Fix You: Unamtongozaje Mwanamke ikiwa una domo zege? Kwanini wanaume wanawaogopa wanawake wazuri

Ғылым және технология

Kwenye episode hii ya #FixYou, Irene Kamugisha anazungumza na Chef Kile kuhusu suala zima la kutongoza na kutongozwa, uzuri wa mwanamke na unavyowatisha wanaume wengi

Пікірлер: 47

  • @josej9888
    @josej9888 Жыл бұрын

    Kwa mtazamo wangu mm mwanamke mzuri Sana ningumu kuolewa kwasababu hawanaga msimamo, pia Hawana heshima.

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Жыл бұрын

    Daaaah hii Mada ya leo ya haya maongezi kali sana sana,na ina madini mengi mno,kwahyo tunaiomba hii iendelee part 2-3,iwe na muendelezo

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Жыл бұрын

    Irene you are so good girl!! I am happy to see a woman in the amazing SNS Team. I wish Sky summons you on those emergency meetings they normally do to discuss breaking news. ❤️ 💙

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 Жыл бұрын

    Asante sana Dada,kwa kumrudisha huyu mwamba.

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Жыл бұрын

    Ukiona kijana hawezi kutongoza basi tambua ana PGA nyeto 😂

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 Жыл бұрын

    Mwanamke mzuri ni yule unaempenda.

  • @lamaradill9857
    @lamaradill9857 Жыл бұрын

    confedence inapotea pale unapoanza kujichua ndo maan wanaogopa wanawake kwasababu tyr wamepata njia nyngn ya kujihudumia

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 Жыл бұрын

    noma sana

  • @siaammo1104
    @siaammo1104 Жыл бұрын

    Da lrene hebu muulize hivi hilo swala la heshima inakuwaje kwa mtu asiyekuhudumia kbss,

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz Жыл бұрын

    Irine ngoja nikupe siri kidogo. Utafiti unaonyesha kuwa wanaume ambao wanachelewa sana kuelezea hisia zake kwa mwanamke ndio wenye uwezo mkubwa wa kudumu kwenye mahusiano na wanakuwa na upendo wa dhati kwa wenzi wao..

  • @ahz6907

    @ahz6907

    Жыл бұрын

    Source?

  • @amrzaqmlawa4015
    @amrzaqmlawa4015 Жыл бұрын

    Mwanaume Kutongaza ni Nature huwezi epuka

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Жыл бұрын

    Hizo kufunda muangalia kwa mwangalizo wa 21st century...kwa Millennials maisha yao sio hayo ya kusema tu "Heshimu Mwanaume"...it's a two-way traffic Bro 😊

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Sure thing

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber75708 ай бұрын

    Jamaa kaongea vzr sana

  • @derrikdesertman4564
    @derrikdesertman4564 Жыл бұрын

    Wewe Irene umetoka nje ya topic kabisa. Ungemuambia afundishe namna ya kutongoza kabisa

  • @abdallahmohammed4059
    @abdallahmohammed4059 Жыл бұрын

    Binafsi sijamuelewa uyo mwana apo kimaelezo yake naona kama anajin'gata n'gata tu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    😀😍😍

  • @nemblismkulago886
    @nemblismkulago886 Жыл бұрын

    Huy jamaa kaongea facts

  • @SalsabeelLtd
    @SalsabeelLtd Жыл бұрын

    nikimuoga faster nawoch

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Жыл бұрын

    Wanaume wengi wasio juwa kutongoza wengi wao wamekulia miaka ya 2008 kuja 2022 na smart phone au simu janja kupitia mitandao ya kijamii ndio imewasaidia na ndio mana hawawezi kuongea na mwanamke ana kwa ana, lakini wanaume wengi waliokulia kabla kuja kwa smart phone wengi walikuwa sio waoga kwenye kutongoza. Rekebisheni kauli semeni baadhi msijumuishe watu.

  • @muzdinho

    @muzdinho

    Жыл бұрын

    huo ni uongo

  • @masolavachui1728

    @masolavachui1728

    Жыл бұрын

    Uko sahii mmi nimekuelewa sana walekebishe kauli yao ya kujimlisha watu ote

  • @abdulrahmanhassan5998

    @abdulrahmanhassan5998

    Жыл бұрын

    @@masolavachui1728 na hii ndio Tania ya baadhi ya watu wengi huchukuwa au hunukuu tafiti kutoka sehemu fulani ambazo hata wao wenyewe hawajawai kudhisibitisha Bali nadharia tuu Kisha kujumlisha watu wote, utasikia wanawake au wanaume wakitanzania Wana Tabia hii au Tabia fulani...

  • @mourinebey_kenya7027

    @mourinebey_kenya7027

    Жыл бұрын

    Sasa 2008 huyo Ni mwana mume au mtoto Jamani? Mana hapo unazungumzia mtoto wa 14 years ujue?

  • @abdulrahmanhassan5998

    @abdulrahmanhassan5998

    Жыл бұрын

    @@mourinebey_kenya7027 hapo naongelea kuanzia ubri 18 kuja juu kuanzia miaka hiyo 2008 mpaka sasa ni MTU wa miaka 30 wengi wao wa kizazi cha smart phone 📱hawajuwi kutongoza bila simu mitandao ya kijamii.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Mimi kwa kweli wazaz wangu wame haribu confedence yangu tangu utotoni ndomana siwez kuwapenda

  • @isikesamike

    @isikesamike

    Жыл бұрын

    Muone mwanasaikolojia akusaidie kukupa ushauri nasaha. Umweleze shida unayopitia ili ajue namna ya kukushauri.

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    Жыл бұрын

    Wazazi wapende tu

  • @husseinkazigo6189

    @husseinkazigo6189

    Жыл бұрын

    Ahahahaha umenifanya nicheke san huna akili we jamaa😂😂😂

  • @akilimwendajohn3326
    @akilimwendajohn3326 Жыл бұрын

    Bro ume ingusa sababu ya kuwachika kwa madem wazuri ana wenye kipato.

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 Жыл бұрын

    Upande wa pete ni pambo tu kama pete nyingine akuna kitabu chochote cha dini kilichoandika ndoa isifungwe bila ya pete

  • @chancelebishopofficial2785
    @chancelebishopofficial2785 Жыл бұрын

    Mwambie akatafute Pesa

  • @digitalfeelings3031
    @digitalfeelings3031 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ana sauti kama ya Mbosso

  • @SalsabeelLtd
    @SalsabeelLtd Жыл бұрын

    kumbe kille unadimpoz😃

  • @SalsabeelLtd
    @SalsabeelLtd Жыл бұрын

    Namkubal kille

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍

  • @silverman6930
    @silverman6930 Жыл бұрын

    Domo Zege wapi …kijana tafuta pesa bana 😂

  • @abdlhaleem8380

    @abdlhaleem8380

    Жыл бұрын

    📌

  • @therealomisakulu5416
    @therealomisakulu5416 Жыл бұрын

    Hii interview imenipa conference ya kumwambia "Irine" kuwa nimemuelewa. Akimaliza kumfanyisha huyo jamaa interview naomba asome hii message yangu tafadhali.

  • @suntzu8959

    @suntzu8959

    Жыл бұрын

    Conference

  • @daudimusembe6776

    @daudimusembe6776

    Жыл бұрын

    Confidence sio conference😎

  • @kefamkv3743

    @kefamkv3743

    Жыл бұрын

    @therealomisa kulu kijana waovyo sana😀😀😀😀nimecheka kweli

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Жыл бұрын

    Wa kwanza kabisa kzread.info/dash/bejne/h4drzdGBpsWnmcY.html

Келесі