Tapeli Akamatwa msikitini Mbeya

Фильм және анимация

Пікірлер: 271

  • @aboodal7127
    @aboodal71274 жыл бұрын

    Yeso si Mungu wala si mtoto wa Mungu.

  • @kasimjuma7196
    @kasimjuma71965 жыл бұрын

    Yesu ni mungu wenu wakutapelia labda ila tukijuwacho Yesu ni mtume kama alivyo mt muhammad. Ibrahim nk

  • @amosyluhasi4210
    @amosyluhasi42106 жыл бұрын

    Waislam loh loh msamaha uko wapi hapo acheni kumziaki mungu dini ya kweli ni moyo wako mkataeni yesu sijui mtapitia njia gani kwenda kwa mungu?

  • @fettamidu2503

    @fettamidu2503

    6 жыл бұрын

    Fala kwel ww una cha kusema??

  • @khaulatmohammed3765

    @khaulatmohammed3765

    3 жыл бұрын

    Ovyoo

  • @nih-lantsalum7104

    @nih-lantsalum7104

    2 жыл бұрын

    Haha🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42586 жыл бұрын

    Mmh muogope mungu kijana,acha uvivu ,uta olewa shauri yako

  • @amoursultanhamad8775
    @amoursultanhamad87756 жыл бұрын

    subhana Allah hakika mbele ya Allah amna linalo fichika wakristo wanavyo tapeliwa wanafkr na kwa waislam ni sawa hakika yesu mng na kamwe atokuja kuwa mng bali yesu n nabii kama manabii wengine Allah Akbar hakika mung ni mkubwa

  • @ashraf12mlugu24
    @ashraf12mlugu246 жыл бұрын

    Duuh huyu jomba ana njaa balaa umewaibisha wakrito kumbe wakristo wako kimaslahi zaidi innalillahi wainna ilaihi raajiuun .mtapata tabu sanaaa wakristo mje kwenye dini ya haki dini ya mwenyezi mungu

  • @abdulshaban3993
    @abdulshaban39936 жыл бұрын

    tatizo huyo kijana ni njaa tu asituharibie dini yetu tukufu! Allah awajaalie mashekhe wote inshaallah

  • @kennybush8181
    @kennybush81815 жыл бұрын

    Acheni kuleta zogo mirandaoni kila mtu anasubiri ukrasa wake hujafa hujaumbika ukiijifanya unaijua sana dini utaumbuka puumbaaavuuuu

  • @sophiamaembe8373
    @sophiamaembe83736 жыл бұрын

    Yesu ni mwana wa Mungu na ndio mana hata mapepo wanaliogopa hilo jina,,ukianzia wachawi mpka waganga ni jina lililo hai..jiulize kwanini ukikemea katika jina la Yesu hata mchawi nguvu anaishiwa...kama kweli yesu ni binadamu...ukweli ni kuwa Mungu moja final...hakuna Mungu wa msilamu wa mkristo dini ndio zinatutofautisha tu

  • @HanifBahajaj

    @HanifBahajaj

    6 жыл бұрын

    Ahahahha ,baaada kuwawekea mafuta mkononi ,, semeni yesu alaf msiweke mafuta ,utataja yesu mpk asbh , na shetani hatoni n'goo

  • @ibnually7428

    @ibnually7428

    5 жыл бұрын

    Hebu fanya utafiti ujue kitu gani wanaweka ktk mikono yao wale wanaotoa mapepo ndo utajua kuwa pepo hatoki kwa jina la yesu

  • @khadijahilal3016

    @khadijahilal3016

    2 жыл бұрын

    Mbona nyie wenyewe mnakauli 2 mara yesu ni mungu mara mwana wa mungu!!! Namungu nae ana mama yaan kazaliwa

  • @mangulimanguli3974

    @mangulimanguli3974

    Жыл бұрын

    Uko sahihi ila yesu c mungu ,kasome surat, Mariam, au surat al imran, kwenye msahafu utamjua yesu ni nani?Yesu ametailiwa yesu amezaliwa amecheza na watoto wenzie ameenda chooni amekula amefunga, sasa uyo Mungu gn alie zaliwa, Maana ck izi mitume wengi wanyakyusa, na wachaga cjui uo utume kawapa nani?

  • @mangulimanguli3974

    @mangulimanguli3974

    Жыл бұрын

    Mnasema alikufa na akafufuka, ata uzail alikufa baada ya miaka 100 akafufuka na waisrael walimwita Mungu, kama nyinyi amnavyo kufuru kumwita Nabii issa mungu someni vitabu, msipelekeshwe na manabii wenu wa uongo kina mwamposa ao wapigaji tu

  • @maulidkatiba9225
    @maulidkatiba92256 жыл бұрын

    waislamu hawana ugomvi na nabii ISSA huyo munomuita YESU ,yeye ni mtume sio mungu wala mwana wa mungu mupo hapo

  • @gaspermcharo.bigupsanamhes5038

    @gaspermcharo.bigupsanamhes5038

    6 жыл бұрын

    Maulid Katiba fainali inakuja nakila ulimi UTAKIRI KUA YESU NI MUNGU

  • @caroolbakri8157

    @caroolbakri8157

    6 жыл бұрын

    Gasper Mcharo. big up sana mheshimiwa magufuli hakika ndg yangu

  • @jfineisaac6219

    @jfineisaac6219

    5 жыл бұрын

    Ipo siku utajua ukweli endapo utamkiri YESU kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako ukajazwa roho mtakatifu

  • @rosselove3317
    @rosselove33175 жыл бұрын

    mungu wangu huyu kaka ananini alikua mwalimu wangu huyo duuuuuu

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung73006 жыл бұрын

    Sub Hanna Allah unachezea Dini ya Allah.

  • @boscomuyinga2164
    @boscomuyinga21646 жыл бұрын

    Usitumie maneno yakuambiwa kwakuwaambia wengine Yesu nimwana wamungu ipo hivyo tunaamini hivyo naitabakia hivyo

  • @allymakwinya8249
    @allymakwinya82496 жыл бұрын

    Yesu mungu wa majuha

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV
    @SHEIKHMWAIPOPOTV6 ай бұрын

    Waisilamu tunaroho mbaya sana walahi kwa nini hatuna tabia ya kusamehe hivi kweri juyo kijana kwa kosa hilo tuu mumeshindwa kumsamahe acheni roho mbaya kwani ninyi hamuibi sadaka tunaroho mbaya sana

  • @abdulqareemabdala2772
    @abdulqareemabdala27725 жыл бұрын

    Asikudanganye mtu waislam hawachezewi hata kwan km niunaingiya uislam kweli unajulikan kabisaa pole sana kwan utapel haufai

  • @defrex2176
    @defrex21766 жыл бұрын

    Ahahah ndimu mwanzo mwisho na mim ntaanz huu mchezo lkn me naahama mkoa kwa mkoa 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saumubarua2291

    @saumubarua2291

    6 жыл бұрын

    De Frex 😄😄😄😄😄😅😅😅😅😅😆😆😆😆

  • @user-rd7jt1vi5x

    @user-rd7jt1vi5x

    5 жыл бұрын

    Njoo nichukue na mm tuanze huo mchezo ndugu yangu

  • @user-qo4hb7py5f
    @user-qo4hb7py5f6 жыл бұрын

    mungu aendachooni nakunya duh

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11666 жыл бұрын

    msameheni jamani njaa tu atakua keshalijua kosa lake mungu akusamehe tubu kaka

  • @abdallajuma6262
    @abdallajuma62622 жыл бұрын

    Fisadi mkubwa huyu alijidanganya mungu ni wakuchezea bado mapema subiri apigiwe na Allah

  • @merymrema420
    @merymrema4202 жыл бұрын

    Kila jina lina kiri jina la YESU jina la YESU tamu ndiyo maana mnalitaja

  • @mangulimanguli3974

    @mangulimanguli3974

    Жыл бұрын

    Labda tukuelimishe, Issa ibn Mariam, Ni mtume kama mitume mingine ilio tumwa na mungu, waislam tunaiamini mitume yote, co mitume kina mwamposa,iyo ni mitume yenu, Tatizo ndugu zetu dini amsomi, ni kikuuliza apo, Yesu alilelewa na nani, mariam Baba ake nani alilelewa na nani ujui,ndo maana mnaropoka Yesu mungu, Mungu katailiwa Mungu anakula mungu anaenda chooni Mungu kasulubiwa na alio waumba?jitathmin

  • @issaally4329
    @issaally43296 жыл бұрын

    Daaaah maisha magumu kweri hadi kufikia ha2a hiyo bora kuwa mkweri ss waislamu ha2naga hizo. Anatakiwa achukuliwe a2a za kisheria

  • @johnmhoja6878
    @johnmhoja68786 жыл бұрын

    hizo kiki mungu anawaona

  • @haithamrubeabuhet2637
    @haithamrubeabuhet26375 жыл бұрын

    dah watu km hawa wapo tele hata huku zanzibar kwetu alitokea mtu km uyo lkn ametoka uko uko bara akadidai yeye mkiristo anataka kusilimu akasilimishwa vizur kumbe ndo kawaida yake ili apewe michango kuna cku kuna watoto walikwenda shamba ikafika mida ya kuswali wakaswali halafu akasilimishwa wale watoto wakasema km iyo mbn kasasilimishwa kwetu ata kufatiliwa inafika misikiti mitano kashafanya utapeli

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Mtta mbya ndio muhimu sana haraka swa

  • @annacarlos7925
    @annacarlos79256 жыл бұрын

    Mungu hadhjhakiwi jmn njaa mbaya

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Anna Carlos mhhhh acha kusema !!!! Njaa Ni balaaa!!!!

  • @godisgreat1845
    @godisgreat18456 жыл бұрын

    mungu gani anakufa au yesu hajafa kama hajafa basi wakristo mumedanganywa kuwa yesu alikufa na kama alikufa basi yesu hawezi kuwa mungu sasa chagueni moja alikufa msalabani asiwe na sifa ya kuwa mungu au hakufa msalabani walioandika bible wawe waongo

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    sema kweli 😂😂😂😂😂 wamtafute ustadh mazinge 😂😂😂😂

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    sema kweli subiri ukifa nfo utajua ulikuwa sahihiau la kwa sasa shabikia tuu,hakuna kitu kinaitwa finibya kweli km humjui yesu wewe ushapotea

  • @paulrhema1782

    @paulrhema1782

    6 жыл бұрын

    KWELI NI HII, ALIFUFUKA TOKA WAFU! YU HAI

  • @gaspermcharo.bigupsanamhes5038

    @gaspermcharo.bigupsanamhes5038

    6 жыл бұрын

    sema kweli YESU ALIKUWAKO KABLA YAULIMWENGU KUWAKO

  • @cyprianchale7460

    @cyprianchale7460

    5 жыл бұрын

    inaoneka hata elimu ya darasa la kwanza huna ww kwan unajua maana kufa ww?

  • @HASASON
    @HASASON6 жыл бұрын

    Yesu ni maji kila kona ni muhimu, kumbe mnamtaja Yesu mpaka misikitini kweli kila kinywa kitamkiri Yesu, Wakristo tunapobatiza watu au kuongoza Sala za toba tunamtaja shetani kama adui lakini waislamu wanasilimisha watu kwa kumtaja Yesu kama adui.

  • @safinabakari9140

    @safinabakari9140

    6 жыл бұрын

    Ndugu yangu inaelekea hujakaa na waislam, huwajai na hujisumbui lau kidogo kuifahamu itikadi yao hata kama huiamini. Kabla hujaja kukomenti hapa ungejaribu kushusha munkari na chuki zako dhidi ya dini ya kiislamu ambayo nina imani kuwa chuki hiyo, (yaani unachukuia bila kujua unawachukia kwa nini) imepandikizwa moyoni mwako. Nimegundua hayo baada ya kusoma, komenti yako hapo juu na ninainukuu.... " Wakristo tunapobatiza watu au kuongoza Sala za toba tunamtaja shetani kama adui lakini waislamu wanasilimisha watu kwa kumtaja Yesu kama adui" Yaani hata hapa kuna video lakini inaelekea hujaitazama na kuisikiliza au hujaelewa kwakua umesikiliza kwa masikio ya chuki, ni wapi umeona au umewahi kusikia waislam wanamtaja yesu kama adui yao? na wapi umeona mtu anasilimu au kwa kiswahili kunyenyekea kwa kumtaja shetani? huu ni uzuka na ugwangwahero au uzwazwa usio na kipimo. waislam wote adui yao i shetani, hilo liko wazi, na kila muislam ana itikadi ambayo iko mbali na ushetani/ uibilisi wa kumshirikisha Allah. Waislam ulimwenguni kooote, wanaamini MWENYEZIMUNGU NI MMOJA, HANA MSHIRIKA KATIKA KUFANYA KAZI ZAKE NA HAJAZAA WALA HAJAZALIWA NA MUHAMMAD swalallahu alaihi wasallam, NI MTUME WAKE NA ISSA/YESU Mwana wa Mariam NI MTUME WA MWENYEZIMUNGU, SI MUNGU NA WALA SI MWANA WA MUNGU. Je wapi kunamtaja yesu kama adui wa waislamu? MTU YEYOTE AKIAMINI HIVYO moyoni mwake NA KUTHIBITISHA KWA ULIMI WAKE, ANATOKA KWENYE USHIRIKINA NA ANAKUWA MUISLAMU. DINI NI ITIKADI NA ITIKADI NI KILE UNACHOAMINI NA SI UADUI WALA CHUKI. Nakushauri soma dini yako vizuri uielewe.....

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    6 жыл бұрын

    +HASASON,wewe ni mnafki sana,kwa hiyo ulitaka waislam wasema yesu ni mungu?,hau ulitaka waislam wasema yesu ni mwana wa MUNGU?kama vile mnavyo dai nyinyi makafiri?hiyo haiwezekani abadari na utabaki na chuki zako ukweli utabaki pale pale

  • @rahmashaban8693

    @rahmashaban8693

    6 жыл бұрын

    HASASON wee nawe marehemu. Yesu asitajwe msikitini kwa nini na wakati yeye mwislam. Ona nyie huyo tapeli mwenzenu huyo anlivodhalilishwa na Allah.

  • @ummusamira3518

    @ummusamira3518

    6 жыл бұрын

    HASASON waislam hawamtaji yesu kama adui sisi tunamjuwa yesu vizuri bali hatukubali yesu kuwa nimungu wala si mtoto wamungu bali yesu ni Nabii Issa ni mtume Wa mungu Na alitumwa kwa watu wa izrail nasisi mtume wetu ni Muhammad salallahu alahi wasalam yesu ni Kama mimi na wewe kwasababu tumekaa miezi tisa tumbooni mwa mama zetu tujiulize alipokuwa hayupo hajazaliwa mungu alikuwa nani? Hawezi kuwa mungu sisi tunasoma Qur ani tukajuwa maana vizuri mbona nyinyi hamsomi mkajuwa?? Mnajuwa aya mbili tu ktk Qur ani kumeandikwa dini ya haki mbele ya Allah ni uislam jee ktk bibilia imo?? Dini yahaki mbele allah ni ukiristo?

  • @malickmakatta6089

    @malickmakatta6089

    6 жыл бұрын

    HASASON kumtaja kwa kumkana kwamba si mungu, kwako wewe unaona katajwa kwa uzuri?

  • @chrinssensiatango2860
    @chrinssensiatango28606 жыл бұрын

    Munguu muumba wa yote ni mmoja tyuu bishane mungu ni mungu wala hana jina lingine wa hafananishwi na yoyote

  • @sakinamohamedi2396
    @sakinamohamedi23962 жыл бұрын

    Yaani nachokaga tu wanaposema yesu ni Mungu

  • @kipenyasoso8881
    @kipenyasoso88816 жыл бұрын

    Uislam ni dini ya haki na ci ya kweli!!!😃😄😍

  • @imamumponda276
    @imamumponda2766 жыл бұрын

    huyo kaongopewa tuu sio kosa lake kiislam mtu kama huyo anatikwa asamehee wa llahu a'lam alaf anaonekana mpole amenihuzunisha sana alipokuwa analia in shaa Allah Allah atusamehe makosa yetu Aamin

  • @hassanlumato1639
    @hassanlumato16396 жыл бұрын

    Yesu ni Mungu ndo maana mnakuja kuiba misikitini sio, ona sasa huyo Mduanzi alivyoumbuka

  • @Gatsonjr
    @Gatsonjr6 жыл бұрын

    Anasitail kula fimbo

  • @mbwanalau57
    @mbwanalau576 жыл бұрын

    Huyu ni taperi Ila utaperi wake katumia Jina LA mungu yesu

  • @masoudbakari8348
    @masoudbakari83486 жыл бұрын

    Yesu si Mungu yesu ni mtume Issa ambae amezaliwa na bi Mariam bila baba

  • @esharamadhani3438
    @esharamadhani34385 жыл бұрын

    Kijana mzuri jamani kwanini lakini? mumsamehe tu hafaham analotenda

  • @adamsclassic9306
    @adamsclassic93066 жыл бұрын

    Uislam sio Dini ya kuchezea chezea kama Dini zingine, Allah Akbar

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын

    Huyo shekh kama namfaham jamani nilimuona.nyakatuntu

  • @difakilossa5525
    @difakilossa5525 Жыл бұрын

    Mimi namjuwa iyo jamaa ni muislamu

  • @ashuraginga4604
    @ashuraginga4604 Жыл бұрын

    Nyie wakristo mjiandae tu

  • @jfineisaac6219
    @jfineisaac62195 жыл бұрын

    Kwa bwana yesu kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kwa hiyo ni bora ndugu zangu tukaacha malumbano na kumkubali kwakuwa alikuja duniani ili wote tuwe na uzima wa milele YESU ni wakwetu wote wala hana upendeleo

  • @salhamm742
    @salhamm7426 жыл бұрын

    Mung mkubwa loo za mwinzi 40hee mtihan sana Ndung uislam ni dini ya khaki

  • @gaspermcharo.bigupsanamhes5038

    @gaspermcharo.bigupsanamhes5038

    6 жыл бұрын

    Salha Mm dini yahaki WAP. mbona mnajilipua kila kukicha? Mara bokoharam/alkaida nk'

  • @kitundumkumbo2528

    @kitundumkumbo2528

    6 жыл бұрын

    Salha Mm nn! ;

  • @user-rd7jt1vi5x

    @user-rd7jt1vi5x

    5 жыл бұрын

    Hapa duniani hakuna dini ya haki isipokuwa siku ukifa ndo utajua dini ya haki ni ipi

  • @monicajulius905
    @monicajulius9055 жыл бұрын

    Msamehen jaman(mpaka anatia huruma)ila usirudie tena

  • @maryjulias6372
    @maryjulias63726 жыл бұрын

    yesu ni mungu 1timotheo 3:16

  • @ahmedghoth4945

    @ahmedghoth4945

    6 жыл бұрын

    yesu sio mungu yesu ni issa nabii issa ni mtume wa mwenyezi mungu

  • @sophiamgwila846

    @sophiamgwila846

    5 жыл бұрын

    8:40 Yohana. Yesu ni mtu

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    2 жыл бұрын

    Washazoea kula sadaka za lazma makanisani lkn saiv hela imekua ngumu

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    2 жыл бұрын

    Kanisan saiv hakuna sadaka hela imekua ngumu

  • @mangulimanguli3974

    @mangulimanguli3974

    Жыл бұрын

    Mungu anatailiwa?mungu anapigwa na alio waumba mpaka kufa?mungu anafunga ck 40 bila kula?mungu anatubu zambi?Mungu aliomba andoshewe azabu, uyo ni mungu wa aina gn?fanya tathmin jitathimin

  • @sifasanga7866
    @sifasanga78666 жыл бұрын

    Ametudhalilisha sana, Mngemnapa hata na viboko kabla ya kwenda polisi, halina hata uwezo wa kujielezi mpagani mkubwa

  • @mbwanalau57
    @mbwanalau576 жыл бұрын

    Yesu ni mungu

  • @acotyfrolah6616
    @acotyfrolah66166 жыл бұрын

    Acheni logologo Kama uislamu ni din ya kweri kwanini mnahangaika kusoma bibilia majini makbwa

  • @jacobmollel4093

    @jacobmollel4093

    4 жыл бұрын

    amina

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban86936 жыл бұрын

    Mie nimecheka kweli kijana tapeli

  • @radhiaally3453
    @radhiaally34535 жыл бұрын

    Yesu sio mungu nakama yesu mungu je? alizaliwa au hakuzaliwaa nakama alizaliwaa alizaliwa na Nani na mariam sasa mariamu ni mungu au binadamu na kama mariamu ni binadamu bac yesu ni binadamu haiwezekani binadamu azaee mungui

  • @zawadichalale4047

    @zawadichalale4047

    2 жыл бұрын

    We Radhia unajua tunachopishaniaga ni sehemu moja tu ss typo kidogo zaidi na nini moo mwilini sana ndio maana hatutaelewana na hamtaelewa pale tunapowambia kuwa YESU KRISTO ni Mungu kwa sababu nyie moo mwilini mpaka ufundishwe mambo ya rohoni ndio utaelewa

  • @sillasmichael1491
    @sillasmichael14916 жыл бұрын

    acheni unafki nyie...haki mbinguni

  • @YenzaJackson
    @YenzaJackson6 жыл бұрын

    hahahahahah mbona watu wengi wanafanya hivo kwakumeki money

  • @docterwazam9127
    @docterwazam91276 жыл бұрын

    yesu muisilamu taka usitake

  • @khaulatmohammed3765
    @khaulatmohammed37653 жыл бұрын

    Sura yake ya uislamu.

  • @saidzidadukanyinda9791
    @saidzidadukanyinda97913 жыл бұрын

    mngemtia vibao viwili kwanza

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo90966 жыл бұрын

    Waya wa umeme huwa na sehemu tatu ndani ya ganda lake kuna njano nyeupe na nyekundu.ukichomoa!mmoja wapo huo sio waya tena eeeh?sasa YESU yeye anashindwaje?kuwa MUNGU.YESU ni MUNGU.nampenda sana sababu hamlazimishi mtu.ndio maana kuna neno Duniani UKWELI na uongo.kati ya hapo mtu unaruhisiwa kuufuata uelekeo.

  • @mwinyimohamed9746
    @mwinyimohamed97466 жыл бұрын

    Hapo watakiwa umuongeleshe kwa utaratibu kisha umsamehe tufuate mafundisho sahih masheikh au ndo nyie mnaifuata mkumbo?????

  • @fakihassan1369

    @fakihassan1369

    6 жыл бұрын

    NI kweli usemayo maana Hata Muhammad alionesha ukarimu kwa mabedui kama hao na wakajikuta wanaukubali uislamu kw a matendo mazuri ya Mtume Muhammad,sasa maustadhi mmejifunza wapi hekma hiyo

  • @beathageorge7755

    @beathageorge7755

    6 жыл бұрын

    Kwel kabxa

  • @nicksonchiko9913
    @nicksonchiko99136 жыл бұрын

    wacheni kubishana kilamumoja atahukumiwa kivwake muhimu matendo yako ndio yatakuweka mahali pazuri

  • @karishmary9904
    @karishmary99046 жыл бұрын

    Kijanaa achana na hao makafri enenda zako kanisani mungu akubariki kwn hao ni makhani bure hao

  • @HanifBahajaj

    @HanifBahajaj

    6 жыл бұрын

    Kaafiri ni yule aliekataa kuufata uislam

  • @naimasafia7508
    @naimasafia75086 жыл бұрын

    Allah amuongoze

  • @kallahassan4896
    @kallahassan48965 жыл бұрын

    iti munguwao anakufa daa

  • @salummasoud6395
    @salummasoud63955 жыл бұрын

    Atar sana vijana tufanyeni kazi tuacheni short cut

  • @samanthaali873
    @samanthaali8736 жыл бұрын

    Aibu nyumba ya mwenyezi mungu unadhani ni mchezo angalia ss waumbuka bibaya Allahu Akbr

  • @chrinssensiatango2860
    @chrinssensiatango28606 жыл бұрын

    Mungu mmojaa mungu tyuhurumie waja wako

  • @sillasmichael1491
    @sillasmichael14916 жыл бұрын

    msitafute kiki...huyo mtu kwa kumuangalia tu ni shida zinamtuma afanye hivyo.alafu msim bane muwe na huruma

  • @babually5403
    @babually54036 жыл бұрын

    Wakristo wengi wanamini yesu ni Mungu lkn hawajiulizi mamake yesu kaumbwa nanani?

  • @rehemarajabu48
    @rehemarajabu486 жыл бұрын

    Mungu hakuzaa wala kuzaliwa na wala hana mfano wa kiumbe chochote hapa duniani..sas nyie mnaosema yesu ni mungu au mwana wa mungu aliyehai mnetoa wap..uyo mnaesema ni mungu kwetu ni nabii Issa

  • @abuuabdirahmaan3288
    @abuuabdirahmaan32886 жыл бұрын

    NABII ISA NI 'MWANA WA ADAMU',...AMEUMBWA NA ALLAAH KWA NJIA YA NENO (yaani KUWA KISHA INAKUWA). YEYE HAKUTOKANA NA BABA BALI NI MAMA PEKEE! HUU NI MUUJIZA WA ALLAAH. UKISHANGAA HILI QUR-AAN LUGHA ZA KASHFA MSIZITUMIE WAISLAM.NTUNAYO HAQQ YA KULINGANIA KWA MUJIBU WA VITABU LAKINI SI KAA KUKASHFU. KUWENI WASTAARABU. ALLAAH NI MUUMBA, NABII IYSA NI MUUMBWA.(KIUMBE) ELEWENI TOFAUT YA MUUMBAJI NA KIUMBE HATA KAMA NI KTK VIUMBE VITUKUFU. nawakumbusha tena ... tumieni lugha za kiistaarabu kuelimishana na kukashfiana.

  • @thechallangeboystheawadh5195
    @thechallangeboystheawadh51956 жыл бұрын

    Maskini Huyu alomdanganya nani kucheza na Uislamu. Hakujua dini ya pekee ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu.

  • @YenzaJackson
    @YenzaJackson6 жыл бұрын

    hahahahahah kwani mtu akislim lazima apewe pesa ??????????

  • @rapafata1108
    @rapafata11086 жыл бұрын

    Kufa kwa Yesu ni ngumu kueleweka na waislam. Hata Muhammad mwanzilishi wa dini hakuelewa ndio hadi leo waislamu wanaitilafiana kwa hakika hiyo mfano makadiani na wasunni. Ni mambo mazito ukitaka kuelewa batizwa na ukae roho atakufunilia. Bwana Yesu asifiwe. Wakristo wanaelewa

  • @HanifBahajaj

    @HanifBahajaj

    6 жыл бұрын

    Ahahaaaahaaaa

  • @fakihassan1369

    @fakihassan1369

    6 жыл бұрын

    Sasa mungu afe na binaadamu afe mungu yeye anauliwa na NANI?

  • @alimassea612

    @alimassea612

    6 жыл бұрын

    Rapa Fata akili huna

  • @mangulimanguli3974

    @mangulimanguli3974

    Жыл бұрын

    Ww mwenyewe ujiulizi, kama mungu mbona alikua anakula anajamba anaenda chooni analia amefunga amecheza na watoto wenzie kazaliwa kama ww asa apo Uungu wake uko wp?jitathmin

  • @merymrema420
    @merymrema4202 жыл бұрын

    Yani nyie ni watu waajabu sana magari yawachungaji yanawahusu nini

  • @fatmaikopoa34
    @fatmaikopoa346 жыл бұрын

    uwiislam no dini ya haki umeazirika looooo mungu mkubwa

  • @gaspermcharo.bigupsanamhes5038

    @gaspermcharo.bigupsanamhes5038

    6 жыл бұрын

    Fatma iko poa YESU NI BWANA

  • @difakilossa5525
    @difakilossa5525 Жыл бұрын

    Aki kuhuwa watu ali chababe

  • @maryjulias6372
    @maryjulias63726 жыл бұрын

    ni mungu hakun mpinzani hkn kama yesu

  • @just_this_way

    @just_this_way

    4 жыл бұрын

    Mary Julias Ni kweli hakuna kamaYesu maana watu hawafanani. Yohana 17: 3. Mungu ni zaidi ya Yesu. pole sana kwa kupotea.

  • @sebastiansalamba8236
    @sebastiansalamba82366 жыл бұрын

    Jina La Yesu ni kubwa sana ,kama unalikana namna hiyo wakati Yesu ni mwana wa Mungu tena aliye hai eee hutauona ufalme wa Mungu.maana Yesu ndio njia ya kweli

  • @malickmakatta6089

    @malickmakatta6089

    6 жыл бұрын

    Sebastian Salamba yupo hai?

  • @hamisikillah1380

    @hamisikillah1380

    6 жыл бұрын

    Sebastian Salamba nawewe umo katiku kundi LA mapepo wachafu kama alivyoeleza yesu

  • @sebastiansalamba8236

    @sebastiansalamba8236

    6 жыл бұрын

    Hamisi Killah sio Mimi hamisi in maandiko kama wewe unaona Mimi Niko kwenye kundi la pepo wabaya hayo ni mawazo yako tens niyakibinadamu tu hauanitishi IATA chembe lakini Yesu ni mwana wa Mungu aliyehai na hakuna mlango mwengine Ila yeye amen

  • @kudhaifbudaga6263

    @kudhaifbudaga6263

    5 жыл бұрын

    Sebastian Salamba acheni ujinga yesu sio mungu

  • @hadijaomary9170
    @hadijaomary91706 жыл бұрын

    kama ukristo sio dini tuachen n'a dini yetu mnatusemasema tuachen cc mbona atuwaongeleen nynyi tu

  • @jacobmollel4093

    @jacobmollel4093

    4 жыл бұрын

    amina

  • @finiacefick8166
    @finiacefick81664 жыл бұрын

    Sa mbona nakashifu dini ya upande wa pili. Si uungwana saiv dini zote kuna utapeli. Na dini ya kweli ni ww mwenyewe imani yako ilipo.

  • @kipenyasoso8881
    @kipenyasoso88816 жыл бұрын

    Wapo wengine wengi matapeli kwenye uislam.

  • @barakalema4358
    @barakalema43586 жыл бұрын

    YESU NI MUNGU,YESU NI MUNGU YESU NI MUNGU YESU NI MUNGU HALLELUJAH

  • @hamisikillah1380

    @hamisikillah1380

    6 жыл бұрын

    Baraka Lema pepo mchafu wew

  • @saidykaniki7108

    @saidykaniki7108

    6 жыл бұрын

    Baraka Lema yesu sio mungu acha kumchulia yohana 8:40 lkn sasa mnatafuta kuniua mm MTU niliewambia ilio kweli nilio skia kwa mungu.sasa bwana baraka nijibu swali langu yesu aliskia kwa mungu gn wakat yeye mungu

  • @zainabmalya1552

    @zainabmalya1552

    6 жыл бұрын

    Tangia lini mung akazaliwa?mungu anaumba ila haubwi yesu/issa ni nabii na sio mungu kama angekuwa mungu kazaliwa mwezi wa 12 tarehe 25 hiyo mingine alikuwa wapi na mama yake maria aliumbwa na nani?

  • @barakalema4358

    @barakalema4358

    6 жыл бұрын

    Zainab na mwenzako ctaki kubishana na mtu wala kitu lakini tambua kuw YESU NI MUNGU

  • @omarymbalala6224

    @omarymbalala6224

    6 жыл бұрын

    mungu wako ww pekeyako sisi tunae mungu asozaa wala kuzaliwa

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57966 жыл бұрын

    Kumbe wezi wa viatu ni hawa makafiri, Namuomba Allah ajaalie znz iwe na shariah law. Nakwambieni tutawakata mikono na kuwapiga mawe na mikwaju makafir wengi au wote. Na ndio mana wanaihofu shariah law mana wanajijua ni wengi na hawawezi kuacha hzo tabia zao mbovu

  • @fantsonmpango7742
    @fantsonmpango77426 жыл бұрын

    Uislamu ni dini ya haki lakini si ya kweli abadani

  • @fakihassan1369

    @fakihassan1369

    6 жыл бұрын

    Mm nazani solution ni kwamba sina uhakika na nnachokiongea hakuna hadithi inayosema MTU akisilimu apewe pesa

  • @kilinopark6253
    @kilinopark62536 жыл бұрын

    Yesu ni tapeli hana tofauti na hawa wachungaji.

  • @kallahassan4896
    @kallahassan48965 жыл бұрын

    yee alijuwa uwisllam kama ukwilisto madrii wanamiliki ndege kwapesa za waumini uku kwetu hatuna ujinga ujinga

  • @rehemasangali8158
    @rehemasangali81586 жыл бұрын

    Tapeli hana dini na hakuna dini inayoelekeza muumini awe tapeli

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim6 жыл бұрын

    kama ni mwiz katen mkono achen ujinga mashekh police kwa nani nyie

  • @b9media144
    @b9media1446 жыл бұрын

    Ama kweli wakristo akilizao zipo matakoni!! Yaani wanalazimisha yai la chupa kupikia kiepe. Hahahahah Tangu lini mungu akawa na madhaifu ya kibinaadamu.? anahisi njaa, anakula, anashiba, anajamba akibanwa na ushuzi, anakwenda chooni kukata gogo (anakunya), anajamba! Puumbaavuuuu

  • @allykasumuni2730
    @allykasumuni27305 жыл бұрын

    Jaman uyomwiz atakua huyu anaenitumiaga sms za zakuomba nimtumie pesa mumuulize Kama kaniwekeza nimlipe

  • @imamumponda276
    @imamumponda2766 жыл бұрын

    sub'haana llah aonewe huruma harudii huyo

  • @niganilekilema769

    @niganilekilema769

    6 жыл бұрын

    Achomwe moto,Wenzie wanauza karanga,yeye anaona kazi

  • @geofreyjovini7082
    @geofreyjovini70826 жыл бұрын

    msameeni si mmetoka kusari nyinyi mbona mnakiuka msimuukumu kesha ukumiwa mnasema dini ya aki nyinyi matendo yenu yana aki

  • @maryamammar1702
    @maryamammar17026 жыл бұрын

    Uislam si dini ya mchezo Allah kasha ahadi kuilinda na kukilinda kitabu chake Qur an dini yet si yamchezo

  • @Tanzanian_Podcast
    @Tanzanian_Podcast6 жыл бұрын

    wewe acha upumbavu yesu ni kama wewe ulivyo kama mungu angekuwa na tofauti

  • @fauzannashyitwu8531
    @fauzannashyitwu85316 жыл бұрын

    hakika dini mbele ya allah ni uislam na mwenye kujichagulia dini nyengine ispokua uislam hatoikubali allah hiyo dini na akhera atapata khasara (surat dhaaliyat)

  • @katerinadada6481
    @katerinadada64816 жыл бұрын

    Ally Hassan nyinyi ndioma fala msio jua kusamehe

  • @mwajumaabeidy8137

    @mwajumaabeidy8137

    6 жыл бұрын

    Katerina Dada hovyo wew kwa kua yamewakuta.ilooo

  • @saadahassan3562
    @saadahassan35626 жыл бұрын

    huy tapeli hana haya

  • @familylove5417
    @familylove54176 жыл бұрын

    Hhhhhhhh eti zako hazijafika 40 zako tatu tu hhhahhh

  • @father3777
    @father37776 жыл бұрын

    Huyo jamaa akupe ni njaaa 2

  • @maulidkhalfan7531
    @maulidkhalfan75316 жыл бұрын

    Nenolaukweli siozuri na nenozuri halina ukweli ukweli unauma ilayesu hakusurubiwa wala siomungu ila kwawatu wanao editiwa dini watasema haya AMA YAHAKIKA UISLAM NDIODINI YAHAKI NAKITABU CHAKUR AN .HAKINA MUSHKAR KIPOSAHIHI TANGU ENZ YANABII MUHAMADI KUR.AN HAINA AGANO JIPYA

  • @medyyusuph404
    @medyyusuph4046 жыл бұрын

    we msenge yesu simuungu

  • @edigamwalongo1913

    @edigamwalongo1913

    5 жыл бұрын

    Medy Yusuph yesu ni mungu

  • @mamahamadi1711
    @mamahamadi17116 жыл бұрын

    kaswida

Келесі