Fix You: Namna ya kuendelea na ndoa/mahusiano baada ya kusalitiwa na mwenzi wako

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 54

  • @homeandaway2811
    @homeandaway281111 ай бұрын

    Mgeni wako huyu yuko vizuri kichwani, ana utulivu, ana madini, beauty with brains.Mualike tena na tena ,ana hekima sana.Hongera dada you are good 👍

  • @celinaphysoo4919
    @celinaphysoo491911 ай бұрын

    Mungu kakupa kitu cha ziada yua so smart ♥️🤍

  • @user-qt4kf3dv3b
    @user-qt4kf3dv3b11 ай бұрын

    Ilauyu dada yukovizuli sana nimemkubali sana endeleeni kumualika atupe madini

  • @salomenelson711

    @salomenelson711

    11 ай бұрын

    Asante sana.

  • @marmzrelationshiphub7907
    @marmzrelationshiphub790711 ай бұрын

    Kwa kifupi niseme Salome umeupiga mwingi sana 💞💞 umeongea kwa utulivu sana na umeeleweka vyema watu wakifuata haya watakua salama sana hata wasipoendelea kuwa pamoja lakini amani inakua imetengenezwa baina yao.Irene mada muhimu sana maana ni kitu kinatesa wengi sana.Clap Clap 👏💋🥂

  • @agnesskiginga3890

    @agnesskiginga3890

    11 ай бұрын

    Salome yuko vizur sana kuna MTU mwingne anakuwa ametangaza kuachana na MTU halafu bado anakuwa anamfuatilia Mtu yule yule aliyetangaza kumuacha nini cha kufanya

  • @esthermichael3221
    @esthermichael322111 ай бұрын

    Duuh hili somo ni zuri Sana na pia ni guumuu kulielewa kama akili aijatulia na kujitambua. Sister SALOME hongera kwa kazi nzuri unayofanya

  • @Tonga994
    @Tonga99411 ай бұрын

    Huyu dada yuko vizuri sana hakika namkubali sana,hakuna mahali nitamwona niache kumfuatilia na kumsikiliza,proud of you Dear Sister Salome👏👏👏

  • @salomenelson711

    @salomenelson711

    11 ай бұрын

    asante sana Neema

  • @economistsarafina8085
    @economistsarafina808511 ай бұрын

    My favorite counselor

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma454311 ай бұрын

    Safi sana umefanya vizuri kumleta mdada mtaaluma wa mambo haya

  • @ashaidd2912
    @ashaidd291211 ай бұрын

    Big up Irene Salome yupo vzr sana

  • @salomenelson711

    @salomenelson711

    11 ай бұрын

    Asante sana

  • @ashaidd2912

    @ashaidd2912

    11 ай бұрын

    @@salomenelson711 uje tena uendelee kutupa madini mamii Kuna mengi hayaseneki jmn

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya326811 ай бұрын

    Da Iren Salome namuelewa vzr Sana pamoja na Mwl Kanuti Asante sana Kwa haya majembe

  • @williamjumbe1928
    @williamjumbe192811 ай бұрын

    Hiki ni moja ya kipindi pendwa na bora sana

  • @manyamalima1916
    @manyamalima191611 ай бұрын

    Your the best salome

  • @PendoAlex-pp9vz
    @PendoAlex-pp9vz10 ай бұрын

    😂😂 Salome Salome umeniponya

  • @salomenelson711

    @salomenelson711

    10 ай бұрын

    Asante sana. Tumrudishie Mungu sifa na utukufu

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah459911 ай бұрын

    Huyu dada❤❤ Salome

  • @user-vk5vi3es5g
    @user-vk5vi3es5g8 ай бұрын

    Ivi mwanaume kakusaliti kimya kimya mpaka ukajua kujua na mungu kamuumbua kapata na maradhi ukimwi lakin mungu fundi mwanamke yupo salama je usaliti km huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km uyu ikiwa ata km ningekuwa mm ndo nimemsaliti ndo ni kapata hayo maradhi basi angeniacha jamani nishaulini mume ndo alikuwa msaliti sana tena ule usaliti wa wazi kabisa unaishi je vp na uyu mtu jamaniii mwenye ushauri nafatilia comment ata uyo dada salome km ataiona hii sms tafadhaari naomba nisaidie ata namba ya cm niweze kusaidika😭😭😭

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert948911 ай бұрын

    Halafu watu wanaaminishwa wazee ndio wana maarifa. Kumbe maarifa huanzia ujanani. Dada kajaa madini.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story11 ай бұрын

    Salome you have say all 👏👏👏👏

  • @user-qt4kf3dv3b
    @user-qt4kf3dv3b11 ай бұрын

    Mualike tena aludi uyo

  • @salomenelson711

    @salomenelson711

    11 ай бұрын

    Asante sana

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj11 ай бұрын

    Asante

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha374010 ай бұрын

    Nice one jamani❤

  • @KichereTheDataScientist
    @KichereTheDataScientist10 ай бұрын

    💪

  • @Kingajang0
    @Kingajang011 ай бұрын

    ❤❤

  • @feadamagessa889
    @feadamagessa88919 күн бұрын

    Jamani kimya kimya tutaongeza ukimwi tuludi kwa mumgu

  • @sarahsingombe
    @sarahsingombe11 ай бұрын

    Asee kipindii kizurii saaana

  • @jworld1480
    @jworld14809 ай бұрын

    hiki kichwa hatari sana

  • @hamadsaidy8740
    @hamadsaidy87408 ай бұрын

    Nipo Zambia nafatilia mpe hai salome

  • @mohdabdallahhasarakwao4353
    @mohdabdallahhasarakwao43535 ай бұрын

    Kwa mume kama huyo ni bora mukavunja ndoa tu ikiwa ww hukuathirika

  • @madamrita9685
    @madamrita968510 ай бұрын

    Kindly please send me his number She is the best Nataka kuongea nae .. mama mama mjanja sana kama mimi ..

  • @madamrita9685
    @madamrita968510 ай бұрын

    Kindly please naomba unitumie number ya uyo mama nimevutiwa nae sana...ni mwerevu sana kama mimi...nataka kuongea nae...

  • @mussafoum6562
    @mussafoum656211 ай бұрын

    Hollo lreni

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya326811 ай бұрын

    Dada Iren Asante Kwa kipindi hiki lakini natamani nizungumze nawe inbox huenda changamoto yangu ikapata dawa mbaya zaidi namtumia WhatsApp tu utanisaidiaje?

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya492211 ай бұрын

    Mtangazaji inaonyesha anawivu na mumewee sanaa na anawasiwasi sanaa namume wake nakuona tuu😂

  • @irenekamugisha

    @irenekamugisha

    11 ай бұрын

    😂😂😂basi sawaa

  • @rahmaabdillahi2795

    @rahmaabdillahi2795

    11 ай бұрын

    @@irenekamugishanaomba namba ya mtoa mada au yako

  • @user-vk5vi3es5g
    @user-vk5vi3es5g8 ай бұрын

    Dada samahani mim mume wangu alinisaliti na mbaya zaidi alipata ukimwi sikuwahi kujua nilikuja kugundua nilivyokuwa mjamzito tulikwenda wote klinik kupima maginjwa yote yeye akakutwa na ukimwi je usaliti huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km huyu na ni baba mzuri tu kwa watot wake lakin huo ukimwi kaipata kwa kunusaliti alikuwa malaya sana tena kwa dhahili kabisa hakuna kificho ila mim nashukuru ni mzima sijaathilika ni yeye tu

  • @happnesskitumbo5713

    @happnesskitumbo5713

    6 ай бұрын

    Kwanza Dada kabla ya yote tafuta sadaka upeleke kanisani kama uu mkristo au msikitini kama uu mwislam ukamshukuru Mungu kwa huo muujiza aliokutendea Mungu ndio mengine yafuate.

  • @user-vk5vi3es5g

    @user-vk5vi3es5g

    6 ай бұрын

    ​@@happnesskitumbo5713ndugu cyo sadaka tu nilichinja adi kuku kwa kufurahia afya yangu yani nimeponea kwenye mtundu la sindano cyo kitu rahisi lakin mw/mungu aliniokoa katika janga

  • @subralugege7019

    @subralugege7019

    3 ай бұрын

    Pole uvumilivu unapomza jamani tusivumilie ualiti Bora aoe Kama muislamu

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini26469 ай бұрын

    Dada salone mimi naoma kuelewa kuna aina ya mbili za kusaliti yakwanza kuna kusaliti na kuacha su kuendelea Na kuna kuchepuka na kuzaa na muchepuko je hii nayo unaiona vipi? Tunaomba msaada Dada Aileen muombe dada Salome arudi aweze kudadavua hilo tweeze kuelewa hasa kwa wanandoa

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel313211 ай бұрын

    ❤ Dada kamgisha ulisatiwa Nini inaonekana ulifanyiwa vibaya Sana

  • @irenekamugisha

    @irenekamugisha

    11 ай бұрын

    Watanzania mtaacha lini kudhania!! Inabidi nivae uhusika ili update maudhui nayotamani uyapate!

  • @msangodiesel3132

    @msangodiesel3132

    11 ай бұрын

    @@irenekamugisha kwenye kipengere hicho unakipiga msumali Sana

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    11 ай бұрын

    ​@@irenekamugishaWasamehe bure. Hawajui unajaribu kuuvaa uhusika ili somo lieleweke kirahisi.

  • @irenekamugisha

    @irenekamugisha

    11 ай бұрын

    😂😂😂 basi sawa, tuseme ndivo ili ufurahi, yote kwa yote ahsante kwa kufuatilia #FixYou share na rafiki zako waone Jinsi nilivyopigika😂😂

  • @neemayatosha1618

    @neemayatosha1618

    11 ай бұрын

    Watanzania sisi sasa na assumptions 😂😂,unaweza ukawa unafanya maisha yako ukapungua ,kumbe ushakua diagnosed

  • @mohdabdallahhasarakwao4353
    @mohdabdallahhasarakwao43535 ай бұрын

    Dada umetoa darsa la nguvu hapo

Келесі