DEBATE SHAFII SHOMAR BIBLIA IMEHARIBIWA

Ойын-сауық

DEBATE ILIFANYIKA NCHINI MOZAMBIQUE MJINI PALMA KATI YA WAKRISTO NA WAISLAM

Пікірлер: 213

  • @khalifaathuman6875
    @khalifaathuman68753 жыл бұрын

    Wallahi nimetumia darasa hili kufundisha wakristo Nairobi na wengi wanasilimu zaidi. Mashekhe msichoke tuko nyuma yenu. Allahu akbar

  • @rukiamusa9916
    @rukiamusa99163 жыл бұрын

    Shekh ahsante kwa kutetea dini yetu Mungu akupe umri mrefu na hekima zaidi

  • @jumakana3252
    @jumakana32522 жыл бұрын

    Mashaallah.I have a tremendous respect for our brothers and sisters Christians but,i have to be frank in this case.Poor Christians never read their own scriptures, they follow oral traditions and the knowledge blindly.

  • @partnersah8802

    @partnersah8802

    2 жыл бұрын

    Sure bro. We don't follow the bible we follow what preachers tell us. That is the problem

  • @gharibislam1586
    @gharibislam15863 жыл бұрын

    Mashallah muhadhara nzuri sana,wakristo wamepotea

  • @ibrahimmsafiri234
    @ibrahimmsafiri2343 жыл бұрын

    Huyu mchungaji anajielewa kweli?? Yaani anaropokwa tu na mifano haina faida kwa mjadala

  • @naimaabuualii578

    @naimaabuualii578

    2 жыл бұрын

    Tena anatowa t mifano kwenye kichwa chake

  • @zaidanawadhi2664
    @zaidanawadhi26643 жыл бұрын

    Mashallah, kazi nzuri mashekhe wetu.

  • @yusufathman2478
    @yusufathman24783 жыл бұрын

    Maa shaa allah...nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh

  • @jumaaflah8965
    @jumaaflah89653 жыл бұрын

    Kwa kweli wenzetu wanachosema viongoz wao,wao hawana muda wa kufikiria wamesema nn wao Ni ameeeen mtumishi wao anachosoma na anavyoelezea mtoto Wang wa miaka mitatu ukimwambia hakunali ng'ooooooo

  • @user-sc4iv7qp9b
    @user-sc4iv7qp9b2 жыл бұрын

    Tunamshukuru Mungu kwa kuibakiza Qurani katika asili yake ya Kiarabu na kutumika katika ibada kila siku leo tunaisoma kwa asili yake, na kuifanyia tarjuma .

  • @hajiomary5672

    @hajiomary5672

    2 жыл бұрын

    Mchungaji anapiga blabla maana hatoi aya kujibu aya

  • @hassancharo1496
    @hassancharo14962 жыл бұрын

    Alhamdulillah Mwenyezi MUNGU KWA kunijaliya kuwa Muislamu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78233 жыл бұрын

    Mashallah ustadhi Shafi nakupenda mdogo angu

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7403 жыл бұрын

    Ustaadh shafii we ni noma sana...!..ALLAH awape Afya masheikh wetu

  • @naimaabuualii578

    @naimaabuualii578

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis2263 жыл бұрын

    Waalkum salamu warhmatullah wabarakatuh shekh Shomari

  • @khaibadi7113

    @khaibadi7113

    2 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @thb9561
    @thb95613 жыл бұрын

    😂😂cheka sana huyu mchungaj anaejibu swali yeye kaambiwa alete aya inayosema biblia ni kitabu cha mungu..yeye analeta hadic za abunuac.. Halafu anajibu swali huku anaogopa ogopa yaan anatetemeka 😂😂😂

  • @suliamanbakhitsheikshariff3801
    @suliamanbakhitsheikshariff38012 жыл бұрын

    you can just know the poster is liying??

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60803 жыл бұрын

    Nakupenda kakangu kwa ajili ya Allah yaani unavo itiririsha mashaallah Allah akupe umri mrefu shaffi ww noma transformer ya Allah 🥰🥰🥰💥💥💥🤲🤲🤲👌👌👌❤❤❤

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly63042 жыл бұрын

    Loh watu wamempatisha mista been alafu haleluya Amin

  • @sarahmussa7043
    @sarahmussa70432 жыл бұрын

    Allah awape afya njema mashekhe zetu insha Allah.

  • @mabruquesaide5198

    @mabruquesaide5198

    2 жыл бұрын

    Oiolikpi

  • @IbrahimAli-vi9ep
    @IbrahimAli-vi9ep3 жыл бұрын

    Njaa ndio inawasumbua kupoteza watu

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban72953 жыл бұрын

    Daaah ni Raha Sana kuzaliwa Muislam

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa44793 жыл бұрын

    Hahaha hawa wachungaji lugha inasumbua sana kiswahili kigumu sana

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6342 жыл бұрын

    Bibilia imechafuliwa sana tena sana,inatukana manabii icho kitabu ndo maana kunanYeremia 8:8

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63462 жыл бұрын

    Lohhh wakiristo wanamtukana Mungu na yesu na manabii… waovu sana

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga76823 жыл бұрын

    Masha Allah. Waambiwe ukweli

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi14833 жыл бұрын

    Ma sha Allah, Allah ibarik

  • @111dudi
    @111dudi3 жыл бұрын

    Mapasta anachomekea maneno. Analinganisha mbu na makahaba, mbu ni kiumbe cha mungu, ukahaba ni tabia ya shetani. Wameshindwa kutoa aya kama biblia ni kitabu cha mungu.Nen9 boblia halimo ndani ya quraan, ila vitabu kama torati,zaburi na injili vimetajwa. Biblia yenyewe ni mikusanyiko tofauti, sio biblia zote zina vitabu sawa.Sheikh Shafii mungu akulinde

  • @tumajunior6080

    @tumajunior6080

    3 жыл бұрын

    Ameen 🤲🤲🤲

  • @idrisasabuni959
    @idrisasabuni9593 жыл бұрын

    Aliyewapa ruhusa ya kuvikusanya ni nani Sasa Kwan Kila kitabu kilishuka kutokana na watu wa kipindi hiko

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha8943 жыл бұрын

    Allah akbar Allah karim

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari54022 жыл бұрын

    Innalilahi.wainna.ilaihi rajiuun hakuna.siri.wakiristo mumepotea

  • @user-hp6gz6ln4k

    @user-hp6gz6ln4k

    2 ай бұрын

    Wewe ndiye umepotea shindwa sahih albukhar3448

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue71883 жыл бұрын

    Mashaallah Masheik

  • @chafutz690
    @chafutz6903 жыл бұрын

    Majbu yko bado mkuu wacrsto msome neno sio avae vmin 2

  • @rabiyamaulidinduwimana4110
    @rabiyamaulidinduwimana41103 жыл бұрын

    Nawaombea kwaallah awafishenyinyi niwaisilam

  • @unknownafrica5568
    @unknownafrica55682 жыл бұрын

    Hawa watu ni wabishi wangefata vitabu vya kweli vya kale wasingeambiwa wameharibu na ktk quruani imesema ikifata vitabu vya mwanzo taurati zaburi na njili ni ambavyo bado watu hawajaviharibu kuifanya bable. Ibrahim hajasema yy mungu au watu kumuota mungu musa hajasema yy mungu na hawajamuita wote wao walitokea na mmungu waje kueneza dini na kusema kua mmungu ni wa kuabudiwa si kuabudu masanam na quruani ilipo teremka lazima itaje vitabu hivyo kwani mmungu ni yuleyule si mwingine ila haijaongelewa bible mpya. Ktk quruani ni vile orignel amabavyo bado havijabadikushwa Na kilicho haribiwa quruani ilpinga kuifata ndio mana hiyo

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48242 жыл бұрын

    Masha"Allah sheikh shafi

  • @kasalamrisho6702
    @kasalamrisho67022 жыл бұрын

    Allah awalinde na awajaalie mwisho mwema

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue71883 жыл бұрын

    Mashaallah. Sheikh Shafii

  • @michaelbalton8966

    @michaelbalton8966

    2 жыл бұрын

    Kwani kama biblia imealibiwa wewe inakuuma nini?

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63462 жыл бұрын

    Alaaaa…. Kumbe wakiristo wamepotea.. sikujua mie 😂😂😂😂

  • @user-hp6gz6ln4k

    @user-hp6gz6ln4k

    2 ай бұрын

    Wewe ndiye umepotea soma sahih albukhar3448

  • @chafutz690
    @chafutz6903 жыл бұрын

    Majbu yko hayatoshelez mkuu

  • @hafsaali7976
    @hafsaali79763 жыл бұрын

    Mashaallah wameelewa tu sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uislamu raha

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Жыл бұрын

    Paster mwenye macho ya kusinzia,uko hoi.

  • @moorlandsafaris9484
    @moorlandsafaris94843 жыл бұрын

    Huyu mchungaji mwenyew ata aelewekii

  • @Moveskp
    @Moveskp3 жыл бұрын

    Mashallah

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6342 жыл бұрын

    katika kutengeneza Bibilia walisahau kuweka Ukristo ni dini ya Mungu,Allah swt ni mjuzi wa mambo yote sio mchezo...unadhani kungekua na andiko ukristo dini tusingepumua Waislam

  • @user-hp6gz6ln4k

    @user-hp6gz6ln4k

    2 ай бұрын

    Wewe ndiye huelewi jiulize Kwanza Nini maana ya dini eti walisahau😅

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    Ай бұрын

    @@user-hp6gz6ln4k Sijauliza maana ya dini,tafuta neno Ukristo kwanza,ukipata come back ntakuuliza dini maana yake nn?🤣lakini kwa sasa,tafuta Neno "Ukisto Dini" Maana ya dini tutakuuliza baadae

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @arafatshaban9217
    @arafatshaban92172 жыл бұрын

    O Allah hlp them

  • @user-sp4pu1fd9y
    @user-sp4pu1fd9y3 жыл бұрын

    we baba sio mzima

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18052 жыл бұрын

    Medadi,Utaachalini kusimama wima huku Ukikojoa?Kuanzoa Bukta mpaka suruari inanuka MKOJO na kuiweka Bibilia Makwapani.Makini wee.Umewapoteza wengi.

  • @rabiyamaulidinduwimana4110
    @rabiyamaulidinduwimana41103 жыл бұрын

    Allahma amini,nawapendasanaaaaa

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari54022 жыл бұрын

    Mchungaji.kakae wajikausha mate.subiri mashekhe wawafundishe

  • @mwashambamakame4435
    @mwashambamakame4435 Жыл бұрын

    Wakristo popote mulipo wacheni hio dini kwa usalama wenu... Nawahurumia sana Kwa kweli

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya65193 жыл бұрын

    Mashaallah tabarak allah

  • @chafutz690
    @chafutz6903 жыл бұрын

    Wewe mungu hana upungufu..

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @sirajammunira5634
    @sirajammunira56343 жыл бұрын

    Mapasta kwa ujanja wanaongoza kweli.utadhani wanasomea.Allah azidi kutuongoza na awape hidaya wanao potoshwa.Amin

  • @unknownafrica5568
    @unknownafrica55682 жыл бұрын

    Quruan hibDikishwu jina alilo toa mmungu kinaitwa daima quruani injili ya isa yesu sasa vp watokee watu watoe neno quruani kisha wakusanye vitabu vyote vya mwanzo Watuge na walilipe jina jipya watoe jina la quruan . Quruani ilikataza kubadilisha vitabu vya kuongeza ndio mana inakataza

  • @unknownafrica5568
    @unknownafrica55682 жыл бұрын

    Quruani unasema kutaja vitabu vya mmungu visvyo ni uongo inamansha biblia sasa aya ktk quruani ijiambie yenyewe kua guruani ni uongo au inamanisha kitabu kilicho haribiwa hawa wachungaji wananoronga tu

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын

    Huyu Medadi siku zote huwa hajibu maswali kutoka katika mada hata siku moja, anakwepakwepa tu

  • @hafsatjuma3373

    @hafsatjuma3373

    3 жыл бұрын

    Mashekhe Allh akulipeni

  • @labos1111
    @labos11112 ай бұрын

    Wewe wacha porojo, can you get us the exact or rather the original copies that were given to Jesus, Moses and David vis avis the ones that were corrupted!

  • @farajirashid8859
    @farajirashid88592 жыл бұрын

    Mahaalla

  • @boaz9248
    @boaz92483 жыл бұрын

    Mungu akubariki sherh

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim54383 жыл бұрын

    MA SHA ALLAH

  • @missrukia9661
    @missrukia96613 жыл бұрын

    Mashallhaa

  • @saumuseif9189
    @saumuseif91893 жыл бұрын

    Mashaallah kazi nzur sana Allah awalipekherii

  • @aminaibrahimu5871

    @aminaibrahimu5871

    3 жыл бұрын

    Yi

  • @aminaibrahimu5871

    @aminaibrahimu5871

    3 жыл бұрын

    Yi

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18053 жыл бұрын

    We Medadi wacha uwongo unawapoteza wakristo.Mskini HAUJUI LOLOTE.MISSI NA NA MPIRA WAPI NA WAPI?

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv26742 жыл бұрын

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang kama hautojali

  • @chafutz690
    @chafutz6903 жыл бұрын

    Mbona ninyi mnakunywa pombe hata kanisan kwenu aswa Roman Catholic..dah dah

  • @oqmoqmn5492
    @oqmoqmn54923 жыл бұрын

    Huyu mchungaji mbona hajajibu maswali kama alivyo ulizwa

  • @hassancharo1496

    @hassancharo1496

    2 жыл бұрын

    Hayana majibu kwA bible

  • @muddaththirhamoud1240
    @muddaththirhamoud12402 жыл бұрын

    Awa wakiristo wanajua dini yao sio ila wanalazimisha sana 😂 kisa wapate kula tu

  • @rahimhussein7341
    @rahimhussein73412 жыл бұрын

    Mchungaji anapuyanga

  • @muendokiawa9402
    @muendokiawa94022 жыл бұрын

    Biblia sio neno la MUNGU ila ndani ya biblia kuna bahadhi ya maneno machache tu ya Mungu,,, sitaki kuingilia korani kwakua pia kuna siri

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Жыл бұрын

    Huyu alitakiwa apambanishwe na Ndacha mchungaji patachimbikaje

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari54022 жыл бұрын

    Uzima na afya na Tamaa.ya.dunia itakupeleka pabaya

  • @suleimantsanje8904
    @suleimantsanje89043 жыл бұрын

    Mchungaji hajielewi

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed34373 жыл бұрын

    Maulana Shafii mageneous MAA SHAA LLAHU. ALLAH AWALIPE KHEIR NYINGI. AMIN. AMIN

  • @suleimantsanje8904
    @suleimantsanje89043 жыл бұрын

    Jibu swali mchunguji wapotosha wenzako

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Жыл бұрын

    Bibila na mpira WApi na wapi.Hili lidubwasha halina hoja yyte,anaropoka tuu.

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18053 жыл бұрын

    Kawaida ya Mijitu mikubwa hayana AKILI.Anachaga MPIRA NA DINI.

  • @nimesirimuchanzomiazarayam7543

    @nimesirimuchanzomiazarayam7543

    3 жыл бұрын

    Ao kiboko yao mazinge

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18052 жыл бұрын

    Matapishi

  • @jaliwagahi8729
    @jaliwagahi87293 жыл бұрын

    Shaff

  • @shinestarcompanyltd7062
    @shinestarcompanyltd70623 жыл бұрын

    Jamani jamani raha kuzaliwa muisram rahaaaaa

  • @kassimabdalla1987

    @kassimabdalla1987

    3 жыл бұрын

    Raha Sana na tumshukuru mungu kwa hili.

  • @ambrosiamlinga8402

    @ambrosiamlinga8402

    3 жыл бұрын

    Aisha was 6yrs old kaolewa na 54 yrs old?

  • @malikiyassini5253

    @malikiyassini5253

    3 жыл бұрын

    Uislam nidini ya haqi.

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    3 жыл бұрын

    @@ambrosiamlinga8402 shida yajo nini?

  • @oqmoqmn5492

    @oqmoqmn5492

    3 жыл бұрын

    Alihamdullillah

  • @babazungu3180
    @babazungu31802 жыл бұрын

    Roman Catholic church bibilia yao inavitabu 73 na king James 63 balaa hili

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Walim wa kikristo hamna kitu kabisa

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Жыл бұрын

    Hili LIDUBWASHA hajui lolote.Tumbo lake ni pipa imejaa NYAMA ZA NGURUWE.

  • @davidmwiniko6941
    @davidmwiniko69413 жыл бұрын

    Wanakariri vijimstari, hamna kitu

  • @alexmwalim9714

    @alexmwalim9714

    3 жыл бұрын

    Lete andiko bibilia ilitoka kwa Mungu

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme53813 жыл бұрын

    Paka sai naicheki tu

  • @bensononyango1426
    @bensononyango14262 жыл бұрын

    Kama Musa, Ibrahimu au Isha walikuwa waislamu, mbona torati, injili na zaburi Haina neno ISLAM????? Jibu hiyo!!!!!

  • @sultansallah4509

    @sultansallah4509

    2 жыл бұрын

    Islam ni unynykev

  • @Lifeeofemmy
    @Lifeeofemmy2 жыл бұрын

    Mtume yupi kwenye kati ya Mitume woooote ameshushiwa Bibile??????

  • @Lifeeofemmy

    @Lifeeofemmy

    2 жыл бұрын

    Bible nimaandishi ya watu,ya vitabu vitatu claims makosa yatakuwepo

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. Wwe have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.

  • @jamshidjafari2598
    @jamshidjafari25983 жыл бұрын

    ALLAH akuepushe na adhabu ya kaburi

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18053 жыл бұрын

    Huyu mwasonya nae zuzu kabisaaaaa.

  • @naimaabuualii578

    @naimaabuualii578

    2 жыл бұрын

    😁😁kbsa

  • @labos1111
    @labos11112 ай бұрын

    It is so simple, if at all you're sure that the bible was corrupted, just bring us the two copies i.e the corrupted and the original one then you can engage in reasonable debate on matters faith!

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn77523 жыл бұрын

    Acha uongo na uhuni ongelea uislam sio biblia kitabu kitakatifu

  • @hassansumera7818

    @hassansumera7818

    3 жыл бұрын

    Unaelewa maana ya bibilia usiwe mfuasi asiefanya utafiti usije ukawa bubusa(mbumbumbu).

  • @labos1111
    @labos11112 ай бұрын

    Why do you always make reference in the same bible that is "corrupted " to justify your points?

  • @tbwoy216
    @tbwoy2162 жыл бұрын

    Hukuelewa,,1 wakorintho 23-25 inaeleza vizuri,,,,Yani kile unacho kiona ni upumbavu kwako wewe.. kwa MUNGU ni hekma,,,hivi ndivyo inavyo maanisha..

  • @zawia3154

    @zawia3154

    Жыл бұрын

    Swala ni kwamba biblia imetiwa mikono ya watu KWAHIO baadhi ya maandiko hayana ukweli ndo maana mungu akaleta Quran Ili kubainisha haki Iko wapi

  • @tbwoy216

    @tbwoy216

    Жыл бұрын

    @@zawia3154 Quran ukisoma sura Al barwani 2-97 chenyewe kinathibitisha si kitabu Cha MUNGU.

  • @zawia3154

    @zawia3154

    Жыл бұрын

    @@tbwoy216 hahahah wenzenu waislam tunasona biblia yenu na Quran yetu tunaijua nyie mnajua habari za biblia tu kwaiyo hamuelewi lolote kuhusu Quran Baruani ni mtu aliefasiri Quran kwanza ujue na sio sura Wala Aya haya tusaidie io Aya inayoonyesha hayo maneno

  • @tbwoy216

    @tbwoy216

    Жыл бұрын

    @@zawia3154naijua Quran yote na BIBILIA nilisoma kutaka kujua ukweli (mtu husoma kwa kuitafuta kweli,,,sio kutetea ambayo huijui lakini wafuata bila kujua) huamini barwani?

  • @johnmathew2769
    @johnmathew27693 жыл бұрын

    ukristo siham abadan

  • @abubakarimshahara3528

    @abubakarimshahara3528

    2 жыл бұрын

    Huna haja ya kusoma Quran, biblia yako ukisoma vizuri tu unakuwa mwislam,

  • @johnmathew2769

    @johnmathew2769

    2 жыл бұрын

    @@abubakarimshahara3528 sina haja kwel na ndoo maana ctaki kuisoma

  • @onlineislamictv7126
    @onlineislamictv71262 жыл бұрын

    Biblia sio kitabu cha Mungu

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga53353 жыл бұрын

    Kama amjui katafutenikazi

  • @hassansumera7818

    @hassansumera7818

    3 жыл бұрын

    Kazi yenyewe ndio hii kuweka bayana yanayofichwa

  • @abubakarimshahara3528

    @abubakarimshahara3528

    2 жыл бұрын

    Shida yako hutaki kujua ukweli, utapata shida Sana endelea kusoma zaburi ya 23 unayoijua pekee

  • @josephmchila6467
    @josephmchila64673 жыл бұрын

    Mijadala ya aina hii haina afya kwa umoja wa kitaifa,iliwahi kuzuiliwa miaka ya 1990, imekuwaje sasa?

  • @salumabdul6889

    @salumabdul6889

    3 жыл бұрын

    Kweli ukweli uongo hujitenga

  • @hassansumera7818

    @hassansumera7818

    3 жыл бұрын

    Hawagombani wanajadili kwa hoja na kuzuiliwa mihadhala ni kazi ya mfumo kristo sote ni abilia was Mohammad rudini jaman, jazakum Llahu khair.

  • @bekamwaba3571

    @bekamwaba3571

    3 жыл бұрын

    Ukweli hauzuiliki hata kwa nyororo

  • @abubakarimshahara3528

    @abubakarimshahara3528

    2 жыл бұрын

    Soma biblia yako vizuri acha kulaumu mijadala,

  • @hassanihathunu9531

    @hassanihathunu9531

    2 жыл бұрын

    Sio hoja hio. Msaidie mchungaji wko Maana hajielewi. Kuzuia mijadala hio Ni dadili Ya kuepuka ukweli

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph14223 жыл бұрын

    Kitabu kitakatifu ni. biblia inaunganisha.wote waliojiliwa na.neno la mungu toka mwanzo.mpaka.ufunuo ni sauti ya mungu aliye. aliyeumba.mbingu.na.nchi. Usikizarau maana. Ni.mungu.anaongea. Juu. Ya.mataifa yote ya ulimwengu . Nisauti ya mungu.inayoishi.mpaka siku.ya. hukumu.yaulimwengu wote mataifa yote makabila yote yatapohukumiwa . Matayo. 24: 14. Matayo 25: 30 31

  • @salumabdul6889

    @salumabdul6889

    3 жыл бұрын

    🤰🤰🤰

  • @macrinajoseph1422

    @macrinajoseph1422

    3 жыл бұрын

    Kuruani na biblia miungu miwili tofauti. .

  • @hamisishabani4072

    @hamisishabani4072

    2 жыл бұрын

    HUYU ANAEJIITA MCHUNGAJI,ANAONGEA MANENO YASIYOKUWA NA AFYA, ANAJARIBU KUTENGENEZA MANENO MEENGI KUONGEA ILI AONEKANE ANATETEA HOJA. KWAMBA BIBILIA HAIKUHARIBIWA. LAKINI USTAADHI SHAFII UMEELEWEKA NA UMEWEKA SOMO WAZI KABISA,HATA MTOTO WA DARASA LA 3 ANAELEWA BILA TABU YOYOTE.USTADHI SHAFII WEWE NI MWALIMU NA NI PROFESA KWA HUYO ANAEJIITA MCHNGAJI.HUYO NI MBABAISHAJI TU NA HANA HOJA.WENYE AKILI WOTE NA WENYE UPEO WA KUFIKIRI TUNAKUELEWA USTADHI SHAFII SOMO LIKO WAZI.HUYO JAMAA AMEONEKANA NI DHAIFU SANA HAJUI HATA NAMNA YA KUJIBU HOJA NI MBABAISHAJI TU.USTADHI SHAFII UKO VIZURI.

  • @hamisishabani4072

    @hamisishabani4072

    2 жыл бұрын

    NI MKASA HUU, YESU ALIKUWA NI MUIBRANIA,KAMA WANAVYOTUFUNDISHA MAUSTADHI.SASA INAKUWAJE INJILI TENA IWE NI YA KIYUNANI? HAPO HAPO WAGIRIKI NDIO WAWE WAJUAJI KULIKO WENYEWE WAIBRANIA WENYE KITABU CHAO?NI MKASA ULIOJE KWA HAWA WANOJIITA WACHUNGAJI.HAWAJIELEWI KABISAA NA HAWANA UWEZO WAKUJIBU HOJA.

  • @macrinajoseph1422

    @macrinajoseph1422

    2 жыл бұрын

    Kuharibiwa kwa biblia nikuzaliwa vitabu vinavosimama nje ya.imani ya.yesu kuyapinga yaliyoandikwa humo. Ila sisi tuliyoamini.biblia tunasonga mbele hatuna.masha.wala hofu.

  • @loysamwel6308
    @loysamwel63082 жыл бұрын

    Unauwakika ngani shafi

  • @abdulrehmanriadha6574

    @abdulrehmanriadha6574

    2 жыл бұрын

    Ndio ako na uhakika Kwan Mungu anaweza sema taurat imeharibiwa

  • @abubakarimshahara3528

    @abubakarimshahara3528

    2 жыл бұрын

    Anasoma kwenye biblia, tulia uelewe tu

Келесі