MUHUBIRI SHAFII AWATIKISA WAISLAM MBAGALA
#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Пікірлер: 285
Wallah cjutii kutoka kwenye ukristo na kuwa Muislam
@saddybrezzy9777
Жыл бұрын
ALLAH Akufanyie wepesi kaka
@omarmohd181
Жыл бұрын
Allah qzidish iman yak kaka
@huseinshedrack6180
Жыл бұрын
@@saddybrezzy9777 Ameeeeeeen ndg yng
@huseinshedrack6180
Жыл бұрын
@@omarmohd181 Ameeeeeeen ndg yng
@kalaboy6132
Жыл бұрын
Ongera sana kwakuingia kwenye din ya haakki.
Mwaipopo mungu akupe afya njema kwakazi Unafanya Nakupenda kwajili Allah 💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙
@nasirahmed3295
2 жыл бұрын
AAMIIN
MAASHAALLAH..ALLAH awape umri mrefu wahadhiri wetu
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Amiin
Ma sheikh Allah awape nguvu na umri mrefu mihadhara irudi kama zamani inshaallah
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html
@heyumi2340
2 жыл бұрын
inshaallah
tusemen alhamdulillah kwa kuzaliwa muislamu na pia kwa wale walioiona njia ya haki na kuifata Allah awalipe kila la kher
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Alhamdulilah
Uyu mtu geniuz kuliko maprofesa wanaonifundisha mashaaallah!
@ummuhkhalfan5542
2 жыл бұрын
Masha'Allah
MashaAllah Allah akubarik sheikhe Shafii kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
SSP uyo Mashallah Shekhe Shafi nakupenda sanaa Kwa ajili ya Allah na Allah akuweke.
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Amiin
Shafii,wewe ni noma ,unatisha! Tunamshukuru Allah kwa kumuumba mtu muhimu kama wewe
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Amiin
@jacksonnzai1593
2 жыл бұрын
@@nuswemwaipopo9558 anatisha kwako la c kwa wakristo, atishe ye jini?.
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
@@jacksonnzai1593 he nimesema nini?
Ndo shaffi huyo Masha"Allah
@barakamwekwa1413
2 жыл бұрын
Wewe hujui unalo sem wewe nimshabikitu wadini umeamua kuwafurahisha watu kwa ucheshi tu
@saideomarnaimo8350
2 жыл бұрын
Assalamu ãlaykum yaa akhey, vipi hali yako?
@mohammedrajabumwamba1322
2 жыл бұрын
🤝
@mohammedrajabumwamba1322
2 жыл бұрын
🤝
@anwarambar6141
2 жыл бұрын
MashaAllah Sheikh Shafi Allah akuzidishie ilimu , uzidi kutoa watu kutoka kwa Giza kuwaleta katika Nuru kwa idhini ya Allah Subhanahu wataala
Hostazi shaffii mungu akupe umrii mrefu uendelee kuupgania uislamu nakupnda sana kwa ajili ya allah
Mungu ana waona kwa kazi kubwa mzazofana mashaalla
ASALAAM ALAIKUM. MAASHAA ALLAH. MAASHAA ALLAH. MAASHAA ALLAH. TABARAKA RAHMAN ALLAH AZIDI WA IBAREEK
@user-os9ul5iu5y
2 жыл бұрын
Walaykum Salam warahmatullah wabarakatuh amiin
Maashallah mwenyezi mungu awalipe Kheir
Shekhe Mwaipopo Allah akuweke wewe na Mashekhe wenzako wote Ameen.
Masha allah shekh shafii🙏🙏
@evahenry7798
2 жыл бұрын
Du nimegudua kuwa bado sana watu kumuelewa Yesu Kristo....mbona maandiko mengine hamsomi mfano Yoh.1:1-5, 14 ukielewa hayo maandiko utajua kuwa Yesu ni nani.... Yesu alikufa na akafufuka mwenyewe, je ni mwanadamu yupi alifufuka mwenyewe?....
MashaAllah Shelkh Shafii shukrani
@zulfawaithera5479
2 жыл бұрын
Maa shaa Allah Tabarak Allah
Shukran sana mashekhe wetu
MASHAA ALLAH!
Mashaallah masheikh wetu Allah awazidishi afyanjema
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Amiiin
Maa shaa Allah tabarakaah Allah allah akuweke sana mashekh wetu
Shafiii mtoto wa kwa Aziza Ally hongera sana juhudi zako naziona na umri umeshakimbia duuuh
Mungu awabariki sana naomba muje na huku tegeta salasala kawe tunajifunza mengi mno
Shafi mashaallah tabarakaallah Mungu akupe afya njema kwakazi Unafanya
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html
Mashaallah shekh, Shafii, nakupenda sana
Mashallhaaa shafii khatalisana
Ma Shaa Allah
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html
@duniawadunia4824
2 жыл бұрын
Tubonyeze nini acha ujinga
Shafii km Shafii Mmafia og❤️
MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏 Sheikh Shaafi
Mkristo akisimama kumzungumzia Muhammad basi pia mue mnavumilia pia
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
We nini bwana
Mashaallah kakangu shafi ww ni transformer ya Allah 💪💪💪watuzidisha imani na kututia nguvu
Jazaka Allah khaira shekh shafi
ALLAH AWAJAZE KHERI, BARAKA NA HEKIMA NYINGI SHK MWAIPOPO NA USTAADH SHAFI.. AAAAMEEEEIN
Mungu akupe kila la kheri hapa duniani na kesho akhera
Maashaallah, jazaakallah lkheir
Shafii umenenepa mashallah
Wakristu Tunakutakiakheri,,Kuhusu Dini Sote Tumezikuta,,Tuombeanekheri,,Tusikebehi,, Kifo Akichagui Sote Wamoja
Mashaallah Allah kareem
She shafi kipaji kingne ich another talented
Inshaa allah
Mwenyezi Mungu awape wesi zaidi ili na sisi maamuma tufaidike na kuelewa dini ya kweri ni ipi (uislam)
MashaAllah sheikh shafii, good job
Masha Allah
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html
@abuuramadhan8093
2 жыл бұрын
Wakristo wanajua hakuna dini inaitwa ukristo
@abuuramadhan8093
2 жыл бұрын
Wakristo wanajua hakuna dini inaitwa ukristo Wala hakuna mahali kwenye biblia kumesema Kuna dini inaitwa ukristo hata lusekelo alisemaga
Masha Allah,.. Sheikh wangu MUNGU akueke,.. Wallah chakushangaza kwani hawa wakristo hizi aya huwa hawazionii ama tatizo huwa liko wp,.. Biblia hujaijua wakimbilia Quran utaiwezaa ?
Takibirr allahuakibarro.mashalla
Mashallah Allah
Manshallah allah akbar
Poleni sana msilolijua ni sawa na usiku wa giza mnajifurahisha tu hapo bila kusema Yesu hamnaga raha Mungu awasamehe siku ya kiama ndo mtajua Yesu ni nani tena mtaingia motoni jinsi mlivyo
Shafiiiii...nakupenda kwa sababu ya ALLAH...na inshaAllah upate mapenzi ya ALLAH
Napendasana kufatiliamiazarayenu
Alhamdulillahi niko mwisilalu na nife katika haki
Asalam alekum:Mashallah,Mashallah Mimi ni mkenya nimefurahi sana kwahiyo mawaitha
Tunaomba Sana yule muhuni ndacha mutukamatie
ماشاء الله شيخ شافي شماري الله يحفظه ويطول عمره
@alhajjwaupe4593
Жыл бұрын
Ameen
Maa shaa allaj
Mungu alionekana kwa Ibrahim kitabo ca mwanzo 18
MASHALLA aah🕌
Mashalah
subhanah alahh akbar
Mashaallaah mashekhe wangu
Amiin
Ameen yaa a rabb
😂😂😂najiskia furaha kwa kuzaliwa muislamu mungu awalipe kwa kazi nzuri na allah awalipe kheri wale waloelewa na kufata dini ya haki inshaallah
MashaAllah
Ma Shaa ALLAH
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html
Masha Allah napenda kumsikiza Shafii
Nema ya Allah jamani shafi amenenepa vizuli Allah akuwekeye wepesi kwakazi unayoyafany
mungu. akuli. Sheik
Maa Shaa Allah
@pasiansiay9480
2 жыл бұрын
Hawa wanaojadili haya wawe wakristo au waislam wamejaa upofu wa kifikra ama hawana kazi ya kufanya. Serikali yapaswa kukemea haya
Aamiin
HAKUNA NABII HAKUNA MTUME HAKUNA MUNGU NNJE YA YESU KRISTO KILA GOTI LITAPIGWA KILA ULIMI UTAMKIRI
Masjallah: Shekh shafii unapoongea lazima tu watu wacheke
Amina
Waislamu elimu ya Roho hamuna, na kamwe hamtokuja kuijua kweli mpaka Yesu atakaporudi mara ya pili kama alivyosema na mtaishia motoni. ULIOKUFA NI MWILI, LAKINI ROHO YAKE HAIKUFA. NI MWILI ALIOUVAA NENO(Yesu ni Neno Yohana 1:1) NDIYO ULIOKUFA LAKINI ROHO YAKE HAIKUFA ILIENDELEA KUWEPO KAMA KAWAID. 👇👇 1Petro 3:18 18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; MWILI WAKE AKAUAWA, bali👉 ROHO YAKE AKAHUISHWA Tunaposema Yesu alikufa ni Mwili ule aliouvaa ndiyo uliokufa, Lakini ROHO yake iliendelea kuwa hai kama kawaida, sio kama binadamu sisi, tunapokufa, tunakufa mwili na roho.
Asalamu Waislamu tunaomba tuwachangie taa za camera na maiki za ziada (kama navyo ona kigiza kikianza picha hazionekani)Mashekhe zetu kwani kila kiltu sio waombeombe tujiongeze
Sheikh shaffi Allah akufungulia kila palipo fungika
Safi
Twakupenda shafii😘
@asiabakar3207
2 жыл бұрын
Na mi naeapenda
🤣🤣🤣🤣rahaaaa mpk ndani ya nafsi nakupenda bure kakangu kwa ajili ya Allah
Tam Sana
Shafi kiboko
Yesu ni Mungu aliyekuja kushinda kifo wala hilo kama hamna imani hamiwezi kuelewa
@luluelia-yo2rg
Ай бұрын
Wew ndouna lolote
@chriswasonga1782
Ай бұрын
Hawa wote wamechanganyikiwa ni kama waganga wkienyeji. Hata huyu anayeongeya ndiyo karogwa
Ndivyo ilivyo kwa Yesu,, Mungu alijifunua kupitia umbo la kibinadamu, tunachoona ni mwili wa kibinadamu ambao Mungu yupo ndani yake; 👇👇 Waebrania 1:1-2 1 Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi, 2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
@shabamuhidin634
2 жыл бұрын
wakati Mungu yupo ndani ya Yesu,na yesu anaomba Baba yetu uliye mbinguni sasa ni mungu gani tena aliekua mbinguni anaomba wakati yupo ndani kamvaa yesu..ebu jaribu kuitumia akili ata kidogo basi
@frankmpembu2505
2 жыл бұрын
@@shabamuhidin634 Swali zuri umeuliza. Mungu wetu ni Mmoja, lakini hujifunua katika Wingi,, Katika Baba na Neno na Roho Mtakatifu na kubaki hivyo hivyo mmoja, Mathayo 28:19. Neno(Yesu) alipofanyika mwili akiwa duniani alikuwa akiongea na Baba aliyekuwa mbinguni.
@frankmpembu2505
2 жыл бұрын
@@shabamuhidin634 Waislamu elimu ya Roho hamuna
@pamoles1303
2 жыл бұрын
@@frankmpembu2505 Paulo kakuingizeni mkenge mwenyezimungu ni mmoja tu na SI watatu Wala wanne
@frankmpembu2505
2 жыл бұрын
@@pamoles1303 Aliyekua mbia Mungu watatu nani? Soma Vizuri comments zangu
Ni kweli, hakuna aliyewahi kumwona Mungu, na Mungu anasema Binadamu hawezi kumwona akaishi, hivyo Mungu utumia maumbile ya asili yanayomzunguka Binadamu huyo aliyemwumba kuongea naye. Mfano, Mungu alitumia kijiti kilichokuwa kikiwaka Moto kuongea na nabii Musa, kutoka 3:4; 4 Bwana alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema, Musa! Musa! Akasema, Mimi hapa
@mukrimmohd8954
2 жыл бұрын
Hujui ulisemalo mungu avae mtu veep
Ndio maana mnakula lakini mmechakaa .kwa kugusa mambo msioyajua undani . wake.tatizo mko kimwili zaidi. Kuna siri hamjaijua kuhusu yesu kristo
Kwa kweli kuelewa ni kazi ngumu Waislamu munashangilia kitu msichokijua
Qur'an 29:47 47. Na namna hivi tumekuteremshia Kitabu (cha Qur'ani). Basi wale tulio wapa Kitabu CHA BIBLIA wataiamini (Qur'ani), na miongoni mwa hawa (washirikina) wapo watakao iamini. Na hawazikatai ishara zetu isipo kuwa makafiri.
@burhanimahmoud8985
2 жыл бұрын
Frank kuwa tu muislam mashallah unapendezea sana kaka
Kweli ni mtihani kuna makabila fulani hawaja tahiliwa lakini mungu wao yesu katahiliwa duu kweli ni vaisi vesa eti mpaka uwe na roho mtakatifu ndio maana zumaridi nae kawa ambia watu wake yeye ni mungu subhanallah Allahu Akbar hii ndio shida kukubali kila unacho ambiwa kisingizio roho mtakatifu mmm
Sheikh Shafii huwa namkubali sana?
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html
Mashaallah lugha fasaha tafsiri sahihi wakati muhimu ila tu ni kwa watu wenye akili Shafi asie kuelewa ni ambaye alishahukumiwa ukweli uko wazi hakuna kupindisha ukweli sifa za mungu ni hizi na sifa za mwana adam ni hizi sasa wee pinga kwa kuwa ulishamezeshwa clip ya YESU MUNGU na hilo mpaka kufa mpaka.........ALLAH Awape umri mrefu wenye manfaa kwa uma wa mtume Muhammad.
@AshraqNasoro
Ай бұрын
Mashalla ustadhi shafi
@AshraqNasoro
Ай бұрын
Alla akulinde na maaduyi wa baya
Jembe
Jamani amna ufahamu wakujua uungu wa yesu ju nyie mlimjua Yesu bada ya yeye kuzaliwa, wakristo kumemfahamu tangu misingi ya dunia haijawekwa. amtaelewa ata mwisho unless muokoke.
@salehabdulaziz9218
2 жыл бұрын
Okokaa ww mwanzo kwenye kaburi utaliaa utatamani ungekua mwislamu tuhh
Mbona wakristo hawamtaji Muhammad kwenye mihadhara Yao? Lakini waislamu wanakereka sana na jina kuu juu ya majina yote alilopewa Kristo,hapa duniani na huko mbinguni? Atakaporudi tena itakuwaje?
Hilo swali Waislamu mmelikwepa kujibu, "hii ni Qur'an bwana, kunavitu unatakiwa uwenavyo ndiyo uweze kuielewa" Kisha akakimbilia kwenye Biblia, na kuacha swali aliloulizwa, na hii clip mmeiweka nusu
@pamoles1303
2 жыл бұрын
Klip mbona zipo nyingi
@frankmpembu2505
2 жыл бұрын
@@pamoles1303 Hilo swali Mmeshindwa kujibu,,mmekimbilia kwenye Biblia, Biblia yenyewe hamuiwezi,Mnaisoma kama gazeti lenu Qur'an
Jaman waisalam mspige makofinyinyi
Porojo tupu Allah wa dhahiri,vipi
Acha kukashifu Dini ya wengine, nchi hii kila mtu ana uhuru wa kuabudu bila kukashifu dini ya mwingine
Sio thimotheo ya kwanza....ni ya pili
SSP nawakubali wahadhir wote waliohuzuriahapo
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html
Hapa ndipo shida ilipo. Unaweza soma neno la Mungu usilielewe vile Mungu anavyo taka ulielewe. Ni sawa na kwa na simu usijue kutumia kila kitu kilicho ndani yake.
@mukrimmohd8954
2 жыл бұрын
Haingii akilini dini unasomeshwa toka mdogo
@mukrimmohd8954
2 жыл бұрын
Nonsense