inauma jmn.. Kujipa moyo na kukubaliana na Hali.. Sikomi na siachi kupenda...
@nematz9270 Жыл бұрын
Nashukuru sana kaka Joel, ila mimi ninachangamoto kwenye mahusiano, naomba japo ushauri maana nipo njiapanda, naomba kama naweza kupata mawasiliano yako
@edsonlaurencemwagamasasi90745 жыл бұрын
With emphasis.... "I can live without her" thanks so much my dearest brother Joel..... I have passed from this brother... but ultimately it ended with a lot of pains.... I thank God now all pains have gone away... and I am living my new life without her.... before that I thought my life would be more harder without her... but it was a matter of time....
@judithnyonyi703
5 жыл бұрын
So sory brother Edy
@edsonlaurencemwagamasasi9074
5 жыл бұрын
JUDITH NYONYI ... thanks so much my dearest...be blessed there
@bizimanabizimana2131
2 жыл бұрын
kaka
@glorylucas6070Ай бұрын
Nashukuru kaka saivi nipo kwenye hatua ya tano .
@thegirl14055 жыл бұрын
Ni kweli brother mimi nilisema sitomuamini mwanaume yeyote kwani wote wanafanana lakini now nimetoa hiyo kitu kichwani nimekua vizuri now siwazii wala sifikilii kilichonikuta so na angalia mbele niendako ya nyuma yatakua tuu kama kumbukumbu thanks brother🙏🙏
@thegirl1405
5 жыл бұрын
Hivyo mahusiano yanahitaji kua makini sana bila kukurupuka kikubwa kumuomba m mungu kwa sana yeye ndio muamuaji wa kukupa chaguo sahihi
@hassanbinally7127
4 жыл бұрын
Dah pole sana mi niliacha kuwaamini wanawake wote duniani kumbe nilikua nakosea sana
@mohamedsuleiman7215
2 жыл бұрын
njoo kwangu.
@jemimasibonike77765 жыл бұрын
Nimekubali kuwa bila yy nitaishi na tayar nimeanza ukulasa mpya wa maisha yangu ila kaka sijajua kwa nn tukikutana nnpoteza mudi nashidwa kuwa jasili
@idayanuru2499
4 жыл бұрын
Umeona ee
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Asante sana Mr
@aboubakaribakari9885 жыл бұрын
Thanks broo me nipo katka hatua ya 3 najaribu kumuweka sawa ila naingia kwenye hatua ya 4 nikiona haelekei daaah haya mambo hayana ubingwa.
@mariammasatu47855 жыл бұрын
Asante sna bro Joel kwa somo zuri nimekuelewa sna ubarikiwe
@anisiamedard37755 жыл бұрын
Daah! Asante kaka ndio neno langu ilo nimepata kitu cha kujifunza
Ukweli kabisa napia usivunje ma penzi kisa umepata mpenzi mpya kabla hujamfaham... napia usivunje mahusiano kabla hujamkosoa huyo mpenzi wako Tabia zinazo kukera. Napia usianze mahusiano mapya ili umkomoe mpenzi wako wazamani utajikuta umeingia kwenye shida zaidi.. Pamoja Bro.
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Maneno Lugendo kabisa Maneno,ni kweli unayosema???
@ibzanruheta
5 жыл бұрын
Fact
@kelvingitau6814
3 жыл бұрын
@@joelnanauka hae bro... Naomba nipigie na hii naba, 0719483205, naitwa Kelvin kutoka Nairobi kenya.,, nakuomba ndugu yngu.
@agathakayanda3427
3 жыл бұрын
💓💓
@manenolugendo6396
3 жыл бұрын
@@agathakayanda3427 🙄
@fredjaffu89034 жыл бұрын
Dah nimekubali sana hii, nilipitia na nimefika kwenye acceptance
@saidimkombe98425 жыл бұрын
Asante
@ibzanruheta5 жыл бұрын
Fact brother
@wazuuonlinetv97965 жыл бұрын
Asante Teacher wngu JoelNanauka
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Ali Saleh pamoja sana Saleh
@mwanamkasihabibu99155 жыл бұрын
Shukran Kaka kwa somo zur
@victoriamerura9382 Жыл бұрын
Thanks so much 🙏🙏🙏 kwa SoMo lako zuri . Na nimejifunza mengi kutoka kwako , lakini katika point ya kutokukubali hiyo Ni kweli kabisa na ningumu pia
@gresiaalexander5463 жыл бұрын
Nice class🙏🙏🙏
@issaamir78943 жыл бұрын
Nshafik.hafua y 5 ss Alhamdulilah
@dancangichabasaka33692 жыл бұрын
Asante sana
@gcmcharles51923 жыл бұрын
Asante nmejifunza kitu kwa kwer
@user-no7fg8kh9y2 ай бұрын
Asante kaka
@sihabarajabu55095 жыл бұрын
Yaani hizo atua zote zinanihusu mm kaka jamani nimeachwa na baba mtt wangu juni 25 lakn kwa video zako najihisi mm ni mt tena asante kwa elemu yako
@jumatwalib81045 жыл бұрын
Yap kweli kabisa kaka
@paulsaimon87505 жыл бұрын
kweli Nanauka unafundisha broo
@joharysamwel64164 жыл бұрын
Kaka Joel asante kwa somo lako
@lightnesselia7655 жыл бұрын
umenifanya nitoke sehem moja na kwenda sehem nyingine... thanks my brother
@safiaabubakar11205 жыл бұрын
Nilipitia kipindi cha mahusiono kuvunjika tena bila ya kunambia tena akahama nchi ila nashkur nimevuka salama
@judithmzava41612 жыл бұрын
Thanks nimeshapitia zote now nipo kwenye acceptance
@ivanisack52524 жыл бұрын
Nice Mr Joel upo vzr sn
@samuelnyirobemakongo.30375 жыл бұрын
Mimi hapa wala siamini but nimeshafika hatua ya mwisho ya kukubali na nianze life yangu upya
@jacklineomae78325 жыл бұрын
Ahsante kaka.
@wakudatamjanja5 жыл бұрын
NakubaLiii Kaka tupo pamoja
@jonsaclajohn69792 жыл бұрын
bless
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
Santeeee Joel
@haulebh50075 жыл бұрын
Najuaje kama nimesha fika hatua hiyo ya acceptance
@assamwakasanga35705 жыл бұрын
amen
@jacobmathias68115 жыл бұрын
uvizur sana tunajifunza
@ReginaNassoro-sj9gz7 ай бұрын
Nimepita asee!
@magretymabuga29875 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI
@fatmaazizi47922 жыл бұрын
Nimejifunza
@sifasango23692 жыл бұрын
Yes nilisha nimeyapitia hayo tena sio mbali sana ni Leo hii
@christiannkurunziza6862 жыл бұрын
Kweli kabisa
@user-py2lt5yu7t8 ай бұрын
Umenigusa sana mastar
@joseefaidabutu64675 жыл бұрын
Uko sahihi kaka
@tatuaamuuinyi9633 Жыл бұрын
Nakuelewa kinomanoma
@melkisedekkabambo21205 жыл бұрын
Yeah
@togolanisaidi7045 жыл бұрын
Somo zuri, Naomba pia uweke njia ama solution ambazo mtu atachukua baada ya mahusiano kuvunjika maana Kaka Joel wapo waliowengi hawajui wafanyeje baada ya mahusiano kuvunjika,
@joelnanauka
4 жыл бұрын
togolani saidi sawa,tafuta video yangu inayosema Usiogope kuanza upya
@pauldenyoo3035 жыл бұрын
yaaaan broo kuna rafikia angu limemkuta hilooo lakn haaaamin anasema yy bora hata amrudie alf aje kumwacha kwa njia nyingine em nisaidie sa hapo namsaidiaje
@exzaverymichale76735 жыл бұрын
Hii darasa linanihusu kwa 100%
@kulumagala8665 жыл бұрын
asnnte kwa elim yako
@thebroski97635 жыл бұрын
Anza na kusalimia kidogo mfano Habari? Then Leo Tunazungumzia hiki hiki then unaendelea huo ni mtazamo wangu binafsi maana video inavyoanza tu unaanza kuongea huwa nahisi tofauti sana au ndo kuenda na mda?
@janenelson54624 жыл бұрын
Masomo mazuri endelea kuktuelimisha kaka Joel
@machibyacharles52305 жыл бұрын
Ni ukweli asilimia kama zote bro,,endelea kuelimisha
@omarizuberi71353 жыл бұрын
Naomba unisaidie nimsahau aliyeniumiza
@candycosta58232 жыл бұрын
Mm napitia sahv
@priscapili49382 жыл бұрын
Ni kweli kaka napitia magumu lkn naona bado kazi ninayo
@dinabana8000 Жыл бұрын
Habari samahani me Nina mtu wa karibu anasumbuliwa na Hilo tatizo tafadhari naomba msaada
@frankdaniel98154 жыл бұрын
Congratulations Mr for your good lesson
@christelle96903 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@annamwakalobo45753 жыл бұрын
Thanks,mwenzi tatu still na jaribu kutaka kusahau na shindwa kinachoniumiza nikiwanza miaka sita yote nilikuwa na danganywa na fake promises . But mungu mwema ipo siku nitasahau complete
@imanimwakinga4934
2 жыл бұрын
Havisahauliki my dear, na usijaribu kulazimisha... Yapokee yabebe ishi nayo taratibu utapona, ikubali hiyo hali
@roseetrony14822 жыл бұрын
Yaaan nakosa cha kuandika
@mohammedadam8261 Жыл бұрын
😀mungu azidi kukupa umri tele Last year nimetoka kuachwa bahn n mchumba ang bahat mbaya san hii ndo naion video hii ila mule mule kuna muda nilkuw n mtu wa hasira sana ikafika muda nikaon no siko sawa kuna kitu yan nilijarb kuanzisha mahusiano mapya but hata week skumaliza yakanishnda so now nahis niko hatua y mwisho coz nishakubali now hyo mwanamke ashaolew mwanzon mw mwaka na me now naanda mpango wa kuoa nishaanza kusset mipango upya
@adellajohnbokato84533 жыл бұрын
Basi Nipo ktk Hatua ya Tano....Asante Mungu akubariki Sana Kaka!! Dah..
@herimgonja7209
2 жыл бұрын
Hapo ishu mtu anaposhindwa kukubaliana anakumbuka gharama aliotumia, hivyo n manufaa aliotarajia hakupata , so we don't have four is very annoying, I'm very scared, when you see a person you don't want to see even his face.
@adellajohnbokato8453
2 жыл бұрын
@@herimgonja7209 hakuna budi it's better to let Go kabisa.
@mageandrew55505 жыл бұрын
Tangu na x wangu yapata miez 11 sasa mwanzo ilikuwa ngumu lakn now naweza sana na nimeamin bila yeye naweza tena zaidi
@latifaanuary4911
Жыл бұрын
Hajawai kurud kukutafuta?
@eveimbusi59403 жыл бұрын
Waah this is very true happened to me Asante kwa mafundisho mazuri
@josephinechendi95274 жыл бұрын
Baada ya miaka minne ndo nikafikia hatua ya 5 hatua ya hasira ilinitesa Sana namshukuru Mungu nilivuka salama
@anethlema83183 жыл бұрын
Yani nikwli kabisa we kaka wew mimi nishapita hizo zote Now niko kwenye acceptance yani had nilikonda
@hassammtaima23742 жыл бұрын
Nanauka mm ndio napitia wakati mgum sana kaondoka na familia yangu
@yasintajosephtungu3292 жыл бұрын
Kaka kwa kweli hii kitu inauma mm np kwenye hii hali je unaweza kunishauri kitu chochote
@gracenesto762 жыл бұрын
Jaman mm napitia changamoto hii kwasasa naombeni msaada wenu
@johnjoseph32122 жыл бұрын
Nimekuelewa bro vyote nimepitia mm
@mpolesanga58693 жыл бұрын
Mm kaka napitia ayo
@vincentmuli42835 жыл бұрын
mie ndo nko katika kpind hicho cha mpito nmetokea kuachana na mke yapata tar 29-01-2019
@dottowilsoni4703
2 жыл бұрын
Pore kaka angu tunao texeka na Ayo Mambo no wengi
@fridamuss922 Жыл бұрын
Mm mwanaume aliyenambia ninywe dawa za mitishamba nipate mimba tukahangaika maporini kutafuta dawa nikanywa zilikuwa chungu leo hii ananiacha na mtoto mdogo mdogo sana MUNGU anisaidie kwakweli labda kuna siku na mm nitakaa sawa namlea mtoto nyumbani pekeangu nmeharibu kila kitu sijui niseme vipi naona kila rangi ya dunia kwel wanajinyonga wote wanachoka yanaumiza haya mambo ila ALHAMDULILLAH🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@issaamir78943 жыл бұрын
Nimeamz n mahusian mengn now niko vizur sili tena upuz na nimemuapia Alla sitoka nimtafte
@omarabdallah29185 жыл бұрын
Thank you my mentor, i get you from 254 My bro Joel .
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Omar Abdallah Thanks Omar,pamoja sanaaaa
@kassimgeorge30363 жыл бұрын
Unachokiongea ni kweli kwangu toka nimeachana na mpenzi wangu mpaka sasa siamini lakin imeshatokea nifanye nini ingalikuwa bado ninampenda sana ila yeye ana tena muda mimi naomba msaada
@bryannassary32553 жыл бұрын
Hii ni kwel bro
@fatmaazizi47922 жыл бұрын
Kabisa
@mwajumamwishehe34235 жыл бұрын
👏👏👏Asante kwa mafundisho kaka
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Mwajuma Mwishehe karibu mwajuma
@mwajumamwishehe3423
5 жыл бұрын
Joel Nanauka Asante Kama tuko pamoja
@aronemakanyaga7284
2 жыл бұрын
nashukur kaka mafundisho mazuri mnoo nabarikiwa sana
@benjaminkimaro83483 жыл бұрын
Brother Unanifanya Nijiamnii zaidi
@dativakilawe99182 жыл бұрын
Nimeshindwa kuvuka hizo hatua tano baada ya mahusiano yangu kuvunjika now yapata miaka 4 nimekwama kwenye dipresion
@thelastbornchannel80735 жыл бұрын
real 100% hakuna ulipokosea. hizo stage zisikie kwa mtu zisikukute
@maryammaram26125 жыл бұрын
Asante kaka JOEL 🙏🙏
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Hapo sasas👌🏽🤦♀️
@jcomplext.v44095 жыл бұрын
kaka mm binafi napitia changamoto kam hyo aniniambia tuachane nikafnya bagein kanipa ela zote zimeisha na bdo haninitaki sijui nifnye nn namuwazia kinoma nimfnye nn
@dopemnyama47434 жыл бұрын
Npo kwenye hiyo hatua ya kwanza yn kila saa nachunguliya sim nkisikia text t najua ndye
@bensonkishery45355 жыл бұрын
Dar mm yalinikutaa yakanisubua miaka miwili na kutumiaa hela ovyoo hapoo kwenyee depression nilkaah muunda mwing
@joelnanauka
4 жыл бұрын
benjamin kishery Pole sana,hongera kwa kupona
@eliasdani45422 жыл бұрын
Yaa
@tarikideu83805 жыл бұрын
brother mimi nipo kwenye kipengele cha dépression ,,naumia xanah
@colmanmallya1032
5 жыл бұрын
Tari Kideu pole
@tarikideu8380
5 жыл бұрын
Colman Mallya thank
@asiahmariam3942
4 жыл бұрын
@@tarikideu8380 pole ndugu sali sn
@rabiarajab6116
4 жыл бұрын
Tunafanana
@user-vd1kb7og4p4 ай бұрын
Msaada
@Dimitry-cb5tb Жыл бұрын
Mm bado hatua ya tatu nimeshidwa kufika hatua ya tano bado nateseka kaka nahitaji msaada wako
@paulinastephano2362 жыл бұрын
Somo zur Sana.. Naendelea kurud kwenye hali yangu nimefikia Hatua ya 4 ila siezi jinyonga kabisa japo chamoto nipo nakiona... Wanaume Mungu awape sehem zenu zakuishi mbingun... MUNGU nisaidie nivuke salama 😔😔 🙏
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
Haupo pekeako tupo wengi 😔
@mwigaadam1179
2 жыл бұрын
Bado hamjapenda mnanusanusa tu
@mohammedadam8261
Жыл бұрын
Nimecheka kama mazuri but tuko pammoja sana ,,allihamndulillah skuweza kuchukua uamuz hatarish but now walau mood ya kazi imeanza kurud
@decideliusdeogratius91195 жыл бұрын
Mm jampo hili limenitokea wiki tatu zilizopita ila nashukuru mungu saiv niko stage ya mwisho nimekubaliana na kila kitu
@SizzoSela29-sh8nz5 ай бұрын
Niko hatuwa ya nne nasijui nifanyeje maana nateseka sana
Пікірлер: 254
inauma jmn.. Kujipa moyo na kukubaliana na Hali.. Sikomi na siachi kupenda...
Nashukuru sana kaka Joel, ila mimi ninachangamoto kwenye mahusiano, naomba japo ushauri maana nipo njiapanda, naomba kama naweza kupata mawasiliano yako
With emphasis.... "I can live without her" thanks so much my dearest brother Joel..... I have passed from this brother... but ultimately it ended with a lot of pains.... I thank God now all pains have gone away... and I am living my new life without her.... before that I thought my life would be more harder without her... but it was a matter of time....
@judithnyonyi703
5 жыл бұрын
So sory brother Edy
@edsonlaurencemwagamasasi9074
5 жыл бұрын
JUDITH NYONYI ... thanks so much my dearest...be blessed there
@bizimanabizimana2131
2 жыл бұрын
kaka
Nashukuru kaka saivi nipo kwenye hatua ya tano .
Ni kweli brother mimi nilisema sitomuamini mwanaume yeyote kwani wote wanafanana lakini now nimetoa hiyo kitu kichwani nimekua vizuri now siwazii wala sifikilii kilichonikuta so na angalia mbele niendako ya nyuma yatakua tuu kama kumbukumbu thanks brother🙏🙏
@thegirl1405
5 жыл бұрын
Hivyo mahusiano yanahitaji kua makini sana bila kukurupuka kikubwa kumuomba m mungu kwa sana yeye ndio muamuaji wa kukupa chaguo sahihi
@hassanbinally7127
4 жыл бұрын
Dah pole sana mi niliacha kuwaamini wanawake wote duniani kumbe nilikua nakosea sana
@mohamedsuleiman7215
2 жыл бұрын
njoo kwangu.
Nimekubali kuwa bila yy nitaishi na tayar nimeanza ukulasa mpya wa maisha yangu ila kaka sijajua kwa nn tukikutana nnpoteza mudi nashidwa kuwa jasili
@idayanuru2499
4 жыл бұрын
Umeona ee
Asante sana Mr
Thanks broo me nipo katka hatua ya 3 najaribu kumuweka sawa ila naingia kwenye hatua ya 4 nikiona haelekei daaah haya mambo hayana ubingwa.
Asante sna bro Joel kwa somo zuri nimekuelewa sna ubarikiwe
Daah! Asante kaka ndio neno langu ilo nimepata kitu cha kujifunza
Thank you brother
Asante sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
SHUKRAN SANA
ahsante kaka minaachaga tuu sijawai kuachwa unakua makini ukiona anabadilika unamwelekeza haelewi unamuacha kabla yayeye kufikiria kukuacha
Ukweli kabisa napia usivunje ma penzi kisa umepata mpenzi mpya kabla hujamfaham... napia usivunje mahusiano kabla hujamkosoa huyo mpenzi wako Tabia zinazo kukera. Napia usianze mahusiano mapya ili umkomoe mpenzi wako wazamani utajikuta umeingia kwenye shida zaidi.. Pamoja Bro.
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Maneno Lugendo kabisa Maneno,ni kweli unayosema???
@ibzanruheta
5 жыл бұрын
Fact
@kelvingitau6814
3 жыл бұрын
@@joelnanauka hae bro... Naomba nipigie na hii naba, 0719483205, naitwa Kelvin kutoka Nairobi kenya.,, nakuomba ndugu yngu.
@agathakayanda3427
3 жыл бұрын
💓💓
@manenolugendo6396
3 жыл бұрын
@@agathakayanda3427 🙄
Dah nimekubali sana hii, nilipitia na nimefika kwenye acceptance
Asante
Fact brother
Asante Teacher wngu JoelNanauka
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Ali Saleh pamoja sana Saleh
Shukran Kaka kwa somo zur
Thanks so much 🙏🙏🙏 kwa SoMo lako zuri . Na nimejifunza mengi kutoka kwako , lakini katika point ya kutokukubali hiyo Ni kweli kabisa na ningumu pia
Nice class🙏🙏🙏
Nshafik.hafua y 5 ss Alhamdulilah
Asante sana
Asante nmejifunza kitu kwa kwer
Asante kaka
Yaani hizo atua zote zinanihusu mm kaka jamani nimeachwa na baba mtt wangu juni 25 lakn kwa video zako najihisi mm ni mt tena asante kwa elemu yako
Yap kweli kabisa kaka
kweli Nanauka unafundisha broo
Kaka Joel asante kwa somo lako
umenifanya nitoke sehem moja na kwenda sehem nyingine... thanks my brother
Nilipitia kipindi cha mahusiono kuvunjika tena bila ya kunambia tena akahama nchi ila nashkur nimevuka salama
Thanks nimeshapitia zote now nipo kwenye acceptance
Nice Mr Joel upo vzr sn
Mimi hapa wala siamini but nimeshafika hatua ya mwisho ya kukubali na nianze life yangu upya
Ahsante kaka.
NakubaLiii Kaka tupo pamoja
bless
Santeeee Joel
Najuaje kama nimesha fika hatua hiyo ya acceptance
amen
uvizur sana tunajifunza
Nimepita asee!
MUNGU AKUBARIKI
Nimejifunza
Yes nilisha nimeyapitia hayo tena sio mbali sana ni Leo hii
Kweli kabisa
Umenigusa sana mastar
Uko sahihi kaka
Nakuelewa kinomanoma
Yeah
Somo zuri, Naomba pia uweke njia ama solution ambazo mtu atachukua baada ya mahusiano kuvunjika maana Kaka Joel wapo waliowengi hawajui wafanyeje baada ya mahusiano kuvunjika,
@joelnanauka
4 жыл бұрын
togolani saidi sawa,tafuta video yangu inayosema Usiogope kuanza upya
yaaaan broo kuna rafikia angu limemkuta hilooo lakn haaaamin anasema yy bora hata amrudie alf aje kumwacha kwa njia nyingine em nisaidie sa hapo namsaidiaje
Hii darasa linanihusu kwa 100%
asnnte kwa elim yako
Anza na kusalimia kidogo mfano Habari? Then Leo Tunazungumzia hiki hiki then unaendelea huo ni mtazamo wangu binafsi maana video inavyoanza tu unaanza kuongea huwa nahisi tofauti sana au ndo kuenda na mda?
Masomo mazuri endelea kuktuelimisha kaka Joel
Ni ukweli asilimia kama zote bro,,endelea kuelimisha
Naomba unisaidie nimsahau aliyeniumiza
Mm napitia sahv
Ni kweli kaka napitia magumu lkn naona bado kazi ninayo
Habari samahani me Nina mtu wa karibu anasumbuliwa na Hilo tatizo tafadhari naomba msaada
Congratulations Mr for your good lesson
🙏🙏🙏
Thanks,mwenzi tatu still na jaribu kutaka kusahau na shindwa kinachoniumiza nikiwanza miaka sita yote nilikuwa na danganywa na fake promises . But mungu mwema ipo siku nitasahau complete
@imanimwakinga4934
2 жыл бұрын
Havisahauliki my dear, na usijaribu kulazimisha... Yapokee yabebe ishi nayo taratibu utapona, ikubali hiyo hali
Yaaan nakosa cha kuandika
😀mungu azidi kukupa umri tele Last year nimetoka kuachwa bahn n mchumba ang bahat mbaya san hii ndo naion video hii ila mule mule kuna muda nilkuw n mtu wa hasira sana ikafika muda nikaon no siko sawa kuna kitu yan nilijarb kuanzisha mahusiano mapya but hata week skumaliza yakanishnda so now nahis niko hatua y mwisho coz nishakubali now hyo mwanamke ashaolew mwanzon mw mwaka na me now naanda mpango wa kuoa nishaanza kusset mipango upya
Basi Nipo ktk Hatua ya Tano....Asante Mungu akubariki Sana Kaka!! Dah..
@herimgonja7209
2 жыл бұрын
Hapo ishu mtu anaposhindwa kukubaliana anakumbuka gharama aliotumia, hivyo n manufaa aliotarajia hakupata , so we don't have four is very annoying, I'm very scared, when you see a person you don't want to see even his face.
@adellajohnbokato8453
2 жыл бұрын
@@herimgonja7209 hakuna budi it's better to let Go kabisa.
Tangu na x wangu yapata miez 11 sasa mwanzo ilikuwa ngumu lakn now naweza sana na nimeamin bila yeye naweza tena zaidi
@latifaanuary4911
Жыл бұрын
Hajawai kurud kukutafuta?
Waah this is very true happened to me Asante kwa mafundisho mazuri
Baada ya miaka minne ndo nikafikia hatua ya 5 hatua ya hasira ilinitesa Sana namshukuru Mungu nilivuka salama
Yani nikwli kabisa we kaka wew mimi nishapita hizo zote Now niko kwenye acceptance yani had nilikonda
Nanauka mm ndio napitia wakati mgum sana kaondoka na familia yangu
Kaka kwa kweli hii kitu inauma mm np kwenye hii hali je unaweza kunishauri kitu chochote
Jaman mm napitia changamoto hii kwasasa naombeni msaada wenu
Nimekuelewa bro vyote nimepitia mm
Mm kaka napitia ayo
mie ndo nko katika kpind hicho cha mpito nmetokea kuachana na mke yapata tar 29-01-2019
@dottowilsoni4703
2 жыл бұрын
Pore kaka angu tunao texeka na Ayo Mambo no wengi
Mm mwanaume aliyenambia ninywe dawa za mitishamba nipate mimba tukahangaika maporini kutafuta dawa nikanywa zilikuwa chungu leo hii ananiacha na mtoto mdogo mdogo sana MUNGU anisaidie kwakweli labda kuna siku na mm nitakaa sawa namlea mtoto nyumbani pekeangu nmeharibu kila kitu sijui niseme vipi naona kila rangi ya dunia kwel wanajinyonga wote wanachoka yanaumiza haya mambo ila ALHAMDULILLAH🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nimeamz n mahusian mengn now niko vizur sili tena upuz na nimemuapia Alla sitoka nimtafte
Thank you my mentor, i get you from 254 My bro Joel .
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Omar Abdallah Thanks Omar,pamoja sanaaaa
Unachokiongea ni kweli kwangu toka nimeachana na mpenzi wangu mpaka sasa siamini lakin imeshatokea nifanye nini ingalikuwa bado ninampenda sana ila yeye ana tena muda mimi naomba msaada
Hii ni kwel bro
Kabisa
👏👏👏Asante kwa mafundisho kaka
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Mwajuma Mwishehe karibu mwajuma
@mwajumamwishehe3423
5 жыл бұрын
Joel Nanauka Asante Kama tuko pamoja
@aronemakanyaga7284
2 жыл бұрын
nashukur kaka mafundisho mazuri mnoo nabarikiwa sana
Brother Unanifanya Nijiamnii zaidi
Nimeshindwa kuvuka hizo hatua tano baada ya mahusiano yangu kuvunjika now yapata miaka 4 nimekwama kwenye dipresion
real 100% hakuna ulipokosea. hizo stage zisikie kwa mtu zisikukute
Asante kaka JOEL 🙏🙏
Hapo sasas👌🏽🤦♀️
kaka mm binafi napitia changamoto kam hyo aniniambia tuachane nikafnya bagein kanipa ela zote zimeisha na bdo haninitaki sijui nifnye nn namuwazia kinoma nimfnye nn
Npo kwenye hiyo hatua ya kwanza yn kila saa nachunguliya sim nkisikia text t najua ndye
Dar mm yalinikutaa yakanisubua miaka miwili na kutumiaa hela ovyoo hapoo kwenyee depression nilkaah muunda mwing
@joelnanauka
4 жыл бұрын
benjamin kishery Pole sana,hongera kwa kupona
Yaa
brother mimi nipo kwenye kipengele cha dépression ,,naumia xanah
@colmanmallya1032
5 жыл бұрын
Tari Kideu pole
@tarikideu8380
5 жыл бұрын
Colman Mallya thank
@asiahmariam3942
4 жыл бұрын
@@tarikideu8380 pole ndugu sali sn
@rabiarajab6116
4 жыл бұрын
Tunafanana
Msaada
Mm bado hatua ya tatu nimeshidwa kufika hatua ya tano bado nateseka kaka nahitaji msaada wako
Somo zur Sana.. Naendelea kurud kwenye hali yangu nimefikia Hatua ya 4 ila siezi jinyonga kabisa japo chamoto nipo nakiona... Wanaume Mungu awape sehem zenu zakuishi mbingun... MUNGU nisaidie nivuke salama 😔😔 🙏
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
Haupo pekeako tupo wengi 😔
@mwigaadam1179
2 жыл бұрын
Bado hamjapenda mnanusanusa tu
@mohammedadam8261
Жыл бұрын
Nimecheka kama mazuri but tuko pammoja sana ,,allihamndulillah skuweza kuchukua uamuz hatarish but now walau mood ya kazi imeanza kurud
Mm jampo hili limenitokea wiki tatu zilizopita ila nashukuru mungu saiv niko stage ya mwisho nimekubaliana na kila kitu
Niko hatuwa ya nne nasijui nifanyeje maana nateseka sana