Fix You: Unamtongozaje Mwanamke ikiwa una domo zege? Kwanini wanaume wanawaogopa wanawake wazuri
Ғылым және технология
Kwenye episode hii ya #FixYou, Irene Kamugisha anazungumza na Chef Kile kuhusu suala zima la kutongoza na kutongozwa, uzuri wa mwanamke na unavyowatisha wanaume wengi
Пікірлер: 47
Kwa mtazamo wangu mm mwanamke mzuri Sana ningumu kuolewa kwasababu hawanaga msimamo, pia Hawana heshima.
Daaaah hii Mada ya leo ya haya maongezi kali sana sana,na ina madini mengi mno,kwahyo tunaiomba hii iendelee part 2-3,iwe na muendelezo
Irene you are so good girl!! I am happy to see a woman in the amazing SNS Team. I wish Sky summons you on those emergency meetings they normally do to discuss breaking news. ❤️ 💙
Asante sana Dada,kwa kumrudisha huyu mwamba.
Ukiona kijana hawezi kutongoza basi tambua ana PGA nyeto 😂
Mwanamke mzuri ni yule unaempenda.
confedence inapotea pale unapoanza kujichua ndo maan wanaogopa wanawake kwasababu tyr wamepata njia nyngn ya kujihudumia
noma sana
Da lrene hebu muulize hivi hilo swala la heshima inakuwaje kwa mtu asiyekuhudumia kbss,
Irine ngoja nikupe siri kidogo. Utafiti unaonyesha kuwa wanaume ambao wanachelewa sana kuelezea hisia zake kwa mwanamke ndio wenye uwezo mkubwa wa kudumu kwenye mahusiano na wanakuwa na upendo wa dhati kwa wenzi wao..
@ahz6907
Жыл бұрын
Source?
Mwanaume Kutongaza ni Nature huwezi epuka
Hizo kufunda muangalia kwa mwangalizo wa 21st century...kwa Millennials maisha yao sio hayo ya kusema tu "Heshimu Mwanaume"...it's a two-way traffic Bro 😊
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Sure thing
Jamaa kaongea vzr sana
Wewe Irene umetoka nje ya topic kabisa. Ungemuambia afundishe namna ya kutongoza kabisa
Binafsi sijamuelewa uyo mwana apo kimaelezo yake naona kama anajin'gata n'gata tu
😀😍😍
Huy jamaa kaongea facts
nikimuoga faster nawoch
Wanaume wengi wasio juwa kutongoza wengi wao wamekulia miaka ya 2008 kuja 2022 na smart phone au simu janja kupitia mitandao ya kijamii ndio imewasaidia na ndio mana hawawezi kuongea na mwanamke ana kwa ana, lakini wanaume wengi waliokulia kabla kuja kwa smart phone wengi walikuwa sio waoga kwenye kutongoza. Rekebisheni kauli semeni baadhi msijumuishe watu.
@muzdinho
Жыл бұрын
huo ni uongo
@masolavachui1728
Жыл бұрын
Uko sahii mmi nimekuelewa sana walekebishe kauli yao ya kujimlisha watu ote
@abdulrahmanhassan5998
Жыл бұрын
@@masolavachui1728 na hii ndio Tania ya baadhi ya watu wengi huchukuwa au hunukuu tafiti kutoka sehemu fulani ambazo hata wao wenyewe hawajawai kudhisibitisha Bali nadharia tuu Kisha kujumlisha watu wote, utasikia wanawake au wanaume wakitanzania Wana Tabia hii au Tabia fulani...
@mourinebey_kenya7027
Жыл бұрын
Sasa 2008 huyo Ni mwana mume au mtoto Jamani? Mana hapo unazungumzia mtoto wa 14 years ujue?
@abdulrahmanhassan5998
Жыл бұрын
@@mourinebey_kenya7027 hapo naongelea kuanzia ubri 18 kuja juu kuanzia miaka hiyo 2008 mpaka sasa ni MTU wa miaka 30 wengi wao wa kizazi cha smart phone 📱hawajuwi kutongoza bila simu mitandao ya kijamii.
Mimi kwa kweli wazaz wangu wame haribu confedence yangu tangu utotoni ndomana siwez kuwapenda
@isikesamike
Жыл бұрын
Muone mwanasaikolojia akusaidie kukupa ushauri nasaha. Umweleze shida unayopitia ili ajue namna ya kukushauri.
@adkajisi4536
Жыл бұрын
Wazazi wapende tu
@husseinkazigo6189
Жыл бұрын
Ahahahaha umenifanya nicheke san huna akili we jamaa😂😂😂
Bro ume ingusa sababu ya kuwachika kwa madem wazuri ana wenye kipato.
Upande wa pete ni pambo tu kama pete nyingine akuna kitabu chochote cha dini kilichoandika ndoa isifungwe bila ya pete
Mwambie akatafute Pesa
Huyu jamaa ana sauti kama ya Mbosso
kumbe kille unadimpoz😃
Namkubal kille
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Domo Zege wapi …kijana tafuta pesa bana 😂
@abdlhaleem8380
Жыл бұрын
📌
Hii interview imenipa conference ya kumwambia "Irine" kuwa nimemuelewa. Akimaliza kumfanyisha huyo jamaa interview naomba asome hii message yangu tafadhali.
@suntzu8959
Жыл бұрын
Conference
@daudimusembe6776
Жыл бұрын
Confidence sio conference😎
@kefamkv3743
Жыл бұрын
@therealomisa kulu kijana waovyo sana😀😀😀😀nimecheka kweli
Wa kwanza kabisa kzread.info/dash/bejne/h4drzdGBpsWnmcY.html