SIFA ZA WACHAMUNGU JEE NA WEWE UMO ? // SHEIKH OTHMAN MAALIM
USISAHAU KU SUBSCRIBE
Жүктеу.....
Пікірлер: 37
@ibrahimmzungu38492 ай бұрын
Ewe mwenyezi mungu mkuu mjaalie sheikh wetu maisha mazuri duniani na akhera na utujaalie mwisho mwema waja wa mtume Mohamed s.w.s inshaallah
@ashaabdul9932
Ай бұрын
❤❤❤
@HileHile-ns9xv2 ай бұрын
Nmefarijika sana na mawaidha yko sheikh Allah akupe mri mrefu uzid kutufahamisha insha allah
@zuhoor-mc7hq2 ай бұрын
Jazakumllahu khayra shekh wetu OTHMAN naswaha nzuri Masha Allah tabarakallah mola atujaalie tuwe wachaji allah kiunyenyekev ili tupate kurehemew na Allah na tumuombe Allah atujaalie tukutn na rasullu swallahu alayhi wasaalama peponi Ameen 🤲🤲😢😢 Yaa rabbi tujaalie Pepo Yako kwa rehma zako 😢😢 amiin tulinde na ghazabu ya jahanaam 🤲
@user-xw7kc1uf4o2 ай бұрын
Jazaaka lwahu khair ya muallim,allah akujaze kheri hapa duniani na kesho akhera,na akupe pepo ya firdaus.aamiin thumma amiin❤.
@user-zt6re1dr5f
2 ай бұрын
Yaaaarabiiii Allah atupe nafasi Ummat Mohammad sote tuipate Pepo hiyo biidhinlah na atusamehe dhambi zetu na atukutanushe na kipenz chetu mtume Mohammad s.a.w, Kwan Allah ni msikivu na husamehe,❤❤
@KalingaJohn-kw3ez2 ай бұрын
Inshallah sheikh mwenyez mungu akujaliye mwisho mwema uzid kutujuz 🙏🙏
Wallah maalim othuman allah akujaze kher mpk cku ya kiyama yaan nikickliza mawaidha yako huwa napata ucngiz mzuuur wallah allah ndo anajua
@neemakibibi9968
2 ай бұрын
Mashalla 🤲 mm piya hata kama Niko na hasiraa nikisikiza mawaidha yake nafarijika waallah
@AsmaKassim-sr2yzАй бұрын
Allah akuongeze umri utuelimishe ishallah shukran
@najmadanie60432 ай бұрын
Mashaallah🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@user-lu1ez2pj3v2 ай бұрын
Allahu jamillu yuhibbu jamalla, swadakata sheikh wetu ' haiyaka allah
@jimjam-xg7rv2 ай бұрын
Maa shaa ALLAH 🇰🇪💚💚💚
@assfzainab9122 ай бұрын
Masha ALLAH
@AndulHida-hs5py2 ай бұрын
Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
@hamidaviolet87102 ай бұрын
ماشاء الله تبارك الله
@user-to3ys2gv1s2 күн бұрын
Sheikh Othman Maalim Allah akupe umri uzidi kuelimisha watu
@azizayassin36232 ай бұрын
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
@zuhoor-mc7hq
2 ай бұрын
Walykum Salam warahmatullah wabarakatuh
@JamalBizy13 күн бұрын
Shekh othuman maalim mwenyezi mungu akujaalie afya njema uwe wa kutujuza kama hivi Inshallah nataman Sana siku moja nikuona uso kwa uso napenda Sana kusikiliza mawaiza yako shekh wangu mwenyezi mungu akujaalie Sana shekh unanipa wakati mzuri Sana ninapo kusikiliza shekh mwenyezi mungu atujaalie tuwe na mwisho mwema waislam wote Inshallah tuwe wenye kuiona pepo ya mwenyezi mungu subhannal huu wataala
Пікірлер: 37
Ewe mwenyezi mungu mkuu mjaalie sheikh wetu maisha mazuri duniani na akhera na utujaalie mwisho mwema waja wa mtume Mohamed s.w.s inshaallah
@ashaabdul9932
Ай бұрын
❤❤❤
Nmefarijika sana na mawaidha yko sheikh Allah akupe mri mrefu uzid kutufahamisha insha allah
Jazakumllahu khayra shekh wetu OTHMAN naswaha nzuri Masha Allah tabarakallah mola atujaalie tuwe wachaji allah kiunyenyekev ili tupate kurehemew na Allah na tumuombe Allah atujaalie tukutn na rasullu swallahu alayhi wasaalama peponi Ameen 🤲🤲😢😢 Yaa rabbi tujaalie Pepo Yako kwa rehma zako 😢😢 amiin tulinde na ghazabu ya jahanaam 🤲
Jazaaka lwahu khair ya muallim,allah akujaze kheri hapa duniani na kesho akhera,na akupe pepo ya firdaus.aamiin thumma amiin❤.
@user-zt6re1dr5f
2 ай бұрын
Yaaaarabiiii Allah atupe nafasi Ummat Mohammad sote tuipate Pepo hiyo biidhinlah na atusamehe dhambi zetu na atukutanushe na kipenz chetu mtume Mohammad s.a.w, Kwan Allah ni msikivu na husamehe,❤❤
Inshallah sheikh mwenyez mungu akujaliye mwisho mwema uzid kutujuz 🙏🙏
Ameeen Allahumma Ameen Yarabil allameen 🤲 🙏 shukran sheikh Jazaka Allahu kher ❤❤❤
Mungu akubaki sana wewe na ss inshalaa
Mashaallh
Inshallah Allah atusamee
Mashalla 🤲
Wallah maalim othuman allah akujaze kher mpk cku ya kiyama yaan nikickliza mawaidha yako huwa napata ucngiz mzuuur wallah allah ndo anajua
@neemakibibi9968
2 ай бұрын
Mashalla 🤲 mm piya hata kama Niko na hasiraa nikisikiza mawaidha yake nafarijika waallah
Allah akuongeze umri utuelimishe ishallah shukran
Mashaallah🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Allahu jamillu yuhibbu jamalla, swadakata sheikh wetu ' haiyaka allah
Maa shaa ALLAH 🇰🇪💚💚💚
Masha ALLAH
Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
ماشاء الله تبارك الله
Sheikh Othman Maalim Allah akupe umri uzidi kuelimisha watu
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
@zuhoor-mc7hq
2 ай бұрын
Walykum Salam warahmatullah wabarakatuh
Shekh othuman maalim mwenyezi mungu akujaalie afya njema uwe wa kutujuza kama hivi Inshallah nataman Sana siku moja nikuona uso kwa uso napenda Sana kusikiliza mawaiza yako shekh wangu mwenyezi mungu akujaalie Sana shekh unanipa wakati mzuri Sana ninapo kusikiliza shekh mwenyezi mungu atujaalie tuwe na mwisho mwema waislam wote Inshallah tuwe wenye kuiona pepo ya mwenyezi mungu subhannal huu wataala
Masha allah
Maashaslsh❤❤❤❤
Allahuma Amiin Shukran Jazaakum Allahu kheir Shekh ♥️♥️♥️
Allahumma Aamin
Jazakallah khayran
❤
❤❤❤❤❤
Ameen
❤❤❤❤❤❤❤
Nataka kuuliza swali
@ImranSalim-lq3qg
Ай бұрын
Uliza
Mm nimeota kua nimeingia peponi tena si mara moja, je hizi ndoto zamanisha nn tafadhali