Mkeo ni Malkia zingatia haya usije sema hukuonywa - Sheikh Othman Maalim

Sheikh Othman Maalim akitoa nasaha kwa wanandoa ‪@kalamuMedia‬

Пікірлер: 180

  • @allyngoda761
    @allyngoda7612 жыл бұрын

    HUYU SHEIKH OTHMAN MAALIM HACHUJI KILA SIKU NI MPYA HAISHI RADHA KUMSIKILIZA MASHA ALLAH.. ALLAH AMPE UMRI MREFU ZAIDI TTUWEZE KUFAIDIKA

  • @babyhamisi1437

    @babyhamisi1437

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa maneno yako

  • @salwasuleiman3525

    @salwasuleiman3525

    2 жыл бұрын

    Amin yarab

  • @fhyubhhh2881

    @fhyubhhh2881

    2 жыл бұрын

    May Allah bless him Yarrab

  • @buyuni1

    @buyuni1

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @sabraabdilnasir8826

    @sabraabdilnasir8826

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @abubakarially059
    @abubakarially0592 жыл бұрын

    Allah akupe mwisho mwema shekhe wetu🙌🙌🙌🙏

  • @mwanayamumambo2837
    @mwanayamumambo28372 жыл бұрын

    Mashallah shekhe wetu m mungu akuweke akujaalie afya njema uendelee kutupa elmu ishaallah

  • @TausiSinaela
    @TausiSinaela2 ай бұрын

    Mashaallah mawaidha mazuri mungu akupe umri mrefu uzidi kutoa darasa maana wengi wetu hatujui majukumu yetu

  • @ZuwenaAlvin
    @ZuwenaAlvin2 ай бұрын

    Allah akupe umli mlefu sheikh othuman

  • @jimilamuzanga2551
    @jimilamuzanga25512 жыл бұрын

    Masha Allah mwenyezy mungu hawungoze mwanaume

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi46112 жыл бұрын

    Ma shaa Allah! Mawaidha mazuri sana. Raha ilioje kwetu kuwemo ktk kundi hilo la wanawake. Lakini shekhe kuna wenzetu ambao hujitolea kwa hali na mali kutunza familia zao akiwemo mume. Mara nyingi waume kurudi nyumbani wakichunguza mezani kuna chakula gani ingawa yeye kwa kawaida haachi matumizi yoyote. Haya ni maisha ya kila siku kwa wanawake hao. Je, nini hukumu yao wanawake hawa kwa mola wao? Na hawa huwajali sana waume zao, wakiwatumikia kwa maisha yao yote. Kama kuna maelezo kuhusu wao, bila shaka watafurahi kusikia darsa linalohusu mchango wao huo. Jazaakumullahul kheir Shekhe wangu.

  • @fawziaabdurrahman2251

    @fawziaabdurrahman2251

    2 жыл бұрын

    Ndio maana mwanamke anafaa akichagua mume aangalie tabia na dini. Zote mbili ziwe zimekuridhisha ndio posa ikubaliwe. Bila hivyo, wadada watajipata wameolewa na wanaume ambao wanafikiri kuwa mume ni kuvaa trouser hawajui kuleta chakula wala kuangalia familia na bado hao waume watarajia wewe dada Haki zao zote uwatimizie. Kuweni makini madada mnapo chagua waume

  • @faridamkwizu3333

    @faridamkwizu3333

    2 жыл бұрын

    Mashallaah allaah akupe umri mrefu wa kheri uzidi kutunufaisha na elimu yako. Inshaallaah

  • @malombemunyithya9341
    @malombemunyithya9341 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akujaalie umri na afya njema shekhe wetu Inshaallah

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    Aaamin

  • @shabaniguma8696

    @shabaniguma8696

    Жыл бұрын

    Aameen🤲🏾

  • @jassminemubarak2828

    @jassminemubarak2828

    10 ай бұрын

    Amiiiina

  • @siwemangalunda4655
    @siwemangalunda46555 ай бұрын

    Napenda. Sana mawaidhayako nilikuwa nimekata tamaa kwenye ndoa Allah atujalie mwisho mzuri ila ninamtianisana kwenyendoa

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi77472 жыл бұрын

    Maa shaa Allah darsa nzuri sana

  • @latifahnassoro17
    @latifahnassoro172 жыл бұрын

    Mie tangu nainukia naanza kusikiliza mawaidha namkubal mpk leo huyu shaikh jaman maa shaa Allah tabaraka rahman Allah akuweke shaikh quran yake sasa subhanallah akisoma

  • @mukreemhassan7347
    @mukreemhassan73472 жыл бұрын

    MASHALLAH 💯 jamani maneno ya ALLAH Msiandik kwa harufi ndog yandiken kwa herufi kubw mfn km INSHALL. N.K mshanielew ndg zanguni tn sehem yeyet panapo stahik

  • @sabraabdilnasir8826

    @sabraabdilnasir8826

    2 жыл бұрын

    Inshaallah tumekuelewa

  • @armankassim5906
    @armankassim59062 жыл бұрын

    MASHAALLAH nampenda sana othaman maalim kwa ajili ya ALLAH kila ninaposikiliza mawaidha ya SHEIKH Othman maalim lazima nibubujike na machozi

  • @athmaniathmanisimba4976
    @athmaniathmanisimba49765 ай бұрын

    Mawadha mazuri.sana.huwa ninapo sikiliza.nkua.katika utulivu.allh.akup.nuru.sgh

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi77472 жыл бұрын

    بارك الله فيك شيخ

  • @fauziaabdalla7925
    @fauziaabdalla79252 жыл бұрын

    Mashaalla Allah akupe umr shekhe wetu uzidi kutuelimisha inshaallah🤲🏼🤲🏼🤲🏼 ila sauti kdg imekua na kukwamakwama mamodereta hakikisheni mnaset speaker vzr plz ndio sauti tuiskie clear🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @mrboogie255-dr2kh
    @mrboogie255-dr2kh2 жыл бұрын

    MashaaAllah Darsah lipo vyema kwakwel may Allah blessings us and this media...TV

  • @aaliyahholden9282
    @aaliyahholden92822 жыл бұрын

    Wanaume hao hawapo ukae yeye akahangaike mmh! utasimbuliwa mpaka ujute kuzaliwa Allah atujalie mwisho mwema yarabi

  • @mirajiissa4603

    @mirajiissa4603

    3 ай бұрын

    Wapo ikiwa wewe hukujaaliwa kumpata mume wa namna hiyo si wote

  • @bilalybarisesa5206
    @bilalybarisesa52062 жыл бұрын

    Allah akujaze kheri sheikh wetu, pia akupe mwisho Mwema Aaamin 🤲

  • @SharifaMuhamed-od5dl

    @SharifaMuhamed-od5dl

    3 ай бұрын

    Amiin 🤲

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi77472 жыл бұрын

    Maneno mazuri sana. Allah atujaliye wanawake wema

  • @umaymatwaha9807

    @umaymatwaha9807

    2 жыл бұрын

    🙏Amiin

  • @yusraabdullhaji7923
    @yusraabdullhaji79235 ай бұрын

    Aslm alykm warahmatullah wabarakat mashallah hasbiyyallah Allah akujaze her na Imani na akupe umri mref wenye mwish mwema inshallah amn half shekh kama na mwanamke ana jitihada Kwa kila alivy pangiwa kwenye miongozo mema na lakin Bado hapati kizur kwa anae mtegemea zaid ya maumivu usiyo yategemea 💔

  • @zubedamselem7217
    @zubedamselem72172 жыл бұрын

    Mashallah.maana kuna wanaume hawajitambui kutwa kutesa wake zao.

  • @user-oq2wp8oh1f

    @user-oq2wp8oh1f

    7 ай бұрын

    Tunateswa jaman

  • @user-lt4db8df6e
    @user-lt4db8df6e5 ай бұрын

    Sheikh napenda sana kusikiza mawaida yako

  • @ummiali1208
    @ummiali12082 жыл бұрын

    جزاك الله خير

  • @AbdallahHassan-hy2rm
    @AbdallahHassan-hy2rm4 ай бұрын

    Asalam alaiqum mashallah hadithi nzur

  • @hamidamhanaya8126
    @hamidamhanaya81262 жыл бұрын

    ALLAH ATUJAALIE TUPATE RADHI ZA WAUME ZETU INSHALLAH

  • @hafswaomar2841
    @hafswaomar28412 жыл бұрын

    Jamanii kumbesisi tuna thamani lakini waume wengine hawaiyoni thamani yetuu wanatufanya kama watumwa waoo

  • @hamidamhanaya8126

    @hamidamhanaya8126

    2 жыл бұрын

    😁

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    ulikuwa hujui

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    sasa hivi ni utumwa kwa kwenda mbele au ukae kisela 😂😂😂

  • @arafatmaphox8612

    @arafatmaphox8612

    2 жыл бұрын

    Wapi

  • @khadijamgambo6874

    @khadijamgambo6874

    Жыл бұрын

    Ndio mana tunashauriwa tuolewe na wanaoijua Dini na c wenye magari na maghorofa mengi.

  • @fatmamasafu8606
    @fatmamasafu86062 жыл бұрын

    MashaAllah Allah akujaze🤲

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum59742 жыл бұрын

    Sheikh Othman Maalimu nakupenda sn yani Nakupenda kwaajili ya ALLAH,huwa unazungumza kwa upole sn jmn Duh yani unaeleweka

  • @ivyroses9019
    @ivyroses90192 жыл бұрын

    Nakupenda,mimi mkristo,laah namiini kwenye Islamic na ukristo,niweke sawa hizi dini mbili naamini, kwenye ukweli,Napenda kusikia wakiabudu,hadithi na mawaidha,natamani kuilewa Quran na bible tena bila kubagua,nazipenda hizi dini mbili ,bila dharau wala kejeli,Namshukuru Mungu kwa dini ya Islamic na Christian's nawapenda wote 🙏🙏✍✍🙏🙏

  • @abassmohammedmohammed5948

    @abassmohammedmohammed5948

    2 жыл бұрын

    labda nikupe wasia mzuri iwapo utatia akili katika maneno yangu...uisilamu ndilo dini pekee la haki mbele ya Allah. na Kwanini uamini Hilo kwasababu ukristo si dini ni jina ambalo walianza kuitwa miaka nyingi baada ya kufa yesu ambalo tena katika sehemu panapo itwa antokia yaani walikuwa ni watu wa yesu --kristo-- wakaitwa wakristo kama vile kusema watu wa Kenya tukawaita wakenya sijui unanielewa ila tangu kuanzia utume mpaka kukoma kwake Allah alikuwa ajawahi kulipa jina dini yake mpaka ilipofika mwisho wa utume ndio akasema katika qurani kuwa na nimewaridhia uisilamu kuwa ndilo dini lenu

  • @abassmohammedmohammed5948

    @abassmohammedmohammed5948

    2 жыл бұрын

    pili... yesu nimtume aliyekuwa sahihi ila Sasa Hawa wanaoitwa watu wake yaani wakristo wametia mishkeli na makosa mengi katika dini Yao Kila siku ndio Kwa maana mpaka leo utaona wanatoa bibilia mpya ambalo Hilo mpya ni improved yaani emekuwa modernized imefanywa kuwa ya kisasa kwasababu Hilo zikawa bibilia Moja hutofautiana na nyingine katika baadhi ya mashala hivyo Sasa ndivyo wanavyo chafua mafundisho ya yesu mpaka wengine washa fikia kumfanya ni mungu wengine wamemfanya ni mtoto wake wengyaaniine wamemfanya ni mtume tu na wengine wamemfanya ni mungu na nimtoto wa mungu na nimtume

  • @abassmohammedmohammed5948

    @abassmohammedmohammed5948

    2 жыл бұрын

    yaani hawaekeweki kwamsingi wa Imani Yao na Cha ajabu ukienda israil ambapo yesu alikuwa akiishi utawakuto wanao amini hakusulubiwa yesu nao pia niwakristo na wanao amini kuwa alisulubiwa Kwa msalaba na wengine wanaamini alisulubiwa Kwa mti straight tu lakini ukisoma historia hakuna watu walio wahi kuwa na Mila la kusulubisha watu Kwa msalaba kama + ilikuwa ni hivi tu | tu sijui wanielewa ila ishu ya msalaba huu ilianzia Rome mbalisana na Israel ajabu sana wakasema eti wameamisha administration ya wakristo mpaka Rome ndio kukaanza ukatoliki

  • @abassmohammedmohammed5948

    @abassmohammedmohammed5948

    2 жыл бұрын

    ndio Sasa ukitaka kujua ukweli ulioko katika bibilia ukweli ambao haujatiwa nakshi yeyote ni Yale yanao afikiana na qurani tuna qurani imehifadhika na kutiwa dosari kwasababu jibril alipo muhifadhisha mtume nao waisilamu Waka ihifadhi Kwa kichwa Allah alijaalia hivi Ili iwemiongoni mwanjia ya kuitakasa qurani isije ikachafuliwa kama zilivyo chafuliwa vitabu vingine Sasa Leo hata herufi Moja tu ukiisoma sivyo Kila mwisilamu aliye hifadhi Hilo sura atakwambi koma Hilo umetia makosa

  • @abassmohammedmohammed5948

    @abassmohammedmohammed5948

    2 жыл бұрын

    ila Sasa bibilia Zina mambo ya ajabu angalia bibilia ya wakatoliki Kuna vita takriban kumi na mbili za ziada .....na ukisoma king james bible historia yake ilipotungwa ilitungwa miaka zaidi ya saba tena na wasomi walugha sio wasomi wadini akiwa king huyu anawalipa Kila siku Kwa kazi Yao kwahiyo hapa lazima mapungufu yawepo

  • @bammboomm7763
    @bammboomm77632 жыл бұрын

    MashaAllah Shukran jazakAllahu kheir

  • @MwakishaStella
    @MwakishaStella7 ай бұрын

    Ma sha Allah

  • @InssasulaiRachide
    @InssasulaiRachideАй бұрын

    Machalaa cheik weitu ntukufu

  • @rayasaid7400
    @rayasaid74002 жыл бұрын

    BISMILLAAHH MAA SHAA ALLAH ALLAH AKUPE UMR WENYE KHEYR AKUWEZESHE KAMA ALIOWAWEZESHA AKUNYANYUWE KAMA ALIOWANYANYUA ATUPE MANUFAA KWA UWEPO WAKO TUNUFAIKE NA IL'MU YAKO NA MWISHO NAKUOMBEA KWA ALLAH AKUTUNUKIE JANNATUL FIRDAUS AAMIN

  • @rukiaissa5878

    @rukiaissa5878

    2 жыл бұрын

    Amyn

  • @universitylink
    @universitylink2 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh Othman Maalim

  • @InssasulaiRachide
    @InssasulaiRachideАй бұрын

    Macha Allahu

  • @salimmariga149
    @salimmariga1492 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah darsa zuri sana

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Masha Allah shekhe wetu

  • @user-ge6gu4fh7x
    @user-ge6gu4fh7x3 ай бұрын

    MASHAALAH

  • @fatumaabdallah7541
    @fatumaabdallah75412 жыл бұрын

    Swadakta sheikh uthman maalim Allah akulipe inshaallah

  • @marygoshashy9954

    @marygoshashy9954

    2 жыл бұрын

    Jamani mm nampenda sana huyu sheikh saaa dooo natamani nikutane nae live doooo ♥️

  • @suzanokila3612

    @suzanokila3612

    Жыл бұрын

    Mashalla .mungu akupe mwisho nzuri inshallah

  • @sergemassamba5677
    @sergemassamba56772 жыл бұрын

    Alhamdullilah Najivunia kua muisilam Maana Elimu yote duniani ipo katika Qur'an 🙏 insha'Allah god bless you maalim os

  • @SharifaMuhamed-od5dl

    @SharifaMuhamed-od5dl

    3 ай бұрын

    Swadakta 💯

  • @afric01
    @afric01 Жыл бұрын

    Aslm alkm ww... Haiwezekani mmeo akushughulikie na kukupenda alafu wewe ukose kumpenda mmeo Hilo haliwezekani sheikh. Ndoa za sikuhizi hazina mawadata Wala rahma. Mke anasubiri kifo, majuto na uvumilivu labda amezaa anahurumia watoto wake wasiteseke. Nabii Muhammad S. A .W . Alikaa na wakeze vizuri na lau wanaume wangeiga mfano wake, basi pepo ingewepo hapahap duniani. Ndoa ni pepo sheikh wangu. Lakini pole hakuna ndoa iliobaki ni ndoana. Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏

  • @adilaibrahim2069

    @adilaibrahim2069

    6 ай бұрын

    Allah alete kheri zake in sha Allah

  • @user-jv1ch4tr8q

    @user-jv1ch4tr8q

    2 ай бұрын

    We Acha tu ndugu yangu hata ujishushe aje atakupelekeasha tu

  • @kulthumally881
    @kulthumally8812 жыл бұрын

    Ma sha allah

  • @rayasaid7400
    @rayasaid74002 жыл бұрын

    RABBY TUWEKEE vipenz vyetu walimu wetu masheykh wetu wallahy tunanufaika Allah atukutanishe peponi na Sheykh WETU aamin

  • @rukiaissa5878

    @rukiaissa5878

    2 жыл бұрын

    Amyn yaarabbbiy

  • @shabaniguma8696

    @shabaniguma8696

    Жыл бұрын

    Amiin 🤲🏾

  • @SharifaMuhamed-od5dl

    @SharifaMuhamed-od5dl

    3 ай бұрын

    Amiin 🤲

  • @SANATVTZ
    @SANATVTZ2 жыл бұрын

    MASHA ALLAH

  • @shekikashedrack

    @shekikashedrack

    Жыл бұрын

    Namuelewa sana

  • @user-xy2qj1gc9p
    @user-xy2qj1gc9p Жыл бұрын

    Sichokag kumsiliza na wala sijawahi kuwa mvivu kumsikiliza allha akupe maisha marefu 🙏

  • @swaummukonjero7352
    @swaummukonjero7352 Жыл бұрын

    MashaAllah...ila waume wengi wa kiislamu siku hizi wame fail katika majukumu..ila wana weka uzito katika ruhusa ya kuoa zaidi ya mmoja..

  • @asmaanassoro7842
    @asmaanassoro7842 Жыл бұрын

    Maashallah sheikh mungu akutunze kwa. Ajil yetu amiiin

  • @saidimkopi9273
    @saidimkopi92732 жыл бұрын

    Mungu amuhifadhi shekhe wetu huyu

  • @abubakarially059
    @abubakarially0592 жыл бұрын

    Mashaallah💓

  • @aseefpa1461
    @aseefpa14612 жыл бұрын

    Mashallah mashallah mashallah.Allah akuzidishie hapa na pengine

  • @juneithartony9543
    @juneithartony95432 жыл бұрын

    Mashallah

  • @user-dp3cu8dv3y
    @user-dp3cu8dv3y8 ай бұрын

    MàshaAllah jazakallahu khayr

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma91462 жыл бұрын

    Allah barik

  • @halimasaid4977
    @halimasaid49772 жыл бұрын

    Shukran shekhe

  • @fitness8330
    @fitness83302 жыл бұрын

    Shukran sheikh

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q2 ай бұрын

    Mashallaaah shekh ila sikuhizi wanaume hawajuwi thamani ya ubikra mume wangu wa1 aliniowa nikiwa bikra ila alinishika km mtumwa tuliishi kwa mwaka1na nusu nikizaa mtt1 ila Ndowa yangu ya2 naishi natamani tele ndo kaniowa na mtoto

  • @dallamanzanzibar8685
    @dallamanzanzibar8685 Жыл бұрын

    Marshall mungu atuongoze sote kwa ujumla

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad60412 жыл бұрын

    Sasa vipi kuhusu wanawaje wanapowafanyia waume zao mazuri nahuku tunaitwa washenzi na huku twawapikia

  • @asiaswedi8945
    @asiaswedi89452 жыл бұрын

    Mawaidha mazuri japo yameegea sana kwa wanawake...lkn wanaume wa siku hizi pasua kichwa hawawajibiki ktk familia.ni chanzo cha kuvuruga ndoa zao.

  • @hamidamhanaya8126

    @hamidamhanaya8126

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    sasa hivi wanawake wasipotafyta watoto wafa njaa yaan imekuwa kazi ya wanaume zimekuwa za wanawake majukum tumebeba ss wanawake wao kaxi ni kubwa huwa ni kuongeza wake kuzalisha bila huduma mpaka kichefuchefu

  • @shefumasanja-wn6lj
    @shefumasanja-wn6lj Жыл бұрын

    Asante shekh othaman

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Жыл бұрын

    Masha Allah sherkh othman kweli kabisa

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed53782 жыл бұрын

    mashaAllah

  • @halimahalima1488
    @halimahalima14882 жыл бұрын

    MashaaAllah walhadulilah ❤️😘

  • @halimamnyati9311

    @halimamnyati9311

    2 жыл бұрын

    Alhamdulilahi mawaidha mazr sn shee mungu akuzidishie inshaa allah

  • @halimahalima1488

    @halimahalima1488

    2 жыл бұрын

    @@halimamnyati9311 amiiiin 👏 wajina wa mie

  • @kineromakame7295
    @kineromakame7295 Жыл бұрын

    Alhamdulillah 😊

  • @kakamama5104
    @kakamama51042 жыл бұрын

    Mashallahحفظهلله

  • @kamilyaibrahim9784
    @kamilyaibrahim97842 жыл бұрын

    Sikuhizi wanaumme hawataki wake waloshika dini, wanataka mvaa uchi ukiwa unajistiri unaonekana sio mke so naona shekhe wangu hao enzi za Mitume waumme hao hamna kabisa waumme hao

  • @aflahabdula4084

    @aflahabdula4084

    Жыл бұрын

    Nikweli kabisa

  • @mwanamkasi5278
    @mwanamkasi52782 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @rashidimatogwa-rr3rj
    @rashidimatogwa-rr3rj Жыл бұрын

    Alláâh akuhifadhi

  • @sharifshek7240
    @sharifshek72402 жыл бұрын

    Aslkm vp hali yako sheikh letu laukweli?alhmdllh mawaedha matamu sana mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha amiin..sasa niipi hukmu yamwanaume ambae mkewe yuwamtaka katika tendo la ndoa nayy hataki??yuwamkatalia?

  • @AbdulazizJuma-qu2tk
    @AbdulazizJuma-qu2tk7 ай бұрын

    mashallaH 🕌

  • @binthamoudshariff5492
    @binthamoudshariff54922 жыл бұрын

    Wallahi naam maneno kuntu👌

  • @jumamohammed1818
    @jumamohammed1818 Жыл бұрын

    Masha Allah mawaiza mazur sanna tungepata namba yake kwakweli tunamaswala mengi kukuuliza

  • @karimukoriwa6520
    @karimukoriwa6520 Жыл бұрын

    Hakika mwenyezi mungu ampe nuru

  • @alawimkonga5557
    @alawimkonga55572 жыл бұрын

    INSHALLAH

  • @zubedahassan409
    @zubedahassan4096 күн бұрын

    2024🙏

  • @naimajeddara8687
    @naimajeddara8687 Жыл бұрын

    ❤❤❤❤💖💖💖💖💯

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 Жыл бұрын

    Utandandawazi umeharibu utamaduni wa kidini,,,haki sawa ,,50kwa 50 ,,,mfumo wa maisha umetubadilisha ...mmebaki wachache ,,,kwa sasaa utasikia mwanamke kijishughulisha na sio kubweteka,,imebaki ni shidaaa!

  • @khamismohdkhamis4680

    @khamismohdkhamis4680

    3 ай бұрын

    Kwa sababu wanaume hawataki kubeba majukumu yao

  • @Dasoor-tt3vf4dj8i
    @Dasoor-tt3vf4dj8i5 ай бұрын

    Mbona wanaume wengi wamesoma dini ila wazifatilii wake zao uteseka kutwa nafamiliya kula kuvaa kulala kuu yote juu yamwanamke je awo wanaume wanayo yafanya nihaki?

  • @heyumi2340
    @heyumi23402 жыл бұрын

    kwa hiyo wasiozaa wasiolewe duh mtihan maana kuna wanaume uwezo wa kumpa mimba hana na wanawake wapo hawana uzazi jee hawapaswi kuolewa na kuolewa ni lazima shekhe watoto ni mpka mungu atake

  • @Rydah389

    @Rydah389

    2 жыл бұрын

    Nmekua na swali hilo ila mola ndo ajuae zaidi maana c maneno ya shekh hayo

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@Rydah389 pia kwenye kuridhika c mabikira pekee sasa hivi mabint wengi hawaridhiki kivyovyote aidha kipesa mpaka kimwili naweza kusema kuridhika inatengemea na mty mwenyewe tena binti usimwambie huna pesa ya kitu fulan atakuumbua ndugu ni kuomba ty umpate mwenza alokuwa mwema bac

  • @Rydah389

    @Rydah389

    2 жыл бұрын

    Hii generation tulio sasa mambo yanaenda speed sana kila gender imejisahau....mola atufanyie wepesi tukae kwnye mipaka ya dini

  • @meandme3437
    @meandme34372 жыл бұрын

    Mashaallah shukran ya sheikh. Yaani mwanamke ukiwa na ilmu ya dini hakuchezei mwanaume au mumeo unamuweka sawa hadi anajiona bora atulie tu. Wanawake tafteni waume wasomi wa dini. Kisha nyie kazi ni kumpatia mahaba full full.

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    wanaume wenye dini wako wapi pombe tupu

  • @meandme3437

    @meandme3437

    2 жыл бұрын

    @@heyumi2340 🤪🤪😬😬

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@meandme3437 😂😂😂😂😂na bangi halafu wao wanataka au wanaambiwa waoe wenye dini kweli dini na pombe wapi na bangi kuswali kwenyewe Ramadhani hadi Ramadhani ssa hivi misikiti iko full subiri iishe 😂😂😂😂😂swafu tatu

  • @meandme3437

    @meandme3437

    2 жыл бұрын

    Msiba fauka muswiba.

  • @aasiyaasia338

    @aasiyaasia338

    2 жыл бұрын

    Waweza kumpata wa hvyo lakin kutwa msktin hatoki kutafuta ridhki

  • @mwerochindoro2910
    @mwerochindoro29102 жыл бұрын

    Assalaam aleikum warahmatullahi,, naomba mnijuze Ndungu zangu in Islam,,, niwakati gani unaofaa kustarehe na mkeo, katika Usiku WA Ramadhan? Swaum maqbul

  • @munirasuleiman2006

    @munirasuleiman2006

    2 жыл бұрын

    Ikisomwa adhana tu hata kama wataka umfuturie yy ruksa hadi kabla ya adhana ya mwanzo aallahuaalam

  • @mwerochindoro2910

    @mwerochindoro2910

    2 жыл бұрын

    MashAllah, Shukrani @ munira

  • @jamamvoni4053

    @jamamvoni4053

    2 жыл бұрын

    Wee munira hhhhh daah

  • @sabraabdilnasir8826

    @sabraabdilnasir8826

    2 жыл бұрын

    Visa nyie 🤣🤣

  • @AA-gt7bv

    @AA-gt7bv

    Жыл бұрын

    Wakti wa usku na hatkama itawafikia asbh mnaog Josh alfu mnaendlea n funga mashallh

  • @donitoalberto3154
    @donitoalberto3154 Жыл бұрын

    Sheikh #Othman neste vídeo muito agressivo, será é por caso do assunto, meus irmãos constataram isto?

  • @AA-gt7bv

    @AA-gt7bv

    Жыл бұрын

    Yeah!! Tumeliona mashallh❤

  • @basilkaslingi441
    @basilkaslingi4413 ай бұрын

    Kwa nini ndoa ya kwanza huwa na migogoro

  • @farris_2549
    @farris_2549Ай бұрын

    🤌💚

  • @mr.waziri9992
    @mr.waziri99922 жыл бұрын

    Hata kama anaziniwa nje, 😂

  • @ruznaabdullah2050
    @ruznaabdullah2050 Жыл бұрын

    Nawale tusie zaa hatuta olewa na utajuaje kama nikfa

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte429 Жыл бұрын

    me juzi nilimuona na mvii nyingi, nilingia huzni kdg.

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Жыл бұрын

    Ya Arab tujalie mwisho mwema

  • @CuteGirl-og2mr
    @CuteGirl-og2mr2 ай бұрын

    Nini hukumu ya mwanaume kumhama mke wake chumba

  • @omaraliy6144
    @omaraliy61442 жыл бұрын

    Assalam alykum. Ya lini haya mawaidha

  • @asiahamza9495

    @asiahamza9495

    2 жыл бұрын

    Assallam alley kum, 6 days ago (Siku sita zilizopita).

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc2 жыл бұрын

    Usicheze na mwanamke, hebu muulize yeye mwenyewe Sheikh kashaoa akiacha wangapi?

  • @musahimapanda8701

    @musahimapanda8701

    2 жыл бұрын

    Kwa hiyo???

  • @zuleikha7691

    @zuleikha7691

    2 жыл бұрын

    Mungu akulinde.

  • @Tatafati-uk8vy

    @Tatafati-uk8vy

    Жыл бұрын

    Hayatuhusu

  • @jumatandiko7597
    @jumatandiko7597 Жыл бұрын

    Hachuji kwa kuwa sio mvivu wa kusoma,wengine wamechanganya na mambo yao ndio maana Mungu nae huwashusha

  • @jimjam4148
    @jimjam41482 жыл бұрын

    MASHA ALLAH

  • @allyissa7163
    @allyissa71632 жыл бұрын

    Masha Allāah...Shkh Othman Maalim bado Wamoto... mawaidha mazuri alhamdulillah... shukran

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Жыл бұрын

    Mashaallah darsa nzuriii

  • @saidkanda8870
    @saidkanda88702 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @hanaalsiabi2821
    @hanaalsiabi2821 Жыл бұрын

    Mashaallah