😂😂😂 kwa kweli bora iwe hivyo tuu gubu sio zuri jamani tena linakondesha gubu la mume😂😂😂
@damariszuckschwert948911 ай бұрын
Assumption is the weakest kind of knowledge. Uuwii
@luciamsani10 ай бұрын
Huyo mwanaume ni mbinafsi kwahiyo anataka bajeti ibaki vile kama alivyokuwa pekeyake wakati kashaongeza familia aache uchoyo........
@directorimmah_vfx304310 ай бұрын
Tunaweza kumuita doctor sukambii?? maan wengne tunatibiwa kiakili bila kujijua... Umenifunza kit kaka MUNGU akubariki unatufunzaa vingi vijana wako
@hellen13237 ай бұрын
Dada mtangazaji ulikua ukipendeza sana uvyokua unanyoa na ulikua hupaki mafuta makali ulikua mzuri sana lakin sasa.
@BizimunguAdolphe-vp7xp6 ай бұрын
Irene mbona wa alika ma pastors na hawaombi?
@tusekonga303011 ай бұрын
😂😂😂😂asanteni sana
@irenekamugisha
11 ай бұрын
😂😂😂
@susans449010 ай бұрын
Pastor hajasema kama kamwambia achague,kamtaarifu tu kwamba ana tatizo
@NasraNasa-mp7mf10 ай бұрын
Pia unakuta mwanaume anapenda kuhisi kila muda anaongerewa vibaya kila ukiongea na mtu kwenye cm anataka kujua ulikuwa unaongea nanani na ni nin.mlikuwa mnaongerea..na nani.
@NasraNasa-mp7mf10 ай бұрын
Mim mumewangu akianza kulalamika a anyamazi kila cku analamika atakama ukikubali kosa sio lako bado anaenderea kulalamika tu
@ashireydaimu314811 ай бұрын
Kuna ile mtu anakwambia sisi kwetu kuna sikoseli au kuna pumu. Sasa na mimi nataka kukuoa je uko tayari nikuoe? Unakuta unampenda ila ukifikilia kizazi chako uwenda kitapata sikoseli hp unakuta unamkubali huku unamkataa
Пікірлер: 30
Kipindi kizuli da irene,naomba kipindi chako kiendelee, nakupenda Sana da irene ❤️
@irenekamugisha
11 ай бұрын
❤❤
Yangu nimeanza kukufatilia najikuta nakua msomi bila kusoma❤❤❤❤❤❤❤
hii session so poa...hongereni sana SNS nimeenjoy!
Irene pendeza sana na hair style.
Hongereni kabla sjasoma ima kutizama kipindi kitakuw bomba from Burundi 🇧🇮 we love him
Asante sana somo zuri ❤
Irene is very beautiful woman
Leo wagonjwa wote wa mapenzi watakuwa wamepona😂😂😂
Anko wangu alimwambia mtt wake wa kiume amuache mkewe alikuwa mzur sana tena sana
Nafikir iki ni kipind bora kw 2023 cha mausiano
Ongera sanaMUNGU anawaona,
Irene big up nimecheka hd raha
@irenekamugisha
11 ай бұрын
😂
NILICLIKI TU NISKIE 😃,NIKAMALIZA DAKIKA ZOTE,,,UKO MWISHO MWISHO KUNACHEKESHA SANA,UKIBUTULIWA BUTUKA 😃😃
Napenda elimu kuelimika
Jitaidi kumwalika Mara kwa Mara maaana unatupa TIBAA
Kamwe usielezeee udhaifu wako. Pambana kuushinda udhaifu 😊
😂😂😂 kwa kweli bora iwe hivyo tuu gubu sio zuri jamani tena linakondesha gubu la mume😂😂😂
Assumption is the weakest kind of knowledge. Uuwii
Huyo mwanaume ni mbinafsi kwahiyo anataka bajeti ibaki vile kama alivyokuwa pekeyake wakati kashaongeza familia aache uchoyo........
Tunaweza kumuita doctor sukambii?? maan wengne tunatibiwa kiakili bila kujijua... Umenifunza kit kaka MUNGU akubariki unatufunzaa vingi vijana wako
Dada mtangazaji ulikua ukipendeza sana uvyokua unanyoa na ulikua hupaki mafuta makali ulikua mzuri sana lakin sasa.
Irene mbona wa alika ma pastors na hawaombi?
😂😂😂😂asanteni sana
@irenekamugisha
11 ай бұрын
😂😂😂
Pastor hajasema kama kamwambia achague,kamtaarifu tu kwamba ana tatizo
Pia unakuta mwanaume anapenda kuhisi kila muda anaongerewa vibaya kila ukiongea na mtu kwenye cm anataka kujua ulikuwa unaongea nanani na ni nin.mlikuwa mnaongerea..na nani.
Mim mumewangu akianza kulalamika a anyamazi kila cku analamika atakama ukikubali kosa sio lako bado anaenderea kulalamika tu
Kuna ile mtu anakwambia sisi kwetu kuna sikoseli au kuna pumu. Sasa na mimi nataka kukuoa je uko tayari nikuoe? Unakuta unampenda ila ukifikilia kizazi chako uwenda kitapata sikoseli hp unakuta unamkubali huku unamkataa