MUHUBIRI SHAFII AWATIKISA WAISLAM MBAGALA

#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Пікірлер: 285

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack61802 жыл бұрын

    Wallah cjutii kutoka kwenye ukristo na kuwa Muislam

  • @saddybrezzy9777

    @saddybrezzy9777

    Жыл бұрын

    ALLAH Akufanyie wepesi kaka

  • @omarmohd181

    @omarmohd181

    Жыл бұрын

    Allah qzidish iman yak kaka

  • @huseinshedrack6180

    @huseinshedrack6180

    Жыл бұрын

    @@saddybrezzy9777 Ameeeeeeen ndg yng

  • @huseinshedrack6180

    @huseinshedrack6180

    Жыл бұрын

    @@omarmohd181 Ameeeeeeen ndg yng

  • @kalaboy6132

    @kalaboy6132

    Жыл бұрын

    Ongera sana kwakuingia kwenye din ya haakki.

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Mwaipopo mungu akupe afya njema kwakazi Unafanya Nakupenda kwajili Allah 💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙

  • @nasirahmed3295

    @nasirahmed3295

    2 жыл бұрын

    AAMIIN

  • @omarmadzumba1632
    @omarmadzumba16322 жыл бұрын

    MAASHAALLAH..ALLAH awape umri mrefu wahadhiri wetu

  • @nuswemwaipopo9558

    @nuswemwaipopo9558

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa55632 жыл бұрын

    Ma sheikh Allah awape nguvu na umri mrefu mihadhara irudi kama zamani inshaallah

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    inshaallah

  • @issmuking3987
    @issmuking39872 жыл бұрын

    tusemen alhamdulillah kwa kuzaliwa muislamu na pia kwa wale walioiona njia ya haki na kuifata Allah awalipe kila la kher

  • @nuswemwaipopo9558

    @nuswemwaipopo9558

    2 жыл бұрын

    Alhamdulilah

  • @Khmediy3241
    @Khmediy32412 жыл бұрын

    Uyu mtu geniuz kuliko maprofesa wanaonifundisha mashaaallah!

  • @ummuhkhalfan5542

    @ummuhkhalfan5542

    2 жыл бұрын

    Masha'Allah

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani13372 жыл бұрын

    MashaAllah Allah akubarik sheikhe Shafii kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78232 жыл бұрын

    SSP uyo Mashallah Shekhe Shafi nakupenda sanaa Kwa ajili ya Allah na Allah akuweke.

  • @nuswemwaipopo9558

    @nuswemwaipopo9558

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @khaliddaud5352
    @khaliddaud53522 жыл бұрын

    Shafii,wewe ni noma ,unatisha! Tunamshukuru Allah kwa kumuumba mtu muhimu kama wewe

  • @nuswemwaipopo9558

    @nuswemwaipopo9558

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @jacksonnzai1593

    @jacksonnzai1593

    2 жыл бұрын

    @@nuswemwaipopo9558 anatisha kwako la c kwa wakristo, atishe ye jini?.

  • @nuswemwaipopo9558

    @nuswemwaipopo9558

    2 жыл бұрын

    @@jacksonnzai1593 he nimesema nini?

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48242 жыл бұрын

    Ndo shaffi huyo Masha"Allah

  • @barakamwekwa1413

    @barakamwekwa1413

    2 жыл бұрын

    Wewe hujui unalo sem wewe nimshabikitu wadini umeamua kuwafurahisha watu kwa ucheshi tu

  • @saideomarnaimo8350

    @saideomarnaimo8350

    2 жыл бұрын

    Assalamu ãlaykum yaa akhey, vipi hali yako?

  • @mohammedrajabumwamba1322

    @mohammedrajabumwamba1322

    2 жыл бұрын

    🤝

  • @mohammedrajabumwamba1322

    @mohammedrajabumwamba1322

    2 жыл бұрын

    🤝

  • @anwarambar6141

    @anwarambar6141

    2 жыл бұрын

    MashaAllah Sheikh Shafi Allah akuzidishie ilimu , uzidi kutoa watu kutoka kwa Giza kuwaleta katika Nuru kwa idhini ya Allah Subhanahu wataala

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi75852 жыл бұрын

    Hostazi shaffii mungu akupe umrii mrefu uendelee kuupgania uislamu nakupnda sana kwa ajili ya allah

  • @ibrahimhamza832
    @ibrahimhamza832 Жыл бұрын

    Mungu ana waona kwa kazi kubwa mzazofana mashaalla

  • @hamoodalrawahy2026
    @hamoodalrawahy20262 жыл бұрын

    ASALAAM ALAIKUM. MAASHAA ALLAH. MAASHAA ALLAH. MAASHAA ALLAH. TABARAKA RAHMAN ALLAH AZIDI WA IBAREEK

  • @user-os9ul5iu5y

    @user-os9ul5iu5y

    2 жыл бұрын

    Walaykum Salam warahmatullah wabarakatuh amiin

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93132 жыл бұрын

    Maashallah mwenyezi mungu awalipe Kheir

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78232 жыл бұрын

    Shekhe Mwaipopo Allah akuweke wewe na Mashekhe wenzako wote Ameen.

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila45722 жыл бұрын

    Masha allah shekh shafii🙏🙏

  • @evahenry7798

    @evahenry7798

    2 жыл бұрын

    Du nimegudua kuwa bado sana watu kumuelewa Yesu Kristo....mbona maandiko mengine hamsomi mfano Yoh.1:1-5, 14 ukielewa hayo maandiko utajua kuwa Yesu ni nani.... Yesu alikufa na akafufuka mwenyewe, je ni mwanadamu yupi alifufuka mwenyewe?....

  • @nooroman2535
    @nooroman25352 жыл бұрын

    MashaAllah Shelkh Shafii shukrani

  • @zulfawaithera5479

    @zulfawaithera5479

    2 жыл бұрын

    Maa shaa Allah Tabarak Allah

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo12432 жыл бұрын

    Shukran sana mashekhe wetu

  • @jimjam4148
    @jimjam41482 жыл бұрын

    MASHAA ALLAH!

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42722 жыл бұрын

    Mashaallah masheikh wetu Allah awazidishi afyanjema

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html

  • @nuswemwaipopo9558

    @nuswemwaipopo9558

    2 жыл бұрын

    Amiiin

  • @maryambintukhadija1604
    @maryambintukhadija16042 жыл бұрын

    Maa shaa Allah tabarakaah Allah allah akuweke sana mashekh wetu

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku62932 жыл бұрын

    Shafiii mtoto wa kwa Aziza Ally hongera sana juhudi zako naziona na umri umeshakimbia duuuh

  • @jumamakamba2212
    @jumamakamba22122 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana naomba muje na huku tegeta salasala kawe tunajifunza mengi mno

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Shafi mashaallah tabarakaallah Mungu akupe afya njema kwakazi Unafanya

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html

  • @alrashdi2710
    @alrashdi27102 жыл бұрын

    Mashaallah shekh, Shafii, nakupenda sana

  • @missrukia9661
    @missrukia96612 жыл бұрын

    Mashallhaaa shafii khatalisana

  • @fatmazena8886
    @fatmazena88862 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html

  • @duniawadunia4824

    @duniawadunia4824

    2 жыл бұрын

    Tubonyeze nini acha ujinga

  • @khdigahk4246
    @khdigahk42462 жыл бұрын

    Shafii km Shafii Mmafia og❤️

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын

    MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏 Sheikh Shaafi

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam58132 жыл бұрын

    Mkristo akisimama kumzungumzia Muhammad basi pia mue mnavumilia pia

  • @husseingabo5497

    @husseingabo5497

    2 жыл бұрын

    We nini bwana

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60802 жыл бұрын

    Mashaallah kakangu shafi ww ni transformer ya Allah 💪💪💪watuzidisha imani na kututia nguvu

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis2262 жыл бұрын

    Jazaka Allah khaira shekh shafi

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын

    ALLAH AWAJAZE KHERI, BARAKA NA HEKIMA NYINGI SHK MWAIPOPO NA USTAADH SHAFI.. AAAAMEEEEIN

  • @SakinaMuhsin-nc4zq
    @SakinaMuhsin-nc4zq Жыл бұрын

    Mungu akupe kila la kheri hapa duniani na kesho akhera

  • @mwashambamakame4435
    @mwashambamakame4435 Жыл бұрын

    Maashaallah, jazaakallah lkheir

  • @faridayendayenda7664
    @faridayendayenda76642 жыл бұрын

    Shafii umenenepa mashallah

  • @dicksonluena3266
    @dicksonluena32662 жыл бұрын

    Wakristu Tunakutakiakheri,,Kuhusu Dini Sote Tumezikuta,,Tuombeanekheri,,Tusikebehi,, Kifo Akichagui Sote Wamoja

  • @AminaAmina-on3yf
    @AminaAmina-on3yf2 жыл бұрын

    Mashaallah Allah kareem

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta66412 жыл бұрын

    She shafi kipaji kingne ich another talented

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54872 жыл бұрын

    Inshaa allah

  • @tunudimandogreek9683
    @tunudimandogreek96832 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu awape wesi zaidi ili na sisi maamuma tufaidike na kuelewa dini ya kweri ni ipi (uislam)

  • @ahmedabdirustu2193
    @ahmedabdirustu21932 жыл бұрын

    MashaAllah sheikh shafii, good job

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara27892 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    2 жыл бұрын

    Wakristo wanajua hakuna dini inaitwa ukristo

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    2 жыл бұрын

    Wakristo wanajua hakuna dini inaitwa ukristo Wala hakuna mahali kwenye biblia kumesema Kuna dini inaitwa ukristo hata lusekelo alisemaga

  • @hamissuche6576
    @hamissuche65762 жыл бұрын

    Masha Allah,.. Sheikh wangu MUNGU akueke,.. Wallah chakushangaza kwani hawa wakristo hizi aya huwa hawazionii ama tatizo huwa liko wp,.. Biblia hujaijua wakimbilia Quran utaiwezaa ?

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame38632 жыл бұрын

    Takibirr allahuakibarro.mashalla

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @IssaMbaru-qw6ug
    @IssaMbaru-qw6ug20 күн бұрын

    Manshallah allah akbar

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere14502 жыл бұрын

    Poleni sana msilolijua ni sawa na usiku wa giza mnajifurahisha tu hapo bila kusema Yesu hamnaga raha Mungu awasamehe siku ya kiama ndo mtajua Yesu ni nani tena mtaingia motoni jinsi mlivyo

  • @achanifumos1093
    @achanifumos10932 жыл бұрын

    Shafiiiii...nakupenda kwa sababu ya ALLAH...na inshaAllah upate mapenzi ya ALLAH

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42722 жыл бұрын

    Napendasana kufatiliamiazarayenu

  • @husseinismail5972
    @husseinismail5972 Жыл бұрын

    Alhamdulillahi niko mwisilalu na nife katika haki

  • @user-hk9sg1vf5w
    @user-hk9sg1vf5w2 жыл бұрын

    Asalam alekum:Mashallah,Mashallah Mimi ni mkenya nimefurahi sana kwahiyo mawaitha

  • @nasirahmed3295
    @nasirahmed32952 жыл бұрын

    Tunaomba Sana yule muhuni ndacha mutukamatie

  • @hashim8130
    @hashim81302 жыл бұрын

    ماشاء الله شيخ شافي شماري الله يحفظه ويطول عمره

  • @alhajjwaupe4593

    @alhajjwaupe4593

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @maryambintukhadija1604
    @maryambintukhadija16042 жыл бұрын

    Maa shaa allaj

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie35732 жыл бұрын

    Mungu alionekana kwa Ibrahim kitabo ca mwanzo 18

  • @braysonyakuza5959
    @braysonyakuza59592 жыл бұрын

    MASHALLA aah🕌

  • @jimmyajmi8501
    @jimmyajmi8501 Жыл бұрын

    Mashalah

  • @nextleveltalent1576
    @nextleveltalent1576 Жыл бұрын

    subhanah alahh akbar

  • @shakilaabdallaherio5617
    @shakilaabdallaherio56172 жыл бұрын

    Mashaallaah mashekhe wangu

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Amiin

  • @t.v.a.i.s.s6842
    @t.v.a.i.s.s68422 жыл бұрын

    Ameen yaa a rabb

  • @user-st3hv8pi9i
    @user-st3hv8pi9i17 күн бұрын

    😂😂😂najiskia furaha kwa kuzaliwa muislamu mungu awalipe kwa kazi nzuri na allah awalipe kheri wale waloelewa na kufata dini ya haki inshaallah

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi10972 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @mohammedmzee6546
    @mohammedmzee65462 жыл бұрын

    Ma Shaa ALLAH

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html

  • @safiunamugen2523
    @safiunamugen25232 жыл бұрын

    Masha Allah napenda kumsikiza Shafii

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y2 жыл бұрын

    Nema ya Allah jamani shafi amenenepa vizuli Allah akuwekeye wepesi kwakazi unayoyafany

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau86972 жыл бұрын

    mungu. akuli. Sheik

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari20802 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah

  • @pasiansiay9480

    @pasiansiay9480

    2 жыл бұрын

    Hawa wanaojadili haya wawe wakristo au waislam wamejaa upofu wa kifikra ama hawana kazi ya kufanya. Serikali yapaswa kukemea haya

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila45722 жыл бұрын

    Aamiin

  • @elishasaiti
    @elishasaiti Жыл бұрын

    HAKUNA NABII HAKUNA MTUME HAKUNA MUNGU NNJE YA YESU KRISTO KILA GOTI LITAPIGWA KILA ULIMI UTAMKIRI

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo12432 жыл бұрын

    Masjallah: Shekh shafii unapoongea lazima tu watu wacheke

  • @nooroman2535
    @nooroman25352 жыл бұрын

    Amina

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu25052 жыл бұрын

    Waislamu elimu ya Roho hamuna, na kamwe hamtokuja kuijua kweli mpaka Yesu atakaporudi mara ya pili kama alivyosema na mtaishia motoni. ULIOKUFA NI MWILI, LAKINI ROHO YAKE HAIKUFA. NI MWILI ALIOUVAA NENO(Yesu ni Neno Yohana 1:1) NDIYO ULIOKUFA LAKINI ROHO YAKE HAIKUFA ILIENDELEA KUWEPO KAMA KAWAID. 👇👇 1Petro 3:18 18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; MWILI WAKE AKAUAWA, bali👉 ROHO YAKE AKAHUISHWA Tunaposema Yesu alikufa ni Mwili ule aliouvaa ndiyo uliokufa, Lakini ROHO yake iliendelea kuwa hai kama kawaida, sio kama binadamu sisi, tunapokufa, tunakufa mwili na roho.

  • @nasirahmed3295
    @nasirahmed32952 жыл бұрын

    Asalamu Waislamu tunaomba tuwachangie taa za camera na maiki za ziada (kama navyo ona kigiza kikianza picha hazionekani)Mashekhe zetu kwani kila kiltu sio waombeombe tujiongeze

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm2 жыл бұрын

    Sheikh shaffi Allah akufungulia kila palipo fungika

  • @fadhilinalinga6604
    @fadhilinalinga66042 жыл бұрын

    Safi

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha8942 жыл бұрын

    Twakupenda shafii😘

  • @asiabakar3207

    @asiabakar3207

    2 жыл бұрын

    Na mi naeapenda

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60802 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣rahaaaa mpk ndani ya nafsi nakupenda bure kakangu kwa ajili ya Allah

  • @hajikabugahamis3149
    @hajikabugahamis31492 жыл бұрын

    Tam Sana

  • @kwaleboy6064
    @kwaleboy60642 жыл бұрын

    Shafi kiboko

  • @chriswasonga1782
    @chriswasonga1782 Жыл бұрын

    Yesu ni Mungu aliyekuja kushinda kifo wala hilo kama hamna imani hamiwezi kuelewa

  • @luluelia-yo2rg

    @luluelia-yo2rg

    Ай бұрын

    Wew ndouna lolote

  • @chriswasonga1782

    @chriswasonga1782

    Ай бұрын

    Hawa wote wamechanganyikiwa ni kama waganga wkienyeji. Hata huyu anayeongeya ndiyo karogwa

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu25052 жыл бұрын

    Ndivyo ilivyo kwa Yesu,, Mungu alijifunua kupitia umbo la kibinadamu, tunachoona ni mwili wa kibinadamu ambao Mungu yupo ndani yake; 👇👇 Waebrania 1:1-2 1 Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi, 2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    2 жыл бұрын

    wakati Mungu yupo ndani ya Yesu,na yesu anaomba Baba yetu uliye mbinguni sasa ni mungu gani tena aliekua mbinguni anaomba wakati yupo ndani kamvaa yesu..ebu jaribu kuitumia akili ata kidogo basi

  • @frankmpembu2505

    @frankmpembu2505

    2 жыл бұрын

    @@shabamuhidin634 Swali zuri umeuliza. Mungu wetu ni Mmoja, lakini hujifunua katika Wingi,, Katika Baba na Neno na Roho Mtakatifu na kubaki hivyo hivyo mmoja, Mathayo 28:19. Neno(Yesu) alipofanyika mwili akiwa duniani alikuwa akiongea na Baba aliyekuwa mbinguni.

  • @frankmpembu2505

    @frankmpembu2505

    2 жыл бұрын

    @@shabamuhidin634 Waislamu elimu ya Roho hamuna

  • @pamoles1303

    @pamoles1303

    2 жыл бұрын

    @@frankmpembu2505 Paulo kakuingizeni mkenge mwenyezimungu ni mmoja tu na SI watatu Wala wanne

  • @frankmpembu2505

    @frankmpembu2505

    2 жыл бұрын

    @@pamoles1303 Aliyekua mbia Mungu watatu nani? Soma Vizuri comments zangu

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu25052 жыл бұрын

    Ni kweli, hakuna aliyewahi kumwona Mungu, na Mungu anasema Binadamu hawezi kumwona akaishi, hivyo Mungu utumia maumbile ya asili yanayomzunguka Binadamu huyo aliyemwumba kuongea naye. Mfano, Mungu alitumia kijiti kilichokuwa kikiwaka Moto kuongea na nabii Musa, kutoka 3:4; 4 Bwana alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema, Musa! Musa! Akasema, Mimi hapa

  • @mukrimmohd8954

    @mukrimmohd8954

    2 жыл бұрын

    Hujui ulisemalo mungu avae mtu veep

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Ndio maana mnakula lakini mmechakaa .kwa kugusa mambo msioyajua undani . wake.tatizo mko kimwili zaidi. Kuna siri hamjaijua kuhusu yesu kristo

  • @adammasunga5363
    @adammasunga53632 жыл бұрын

    Kwa kweli kuelewa ni kazi ngumu Waislamu munashangilia kitu msichokijua

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu25052 жыл бұрын

    Qur'an 29:47 47. Na namna hivi tumekuteremshia Kitabu (cha Qur'ani). Basi wale tulio wapa Kitabu CHA BIBLIA wataiamini (Qur'ani), na miongoni mwa hawa (washirikina) wapo watakao iamini. Na hawazikatai ishara zetu isipo kuwa makafiri.

  • @burhanimahmoud8985

    @burhanimahmoud8985

    2 жыл бұрын

    Frank kuwa tu muislam mashallah unapendezea sana kaka

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah43572 жыл бұрын

    Kweli ni mtihani kuna makabila fulani hawaja tahiliwa lakini mungu wao yesu katahiliwa duu kweli ni vaisi vesa eti mpaka uwe na roho mtakatifu ndio maana zumaridi nae kawa ambia watu wake yeye ni mungu subhanallah Allahu Akbar hii ndio shida kukubali kila unacho ambiwa kisingizio roho mtakatifu mmm

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv62452 жыл бұрын

    Sheikh Shafii huwa namkubali sana?

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html

  • @khalfansharji9790
    @khalfansharji97902 жыл бұрын

    Mashaallah lugha fasaha tafsiri sahihi wakati muhimu ila tu ni kwa watu wenye akili Shafi asie kuelewa ni ambaye alishahukumiwa ukweli uko wazi hakuna kupindisha ukweli sifa za mungu ni hizi na sifa za mwana adam ni hizi sasa wee pinga kwa kuwa ulishamezeshwa clip ya YESU MUNGU na hilo mpaka kufa mpaka.........ALLAH Awape umri mrefu wenye manfaa kwa uma wa mtume Muhammad.

  • @AshraqNasoro

    @AshraqNasoro

    Ай бұрын

    Mashalla ustadhi shafi

  • @AshraqNasoro

    @AshraqNasoro

    Ай бұрын

    Alla akulinde na maaduyi wa baya

  • @user-rr2gl2zc5k
    @user-rr2gl2zc5k7 ай бұрын

    Jembe

  • @jacksonnzai1593
    @jacksonnzai15932 жыл бұрын

    Jamani amna ufahamu wakujua uungu wa yesu ju nyie mlimjua Yesu bada ya yeye kuzaliwa, wakristo kumemfahamu tangu misingi ya dunia haijawekwa. amtaelewa ata mwisho unless muokoke.

  • @salehabdulaziz9218

    @salehabdulaziz9218

    2 жыл бұрын

    Okokaa ww mwanzo kwenye kaburi utaliaa utatamani ungekua mwislamu tuhh

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa84832 жыл бұрын

    Mbona wakristo hawamtaji Muhammad kwenye mihadhara Yao? Lakini waislamu wanakereka sana na jina kuu juu ya majina yote alilopewa Kristo,hapa duniani na huko mbinguni? Atakaporudi tena itakuwaje?

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu25052 жыл бұрын

    Hilo swali Waislamu mmelikwepa kujibu, "hii ni Qur'an bwana, kunavitu unatakiwa uwenavyo ndiyo uweze kuielewa" Kisha akakimbilia kwenye Biblia, na kuacha swali aliloulizwa, na hii clip mmeiweka nusu

  • @pamoles1303

    @pamoles1303

    2 жыл бұрын

    Klip mbona zipo nyingi

  • @frankmpembu2505

    @frankmpembu2505

    2 жыл бұрын

    @@pamoles1303 Hilo swali Mmeshindwa kujibu,,mmekimbilia kwenye Biblia, Biblia yenyewe hamuiwezi,Mnaisoma kama gazeti lenu Qur'an

  • @idriskinye1190
    @idriskinye11902 жыл бұрын

    Jaman waisalam mspige makofinyinyi

  • @theheraldbroadcastingnetwo4836
    @theheraldbroadcastingnetwo4836 Жыл бұрын

    Porojo tupu Allah wa dhahiri,vipi

  • @castormayolera
    @castormayolera2 жыл бұрын

    Acha kukashifu Dini ya wengine, nchi hii kila mtu ana uhuru wa kuabudu bila kukashifu dini ya mwingine

  • @louiskhan7372
    @louiskhan73722 жыл бұрын

    Sio thimotheo ya kwanza....ni ya pili

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42722 жыл бұрын

    SSP nawakubali wahadhir wote waliohuzuriahapo

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇.... kzread.info/dash/bejne/nKSit7ZspbDKXc4.html

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki56672 жыл бұрын

    Hapa ndipo shida ilipo. Unaweza soma neno la Mungu usilielewe vile Mungu anavyo taka ulielewe. Ni sawa na kwa na simu usijue kutumia kila kitu kilicho ndani yake.

  • @mukrimmohd8954

    @mukrimmohd8954

    2 жыл бұрын

    Haingii akilini dini unasomeshwa toka mdogo

  • @mukrimmohd8954

    @mukrimmohd8954

    2 жыл бұрын

    Nonsense