IJUE DHAMBI NZITO KABISA KULIKO HATA RIBA.SHEIKH KISHK
Ziara ya Sheikh Nurdeen Kishk Zanzibar Tarehe 4/6/2021 ziara hii iliambatana na khutba ya Ijumaa na Mihadhara mbalimbali ilitolewa misikiti tofauti tofauti, Endelea kufatilia video zetu ili uweze kufaidika na kuelimika.
Пікірлер: 224
Wallahi nampenda shekhe kishk na shekhe mazinge kwa ajili ya allah
Wewe ni mwalimu wetu Allah azidi kukupa ilm ya kutufunza tunakupenda sheikh wetu💖 jazakallahu qairan
Allahu akbar!! Allahu akupe kila la kheyri,nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah tusamee madhambi zetu na utuvutie madhambi zetu Allah
Allah akbar mpe maisha marefu shekhe wetu nurdin kishk wallah nampenda kishik mazinge na shekhe hashimu lusaganya
Shekhe kishik hakika wana wa morogoro twakupenda sena shekhe wetu
Allah akupe afya uzidi kutuhabarisha katika dini yetu nakupenda kwa ajili ya allah subhana wataala
Ya Allah tuongoe waja wako dhaifu tusamehe kila tulilokosa yaraab naatujaalie tufanyie yanayokupendeza Mola wetu mlezi Aamiin shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi jazakallah kher
@halimahussein3635
3 жыл бұрын
Aamiin
@khamidajuma3216
2 жыл бұрын
Ameen
Alhamdulillah manshaAllah mawaidha matam mazito yanasisimua namuomba Allah atustr atusamehe dhambi zetu atupe mwisho mwema atukutanishe nakipenzi chetu MTUME (S A W) peponi, shekh wetu namuomba Allah akuhifadh barakallahu fikum
Namuomba Allah akupe her nyingi inshallah akujalie mwisho mwema nami pia inshallah hakika unazijaza tawhid nafsi zetu alhamdulillah zajakallah kher
Allah akijaze kula la kher akupe umri mrefu uzidi kutufunza dini ya yetu ya kiislamu Allah akupe mwisho mwem
Subhan Allah yarab tuongoze njia iliyonyooka Insha allah
Allah tufanyie wepesi katika kuyaacha yale ambayo ametukataza Mungu.
Allah akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha ktk kumjua Allah subhana huwataalah
Ya Allah tusamehe sisi niwakosefu ya Allah 🙏 😢😢tunafanya makosa usiku na mchana ya Allah, tusamehe ya rabii😢
Subhana Allahu Subhana Allahu Allah atusamehe na huu ulimi
Subhanallah Allah atulinde na atuongoze na njia ilionyooka tuzid kumcha Allah kwa wingi ili tuepukane na dhambi za kujitakia ya tabby tunaomba utulinde
@hawaosman4316
3 жыл бұрын
Ameen yaa Rabbil alamiin
😭subhanallah yarrab tusameh yarrab tunakuomba usituondeshe dunia hii ila upo radhi nasisi yarrab 🤲
Subhanallah!!!! Allah atuepushe na hilo inshaallah!!
Mashaallah shekh Wang nakupendaa kwa ajil ya Allah na mitume wakee
Nashukuru kwa mawaidha mazur muungu tujaalie mwisho mwemaa inshallah
Ewe Allah tujaalie kheri zako katika nyoyo zetu tuwe wenye kusikia na kuyafanyia kazi mawaidha na umpe afya njema shekh wetu kipenzi tuzid nufaika Aamiin
@user-ws9ek8dj5n
3 жыл бұрын
Allahummah Amiin ya Rabbil Allamin habibty #halimahussein
@rayasaid1937
3 жыл бұрын
Aamin ya Rabby
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Amiin allahumma amiin
@fatumamuiya6089
3 жыл бұрын
Amiiin yarabb
@yahyaliyaya6510
3 жыл бұрын
Alah akujaalie afya njema pia ututembelee Newala Mjini
Allah akupe umri mref ili tuzidi kuelimik zaid na zaid.Amiin
Màashaallah shekhe wetu nimejifunza na nitabadilika inshaallah
Mwaipopo kasikia haya mawidha kishki nakuamini sheikhe wangu Allah azidi kukuongeza
Subhanallah Allah atusameh waja wake,maana hatuna ukamilifu Ila kwake yy Allah.
Masha Allah mawaidha mazuri. Yarab tunakuomba waja wako ktk njia iliyo nyooka na tumcha Allah jallah fi ghulaa
Sheikh hakika tunastafid na hakika tunajifunza jazakkallah kheyr
Subhana Allah, Allah atuongeze Yarabi
Subhanallah Allah atuongoze na kutulinda katika hili amiin thuma amiiin
Yaa Allah tusamehe waja wako...tupe Imani ya kweli
@hawahhamis832
2 жыл бұрын
Amin
Alihamdullillah mwenyezimungu anamuongoza yule amtakae
😢😢😢😢😢😢Allah Akbar Allah atupe mwish mwema aameen
Shukran kwa ukumbusho mzuri Kabisa
allah akupe umri uendelee kutupa dawa, wallah nakupenda sana shekh wangu
Subuhana Allah Allah atuongoze insha Allah na atusamehe 😢😢😢😢🤲🤲🙏🙏
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/g2Rn15WIptCuqMo.html
Lahaula wala Quwwata illah billah,subhanallah, Allah atuswameh na atuongoze. Jazakumullah kheir
Shukrani shekhe kwa kutukumbusha alla akulipe
Ndugu zangu Mimi ni mkiristo lakini kwa huyu mhubir nampenda Sana kwa kweli mwenyezi MUNGU akupe Maisha malefu nieendlee kupata mahubir yako
Subhaanaallah Allahu Akbar Yaaa Allah tuseme nautunusuru nahayoo
Ameen Ameen Ameen Yarabi sote InshAllah Shukran Sana
Sublanallah allah atuhifadhi atuwongoze ya rabbi jazaakallahu khayra
Subbuhannallah toba ya rabbilallahmin atuongoze kwamana nishida tupu, hadi kusisimka
@user-ws9ek8dj5n
3 жыл бұрын
Amiin ya Rabbil Allamin habibty #furahamossi
Sifa zote zimuendee Muumba mbingu ardhi na vote vilivomo ndani yake na Rehma na Amani za Mwenyezi Mungu zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam Mwenyezi Mungu atustiri atusameh na atuongoze tuwe wenye kutenda yanayo mfurahisha yeye ili tuepukane na adhabu zake Allah akuhudha sheikh wetu #nurdeenkishki shukraan jazzakah Allahu kheir barakallahu feekum #kishkitvonline na crew nzima
@zaitunikhamisi8940
3 жыл бұрын
Allahuma amiin
@user-ws9ek8dj5n
3 жыл бұрын
@@zaitunikhamisi8940 amiin ya Rabbil Allamin habibty vipi za leo??
@halimahussein3635
3 жыл бұрын
Aamiin thumma Aamiin
@rayasaid1937
3 жыл бұрын
Allaahumma Aamin
@user-ws9ek8dj5n
3 жыл бұрын
@@halimahussein3635 amiin thummah Amiin habibty
Asante shehe meng tumejifunza Kutoka Kwako
Aslm alkm ww... Shukran sana Sheikh wetu kipenzi. Jazakallah kheir 🙏
Subhanallah mada nzitoo
@biubwamohd1776
3 жыл бұрын
Sitakulariba insha allah miminakizazichangu.
Ya- Allah tuongoze katika njia Bora iliyo nyooka.
@aliyussuf9126
2 жыл бұрын
Amin
Mwenyezi mungu tusamehe ya Allah
Inshallah mwenyezi mungu atupe mwisho mwema
SubhanaAllah😢😢La'ahaulah Wa'alakuwathah Il'labillah😥
namwenyez mung Allah subhana wataallah atusameh madhamb yetu
Kwel shekh wangu allah atufanyie wepesi
@user-ws9ek8dj5n
3 жыл бұрын
Amiin ya Rabbil Allamin habibty
@ziadalipalu3114
3 жыл бұрын
Aaaaamiin thumaamin,Allah! Atujaalie hidaiya aamin
mungu akuzidishie barak nakher sheikh
Subhanallah Allah atuongoz msiba huu 😢😢😢
Asante asna kwa mawaidha mazuri..
Subuhana allah yaallah tuepushe nahaya
SubhaanAllah hakika mwenyezimungu anatisha
Subhanallah Allah atuongoze kufanya mambo ya kher
@user-ws9ek8dj5n
3 жыл бұрын
Allahummah Amiin ya Rabbil Allamin habibty #zeitunikhamis
@halimahussein3635
3 жыл бұрын
Aamiin ya Rabby
@rayasaid1937
3 жыл бұрын
Aamin ya Rabbillaalamiina
@dottohamisi9844
3 жыл бұрын
Amina inshallah 🙏
@saay4273
3 жыл бұрын
Amini thuma amini
SubahannaAllah Allah tupe mwisho mwema
Masha Allah sheikh nurdin kishki jazakallah
@yasinihussein9347
2 жыл бұрын
Alhamdu lilah napenda kushukuru kwa kutukumbusha
Allah atujalie mwisho mwema
Allah,atupe mwisho mwema
Subuhanaallah tusaheme wajawako Ee mola wetu
SubhanaAllah Ya Rahman tusameh
akhy hiyo fitna ya kuvunjiana heshima na kuchafuana siku iziiii imekuwa ndiooo maisha yetuuu wajaa tunasnichiana bilaaa chengaaa shekhe
Subhana Allahu Mungu tusamehe
Subhanallah AllahuAkbar
Subuhanallah Allah sw a2pe mwish mwem kw rehma zak
Yaa Allah tujaalie nyoyo zenye khofu yako utupe na masikio yakusikia maamrisho yako na makatazo yako utupe mwisho mwema sie viumbe v yako hatuna ukamilifu Allah ukamilifu ni wako ewe Allah ulie wahaki tusamehe waja wako tuongoze kwenye mema hakika adhabu zako nikali hatuziwezi Sisi tusamehe yarrab
@mwanaidihaji-up1rt
Жыл бұрын
Aminnnaaaa
Allah atuongoze
UKO SAHIHI SHEKHE TUKEMEANE NA KUREKEBISHANA KWA KUSITIRIANA. HAKUNA MKAMILIFU
Allah akupe maixha marefu xhekh
Subhana Allah
Allah atuswamehe waumini wote
@mwashamemshomanga2431
3 жыл бұрын
Ameen aameen 🤲
Allahumma Ameen
Twakupenda kwa ajili ya Allah kipenzi chetu nurdin kishki Allah akulipe qair yaumul qiyama na atukutanishe katika pepo moja kwa uwezo wake ameen yaa Allah
@sulhiyamusa9250
3 жыл бұрын
Amin
Subhanallah mungu atuepushe
Mwenyez mungu n mkubwa
Sheikh kishk na masheikh wengi wanatarifa za utapeli unaofanywa na Dr Sule lakini hakuna hatua zote mlizochukua Mwaipopo kajitoa Sadaka nafsi yake kusema ukweli ajiandae kupigwa vita ila Allah atamlinda na kumuhifadhi inshaaAllah.
@hassanisadiki824
3 жыл бұрын
Hii habar ya mwaipopo kumuambia Ukweli Sule Ipo chanel gn
@mariamnshimirimana7082
3 жыл бұрын
@@hassanisadiki824 kwenye tv za mawaidha kama zote
@hassanisadiki824
3 жыл бұрын
@@mariamnshimirimana7082 😂Ingekuwa vzr ukanitumia link walah
@mariamnshimirimana7082
3 жыл бұрын
@@hassanisadiki824 kwa kutuma hapa hata sifahamu . Sema vipi Andika * shekh mwaipopo tv * utaona
@hassanisadiki824
3 жыл бұрын
@@mariamnshimirimana7082 ohhh Sawa Shukrn
My sheik wankujeclahy ilaxey dartis
Allhu akbar allha atusamhe
Sheeran allahubarik.
Allah akuhifadhi
Allah akupe maisha malefu❤❤❤❤❤❤😂😂
Mashaallah like you ❤
Mansha allah tabarraqa llah
Masha Allah 🤝
SubhnAllah, Allah atuepusha na yt hayo ya uzushi na tupendane
@fattmaaall9132
2 жыл бұрын
(SubhnaAllah SubhnaAllah Allah atufanyie wepes
Subuhanallah
Asalam alaikum shekhe nakupenda kwaajili ya allah
JazzakAllah kheir
Amina yaaraab
Allah atunusuru waja wake na dhambi ya riba maana saudia Arabia ndio mradi wa serikali siku hizi chochote utakachonunua kina riba 15% imesababisha kuongeza gharama za maisha kua juu from 2017 to 2021 maisha yamebadilika sana wazawa wenyewe wanalia njaa adi ikifika 2030 wasaudi watakua na hali tete ya kimaisha riba honest sio mzuri.....!!?
Amiiin Allah Akbar Rahim Amiiin.
Kweli shehe amiina
Allahuma ameen
Sasa mi na huu umbea wangu mnajua waschn kusemana nitawafata wangapiii eh mola wangu😭😭😭😭😭😭
Subhanah allah
Mashaallah