Fix You: Unahisi unamjua vizuri mpenzi wako? Fikiria upya, subiri hadi ufunge ndoa! Fahamu haya
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Пікірлер: 52
Yani uyu dada yawezekana kazaliwa January maana mind yake iko full package👏👏👏
Hongereni Wadada. Mungu awabariki na kulinda ndoa zenu. Maswali na majibu yamejitosheleza.🔥🥰
Very nice talk, asanteni tunajifunza. Napenda sana wageni wako, kama huyu ni balaaa anajua halafu anajua tena. Mbarikiwe
Nlichompendea uyu dada anamtanguliza Mungu ktk kila jambo lake.. nakupenda dada Sizya japo sikujui
My sis sizya uko vizuri siku zote…Mungu akufikishe mbali zaidi….Am so proud of you
Dk zilkua chache sanaa. It was nice having her
Anaujumbe Bora Kabisa Amina
Nimejifunza sana hakika, mbarikiwe wadada wazuri
Arudi tena japo nimechelewa kuangalia hongera irene
Shukran dada nimejifunza kitu
Nkukubali Sana na nawakubali mno unaotuletea kweli wanatufix tulimobomoka amini muda unaokaa na kuyafanya haya mpaka kutuletea humu unafanya sadaka kubwa sana mmekuwa wakufunzi Wema kama tutakubali kufikisixka
Ukiweza kuangalia hii interview mpaka mwisho na haujaondoka na kitu basi iko shida 😅. Ahsanteni dada zangu mmeupiga mwingi 🎉
@Sharifarajabudebe
9 ай бұрын
yan sijaimaliza nimejifunza mengi san
@tusekonga3030
9 ай бұрын
Kabisaa❤❤
@mwajumabinwa604
9 ай бұрын
Yeah
@binguihimedi
9 ай бұрын
Kabisa
@user-dx4qp7sg4w
8 ай бұрын
Madam mko vizuri.
Najifunza mengi mno, tnx dada Irene
Welcome back Irene,usipotee sana tena jaman...
@irenekamugisha
9 ай бұрын
😂😂😂 noted
Nimejifunza Vitu Vingi MUNGU awabarikiwee Sana Sana na Mnasaidia Sana Aswa Kweny Mambo Ya Ndoa jinsi y kuichukulia
Nimejifunza vingi, nashukuru sana
karibiya tena sns dada❤
❤️❤️
Shukurn dada
Irene tunajifunza mengi sana big up
Dada irene nakupendaga the way you are
@irenekamugisha
8 ай бұрын
Thank you darling❤
Hongereni wadogo zangu 👏👏👏👏
❤ conversation All
Jamani mgeni akaribie tena please please kipindi kizuri mpk muda mdogoooo😊
@mwajumabinwa604
9 ай бұрын
akaribiye tena sns
❤
Hongera irene
Cjui ulipotelea wapi dada Iren tulikumiss Sana we unaletaga majembe yaliyonolewa tayari Kwa kukata miti.
@irenekamugisha
9 ай бұрын
Mbona nipoo😅
Yani na not nime chukuwa kbs asante kwa somo hili Irene arudi atufuze kwa kweli tuna kitu tuna ki hitaji kwake Allah Awalipe kila lakheri
Yes saana
Nimependa sanaaaaa😅😅😅
🔥🔥
Kiukwli kila mwnamke afate Ii njia ya apa Pana kitu atajifunza
Dada nimejifunza sana kwako ,karibu tena
Masha Allah haje tena siku nyingine
@mwajumabinwa604
9 ай бұрын
Kweli
Nime faidi sana kwenye hiki kipindi
Mmmmh! Kungwi
Heeee huyu dada anaongea mazr
Asanteni sana na hongera umependeza nywele zako ❤
@irenekamugisha
9 ай бұрын
Ahsante sana
Tunajifunza
Mrudishe