HIZI NDIZO SABABU ZA YESU KUTOKWENDA MAKKAH. SHEIKH HABIBU MAZINGE
Darasa ilitolewa na Sheikh Mazinge baada ya swala ya Ijumaa Msikiti wa Nuruyakin Temeke Dar es Salaam Tanzania Tarehe 6/11/2020, Sheikh mazinge alipatia nasha mbalimbali waumini baada ya swala ya ijumaa, na moja katika maswali mazito aliyoulizwa katika mihadhara yake ni swali hili, tazama hadi mwisho upate kuelimika, tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Пікірлер: 1 200
Wenyeku mpenda sheikh wetu Mazinge like apa lakini mimi sijabahatika kukuona sheikh wangu Mazinge
Shekhe Othman Mazinge Allah(S.W) Akubariki na Aibariki safari yako uende salama na iwe yenye mafanikio IshaAllah, kwa kweli tunakupenda sana huku KENYA sisi waislam wenzako na tunakuombea urudi salama na vilevile Alla(S.W) Atujaalie tuwe pamoja na Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pepo Yake IshaAllah...
Mashallah Allah Akuzidishie heri Inshallah...❤❤❤
Twamuomba allah aongeze warith wa hii kazi shekhe mazingi kwasababu hakuna namna siku yako ikifika mungu atakuchukuwa hatujui nan atakuwa na moy wa dhati kama ww wa kutetea uislam
Yaa Allah muwekeye Nuuru m zazi wa shekh Nourdini Kishikh katika Kaburi l'âne ALLAHUMMA Amiin
We real love you sheikh ,ManshaAllah 👏👏🇨🇦🇨🇦
@zenaal-baalawy1953
Жыл бұрын
From 🍁 🇨🇦 na mimi nampenda sheikh Mazinge namfatilia sana@jojobrayan1551
Allah akupeleke salama shekh. Aammiiiin 🙌
Ya Allah, Tunaomba ALLAH Akujalie.Uweze kutuwakilisha vizuri . Amiina.
InshaALLAH mungu atakuwezesha uendapo na ushindi juu ya uislamu
Allah akbar mola wetu Mlezi akuwekee wepesi katika safari hio ln sha Allah kher amiin ya Rabii 🙏🏻
@Awatee
3 жыл бұрын
Allah humma amin
Mungu awalipe mashekh wetu
Allah akufanyie wepesi katika safari yako na akufanyie wepesi katika kuutetea uislam maswali utakayoulizwa katika huo mkutano Allah akupe wepesi kuyajibu kwa usahihi kabisa urudi na ushindi uwasilimishe mpaka mapadri
@emanuelmsaky8074
3 жыл бұрын
Dini haimpeleki mtu mbinguni amini kwamba siku za mwisho watakuja kuleta hesabu zote kwa Mungu soma biblia ufike mbinguni salama haijalishi upo kwenye dini gani asiye mwamini yesu amekosa uzima wa milele mapadri hawaweI silimu labda nyie tuwakaribishe muokoke.
Habib Othman Mazinge karibu Sana pemba, Ndoto yangu kwako nipate kukuona shehe wangu Na kuwa mwanafunz wako, nalia kila leo shehe, Namuomba MUNGU aniktanishe na wewe Inshaallah.
Nakukubali Mazinge ❤
Allah akulinde shk wetu, nakupenda kwa ajili ya Allah. Allah akujalie umri mrefu na akupe ilimu zaidi uwashinde wote maadui zako. Allah akulinde na akukinge na balaa. Allah akupe riziq uitakayo. Amiiin thumma amiin 🤲
@kaya.o1673
3 жыл бұрын
Man sha allahu
Siku atakayofumba jicho sheikh Mazinge kama bado nikiwa napumua sijui nitaliaje wallah nampenda mno kwa ajili ya Allah tu sichoki kumsikiliza
Maashaallah Allah awafanyie wepesi muende salama murudi salama in shaa Allah
Karibu sana burundi 🇧🇮 Allah awafikishe salama awarudhishe salama na ushindi uwe wa waislam karam ya tauhid izagae urimwengu mzima🙏🏻
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Ameen yaa Rabbil aalamiin
@khadijaiddi4887
3 жыл бұрын
Allahhumma Aamiin
@AishaAli-lk7gh
3 жыл бұрын
Amiin
@Awatee
3 жыл бұрын
Amiin allah auwinue dua nzima insha allah
@zou7470
3 жыл бұрын
Allahuma aminaa 🙏🙏🙏🙏🙏
Mashallah masheikh WETU Allah atawalipa fungu lenu siku ya Hesabu Inshaallah 👏
Allah akbar mwenyezimungu atujaarie mwisho mwema na atufishe hali nakuwa ni waislaam🕌🕌🕌
Karibu sana Urundini ustadhi Ya ALLAH mrahisishiye safari, kazi yake ya daawah na umpeleke na umrudishe salama salimina mwalimu wetu Habib Mazinge.
Maasha Allah ma sheikh wetu wote Mwenyezi Mgu awalinde na kila shari,awaongoze awape afya njema, umri mrefu awalipe kila lililo la kheir wao na ummati Mohammad (SAW)
@fatomhalogandy4045
3 жыл бұрын
MashaAllah. Great job
Wanaoendelea kumpinga Yesu wajipange upya wanapoendelea kumpinga anasema anikataae mimi asie yaamini maneno yangu neno hilo ninalolinena ndilo litakalomuhukumu siku ya Mwisho
@soccertv293
3 жыл бұрын
Nani anampinga yesu hakuna mwislam anaempinga yesu ila wakristo hawamjui yesu nahawafuati ya yesu zaid ya paulo
Walah nimejisikia uchungu Sana shekhe aliposema nimebaki mm tu na nikifa mm hamna mtu, nimesikia uchungu mnoo shekhe tunakupenda kwa ajili ya allah
Maa shaa Allah Allah akufikishe Salama na urudi Salama na awarehemu Mashekhe zetu wote waliotangulia mbele ya haq
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Amiin
Allah akupeleke Salam urudi Salam a .Allah atupe mafanikio mema ya dunia na akhera.
Mazinge wallah Mwenyezi Mungu akuongezeye umuli Mimi ni mu Tanzania nilizalia Uganda hilo onalolisema ni kweli ksse kanisa iligeuzwa muskiti kwanza ksse bwela ni wanyamwezi
Insshaallah sheikh Mazinge Allah akujaalie kheri katika safari yako na kwa kazi utakayoifanya iwe na mafanikio makubwa. AMIYN.
Kwenye uchaguzi huu tunamshukuru Allah ametudhihirishia wanafki, washirikina, wapenda Dunia Allah wajaalie mashekhe mwisho mwema
@hassancharo1496
3 жыл бұрын
Twalib una mana utshadh Mazinge nimunafiki ama
Allah Akuifadhi kwakila hatuwa ALLAHUMMA Amiin
Mashaalah.M/MUNGU nakuomba muweke shekhe mazinge kwakutuokolea dini yetu ya kiisilamu
ALLAH akufanyie wepes kipenzi cha MOYO WANGU... NAMUOMBA ALLAH akusahilishi JANNATU FIRDAUS
@jonasyohana3258
3 жыл бұрын
Mashetwan wakubwa nyie unafik tyyuuuuuuu....na uchaw
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
@@jonasyohana3258 shwetwani nihuyo uliyo mfunika suruali mungu akudhalilishe duniani na akhera firauni wewe
@jonasyohana3258
3 жыл бұрын
@@aishaarusha894 firaun ni hicho ulichokifunika na sket.....mbwa kasoro mkia ww
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
@@jonasyohana3258 mbwa baba ako firaauni heshimu dini za watu nyooooooo ukome kututukana habith kacheze segele kanisani kiama utacheza kwenye moto laana allah akudhalilishe kwa maradhi inshalllah
Ishalla hery shehe wetu M/Mungu akusmamiye ktk safar zako akuhfadh km alivo mhifadh nabii IRAHMU Amina tunakupenda Kwa ajili ya Allah
@minabuelysee8
3 жыл бұрын
Amin
@jamesndihokubwayo6560
3 жыл бұрын
Karibu Burundi Bujumbura tutafurahi sana tupe, dawa1isram
Allah akufanyie wepesi ktk safari yako na akuhifadh, akuepushe na kila baya . Akujaalie uende salama urudi salama, ukafaulu kwa yote yatakayo kuwa huko kwa uwezo wa Allah ameen yaa Rabb in shaa Allah
@halimaramadhan2975
3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@ahmedalklbani8118
3 жыл бұрын
Ishaalahh alahh akufanyie wepesi alahh akupe umri mrefu
@Awatee
3 жыл бұрын
Amiin yarabal alamin
@issakawaya8315
3 жыл бұрын
Kwani burundi akuna wa dhiri
@sofiabeja3171
3 жыл бұрын
Alla akulipe inshaalla
Wallah UISLAMU NI RAHA, hasa mwisho wa video hii nimehisi tu raha, ...Namuomba ALLAH (S.W) Anifishe hali ya kuwa mimi nimuislamu kamili IshaAllah.
@mbwanakhamis9634
3 жыл бұрын
Ameen
@juliusmakamba255
3 жыл бұрын
Wahubiri wenzako wote walisha kufa,wahubiri wakikristo wote wapo,wewe kazi yako ni kuukashifu ukristo na yesu.
@rashidkalimbo2451
3 жыл бұрын
@@juliusmakamba255 ... hakuna mwiislam anayemkashifu Yesu hata mmoja kaka, na anayemkashfu Yesu basi si mwiislam, Nahisi haujui maana ya Uislamu ni nini na ndomana ukasema hivyo...Ukristo tunaukashfu kwasababu ni uzushi wa watu, Mwenyezi Mungu hajaelekeza watu wawe wakristo na hakuna Mtume hata mmoja aliyekuwa mkiristo including Yesu, Shida yenu hamtaki kusoma Vitabu vya Mwenyezi Mungu mkaelewa, mnafuata tu kauli za wachungaji wanaowapotosha....
@juliusmakamba255
3 жыл бұрын
@@rashidkalimbo2451 ni nadra sana kumsikia ustadhi mazinge akikemea dhambi,au akiwataka watu waache maovu,watubie dhambi zao,yeye anawaaminisha waumini wa dini yake ya kiislamu kuwa wakristo wote ni makafiri na siku ya kiyama ni motoni tu,na muislamu hata akiwa mwizi,jambazi,mzinifu,yeye ataenda peponi,anapotosha sana watu.
@rashidkalimbo2451
3 жыл бұрын
@@juliusmakamba255 ...Mimi nakuelewa vizuri kaka na ndomaana nikatanguliza kusema hauelewi maana ya Uislamu, Uislamu hauelekezi mtu kufanya mambo mabaya mambo machafu hata kidogo kaka, Mtu yeyote atakayefanya dhambi ima ya kuiba, ugaidi, ushirikina, uzinifu n.k moja kwa moja huyo ataadhibiwa na Mwenyezi Mungu unless atubie Kwake, TOBA ya ukweli (TAUBATUL NASUHHA) kabla hajafariki,... Halafu nimeona unasema ati ni nadra Ostadh Mazinge kukemea dhambi, hapo nakupinga mojamoja, Pitia video zake zote KZread uone vyenye Shekhe Mazinga anavyong'ang'ana kuwalingania Waislamu na hata wasiokuwa waislamu warudi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wewe unaonekana ni mgumu wa kuelewa tu, m'bishi, coz hata hii video Mazinge amelingania watu warudi kwenye njia ya Allah, ama haujasikia hiyo kauli akisema watu wanachezea wakati kwa kuspend more time na mambo yao ya kibnafsi kama vile mpira wa kandanda hata wakati wa swala instead of wawe miskitini, Ama unataka mtu alinganiwe vipi wewe...Na vilevile nahisi haujui maana ya Kafiri pia, KAFIRI kwa ufupi ni mtu ambaye hamuabudu Mwenyezi Mungu Muumba wa kila kitu duniani, ndio maana Mwenyezi Mungu Akawatambua nyinyi (wakristo) kama Makafiri kwasababu hamumuabudu Mwenyezi Mungu, munaabudu Yesu, Mtume Wake mkidai yeye ndo Mungu...na ndio maana nikasema hamusomi Vitabu mukavielewa coz Yesu anasema yeye mwenyewe 'mimi ni mtu" (YOHANA 8:40) na hakutumwa kwa ulimwengu mzima ila kwa watu(Wana wa Israel)aliopewa na Mwenyezi Mungu na anawaombea hao tu(YOHANA 17:6-9).... Shida yenu hamtaki kusoma tu basi, ninyinyi nakupinga ukweli tu hata muambiwe nini hamutoamini kwasababu tayari Mwenyezi Mungu Anasema Amepiga Mihuri nyoyo zenu na vilevile zimejaa maradhi kwahiyo hata muambiwe nini hamutoamini, macho ameyaziba na finiko hayaoni na vilevile maskio yenu ameyaziba kwa hivyo hamsikii na mtapata adhabu kali... Shekhe Othman Mazinge Anang'ang'ana sana na Namuombea Allah(S.W) Azidi kumpa umri mrefu aendelee kuwatoa watu katika Giza, Nampenda sana Shekhe Mazinga infact video zake kwa laptop yangu zimechukua karibia asimia 60, Nawaombea sana sana mashekhe wote Allah(S.W) Awalinde...Na pia wewe nakuomba usikilize Mihadhara mbalimbali ya Mashekhe mbalimbali huenda Mwenyezi Mungu Akakujaalia kuuona ukweli uko wapi IshaAllah, na utakuja nikumbuka kwa hii COMMENT IshaAllah ima ubadilike au ubaki katika hali yako.... Nakuomba uwasikilize kwa undani hawa Mashekhe wafuatao: *TANZANIA-Shekhe Othman Mazinge, Dr Sule Ostadh Kinyogori, Shekhe Kishki, n.k *KENYA-Shekhe Mohammed Omar, Shekhe Maalim Othman, Shekhe Suleiman Mazinge, Shekhe Izudin Alwy Ahmed n.k *India-Shekhe Dr Zakr *U.S -Shekhe Ahmad Dhada Chukua Vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu Uangalia as you listen to them, uone kama wanakwambia ukweli au laa, jaribu kutofautisha between different scriptures ujue ukweli uko wapi kaka, hao wamesoma kweli Vitabu vya Mwenyezi Mungu na ninawaombea sana kwa juhudi zao na naomba dua zao za kutaka radhi kwa Allah pia zinifikie mimi IshaAllah kama mwiislamu mwenzao. Mimi jukumu langu nikufikisha tu, decision ni yako, siwezi kulazimisha coz Dini inakataza kulazimisha mtu, lakini naomba unisikilize kwa makini kauli yangu ya mwisho, kama wewe una dini nyingine mbali na Uislamu, nakuomba mara moja rudi katika UISLAMU kabla hujakufa, kwasababu Ndio DINI pekeyake Ambayo Mwenyezi Mungu Ataiangalia Siku ya Kiyama.
Allah akuhifadhi sheikh mazinge na akupe umri mrefu wallah nakupenda kwa ajili ya Allah
Maashallah Allah akulinde na mazalim uwende salama na urudi salama lnshallah ❤️❤️
Maa shaa Allah Allah akutangulie katika safar yako sheikh mazinge
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Ameen
inshaAllah ya ALLAH mpe maisha marefu mwalimu wetu Habib mazinge InshALLAH na mola wutu akuongoze popote uendapo na akulide na maasidi na ushinde kwaajili ya ALLAh AMIN AMIN inshALLAh
Pia ushauli wangu kama una mtoto WA kiume au yeyote anaitaji kuubili uwafunfishe lnshallah
@mustafaathuman5897
3 жыл бұрын
Allah akulipe
Inshallah sheikh mazinge mungu akuoeleke salama ukaifanye kazi ya all,na ujira wake allah ndio ajua zaidi atakuzawadia nini,ya rabbi,
Mwenyezi mungu akujaalie inshaallah katika Safari shee wetu 🙏🏻
Allah akuhifadh n kila lenye shar uende xalama urud xalama.. Kwa mnafanya kaz ngumu Allah awajaalie pepo mashekh wetu
MashaAllah MashaAllah Allah amfanyiye wepesi sheikh wetu kwakila zito
Allah akudhidishie umli weny vitendo maqbul Allah akuhifadhi tudhidi kunufaika na elmu yako sh Othuman Mazinge
@paulgwau883
3 жыл бұрын
We ostazi acha uongo
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Amiin
Mwenyezi MUNGU azidi kumulinda Ust mazinge yeye ndio chanzo ya imani yangu nilizaliwa kwenye ukristo na mm n Muslim kwa mda sasa mwaka kumi🙏🙏
اجعل الله رحلتك مثمرة وناجحة. بارك الله فيك وعائلتك يا أمين.
Assalam aleykhum warahmatullah wabarakatuh... Namuomba Allah akuongoze katika utowaji wako wa dawa, namuomba Allah akurahisishie kazi zako ziwe zahisi.. kwako sheikh mazinge...naomba ukitoka safari yako nipate updates na mm inshaallah Ameeen.
Mznge Allah Akulinde na Akuepushe na mabaya ya dunia na ya kaburn wallah Tena Mungu Akupe pepo ya juu kabsa inaniuma Sana pale ninapo fikiria ukfa Nani Atakae kava hii nafas yako Allah Atuandalie mtu kama ww
Mungu ni roho na wote wenye mwili wàñapaswa kumwamini katika roho na kweli nasi tumeumbwa kwa mfano wake na pia Yesu kristo ni mwana wake pekee
Allah aendelee kukupa Umri mrefu Mwalimu Mazingi❤
Karibu kwetu Burundi ALLAH Akujaliyeni inshallah
Mungu akupe maisha malefu
Maashaallah x10,Barkallah za ALLAH zitawale ktk ulimwengu huu tulionao❤M'mungu atuongoze ktk janna.Mungu akuweke Shehe mazinge ili tuzidi kuelewa dini yetu.
Amina allah awajaalie kila lilojema wenu katika iman abdallah juma nikiwa arusha
Karibu saaana kwetu Burundi allah awawekeye wepesi
Mashaa allah tabarakallah jazzakallahu kher
Allah sw awajalie pepo ya juu ya firdaus
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akupe jannat firdaus Aamiin
Allah akufanyie wepesi mère wakiisjamu insha'allah❤
Allah atulinde na msheikh wetu ukiwemo na ww sheikh wetu sheikh Habib Mazinge
Allah Akupeumli murefu Nakupend kwaajil ya Allah
@mussakisoma4369
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hX6by6uDdtrOmbg.html
@jeanineaudreyassi7390
3 жыл бұрын
#Prophètekacouphilippe Www.philippekacou.org 👆👆👆👆👆👆👆👆👆 18 Vema! Sasa ninataka kuzungumza juu ya sala, Ubatizo na kumaliza. Nimeona ndugu wakitoa pepo, wakipeleka kwa makanisa ya Katoliki, ya Kiprotestanti, ya Kiinjili na ya Wabranhaministi. Hii sio mbaya, lakini badala yake watume kwa kuzimu na maeneo ya ukame. Na hiyo ni kwa sababu ya watoto wa Mungu ambao bado wakifungwa katika makanisa hayo. Na unapoomba, usimwombe Mungu wa kihistoria bali Mungu aliye hai, Mungu wa nabii Kacou Philippe kwa sababu, Yeye ndiye Mungu wa walio hai na sio Mungu wa wafu. Ikiwa tutamwomba Mungu wa Eliya, wa Danieli, lazima tuthibitishe kuwa Yeye ndiye Mungu aliye hai wa wakati wetu, hiyo ni kusema Mungu wa nabii Kacou Philippe. Kila kitu lazima kiwe na alama ya Ujumbe wa wakati wetu: sala, nyimbo ... sio za Yesu wa Nazareti kwa sababu Yesu wa Nazareti anayejibu leo ni pepo. Alikuwa Yesu wa Nazareti katika mwili wa kibinadamu miaka 2000 iliyopita. Hii ndio sanamu na sanamu ambazo hazihami! Na miungu ya makanisa haya iko katika Nazareti na wote huitwa Yesu Kristo wa Nazareti. Unaona? Lakini, yeye ndiye Mungu aliye hai leo, Mungu wa wakati wetu, Mungu wa nabii Kacou Philippe.
Ustadh mazinge upo sw Allah akujaalie uendako
@abduljuma6219
3 жыл бұрын
P
Inshallah Allah akupeleke salama akurufishe salama
Àamiin Ya Rabby Àamiin, Allah Awape Umri Ma Sheikh, Mzidi Kuelimisha.
@adamsaidi6461
3 жыл бұрын
Amiin sheikh
@mwanahalimamwachili9679
3 жыл бұрын
@@adamsaidi6461 Àamiin.
@rwagasoredieudonne6387
3 жыл бұрын
Eti Issa alikuwa maskini eti ukifa hakuna atakae tetea dini ndugu huo ni upuuzi .Mungu akusamehe
Allah akufanye wepes kwa dini ya kislm naurud salam...Ameen on sha Allah
,kwaza nimuombe mwenyezimungu msamaha pamoja na waislam wezang wote nilitoa kauli mby ile siku shehe wakimponda shehe ponda juu ya uchaguzi ila nimejua nilikosea maana hakuna kazi Bora kama yakumtumikia alla muumba ardhi na mbigu kwapamoja waislam wote tumuombe mungu amjalie shehe wetu afike slm arudi Salam kwaajili ya alla
@mohammedrajabu7449
3 жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin Yaa Rabbal-aalamiin
@hamisimabokellah3545
3 жыл бұрын
Mm binafsi ninekusamehe inshaallah
@paschalmgika7074
3 жыл бұрын
Yesu anakuita ---mt 11:28
@haulemgaya8065
3 жыл бұрын
@@paschalmgika7074 z
@haulemgaya8065
3 жыл бұрын
Zuchu
Mashallah am learning more about my religion Islam Alhamdulillah. Jazakallah Khair
Inshallah shehhe utaenda salama na utajibu kwa usahihi na utarudi salama inshallah
Mashallah sheikh wetu tunakupenda Kwa ajili ya Allah🙏
@jonasyohana3258
3 жыл бұрын
Achem unafik....kaz yenu uchawi na uganga
@subiramohd1895
3 жыл бұрын
@@jonasyohana3258 hahahaaa uchawi wanafanya wachungaji sema kwelii
Amen.. Allah awafanyie wepesi.. 🙏🙏
Allah akulinde na atujaalie mwisho mwema atupunguzie adhabu
Mwenyezi mungu akutangulie sheikh wetu mungu awe pamoja nawe akujaalie uende salama akujaalie pia urudy salama sheikheh salama na amani iwe nawe
othman mazinge steringi wa makafirii mungu akueke ishaaallaahh
@egbertsambujune4680
3 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema
Karibu kwetu 🇧🇮ALLAH akuhifadhi from🇨🇦
@Masta_jay007
3 жыл бұрын
Naam Allah amfikishe nyumbani 🇧🇮 Salama inshallah
@falumefilme8143
3 жыл бұрын
@@Masta_jay007 naam shukuru shukuru allah
Mashaa Allah Tabarak Nawaombea Mashekhe Wetu Safari njema na Salama. Na mafanikio Mema. Ameen ya Rabi Al Alamin. Ndugu yenu Mohammed Ali Al Rawahi. Al Hail Muscat Omani.
Yarabi akuzidishie umri na afya njema. I love u soo much sheikh wetu. Allah akuhifadhi hifadhi ya mitume.
Masha Allah sheikh wngu nakuombea kheir na nguvu teleeeee
TUNAKUKARIBISHA BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️ALLAH AKUWEKEYE WEPESI UENDE KWAUSALAMA UFIKE KWAUSALAMA TUOMBEYE DUA IWE INCHI YA AMANI
Maashallah safari ya kheri ya Ustaadh...
Hongera sana kwa uteuzi huo,kaka mkubwa.Allah Akufanyie wepesi huko uendako ili uweze kutuwakilisha vema,Amiin! Ni imani yangu kuwa utaenda kutuwakilisha kwa uzuri kabsa kwa uwezo wa Allah,Sheikh. Allha Awe pamoja nawe na sie pia,Amiin!!
Allah akueleke salama na akurudishe salama na akupe ushindi insha Allah
Allah akupe umri mref uendelee kutukumbusha inshaallah
Wallahi Mazinge anaejuwa kudeal na wanaoipinga dini yetu
Amiin amiin amiin ya Rabii jalia duwa maqbul 🙏🏻
الله وحده لا شريك له له الملك وله الحمد وهو على كل شيء قدير اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين وسلم تسليما كثيرا إلى يوم الدين
Mbona hatuna Suleiman Mazinge wa Kenya mwenye tabia nzuri kama Suleiman Mazinge wa TZ. Nakupenda sana MY DEAR. Allah akuhifadhi akupe safari njema.
Wasilamu wanahabudu Shetani bila kujuwa , kama hawutoki ndani ya dini utaenda motoni sikiliza roho wa mungu anae ambia kanisa
Sii vyema jinsi alivyoharibu Nairobi ,kenya ni nchi nzuri allah akusamehe shekeih
@yahyakiomy1735
3 жыл бұрын
Shekhe kalibu nn Nairobi?
@selemanimartin1081
3 жыл бұрын
Kaharibu nini huko Nairobi? Angalia usimsingizie utapata dhambi!
Mashallah Allah akufanyie wepesi safari yako Inshallah uende salama urudi salama Inshallah
Mungu akusaidie mwalimu wangu
Mashaaallh allh akufikishe salama
Allah akupe wepesi wakujibu maswali na atupe ushindi inshaallah awahidhi maadui zako 🤲🤲🤲yarabby takabal dua
Nakuombea kila la kheri akhii Mazinge ,Allah akulinde na balaa zote za dunia na afanye kazi yako ya da'awa iwe nyepesi uende na urudi salama aammin nakutakia kila la kheri from Mombasa
Inshaallah mungu akupe wepesi kila palipo na ugumu akuwezeshe upate ushindi katika jihadi
Asalam Aleikum....Shk kishki na ustadh mazinge....hayaaaka Allah...tunakuombea wew na mandugu Wetu wengine...walio tayari kuokoa dini na kitabu an mtume wa Allah...napenda Mungu awape thawabu nzito kwenye hii dunia na kesho akhira...Ameen....
Allah akufanyie wepesi ktk safari yako
""Allah akupe safarinjema inshaallah...na wote walio changia safari Allah awape zaidi walipo punguza.
Karibu kwetu sheikh Allah akufikishe Salama inshaAllah
Mungu atakupa umri na barak yarab ameen yarab ameen twakupenda sana shekh mazinge 🥰🥰🥰🥰🥰🇴🇲🌹