CHOZI LA MWANAMKE HUSHUKA NALAANA NDIO MAANA HUFANIKIWI
Жүктеу.....
Пікірлер: 42
@zainabmaulidi98462 жыл бұрын
Waalyakum saalam warahmatulah wabarakatuh sheikh Othman Michael Mwenyezi Mungu #akujalieAfyanjemaSheikh 🤲🤲🤲🤲
@afric012 жыл бұрын
Aslm alkm ww..... Masha Allah!!! Sheikh Othman. Shukran jazila jazakallah kheir. Allah akulipe kheir Kwa hili. Kweli umewasoma wanawake. Umeongea ukweli mtupu Sheikh wetu kipenzi. Allah akulinde, akukinge, na akuhifadhi. Congrats.💕
@abdulnassirmohammed58022 жыл бұрын
Mashaallah jazakallahu lkheir Mungu akulinde na akupe umri mrefu wenye kher inshallah
@HasnutMfuruki2 ай бұрын
❤❤SHEKH OTHMAN HAKIKA KWA BETI HII UMEMTAMBUWA MWANAMKE ALHAMDULILAH.AKULIPE MUUMBA NADARAJA AKUPE
@saudandayishimiye947 Жыл бұрын
jazakallahu Kheir maalim Allah akumee imrii mrefuu saaaaaaaaan ilii uzidii kutupaa darsaaa 💓💗💓💗💓💗💞nakipendaa kwaajili yaaallh nakufatiliyag sn maalim wetuu mawaizayako mazur sn tunaelimik alhamdulillh tunajifunza mengi
@SitheyCuteradhia7 ай бұрын
😢maAshaalla shekh umeongea kama umeniongelea mm vile,.Allah akulipe mema kwa haya unayo tufunza
@fatmaeddy62932 жыл бұрын
Shukran sana shekh wetu mm nimepigwa na alie kuwa mume wangu kusahau labda niingie kaburini 😭😭
@alisharif13912 жыл бұрын
😭😭yaa rabbi mlinde shekh othman wallahi anatuelimisha shekh Allah akulipe fi dunia wal akhira
@mammpiko9801 Жыл бұрын
Mashallah shekhe mm mume wangu nmemkataza marafiki walevi na wavuta bangi kanipa talaka na kunipga ilikuw kashaiga tabiya zao lkn mungu atanilipiya
@monatomamonatoma33082 жыл бұрын
Mashallah Shukran kwakutuelemisha shehk
@amenaallahawazidishieumrin62352 жыл бұрын
Mashàaĺlah tabaraķa Allah shukran jazakka Allah kwa kutetea wanawake Mola akuhifadh akujalie khery Dunia na akhera yawe yametoka kwa moyo yaingie kwa nyoyo yafanye Kaz kwa ajili ya Allah
Jazzakallah kheir shukran sana Allah akupe umri mrefu wenye mafanikio fil Dunia Wal akhera
@ameratsabiya33992 жыл бұрын
Jazzakallah kheyr sheikh wetu kipenz Tunakupenda Kwa ajili ya ALLAH
@user-st5zh8xt5k9 ай бұрын
Mungu ukuepshe na malazi shee wetu kipenzi umenigusa sana 😂
@kabonakabona81219 ай бұрын
Ntakufuatilia shekhe kila wakati maana unamafundisho mazuri 🙏
@veronicajulius45662 жыл бұрын
Shekh mungu ukubariki kwa mafundisho mazuri na akulinde
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Hii mada kuna shekhe akisikia atajua nimekupa story yake hatari sana from Iraq
@asiyajuma3135 Жыл бұрын
Shukran sana shehk mm nilipigwa sana hadi panga ni kawekewa kwa shingo ni kaambiwa ni ombe dua zgu za mwesho
@saddamrashidmohmmedsaddamr7378
Жыл бұрын
Pole sana
@saumuabdallah1982 жыл бұрын
mwnaume anakuoa kwa ndoa ya hexhma na unaixh nae kwa wema lkn anakukaxhfu km hajui ww ni nan kwake.... wanawake wa nje ni bora kuliko mke😔😔💔💔💔
@rahmahassan7991
Жыл бұрын
Mbona lakini hua hivyo dadangu
@Zainab_salat
Жыл бұрын
@@rahmahassan7991wewe acha tu wanawake tunapitia mambo mengi
@alishee65712 жыл бұрын
mashallah usitdhad mungu akubari
@user-sw7dg7wg2p7 ай бұрын
Mi natamani kutoka kwenye hii ndoa mana ni mateso makubwa tusifate kanzu na kofia .
@aishambise6529 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😩 ukwel mtupu unaogea sheikh wtu
@Zainabuabduriy-ui5cg7 ай бұрын
Mm namaswali naomba kujibiwa maan huwa cijibiwi kwawakati
@esterchangala70782 жыл бұрын
Nikwel kunafamily moja ya waarabu biti yake hataki kuolewa kwa sababu ya tabia ya Babaake
@annastaciachebet43672 жыл бұрын
Umesema ukweli kabisa pia naongopa wanaume
@halimandegwa5392 Жыл бұрын
Ukweli kabsaa sheikh
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Hao wenye dini sana pasua kichwa matendo yao kuna kipindi nilijua zinaa sio haramu
@aminaally20142 жыл бұрын
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
@zainabmaulidi9846
2 жыл бұрын
Waalyakum saalam warahmatulah wabarakatuh
@annastaciachebet4367
2 жыл бұрын
Sheikh nashukuru kwa mafundisho mazuri nmejifunza mengi kutoka kwako
@aminaally20142 жыл бұрын
ماشاء الله
@gyumisongyumison4851
2 жыл бұрын
Sheikh Allah akulipe kwa darasa zako nzuriii, akupe umri na akuepushe na shari zote
@sakinamohamedi23962 жыл бұрын
Kama ulukuwepo shekhe mimi kuna kitu ambacho siwezi kusahau ni mwaka wa 11 sasa
@mammpiko9801 Жыл бұрын
Mm ata kuolewa ctak naogopa
@zubedaamran4586
Жыл бұрын
ManshaAllah Allah akulipe kwa mema.
@bimkubwamasoud6606
8 ай бұрын
Mm najuta kwa Nini nimeolewa na huyu mume naishi kwa sababu ya watoto wangu tu
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Nashukuru shekhe kwa hilo la huyo shekhe asiejielewa kasababisha mtu kakataa kuingia ktk ndoa ya kiislam akijua waislamu kazi yao kupiga ndio nikakutumia nilisubiri sana hili jibu
Пікірлер: 42
Waalyakum saalam warahmatulah wabarakatuh sheikh Othman Michael Mwenyezi Mungu #akujalieAfyanjemaSheikh 🤲🤲🤲🤲
Aslm alkm ww..... Masha Allah!!! Sheikh Othman. Shukran jazila jazakallah kheir. Allah akulipe kheir Kwa hili. Kweli umewasoma wanawake. Umeongea ukweli mtupu Sheikh wetu kipenzi. Allah akulinde, akukinge, na akuhifadhi. Congrats.💕
Mashaallah jazakallahu lkheir Mungu akulinde na akupe umri mrefu wenye kher inshallah
❤❤SHEKH OTHMAN HAKIKA KWA BETI HII UMEMTAMBUWA MWANAMKE ALHAMDULILAH.AKULIPE MUUMBA NADARAJA AKUPE
jazakallahu Kheir maalim Allah akumee imrii mrefuu saaaaaaaaan ilii uzidii kutupaa darsaaa 💓💗💓💗💓💗💞nakipendaa kwaajili yaaallh nakufatiliyag sn maalim wetuu mawaizayako mazur sn tunaelimik alhamdulillh tunajifunza mengi
😢maAshaalla shekh umeongea kama umeniongelea mm vile,.Allah akulipe mema kwa haya unayo tufunza
Shukran sana shekh wetu mm nimepigwa na alie kuwa mume wangu kusahau labda niingie kaburini 😭😭
😭😭yaa rabbi mlinde shekh othman wallahi anatuelimisha shekh Allah akulipe fi dunia wal akhira
Mashallah shekhe mm mume wangu nmemkataza marafiki walevi na wavuta bangi kanipa talaka na kunipga ilikuw kashaiga tabiya zao lkn mungu atanilipiya
Mashallah Shukran kwakutuelemisha shehk
Mashàaĺlah tabaraķa Allah shukran jazakka Allah kwa kutetea wanawake Mola akuhifadh akujalie khery Dunia na akhera yawe yametoka kwa moyo yaingie kwa nyoyo yafanye Kaz kwa ajili ya Allah
maxha'allah sheikh othman... unatuguxa xn wnawake angalau tumepat mtetez tunakuckiliza xn sheikh we2
Jazzakallah kheir shukran sana Allah akupe umri mrefu wenye mafanikio fil Dunia Wal akhera
Jazzakallah kheyr sheikh wetu kipenz Tunakupenda Kwa ajili ya ALLAH
Mungu ukuepshe na malazi shee wetu kipenzi umenigusa sana 😂
Ntakufuatilia shekhe kila wakati maana unamafundisho mazuri 🙏
Shekh mungu ukubariki kwa mafundisho mazuri na akulinde
Hii mada kuna shekhe akisikia atajua nimekupa story yake hatari sana from Iraq
Shukran sana shehk mm nilipigwa sana hadi panga ni kawekewa kwa shingo ni kaambiwa ni ombe dua zgu za mwesho
@saddamrashidmohmmedsaddamr7378
Жыл бұрын
Pole sana
mwnaume anakuoa kwa ndoa ya hexhma na unaixh nae kwa wema lkn anakukaxhfu km hajui ww ni nan kwake.... wanawake wa nje ni bora kuliko mke😔😔💔💔💔
@rahmahassan7991
Жыл бұрын
Mbona lakini hua hivyo dadangu
@Zainab_salat
Жыл бұрын
@@rahmahassan7991wewe acha tu wanawake tunapitia mambo mengi
mashallah usitdhad mungu akubari
Mi natamani kutoka kwenye hii ndoa mana ni mateso makubwa tusifate kanzu na kofia .
😭😭😭😭😭😭😭😩 ukwel mtupu unaogea sheikh wtu
Mm namaswali naomba kujibiwa maan huwa cijibiwi kwawakati
Nikwel kunafamily moja ya waarabu biti yake hataki kuolewa kwa sababu ya tabia ya Babaake
Umesema ukweli kabisa pia naongopa wanaume
Ukweli kabsaa sheikh
Hao wenye dini sana pasua kichwa matendo yao kuna kipindi nilijua zinaa sio haramu
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
@zainabmaulidi9846
2 жыл бұрын
Waalyakum saalam warahmatulah wabarakatuh
@annastaciachebet4367
2 жыл бұрын
Sheikh nashukuru kwa mafundisho mazuri nmejifunza mengi kutoka kwako
ماشاء الله
@gyumisongyumison4851
2 жыл бұрын
Sheikh Allah akulipe kwa darasa zako nzuriii, akupe umri na akuepushe na shari zote
Kama ulukuwepo shekhe mimi kuna kitu ambacho siwezi kusahau ni mwaka wa 11 sasa
Mm ata kuolewa ctak naogopa
@zubedaamran4586
Жыл бұрын
ManshaAllah Allah akulipe kwa mema.
@bimkubwamasoud6606
8 ай бұрын
Mm najuta kwa Nini nimeolewa na huyu mume naishi kwa sababu ya watoto wangu tu
Nashukuru shekhe kwa hilo la huyo shekhe asiejielewa kasababisha mtu kakataa kuingia ktk ndoa ya kiislam akijua waislamu kazi yao kupiga ndio nikakutumia nilisubiri sana hili jibu