Mkeo ni Malkia zingatia haya usije sema hukuonywa - Sheikh Othman Maalim
Sheikh Othman Maalim akitoa nasaha kwa wanandoa @kalamuMedia
Жүктеу.....
Пікірлер: 180
@allyngoda7612 жыл бұрын
HUYU SHEIKH OTHMAN MAALIM HACHUJI KILA SIKU NI MPYA HAISHI RADHA KUMSIKILIZA MASHA ALLAH.. ALLAH AMPE UMRI MREFU ZAIDI TTUWEZE KUFAIDIKA
@babyhamisi1437
2 жыл бұрын
Kweli kabisa maneno yako
@salwasuleiman3525
2 жыл бұрын
Amin yarab
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
May Allah bless him Yarrab
@buyuni1
2 жыл бұрын
Ameen
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Ameen
@abubakarially0592 жыл бұрын
Allah akupe mwisho mwema shekhe wetu🙌🙌🙌🙏
@mwanayamumambo28372 жыл бұрын
Mashallah shekhe wetu m mungu akuweke akujaalie afya njema uendelee kutupa elmu ishaallah
@TausiSinaela2 ай бұрын
Mashaallah mawaidha mazuri mungu akupe umri mrefu uzidi kutoa darasa maana wengi wetu hatujui majukumu yetu
@ZuwenaAlvin2 ай бұрын
Allah akupe umli mlefu sheikh othuman
@jimilamuzanga25512 жыл бұрын
Masha Allah mwenyezy mungu hawungoze mwanaume
@sangokipozi46112 жыл бұрын
Ma shaa Allah! Mawaidha mazuri sana. Raha ilioje kwetu kuwemo ktk kundi hilo la wanawake. Lakini shekhe kuna wenzetu ambao hujitolea kwa hali na mali kutunza familia zao akiwemo mume. Mara nyingi waume kurudi nyumbani wakichunguza mezani kuna chakula gani ingawa yeye kwa kawaida haachi matumizi yoyote. Haya ni maisha ya kila siku kwa wanawake hao. Je, nini hukumu yao wanawake hawa kwa mola wao? Na hawa huwajali sana waume zao, wakiwatumikia kwa maisha yao yote. Kama kuna maelezo kuhusu wao, bila shaka watafurahi kusikia darsa linalohusu mchango wao huo. Jazaakumullahul kheir Shekhe wangu.
@fawziaabdurrahman2251
2 жыл бұрын
Ndio maana mwanamke anafaa akichagua mume aangalie tabia na dini. Zote mbili ziwe zimekuridhisha ndio posa ikubaliwe. Bila hivyo, wadada watajipata wameolewa na wanaume ambao wanafikiri kuwa mume ni kuvaa trouser hawajui kuleta chakula wala kuangalia familia na bado hao waume watarajia wewe dada Haki zao zote uwatimizie. Kuweni makini madada mnapo chagua waume
@faridamkwizu3333
2 жыл бұрын
Mashallaah allaah akupe umri mrefu wa kheri uzidi kutunufaisha na elimu yako. Inshaallaah
@malombemunyithya9341 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujaalie umri na afya njema shekhe wetu Inshaallah
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Aaamin
@shabaniguma8696
Жыл бұрын
Aameen🤲🏾
@jassminemubarak2828
10 ай бұрын
Amiiiina
@siwemangalunda46555 ай бұрын
Napenda. Sana mawaidhayako nilikuwa nimekata tamaa kwenye ndoa Allah atujalie mwisho mzuri ila ninamtianisana kwenyendoa
@bushraaljadidi77472 жыл бұрын
Maa shaa Allah darsa nzuri sana
@latifahnassoro172 жыл бұрын
Mie tangu nainukia naanza kusikiliza mawaidha namkubal mpk leo huyu shaikh jaman maa shaa Allah tabaraka rahman Allah akuweke shaikh quran yake sasa subhanallah akisoma
@mukreemhassan73472 жыл бұрын
MASHALLAH 💯 jamani maneno ya ALLAH Msiandik kwa harufi ndog yandiken kwa herufi kubw mfn km INSHALL. N.K mshanielew ndg zanguni tn sehem yeyet panapo stahik
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Inshaallah tumekuelewa
@armankassim59062 жыл бұрын
MASHAALLAH nampenda sana othaman maalim kwa ajili ya ALLAH kila ninaposikiliza mawaidha ya SHEIKH Othman maalim lazima nibubujike na machozi
Mashaalla Allah akupe umr shekhe wetu uzidi kutuelimisha inshaallah🤲🏼🤲🏼🤲🏼 ila sauti kdg imekua na kukwamakwama mamodereta hakikisheni mnaset speaker vzr plz ndio sauti tuiskie clear🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@mrboogie255-dr2kh2 жыл бұрын
MashaaAllah Darsah lipo vyema kwakwel may Allah blessings us and this media...TV
@aaliyahholden92822 жыл бұрын
Wanaume hao hawapo ukae yeye akahangaike mmh! utasimbuliwa mpaka ujute kuzaliwa Allah atujalie mwisho mwema yarabi
@mirajiissa4603
3 ай бұрын
Wapo ikiwa wewe hukujaaliwa kumpata mume wa namna hiyo si wote
@bilalybarisesa52062 жыл бұрын
Allah akujaze kheri sheikh wetu, pia akupe mwisho Mwema Aaamin 🤲
@SharifaMuhamed-od5dl
3 ай бұрын
Amiin 🤲
@bushraaljadidi77472 жыл бұрын
Maneno mazuri sana. Allah atujaliye wanawake wema
@umaymatwaha9807
2 жыл бұрын
🙏Amiin
@yusraabdullhaji79235 ай бұрын
Aslm alykm warahmatullah wabarakat mashallah hasbiyyallah Allah akujaze her na Imani na akupe umri mref wenye mwish mwema inshallah amn half shekh kama na mwanamke ana jitihada Kwa kila alivy pangiwa kwenye miongozo mema na lakin Bado hapati kizur kwa anae mtegemea zaid ya maumivu usiyo yategemea 💔
@zubedamselem72172 жыл бұрын
Mashallah.maana kuna wanaume hawajitambui kutwa kutesa wake zao.
@user-oq2wp8oh1f
7 ай бұрын
Tunateswa jaman
@user-lt4db8df6e5 ай бұрын
Sheikh napenda sana kusikiza mawaida yako
@ummiali12082 жыл бұрын
جزاك الله خير
@AbdallahHassan-hy2rm4 ай бұрын
Asalam alaiqum mashallah hadithi nzur
@hamidamhanaya81262 жыл бұрын
ALLAH ATUJAALIE TUPATE RADHI ZA WAUME ZETU INSHALLAH
@hafswaomar28412 жыл бұрын
Jamanii kumbesisi tuna thamani lakini waume wengine hawaiyoni thamani yetuu wanatufanya kama watumwa waoo
@hamidamhanaya8126
2 жыл бұрын
😁
@heyumi2340
2 жыл бұрын
ulikuwa hujui
@heyumi2340
2 жыл бұрын
sasa hivi ni utumwa kwa kwenda mbele au ukae kisela 😂😂😂
@arafatmaphox8612
2 жыл бұрын
Wapi
@khadijamgambo6874
Жыл бұрын
Ndio mana tunashauriwa tuolewe na wanaoijua Dini na c wenye magari na maghorofa mengi.
@fatmamasafu86062 жыл бұрын
MashaAllah Allah akujaze🤲
@samirasadasalum59742 жыл бұрын
Sheikh Othman Maalimu nakupenda sn yani Nakupenda kwaajili ya ALLAH,huwa unazungumza kwa upole sn jmn Duh yani unaeleweka
@ivyroses90192 жыл бұрын
Nakupenda,mimi mkristo,laah namiini kwenye Islamic na ukristo,niweke sawa hizi dini mbili naamini, kwenye ukweli,Napenda kusikia wakiabudu,hadithi na mawaidha,natamani kuilewa Quran na bible tena bila kubagua,nazipenda hizi dini mbili ,bila dharau wala kejeli,Namshukuru Mungu kwa dini ya Islamic na Christian's nawapenda wote 🙏🙏✍✍🙏🙏
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
labda nikupe wasia mzuri iwapo utatia akili katika maneno yangu...uisilamu ndilo dini pekee la haki mbele ya Allah. na Kwanini uamini Hilo kwasababu ukristo si dini ni jina ambalo walianza kuitwa miaka nyingi baada ya kufa yesu ambalo tena katika sehemu panapo itwa antokia yaani walikuwa ni watu wa yesu --kristo-- wakaitwa wakristo kama vile kusema watu wa Kenya tukawaita wakenya sijui unanielewa ila tangu kuanzia utume mpaka kukoma kwake Allah alikuwa ajawahi kulipa jina dini yake mpaka ilipofika mwisho wa utume ndio akasema katika qurani kuwa na nimewaridhia uisilamu kuwa ndilo dini lenu
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
pili... yesu nimtume aliyekuwa sahihi ila Sasa Hawa wanaoitwa watu wake yaani wakristo wametia mishkeli na makosa mengi katika dini Yao Kila siku ndio Kwa maana mpaka leo utaona wanatoa bibilia mpya ambalo Hilo mpya ni improved yaani emekuwa modernized imefanywa kuwa ya kisasa kwasababu Hilo zikawa bibilia Moja hutofautiana na nyingine katika baadhi ya mashala hivyo Sasa ndivyo wanavyo chafua mafundisho ya yesu mpaka wengine washa fikia kumfanya ni mungu wengine wamemfanya ni mtoto wake wengyaaniine wamemfanya ni mtume tu na wengine wamemfanya ni mungu na nimtoto wa mungu na nimtume
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
yaani hawaekeweki kwamsingi wa Imani Yao na Cha ajabu ukienda israil ambapo yesu alikuwa akiishi utawakuto wanao amini hakusulubiwa yesu nao pia niwakristo na wanao amini kuwa alisulubiwa Kwa msalaba na wengine wanaamini alisulubiwa Kwa mti straight tu lakini ukisoma historia hakuna watu walio wahi kuwa na Mila la kusulubisha watu Kwa msalaba kama + ilikuwa ni hivi tu | tu sijui wanielewa ila ishu ya msalaba huu ilianzia Rome mbalisana na Israel ajabu sana wakasema eti wameamisha administration ya wakristo mpaka Rome ndio kukaanza ukatoliki
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
ndio Sasa ukitaka kujua ukweli ulioko katika bibilia ukweli ambao haujatiwa nakshi yeyote ni Yale yanao afikiana na qurani tuna qurani imehifadhika na kutiwa dosari kwasababu jibril alipo muhifadhisha mtume nao waisilamu Waka ihifadhi Kwa kichwa Allah alijaalia hivi Ili iwemiongoni mwanjia ya kuitakasa qurani isije ikachafuliwa kama zilivyo chafuliwa vitabu vingine Sasa Leo hata herufi Moja tu ukiisoma sivyo Kila mwisilamu aliye hifadhi Hilo sura atakwambi koma Hilo umetia makosa
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
ila Sasa bibilia Zina mambo ya ajabu angalia bibilia ya wakatoliki Kuna vita takriban kumi na mbili za ziada .....na ukisoma king james bible historia yake ilipotungwa ilitungwa miaka zaidi ya saba tena na wasomi walugha sio wasomi wadini akiwa king huyu anawalipa Kila siku Kwa kazi Yao kwahiyo hapa lazima mapungufu yawepo
@bammboomm77632 жыл бұрын
MashaAllah Shukran jazakAllahu kheir
@MwakishaStella7 ай бұрын
Ma sha Allah
@InssasulaiRachideАй бұрын
Machalaa cheik weitu ntukufu
@rayasaid74002 жыл бұрын
BISMILLAAHH MAA SHAA ALLAH ALLAH AKUPE UMR WENYE KHEYR AKUWEZESHE KAMA ALIOWAWEZESHA AKUNYANYUWE KAMA ALIOWANYANYUA ATUPE MANUFAA KWA UWEPO WAKO TUNUFAIKE NA IL'MU YAKO NA MWISHO NAKUOMBEA KWA ALLAH AKUTUNUKIE JANNATUL FIRDAUS AAMIN
@rukiaissa5878
2 жыл бұрын
Amyn
@universitylink2 жыл бұрын
Mashaallah sheikh Othman Maalim
@InssasulaiRachideАй бұрын
Macha Allahu
@salimmariga1492 жыл бұрын
Ma Shaa Allah darsa zuri sana
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Masha Allah shekhe wetu
@user-ge6gu4fh7x3 ай бұрын
MASHAALAH
@fatumaabdallah75412 жыл бұрын
Swadakta sheikh uthman maalim Allah akulipe inshaallah
@marygoshashy9954
2 жыл бұрын
Jamani mm nampenda sana huyu sheikh saaa dooo natamani nikutane nae live doooo ♥️
@suzanokila3612
Жыл бұрын
Mashalla .mungu akupe mwisho nzuri inshallah
@sergemassamba56772 жыл бұрын
Alhamdullilah Najivunia kua muisilam Maana Elimu yote duniani ipo katika Qur'an 🙏 insha'Allah god bless you maalim os
@SharifaMuhamed-od5dl
3 ай бұрын
Swadakta 💯
@afric01 Жыл бұрын
Aslm alkm ww... Haiwezekani mmeo akushughulikie na kukupenda alafu wewe ukose kumpenda mmeo Hilo haliwezekani sheikh. Ndoa za sikuhizi hazina mawadata Wala rahma. Mke anasubiri kifo, majuto na uvumilivu labda amezaa anahurumia watoto wake wasiteseke. Nabii Muhammad S. A .W . Alikaa na wakeze vizuri na lau wanaume wangeiga mfano wake, basi pepo ingewepo hapahap duniani. Ndoa ni pepo sheikh wangu. Lakini pole hakuna ndoa iliobaki ni ndoana. Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
@adilaibrahim2069
6 ай бұрын
Allah alete kheri zake in sha Allah
@user-jv1ch4tr8q
2 ай бұрын
We Acha tu ndugu yangu hata ujishushe aje atakupelekeasha tu
@kulthumally8812 жыл бұрын
Ma sha allah
@rayasaid74002 жыл бұрын
RABBY TUWEKEE vipenz vyetu walimu wetu masheykh wetu wallahy tunanufaika Allah atukutanishe peponi na Sheykh WETU aamin
@rukiaissa5878
2 жыл бұрын
Amyn yaarabbbiy
@shabaniguma8696
Жыл бұрын
Amiin 🤲🏾
@SharifaMuhamed-od5dl
3 ай бұрын
Amiin 🤲
@SANATVTZ2 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@shekikashedrack
Жыл бұрын
Namuelewa sana
@user-xy2qj1gc9p Жыл бұрын
Sichokag kumsiliza na wala sijawahi kuwa mvivu kumsikiliza allha akupe maisha marefu 🙏
@swaummukonjero7352 Жыл бұрын
MashaAllah...ila waume wengi wa kiislamu siku hizi wame fail katika majukumu..ila wana weka uzito katika ruhusa ya kuoa zaidi ya mmoja..
@asmaanassoro7842 Жыл бұрын
Maashallah sheikh mungu akutunze kwa. Ajil yetu amiiin
@saidimkopi92732 жыл бұрын
Mungu amuhifadhi shekhe wetu huyu
@abubakarially0592 жыл бұрын
Mashaallah💓
@aseefpa14612 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah.Allah akuzidishie hapa na pengine
@juneithartony95432 жыл бұрын
Mashallah
@user-dp3cu8dv3y8 ай бұрын
MàshaAllah jazakallahu khayr
@yasminjuma91462 жыл бұрын
Allah barik
@halimasaid49772 жыл бұрын
Shukran shekhe
@fitness83302 жыл бұрын
Shukran sheikh
@user-jv1ch4tr8q2 ай бұрын
Mashallaaah shekh ila sikuhizi wanaume hawajuwi thamani ya ubikra mume wangu wa1 aliniowa nikiwa bikra ila alinishika km mtumwa tuliishi kwa mwaka1na nusu nikizaa mtt1 ila Ndowa yangu ya2 naishi natamani tele ndo kaniowa na mtoto
@dallamanzanzibar8685 Жыл бұрын
Marshall mungu atuongoze sote kwa ujumla
@mahramarswad60412 жыл бұрын
Sasa vipi kuhusu wanawaje wanapowafanyia waume zao mazuri nahuku tunaitwa washenzi na huku twawapikia
@asiaswedi89452 жыл бұрын
Mawaidha mazuri japo yameegea sana kwa wanawake...lkn wanaume wa siku hizi pasua kichwa hawawajibiki ktk familia.ni chanzo cha kuvuruga ndoa zao.
@hamidamhanaya8126
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@heyumi2340
2 жыл бұрын
sasa hivi wanawake wasipotafyta watoto wafa njaa yaan imekuwa kazi ya wanaume zimekuwa za wanawake majukum tumebeba ss wanawake wao kaxi ni kubwa huwa ni kuongeza wake kuzalisha bila huduma mpaka kichefuchefu
@shefumasanja-wn6lj Жыл бұрын
Asante shekh othaman
@mallulu9086 Жыл бұрын
Masha Allah sherkh othman kweli kabisa
@jumamohammed53782 жыл бұрын
mashaAllah
@halimahalima14882 жыл бұрын
MashaaAllah walhadulilah ❤️😘
@halimamnyati9311
2 жыл бұрын
Alhamdulilahi mawaidha mazr sn shee mungu akuzidishie inshaa allah
@halimahalima1488
2 жыл бұрын
@@halimamnyati9311 amiiiin 👏 wajina wa mie
@kineromakame7295 Жыл бұрын
Alhamdulillah 😊
@kakamama51042 жыл бұрын
Mashallahحفظهلله
@kamilyaibrahim97842 жыл бұрын
Sikuhizi wanaumme hawataki wake waloshika dini, wanataka mvaa uchi ukiwa unajistiri unaonekana sio mke so naona shekhe wangu hao enzi za Mitume waumme hao hamna kabisa waumme hao
@aflahabdula4084
Жыл бұрын
Nikweli kabisa
@mwanamkasi52782 жыл бұрын
Mashaallah
@rashidimatogwa-rr3rj Жыл бұрын
Alláâh akuhifadhi
@sharifshek72402 жыл бұрын
Aslkm vp hali yako sheikh letu laukweli?alhmdllh mawaedha matamu sana mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha amiin..sasa niipi hukmu yamwanaume ambae mkewe yuwamtaka katika tendo la ndoa nayy hataki??yuwamkatalia?
@AbdulazizJuma-qu2tk7 ай бұрын
mashallaH 🕌
@binthamoudshariff54922 жыл бұрын
Wallahi naam maneno kuntu👌
@jumamohammed1818 Жыл бұрын
Masha Allah mawaiza mazur sanna tungepata namba yake kwakweli tunamaswala mengi kukuuliza
@karimukoriwa6520 Жыл бұрын
Hakika mwenyezi mungu ampe nuru
@alawimkonga55572 жыл бұрын
INSHALLAH
@zubedahassan4096 күн бұрын
2024🙏
@naimajeddara8687 Жыл бұрын
❤❤❤❤💖💖💖💖💯
@jenifamtima9325 Жыл бұрын
Utandandawazi umeharibu utamaduni wa kidini,,,haki sawa ,,50kwa 50 ,,,mfumo wa maisha umetubadilisha ...mmebaki wachache ,,,kwa sasaa utasikia mwanamke kijishughulisha na sio kubweteka,,imebaki ni shidaaa!
@khamismohdkhamis4680
3 ай бұрын
Kwa sababu wanaume hawataki kubeba majukumu yao
@Dasoor-tt3vf4dj8i5 ай бұрын
Mbona wanaume wengi wamesoma dini ila wazifatilii wake zao uteseka kutwa nafamiliya kula kuvaa kulala kuu yote juu yamwanamke je awo wanaume wanayo yafanya nihaki?
@heyumi23402 жыл бұрын
kwa hiyo wasiozaa wasiolewe duh mtihan maana kuna wanaume uwezo wa kumpa mimba hana na wanawake wapo hawana uzazi jee hawapaswi kuolewa na kuolewa ni lazima shekhe watoto ni mpka mungu atake
@Rydah389
2 жыл бұрын
Nmekua na swali hilo ila mola ndo ajuae zaidi maana c maneno ya shekh hayo
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@Rydah389 pia kwenye kuridhika c mabikira pekee sasa hivi mabint wengi hawaridhiki kivyovyote aidha kipesa mpaka kimwili naweza kusema kuridhika inatengemea na mty mwenyewe tena binti usimwambie huna pesa ya kitu fulan atakuumbua ndugu ni kuomba ty umpate mwenza alokuwa mwema bac
@Rydah389
2 жыл бұрын
Hii generation tulio sasa mambo yanaenda speed sana kila gender imejisahau....mola atufanyie wepesi tukae kwnye mipaka ya dini
@meandme34372 жыл бұрын
Mashaallah shukran ya sheikh. Yaani mwanamke ukiwa na ilmu ya dini hakuchezei mwanaume au mumeo unamuweka sawa hadi anajiona bora atulie tu. Wanawake tafteni waume wasomi wa dini. Kisha nyie kazi ni kumpatia mahaba full full.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
wanaume wenye dini wako wapi pombe tupu
@meandme3437
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 🤪🤪😬😬
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@meandme3437 😂😂😂😂😂na bangi halafu wao wanataka au wanaambiwa waoe wenye dini kweli dini na pombe wapi na bangi kuswali kwenyewe Ramadhani hadi Ramadhani ssa hivi misikiti iko full subiri iishe 😂😂😂😂😂swafu tatu
@meandme3437
2 жыл бұрын
Msiba fauka muswiba.
@aasiyaasia338
2 жыл бұрын
Waweza kumpata wa hvyo lakin kutwa msktin hatoki kutafuta ridhki
@mwerochindoro29102 жыл бұрын
Assalaam aleikum warahmatullahi,, naomba mnijuze Ndungu zangu in Islam,,, niwakati gani unaofaa kustarehe na mkeo, katika Usiku WA Ramadhan? Swaum maqbul
@munirasuleiman2006
2 жыл бұрын
Ikisomwa adhana tu hata kama wataka umfuturie yy ruksa hadi kabla ya adhana ya mwanzo aallahuaalam
@mwerochindoro2910
2 жыл бұрын
MashAllah, Shukrani @ munira
@jamamvoni4053
2 жыл бұрын
Wee munira hhhhh daah
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Visa nyie 🤣🤣
@AA-gt7bv
Жыл бұрын
Wakti wa usku na hatkama itawafikia asbh mnaog Josh alfu mnaendlea n funga mashallh
@donitoalberto3154 Жыл бұрын
Sheikh #Othman neste vídeo muito agressivo, será é por caso do assunto, meus irmãos constataram isto?
@AA-gt7bv
Жыл бұрын
Yeah!! Tumeliona mashallh❤
@basilkaslingi4413 ай бұрын
Kwa nini ndoa ya kwanza huwa na migogoro
@farris_2549Ай бұрын
🤌💚
@mr.waziri99922 жыл бұрын
Hata kama anaziniwa nje, 😂
@ruznaabdullah2050 Жыл бұрын
Nawale tusie zaa hatuta olewa na utajuaje kama nikfa
@abkhamsalshamte429 Жыл бұрын
me juzi nilimuona na mvii nyingi, nilingia huzni kdg.
@mallulu9086 Жыл бұрын
Ya Arab tujalie mwisho mwema
@CuteGirl-og2mr2 ай бұрын
Nini hukumu ya mwanaume kumhama mke wake chumba
@omaraliy61442 жыл бұрын
Assalam alykum. Ya lini haya mawaidha
@asiahamza9495
2 жыл бұрын
Assallam alley kum, 6 days ago (Siku sita zilizopita).
@SA-xj8hc2 жыл бұрын
Usicheze na mwanamke, hebu muulize yeye mwenyewe Sheikh kashaoa akiacha wangapi?
@musahimapanda8701
2 жыл бұрын
Kwa hiyo???
@zuleikha7691
2 жыл бұрын
Mungu akulinde.
@Tatafati-uk8vy
Жыл бұрын
Hayatuhusu
@jumatandiko7597 Жыл бұрын
Hachuji kwa kuwa sio mvivu wa kusoma,wengine wamechanganya na mambo yao ndio maana Mungu nae huwashusha
@jimjam41482 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@allyissa71632 жыл бұрын
Masha Allāah...Shkh Othman Maalim bado Wamoto... mawaidha mazuri alhamdulillah... shukran
Пікірлер: 180
HUYU SHEIKH OTHMAN MAALIM HACHUJI KILA SIKU NI MPYA HAISHI RADHA KUMSIKILIZA MASHA ALLAH.. ALLAH AMPE UMRI MREFU ZAIDI TTUWEZE KUFAIDIKA
@babyhamisi1437
2 жыл бұрын
Kweli kabisa maneno yako
@salwasuleiman3525
2 жыл бұрын
Amin yarab
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
May Allah bless him Yarrab
@buyuni1
2 жыл бұрын
Ameen
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Ameen
Allah akupe mwisho mwema shekhe wetu🙌🙌🙌🙏
Mashallah shekhe wetu m mungu akuweke akujaalie afya njema uendelee kutupa elmu ishaallah
Mashaallah mawaidha mazuri mungu akupe umri mrefu uzidi kutoa darasa maana wengi wetu hatujui majukumu yetu
Allah akupe umli mlefu sheikh othuman
Masha Allah mwenyezy mungu hawungoze mwanaume
Ma shaa Allah! Mawaidha mazuri sana. Raha ilioje kwetu kuwemo ktk kundi hilo la wanawake. Lakini shekhe kuna wenzetu ambao hujitolea kwa hali na mali kutunza familia zao akiwemo mume. Mara nyingi waume kurudi nyumbani wakichunguza mezani kuna chakula gani ingawa yeye kwa kawaida haachi matumizi yoyote. Haya ni maisha ya kila siku kwa wanawake hao. Je, nini hukumu yao wanawake hawa kwa mola wao? Na hawa huwajali sana waume zao, wakiwatumikia kwa maisha yao yote. Kama kuna maelezo kuhusu wao, bila shaka watafurahi kusikia darsa linalohusu mchango wao huo. Jazaakumullahul kheir Shekhe wangu.
@fawziaabdurrahman2251
2 жыл бұрын
Ndio maana mwanamke anafaa akichagua mume aangalie tabia na dini. Zote mbili ziwe zimekuridhisha ndio posa ikubaliwe. Bila hivyo, wadada watajipata wameolewa na wanaume ambao wanafikiri kuwa mume ni kuvaa trouser hawajui kuleta chakula wala kuangalia familia na bado hao waume watarajia wewe dada Haki zao zote uwatimizie. Kuweni makini madada mnapo chagua waume
@faridamkwizu3333
2 жыл бұрын
Mashallaah allaah akupe umri mrefu wa kheri uzidi kutunufaisha na elimu yako. Inshaallaah
Mwenyezi Mungu akujaalie umri na afya njema shekhe wetu Inshaallah
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Aaamin
@shabaniguma8696
Жыл бұрын
Aameen🤲🏾
@jassminemubarak2828
10 ай бұрын
Amiiiina
Napenda. Sana mawaidhayako nilikuwa nimekata tamaa kwenye ndoa Allah atujalie mwisho mzuri ila ninamtianisana kwenyendoa
Maa shaa Allah darsa nzuri sana
Mie tangu nainukia naanza kusikiliza mawaidha namkubal mpk leo huyu shaikh jaman maa shaa Allah tabaraka rahman Allah akuweke shaikh quran yake sasa subhanallah akisoma
MASHALLAH 💯 jamani maneno ya ALLAH Msiandik kwa harufi ndog yandiken kwa herufi kubw mfn km INSHALL. N.K mshanielew ndg zanguni tn sehem yeyet panapo stahik
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Inshaallah tumekuelewa
MASHAALLAH nampenda sana othaman maalim kwa ajili ya ALLAH kila ninaposikiliza mawaidha ya SHEIKH Othman maalim lazima nibubujike na machozi
Mawadha mazuri.sana.huwa ninapo sikiliza.nkua.katika utulivu.allh.akup.nuru.sgh
بارك الله فيك شيخ
Mashaalla Allah akupe umr shekhe wetu uzidi kutuelimisha inshaallah🤲🏼🤲🏼🤲🏼 ila sauti kdg imekua na kukwamakwama mamodereta hakikisheni mnaset speaker vzr plz ndio sauti tuiskie clear🙏🏼🙏🏼🙏🏼
MashaaAllah Darsah lipo vyema kwakwel may Allah blessings us and this media...TV
Wanaume hao hawapo ukae yeye akahangaike mmh! utasimbuliwa mpaka ujute kuzaliwa Allah atujalie mwisho mwema yarabi
@mirajiissa4603
3 ай бұрын
Wapo ikiwa wewe hukujaaliwa kumpata mume wa namna hiyo si wote
Allah akujaze kheri sheikh wetu, pia akupe mwisho Mwema Aaamin 🤲
@SharifaMuhamed-od5dl
3 ай бұрын
Amiin 🤲
Maneno mazuri sana. Allah atujaliye wanawake wema
@umaymatwaha9807
2 жыл бұрын
🙏Amiin
Aslm alykm warahmatullah wabarakat mashallah hasbiyyallah Allah akujaze her na Imani na akupe umri mref wenye mwish mwema inshallah amn half shekh kama na mwanamke ana jitihada Kwa kila alivy pangiwa kwenye miongozo mema na lakin Bado hapati kizur kwa anae mtegemea zaid ya maumivu usiyo yategemea 💔
Mashallah.maana kuna wanaume hawajitambui kutwa kutesa wake zao.
@user-oq2wp8oh1f
7 ай бұрын
Tunateswa jaman
Sheikh napenda sana kusikiza mawaida yako
جزاك الله خير
Asalam alaiqum mashallah hadithi nzur
ALLAH ATUJAALIE TUPATE RADHI ZA WAUME ZETU INSHALLAH
Jamanii kumbesisi tuna thamani lakini waume wengine hawaiyoni thamani yetuu wanatufanya kama watumwa waoo
@hamidamhanaya8126
2 жыл бұрын
😁
@heyumi2340
2 жыл бұрын
ulikuwa hujui
@heyumi2340
2 жыл бұрын
sasa hivi ni utumwa kwa kwenda mbele au ukae kisela 😂😂😂
@arafatmaphox8612
2 жыл бұрын
Wapi
@khadijamgambo6874
Жыл бұрын
Ndio mana tunashauriwa tuolewe na wanaoijua Dini na c wenye magari na maghorofa mengi.
MashaAllah Allah akujaze🤲
Sheikh Othman Maalimu nakupenda sn yani Nakupenda kwaajili ya ALLAH,huwa unazungumza kwa upole sn jmn Duh yani unaeleweka
Nakupenda,mimi mkristo,laah namiini kwenye Islamic na ukristo,niweke sawa hizi dini mbili naamini, kwenye ukweli,Napenda kusikia wakiabudu,hadithi na mawaidha,natamani kuilewa Quran na bible tena bila kubagua,nazipenda hizi dini mbili ,bila dharau wala kejeli,Namshukuru Mungu kwa dini ya Islamic na Christian's nawapenda wote 🙏🙏✍✍🙏🙏
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
labda nikupe wasia mzuri iwapo utatia akili katika maneno yangu...uisilamu ndilo dini pekee la haki mbele ya Allah. na Kwanini uamini Hilo kwasababu ukristo si dini ni jina ambalo walianza kuitwa miaka nyingi baada ya kufa yesu ambalo tena katika sehemu panapo itwa antokia yaani walikuwa ni watu wa yesu --kristo-- wakaitwa wakristo kama vile kusema watu wa Kenya tukawaita wakenya sijui unanielewa ila tangu kuanzia utume mpaka kukoma kwake Allah alikuwa ajawahi kulipa jina dini yake mpaka ilipofika mwisho wa utume ndio akasema katika qurani kuwa na nimewaridhia uisilamu kuwa ndilo dini lenu
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
pili... yesu nimtume aliyekuwa sahihi ila Sasa Hawa wanaoitwa watu wake yaani wakristo wametia mishkeli na makosa mengi katika dini Yao Kila siku ndio Kwa maana mpaka leo utaona wanatoa bibilia mpya ambalo Hilo mpya ni improved yaani emekuwa modernized imefanywa kuwa ya kisasa kwasababu Hilo zikawa bibilia Moja hutofautiana na nyingine katika baadhi ya mashala hivyo Sasa ndivyo wanavyo chafua mafundisho ya yesu mpaka wengine washa fikia kumfanya ni mungu wengine wamemfanya ni mtoto wake wengyaaniine wamemfanya ni mtume tu na wengine wamemfanya ni mungu na nimtoto wa mungu na nimtume
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
yaani hawaekeweki kwamsingi wa Imani Yao na Cha ajabu ukienda israil ambapo yesu alikuwa akiishi utawakuto wanao amini hakusulubiwa yesu nao pia niwakristo na wanao amini kuwa alisulubiwa Kwa msalaba na wengine wanaamini alisulubiwa Kwa mti straight tu lakini ukisoma historia hakuna watu walio wahi kuwa na Mila la kusulubisha watu Kwa msalaba kama + ilikuwa ni hivi tu | tu sijui wanielewa ila ishu ya msalaba huu ilianzia Rome mbalisana na Israel ajabu sana wakasema eti wameamisha administration ya wakristo mpaka Rome ndio kukaanza ukatoliki
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
ndio Sasa ukitaka kujua ukweli ulioko katika bibilia ukweli ambao haujatiwa nakshi yeyote ni Yale yanao afikiana na qurani tuna qurani imehifadhika na kutiwa dosari kwasababu jibril alipo muhifadhisha mtume nao waisilamu Waka ihifadhi Kwa kichwa Allah alijaalia hivi Ili iwemiongoni mwanjia ya kuitakasa qurani isije ikachafuliwa kama zilivyo chafuliwa vitabu vingine Sasa Leo hata herufi Moja tu ukiisoma sivyo Kila mwisilamu aliye hifadhi Hilo sura atakwambi koma Hilo umetia makosa
@abassmohammedmohammed5948
2 жыл бұрын
ila Sasa bibilia Zina mambo ya ajabu angalia bibilia ya wakatoliki Kuna vita takriban kumi na mbili za ziada .....na ukisoma king james bible historia yake ilipotungwa ilitungwa miaka zaidi ya saba tena na wasomi walugha sio wasomi wadini akiwa king huyu anawalipa Kila siku Kwa kazi Yao kwahiyo hapa lazima mapungufu yawepo
MashaAllah Shukran jazakAllahu kheir
Ma sha Allah
Machalaa cheik weitu ntukufu
BISMILLAAHH MAA SHAA ALLAH ALLAH AKUPE UMR WENYE KHEYR AKUWEZESHE KAMA ALIOWAWEZESHA AKUNYANYUWE KAMA ALIOWANYANYUA ATUPE MANUFAA KWA UWEPO WAKO TUNUFAIKE NA IL'MU YAKO NA MWISHO NAKUOMBEA KWA ALLAH AKUTUNUKIE JANNATUL FIRDAUS AAMIN
@rukiaissa5878
2 жыл бұрын
Amyn
Mashaallah sheikh Othman Maalim
Macha Allahu
Ma Shaa Allah darsa zuri sana
Masha Allah shekhe wetu
MASHAALAH
Swadakta sheikh uthman maalim Allah akulipe inshaallah
@marygoshashy9954
2 жыл бұрын
Jamani mm nampenda sana huyu sheikh saaa dooo natamani nikutane nae live doooo ♥️
@suzanokila3612
Жыл бұрын
Mashalla .mungu akupe mwisho nzuri inshallah
Alhamdullilah Najivunia kua muisilam Maana Elimu yote duniani ipo katika Qur'an 🙏 insha'Allah god bless you maalim os
@SharifaMuhamed-od5dl
3 ай бұрын
Swadakta 💯
Aslm alkm ww... Haiwezekani mmeo akushughulikie na kukupenda alafu wewe ukose kumpenda mmeo Hilo haliwezekani sheikh. Ndoa za sikuhizi hazina mawadata Wala rahma. Mke anasubiri kifo, majuto na uvumilivu labda amezaa anahurumia watoto wake wasiteseke. Nabii Muhammad S. A .W . Alikaa na wakeze vizuri na lau wanaume wangeiga mfano wake, basi pepo ingewepo hapahap duniani. Ndoa ni pepo sheikh wangu. Lakini pole hakuna ndoa iliobaki ni ndoana. Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
@adilaibrahim2069
6 ай бұрын
Allah alete kheri zake in sha Allah
@user-jv1ch4tr8q
2 ай бұрын
We Acha tu ndugu yangu hata ujishushe aje atakupelekeasha tu
Ma sha allah
RABBY TUWEKEE vipenz vyetu walimu wetu masheykh wetu wallahy tunanufaika Allah atukutanishe peponi na Sheykh WETU aamin
@rukiaissa5878
2 жыл бұрын
Amyn yaarabbbiy
@shabaniguma8696
Жыл бұрын
Amiin 🤲🏾
@SharifaMuhamed-od5dl
3 ай бұрын
Amiin 🤲
MASHA ALLAH
@shekikashedrack
Жыл бұрын
Namuelewa sana
Sichokag kumsiliza na wala sijawahi kuwa mvivu kumsikiliza allha akupe maisha marefu 🙏
MashaAllah...ila waume wengi wa kiislamu siku hizi wame fail katika majukumu..ila wana weka uzito katika ruhusa ya kuoa zaidi ya mmoja..
Maashallah sheikh mungu akutunze kwa. Ajil yetu amiiin
Mungu amuhifadhi shekhe wetu huyu
Mashaallah💓
Mashallah mashallah mashallah.Allah akuzidishie hapa na pengine
Mashallah
MàshaAllah jazakallahu khayr
Allah barik
Shukran shekhe
Shukran sheikh
Mashallaaah shekh ila sikuhizi wanaume hawajuwi thamani ya ubikra mume wangu wa1 aliniowa nikiwa bikra ila alinishika km mtumwa tuliishi kwa mwaka1na nusu nikizaa mtt1 ila Ndowa yangu ya2 naishi natamani tele ndo kaniowa na mtoto
Marshall mungu atuongoze sote kwa ujumla
Sasa vipi kuhusu wanawaje wanapowafanyia waume zao mazuri nahuku tunaitwa washenzi na huku twawapikia
Mawaidha mazuri japo yameegea sana kwa wanawake...lkn wanaume wa siku hizi pasua kichwa hawawajibiki ktk familia.ni chanzo cha kuvuruga ndoa zao.
@hamidamhanaya8126
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@heyumi2340
2 жыл бұрын
sasa hivi wanawake wasipotafyta watoto wafa njaa yaan imekuwa kazi ya wanaume zimekuwa za wanawake majukum tumebeba ss wanawake wao kaxi ni kubwa huwa ni kuongeza wake kuzalisha bila huduma mpaka kichefuchefu
Asante shekh othaman
Masha Allah sherkh othman kweli kabisa
mashaAllah
MashaaAllah walhadulilah ❤️😘
@halimamnyati9311
2 жыл бұрын
Alhamdulilahi mawaidha mazr sn shee mungu akuzidishie inshaa allah
@halimahalima1488
2 жыл бұрын
@@halimamnyati9311 amiiiin 👏 wajina wa mie
Alhamdulillah 😊
Mashallahحفظهلله
Sikuhizi wanaumme hawataki wake waloshika dini, wanataka mvaa uchi ukiwa unajistiri unaonekana sio mke so naona shekhe wangu hao enzi za Mitume waumme hao hamna kabisa waumme hao
@aflahabdula4084
Жыл бұрын
Nikweli kabisa
Mashaallah
Alláâh akuhifadhi
Aslkm vp hali yako sheikh letu laukweli?alhmdllh mawaedha matamu sana mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha amiin..sasa niipi hukmu yamwanaume ambae mkewe yuwamtaka katika tendo la ndoa nayy hataki??yuwamkatalia?
mashallaH 🕌
Wallahi naam maneno kuntu👌
Masha Allah mawaiza mazur sanna tungepata namba yake kwakweli tunamaswala mengi kukuuliza
Hakika mwenyezi mungu ampe nuru
INSHALLAH
2024🙏
❤❤❤❤💖💖💖💖💯
Utandandawazi umeharibu utamaduni wa kidini,,,haki sawa ,,50kwa 50 ,,,mfumo wa maisha umetubadilisha ...mmebaki wachache ,,,kwa sasaa utasikia mwanamke kijishughulisha na sio kubweteka,,imebaki ni shidaaa!
@khamismohdkhamis4680
3 ай бұрын
Kwa sababu wanaume hawataki kubeba majukumu yao
Mbona wanaume wengi wamesoma dini ila wazifatilii wake zao uteseka kutwa nafamiliya kula kuvaa kulala kuu yote juu yamwanamke je awo wanaume wanayo yafanya nihaki?
kwa hiyo wasiozaa wasiolewe duh mtihan maana kuna wanaume uwezo wa kumpa mimba hana na wanawake wapo hawana uzazi jee hawapaswi kuolewa na kuolewa ni lazima shekhe watoto ni mpka mungu atake
@Rydah389
2 жыл бұрын
Nmekua na swali hilo ila mola ndo ajuae zaidi maana c maneno ya shekh hayo
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@Rydah389 pia kwenye kuridhika c mabikira pekee sasa hivi mabint wengi hawaridhiki kivyovyote aidha kipesa mpaka kimwili naweza kusema kuridhika inatengemea na mty mwenyewe tena binti usimwambie huna pesa ya kitu fulan atakuumbua ndugu ni kuomba ty umpate mwenza alokuwa mwema bac
@Rydah389
2 жыл бұрын
Hii generation tulio sasa mambo yanaenda speed sana kila gender imejisahau....mola atufanyie wepesi tukae kwnye mipaka ya dini
Mashaallah shukran ya sheikh. Yaani mwanamke ukiwa na ilmu ya dini hakuchezei mwanaume au mumeo unamuweka sawa hadi anajiona bora atulie tu. Wanawake tafteni waume wasomi wa dini. Kisha nyie kazi ni kumpatia mahaba full full.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
wanaume wenye dini wako wapi pombe tupu
@meandme3437
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 🤪🤪😬😬
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@meandme3437 😂😂😂😂😂na bangi halafu wao wanataka au wanaambiwa waoe wenye dini kweli dini na pombe wapi na bangi kuswali kwenyewe Ramadhani hadi Ramadhani ssa hivi misikiti iko full subiri iishe 😂😂😂😂😂swafu tatu
@meandme3437
2 жыл бұрын
Msiba fauka muswiba.
@aasiyaasia338
2 жыл бұрын
Waweza kumpata wa hvyo lakin kutwa msktin hatoki kutafuta ridhki
Assalaam aleikum warahmatullahi,, naomba mnijuze Ndungu zangu in Islam,,, niwakati gani unaofaa kustarehe na mkeo, katika Usiku WA Ramadhan? Swaum maqbul
@munirasuleiman2006
2 жыл бұрын
Ikisomwa adhana tu hata kama wataka umfuturie yy ruksa hadi kabla ya adhana ya mwanzo aallahuaalam
@mwerochindoro2910
2 жыл бұрын
MashAllah, Shukrani @ munira
@jamamvoni4053
2 жыл бұрын
Wee munira hhhhh daah
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Visa nyie 🤣🤣
@AA-gt7bv
Жыл бұрын
Wakti wa usku na hatkama itawafikia asbh mnaog Josh alfu mnaendlea n funga mashallh
Sheikh #Othman neste vídeo muito agressivo, será é por caso do assunto, meus irmãos constataram isto?
@AA-gt7bv
Жыл бұрын
Yeah!! Tumeliona mashallh❤
Kwa nini ndoa ya kwanza huwa na migogoro
🤌💚
Hata kama anaziniwa nje, 😂
Nawale tusie zaa hatuta olewa na utajuaje kama nikfa
me juzi nilimuona na mvii nyingi, nilingia huzni kdg.
Ya Arab tujalie mwisho mwema
Nini hukumu ya mwanaume kumhama mke wake chumba
Assalam alykum. Ya lini haya mawaidha
@asiahamza9495
2 жыл бұрын
Assallam alley kum, 6 days ago (Siku sita zilizopita).
Usicheze na mwanamke, hebu muulize yeye mwenyewe Sheikh kashaoa akiacha wangapi?
@musahimapanda8701
2 жыл бұрын
Kwa hiyo???
@zuleikha7691
2 жыл бұрын
Mungu akulinde.
@Tatafati-uk8vy
Жыл бұрын
Hayatuhusu
Hachuji kwa kuwa sio mvivu wa kusoma,wengine wamechanganya na mambo yao ndio maana Mungu nae huwashusha
MASHA ALLAH
Masha Allāah...Shkh Othman Maalim bado Wamoto... mawaidha mazuri alhamdulillah... shukran
Mashaallah darsa nzuriii
Mashaallah
Mashaallah