MCHUNGAJI ASHINDWA KUMJIBU SHEIKH MWAIPOPO TANGA
#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Пікірлер: 61
Mue mnaenda vijijini masheikh zetu wamasai huko wanahitaji elimu
@khuiii9032
2 жыл бұрын
Hata ww pia una jukumu hilo so mashehee tuu
@hassanbilali1697
Жыл бұрын
Hilo ni jukumu letu sote tutafute elimu na kufikishia wengine na Mashekh wanapaswa zaidi
Allah akubariki ,akuhifadh ustadh mwaipopo akujalie maisha mazuri hapa Dunian na Akhera uzudi kuenedesha gurudumu hili la uislamu
Allah akujaalie Jannah...
Allah akujaalie kila la kher sheikh wetu mwaipopo
Allah akupe maisha marefu sheikh uendelee kutupa daawa
Mashallah mungu akulipe jannah
Ma ustadh wetu Allah awape subra...
Mungu akulinde shekh wetu
Sheikh mwaipopo Allah akulinde sana 🙏
Safi sana kwani unaifanya kazi ya shetani vizuri sana
Masha"Allah Da'wah iendelee?
MashaAllah
Elmu Safi kabisa,sheik mwaipopo Allah akujalie neema
Assalamu aleikum sheikh waipopo mimi niko saudiarabia mji wa makka ila nataka kununua maji kwa ajili ya mke na watoto wangu wako kenya nifanyie mpango ili mke wangu ayapate maji
Jatakas Laahu khair🥰🥰🇬🇧
Maa shaa Allah
MASHAA ALLAH.
Allahiu akbar.Allah.atawahifadhii na.penginepo
Walyekum salam warahmatullah wabaraqatuh
Mawazo yako simawazo ya Mungu (mithali3:5
MashaaAllah Allah awe nawe
Maashallah!
Muhammad hakutailiwa, Ila alioa mtoto wa miaka 6 hata baaday hakuzaA
Mashaallah
Wapeeeeeeee ukweliii
Anae vuta fegi ana pona
Asalaam alaykum mtupe nanamba 2 utuendelezee hadi mwisho wamaada asnte kwaku ni saidia hayo ndio tutaelewa
acha kujiapiza namba iyo tapelli ww
Ukienda znz uta sarenda mwenyewe
Achana na mambo ya mwili sema Neno la Mungu MUNGU no Neno.kutahiriwa si kitu wala kutotahiriwa si kitu.Bali ni kulishika Neno laMungu. Acha uongo,
Mmeenda kushindana?
Ukweli kbsa shekh umeongea
Sikiliza SIMULIZI yenye ujumbe mzito gusa link hii⤵⤵⤵ kzread.info/dash/bejne/Z36u1tKvl9u0mLw.html
Ataenda vijijini kufanya nini kwani alizaliwa mjini? Mbona alishindwa huko kwao Mbeya?
Muongo Sana huyu jamaaa
@onlyonetztv610
2 жыл бұрын
Sawa kheri wewe mkweli mwenzetu
@prochesernest5439
2 жыл бұрын
@@onlyonetztv610 roho mbaya imemvaa mwaipopo ukiacha uchungaji roho za kishetani lazima uwenazo ndomaana ni mganga wa kyinyeji mshilikina na majini ni ndugu zake
@ukweliwauislamu9590
2 жыл бұрын
Mwongo ni huyu hapa kzread.info/dash/bejne/q593pa6DeM-0eag.html
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
@@prochesernest5439 Ww unaropoka na kupayuka tu,kwani hapo kakosea nini?Au chuki zako zinakusumbua nini?Ww hapa ndiyo unaonekana una rohoo chafu!
@monalisalebasoto2538
2 жыл бұрын
@@onlyonetztv610 hahahah anajitahidi kuuchafua ukristo lakini hata fanikiwa katika jina la Yesu
Mkiambiwa uislam sio dini ya amani mnakataa
@johngerald4677
Жыл бұрын
Ungekua na akili ulipotoka somalia ungeachana na uo ukafir unaoitwa uislam
@saphinalutaha9077
5 ай бұрын
@@johngerald4677😂😂😂😂😂
@KabatoniBoraa
2 күн бұрын
Wewe yakwako dini ya amani ipi?tuonyeshe sasa iyo Yako dini ya ukweli na amani mpotevu mkubwa
@KabatoniBoraa
2 күн бұрын
Wewe naye ndo unaakili sasa.. Mbona wewe ndiye lofa zaidi ya malofa.unaemfananisha yesu na mungu ivi we unaakili kweli?mjinga mkubwa