Fix You: Jinsi ya kuishi na Mume/Mwanaume anayelalamika sana - Na Deo Sukambi

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 30

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548111 ай бұрын

    Kipindi kizuli da irene,naomba kipindi chako kiendelee, nakupenda Sana da irene ❤️

  • @irenekamugisha

    @irenekamugisha

    11 ай бұрын

    ❤❤

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo4 ай бұрын

    Yangu nimeanza kukufatilia najikuta nakua msomi bila kusoma❤❤❤❤❤❤❤

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti958711 ай бұрын

    hii session so poa...hongereni sana SNS nimeenjoy!

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert948911 ай бұрын

    Irene pendeza sana na hair style.

  • @user-cv9mx1uj3i
    @user-cv9mx1uj3i11 ай бұрын

    Hongereni kabla sjasoma ima kutizama kipindi kitakuw bomba from Burundi 🇧🇮 we love him

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj11 ай бұрын

    Asante sana somo zuri ❤

  • @gloryleon4187
    @gloryleon418711 ай бұрын

    Irene is very beautiful woman

  • @romes-tz7323
    @romes-tz732310 ай бұрын

    Leo wagonjwa wote wa mapenzi watakuwa wamepona😂😂😂

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo979311 ай бұрын

    Anko wangu alimwambia mtt wake wa kiume amuache mkewe alikuwa mzur sana tena sana

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx304310 ай бұрын

    Nafikir iki ni kipind bora kw 2023 cha mausiano

  • @happynescostat7420
    @happynescostat742011 ай бұрын

    Ongera sanaMUNGU anawaona,

  • @ashaidd2912
    @ashaidd291211 ай бұрын

    Irene big up nimecheka hd raha

  • @irenekamugisha

    @irenekamugisha

    11 ай бұрын

    😂

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari452511 ай бұрын

    NILICLIKI TU NISKIE 😃,NIKAMALIZA DAKIKA ZOTE,,,UKO MWISHO MWISHO KUNACHEKESHA SANA,UKIBUTULIWA BUTUKA 😃😃

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima205311 ай бұрын

    Napenda elimu kuelimika

  • @alexmarwa941
    @alexmarwa94111 ай бұрын

    Jitaidi kumwalika Mara kwa Mara maaana unatupa TIBAA

  • @aquilineanthony1115
    @aquilineanthony11159 ай бұрын

    Kamwe usielezeee udhaifu wako. Pambana kuushinda udhaifu 😊

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum19210 ай бұрын

    😂😂😂 kwa kweli bora iwe hivyo tuu gubu sio zuri jamani tena linakondesha gubu la mume😂😂😂

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert948911 ай бұрын

    Assumption is the weakest kind of knowledge. Uuwii

  • @luciamsani
    @luciamsani10 ай бұрын

    Huyo mwanaume ni mbinafsi kwahiyo anataka bajeti ibaki vile kama alivyokuwa pekeyake wakati kashaongeza familia aache uchoyo........

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx304310 ай бұрын

    Tunaweza kumuita doctor sukambii?? maan wengne tunatibiwa kiakili bila kujijua... Umenifunza kit kaka MUNGU akubariki unatufunzaa vingi vijana wako

  • @hellen1323
    @hellen13237 ай бұрын

    Dada mtangazaji ulikua ukipendeza sana uvyokua unanyoa na ulikua hupaki mafuta makali ulikua mzuri sana lakin sasa.

  • @BizimunguAdolphe-vp7xp
    @BizimunguAdolphe-vp7xp6 ай бұрын

    Irene mbona wa alika ma pastors na hawaombi?

  • @tusekonga3030
    @tusekonga303011 ай бұрын

    😂😂😂😂asanteni sana

  • @irenekamugisha

    @irenekamugisha

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @susans4490
    @susans449010 ай бұрын

    Pastor hajasema kama kamwambia achague,kamtaarifu tu kwamba ana tatizo

  • @NasraNasa-mp7mf
    @NasraNasa-mp7mf10 ай бұрын

    Pia unakuta mwanaume anapenda kuhisi kila muda anaongerewa vibaya kila ukiongea na mtu kwenye cm anataka kujua ulikuwa unaongea nanani na ni nin.mlikuwa mnaongerea..na nani.

  • @NasraNasa-mp7mf
    @NasraNasa-mp7mf10 ай бұрын

    Mim mumewangu akianza kulalamika a anyamazi kila cku analamika atakama ukikubali kosa sio lako bado anaenderea kulalamika tu

  • @ashireydaimu3148
    @ashireydaimu314811 ай бұрын

    Kuna ile mtu anakwambia sisi kwetu kuna sikoseli au kuna pumu. Sasa na mimi nataka kukuoa je uko tayari nikuoe? Unakuta unampenda ila ukifikilia kizazi chako uwenda kitapata sikoseli hp unakuta unamkubali huku unamkataa