MUIMBA KWAYA ASLIM NA KUWALIZA WAISLAM

#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Пікірлер: 201

  • @hamidakondo1283
    @hamidakondo1283 Жыл бұрын

    Mashallah tushampokea.anti shadia mungu ampe hatima njema na awe mcha mungu na ampe mume mwenye her naye

  • @user-ez8kb7lg2s
    @user-ez8kb7lg2s Жыл бұрын

    Assalamu alaikum inshallah kila la kher dada yangu kama umeamua kusilim simama kwenye Iman thabit mm ninajua taabu ya kusilim mi nmelala juu ya miti na sehem nyinginezo cha msing shikamana na haya mche Allah (s.w) na umuogope popote ulipo na umsalie mtume Muhammad (s.a.w),usiseme uongo,usisengenye,usifitinishe,usizin,uwe mkweli,uwe mkarimu,usidharau viumbe ambao n walemavu, shikamana na swala tano siku zote na usome din uijue ili uish katka mising ya dini nmefurahi sana dada kuingia kwako katka din ya haki.Takbiiiiiiiir

  • @habibaoman24
    @habibaoman24 Жыл бұрын

    Maashaallah mwenyezimungu akupe mwisho mwema dada etu namungu atufishe waicilamu wote tukiwa waicilamu inshaallah 🤲🤲🤲

  • @mombasa0076
    @mombasa00763 ай бұрын

    Maa Shaa Allah Mungu amemuonyesha njia.... AMESHAELEWA UKWELI NI UPI. Mungu amlinde nal amsimamie.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Жыл бұрын

    Mashaallah jazakumllah kheir mola akufanyie weps amiin

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын

    Allahu Akbar,Bismillah maishaallah, Mwenyezi Mungu amjaalie mwisho mwema Allahumma Amiin

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Жыл бұрын

    Takbiiiiiiiiiiiiiiiir takbiiiiiiiiiiiiiiir allah akujaalie kher ewe dadaangu karibu sana ktk dini ya haki

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @RahimaMct-ik8mr

    @RahimaMct-ik8mr

    3 ай бұрын

    Allahuma akbar

  • @HalifazuberiAwadhi
    @HalifazuberiAwadhiКүн бұрын

    Mashallah mashallah mashallah

  • @user-lp5nb6jj5h
    @user-lp5nb6jj5h16 күн бұрын

    Mungu akupe subira ujue uislamu vizur

  • @habibujamali5746
    @habibujamali5746 Жыл бұрын

    MashaAllah,Allahamdulillah,Mwenyezi Mungu awalipe na azidi wapa nguvu ya kuutangaza uislam (Amin)na azidi kuupa nguvu uislam(Amin)

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Жыл бұрын

    ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, wallillaih amdhu , MUNGU amuongoze na mfungulie akili awezi kushika ya dini atakayo kuyasoma amiin , na ALLAH amuepushe na mitihani itakayo muandama baada ya kusilimu Amiin

  • @hassanadam3007
    @hassanadam3007 Жыл бұрын

    Masha Allah Allah awalipie na awazidishe unguvu mashiekh Sina lakulipia Sina uwezo nawaombea dua 💖❤♥💕

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Жыл бұрын

    Mashaalah mdogo wangu allah akupe hamu ya kuusoma uislam

  • @khalidmzala3275
    @khalidmzala32759 ай бұрын

    Mashaallah allah akupe mwisho mwema amin

  • @aminayunis7545
    @aminayunis75455 ай бұрын

    Takbirr Allahu Akbar..karibu dadangu shadia

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 Жыл бұрын

    Bismillah Rahman rahhim Assalamualaiykum warahmatullah wabarakatu Mm Abdullah Nakuja kwa shekh said mwaipo Una dani shekh said mwaipopo Kabla ya kuwa na dini sahihi kulikuwa ktk utwaghuti wa kikiristo na ulikuja kwetu Zanzibar kulingania ukiristo na uliwateka mtu mmoja kwa mujibu wa mihadhara yako ,Sasa njoo umrejeshe yule ndugu yetu mzenji umrejeshe ktk dini yake ya hakki Assalamualaiykum warahmatullah wabarakatu

  • @nooor1120
    @nooor1120 Жыл бұрын

    Allahu akbar wallahi lhamd. Allahu akbar Allah awahifadhi masheikh wetu na kila balaa. Wakristo Allah awaoneshe haki wazidi kuslimu.

  • @asmaal-shkiriy9518

    @asmaal-shkiriy9518

    Жыл бұрын

    Mashallah mwenyezi amuongoze🤲🤲🤲

  • @user-hi3et7mp6m
    @user-hi3et7mp6mАй бұрын

    Masha Allah❤❤❤❤❤

  • @fatumasalumu1387
    @fatumasalumu1387 Жыл бұрын

    Mashallah ukhty shadia karibu katika uislamu,,Allah akuzidishie Kila la kheriiii

  • @fathmaoman1186
    @fathmaoman1186 Жыл бұрын

    Takbirrrrrrrrrrrr

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 Жыл бұрын

    Mashaa Allah . Allah akbar , Allah akbar.

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba44138 ай бұрын

    Pole sana dadaangu yaani umeamua kumkana yesu hadharani nafukili wewe hukua mkristo wa kweli nahukumjua kristo ulikua mkristo wa jina tu Yesu alisema atakaenikana mbele za watu nami nitamkana mbele za Mungu na mbele za maraika watakatifu siku ile ya hukumu

  • @engineerjuma9876

    @engineerjuma9876

    2 ай бұрын

    Huyo amemfuata yesu wala hajamkana wewe unatakiwa ujifunze ni kwa nini huyo dada kaamua kuslim hilo ndo jambo la msingi, we ulitaka abakie kanisani kwa mungu wa tongolani au zumalidi

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 Жыл бұрын

    Takbir Takbir Jazakallah kher love Frm Kenya

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Maashaallah tabarskallah Allhamdulillah ya Allah kwahuyu binti kuuona ukweri

  • @ibrahimnkurunziza8198
    @ibrahimnkurunziza819819 күн бұрын

    Masha Allah

  • @munatwalib2808
    @munatwalib2808 Жыл бұрын

    Takbir Allahu akbar

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Жыл бұрын

    Maashaallah maashaallah maashaallah barakallah fiikiy shekhe wetu inshaallah nakuombea ALLAH akupe swiha njema amani popote pale unapokuwa inshaallah 🤲☝️

  • @yohanampangule8817
    @yohanampangule88178 ай бұрын

    Yesu NI Mungu Na Ni Mwana Wa Mungu.Hapo Dada ujue Umeingia kwenye Giza.Pole sana Maana Hata ulikokuwa ulikuwa Bado Gizani.Naongea kiimani na walio Rohoni ndio wanaoweza kuelewa

  • @sleyumngolo

    @sleyumngolo

    4 ай бұрын

    Ungekua umesoma usingeongea uo upuuzi kubwa jinga

  • @asiyasule5513
    @asiyasule5513 Жыл бұрын

    Allahu Akbar, Ma sha Allah tabaraka rahman karibu katika Uislam dini pekee ya haki Alhamdulilah

  • @kizegherama7102
    @kizegherama7102 Жыл бұрын

    Maashaallah nimekupenda dada Kwa ajiri ya Allah karibu sana .Allah akukinge Na mabaya yote

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897
    @shukranjazzakhaallahukheir1897 Жыл бұрын

    MashaAllah tabarakaAllahu.mungu akuongoze kwenye njia iliyo nyoka

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane4680 Жыл бұрын

    MashAllah mungu atufanyie wepesi nyoyo zetu turudie kwake

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын

    Maashallah SHADIA 🤲karib dada 🥰❤

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Жыл бұрын

    Ndacha ataumia sana

  • @ramadhanjuma610

    @ramadhanjuma610

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @hamidharoon3918
    @hamidharoon3918 Жыл бұрын

    Allahu akbar mashaAllah

  • @ngomamohamedi8178

    @ngomamohamedi8178

    Жыл бұрын

    MashaaAllah

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn2 ай бұрын

    Takbiiiiiiiir

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Жыл бұрын

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah...karib kwenye dini ya khaki

  • @fatumahamis5361
    @fatumahamis5361 Жыл бұрын

    Ma sha allah. Sh. Mwaipopo uyo dada ana mtoto au watoto?

  • @rehmastyle4446
    @rehmastyle4446 Жыл бұрын

    Manshaalah

  • @johnishaban9419
    @johnishaban9419 Жыл бұрын

    Ma sha Allah

  • @ahmedelalawy639
    @ahmedelalawy639 Жыл бұрын

    Ila sheikh umekosea kumpa mkono mwanamke

  • @chidybwoy2647
    @chidybwoy2647 Жыл бұрын

    MashaAllah karibu dada katika uislamu

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Жыл бұрын

    Manshallah

  • @rehmastyle4446
    @rehmastyle4446 Жыл бұрын

    Takbir

  • @amsodewiz4901
    @amsodewiz4901 Жыл бұрын

    Allah Akbar ,Allah Akbar,Allah Akbar

  • @eidyathman3228
    @eidyathman3228 Жыл бұрын

    Allaahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar walillaahil hamdu

  • @saidamur5747
    @saidamur5747 Жыл бұрын

    Mashallah.wakati.wetu.ss.dini.yetu.ya.kisilam.kuwa.juu.alihamdulilah

  • @munirakhatib682
    @munirakhatib682 Жыл бұрын

    Masha Allah mungu akuondolee kila la Shari ndugu yangu nitafute kwenye namba yangu

  • @suleiman5127
    @suleiman5127 Жыл бұрын

    Allah akbar ALLAH AKBAR

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @subetizaid6515
    @subetizaid6515 Жыл бұрын

    Hongera dada hakika umerudia kwenye haki

  • @fransiccosmas
    @fransiccosmas Жыл бұрын

    YESU ni Mungu mkuu Sana wakuogopwa na kuheshimiwa Sana yeye ndio kweli hakunaa mwigine

  • @mbingwaali7791

    @mbingwaali7791

    11 ай бұрын

    YESU NI YESU ALIISHI NA WANADAMU WEZETU AKALA AKIOMBA KULALA KUFANYA KAZI ,BIBLE ILIANDINKWA kuwa alionewa akalalamika, toka kwenye zambi

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын

    ALLAH AKBAR

  • @lwagamwakalinga8038
    @lwagamwakalinga8038 Жыл бұрын

    Eti wasio waislam wanaumia sana kuona watu wanasilimu, Mimi kukua kwangu kote hadi utu uzima sijawahi ona wakristu wakipoteza muda kuhangaika na mtu aliyesilimu. Kukua kwangu kote na kusali kote kanisani sijawahi ona wakristu wakihangaika kujadili uislam. Wakristo muda mwingi wako bize na masuala ya Mungu wao,elimu,afya na maendeleo tofauti.

  • @mozasaidi1035
    @mozasaidi1035 Жыл бұрын

    masharrah masharrah karbu Santa ktk uislamu

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @rashadjuma7039
    @rashadjuma7039 Жыл бұрын

    Sasa sheikh usimpe mkono mwanamke hivyo

  • @4thking743

    @4thking743

    Жыл бұрын

    Uislam hautak uzinifu,lakini yeye anaufanya mbele ya camera/hadharani, Dini kaifanya Biashara

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Жыл бұрын

    @@4thking743 mazuri yote hamjayaona mmeliona hilo tu?!

  • @abduomar8438

    @abduomar8438

    Жыл бұрын

    @@4thking743 kazini nn

  • @mohamedimohamedi8933

    @mohamedimohamedi8933

    Жыл бұрын

    Kapitiwa Au labda hajui tuonane huruma Allaha karim

  • @rashadjuma7039

    @rashadjuma7039

    Жыл бұрын

    @@abduomar8438 y

  • @subetizaid6515
    @subetizaid6515 Жыл бұрын

    Taqbirrrrrr taqbirrr dada Allah yuko pamoja nawe

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn2 ай бұрын

    Walpumia kwa dada mrembo kuslimu poleeeeeni

  • @jasminkachinda1243
    @jasminkachinda1243 Жыл бұрын

    Karibu sn dada kwenye uislamu wetu no dini ya haki

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 Жыл бұрын

    Jamani niozesheni mie uyo shadya

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Hajui atendalo. Ukimkana Yesu mbele za watu na yeye atakukana mbele za Mungu

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    Жыл бұрын

    are you sure? mbona Yesu alisali mlimani akiweka uso wake chini nyie mnakataa kufanya ivo,uko sio kumkana?

  • @halfanimwakalinga9894

    @halfanimwakalinga9894

    Жыл бұрын

    amemkubali yesu cyo kamkataa sababu yesu alikuwa muislaam

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    Жыл бұрын

    Cc hatmkani yesu yesu hata aya zake ziko ktk quruan imemtaja tunakaa taa as iyoo ya fanya ya fanya yesu yesu Nisa bin mariamu ni muislam alisujudu na kumuabudu mmungu mmoja alie mlete duniani kama alivomuona Wa leta kina ibrahim

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk12 күн бұрын

    Makafiri niwewe mwaipopo nawaisilam.

  • @abdisalammohamed7687
    @abdisalammohamed7687 Жыл бұрын

    mashallah

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 Жыл бұрын

    Takibirrrrrr ila niju kapenda tu angeaca jinalake la elizabeth maana nijina la kiisilamu muke wa Nabi ZAKARIA alikua nimuisilamu angeaca tu iyo ila nisawa kama kapenda kubadilisha masha Allah

  • @mozasaidi1035
    @mozasaidi1035 Жыл бұрын

    mwenyezmungu akujalie dada yetu tuko pamoja dada nibipu kweny no yangu tuelekezane mambo muhm ya din yetu

  • @mozasaidi1035

    @mozasaidi1035

    Жыл бұрын

    ni bipu kwenye whasp yangu insharrah

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    @@mozasaidi1035 hujaweka no yako vipi atakubip?

  • @fatumahamis5361
    @fatumahamis5361 Жыл бұрын

    Natamani asitirike uyo shekhe

  • @mwassamwassa7264
    @mwassamwassa7264 Жыл бұрын

    Shetani ananguvu sana

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk12 күн бұрын

    Sisi tutamduombea mjini yamtoke kwajina la Yesu.

  • @daimachuma8153
    @daimachuma8153 Жыл бұрын

    Ameolewa huyo shekhe

  • @JumaMeamba-px5vc

    @JumaMeamba-px5vc

    11 ай бұрын

    Hanamume nenda baba neema ya allah

  • @desderyblessmakoi8218
    @desderyblessmakoi8218 Жыл бұрын

    wenye hekima hawawezi kuumia kwa tendo hilo bali tu ameingia upotevuni

  • @fatumahamis5361
    @fatumahamis5361 Жыл бұрын

    Km atakua tayari naomba nambar zake

  • @mohamedibrahim7732
    @mohamedibrahim7732 Жыл бұрын

    na msimuwachilie ndugu zanguni mnakumbuka mzee Yusuf aliritadi kwa sababu ya njaa

  • @aminaalmazrui9785

    @aminaalmazrui9785

    Жыл бұрын

    Assalam alaykum,sio njaa ni imani tu kaka, tumuombee Allah atujaalie mwisho mwema

  • @mohamedibrahim7732

    @mohamedibrahim7732

    Жыл бұрын

    waaleikum salam dadangu kiukweli mzee yusuf alipata mitihani yaki fedha angefaa kusaidiwa na waislamu wenye uwezo akijengwa Imani

  • @aminaalmazrui9785

    @aminaalmazrui9785

    Жыл бұрын

    @@mohamedibrahim7732 sina uhakika lakn naona engalikua na subra na Allah asingalimuacha

  • @muhammadadam4769

    @muhammadadam4769

    Жыл бұрын

    @@aminaalmazrui9785 ni kweli kabisa ukiwa kwenye haqqi mitihani nilazima au kawaida nilazima ujaribiwe ili ujulikane jee imani ipo kweli au nimaneno tuu

  • @ramadhanjuma610

    @ramadhanjuma610

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @yangazapara2005
    @yangazapara2005 Жыл бұрын

    Umepata haki Yako maana wasabato hawasuki hayo makichaka aliyonayo

  • @SebatianKisokola-hy7qs
    @SebatianKisokola-hy7qs10 ай бұрын

    Kafata mme huko hawezi kuacha mwanga afate giza haiigii akirin

  • @hajiali9300
    @hajiali9300 Жыл бұрын

    Jina halinatatizo hatakamalingelibakia hilo hilo Elizabet lilikua haina tatizo mkabidhini wanawake wamsomeshe ili ajuwe umuhimu wa dini ya kiislam

  • @hajiali9300
    @hajiali9300 Жыл бұрын

    Msomesheni maranyingi mnawasilimisha hamuwasomeshi na mkimpa mume mpeni mume mwenyeuwezo wa kusimamia

  • @naimanasoro4039
    @naimanasoro4039 Жыл бұрын

    Dah nimefurah nimejikuta natoka machoz ya furaha

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Жыл бұрын

    Awa wanatudanganya na lugha za watu emb tumia kiswahili tukuelewe kwasab Mungu huwa anasikia lugha zote acha kuwapotosha watu mbwa

  • @ramadhanjuma610

    @ramadhanjuma610

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣👇 Nenda kasome sawa usiwe mbu mbu

  • @johnsulle4679

    @johnsulle4679

    Жыл бұрын

    Hapa baba hupati kiki unalazimisha watu kubadili imani za watu ili iweje eti muimba kwaya kasilimu chefu waacheni watu kila mtu na imani yake jaman kwanza dini gani iyo nmalazimisha watu na pia mtu akibadilika dini wenye akili huwa hatutangazi kishamba ni kimya kimya kama umetoa sadaka ata mkono wako wa kushoto hautakiwi kujua kama umetoa

  • @SebatianKisokola-hy7qs
    @SebatianKisokola-hy7qs10 ай бұрын

    Ujue shetani ni mwislam kwahy umemwacha yesu aliyehai umeenda upande wa shetan na majin sasa hivi utapewa jini ndo mshahara wako wa kuwa mwislam pole sana dadaanga cjui walikuahid nn umeenda kwa marehem muhamed akusaidie nini sasa umefel ww

  • @aziza9093
    @aziza9093 Жыл бұрын

    Anamutoto jinalamutoto mumepe lakisilam

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk12 күн бұрын

    Katupiwa Majin huyo hajielewi tayari tumpepole.

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Жыл бұрын

    Jibu mapigo kzread.info/dash/bejne/gJusu8arf5Xeqps.html

  • @stevenmponzi8168
    @stevenmponzi8168 Жыл бұрын

    Mwaipopo Lin utaacha uwongo

  • @zahorsalum4976

    @zahorsalum4976

    Жыл бұрын

    naww slimu umjue molawako .usidanganywe tuu. Makanisani.

  • @alkhalilalkhalil8208

    @alkhalilalkhalil8208

    Жыл бұрын

    Wewe nini unamfanya mungu binaadamu alie tahiriwa kama wewe hio akili au matope

  • @ahmedelalawy639
    @ahmedelalawy639 Жыл бұрын

    Bado hajaolewa?

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Жыл бұрын

    JAZA UJAZWE, MUNGU NI MMOJA NA ANAIJUA MBINGU ZOTE NA PEPONI NDIPO MAHALI PAKE NA DUNIANI AMEWEKA MIGUU YAKE. ALPHA NA OMEGA NI MUNGU NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU. DINI HAIMPELEKI MTU PEPONI, MATENDO MEMA NDIYO YAKUPELEKAYO NA NI KWA NEEMA TU TUNAJALIWA MEMA NA MEMA YA NCHI AYUPAYO. NA SAADAKA NJEMA NI HARUFU NJEMA YEYE ALIYE JUU. ASIKUDANYE MTU!!

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 Жыл бұрын

    Hapo ulipotoa mkono ndio umenivunja moyo🧏‍♂️

  • @abduomar8438

    @abduomar8438

    Жыл бұрын

    Mkono upi

  • @faithmapondo7370
    @faithmapondo7370 Жыл бұрын

    Sasa c tunaumia nin nyinyi ndio Mnaumia muislam kuslim kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Жыл бұрын

    Uwo uislamu wenu umekuwa kama kampeni za wanasiasa kuwatafuta followers pumba tu kama vp c ukalime upate rizik za halali kuliko utapeli

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Na huyo mtoto!

  • @ramadhanjuma610

    @ramadhanjuma610

    Жыл бұрын

    Ame fanya nini mtt

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Жыл бұрын

    Unamuuliza wewe ni dhehebu gani wakati tayari ameshaingia kwenye uislam

  • @neemamalaki8512
    @neemamalaki8512 Жыл бұрын

    Dada unakufa siku sio nyingi wengi nimewaona wametoka kwenye ukiristo wakaenda kwenye wislamu hawakuishi siku nyingi umepotea Sana dada yangu uwiii jamani mpaka naogopa umeingia kwenye midomo wa Simba atakutafuna muda sio mrefu.

  • @ukhtysalama4184

    @ukhtysalama4184

    Жыл бұрын

    Huna story

  • @asteliajaco3247

    @asteliajaco3247

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa umesema

  • @alkhalilalkhalil8208

    @alkhalilalkhalil8208

    Жыл бұрын

    Wewe kama huna kazi nenda kaimbe kwaya mwenzio amesha salimika huyo Allah amuongoze

  • @rauhiyaomary1118

    @rauhiyaomary1118

    Жыл бұрын

    wewe hufi utakaa maisha , Allah akuongeze hujui usemavyo. unahadaliwa na pumzi. wewe tunajua Cristo kulikov huyu mwaipopo manage alikuwa mchungaji, Canada ya mujua ukweli alislim na wewe Allah akuongoze.

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Жыл бұрын

    Hata hivo ametoka kwenye moto kaingia kwenye moto mkari mpongeze aendelee kupotea

  • @adamapollo9859

    @adamapollo9859

    Жыл бұрын

    Msenge wewe

  • @adamapollo9859

    @adamapollo9859

    Жыл бұрын

    Moto wababa yako

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    Жыл бұрын

    Mola akuongoze siku moja utaona haki na ww

  • @assfzainab912

    @assfzainab912

    Жыл бұрын

    We mwenyewe umzma uliye potea niwewe unaye abudu binadamu mwenzako

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 Жыл бұрын

    Dawa ya nguvu za kiume wewe ulisema akuna dawa iyo iweje tena uitangaze

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk12 күн бұрын

    Mekurupuka huyo kapotea

  • @ignasmalema8354
    @ignasmalema8354 Жыл бұрын

    Pole dada ,umeanguka anguko kubwa, kumkana yesu ni balaa kwa siku zako zijazo, fanya urudi haraka upo mikononi mwa simba walao nyama yako sasa.

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Жыл бұрын

    Kichekesho hicho eti kawaona kwenye mtandao waislamu huyo mtume unayemnadi yupo wapi swali ?

  • @ismailhassan848

    @ismailhassan848

    Жыл бұрын

    Ndugu yangu nakushauri mtafute shekh mwaipopo ama umpigie kw maswali zaidi ya hilo unalouliza

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    Wakristo Wengi wakifatilia mijadala utube wanasilimu so usishangae

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    Жыл бұрын

    @@nooor1120 ukiona mkristo kaingia kwenye uislamu ni majini tu yamemshawishi kwani kwenye muhazala nyie waislamu mnakuwa wezenu majini waislamu akikutwa mkristo mwenye Imani haba anachukuliwa hayo majini ayawezi kujakunishawi Mimi na wenzangu wenye kujua kweli ya Yesu kristo eti Yesu sio Mwana wa Mungu ukimuona Mwanadamu anakataa kuwa Yesu sio Mwana wa au hakufa ni majini ndani ya mtu yanaongea hata Muhammad majini niyoyakimwambia Yesu sio Mwana wa Mungu maana hayo ni mashetani Pepo wachafu njoo nawewe Kwa Yesu achana na hayo majini yatkupeleka kaburini utakutaba manyoka huko kaburini halipo mtume Muhammad

  • @shaibumpinga5225

    @shaibumpinga5225

    Жыл бұрын

    Mtume Muhammad(saw)aliishakufa na kuzikwa zamani ila mwenyeezi mungu mmoja Yuko hai ,hafi na hajawahi kufa na ndiye tunayemtegemea..

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    Жыл бұрын

    @@shaibumpinga5225 Mungu Gani ? Karma unamtegemea Allah awezi chochote mashekhe wakina kishik walimuomba huyo Allah amuue mwanamziki afande sele afe kabla mwezi ramadhani 2021 mpaka Leo Jamaa yupo mtaani anakula Bata angalia clip zipo nyingi za mashekhe wenu wakitaka afe umekubali Muhammad yupo kaburini kwaiyo unamfata marehemu umepotea njoo Kwa Yesu kristo yupo mbinguni hayupo kaburini wala sio marehemu hivi nyie waislamu Muhammad akiwatokea msikitini nyote mnamkimbia sisi Yesu alipokufa akafufuka aliwatokea wanafunzi wake awakukimbia maana alishawambia atafufuka Muhammad akusema kitu kama hicho Kwa wafasi wake njooni waislamu Kwa Yesu kristo mwokozi

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Жыл бұрын

    Uislamu hauitaji uwashelati wakati mna wake kibao je huo sio uwashelati?

  • @user-pj8ed9kn6g

    @user-pj8ed9kn6g

    Жыл бұрын

    Masikin weee pole Sana 😁😁

  • @ismailhassan848

    @ismailhassan848

    Жыл бұрын

    Kwa taarifa yako sisi tunaruhusiwa kuoa hadi wake wanne so usishangae kiasi hicho ni kwa vile tu niko Dubai ila nikirudi kenya 🇰🇪 ntafanya bidii kukutafta huko Tz naona elimu yako finyu

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    Жыл бұрын

    @@user-pj8ed9kn6g Asante Kwa pole Yako mwenzangu kajiunga na majini Kawa mwiislamu maana ndugu wa mwiislamu ni majini na ndugu wa mwiislamu ni mwiislamu mwezie naumia huyo dada alikuwa wa kwetu kadumbukia shimoni

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    Жыл бұрын

    @@ismailhassan848 sawa ata majini mmepewa kuwaoa na vitoto vya kike miaka SITA kama alivyofanya mtume wenu waislamu fanyeni hivyo ni SUNA za Muhammad huko Dubai chukua tu majini ya kiarabu ulete kwenu Kenya watakusifu wakenya unatakakunitafuta hili nikamfate marehemu Muhammad?

  • @aminaalmazrui9785

    @aminaalmazrui9785

    Жыл бұрын

    @@prochesernest5439 kua na maneno ya busara,na nakushaur kaa na uchunguze kwa makini wew mwenyeo na kusoma hapo utajua kua uislamu Ndio dini ya haki

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar4520 Жыл бұрын

    Kazi mnayo na nyie MUNGU hatotaka hata kuwaona mbele za macho yake,

Келесі