HI NI ZAIDI YA HATARI, NIMEKUWEKEA TIT FOR TAT KATI YA SAID JUMA KINYOGOLI NA MURTAD YAHYA OMARY.

Пікірлер: 372

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Жыл бұрын

    Mashallah Sheikh Kinyogoli God bless you everyday Amiin

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack61802 жыл бұрын

    Mungu ni mwema, Ahsant sn Mungu wng kwa kunitoa kwenye ukristo na kunileta kwenye uislam

  • @muslihmohd3685

    @muslihmohd3685

    2 жыл бұрын

    Mashallah Allah azidi kukuongoza na atuzidishie uongofu sote pamoja insha'Allah

  • @hansmswagara2789

    @hansmswagara2789

    2 жыл бұрын

    MwenyeziMungu azid kukujaalia ndug

  • @azizimatahuka2012

    @azizimatahuka2012

    2 ай бұрын

    Allah akupe kheri nyingi kuingia ktk dini ya kweli

  • @DuliBrillant-mr8er

    @DuliBrillant-mr8er

    2 ай бұрын

    MashaALLAH bro ALLAH azid akupe mwangaza katika kuufata uislam inavotakiwa

  • @HappyKiteboarder-du9th

    @HappyKiteboarder-du9th

    2 ай бұрын

    Mashallah

  • @issmuking3987
    @issmuking39872 жыл бұрын

    yaaan mm wallahi nikiwaskiliza masheikh wangu wallahi wanaongea vzr na wanaelimisha makafiri vzr Allah awalipe ujira usiokwisha masheikh wetu walimu wetu wazaz wetu Manabii wetu pamoja na kipenz chetu muhammad s a w ameen

  • @wadudi2741

    @wadudi2741

    Жыл бұрын

    Màashallaah

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin79096 ай бұрын

    Wallaah nampenda Sheikh Said Kinyogole kwa ajili ya Allaah

  • @maherzain615
    @maherzain6152 жыл бұрын

    Saidi kinyongoli moto wakuotea mbali💪💪

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48242 жыл бұрын

    Jamaniee? Nimerudi tena kucomments hawa masheik wetu Tuwaombee kwa Allah awalinde na kila balaa.

  • @aishahazary4097
    @aishahazary40972 жыл бұрын

    Masha Allah.ALLAH akupe nuru kwenye maisha yako ustadhi Kinyogoli.

  • @abuuabuu9170

    @abuuabuu9170

    2 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @omaryally198
    @omaryally1982 жыл бұрын

    MASHA ALLAH ❤️❤️🙏 mwenyezi MUNGU awalinde.

  • @kawtharalbarwani1337

    @kawtharalbarwani1337

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa51592 жыл бұрын

    aisee natembea kifua mbele kwa kujivunia uislamu na yote haya ni kutokana na hawa waaadhili wetu wa kiislamu. ALLAH SW awape umri mrefu ili watu wafaidike na neema hii ya wahadhili wetu.amin

  • @alliabdullah6180

    @alliabdullah6180

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @maryamanalisi197

    @maryamanalisi197

    2 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah mashaallah alhamdhulillah 😀😀😀😅😅🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @suberasubera641
    @suberasubera6412 жыл бұрын

    tunawaombea Allah awaweke namuwe naafia njema

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78232 жыл бұрын

    Allah Akbar! Allah akuwekee hadhina zetu Mashekhe wetu.

  • @alhadjmugisha5216
    @alhadjmugisha52162 жыл бұрын

    Jamn napta rah san kW muhadhara km hii nawapnda san masheikh zet kwaajil ya Allah ,Allah atup mwsho mwem atukutnish pia ktka pep yke

  • @radhiaoman9828
    @radhiaoman98282 жыл бұрын

    Kinyogoli we hatari mungu akupe kila lenye kheri

  • @ghulamyassintv4825

    @ghulamyassintv4825

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/d5xl1q-Nh5m2prg.html Guzalink ☝️ tufaidike ukhty

  • @johntay8813
    @johntay88132 жыл бұрын

    Nawapendeni kwa Ajili ya Allah nawaombea kwa Allah awape umri mrefu Allahumma Amiiin

  • @demereramadan9498

    @demereramadan9498

    2 жыл бұрын

    Amiiiiiin

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa55632 жыл бұрын

    masheikh wetu twawashukuru kwa kutufahamisha na kutuelimisha sisi na wakristo mungu awahifadhi

  • @jakayakigoda58
    @jakayakigoda582 жыл бұрын

    Wote ni bora kufuatwa kwa kila mmoja kwa wakati wake Ni nyinyi tu msiokuwa waislam hamuelewi, wote hao ni waislam. Fuateni Uislam

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    Nakusikitiya Omar usijaribu tena kufanya mujadala na Said kinyogoli huyo ni kiboko tena kiboko Allah Akbar 💓

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed18712 жыл бұрын

    Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu....Najivunia kuwa mwislam wallah..Allah awahifadhi masheikh wetu na uwajalie thabit kwa kila kitu...sheikh kinyogori Masha Allah tabarak Allah.

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange14832 жыл бұрын

    Kinyogori nishidaaaaa Allaah akupeumri mrefu

  • @saidosaido5647
    @saidosaido56472 жыл бұрын

    Sasa said unakuja kali ikija jihad tuna kula kichwa,muhim wakristo bado niwadgo mbele ya masheikh wakiislamu hawana ilmu wanajitahidi tu wanafundishwa na masheikh wakiislamu tena mafundisho mazuri mashaallah

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын

    Allah awajaalie pepo yaa juu masheikh zetu

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7402 жыл бұрын

    Maashallah.....MBU kipeo Cha tatu’ Yaani ni (MBU MBU MBU )...! Maashallah Maashallah ‘ Said kinyogoli ama hakika weye ni msumari Kwa wagalatia...!

  • @fadhilikawambwa5159

    @fadhilikawambwa5159

    2 жыл бұрын

    hahahahah nashukuru kwa kunilewesha hapa nilikuwa sijui hahahah

  • @fatimaomar1172

    @fatimaomar1172

    2 жыл бұрын

    Hahaha Mashaa Allah

  • @mohamedkibwana7558
    @mohamedkibwana7558 Жыл бұрын

    MashaAllah jazakAllah kheyr masheikh wetu

  • @ummurasul8230
    @ummurasul82302 жыл бұрын

    MaashaAllah TabaarakaLLAH Mungu awazidishie nyooote....

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti53022 жыл бұрын

    Allah awahifadh masheikh we2. Nawapenda kwajil ya Allah.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    Ushauri wangu mtumie mbinu ya dr zaik naik.Hamkashifu mtu wala hakuna takbir au haleluya.Ni heshima tu na utapenda kusikiliza

  • @husseinahmed5216

    @husseinahmed5216

    2 жыл бұрын

    Mbinu za hawa wa kwetu ni mtihan sana" wabidilishe mbinu iwe mbinu za kistaarabu Zaid kama afanyavyo dk naik itapendeza sana

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan88712 жыл бұрын

    Murtad Yahya Omar umeuza dini ya kweli ya uislamu kwa thamani duni? Allah atuhifadhi yyarabb. Ameen

  • @mysalakatele2349
    @mysalakatele23492 жыл бұрын

    Nashukuru kuwa muislamu na ningekuwa mkristo ningesha Hama maana uongo mtupu

  • @mossesjovenari9457

    @mossesjovenari9457

    2 жыл бұрын

    YESU Atakuja siku ya mwisho kuwachukua walio wake je wewe umo?

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    2 жыл бұрын

    @@mossesjovenari9457 hatokuwa na muda huo maana nyinyi munaomzushia kumwita Mungu sijui mutakuwa na hali gani siku hiyo

  • @mustafasalehmwanamilongo217
    @mustafasalehmwanamilongo2172 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akupe maisha mema duniani kaburini na kesho ahera

  • @baaliyanuun416
    @baaliyanuun4162 жыл бұрын

    Ustz Said uko pow ssna dah ww ni atar sana

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Alhamdulillah kwakuwa muislam

  • @kawtharalbarwani1337

    @kawtharalbarwani1337

    2 жыл бұрын

    ALHAMDULILLAH

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 Жыл бұрын

    Nawapenda sanaaa ktk midahaloo yenu mungu awainuwe lewo kesho peponi allhandulihi vidume mpo vizur nguvu moja njiya moja ALLHA AWAINUWEE KTK UKWELI HAKII

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87632 жыл бұрын

    Swadaqt, MashaAllah mjadara barabbara.

  • @mordally
    @mordally2 жыл бұрын

    Masha Allah ustadh Kinyogoli

  • @meekman1805
    @meekman18052 жыл бұрын

    Maashallah jazakumullahu kheyr

  • @khadijaalmasi9686
    @khadijaalmasi96862 жыл бұрын

    Wahadhili mungu awaepushe na kila Shari maana mnafanya kazi nzuri

  • @hamadibabu3321
    @hamadibabu33212 жыл бұрын

    MashaAlla

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv48252 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @mwanashazingas6684
    @mwanashazingas66842 жыл бұрын

    Yani mmi vyenye na muelewa huyu bwana kinyogori kushinda vyenye najielewa mmi masha Allah

  • @maherzain615

    @maherzain615

    2 жыл бұрын

    Wallahy ako fasaha kabisa hata namuelewa vzr sana

  • @mariamjuma3125
    @mariamjuma31252 жыл бұрын

    Mashallah hostadh Saidy unafata nyayo za hostadh Mazinge Mungu awazidishie Umri mrefu usio Zeeka🤲🤲🤲 Pamoja na masheikh wetu wote Mungu awalinde na awalipe pepo Firdauss Inshallah Amiin

  • @zulfahussein6784

    @zulfahussein6784

    2 жыл бұрын

    Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    2 жыл бұрын

    Amiin Amiin

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    Amiin amiin Ya Rabiialamin

  • @fadhilikawambwa5159

    @fadhilikawambwa5159

    2 жыл бұрын

    amin

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91562 жыл бұрын

    Allah wakbar

  • @abdulhalimsadick2251
    @abdulhalimsadick22512 жыл бұрын

    manabii wote salama na aman viwe juu yao wamekuja na ujumbe mmoja ambao n lailahailallah..

  • @adammanyendi7577
    @adammanyendi75772 жыл бұрын

    Mungu awajaalie mashekhe wetu amina

  • @missrukia9661
    @missrukia96612 жыл бұрын

    Mashallhaaa shekhe kinyogili

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti70372 жыл бұрын

    Rehma na Amani kwa ma sheihk wetu Barka'llahu feek, Mazinge na wenzake mwisho mwema kwenu

  • @mastermacheni932
    @mastermacheni9322 жыл бұрын

    Wakristo mbona wanyonge Sana au tunaongopeawa makanisani

  • @fadhilikawambwa5159

    @fadhilikawambwa5159

    2 жыл бұрын

    huo ndio ukweli

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame38632 жыл бұрын

    Mashalla ustaz kinhogor,wafundishe wa juwe ukwell ili wafuwate 👐👐👐👐👐

  • @mohamedkibwana7558

    @mohamedkibwana7558

    Жыл бұрын

    MashaAllah jazakAllah kheyr masheikh wetu

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54872 жыл бұрын

    Tunashukur kwa hili

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Maashallah kumbe a najua maskini. Sibola Asilimu tu

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia59292 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @hamisijm8437
    @hamisijm84372 жыл бұрын

    Masha aĺlahy masheikh Kwa mafundisho mazuriya Bilayashaka Wameelewa Swadakta

  • @johntay8813
    @johntay88132 жыл бұрын

    Kaka yangu Said kinyogoli na walimu zetu waki islam Allah akuifadhini kwa kazi mnazo pata katika kuelimisha ndugu wakiriston

  • @zerotohero8212
    @zerotohero82122 жыл бұрын

    Namuona mazinge anafurahi tu❤️❤️❤️✔️✔️

  • @ibnuomar1770
    @ibnuomar17702 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @ABAELECRTONICSAR-ok5xf
    @ABAELECRTONICSAR-ok5xf3 ай бұрын

    kinyogoli very genius allah amuifadhi

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr45142 жыл бұрын

    Kinyogoli ni MESS wa waislam muda wowote anabadili matokeo

  • @hafsaali7976
    @hafsaali79762 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah shekh wetu

  • @wariditambi8679
    @wariditambi8679 Жыл бұрын

    Nawapenda sana mashekhe wetu mungu awape mwisho mema na ss pia Amin

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲 🤲 🤲

  • @khamissalim7437
    @khamissalim74372 жыл бұрын

    Mashallah

  • @muslimsalimmuishee5541
    @muslimsalimmuishee55412 жыл бұрын

    Shehe mungu akuifadhi kabisa nakupenda sana kwaajili ya allah ninadaangu nataka kukuozesha

  • @yusuphmohamed8560
    @yusuphmohamed85609 ай бұрын

    Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh hapo Sheikh Said Juma Kinyogoli uko sawa kwa mujibu wanavyokwenda hai rafiki zetu wa upande wa pili.

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis2262 жыл бұрын

    ALLAH AWAJAALIE KHER MASHEKH WETU

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54872 жыл бұрын

    Saidi tunakuona Mbali saan. Unarithi mazinge

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    Mara nyingi mwanafunzi anampita mwalimu,naona Kama anampita mwalimu,mpaka mwenyewe mazinge anachanganyikiwa,Allah awasimamie mashehe wetu na awalipe pepo ya juu kabisa,amiin amiin Ya Rabiii

  • @chire4574

    @chire4574

    Жыл бұрын

    Sio tu kumrithi..atamzidi..kwa vile ametulia

  • @boraimanijumamahenge7554
    @boraimanijumamahenge75542 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @kwaleboy6064
    @kwaleboy60642 жыл бұрын

    Mungu awalinde walimu wetu

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲 🤲

  • @SalmaAbdul-zz7dy
    @SalmaAbdul-zz7dy Жыл бұрын

    Yaani hii inaitwa nipe nikupe allah akubarik shehe wetu kinyogoli

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    Kusema ukweli jifunzeni kuwa wastaarabu na kuzungumza kauli za hekima na busara.Jifunzeni kwa dr zaik naik

  • @ramathedon4001

    @ramathedon4001

    2 жыл бұрын

    mtu ujibiwa kwa kebei vile atakavyo uliza kwa kebei

  • @tugabiz4286

    @tugabiz4286

    2 жыл бұрын

    Namna utakavyokuja ndivyo utakavyopokelewa.

  • @aflahabdula4084

    @aflahabdula4084

    2 жыл бұрын

    @@ramathedon4001 kweli kabisaaaa

  • @godisgreat1845
    @godisgreat18452 жыл бұрын

    Mimi nawashangaeni makafiri wa kikristo mnamkataa Mtume Muhamad kwa kutumia quraan toeni aya kwenye biblia mumkanushe maana hiyo quraan imeteremshiwa Muhammad ili biblia iwe kitabu cha Mungu

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    This Sheikh MAZINGE is Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, wants you to do. So you too can be SAVED!

  • @habarugirahassan8552

    @habarugirahassan8552

    Жыл бұрын

    1

  • @omarikijazi5241
    @omarikijazi52412 жыл бұрын

    Kazinzuri mashekhe wetuuu

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi66002 жыл бұрын

    Allh awape nguvu mashehe wetu

  • @omanomqn4345
    @omanomqn43452 жыл бұрын

    Mashaallah shekhe said kinyogoli,,, mashaallah umefafanua vizuri sanaaaa

  • @mustafasalehmwanamilongo217
    @mustafasalehmwanamilongo2172 жыл бұрын

    Allah akbar

  • @suberasubera641
    @suberasubera6412 жыл бұрын

    yaniwekinyogori umeniuwa mbavu dah jamani

  • @LizaLiza-sd5uu
    @LizaLiza-sd5uu2 жыл бұрын

    Jamani timu tamu hii kuisikiliza

  • @fadhilikawambwa5159

    @fadhilikawambwa5159

    2 жыл бұрын

    karibu

  • @michaelmunene738

    @michaelmunene738

    2 жыл бұрын

    Nashukuru kuwa mkisto najivunia sanaaaa

  • @barakashaban9698

    @barakashaban9698

    Жыл бұрын

    @@michaelmunene738 umefeli ww shaur yko

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Жыл бұрын

    ​@@michaelmunene738 wewe unashukuru sisi tunakuhuzunia

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91562 жыл бұрын

    Hivi Hawa wakristo wanasoma kweli au wanabebaga Ile bible kama fashion mtihani wallah

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    Yaani wanajali kuwa wakristo tu bila kujali bila kujali ndani Kuna nini

  • @charlesmapunda5905

    @charlesmapunda5905

    2 жыл бұрын

    Tunaibeba na tunajua haina Majini wabaya wala wazuri kama Quran ya waislamu inavyo sema Majini waliipenda dini hiyo na waka Slimu sasa uliona wapi Mtu akaenda mbinguni kwa mgongo wa Mjini? Hapo ndio muamke nyie msiojua mnamtukuza Mungu yupi mpaka hapo.

  • @salmaathuman9156

    @salmaathuman9156

    2 жыл бұрын

    @@charlesmapunda5905 soma vitabu acha ngonjera 🤣🤣kazi kubeba vitabu kama vya shule mkiwa kwenye mihadhara fashion show hakuna munalojua ndo maana majibu hakuna unaulizwa vingine unajibu vingine ziro kabisa endeleeni kubeba mizigo ya vitabu kama book school 🤣

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Жыл бұрын

    ​@@charlesmapunda5905 uislamu unataka majini na binaadamu wote wamuabudu Allah Huu ndo ujinga wenu mkubwa hamujui jini kaumbwa kwa ajili gani

  • @jakayakigoda58
    @jakayakigoda582 жыл бұрын

    Namkubari sana Kinyogoli

  • @allyally1077
    @allyally10772 жыл бұрын

    Uislamu dini ya hali na kweli waAllah

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 Жыл бұрын

    Kinyogor nae uko vizuri allhandulih

  • @asilclub
    @asilclub2 жыл бұрын

    محمد الصادق الأمين

  • @lazaroekela
    @lazaroekela Жыл бұрын

    Wewe askofu muda sio mrefu mtasilimu ❤❤❤❤

  • @rezikomer9552
    @rezikomer95522 жыл бұрын

    Nampenda sana kinyogori maneno yake ni makali

  • @makenakendi9014
    @makenakendi90142 жыл бұрын

    Huyo murtad yahya mnafiiq shetani mkubwa sana anajua haki but hataki kusema

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    Sasa itamsaidia Nini muda wenyewe juu ya ardhi hii ni mchache sana

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Yani raha

  • @harunibilali3645
    @harunibilali36452 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @petrofabian4523
    @petrofabian45232 жыл бұрын

    Wanapost upande mmoja baada ya kuona hawana points

  • @lewiskimathi9615
    @lewiskimathi96152 жыл бұрын

    Wew unaitwa Kinyongori BT Siku za mwisho utaitwa kinyonga

  • @fadhilikawambwa5159

    @fadhilikawambwa5159

    2 жыл бұрын

    umeferi huna hoja.

  • @alliabdullah6180
    @alliabdullah61802 жыл бұрын

    Safi sana shekhe juma kinyogoli ila hapo kwa yesu muizi unenikwaza labda kama unakusudia yasu wa wakuristo sio huyu wakwetu

  • @wariditambi8679
    @wariditambi8679 Жыл бұрын

    Nakupenda kinyogoli kwa ajili ya Allah

  • @rasheedshaban2233
    @rasheedshaban22332 жыл бұрын

    Hakika Uislam ni dini ya haki

  • @alsamali6964
    @alsamali69642 жыл бұрын

    Maelezo ya waislam yananyooka hadi raha

  • @abasmwika3432
    @abasmwika34326 ай бұрын

    Kinyogoli yuko very technical hawa Wakristo hawamuwezi

  • @khamisseif9870
    @khamisseif98702 жыл бұрын

    Takbiiiir Allahu akbar

  • @saidbanga
    @saidbanga2 жыл бұрын

    KAZI NZURI

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957 Жыл бұрын

    😨😨😱😱😱🇺🇬🇺🇬 mungu awasaetiye waesiremu

  • @pablooo4197

    @pablooo4197

    Жыл бұрын

    Kwanza jisaidie ww kwenye lugha ya kiswahili😂😂

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai97652 жыл бұрын

    Saidi wewe ni Dawa yao

  • @hamidaissa4769
    @hamidaissa47692 жыл бұрын

    Shida yangu namba ya huyu shekhe kinyogoli kuna ndugu mkristo anahitaji kujua ipi ni dini ya haki au hata ofsn kwake nielekezeni

  • @IbnuAlly-cg2gn

    @IbnuAlly-cg2gn

    Жыл бұрын

    Kwan hii midahalo lengo lake si kuwafahamisha watu dini ya haki

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 Жыл бұрын

    Kwa SoMo hili yohana omari umepigwa ,safi sana kinyogoli.

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv26742 жыл бұрын

    Jifunz quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli