HIZI NDIZO SABABU ZA YESU KUTOKWENDA MAKKAH. SHEIKH HABIBU MAZINGE

Darasa ilitolewa na Sheikh Mazinge baada ya swala ya Ijumaa Msikiti wa Nuruyakin Temeke Dar es Salaam Tanzania Tarehe 6/11/2020, Sheikh mazinge alipatia nasha mbalimbali waumini baada ya swala ya ijumaa, na moja katika maswali mazito aliyoulizwa katika mihadhara yake ni swali hili, tazama hadi mwisho upate kuelimika, tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.

Пікірлер: 1 200

  • @abdoulkarenzo3138
    @abdoulkarenzo31383 жыл бұрын

    Wenyeku mpenda sheikh wetu Mazinge like apa lakini mimi sijabahatika kukuona sheikh wangu Mazinge

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo24513 жыл бұрын

    Shekhe Othman Mazinge Allah(S.W) Akubariki na Aibariki safari yako uende salama na iwe yenye mafanikio IshaAllah, kwa kweli tunakupenda sana huku KENYA sisi waislam wenzako na tunakuombea urudi salama na vilevile Alla(S.W) Atujaalie tuwe pamoja na Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pepo Yake IshaAllah...

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw11 ай бұрын

    Mashallah Allah Akuzidishie heri Inshallah...❤❤❤

  • @user-sb2tz7sk6t
    @user-sb2tz7sk6t4 ай бұрын

    Twamuomba allah aongeze warith wa hii kazi shekhe mazingi kwasababu hakuna namna siku yako ikifika mungu atakuchukuwa hatujui nan atakuwa na moy wa dhati kama ww wa kutetea uislam

  • @salimaomar9896
    @salimaomar98962 жыл бұрын

    Yaa Allah muwekeye Nuuru m zazi wa shekh Nourdini Kishikh katika Kaburi l'âne ALLAHUMMA Amiin

  • @jojobrayan1551
    @jojobrayan15513 жыл бұрын

    We real love you sheikh ,ManshaAllah 👏👏🇨🇦🇨🇦

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    Жыл бұрын

    From 🍁 🇨🇦 na mimi nampenda sheikh Mazinge namfatilia sana@jojobrayan1551

  • @salmazaidalabrawi3723
    @salmazaidalabrawi37233 жыл бұрын

    Allah akupeleke salama shekh. Aammiiiin 🙌

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed8 ай бұрын

    Ya Allah, Tunaomba ALLAH Akujalie.Uweze kutuwakilisha vizuri . Amiina.

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul42753 жыл бұрын

    InshaALLAH mungu atakuwezesha uendapo na ushindi juu ya uislamu

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha38133 жыл бұрын

    Allah akbar mola wetu Mlezi akuwekee wepesi katika safari hio ln sha Allah kher amiin ya Rabii 🙏🏻

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Allah humma amin

  • @bandajr658
    @bandajr6583 жыл бұрын

    Mungu awalipe mashekh wetu

  • @hamishemed9396
    @hamishemed93963 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi katika safari yako na akufanyie wepesi katika kuutetea uislam maswali utakayoulizwa katika huo mkutano Allah akupe wepesi kuyajibu kwa usahihi kabisa urudi na ushindi uwasilimishe mpaka mapadri

  • @emanuelmsaky8074

    @emanuelmsaky8074

    3 жыл бұрын

    Dini haimpeleki mtu mbinguni amini kwamba siku za mwisho watakuja kuleta hesabu zote kwa Mungu soma biblia ufike mbinguni salama haijalishi upo kwenye dini gani asiye mwamini yesu amekosa uzima wa milele mapadri hawaweI silimu labda nyie tuwakaribishe muokoke.

  • @abdul-razzakmuhammed3058
    @abdul-razzakmuhammed30583 жыл бұрын

    Habib Othman Mazinge karibu Sana pemba, Ndoto yangu kwako nipate kukuona shehe wangu Na kuwa mwanafunz wako, nalia kila leo shehe, Namuomba MUNGU aniktanishe na wewe Inshaallah.

  • @amadykassim
    @amadykassim Жыл бұрын

    Nakukubali Mazinge ❤

  • @tanzanian8847
    @tanzanian88473 жыл бұрын

    Allah akulinde shk wetu, nakupenda kwa ajili ya Allah. Allah akujalie umri mrefu na akupe ilimu zaidi uwashinde wote maadui zako. Allah akulinde na akukinge na balaa. Allah akupe riziq uitakayo. Amiiin thumma amiin 🤲

  • @kaya.o1673

    @kaya.o1673

    3 жыл бұрын

    Man sha allahu

  • @chamieadam7138
    @chamieadam71383 жыл бұрын

    Siku atakayofumba jicho sheikh Mazinge kama bado nikiwa napumua sijui nitaliaje wallah nampenda mno kwa ajili ya Allah tu sichoki kumsikiliza

  • @bananatz4216
    @bananatz42163 жыл бұрын

    Maashaallah Allah awafanyie wepesi muende salama murudi salama in shaa Allah

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha38133 жыл бұрын

    Karibu sana burundi 🇧🇮 Allah awafikishe salama awarudhishe salama na ushindi uwe wa waislam karam ya tauhid izagae urimwengu mzima🙏🏻

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    3 жыл бұрын

    Ameen yaa Rabbil aalamiin

  • @khadijaiddi4887

    @khadijaiddi4887

    3 жыл бұрын

    Allahhumma Aamiin

  • @AishaAli-lk7gh

    @AishaAli-lk7gh

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin allah auwinue dua nzima insha allah

  • @zou7470

    @zou7470

    3 жыл бұрын

    Allahuma aminaa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49123 жыл бұрын

    Mashallah masheikh WETU Allah atawalipa fungu lenu siku ya Hesabu Inshaallah 👏

  • @selemanaman8340
    @selemanaman83403 жыл бұрын

    Allah akbar mwenyezimungu atujaarie mwisho mwema na atufishe hali nakuwa ni waislaam🕌🕌🕌

  • @Mwanaume676
    @Mwanaume6763 жыл бұрын

    Karibu sana Urundini ustadhi Ya ALLAH mrahisishiye safari, kazi yake ya daawah na umpeleke na umrudishe salama salimina mwalimu wetu Habib Mazinge.

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n3 жыл бұрын

    Maasha Allah ma sheikh wetu wote Mwenyezi Mgu awalinde na kila shari,awaongoze awape afya njema, umri mrefu awalipe kila lililo la kheir wao na ummati Mohammad (SAW)

  • @fatomhalogandy4045

    @fatomhalogandy4045

    3 жыл бұрын

    MashaAllah. Great job

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif73913 жыл бұрын

    Wanaoendelea kumpinga Yesu wajipange upya wanapoendelea kumpinga anasema anikataae mimi asie yaamini maneno yangu neno hilo ninalolinena ndilo litakalomuhukumu siku ya Mwisho

  • @soccertv293

    @soccertv293

    3 жыл бұрын

    Nani anampinga yesu hakuna mwislam anaempinga yesu ila wakristo hawamjui yesu nahawafuati ya yesu zaid ya paulo

  • @hasnaram4044
    @hasnaram40443 жыл бұрын

    Walah nimejisikia uchungu Sana shekhe aliposema nimebaki mm tu na nikifa mm hamna mtu, nimesikia uchungu mnoo shekhe tunakupenda kwa ajili ya allah

  • @salumkibalabala4582
    @salumkibalabala45823 жыл бұрын

    Maa shaa Allah Allah akufikishe Salama na urudi Salama na awarehemu Mashekhe zetu wote waliotangulia mbele ya haq

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @rumaukombo6415
    @rumaukombo64153 жыл бұрын

    Allah akupeleke Salam urudi Salam a .Allah atupe mafanikio mema ya dunia na akhera.

  • @wamalaibrah4464
    @wamalaibrah44642 жыл бұрын

    Mazinge wallah Mwenyezi Mungu akuongezeye umuli Mimi ni mu Tanzania nilizalia Uganda hilo onalolisema ni kweli ksse kanisa iligeuzwa muskiti kwanza ksse bwela ni wanyamwezi

  • @husseinmombo3834
    @husseinmombo38343 жыл бұрын

    Insshaallah sheikh Mazinge Allah akujaalie kheri katika safari yako na kwa kazi utakayoifanya iwe na mafanikio makubwa. AMIYN.

  • @twalibmakau8380
    @twalibmakau83803 жыл бұрын

    Kwenye uchaguzi huu tunamshukuru Allah ametudhihirishia wanafki, washirikina, wapenda Dunia Allah wajaalie mashekhe mwisho mwema

  • @hassancharo1496

    @hassancharo1496

    3 жыл бұрын

    Twalib una mana utshadh Mazinge nimunafiki ama

  • @salimaomar9896
    @salimaomar98962 жыл бұрын

    Allah Akuifadhi kwakila hatuwa ALLAHUMMA Amiin

  • @tabumpate9762
    @tabumpate97623 жыл бұрын

    Mashaalah.M/MUNGU nakuomba muweke shekhe mazinge kwakutuokolea dini yetu ya kiisilamu

  • @abouswaleh7375
    @abouswaleh73753 жыл бұрын

    ALLAH akufanyie wepes kipenzi cha MOYO WANGU... NAMUOMBA ALLAH akusahilishi JANNATU FIRDAUS

  • @jonasyohana3258

    @jonasyohana3258

    3 жыл бұрын

    Mashetwan wakubwa nyie unafik tyyuuuuuuu....na uchaw

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    3 жыл бұрын

    @@jonasyohana3258 shwetwani nihuyo uliyo mfunika suruali mungu akudhalilishe duniani na akhera firauni wewe

  • @jonasyohana3258

    @jonasyohana3258

    3 жыл бұрын

    @@aishaarusha894 firaun ni hicho ulichokifunika na sket.....mbwa kasoro mkia ww

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    3 жыл бұрын

    @@jonasyohana3258 mbwa baba ako firaauni heshimu dini za watu nyooooooo ukome kututukana habith kacheze segele kanisani kiama utacheza kwenye moto laana allah akudhalilishe kwa maradhi inshalllah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar54723 жыл бұрын

    Ishalla hery shehe wetu M/Mungu akusmamiye ktk safar zako akuhfadh km alivo mhifadh nabii IRAHMU Amina tunakupenda Kwa ajili ya Allah

  • @minabuelysee8

    @minabuelysee8

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @jamesndihokubwayo6560

    @jamesndihokubwayo6560

    3 жыл бұрын

    Karibu Burundi Bujumbura tutafurahi sana tupe, dawa1isram

  • @sakinat2527
    @sakinat25273 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi ktk safari yako na akuhifadh, akuepushe na kila baya . Akujaalie uende salama urudi salama, ukafaulu kwa yote yatakayo kuwa huko kwa uwezo wa Allah ameen yaa Rabb in shaa Allah

  • @halimaramadhan2975

    @halimaramadhan2975

    3 жыл бұрын

    Allahumma amiin

  • @ahmedalklbani8118

    @ahmedalklbani8118

    3 жыл бұрын

    Ishaalahh alahh akufanyie wepesi alahh akupe umri mrefu

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin yarabal alamin

  • @issakawaya8315

    @issakawaya8315

    3 жыл бұрын

    Kwani burundi akuna wa dhiri

  • @sofiabeja3171

    @sofiabeja3171

    3 жыл бұрын

    Alla akulipe inshaalla

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo24513 жыл бұрын

    Wallah UISLAMU NI RAHA, hasa mwisho wa video hii nimehisi tu raha, ...Namuomba ALLAH (S.W) Anifishe hali ya kuwa mimi nimuislamu kamili IshaAllah.

  • @mbwanakhamis9634

    @mbwanakhamis9634

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @juliusmakamba255

    @juliusmakamba255

    3 жыл бұрын

    Wahubiri wenzako wote walisha kufa,wahubiri wakikristo wote wapo,wewe kazi yako ni kuukashifu ukristo na yesu.

  • @rashidkalimbo2451

    @rashidkalimbo2451

    3 жыл бұрын

    @@juliusmakamba255 ... hakuna mwiislam anayemkashifu Yesu hata mmoja kaka, na anayemkashfu Yesu basi si mwiislam, Nahisi haujui maana ya Uislamu ni nini na ndomana ukasema hivyo...Ukristo tunaukashfu kwasababu ni uzushi wa watu, Mwenyezi Mungu hajaelekeza watu wawe wakristo na hakuna Mtume hata mmoja aliyekuwa mkiristo including Yesu, Shida yenu hamtaki kusoma Vitabu vya Mwenyezi Mungu mkaelewa, mnafuata tu kauli za wachungaji wanaowapotosha....

  • @juliusmakamba255

    @juliusmakamba255

    3 жыл бұрын

    @@rashidkalimbo2451 ni nadra sana kumsikia ustadhi mazinge akikemea dhambi,au akiwataka watu waache maovu,watubie dhambi zao,yeye anawaaminisha waumini wa dini yake ya kiislamu kuwa wakristo wote ni makafiri na siku ya kiyama ni motoni tu,na muislamu hata akiwa mwizi,jambazi,mzinifu,yeye ataenda peponi,anapotosha sana watu.

  • @rashidkalimbo2451

    @rashidkalimbo2451

    3 жыл бұрын

    @@juliusmakamba255 ...Mimi nakuelewa vizuri kaka na ndomaana nikatanguliza kusema hauelewi maana ya Uislamu, Uislamu hauelekezi mtu kufanya mambo mabaya mambo machafu hata kidogo kaka, Mtu yeyote atakayefanya dhambi ima ya kuiba, ugaidi, ushirikina, uzinifu n.k moja kwa moja huyo ataadhibiwa na Mwenyezi Mungu unless atubie Kwake, TOBA ya ukweli (TAUBATUL NASUHHA) kabla hajafariki,... Halafu nimeona unasema ati ni nadra Ostadh Mazinge kukemea dhambi, hapo nakupinga mojamoja, Pitia video zake zote KZread uone vyenye Shekhe Mazinga anavyong'ang'ana kuwalingania Waislamu na hata wasiokuwa waislamu warudi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wewe unaonekana ni mgumu wa kuelewa tu, m'bishi, coz hata hii video Mazinge amelingania watu warudi kwenye njia ya Allah, ama haujasikia hiyo kauli akisema watu wanachezea wakati kwa kuspend more time na mambo yao ya kibnafsi kama vile mpira wa kandanda hata wakati wa swala instead of wawe miskitini, Ama unataka mtu alinganiwe vipi wewe...Na vilevile nahisi haujui maana ya Kafiri pia, KAFIRI kwa ufupi ni mtu ambaye hamuabudu Mwenyezi Mungu Muumba wa kila kitu duniani, ndio maana Mwenyezi Mungu Akawatambua nyinyi (wakristo) kama Makafiri kwasababu hamumuabudu Mwenyezi Mungu, munaabudu Yesu, Mtume Wake mkidai yeye ndo Mungu...na ndio maana nikasema hamusomi Vitabu mukavielewa coz Yesu anasema yeye mwenyewe 'mimi ni mtu" (YOHANA 8:40) na hakutumwa kwa ulimwengu mzima ila kwa watu(Wana wa Israel)aliopewa na Mwenyezi Mungu na anawaombea hao tu(YOHANA 17:6-9).... Shida yenu hamtaki kusoma tu basi, ninyinyi nakupinga ukweli tu hata muambiwe nini hamutoamini kwasababu tayari Mwenyezi Mungu Anasema Amepiga Mihuri nyoyo zenu na vilevile zimejaa maradhi kwahiyo hata muambiwe nini hamutoamini, macho ameyaziba na finiko hayaoni na vilevile maskio yenu ameyaziba kwa hivyo hamsikii na mtapata adhabu kali... Shekhe Othman Mazinge Anang'ang'ana sana na Namuombea Allah(S.W) Azidi kumpa umri mrefu aendelee kuwatoa watu katika Giza, Nampenda sana Shekhe Mazinga infact video zake kwa laptop yangu zimechukua karibia asimia 60, Nawaombea sana sana mashekhe wote Allah(S.W) Awalinde...Na pia wewe nakuomba usikilize Mihadhara mbalimbali ya Mashekhe mbalimbali huenda Mwenyezi Mungu Akakujaalia kuuona ukweli uko wapi IshaAllah, na utakuja nikumbuka kwa hii COMMENT IshaAllah ima ubadilike au ubaki katika hali yako.... Nakuomba uwasikilize kwa undani hawa Mashekhe wafuatao: *TANZANIA-Shekhe Othman Mazinge, Dr Sule Ostadh Kinyogori, Shekhe Kishki, n.k *KENYA-Shekhe Mohammed Omar, Shekhe Maalim Othman, Shekhe Suleiman Mazinge, Shekhe Izudin Alwy Ahmed n.k *India-Shekhe Dr Zakr *U.S -Shekhe Ahmad Dhada Chukua Vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu Uangalia as you listen to them, uone kama wanakwambia ukweli au laa, jaribu kutofautisha between different scriptures ujue ukweli uko wapi kaka, hao wamesoma kweli Vitabu vya Mwenyezi Mungu na ninawaombea sana kwa juhudi zao na naomba dua zao za kutaka radhi kwa Allah pia zinifikie mimi IshaAllah kama mwiislamu mwenzao. Mimi jukumu langu nikufikisha tu, decision ni yako, siwezi kulazimisha coz Dini inakataza kulazimisha mtu, lakini naomba unisikilize kwa makini kauli yangu ya mwisho, kama wewe una dini nyingine mbali na Uislamu, nakuomba mara moja rudi katika UISLAMU kabla hujakufa, kwasababu Ndio DINI pekeyake Ambayo Mwenyezi Mungu Ataiangalia Siku ya Kiyama.

  • @korogwetanga810
    @korogwetanga8103 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh mazinge na akupe umri mrefu wallah nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72583 жыл бұрын

    Maashallah Allah akulinde na mazalim uwende salama na urudi salama lnshallah ❤️❤️

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi48873 жыл бұрын

    Maa shaa Allah Allah akutangulie katika safar yako sheikh mazinge

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @probeez2569
    @probeez25693 жыл бұрын

    inshaAllah ya ALLAH mpe maisha marefu mwalimu wetu Habib mazinge InshALLAH na mola wutu akuongoze popote uendapo na akulide na maasidi na ushinde kwaajili ya ALLAh AMIN AMIN inshALLAh

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72583 жыл бұрын

    Pia ushauli wangu kama una mtoto WA kiume au yeyote anaitaji kuubili uwafunfishe lnshallah

  • @mustafaathuman5897

    @mustafaathuman5897

    3 жыл бұрын

    Allah akulipe

  • @mohamedkombo8308
    @mohamedkombo83083 жыл бұрын

    Inshallah sheikh mazinge mungu akuoeleke salama ukaifanye kazi ya all,na ujira wake allah ndio ajua zaidi atakuzawadia nini,ya rabbi,

  • @saidcharleskarata02
    @saidcharleskarata023 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akujaalie inshaallah katika Safari shee wetu 🙏🏻

  • @halimamwakucha2637
    @halimamwakucha26373 жыл бұрын

    Allah akuhifadh n kila lenye shar uende xalama urud xalama.. Kwa mnafanya kaz ngumu Allah awajaalie pepo mashekh wetu

  • @ruqayyahfille3656
    @ruqayyahfille36563 жыл бұрын

    MashaAllah MashaAllah Allah amfanyiye wepesi sheikh wetu kwakila zito

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha38133 жыл бұрын

    Allah akudhidishie umli weny vitendo maqbul Allah akuhifadhi tudhidi kunufaika na elmu yako sh Othuman Mazinge

  • @paulgwau883

    @paulgwau883

    3 жыл бұрын

    We ostazi acha uongo

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @mivumamusafiri9191
    @mivumamusafiri919111 ай бұрын

    Mwenyezi MUNGU azidi kumulinda Ust mazinge yeye ndio chanzo ya imani yangu nilizaliwa kwenye ukristo na mm n Muslim kwa mda sasa mwaka kumi🙏🙏

  • @abzinho10karim25
    @abzinho10karim253 жыл бұрын

    اجعل الله رحلتك مثمرة وناجحة. بارك الله فيك وعائلتك يا أمين.

  • @kochantv8554
    @kochantv85543 жыл бұрын

    Assalam aleykhum warahmatullah wabarakatuh... Namuomba Allah akuongoze katika utowaji wako wa dawa, namuomba Allah akurahisishie kazi zako ziwe zahisi.. kwako sheikh mazinge...naomba ukitoka safari yako nipate updates na mm inshaallah Ameeen.

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru53683 жыл бұрын

    Mznge Allah Akulinde na Akuepushe na mabaya ya dunia na ya kaburn wallah Tena Mungu Akupe pepo ya juu kabsa inaniuma Sana pale ninapo fikiria ukfa Nani Atakae kava hii nafas yako Allah Atuandalie mtu kama ww

  • @anthonycharles3979
    @anthonycharles39792 жыл бұрын

    Mungu ni roho na wote wenye mwili wàñapaswa kumwamini katika roho na kweli nasi tumeumbwa kwa mfano wake na pia Yesu kristo ni mwana wake pekee

  • @ndayisengaamissi6102
    @ndayisengaamissi61028 ай бұрын

    Allah aendelee kukupa Umri mrefu Mwalimu Mazingi❤

  • @innocentnimubona5519
    @innocentnimubona55193 жыл бұрын

    Karibu kwetu Burundi ALLAH Akujaliyeni inshallah

  • @famozogofe8815
    @famozogofe88152 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha malefu

  • @AmourHaji-gh6pp
    @AmourHaji-gh6pp8 ай бұрын

    Maashaallah x10,Barkallah za ALLAH zitawale ktk ulimwengu huu tulionao❤M'mungu atuongoze ktk janna.Mungu akuweke Shehe mazinge ili tuzidi kuelewa dini yetu.

  • @infinitiesforlife7979
    @infinitiesforlife79793 жыл бұрын

    Amina allah awajaalie kila lilojema wenu katika iman abdallah juma nikiwa arusha

  • @yvonnenduwayo7303
    @yvonnenduwayo73033 жыл бұрын

    Karibu saaana kwetu Burundi allah awawekeye wepesi

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma63903 жыл бұрын

    Mashaa allah tabarakallah jazzakallahu kher

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus40403 жыл бұрын

    Allah sw awajalie pepo ya juu ya firdaus

  • @bellbell9294
    @bellbell92943 жыл бұрын

    Shukraan Sana sheikh wetu Allah akupe jannat firdaus Aamiin

  • @Fidia-ie3fi
    @Fidia-ie3fi2 ай бұрын

    Allah akufanyie wepesi mère wakiisjamu insha'allah❤

  • @khamismohd8616
    @khamismohd86163 жыл бұрын

    Allah atulinde na msheikh wetu ukiwemo na ww sheikh wetu sheikh Habib Mazinge

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын

    Allah Akupeumli murefu Nakupend kwaajil ya Allah

  • @mussakisoma4369

    @mussakisoma4369

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/hX6by6uDdtrOmbg.html

  • @jeanineaudreyassi7390

    @jeanineaudreyassi7390

    3 жыл бұрын

    #Prophètekacouphilippe Www.philippekacou.org 👆👆👆👆👆👆👆👆👆 18 Vema! Sasa ninataka kuzungumza juu ya sala, Ubatizo na kumaliza. Nimeona ndugu wakitoa pepo, wakipeleka kwa makanisa ya Katoliki, ya Kiprotestanti, ya Kiinjili na ya Wabranhaministi. Hii sio mbaya, lakini badala yake watume kwa kuzimu na maeneo ya ukame. Na hiyo ni kwa sababu ya watoto wa Mungu ambao bado wakifungwa katika makanisa hayo. Na unapoomba, usimwombe Mungu wa kihistoria bali Mungu aliye hai, Mungu wa nabii Kacou Philippe kwa sababu, Yeye ndiye Mungu wa walio hai na sio Mungu wa wafu. Ikiwa tutamwomba Mungu wa Eliya, wa Danieli, lazima tuthibitishe kuwa Yeye ndiye Mungu aliye hai wa wakati wetu, hiyo ni kusema Mungu wa nabii Kacou Philippe. Kila kitu lazima kiwe na alama ya Ujumbe wa wakati wetu: sala, nyimbo ... sio za Yesu wa Nazareti kwa sababu Yesu wa Nazareti anayejibu leo ni pepo. Alikuwa Yesu wa Nazareti katika mwili wa kibinadamu miaka 2000 iliyopita. Hii ndio sanamu na sanamu ambazo hazihami! Na miungu ya makanisa haya iko katika Nazareti na wote huitwa Yesu Kristo wa Nazareti. Unaona? Lakini, yeye ndiye Mungu aliye hai leo, Mungu wa wakati wetu, Mungu wa nabii Kacou Philippe.

  • @vuaiabdallah3720
    @vuaiabdallah37203 жыл бұрын

    Ustadh mazinge upo sw Allah akujaalie uendako

  • @abduljuma6219

    @abduljuma6219

    3 жыл бұрын

    P

  • @saidhamad533
    @saidhamad5333 жыл бұрын

    Inshallah Allah akupeleke salama akurufishe salama

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын

    Àamiin Ya Rabby Àamiin, Allah Awape Umri Ma Sheikh, Mzidi Kuelimisha.

  • @adamsaidi6461

    @adamsaidi6461

    3 жыл бұрын

    Amiin sheikh

  • @mwanahalimamwachili9679

    @mwanahalimamwachili9679

    3 жыл бұрын

    @@adamsaidi6461 Àamiin.

  • @rwagasoredieudonne6387

    @rwagasoredieudonne6387

    3 жыл бұрын

    Eti Issa alikuwa maskini eti ukifa hakuna atakae tetea dini ndugu huo ni upuuzi .Mungu akusamehe

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi10973 жыл бұрын

    Allah akufanye wepes kwa dini ya kislm naurud salam...Ameen on sha Allah

  • @fatumahamis166
    @fatumahamis1663 жыл бұрын

    ,kwaza nimuombe mwenyezimungu msamaha pamoja na waislam wezang wote nilitoa kauli mby ile siku shehe wakimponda shehe ponda juu ya uchaguzi ila nimejua nilikosea maana hakuna kazi Bora kama yakumtumikia alla muumba ardhi na mbigu kwapamoja waislam wote tumuombe mungu amjalie shehe wetu afike slm arudi Salam kwaajili ya alla

  • @mohammedrajabu7449

    @mohammedrajabu7449

    3 жыл бұрын

    Amiin Amiin Amiin Yaa Rabbal-aalamiin

  • @hamisimabokellah3545

    @hamisimabokellah3545

    3 жыл бұрын

    Mm binafsi ninekusamehe inshaallah

  • @paschalmgika7074

    @paschalmgika7074

    3 жыл бұрын

    Yesu anakuita ---mt 11:28

  • @haulemgaya8065

    @haulemgaya8065

    3 жыл бұрын

    @@paschalmgika7074 z

  • @haulemgaya8065

    @haulemgaya8065

    3 жыл бұрын

    Zuchu

  • @ZulfahIbrah
    @ZulfahIbrah8 ай бұрын

    Mashallah am learning more about my religion Islam Alhamdulillah. Jazakallah Khair

  • @ashiraally527
    @ashiraally5273 жыл бұрын

    Inshallah shehhe utaenda salama na utajibu kwa usahihi na utarudi salama inshallah

  • @Atb300
    @Atb3003 жыл бұрын

    Mashallah sheikh wetu tunakupenda Kwa ajili ya Allah🙏

  • @jonasyohana3258

    @jonasyohana3258

    3 жыл бұрын

    Achem unafik....kaz yenu uchawi na uganga

  • @subiramohd1895

    @subiramohd1895

    3 жыл бұрын

    @@jonasyohana3258 hahahaaa uchawi wanafanya wachungaji sema kwelii

  • @alidullah207
    @alidullah2073 жыл бұрын

    Amen.. Allah awafanyie wepesi.. 🙏🙏

  • @HauratySaid-cf1ct
    @HauratySaid-cf1ct9 ай бұрын

    Allah akulinde na atujaalie mwisho mwema atupunguzie adhabu

  • @ramadbanihamis1055
    @ramadbanihamis10553 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akutangulie sheikh wetu mungu awe pamoja nawe akujaalie uende salama akujaalie pia urudy salama sheikheh salama na amani iwe nawe

  • @husseinomary7977
    @husseinomary79773 жыл бұрын

    othman mazinge steringi wa makafirii mungu akueke ishaaallaahh

  • @egbertsambujune4680

    @egbertsambujune4680

    3 жыл бұрын

    Mungu akupe afya njema

  • @kanyangezafaraniddi6518
    @kanyangezafaraniddi65183 жыл бұрын

    Karibu kwetu 🇧🇮ALLAH akuhifadhi from🇨🇦

  • @Masta_jay007

    @Masta_jay007

    3 жыл бұрын

    Naam Allah amfikishe nyumbani 🇧🇮 Salama inshallah

  • @falumefilme8143

    @falumefilme8143

    3 жыл бұрын

    @@Masta_jay007 naam shukuru shukuru allah

  • @skkonthetop8876
    @skkonthetop88763 жыл бұрын

    Mashaa Allah Tabarak Nawaombea Mashekhe Wetu Safari njema na Salama. Na mafanikio Mema. Ameen ya Rabi Al Alamin. Ndugu yenu Mohammed Ali Al Rawahi. Al Hail Muscat Omani.

  • @meandme3437
    @meandme3437 Жыл бұрын

    Yarabi akuzidishie umri na afya njema. I love u soo much sheikh wetu. Allah akuhifadhi hifadhi ya mitume.

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi12413 жыл бұрын

    Masha Allah sheikh wngu nakuombea kheir na nguvu teleeeee

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna14053 жыл бұрын

    TUNAKUKARIBISHA BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️ALLAH AKUWEKEYE WEPESI UENDE KWAUSALAMA UFIKE KWAUSALAMA TUOMBEYE DUA IWE INCHI YA AMANI

  • @accramasuu_tv
    @accramasuu_tv3 жыл бұрын

    Maashallah safari ya kheri ya Ustaadh...

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani43763 жыл бұрын

    Hongera sana kwa uteuzi huo,kaka mkubwa.Allah Akufanyie wepesi huko uendako ili uweze kutuwakilisha vema,Amiin! Ni imani yangu kuwa utaenda kutuwakilisha kwa uzuri kabsa kwa uwezo wa Allah,Sheikh. Allha Awe pamoja nawe na sie pia,Amiin!!

  • @abdullahiibrahim889
    @abdullahiibrahim8893 жыл бұрын

    Allah akueleke salama na akurudishe salama na akupe ushindi insha Allah

  • @samilamauji3728
    @samilamauji37283 жыл бұрын

    Allah akupe umri mref uendelee kutukumbusha inshaallah

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri423410 ай бұрын

    Wallahi Mazinge anaejuwa kudeal na wanaoipinga dini yetu

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha38133 жыл бұрын

    Amiin amiin amiin ya Rabii jalia duwa maqbul 🙏🏻

  • @fatumasuleymanashurambinda6880
    @fatumasuleymanashurambinda68803 жыл бұрын

    الله وحده لا شريك له له الملك وله الحمد وهو على كل شيء قدير اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين وسلم تسليما كثيرا إلى يوم الدين

  • @saudamachocho4815
    @saudamachocho48153 жыл бұрын

    Mbona hatuna Suleiman Mazinge wa Kenya mwenye tabia nzuri kama Suleiman Mazinge wa TZ. Nakupenda sana MY DEAR. Allah akuhifadhi akupe safari njema.

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie35733 жыл бұрын

    Wasilamu wanahabudu Shetani bila kujuwa , kama hawutoki ndani ya dini utaenda motoni sikiliza roho wa mungu anae ambia kanisa

  • @erickkirimimutwiri5469
    @erickkirimimutwiri54693 жыл бұрын

    Sii vyema jinsi alivyoharibu Nairobi ,kenya ni nchi nzuri allah akusamehe shekeih

  • @yahyakiomy1735

    @yahyakiomy1735

    3 жыл бұрын

    Shekhe kalibu nn Nairobi?

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    3 жыл бұрын

    Kaharibu nini huko Nairobi? Angalia usimsingizie utapata dhambi!

  • @husnaodhiambo6848
    @husnaodhiambo68483 жыл бұрын

    Mashallah Allah akufanyie wepesi safari yako Inshallah uende salama urudi salama Inshallah

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme53813 жыл бұрын

    Mungu akusaidie mwalimu wangu

  • @aminahassanali1190
    @aminahassanali11903 жыл бұрын

    Mashaaallh allh akufikishe salama

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60803 жыл бұрын

    Allah akupe wepesi wakujibu maswali na atupe ushindi inshaallah awahidhi maadui zako 🤲🤲🤲yarabby takabal dua

  • @suleimansaleh5123
    @suleimansaleh51233 жыл бұрын

    Nakuombea kila la kheri akhii Mazinge ,Allah akulinde na balaa zote za dunia na afanye kazi yako ya da'awa iwe nyepesi uende na urudi salama aammin nakutakia kila la kheri from Mombasa

  • @mealiimwamoyo165
    @mealiimwamoyo1653 жыл бұрын

    Inshaallah mungu akupe wepesi kila palipo na ugumu akuwezeshe upate ushindi katika jihadi

  • @abdirahmanomarofficial3977
    @abdirahmanomarofficial39772 жыл бұрын

    Asalam Aleikum....Shk kishki na ustadh mazinge....hayaaaka Allah...tunakuombea wew na mandugu Wetu wengine...walio tayari kuokoa dini na kitabu an mtume wa Allah...napenda Mungu awape thawabu nzito kwenye hii dunia na kesho akhira...Ameen....

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa20203 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi ktk safari yako

  • @hafsaali7976
    @hafsaali79763 жыл бұрын

    ""Allah akupe safarinjema inshaallah...na wote walio changia safari Allah awape zaidi walipo punguza.

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr10 ай бұрын

    Karibu kwetu sheikh Allah akufikishe Salama inshaAllah

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82933 жыл бұрын

    Mungu atakupa umri na barak yarab ameen yarab ameen twakupenda sana shekh mazinge 🥰🥰🥰🥰🥰🇴🇲🌹