182 siyo dhambi bali mke atoe kwa ikhlasw na asimseme kwa alichotoa mume wake amsubirie mume wake juu ya hali yake na amstiri kwa kila hali maisha ya ushirikiano ktk ndoa na kumcha Allah Mtukufu ndio yataleta furaha na mafanikio wengi walikuwa kama nyinyi na leo wapo ktk mafanikio makubwa sababu ya subra juu ya waume zao ambao hawakuwa na kitu
@shamsaabdulkhadilly8106 Жыл бұрын
Wanaume wasasa waowanajua kufuja wakezao nakuwageuza kuwa sehemu ya uwanja wamazoezi
@ibrahimmaulid27047 ай бұрын
Hata wanawake wa sasa ni balaaaaaa hawaelekezeki
@zaitunimrisho6377 Жыл бұрын
❤❤❤
@saumsaum712 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@HalimaKatotoally200-bw6xj Жыл бұрын
🙏🙏
@chikusellah5671 Жыл бұрын
Dini ni ile ile nmwamke n mwaume niyuleyule mpaka siku ya kiyama hivyo tubadilike
@user-xi6vh2ou2e Жыл бұрын
Ukisema ivo utakuwa huko sahihi hiduniya mwanaume anojali familiya yake kwa ukarimu huyu ndo mwanaume halafu kila mtu na mapungufuyake
@user-qm6hn4fu2t Жыл бұрын
Sio wote
@BiubwaMohammed-wn4jz Жыл бұрын
Boranistaghfiru 2
@hadiadaoman1981 Жыл бұрын
Wanaume wa sasa hv sasa anakwambia nataka mwanamke mpambanaji yaan ukiwa mkaa nyumban wanasema we sio wife material 😅na ndio maana asa hv tunafanya hadi kaz ngumu wanawake na ndio maana hamu ya ndoa inapotea ukirid hoi😅😅
Jamani haya yote naona yanani husu Mimi hivi toka juzi nadai talaka yangu hataki kunipa.. maana kila kitu najijali mwenyewe yy mwisho wake akisha toa hela ya shule na ya chakula basi yaani Hana mawazo ya maendeleo hata kidogo mpka sasa tuna miaka 16 kwenye ndoa hatuna hata kiwanja kinacho niumiza yeye hata hajali ndio maana mm nadai taraka yangu na hataki kutoa sijui nimfanyeje mwenzenu
@elbattawy2864
Жыл бұрын
Kwanini udai talaka? talaka ni kitu chengine mfahamishe mumeo na usijaribu kumlazimisha majukumu ambayo yako nje ya uwezo wake ni kharam pia mwanamke kudai mambo ambayo anajuwa dhati mumewe hana uwezo., jitafakari
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
Miaka 16 ishi na mumeo huyo ni wako mumestahamiliana mpaka kufikia kuwa na watoto wakubwa Alhamdullillah zidisha upendo utamuona anabadilika nampe nasaha mume wangu watoto wetu washakuwa tuwatafutie kiwanja (kama hukupata kwa mume watoto watakutaftia kwa uwezo wa Allah
@AyshaHamis-qw3gi
5 ай бұрын
Kumbe unahudumiwa chakula watt shule shukuru dadang kuna watu hata kula awahudumiwi wanahudumia wanawak wenyew kwahy tulia kidgo hyo wak anajitambua mamb na kiwanj pengn hana uwez akiwa na uwez sidhan kam yy ataki kuwa na nyumba yakwake binafsi
@Malaikakisseto Жыл бұрын
Sasa utajuaje kama atazaaa au laaa! Maana wanawake wengine wagumba
Nimeipenda Dalsa ila apo kwenye kuowa bikra kwa Dunia hii Hakuna , alafu hapo kwenye mwanamke mgumba kama ni bint hajaolewa utamjuaje kama ni mgumba?
@elbattawy2864
Жыл бұрын
Muoe sheikh kama hazai uislamu umekuruhusu kuongeza mke hadi 4, lakini haimaanishi umdharau na kumdhalilisha uyo ambae hazai, kumbuka kwamba Allah ndio hujaalia kizazi kwa mwadamu
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
Ssa mke kw km punda kwa mizigo anayobebeshwa. Yy na mume wote wanachokq Tena yy anachoka zaidi mana pengine anabeba majukumu na huku anabeba na mizigo ya ujauzito/tumbo akitua. W’ke jamani ni dhaifu si punda wenu km abebe mtto miezi tisa atue, abbe mwengine na mwengine, afanye kazi, akuhudumikie ww! Ndio mana hua mkali km moto, anachoka ati? Ww ukirudi kazini umechoka na miguvu yako yote hio, unataka mtu wakukukqndq na kukuliwaza na yy akirudi kazini kachokq. Ndio inqpofika usiku mnajitupa tu km mijoka upepo tu unakutokeni.
@immtm4930
Жыл бұрын
makubwa!!
@nailamohd7693
Жыл бұрын
😅😅😅dah
@DelightfulPenguin-wk4kv
6 ай бұрын
Kakangu mashallah chenye wasema ni ukweli but vijana wa saizi wamesahu majukumu yao
@user-ot1rn4ck9l Жыл бұрын
Wanaume wasasa hawana uwadilifu wanakwaza akili tu zawenziwao
@daud405 Жыл бұрын
tamaa za wanawake ni shida. tena imani ya magharibi ya kugawana mali nusu kwa nusu imeleta shida.hamna haja ya kuharibu hela kwa ajili ya Katiba. Katiba kipo tayar '' Quran ''. lakin washenzi america na washirika wamechafua dunia
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
Kwanini ! unazavyodhani wanaume wamekamilika hapana na wao pia wapo wanaume ukouko nnchi za kimagharibi wanaolelewa kama wao ndio wanawake hawataki kufanya lolote😮 unalijuwa? ILO! basi usitia mabaya yote kwenye kapu moja
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Ttzo nyie w’me. W’me wengi siku hzi wavivu na hawataki kusoma. Wao wakishaambiwa na masheikh oeni mpaka wanne wanaoa hata km hawana uezo nao. Ww unategemea maisha ya ssa ukusanye wake bila ya uwezo na wtto wanahitaji kusoma, matibabu na mambo mengine na m’ke anamahitaji ni m’ke gani atakayevumilia ujinga wako??? Oa kwa mujibu wa uwezo wako ili utimize majukumu yako na mkeo apate utulivu nyumbani akulee ww na watto wako. Ww pesa ikibaki baada ya kuekq akiba unakimbilia kuoa bila ya kufikiria km unajizidishia mizigo.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Isitoshe wanaume wengi siku hzi wanatafuta wake wenye kazi zao wawakusanye mpaka wanne halafu wao wawe kazi Yao kupita wakilala tu. Ati wanasema w’ke haja zao ni kustiriwa tu?
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Ww umeyaona ya kugawana tu? Mbona hamusemi ya mke kumlazimisha kufanya kazi akabeba majukumu ya ndani yote na ww ukajifanya unajenga baadae ukamgeukq na nyumba ikawa kwa jina lako??? W’me wengi mnaishi mnawafanyia udhalimu w’ke ni matapeli, mnapenda bure na kusaidiwa na mkishafika malengo mnayoyataka mnaacha wake na kutafuta wengine. Hamuishi kwa kufuata uisilam lkn wkt wa kuachana ndio mnaukumbuka uisilam.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@kassimmanaramalika8592. Hao wanaume wavivu hawapo magharibi tu hata hapo Tnz wamejazana tele. Nikukusanya wake tu na kila mke anajitegemea/anakazi yake. Yy kazi yake huona kupita akilala tu. Ukiwauliza wanakwambia w’ke wapo wengi tuwahifadhi. Mana wanavyoona wao au wanavyofundishwa na masheikh ubwabwa kua mke wajibu wake kwake ni tendo la ndoa tu na huduma wala kumlinda na kumtunza.
@user-rs7cf9lb5w7 ай бұрын
Wanaume wengine anataka wewe mwanmke umlishe na kazi anafanya lakini pesa yake hawisikii hata mlio wake ni wanyonyaji hatari hasa wanaume baadhi wakiislam
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Huo ni imwengu wa kizamani, ulimwengu wa Leo mwanamke ni mchapa KAZI kama wanaume. Kwani hujasikia habari za mawaziri au maraisi wanawake?. * Kuna baadhi ya maandiko hayana nafasi katika ulimwengu wa Sasa wanawake wanaweza na pengine wanaweza kuliko wanaume*
@aminanahimana8759
Жыл бұрын
iyo ni imani ya kiyahudi ndugu yangu mwanamke ni mlezi wa watoto na mwanaume ni mtafuta Rizki
@daud405
Жыл бұрын
hiyo ni imani potofu . ndo chanzo cha matatizo. sababu wanawake wanaenda kinyume na sheria za Mungu. ndo maana inakuja kugawana 50/50 mwanamke anaona anamzidi mwanamke. mbona ndoa siku hizi hamna sababu ya imani hiyo unayosema ya kisasa.tunaangaka na katiba mpya wakati katiba ya Mungu ipo '' Quran'' . mwanamke hafai kuwa rais lakin tamaa za kifedha dunia tunaishi maisha mafupi ataulizwa siku ya kiyama hata kama avae ushungi mara ngapi
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
Na hii ni katika Dunia inayoongozwa Na shetani sio katika misingi ya dunia Mwenyezi Mungu alivyopenda viumbe wake waishi
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Hakuna andiko lilopitwa na wakati, ndio mana wtto wanaharibika na kuharibiwa kwa kutokufata maandiko.
@binaamour318
Жыл бұрын
Unaongea nn w nalinga hii n misingi ya ndoa y kiislamu sio unaropokwa t kwa kwa mambo ucio yajua Tena ya kiislamu acha ujinga!
@pikanaauntzuu1466 Жыл бұрын
Kila siku mi nasema mke si mfanyakazi leo wanaume wanaoa wafanyakazi na sio wake zao mume anataka umpikie umfulie umsafishie nyimba na ukisema usifanye hayo bac ni kosa huna sifa ya kuwa mke unaone si mke kabisa na haya yote ni Africa tu lkn nchi zingine zote huwezi kuona mke ni mtumwa km Africa hasa Tanzania mtihani huu tena sasa hivi ndio kabisa mambo yamebadilika kila siku waume wengi hawataki kazi wanataka fanyiwa kila kitu na wake zao na pesa wewe mke ndio uwape
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
Sio wote
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
Hao hawajui majukumu Yao
@maryamhamdan5353 Жыл бұрын
lakin mbona mke wakwanza wa Mtume s.a.w alikua mjane na ndo alompenda mpaka kufa kwake?
@tanzaniaonmzamiloon8627
Жыл бұрын
Unamanisha nn kusema hivyo
@hussenmlimbila372
Жыл бұрын
Uislamu unamthamini saaana mwanamke na laiti kama wangejua thamani yao wangeishi kama peponi lakini tatizo wamekosa elimu ya dini ndio maanawengi wao wanadhalilika kila uchaoo
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@hussenmlimbila372. Nyinyi wanaume mliowengi mnaijua thamani ya m’ke? Na km mnazijua watu wangefikia hapa tulipofikq leo? Kila m’me anatafuta m’ke mwenye kazi hakuna anaetaka goalkeeper! Isitoshe ukishamuonq kazeeka tu unajifanyq mtto unakwenda kutafuta wari unaoa yy unamtreat km mfanyakazi. Hayo ndio yaliopelekea w’ke kuchanjaruka.
@hekmamohamed5203
Жыл бұрын
@@Fear_Allah394 ahsante umemaliza yote dada wanaolea tamaa siku hizi
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
Haijakatazwa kuoa mjane uislam umeruhusu
@tausikhitentya3357 Жыл бұрын
Walhamdulillah! Shekhe Othmani Allah akulipe kwa kutukumbusha. Pia Allah SW atujaalie imaan, inshallah. Maana kwa dunia ya leo, mitihani na hali ngumu za maisha zinatupeleka mahala sipo.
@abdallahmahmoudy3528
Жыл бұрын
Khs wakti kuwa na mitihan ktk maisha"Sisi ndo wassbabishaji baada ya kuacha majukumu yetu na kuwatwisha wanawake lkn kubwa zaidi ucha Mungu dhaifu vipi Allaah ataturidhia?
@allanmbilinyi4826
8 ай бұрын
MWANAMKE ANATAKIWA KUONGOZWA SIO KUIONGOZA NI AMRI YA MWENYE ZI MUNGU.AKIPATA NAFASI YA KUIONGOZA LAZIMA KUWE NA MATATIZO KWA SABABU SIO HITAJI LA MWENYE ZI MUNGU.
@enterenter77985 ай бұрын
Maa shaa Allah ❤❤❤❤❤
@daud405 Жыл бұрын
Allahu Akbar, wanawake Mungu aliwapendelea sana yaani kumtii tu mume anapata pepo... kwa kweli wanawake walio wengi hawataona pepo. wanawake wana usheutena mkubwa sana sababu ya tamaa.
@pikanaauntzuu1466
Жыл бұрын
Nyie ndio walim wetu kwasababu yani ushenzi wenu leo hii mwanamke ndio anasimamia nyumba kwa kila kitu km wanawake ni mashetani umezaaliwa na mwanamke pia hujasalimika pia unaushetani ndani yako dear teni uliokomaa maana nyoka huzaa nyoka
@user-wp3ye3yp3p Жыл бұрын
Shida ya bibi zetu, wamekosa taqwa ,subra na uvumilivu.
@khadeejahsaid6226
Жыл бұрын
Wapo waliosubiri na bado wanaendelea kusubiri law vituko vya wanaume
@daud405
Жыл бұрын
tatizo kubwa lina wanawake . wana tamaa sana. wanaona ndugu zake ndo muhimu kuliko kujenga nyumba yake na mumewe kwanza. hawana subra ya kweli wanawake
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
Hâta wanaume walio na tamaa 😂wako,anapata pesa yupotayari akampe yoyote lakini hawezi kuiudumia familia yeke na akirudi nyumbani anataka alishwe upo😢
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@daud405. Ttzo ni w’me waliowengi siku hzi hawataki wake wasionakazi. Anavyotaka awakisanye mpaka wa4 kila mmoja ajitegmee mwenyewe halafu yy awe anazunguruka na kipesa chake cha mabamia tu na tungule basi! Ama utasikia wanachosema w’ke wanajiweza Ila wanachokihitaji ni tendo la ndoa tu. Masikini hawajijui km wao ni viongozi na wachunga wa wake na vizazi vyao. Wao wanaona kazi Yao ni kupita akilala tu.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Abdullah Ndolo. Allah amekuamrisha kumuhudumikq mkeo na kizazi chako na sio kujiachia ukamtegemea mkeo avumilie shida…. W’ke waliowengi wanavumilia sana lkn matokeo yake unakuta m’me akianza kupata hajui km kuna kueka ili kiwafae mbele. Yy akipata tu anakwenda kutafuta mke mwengine anaongeza. Ssa hii peke yake inafanya w’ke wakate tamaa.
Пікірлер: 196
Kweli hutosahau mpaka unatiwa kaburini kwa maneno machafu
S.A.W REHMA NA AMAN ZIMFIKIYE JUU YAKE NA MASWAHABA ZAKE NA AAL ZAKE ❤️
Namuomba M/mungu amuongoze mume wangu
Mimi sina la kusema .... Allah akulipe duniani na akhera shekhe kwa mafundisho yako
Sio kwa wanaume wa sasa mwanaume wa sasa ni gubu kero kwanza anataka pesa zako umlishe wanahitaji mwanamke uende kutafuta yeye analala unaludi hoi utatimiza majukumu ya ndani kweli wanaume mubadilike
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Ndivyo mnavyopenda hivo wengi ktk ninyi wanaona kazi ni bora kuliko mume
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
@@mirajiissa4603 Kwa hiyo akae nyumbani mle mawe...
@abdallahmahmoudy3528
Жыл бұрын
Sahihi, Allaah akuhufadhi
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
@@abdallahmahmoudy3528 Amin Insha Allah
@rahimaan6481
Жыл бұрын
Yani kweli kbsa wanaume walio wengi sasaiv anatafuta mwanamke alie na kazi au biashara,wao wamekaa tu vibomu sasa khaaa 😂😂 haya hawana wanaomba haoooo balaaa yani mtihani,tena wakishajua upo ughaibun mamaaaaaaa weeeee na ndoa utatangaziwa,ili upigwe vibomu vzr,me ntafunga tu jmn maana kila nikiwawaza hawa jamaa wasasa asilimia kubwa wapigaji😢
Mashaalah❤
Kwa kweli, Allah awape subra wanawake wote dunian
Alhamdulillah Allah atujaze ufahamu kwa wanaume na wanake na kutuwezesha elimu na moyo wa kutekeleza yalio kua ni wajibu kwa kl mmoja ktk maisha ytu
Mungu,akuzidishie Kila la heri.,ul
Allah😮akupe umri mrefu shekhe nakuoenda kwa ajili ya allah
JAZZAKALLAH KHERI.Bega kwa bega mpaka Firdaus
MashaAllah sheh una mawaidha mazuri sana tunataka uje kwetu Burundi Inshallah
Shukran sheikh Othman maalim kw kutkumbush hakika weng wet tunashau wajib na majukum yet kw waum zetu ila na kwa wanaum nao nijkm lao kuwjibk kw wezawao shukrn kw ukmbush.
Mashallah,Mungu azidi kukupa umri usaidie kuelimisha kizazi chetu.Akujaaliye kila yalo mema duniani na akhera inshaallah
Allahu Akbar,wakumbushe ya sheikh😭😭😭
Alhamdulillah, Allaah akulipe kheir maalim,darsa njema sana kwa mlokuwa bado kuolewa na kuoa,pateni faida ktk darsa hii Alhamdulillah
Mashekhe Wangu nami niwakumbushe kuvaa Pete na saa mkono wa kulia Sio wa kushoto
wanawake wa iyi carne walisha badilika sana kama wana jikamata kama wao ndiyo wa responsable wa wanaume , shukrani kwa ukumbusho sheikh
Subhanallah Jazakumullah kheirun
Unacho kisema nikweli kabisa ila waume wetu mtihani mkubwa tunavumiliat inshallah mungu awaongoze
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
Asalamu aleikum warahmatullah wabarakatu. Shukran kwa darsa lako Allah barik. Sheikh naomba jawabu lako kma mumeo haezi kanya dadake anapokosea na siku zote anaambia mke kuwa astahamili maudhi yote ya dadake . Jee ni sawa yeye kama kiongozi wa familia kuyanyamazia kisa anaogopa familia yake na kupuuzia anachopitia mke . Na jee hapo inaezekana patikana vp furaha ndani ya ndoa hii
Maashaallah Shekh Othman Maalim Unawapa Dawa Waume Na Wake Wajitambue Wajielewe Shukraan Shekh Allah Atakulipa Yalio Mema Inshaallah
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Ametoa darsa kwa watu wote wake kwa waume ,,, Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
Wana ume wote wange fata hivi, wallahi nsizani wange kuwepo wana waku dai talaka... Pale hambapo kiongozi kinapo geuka mashariti ndio inapo ingia shida... 😢
MashaaAllah sheikh zama hizi mpk wanaume awajitabuwi tunapo toa darsa kw wanawake lawama nyingi ni kwamba wanaume awajui majukum yao sjui hao nao tuwambie nn
@mohammedibimkubwa4947
Жыл бұрын
Kwani ni uongo. Nyinyi ni viongozi kiongozi ni mfano.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Mtwambie nn na nyie ndio viongozi??? Wengi wenu siku hzi mnapenda mteremko. Utamkuta janadume zima kwenye tick-tock mkewe anafanya upuuzi nayy linabururwa km pumbavu hata haya halioni.
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
@pikanaauntzuu1466
Жыл бұрын
Kwani hamuoni majumba siku hizi yana hudumia na wanawake wanaume wapo bze na TV au games unaingia fb utako tiktok uningia insta siku imepita na bado anataka mwanamke huyohuyo ampe pesa leo mnataka kuolewa na mama zenu kwasbabu ndio wanaweza wapa pesa na wala hamuwi nao kwa mapenzi bali kwasbabu hamtaki kazi mnakubali kuwa nao lwasbabu ya pesa
MASHA ALLAH shukrain sheikh wetu ALLAH akujalie afya njema akuifaidhi ALHMDULLAH tunafaidika kwa kutufuza
@samiramohamed5699
Жыл бұрын
Cheik maanlim ukweli kuna wake wajibu mume vibaya lkn kunao waume majibu yao mabaya zaidi yetu
@saidally2262
Жыл бұрын
Allahu Akbar!.Allah atupe wake wema
Natamani mume wangu apitie hapa wallahy
@femidayahaya4882
Жыл бұрын
Pole sana Habibty! Zidisha Dua Allah amguse moyo wake ili akumbuke wajibu wake kama mume.
@enterenter7798
5 ай бұрын
😂
Mungu awaaongoze waume zetu watambue majukumu yao ili waturahisishie majukumu yetu
@mohamedjuma7206
8 ай бұрын
Hili Sasa ndio neno.Sio wale wanaocomain Eti wanaume wa siku hizi.Mungu atuongoze wanaume tusitelekeze majukumu yetu
Wengine wanaowa tu bila ndoa napia mwanamke ndo anayejitafutia mahitaji huyu nae nmume aina gani je anahitaji kuheshimiwa
Naombeni ushauri
Mwanaume akiwa mchamungu hapo anapaswa kumpata mwanamke mchamungu na mambo yataenda vizuri ama mwanaume akiwa wa hovyo akitaka mwanamke mwema i asije kumhatibu ni bora kwa mwanamke mchamungu kumkataa mwanaume huyo , mana mwanaume ananguvu ktk familia koliko mwanamke, nafasi ya kuchagua mwanamke mwema ni kwa mwanaume mwema tu si haki kwa yule asiekua mchamungu. Ama maswala kupokeleana vitu ni jambo la kujituma na kuzidisha mapenzi si lazima mpaka kusumbuana mambo mengine ukiashikilia mno yanleta hitilafu bora utafute lenye ukaribu wa kuleta mapenzi zaid.
Mimi hurauka Sasa kumi na nusu Nika mwacha mume wangu akiwa kitandani na nikirurudi kutoka soko hata hawezi niambie au kunipokea na ninapofua nguo zake huniuliza watafuta Pepo au thawabu Sasa Mimi hushangaa kwanini mume wangu huniambia hivyo
MASHAALLAH ❤❤❤shukurani Sana ❤️ ❤️
Kusemakweli sijuniseemeje jmni wanaumewengine wagumu kmngozi yangamia
Jazakum'Allahu'khayran ❤❤❤❤❤
Mashalla Allah ❤❤❤
Mashaallah shekh ila wanaume wetu hawa niwazito Hata Katka ibada pia unamuambia mume wangu swali anakuambia nitaswal kesho kila siku kesho jee hayo Mengine atayaweza?
Mashallah tabaraqah ❤
@nasrapaul270
Жыл бұрын
Inshallah
@user-dp2zn6ei2k
Жыл бұрын
Mashallah shehe kweli tupu
🎉😊😊😊😊😊😊❤❤❤❤❤
Shekhe wanaume wa sk hizi hawatak mwanamke asiefanya kazi au biashara wanataka wanamwake wapambanaji Sasa ndio maana tunachoka
Wajaalie wanaume wenye wake wajuwe wajibu wao
Mashaallah shekh wangu
Siyo duniya ya lewo..... Makatili hawaogobe Mola
Amina allah atujalie tuwe miongoni mwawaja ambao hatuwanyanyac wake zetu
Mashaa Allah tabaraka Allah
Masha allah m/mungu akujalie mwisho mwema In sha allah m/mungu atujalie upendo kwa waume zetu❤
Allahu Akbar, wanawake Mungu aliwapendelea sana yaani kumtii tu mume anapata pepo... kwa kweli wanawake walio wengi hawataona pepo. wanawake wana usheutena mkubwa sana sababu ya tamaa.
@mohamedjuma7206
8 ай бұрын
Hehehe mungu sio mjinga bana.Alijua wengi watashindwa kutuheshimu tu ndio wakapewa hiyo offer
Kwahivyo wanawake wakomavu wazini wasiolewe..wadogo ndio wanafaa kuolewa
❤❤❤❤❤
@AzizaAhmed-x1e
4 күн бұрын
❤❤❤❤❤
Jazakkallahu lheir.
Okay
Shukran Sana shekh kwa darsa zuri
Shukraan yaa sheikh...jazaka Allahu khayran.
@biswalhadogani-wt8kv
Жыл бұрын
Shee mm nimemfukuza mime WG kwa kunifosi mid nikakope blaki ili pesa akafanyie mambo take na deni ya ribs nilipe mile tena ananiamrisha nikope boda nikichelewa ktk biashara na pesa zangu zatumika ktk kila kazi pesa zake anaficha na chakula Hanna tens tabligh na kitambulisho anacho nilichoka kwakweli anachezea dini tuu mmmh mmmmh hapana
@zubedamusa9048
7 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe
Jqzakalah kher ya sheikh
Sisi ambao wake zetu hawafanyi kazi tunastarehe jaman
@aminanahimana8759
Жыл бұрын
Hhhh Kabsaa Ma sha Allah Allah awazidishie kheri na wanandoa ote
@sultansallah8772
Жыл бұрын
@@aminanahimana8759 Aamin... Mana hawa wanaofanya kazi wanaodai wakiwezeshwa wanaweza lazma mume ajiandae na wali wa rice cooker
@khadijamgambo6874
Жыл бұрын
Wali wa rice cooker ni haki yako kumpkia mkeo... Hakuamrishwa mwanamke kupka wala kufua wala kuosha vyombo...
@sultansallah8772
Жыл бұрын
@@khadijamgambo6874 na kufanya kazi je kaamrishwa? rudi tena chuoni.... Ww unafikir mtume alikua anapikiwa na nani......
Asante shehe othman maalimu kwa mawaidha yako mazuri
Huwezubadirisha duniya WWE kiricobaki wekura pess zamshahara tu
Mashaallah❤
Jazakkallahu lheir
Wake zetu ivisasa awajitambui kwenye mari
Aisee kumbe wagumba hatuna ruhusa kuolewa subhan Allah! Na wajane pia marufuku sawa sheikh ahsantee!
@narknark4249
Жыл бұрын
Mungu atakupa, hakuna lisilowezekana mbele ya Mungu... Kila la heri mummy
@hamadfaki2503
Жыл бұрын
Utapata,mi mwenyewe natamani nipate mke asiezaa iwe tunacheza cheza kila wkt
@elbattawy2864
Жыл бұрын
Hujafahamu sister., Alitoa mfano Mtume S.A.W alioa wajane, fuatilia vizuri mawaidha yeye aligusia kwa vijana ambao wanataka kuingia sasa katika ndoa.
TabbarkkAllah! Mafundisho mazuri Sana ila kwenye kizazi hiki hupati hata mmoja,maana hao wake wamegeuka vibaka tu,waenda mbio kumbe nyuma yako Kuna mwingine aandaliwa meza.
@pericykiko6198
Жыл бұрын
Mwanamke akishapenda kapenda ila akupende na usimjali na madharau pengine na watu wa mume wa karibu wanyanyase heeee siku akiota mabawa si rahisi kumrudisha
Alhamdlilah
Maashaallah Tabarakaallah sheikh Allah atuhifadh sote lakini samahani km nitakuwa nimekwaza mtu sauti yako ina panda na kushuka maneno mengine hayasikiki vizuri .tafadhali sauti iwe vizuri sheikh Shukran kwa Mawaidha mazuri
@zania1295
Жыл бұрын
Shukran sheikh.
@YusuphShaaban
6 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Mm ningeomba pia mufanye jitihada yakuelimisha hao wanaume, maana mwanamke hujitahidi ila mda mwingine wanaume ni wauwaji wa mapenzi ya ndoa zao.
@totop3815
Жыл бұрын
Very true
@kholaabdulrahman1750
Жыл бұрын
Sheikh Allah akupe umri twaawil.
Sio kwa sasa
Masha Allah
hizo zilikuwa enz za mitume nakama wapo basi niwewe shekhe ila hawa waume tulonao mtoto utabebelea mgongoni na kichwani beseni la mboga unapita mtaani mbogambogaaa ukirudi jiko limenuna upike vitoto vile nae akirudi ale na kuoga alale anasema hela hana
@sihabahusseinmdee1102
Жыл бұрын
ndio maana tukaambiwa tuchaguane kwa usahihi, mwanaume anaejua dini hawezi kumfanya mkewe kijakazi wake na mwanamke mwenye dini hawezi mkasirisha mume wake pia hivyo tuoane wenye dini
Ahsant kwa darasa shekh
Huyajuwi chekh werogota tu ugewambiya wakezako
Ni kweli
siyo wa sasa hivi wamekuwa wanaume suruali ila hawapendi kutafuta wanazurura kwenda kucheza bao au vijiweni anangoja mkewe akimbizane na biashara alete chochote mke anatoka yeye anabaki amelala kitandani na ndiyo maana wanawake nao wamewabadilikia akatafute chochote bora alete chakula hajui km mwanamke kafanya ukahaba akalete chakula haya yote chanzo ni wanaume na mwanamke akishajua njia za hella tuu ataaanza kumdharau mwanaume yaani akishanogewa nje sahau ndo imetoka hivyo hatakuheshimu tena mjue hilo tabia mbaya zote wananzofanya wanawake wengi wa sasa zimesababishwa na wanaume kutokujishughulisha na kazi yoyote
@mirajiissa4603
Жыл бұрын
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
@abdallahmahmoudy3528
Жыл бұрын
Swadakta, umesema Kweli, Allaah lkariim akuhufadhi, wengi ktk wanaume wapo hivyo,basi jutahidini msimuasi Allaah kwa ajili ya kutulilisha pia kutuvisha, Allaah akulipeni kheir na akusameheni madhambi yenu...
@caswaralbadry8481
Жыл бұрын
Hatari hii kwa kweli nalo jibu
@aishasaidi1182
Жыл бұрын
Jee shekhe kama mwamke yukonanyumba yakeharafu piayukonakaziake mumeakafunga ndoanayule mwanamke mwenyenyumba harafu matumizimengi anatoa mwanamke kulikohatayule mume aidha ukutemume hanakitu kabisa hapo nidhambi sidhambi
@issaathumani7610
Жыл бұрын
@@aishasaidi1182 siyo dhambi bali mke atoe kwa ikhlasw na asimseme kwa alichotoa mume wake amsubirie mume wake juu ya hali yake na amstiri kwa kila hali maisha ya ushirikiano ktk ndoa na kumcha Allah Mtukufu ndio yataleta furaha na mafanikio wengi walikuwa kama nyinyi na leo wapo ktk mafanikio makubwa sababu ya subra juu ya waume zao ambao hawakuwa na kitu
Wanaume wasasa waowanajua kufuja wakezao nakuwageuza kuwa sehemu ya uwanja wamazoezi
Hata wanawake wa sasa ni balaaaaaa hawaelekezeki
❤❤❤
❤❤❤❤
🙏🙏
Dini ni ile ile nmwamke n mwaume niyuleyule mpaka siku ya kiyama hivyo tubadilike
Ukisema ivo utakuwa huko sahihi hiduniya mwanaume anojali familiya yake kwa ukarimu huyu ndo mwanaume halafu kila mtu na mapungufuyake
Sio wote
Boranistaghfiru 2
Wanaume wa sasa hv sasa anakwambia nataka mwanamke mpambanaji yaan ukiwa mkaa nyumban wanasema we sio wife material 😅na ndio maana asa hv tunafanya hadi kaz ngumu wanawake na ndio maana hamu ya ndoa inapotea ukirid hoi😅😅
Shekhe samahani, naomba kuuliza jee hao wanaume wale wamebeba kweli hayo majukumu yao?
😊
Jamani haya yote naona yanani husu Mimi hivi toka juzi nadai talaka yangu hataki kunipa.. maana kila kitu najijali mwenyewe yy mwisho wake akisha toa hela ya shule na ya chakula basi yaani Hana mawazo ya maendeleo hata kidogo mpka sasa tuna miaka 16 kwenye ndoa hatuna hata kiwanja kinacho niumiza yeye hata hajali ndio maana mm nadai taraka yangu na hataki kutoa sijui nimfanyeje mwenzenu
@elbattawy2864
Жыл бұрын
Kwanini udai talaka? talaka ni kitu chengine mfahamishe mumeo na usijaribu kumlazimisha majukumu ambayo yako nje ya uwezo wake ni kharam pia mwanamke kudai mambo ambayo anajuwa dhati mumewe hana uwezo., jitafakari
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
Miaka 16 ishi na mumeo huyo ni wako mumestahamiliana mpaka kufikia kuwa na watoto wakubwa Alhamdullillah zidisha upendo utamuona anabadilika nampe nasaha mume wangu watoto wetu washakuwa tuwatafutie kiwanja (kama hukupata kwa mume watoto watakutaftia kwa uwezo wa Allah
@AyshaHamis-qw3gi
5 ай бұрын
Kumbe unahudumiwa chakula watt shule shukuru dadang kuna watu hata kula awahudumiwi wanahudumia wanawak wenyew kwahy tulia kidgo hyo wak anajitambua mamb na kiwanj pengn hana uwez akiwa na uwez sidhan kam yy ataki kuwa na nyumba yakwake binafsi
Sasa utajuaje kama atazaaa au laaa! Maana wanawake wengine wagumba
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hao wanaume wenye majukumu wakwapi?
Nimeipenda Dalsa ila apo kwenye kuowa bikra kwa Dunia hii Hakuna , alafu hapo kwenye mwanamke mgumba kama ni bint hajaolewa utamjuaje kama ni mgumba?
@elbattawy2864
Жыл бұрын
Muoe sheikh kama hazai uislamu umekuruhusu kuongeza mke hadi 4, lakini haimaanishi umdharau na kumdhalilisha uyo ambae hazai, kumbuka kwamba Allah ndio hujaalia kizazi kwa mwadamu
Ssa mke kw km punda kwa mizigo anayobebeshwa. Yy na mume wote wanachokq Tena yy anachoka zaidi mana pengine anabeba majukumu na huku anabeba na mizigo ya ujauzito/tumbo akitua. W’ke jamani ni dhaifu si punda wenu km abebe mtto miezi tisa atue, abbe mwengine na mwengine, afanye kazi, akuhudumikie ww! Ndio mana hua mkali km moto, anachoka ati? Ww ukirudi kazini umechoka na miguvu yako yote hio, unataka mtu wakukukqndq na kukuliwaza na yy akirudi kazini kachokq. Ndio inqpofika usiku mnajitupa tu km mijoka upepo tu unakutokeni.
@immtm4930
Жыл бұрын
makubwa!!
@nailamohd7693
Жыл бұрын
😅😅😅dah
@DelightfulPenguin-wk4kv
6 ай бұрын
Kakangu mashallah chenye wasema ni ukweli but vijana wa saizi wamesahu majukumu yao
Wanaume wasasa hawana uwadilifu wanakwaza akili tu zawenziwao
tamaa za wanawake ni shida. tena imani ya magharibi ya kugawana mali nusu kwa nusu imeleta shida.hamna haja ya kuharibu hela kwa ajili ya Katiba. Katiba kipo tayar '' Quran ''. lakin washenzi america na washirika wamechafua dunia
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
Kwanini ! unazavyodhani wanaume wamekamilika hapana na wao pia wapo wanaume ukouko nnchi za kimagharibi wanaolelewa kama wao ndio wanawake hawataki kufanya lolote😮 unalijuwa? ILO! basi usitia mabaya yote kwenye kapu moja
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Ttzo nyie w’me. W’me wengi siku hzi wavivu na hawataki kusoma. Wao wakishaambiwa na masheikh oeni mpaka wanne wanaoa hata km hawana uezo nao. Ww unategemea maisha ya ssa ukusanye wake bila ya uwezo na wtto wanahitaji kusoma, matibabu na mambo mengine na m’ke anamahitaji ni m’ke gani atakayevumilia ujinga wako??? Oa kwa mujibu wa uwezo wako ili utimize majukumu yako na mkeo apate utulivu nyumbani akulee ww na watto wako. Ww pesa ikibaki baada ya kuekq akiba unakimbilia kuoa bila ya kufikiria km unajizidishia mizigo.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Isitoshe wanaume wengi siku hzi wanatafuta wake wenye kazi zao wawakusanye mpaka wanne halafu wao wawe kazi Yao kupita wakilala tu. Ati wanasema w’ke haja zao ni kustiriwa tu?
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Ww umeyaona ya kugawana tu? Mbona hamusemi ya mke kumlazimisha kufanya kazi akabeba majukumu ya ndani yote na ww ukajifanya unajenga baadae ukamgeukq na nyumba ikawa kwa jina lako??? W’me wengi mnaishi mnawafanyia udhalimu w’ke ni matapeli, mnapenda bure na kusaidiwa na mkishafika malengo mnayoyataka mnaacha wake na kutafuta wengine. Hamuishi kwa kufuata uisilam lkn wkt wa kuachana ndio mnaukumbuka uisilam.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@kassimmanaramalika8592. Hao wanaume wavivu hawapo magharibi tu hata hapo Tnz wamejazana tele. Nikukusanya wake tu na kila mke anajitegemea/anakazi yake. Yy kazi yake huona kupita akilala tu. Ukiwauliza wanakwambia w’ke wapo wengi tuwahifadhi. Mana wanavyoona wao au wanavyofundishwa na masheikh ubwabwa kua mke wajibu wake kwake ni tendo la ndoa tu na huduma wala kumlinda na kumtunza.
Wanaume wengine anataka wewe mwanmke umlishe na kazi anafanya lakini pesa yake hawisikii hata mlio wake ni wanyonyaji hatari hasa wanaume baadhi wakiislam
Huo ni imwengu wa kizamani, ulimwengu wa Leo mwanamke ni mchapa KAZI kama wanaume. Kwani hujasikia habari za mawaziri au maraisi wanawake?. * Kuna baadhi ya maandiko hayana nafasi katika ulimwengu wa Sasa wanawake wanaweza na pengine wanaweza kuliko wanaume*
@aminanahimana8759
Жыл бұрын
iyo ni imani ya kiyahudi ndugu yangu mwanamke ni mlezi wa watoto na mwanaume ni mtafuta Rizki
@daud405
Жыл бұрын
hiyo ni imani potofu . ndo chanzo cha matatizo. sababu wanawake wanaenda kinyume na sheria za Mungu. ndo maana inakuja kugawana 50/50 mwanamke anaona anamzidi mwanamke. mbona ndoa siku hizi hamna sababu ya imani hiyo unayosema ya kisasa.tunaangaka na katiba mpya wakati katiba ya Mungu ipo '' Quran'' . mwanamke hafai kuwa rais lakin tamaa za kifedha dunia tunaishi maisha mafupi ataulizwa siku ya kiyama hata kama avae ushungi mara ngapi
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
Na hii ni katika Dunia inayoongozwa Na shetani sio katika misingi ya dunia Mwenyezi Mungu alivyopenda viumbe wake waishi
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Hakuna andiko lilopitwa na wakati, ndio mana wtto wanaharibika na kuharibiwa kwa kutokufata maandiko.
@binaamour318
Жыл бұрын
Unaongea nn w nalinga hii n misingi ya ndoa y kiislamu sio unaropokwa t kwa kwa mambo ucio yajua Tena ya kiislamu acha ujinga!
Kila siku mi nasema mke si mfanyakazi leo wanaume wanaoa wafanyakazi na sio wake zao mume anataka umpikie umfulie umsafishie nyimba na ukisema usifanye hayo bac ni kosa huna sifa ya kuwa mke unaone si mke kabisa na haya yote ni Africa tu lkn nchi zingine zote huwezi kuona mke ni mtumwa km Africa hasa Tanzania mtihani huu tena sasa hivi ndio kabisa mambo yamebadilika kila siku waume wengi hawataki kazi wanataka fanyiwa kila kitu na wake zao na pesa wewe mke ndio uwape
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
Sio wote
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
Hao hawajui majukumu Yao
lakin mbona mke wakwanza wa Mtume s.a.w alikua mjane na ndo alompenda mpaka kufa kwake?
@tanzaniaonmzamiloon8627
Жыл бұрын
Unamanisha nn kusema hivyo
@hussenmlimbila372
Жыл бұрын
Uislamu unamthamini saaana mwanamke na laiti kama wangejua thamani yao wangeishi kama peponi lakini tatizo wamekosa elimu ya dini ndio maanawengi wao wanadhalilika kila uchaoo
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@hussenmlimbila372. Nyinyi wanaume mliowengi mnaijua thamani ya m’ke? Na km mnazijua watu wangefikia hapa tulipofikq leo? Kila m’me anatafuta m’ke mwenye kazi hakuna anaetaka goalkeeper! Isitoshe ukishamuonq kazeeka tu unajifanyq mtto unakwenda kutafuta wari unaoa yy unamtreat km mfanyakazi. Hayo ndio yaliopelekea w’ke kuchanjaruka.
@hekmamohamed5203
Жыл бұрын
@@Fear_Allah394 ahsante umemaliza yote dada wanaolea tamaa siku hizi
@omarissamashaallahpresiden2920
Жыл бұрын
Haijakatazwa kuoa mjane uislam umeruhusu
Walhamdulillah! Shekhe Othmani Allah akulipe kwa kutukumbusha. Pia Allah SW atujaalie imaan, inshallah. Maana kwa dunia ya leo, mitihani na hali ngumu za maisha zinatupeleka mahala sipo.
@abdallahmahmoudy3528
Жыл бұрын
Khs wakti kuwa na mitihan ktk maisha"Sisi ndo wassbabishaji baada ya kuacha majukumu yetu na kuwatwisha wanawake lkn kubwa zaidi ucha Mungu dhaifu vipi Allaah ataturidhia?
@allanmbilinyi4826
8 ай бұрын
MWANAMKE ANATAKIWA KUONGOZWA SIO KUIONGOZA NI AMRI YA MWENYE ZI MUNGU.AKIPATA NAFASI YA KUIONGOZA LAZIMA KUWE NA MATATIZO KWA SABABU SIO HITAJI LA MWENYE ZI MUNGU.
Maa shaa Allah ❤❤❤❤❤
Allahu Akbar, wanawake Mungu aliwapendelea sana yaani kumtii tu mume anapata pepo... kwa kweli wanawake walio wengi hawataona pepo. wanawake wana usheutena mkubwa sana sababu ya tamaa.
@pikanaauntzuu1466
Жыл бұрын
Nyie ndio walim wetu kwasababu yani ushenzi wenu leo hii mwanamke ndio anasimamia nyumba kwa kila kitu km wanawake ni mashetani umezaaliwa na mwanamke pia hujasalimika pia unaushetani ndani yako dear teni uliokomaa maana nyoka huzaa nyoka
Shida ya bibi zetu, wamekosa taqwa ,subra na uvumilivu.
@khadeejahsaid6226
Жыл бұрын
Wapo waliosubiri na bado wanaendelea kusubiri law vituko vya wanaume
@daud405
Жыл бұрын
tatizo kubwa lina wanawake . wana tamaa sana. wanaona ndugu zake ndo muhimu kuliko kujenga nyumba yake na mumewe kwanza. hawana subra ya kweli wanawake
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
Hâta wanaume walio na tamaa 😂wako,anapata pesa yupotayari akampe yoyote lakini hawezi kuiudumia familia yeke na akirudi nyumbani anataka alishwe upo😢
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@daud405. Ttzo ni w’me waliowengi siku hzi hawataki wake wasionakazi. Anavyotaka awakisanye mpaka wa4 kila mmoja ajitegmee mwenyewe halafu yy awe anazunguruka na kipesa chake cha mabamia tu na tungule basi! Ama utasikia wanachosema w’ke wanajiweza Ila wanachokihitaji ni tendo la ndoa tu. Masikini hawajijui km wao ni viongozi na wachunga wa wake na vizazi vyao. Wao wanaona kazi Yao ni kupita akilala tu.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Abdullah Ndolo. Allah amekuamrisha kumuhudumikq mkeo na kizazi chako na sio kujiachia ukamtegemea mkeo avumilie shida…. W’ke waliowengi wanavumilia sana lkn matokeo yake unakuta m’me akianza kupata hajui km kuna kueka ili kiwafae mbele. Yy akipata tu anakwenda kutafuta mke mwengine anaongeza. Ssa hii peke yake inafanya w’ke wakate tamaa.
❤❤❤