SAMEHE UPATE KUSAMEHEWA. KHUTBA YA IJUMAA MASJID MUSSA MOMBASA, SHEIKH KISHKI.
Khutba ya ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishkii , Masjid Mussa Mombsa Nchini Kenya Tarehe 09/06/2023, Mada Ikielezea faida za wale wanaokosewa kisha wakasamehe, je ni faida gani? InshaAllah fatilia hadi mwisho upate kuelimika, tunaomba usambaze ujumbe huu na Allah atawalipeni
Пікірлер: 65
ALLAH akbaru ALLAH akbaru ALLAH akbaru YAA ALLAH NAOMBA tuondolee madhila tuliyonayo baina ya waislam na waislam YAA ALLAH upendo umetoweka, AMAN,kheri,barka, YAA ALLAH kila jambo nikwa rehma zako yaa rabiy zilainishe nyoyo zetu Yaa Kareem 🤲💔🙏
@user-tq2fu8zm4l
Жыл бұрын
Amin amin thumah amin
MAA SHAA ALLAH 💖 ALLAH AKUZIDISHIE NA UWENDELE KURUFUNZA IN SHAA ALLAH 🤲
SUBHANAALLAH Watu hatupendani Roho za usokolokwinyo😢Roho za korosho Zimetujaa SUBHANAALLAH ALLAH atuongoze🤲🤲🤲
@qalbi8198
Жыл бұрын
Aamiin yaa Allah
Allah tujalie tuweze kupendana kwa Ajili yako🤲🤲🤲
Mashallah tabarakalah!Kheri fii duniya wal Akhera Kaka,Allah atuongoze tuwe wenye tutendeana wema siku zote InshaAllah.
Wallahi natamani AllAH anipe mtoto misri ya shekhe kishk
Tungekuwa tunapendana kama mnavyomshangiliya shekhe wetu tungekuwa mbali sana waislam lkn chuki,hasad,uongo,n.k zimeturudisha nyuma
Ubarikiwe Sheikh wetu mpendwa
Allah akuhifadhi shekh wetu naomba mwanangu aje kusoma quran kwenye madrasa yako naomba nitumie namba yako ili tuweze kuwasiliana inshaallah
Barak Allahu feekum
Mashaaallah ❤️❤️❤️
Mashaallah Mashaallah tabaraqllah ❤❤❤
MashAllah TabarakAllah
Ma sha allah Allah akubariki na akuhifadhi Sheikh wetu
Ma sha Allah Tabarakallah majengo mtaani kwangu natamani ningekuwa 🇰🇪 nami nikatabaruku mkono wa sheikh
Mashaallah
Maa shaa Allah,shukran shekh kwa ukumbusho
Ma Sha Allah Tabaarakallah Ubarikiwe Sheikh wng
@abubakaribashiru9454
Жыл бұрын
Beby
Allah humma mamiin 🤲sheikh mashallah jazzaka Allah khery 🤲❤️
Mashallah
Ya Allah Baraka Allah ya-ustathi. Mashaallah mungu akuzidishie umri mrefu ishaallah. Uzidi kutuelimisha.nitazingatia hayo uliyo twambia kiukweli watu huwa ni wagumu kusameheana❤❤❤❤this hutba asante 😊😊
Nakupenda kwajili ya Allah sheikh Nurdin kishki
Subhanallah 😢Ya Allah tustiri waja wako Madhaifu🥺!!!!
Mashallah allah akbar
Mashaallah Mashaallah shekhe wetu kishik mwenyezi mungu akulinde
Jazakallah khayran
❤
Allahuakbr
Mashallah Mashallah..
Shukraan sana sheikhe wetu
Sheikh Allah akupe umri mrefu ili uzidi kutufaidisha na kutuelmisha
Mashaallah, inapendeza Sana! Amani, Upendo
Mashallah Mawaidha mazuri Sheikh
wambie shekhe wetu waislam tuache kuiga tushike dini yetu tuache kuiga maisha ya kizungu tustili mili zetu
Mashallah mawaidha mazru
Mashallah nime jifunza mawili matatu waislam tuwe wepesi wa hasira na tusaidiane, inshallah pia nasi Allah ata tusamehe ahera.
Mwenyezi mungu akuhifaIdhi yarab aramina
MashaAllAh tabarakallAh
Inshaallah
❤allah akuweke sheikh.wetu
Allah akujalie sheikh amiin
Allah atusaende inshaallah watu hatupendani kabisa 😢😢
🙏🤲
Allahu akba hakika Uma huuu umejaa chuki dhulma na manyanyaso wape Habari shekhe usiwaogope
Sheikh njoo nakuru siku Moja inshaalah
Wallahi sheikh wanigusa moyo na mawaidha yako...
Mimbali baridi
mashallah mashallah waislam na watoto wa kislam ndo wanaogoza kufanya mambo ya ajabu duniani wengi wao hawataki kufata dini ya kislam wao wenyewe wanapenda mambo ya ibrisi na shetani miziki nawao na pombe nasaha zote wao wamo nakuva nguo nusu uchi wanajiona wamendelea hata wakiolewa awathamini ndoa zao nawala awaishi na waume zao sababu ya kuendekeza Zina sasa hivi kila mwanamke ana mtoto ukiuliza babaake sijui Zina ju ya Zina kila mtoto ana babaake mwanamke usha tembea na wanaume kibao utajua thamani ya mme ndo maana allah kakataza Zina na pombe anamaana kubwa
Rogoshehe
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Je khutba au muhadhara anaokuja atakuwa sehemu gani ?
Mimbali ya sheikh wetu Abood rogo Allah Amrehem.
@ashrafbunu2371
Жыл бұрын
Ameen
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Ameen
@aljalilatiba9873
Жыл бұрын
Amin mungu Amrehemu
Ona umaa wote wanataka kupiga picha nawe mashaallah
Kweli kabisa uwaduwi uhasama umetawala
Kweli kabisa maneno yako watu tumekuwa kama wanyama
Nna shida na shekh kishik natamani nikuone nikueleze shida zangu wallAhi kwa jinsi ulivo na huluma nna imani tatizo langu lingeisha
Shekhe kishik mtu wa pepo
Mashaaallah ❤️❤️❤️
Inshaallah