MUIMBA KWAYA ASLIM NA KUWALIZA WAISLAM
#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Пікірлер: 201
Mashallah tushampokea.anti shadia mungu ampe hatima njema na awe mcha mungu na ampe mume mwenye her naye
Assalamu alaikum inshallah kila la kher dada yangu kama umeamua kusilim simama kwenye Iman thabit mm ninajua taabu ya kusilim mi nmelala juu ya miti na sehem nyinginezo cha msing shikamana na haya mche Allah (s.w) na umuogope popote ulipo na umsalie mtume Muhammad (s.a.w),usiseme uongo,usisengenye,usifitinishe,usizin,uwe mkweli,uwe mkarimu,usidharau viumbe ambao n walemavu, shikamana na swala tano siku zote na usome din uijue ili uish katka mising ya dini nmefurahi sana dada kuingia kwako katka din ya haki.Takbiiiiiiiir
Maashaallah mwenyezimungu akupe mwisho mwema dada etu namungu atufishe waicilamu wote tukiwa waicilamu inshaallah 🤲🤲🤲
Maa Shaa Allah Mungu amemuonyesha njia.... AMESHAELEWA UKWELI NI UPI. Mungu amlinde nal amsimamie.
Mashaallah jazakumllah kheir mola akufanyie weps amiin
Allahu Akbar,Bismillah maishaallah, Mwenyezi Mungu amjaalie mwisho mwema Allahumma Amiin
Takbiiiiiiiiiiiiiiiir takbiiiiiiiiiiiiiiir allah akujaalie kher ewe dadaangu karibu sana ktk dini ya haki
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Allahu Akbar
@RahimaMct-ik8mr
3 ай бұрын
Allahuma akbar
Mashallah mashallah mashallah
Mungu akupe subira ujue uislamu vizur
MashaAllah,Allahamdulillah,Mwenyezi Mungu awalipe na azidi wapa nguvu ya kuutangaza uislam (Amin)na azidi kuupa nguvu uislam(Amin)
ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, wallillaih amdhu , MUNGU amuongoze na mfungulie akili awezi kushika ya dini atakayo kuyasoma amiin , na ALLAH amuepushe na mitihani itakayo muandama baada ya kusilimu Amiin
Masha Allah Allah awalipie na awazidishe unguvu mashiekh Sina lakulipia Sina uwezo nawaombea dua 💖❤♥💕
Mashaalah mdogo wangu allah akupe hamu ya kuusoma uislam
Mashaallah allah akupe mwisho mwema amin
Takbirr Allahu Akbar..karibu dadangu shadia
Bismillah Rahman rahhim Assalamualaiykum warahmatullah wabarakatu Mm Abdullah Nakuja kwa shekh said mwaipo Una dani shekh said mwaipopo Kabla ya kuwa na dini sahihi kulikuwa ktk utwaghuti wa kikiristo na ulikuja kwetu Zanzibar kulingania ukiristo na uliwateka mtu mmoja kwa mujibu wa mihadhara yako ,Sasa njoo umrejeshe yule ndugu yetu mzenji umrejeshe ktk dini yake ya hakki Assalamualaiykum warahmatullah wabarakatu
Allahu akbar wallahi lhamd. Allahu akbar Allah awahifadhi masheikh wetu na kila balaa. Wakristo Allah awaoneshe haki wazidi kuslimu.
@asmaal-shkiriy9518
Жыл бұрын
Mashallah mwenyezi amuongoze🤲🤲🤲
Masha Allah❤❤❤❤❤
Mashallah ukhty shadia karibu katika uislamu,,Allah akuzidishie Kila la kheriiii
Takbirrrrrrrrrrrr
@nooor1120
Жыл бұрын
Allahu akbar
Mashaa Allah . Allah akbar , Allah akbar.
Pole sana dadaangu yaani umeamua kumkana yesu hadharani nafukili wewe hukua mkristo wa kweli nahukumjua kristo ulikua mkristo wa jina tu Yesu alisema atakaenikana mbele za watu nami nitamkana mbele za Mungu na mbele za maraika watakatifu siku ile ya hukumu
@engineerjuma9876
2 ай бұрын
Huyo amemfuata yesu wala hajamkana wewe unatakiwa ujifunze ni kwa nini huyo dada kaamua kuslim hilo ndo jambo la msingi, we ulitaka abakie kanisani kwa mungu wa tongolani au zumalidi
Takbir Takbir Jazakallah kher love Frm Kenya
Maashaallah tabarskallah Allhamdulillah ya Allah kwahuyu binti kuuona ukweri
Masha Allah
Takbir Allahu akbar
Maashaallah maashaallah maashaallah barakallah fiikiy shekhe wetu inshaallah nakuombea ALLAH akupe swiha njema amani popote pale unapokuwa inshaallah 🤲☝️
Yesu NI Mungu Na Ni Mwana Wa Mungu.Hapo Dada ujue Umeingia kwenye Giza.Pole sana Maana Hata ulikokuwa ulikuwa Bado Gizani.Naongea kiimani na walio Rohoni ndio wanaoweza kuelewa
@sleyumngolo
4 ай бұрын
Ungekua umesoma usingeongea uo upuuzi kubwa jinga
Allahu Akbar, Ma sha Allah tabaraka rahman karibu katika Uislam dini pekee ya haki Alhamdulilah
Maashaallah nimekupenda dada Kwa ajiri ya Allah karibu sana .Allah akukinge Na mabaya yote
Mashaallah
MashaAllah tabarakaAllahu.mungu akuongoze kwenye njia iliyo nyoka
MashAllah mungu atufanyie wepesi nyoyo zetu turudie kwake
Maashallah SHADIA 🤲karib dada 🥰❤
Ndacha ataumia sana
@ramadhanjuma610
Жыл бұрын
Kabisa
Allahu akbar mashaAllah
@ngomamohamedi8178
Жыл бұрын
MashaaAllah
Takbiiiiiiiir
MashaAllah MashaAllah MashaAllah...karib kwenye dini ya khaki
Ma sha allah. Sh. Mwaipopo uyo dada ana mtoto au watoto?
Manshaalah
Ma sha Allah
Ila sheikh umekosea kumpa mkono mwanamke
MashaAllah karibu dada katika uislamu
Allah Akbar
Manshallah
Takbir
Allah Akbar ,Allah Akbar,Allah Akbar
Allaahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar walillaahil hamdu
Mashallah.wakati.wetu.ss.dini.yetu.ya.kisilam.kuwa.juu.alihamdulilah
Masha Allah mungu akuondolee kila la Shari ndugu yangu nitafute kwenye namba yangu
Allah akbar ALLAH AKBAR
Allahu Akbar
Hongera dada hakika umerudia kwenye haki
YESU ni Mungu mkuu Sana wakuogopwa na kuheshimiwa Sana yeye ndio kweli hakunaa mwigine
@mbingwaali7791
11 ай бұрын
YESU NI YESU ALIISHI NA WANADAMU WEZETU AKALA AKIOMBA KULALA KUFANYA KAZI ,BIBLE ILIANDINKWA kuwa alionewa akalalamika, toka kwenye zambi
ALLAH AKBAR
Eti wasio waislam wanaumia sana kuona watu wanasilimu, Mimi kukua kwangu kote hadi utu uzima sijawahi ona wakristu wakipoteza muda kuhangaika na mtu aliyesilimu. Kukua kwangu kote na kusali kote kanisani sijawahi ona wakristu wakihangaika kujadili uislam. Wakristo muda mwingi wako bize na masuala ya Mungu wao,elimu,afya na maendeleo tofauti.
masharrah masharrah karbu Santa ktk uislamu
@nooor1120
Жыл бұрын
Maa shaa Allah
Sasa sheikh usimpe mkono mwanamke hivyo
@4thking743
Жыл бұрын
Uislam hautak uzinifu,lakini yeye anaufanya mbele ya camera/hadharani, Dini kaifanya Biashara
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
@@4thking743 mazuri yote hamjayaona mmeliona hilo tu?!
@abduomar8438
Жыл бұрын
@@4thking743 kazini nn
@mohamedimohamedi8933
Жыл бұрын
Kapitiwa Au labda hajui tuonane huruma Allaha karim
@rashadjuma7039
Жыл бұрын
@@abduomar8438 y
Taqbirrrrrr taqbirrr dada Allah yuko pamoja nawe
Walpumia kwa dada mrembo kuslimu poleeeeeni
Karibu sn dada kwenye uislamu wetu no dini ya haki
Jamani niozesheni mie uyo shadya
Hajui atendalo. Ukimkana Yesu mbele za watu na yeye atakukana mbele za Mungu
@shabamuhidin634
Жыл бұрын
are you sure? mbona Yesu alisali mlimani akiweka uso wake chini nyie mnakataa kufanya ivo,uko sio kumkana?
@halfanimwakalinga9894
Жыл бұрын
amemkubali yesu cyo kamkataa sababu yesu alikuwa muislaam
@eastafrica6858
Жыл бұрын
Cc hatmkani yesu yesu hata aya zake ziko ktk quruan imemtaja tunakaa taa as iyoo ya fanya ya fanya yesu yesu Nisa bin mariamu ni muislam alisujudu na kumuabudu mmungu mmoja alie mlete duniani kama alivomuona Wa leta kina ibrahim
Makafiri niwewe mwaipopo nawaisilam.
mashallah
Takibirrrrrr ila niju kapenda tu angeaca jinalake la elizabeth maana nijina la kiisilamu muke wa Nabi ZAKARIA alikua nimuisilamu angeaca tu iyo ila nisawa kama kapenda kubadilisha masha Allah
mwenyezmungu akujalie dada yetu tuko pamoja dada nibipu kweny no yangu tuelekezane mambo muhm ya din yetu
@mozasaidi1035
Жыл бұрын
ni bipu kwenye whasp yangu insharrah
@nooor1120
Жыл бұрын
@@mozasaidi1035 hujaweka no yako vipi atakubip?
Natamani asitirike uyo shekhe
Shetani ananguvu sana
Sisi tutamduombea mjini yamtoke kwajina la Yesu.
Ameolewa huyo shekhe
@JumaMeamba-px5vc
11 ай бұрын
Hanamume nenda baba neema ya allah
wenye hekima hawawezi kuumia kwa tendo hilo bali tu ameingia upotevuni
Km atakua tayari naomba nambar zake
na msimuwachilie ndugu zanguni mnakumbuka mzee Yusuf aliritadi kwa sababu ya njaa
@aminaalmazrui9785
Жыл бұрын
Assalam alaykum,sio njaa ni imani tu kaka, tumuombee Allah atujaalie mwisho mwema
@mohamedibrahim7732
Жыл бұрын
waaleikum salam dadangu kiukweli mzee yusuf alipata mitihani yaki fedha angefaa kusaidiwa na waislamu wenye uwezo akijengwa Imani
@aminaalmazrui9785
Жыл бұрын
@@mohamedibrahim7732 sina uhakika lakn naona engalikua na subra na Allah asingalimuacha
@muhammadadam4769
Жыл бұрын
@@aminaalmazrui9785 ni kweli kabisa ukiwa kwenye haqqi mitihani nilazima au kawaida nilazima ujaribiwe ili ujulikane jee imani ipo kweli au nimaneno tuu
@ramadhanjuma610
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Umepata haki Yako maana wasabato hawasuki hayo makichaka aliyonayo
Kafata mme huko hawezi kuacha mwanga afate giza haiigii akirin
Jina halinatatizo hatakamalingelibakia hilo hilo Elizabet lilikua haina tatizo mkabidhini wanawake wamsomeshe ili ajuwe umuhimu wa dini ya kiislam
Msomesheni maranyingi mnawasilimisha hamuwasomeshi na mkimpa mume mpeni mume mwenyeuwezo wa kusimamia
Dah nimefurah nimejikuta natoka machoz ya furaha
Awa wanatudanganya na lugha za watu emb tumia kiswahili tukuelewe kwasab Mungu huwa anasikia lugha zote acha kuwapotosha watu mbwa
@ramadhanjuma610
Жыл бұрын
🤣🤣🤣👇 Nenda kasome sawa usiwe mbu mbu
@johnsulle4679
Жыл бұрын
Hapa baba hupati kiki unalazimisha watu kubadili imani za watu ili iweje eti muimba kwaya kasilimu chefu waacheni watu kila mtu na imani yake jaman kwanza dini gani iyo nmalazimisha watu na pia mtu akibadilika dini wenye akili huwa hatutangazi kishamba ni kimya kimya kama umetoa sadaka ata mkono wako wa kushoto hautakiwi kujua kama umetoa
Ujue shetani ni mwislam kwahy umemwacha yesu aliyehai umeenda upande wa shetan na majin sasa hivi utapewa jini ndo mshahara wako wa kuwa mwislam pole sana dadaanga cjui walikuahid nn umeenda kwa marehem muhamed akusaidie nini sasa umefel ww
Anamutoto jinalamutoto mumepe lakisilam
Katupiwa Majin huyo hajielewi tayari tumpepole.
Jibu mapigo kzread.info/dash/bejne/gJusu8arf5Xeqps.html
Mwaipopo Lin utaacha uwongo
@zahorsalum4976
Жыл бұрын
naww slimu umjue molawako .usidanganywe tuu. Makanisani.
@alkhalilalkhalil8208
Жыл бұрын
Wewe nini unamfanya mungu binaadamu alie tahiriwa kama wewe hio akili au matope
Bado hajaolewa?
JAZA UJAZWE, MUNGU NI MMOJA NA ANAIJUA MBINGU ZOTE NA PEPONI NDIPO MAHALI PAKE NA DUNIANI AMEWEKA MIGUU YAKE. ALPHA NA OMEGA NI MUNGU NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU. DINI HAIMPELEKI MTU PEPONI, MATENDO MEMA NDIYO YAKUPELEKAYO NA NI KWA NEEMA TU TUNAJALIWA MEMA NA MEMA YA NCHI AYUPAYO. NA SAADAKA NJEMA NI HARUFU NJEMA YEYE ALIYE JUU. ASIKUDANYE MTU!!
Hapo ulipotoa mkono ndio umenivunja moyo🧏♂️
@abduomar8438
Жыл бұрын
Mkono upi
Sasa c tunaumia nin nyinyi ndio Mnaumia muislam kuslim kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
Uwo uislamu wenu umekuwa kama kampeni za wanasiasa kuwatafuta followers pumba tu kama vp c ukalime upate rizik za halali kuliko utapeli
Na huyo mtoto!
@ramadhanjuma610
Жыл бұрын
Ame fanya nini mtt
Unamuuliza wewe ni dhehebu gani wakati tayari ameshaingia kwenye uislam
Dada unakufa siku sio nyingi wengi nimewaona wametoka kwenye ukiristo wakaenda kwenye wislamu hawakuishi siku nyingi umepotea Sana dada yangu uwiii jamani mpaka naogopa umeingia kwenye midomo wa Simba atakutafuna muda sio mrefu.
@ukhtysalama4184
Жыл бұрын
Huna story
@asteliajaco3247
Жыл бұрын
Kweli kabisa umesema
@alkhalilalkhalil8208
Жыл бұрын
Wewe kama huna kazi nenda kaimbe kwaya mwenzio amesha salimika huyo Allah amuongoze
@rauhiyaomary1118
Жыл бұрын
wewe hufi utakaa maisha , Allah akuongeze hujui usemavyo. unahadaliwa na pumzi. wewe tunajua Cristo kulikov huyu mwaipopo manage alikuwa mchungaji, Canada ya mujua ukweli alislim na wewe Allah akuongoze.
Hata hivo ametoka kwenye moto kaingia kwenye moto mkari mpongeze aendelee kupotea
@adamapollo9859
Жыл бұрын
Msenge wewe
@adamapollo9859
Жыл бұрын
Moto wababa yako
@shabamuhidin634
Жыл бұрын
Mola akuongoze siku moja utaona haki na ww
@assfzainab912
Жыл бұрын
We mwenyewe umzma uliye potea niwewe unaye abudu binadamu mwenzako
Dawa ya nguvu za kiume wewe ulisema akuna dawa iyo iweje tena uitangaze
Mekurupuka huyo kapotea
Pole dada ,umeanguka anguko kubwa, kumkana yesu ni balaa kwa siku zako zijazo, fanya urudi haraka upo mikononi mwa simba walao nyama yako sasa.
Kichekesho hicho eti kawaona kwenye mtandao waislamu huyo mtume unayemnadi yupo wapi swali ?
@ismailhassan848
Жыл бұрын
Ndugu yangu nakushauri mtafute shekh mwaipopo ama umpigie kw maswali zaidi ya hilo unalouliza
@nooor1120
Жыл бұрын
Wakristo Wengi wakifatilia mijadala utube wanasilimu so usishangae
@prochesernest5439
Жыл бұрын
@@nooor1120 ukiona mkristo kaingia kwenye uislamu ni majini tu yamemshawishi kwani kwenye muhazala nyie waislamu mnakuwa wezenu majini waislamu akikutwa mkristo mwenye Imani haba anachukuliwa hayo majini ayawezi kujakunishawi Mimi na wenzangu wenye kujua kweli ya Yesu kristo eti Yesu sio Mwana wa Mungu ukimuona Mwanadamu anakataa kuwa Yesu sio Mwana wa au hakufa ni majini ndani ya mtu yanaongea hata Muhammad majini niyoyakimwambia Yesu sio Mwana wa Mungu maana hayo ni mashetani Pepo wachafu njoo nawewe Kwa Yesu achana na hayo majini yatkupeleka kaburini utakutaba manyoka huko kaburini halipo mtume Muhammad
@shaibumpinga5225
Жыл бұрын
Mtume Muhammad(saw)aliishakufa na kuzikwa zamani ila mwenyeezi mungu mmoja Yuko hai ,hafi na hajawahi kufa na ndiye tunayemtegemea..
@prochesernest5439
Жыл бұрын
@@shaibumpinga5225 Mungu Gani ? Karma unamtegemea Allah awezi chochote mashekhe wakina kishik walimuomba huyo Allah amuue mwanamziki afande sele afe kabla mwezi ramadhani 2021 mpaka Leo Jamaa yupo mtaani anakula Bata angalia clip zipo nyingi za mashekhe wenu wakitaka afe umekubali Muhammad yupo kaburini kwaiyo unamfata marehemu umepotea njoo Kwa Yesu kristo yupo mbinguni hayupo kaburini wala sio marehemu hivi nyie waislamu Muhammad akiwatokea msikitini nyote mnamkimbia sisi Yesu alipokufa akafufuka aliwatokea wanafunzi wake awakukimbia maana alishawambia atafufuka Muhammad akusema kitu kama hicho Kwa wafasi wake njooni waislamu Kwa Yesu kristo mwokozi
Uislamu hauitaji uwashelati wakati mna wake kibao je huo sio uwashelati?
@user-pj8ed9kn6g
Жыл бұрын
Masikin weee pole Sana 😁😁
@ismailhassan848
Жыл бұрын
Kwa taarifa yako sisi tunaruhusiwa kuoa hadi wake wanne so usishangae kiasi hicho ni kwa vile tu niko Dubai ila nikirudi kenya 🇰🇪 ntafanya bidii kukutafta huko Tz naona elimu yako finyu
@prochesernest5439
Жыл бұрын
@@user-pj8ed9kn6g Asante Kwa pole Yako mwenzangu kajiunga na majini Kawa mwiislamu maana ndugu wa mwiislamu ni majini na ndugu wa mwiislamu ni mwiislamu mwezie naumia huyo dada alikuwa wa kwetu kadumbukia shimoni
@prochesernest5439
Жыл бұрын
@@ismailhassan848 sawa ata majini mmepewa kuwaoa na vitoto vya kike miaka SITA kama alivyofanya mtume wenu waislamu fanyeni hivyo ni SUNA za Muhammad huko Dubai chukua tu majini ya kiarabu ulete kwenu Kenya watakusifu wakenya unatakakunitafuta hili nikamfate marehemu Muhammad?
@aminaalmazrui9785
Жыл бұрын
@@prochesernest5439 kua na maneno ya busara,na nakushaur kaa na uchunguze kwa makini wew mwenyeo na kusoma hapo utajua kua uislamu Ndio dini ya haki
Kazi mnayo na nyie MUNGU hatotaka hata kuwaona mbele za macho yake,