4 SAID MWAIPOPO KWANINI NILIACHA UKRISTO 4/4

AKASHA DAAWAH DISTRIBUTOR +254 721310082

Пікірлер: 147

  • @saadakimenya4356
    @saadakimenya43566 жыл бұрын

    Unadhani anatafuta pesa ama umaarufu??? Wanaslimu masupastaa mabilionea wakimarekani,, nanimaarufu pia ,,,,mwaipopo Allah akufungulie pepo

  • @rskiabdala4868

    @rskiabdala4868

    6 жыл бұрын

    Saada Kimenya amin inshaallah kw ste

  • @asmamshihili5694

    @asmamshihili5694

    5 жыл бұрын

    Mashaalah

  • @aminariziki1677
    @aminariziki16776 жыл бұрын

    uislam ndio dini ya haki mbelee ya Allah. mwaipopo,profesor Mazinge na mashekhe Wetu wote Allah awape umri waeneze uislam barabaraaa.

  • @muslimsnewsvideos7882
    @muslimsnewsvideos78827 жыл бұрын

    mashallah Allah awaongoze ktk iman ya kiislamu Amin yarabil alamin

  • @omaryamani992
    @omaryamani9926 жыл бұрын

    Mashaallah! hakika dini mbele ya mwenyezi mungu ni uislamu... Allah wafanyie wepesi hawa mashekhe wetu kwa haya wanayoyafanya. Hakika makafiri moto ndiyo mafikio yao!

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y2 ай бұрын

    mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah allah akujalie kila kher Katika shekhe mazinge🙏🙏🙏🙏

  • @munirayusra91
    @munirayusra918 жыл бұрын

    Masha Allah mwalimu wetu mazinge Allah akujalie pepoo ww na wenzio

  • @abdulmohammed5687

    @abdulmohammed5687

    6 жыл бұрын

    Abdul Mohammed na husna Jackson tunamwomba mwenyezi mungu akujalie pepo ya fridaus

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi48826 жыл бұрын

    Nyinyi wakristo acheni matusi ya kiholela! Watu wanajadiliana tu kama chuki bakini wenyewe. Hamjalazimishwa kusilimu mko huru matusi ya nini sasa! Bakini tu na imani zenu.

  • @omarnkeshimana5007
    @omarnkeshimana50072 жыл бұрын

    ASH'HADU AN LAA ILAAHA ILA LLAAHU WA ASH'HADA MUHAMADAN ABDUHU WA RASUULUHU SWALA LLAAHU ALA'IHI WA SALAMA

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z2 жыл бұрын

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah. mungu awalinde masheikh wetu

  • @sadickhagamye
    @sadickhagamye Жыл бұрын

    Mwnyezi mungu awape maisha marefu

  • @Osama-fw7oj
    @Osama-fw7oj6 жыл бұрын

    mashallah sheh mazinge mungu akubark

  • @swidicqmustaph268
    @swidicqmustaph2687 жыл бұрын

    Ila Dawa ya Qafiri ni ndogo Sana, Allah atupe Shahada

  • @alimbwana4961
    @alimbwana49616 жыл бұрын

    maashallah dini ya uislam ni hakki mola wetu waonyesh njia wasoijua din ya hakk

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares46506 жыл бұрын

    Mashallah mungu akubaliki Sana AMEEN

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын

    Mashaallah mazinge na na huyu kaka mungu awabariki sana mashaallah tabaraka llahu mungu awape nguvu ya kueneza uislamu Allahu bariki inshaallah

  • @ftimaramadan4748

    @ftimaramadan4748

    2 жыл бұрын

    kumbe nipo huku pia najipongeza mwenyewe alhamdhulilah

  • @mbidadaud1256
    @mbidadaud12565 жыл бұрын

    kwa kaul zenu fimbo za mungu zitawaangamiza mtazalilishwa mpaka mwislam wa mwisho

  • @santodelove4351

    @santodelove4351

    5 жыл бұрын

    Fimbo ya Mungu kwa waikristo

  • @zainabomar5512

    @zainabomar5512

    5 жыл бұрын

    Wakrisito hamjielewi

  • @abdullaha493
    @abdullaha4937 жыл бұрын

    Mwaipopo sio mjinga labda nying msioelewa, kila kitu kipo wazi kinajieleza IPI dini ya haki kwa weny akili timamu maana uyo Mwaipopo katumia iyo bibble kuwaonesha watu udhaifu wa dini ya kikisto ili kuwaokoa waliopotoka, na nyie si mnaijua bibble hamuoni, mi ntawaombea Allah awasaidie coz u really need help Christianz

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 Жыл бұрын

    Yesu ni mwana wa mungu

  • @Arishafa547

    @Arishafa547

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂Pole sana

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Mashaallah masheikh wetu Allah awaongoze

  • @nahodasalamala1874

    @nahodasalamala1874

    2 жыл бұрын

    8

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866Ай бұрын

    Ana nyapanyapa kama paka ndio ananyapa mana paka ndie ananye nyapia panya paka ananyapa ndio kiswahili cha Mombasa

  • @rinompemba5926
    @rinompemba59262 жыл бұрын

    Napoleni kwa magumu mnayo pitia walimu wangu . ALLAH awe nasi waislam siku zote

  • @zamzam8399
    @zamzam83997 жыл бұрын

    Islam ndiyo dini ya haki

  • @hawamashallahmkubwa5416
    @hawamashallahmkubwa54168 жыл бұрын

    masha allah mungu akuzidishie umri uweze kuwaelimisha wakristo sababu wamepoteya

  • @rokoowilfred2318
    @rokoowilfred23182 жыл бұрын

    Tunajua maana ya ukristo sio huo upotoshaji

  • @user-up6bq6or8y
    @user-up6bq6or8yАй бұрын

    ❤mazinge

  • @shaingurusangaza6584
    @shaingurusangaza6584 Жыл бұрын

    Subhanallah

  • @mercyvilili
    @mercyvilili2 жыл бұрын

    Muko kimwili ndio maana hamuelewi

  • @abdallahzuberi2854
    @abdallahzuberi28545 жыл бұрын

    Mungu awapeuzima wa afya njema awaondolee vikwazo vilivyombele ilimuweze kuutetea uislam

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y2 ай бұрын

    Allah awalani awa makafiri alafu mara nyingi awa makafiri wanapiga sana dini ya kislam sijui kwanini wakati allah kaisha sema vitabu vyake dini ni mmoja tu islam wanawafunga jela bila kosa

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA10 ай бұрын

    MASHALLAH MASHALLAH ❣️ ❣️ TABARAKALLAH

  • @asiamatitu1573
    @asiamatitu15736 жыл бұрын

    Mashaallah. Allah awalinde katika kazi hii ya da'awah

  • @halidmusa4980

    @halidmusa4980

    6 жыл бұрын

    Islam iyo ndio dini ya haki mbele ya mwenyezimungu

  • @samanthaali873
    @samanthaali8736 жыл бұрын

    Allahu Akbr

  • @aniphaally5017
    @aniphaally50175 жыл бұрын

    Mashaallah allah azidi kukuongoza

  • @mwadawasaidi2304
    @mwadawasaidi23047 жыл бұрын

    makafili poleni sana mtakwenda kuwaka moto uko . rejeeni kwa Mola wenu makafili

  • @irenemagoto2646

    @irenemagoto2646

    7 жыл бұрын

    hivi kumbe hujui kuwa allah ndo atakuwa ukuni wa jehanam pole yako

  • @tattoally2341

    @tattoally2341

    7 жыл бұрын

    ww iren mageto kwanz staghafiru hii dunia t ucjigambe kwa maneno km ukuni wa jahann utaenda juwa mjinga weee usojielew ten utukome na dini yetu c kijing sw

  • @irenemagoto2646

    @irenemagoto2646

    7 жыл бұрын

    tatto ally sibishani na mtu asiye kuwa na akili na mjinga ni wewe

  • @fatmahamad2156

    @fatmahamad2156

    5 жыл бұрын

    @@irenemagoto2646 staghafiru sana ,na ili ustaghafru uingie ktk uslimu,kwani hapo ulipo ni kafiri huwezi kustaghafru na ndo maana ukamtukana Mungu,dah mrejee Allah (s.w)watakao kuwa kuni ni watu na mawe

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Alhamdulillah kwakuwa muislam

  • @Mimi.Official76
    @Mimi.Official768 жыл бұрын

    Watu wana jaribu kumpita Mungu akili

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 Жыл бұрын

    Ukisema dini lazma kuwe na dini mbili mfano ssm na chadema ukrsto ni imani uislam ndo dini Muhammad kaileta

  • @khalifamuhammed3019
    @khalifamuhammed30195 жыл бұрын

    poleni sana waislam. kutokujuwa yesu ni mungu lakin hyo mazinge atawapeleka motoni kabis. ni mtu anapingana na qurani yake napia bado aelewi hata asomewe quran poleni sna yna hyo ni mtu ambaye ajielewi kabisa

  • @ahmedibrahim2127

    @ahmedibrahim2127

    2 жыл бұрын

    Ww ndio chizi

  • @cajiinqas2213
    @cajiinqas22138 жыл бұрын

    Mansha Allah

  • @rinompemba5926
    @rinompemba59262 жыл бұрын

    Professional mazinge

  • @anjelinawiliam5415
    @anjelinawiliam54156 жыл бұрын

    mungu akulehem

  • @husha6372
    @husha63722 жыл бұрын

    Quran 9:34

  • @aliclass7526
    @aliclass75267 жыл бұрын

    mashallhaa

  • @halimamwachilimwachili5099
    @halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын

    Allah awatangulie Masheikh ln shaa Allah,Mnapitia magumu.Alhamdulillah

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    😀misijawaelewa kabisa hawa wakristo

  • @joharially4352
    @joharially43525 жыл бұрын

    makafir malipo yao siku yamwisho nijahannam, ebu badilikeni , mnaijua kweli ila mnabisha , uwislam ndy din ya kweli

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross1132 Жыл бұрын

    Kama kuna dini yakulinganishwa na Uislamu labda ianzishwe lkn hakuna hakuna haita tokea

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    yani raha sana

  • @alimutta9121
    @alimutta91218 жыл бұрын

    mwaipopokweli yako

  • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823
    @kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын

    Allahumma Aamiyn thumma Aamiyn

  • @eppiemodest
    @eppiemodest2 жыл бұрын

    Hayati Nyerere alikuwa anasali kanisanla St. Peter iliyoko Msasani si St. Joseph pale Posta kama unavyosema uwongo kwa Waislamu wenzako. Nilikuwa nasoma shule ya St. Joseph nayajua hayo. Kwenye events chache ndiyo alikuwa anakuja pale.

  • @irenemagoto2646
    @irenemagoto26467 жыл бұрын

    nashangaa pale wanaposema bibilia siyo maneno ya Mungu wakati kuna maandiko wamecopy na kupeste

  • @Amishjuma

    @Amishjuma

    6 жыл бұрын

    irene magoto bible is corrupt and has got so many errors . Lucifer ashawateka nyara .

  • @omargbabagbaba4231
    @omargbabagbaba42318 жыл бұрын

    MashaAllah mazinge wape vidoge

  • @zwuenakhalfan2098

    @zwuenakhalfan2098

    6 жыл бұрын

    Mashaallah mazinge mmesema maneno ha haki tumuombe Mungu awajalie wakristo wote duniani awape ufahamu kujua dini ya haki kwa Mungu ni islam na ndio walikuja manabii wote kusema Mungu ni mmoja hakuzaliwa hana mwana wala mshirika sasa yesu sio mtoto wa Mungu wala si Mungu msiwe wakaidi tafuteni dini someni vitabu na mtulize akili mtapata ukweli

  • @Winky_spyder
    @Winky_spyder2 жыл бұрын

    Hungeachana na ukristo, ungebadilisha kanisa kwa sababu Catholic si kanisa takatifu

  • @rokoowilfred2318
    @rokoowilfred23182 жыл бұрын

    Upotoshaji sinagogi sio msikiti

  • @nero7941
    @nero7941 Жыл бұрын

    Upotoshaji

  • @mbidadaud1256
    @mbidadaud12565 жыл бұрын

    Dini haimpeleki mtu mbinguni bali ni Matendo yako

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    2 жыл бұрын

    tatizo lako shule,sa hayo matendo utayapata wapi bila kurudi kwenye dini na vitabu,wahindi wana matendo mazuri lakini wanaabudu masanamu matendo yao ni bure,siku hizi tumesoma bwana huezi kutupeleka kama mabehewa

  • @aminaharufa1343
    @aminaharufa13432 жыл бұрын

    Mwana popo umesema ukweli kabisa

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan47482 жыл бұрын

    mashallah

  • @frankgichia7685
    @frankgichia76856 жыл бұрын

    Kweli mwaipopo unastahili kusamehewa kwa kuwa ujualo ulisemalo

  • @aniphaally5017

    @aniphaally5017

    5 жыл бұрын

    Frank Gichia allah akuongoze

  • @sausalishebetyyanitishiohm7790
    @sausalishebetyyanitishiohm77908 жыл бұрын

    mola awpe Wales k wenye jambo yakheri

  • @mwanasweet8099
    @mwanasweet80996 жыл бұрын

    Na ndomana MwenyeziMungu ameahdi ataenda kuwachoma moto wakristo, mayahudi na dini nyengine ambao si waislam maana hawataki kuelewa wanaendekeza dunia tu saa nyngne unajiuliza Mungu kaumba moto lakn bado watu wakaidi jee ingekuwa hajaumba moto singekuwa tafarani

  • @sangojoselyne4323
    @sangojoselyne43238 жыл бұрын

    mungu akuinde

  • @raphaelras4509
    @raphaelras45095 жыл бұрын

    Muongo huyu!!

  • @eppiemodest
    @eppiemodest2 жыл бұрын

    Halafu mjue Dini ni imani. Wewe Mwislamu unajisifia dini yako. Lakini. Isije ukaukosa pepo kwa matendo yako. Udhalilishaji wa dini za watu kumbe roho yako haiko sawa. Tafakari.

  • @saadakimenya4356
    @saadakimenya43566 жыл бұрын

    Mwaipopo to a sirihizo

  • @ashunashunabdallah3319
    @ashunashunabdallah33197 жыл бұрын

    cc htumtukani yesu.Tunamkubal n mtume wa mngu.lkn ninyi wakirsto munmtkana.mhd...yesu Hakula ngurue kwNn ninyi wakirsto munakula.

  • @irenemagoto2646

    @irenemagoto2646

    7 жыл бұрын

    ulikuwepo

  • @tattoally2341

    @tattoally2341

    7 жыл бұрын

    irene magoto ww ulikuwepo

  • @irenemagoto2646

    @irenemagoto2646

    7 жыл бұрын

    Tatto ally inaonekana hujaenda shule ukiulizwa swali nawe unauliza swali

  • @tattoally2341

    @tattoally2341

    7 жыл бұрын

    irene magoto na ww bado unahitj urud chekechea ukajifunze abc coz mm nilikuulz ulikuwep lkn hukujuw vyakujibu

  • @irenemagoto2646

    @irenemagoto2646

    7 жыл бұрын

    we ndo uridi chekechea siyo mimi alafu kama huko msikitin mnafundishwa kutukana katukanene huko huko siyo hapa

  • @irenemagoto2646
    @irenemagoto26467 жыл бұрын

    muongo sana huyo

  • @asiamatitu1573

    @asiamatitu1573

    6 жыл бұрын

    irene magoto ni vema ukasoma ili ubaini ukweli wewe mwenyewe ukweli na uongo kuliko kusema maneno ya kifedhuli

  • @dazuuhmd819

    @dazuuhmd819

    5 жыл бұрын

    Irene soma acha ujinga

  • @jazilahsaidi9818
    @jazilahsaidi98182 жыл бұрын

    How do we reply wakisema tumswalie mtume...I need to know please

  • @sitnafaraj2813

    @sitnafaraj2813

    Жыл бұрын

    Swalu ala nani Muhammad

  • @sitnafaraj2813

    @sitnafaraj2813

    Жыл бұрын

    Swalu alaaa nabii Muhammad

  • @flaviankiria435
    @flaviankiria4356 жыл бұрын

    Huyujamaa ni muongooo dah!

  • @alimassea612

    @alimassea612

    6 жыл бұрын

    Flavian Kiria yaani pamoja na kuambiwa ukweli bado mmegubikwa na ulevi

  • @flaviankiria435

    @flaviankiria435

    6 жыл бұрын

    Ali Massea kwasababu Mungu si Mwanadamu hata ashindwe jambo isitoshe hata uyoshetani niyeye aliye muumba.

  • @rskiabdala4868

    @rskiabdala4868

    6 жыл бұрын

    Lete wako ukweli

  • @stallonesylvester1988
    @stallonesylvester19888 жыл бұрын

    yeye alikuwa anabudu sanamu kwa kutumia Yesu Christo....mwombeni vile mohamed anasema wamwombe kwa mungu

  • @sahariabdul

    @sahariabdul

    8 жыл бұрын

    huna lolote kafiri mkubwa

  • @ahmedymmland5284

    @ahmedymmland5284

    5 жыл бұрын

    Uislam in din ya hak Mashaallah

  • @kayesumaureen6044

    @kayesumaureen6044

    5 жыл бұрын

    OMG Muslims!! Just give up your stupidity cause I know that Jesus is the real son of God and if you don't believe that you won't be able to see God either period.

  • @kayesumaureen6044

    @kayesumaureen6044

    5 жыл бұрын

    And I agree with you brother

  • @kayesumaureen6044

    @kayesumaureen6044

    5 жыл бұрын

    He was being out of the topic

  • @irenemagoto2646
    @irenemagoto26467 жыл бұрын

    Mungu ni roho hawajamaa wagumu sana kuelewa

  • @irenemagoto2646

    @irenemagoto2646

    7 жыл бұрын

    back africa kafiri ni wewe ambae hujui

  • @rskiabdala4868

    @rskiabdala4868

    6 жыл бұрын

    Roho nd nn?

  • @khuzeimaabdul4275

    @khuzeimaabdul4275

    6 жыл бұрын

    irene magoto Kama mungu ni roho Kutakuwa na roho ngapi duniani?wa wapi ww

  • @specialslavery6315

    @specialslavery6315

    5 жыл бұрын

    Mungu ni roho !! Sasa sisi binaadam nn?

  • @samiramohamed98

    @samiramohamed98

    5 жыл бұрын

    @@irenemagoto2646 hahahahaaaaaa Yan ww I thnk hujsom mung roh ss kwann mwasem yes heee

  • @ramzansaid6833
    @ramzansaid68338 жыл бұрын

    wakriato nyinnyi makafili jaman

  • @stevenjm1314

    @stevenjm1314

    7 жыл бұрын

    wewe wasema

  • @tattoally2341

    @tattoally2341

    7 жыл бұрын

    kwel makafir hao

  • @ashoramashaallahmohammed3348

    @ashoramashaallahmohammed3348

    6 жыл бұрын

    Ramzan Said mashaallah

  • @yoveanyakarungu1547
    @yoveanyakarungu15476 жыл бұрын

    Ww ni kweli uwclamu fisi dini ya kisilam n ya fisi

  • @Amishjuma

    @Amishjuma

    6 жыл бұрын

    yovea Nyakarungu 😂😂😂😂yakikristo niya lucifer mnamuabudu shetani mkimtaja kuwa yy ni yesu ...Ole wenyu mnayo macho na hamuoni.

  • @frankgichia7685
    @frankgichia76856 жыл бұрын

    Huo ni uongo peleka ushetani wako ukooo tanzania

  • @Amishjuma

    @Amishjuma

    6 жыл бұрын

    Frank Gichia nyinyi ndio mnahubiri errors lucifer has take charge in christianity .

  • @rskiabdala4868

    @rskiabdala4868

    6 жыл бұрын

    Maisha yte ukweli unauma

  • @khuzeimaabdul4275

    @khuzeimaabdul4275

    6 жыл бұрын

    Frank Gichia ww ndy hujui ulisemalo umepotea

  • @HassanBiggston

    @HassanBiggston

    5 жыл бұрын

    Watombwa ww

  • @anjelinawiliam5415
    @anjelinawiliam54156 жыл бұрын

    tafuteni umaaaalufu mwingine ilasiokatika mamboyamungu mungu awasamehe maaanahamjuimlitendalo

  • @samiramohamed98

    @samiramohamed98

    5 жыл бұрын

    Ww ndyhujui ulitendalo kwann hutak kuteteadin yako Kam kwel ya hak

  • @zainabomar5512
    @zainabomar55125 жыл бұрын

    Naitaka hii video watsap jaman nitaipataje

  • @hassankhamis6535

    @hassankhamis6535

    5 жыл бұрын

    Download app inaitwa snaptube hlf uandike jina la iyo video utaipta kwenye gallery yko

  • @zainabomar5512

    @zainabomar5512

    5 жыл бұрын

    @@hassankhamis6535 ok sawa asante my

  • @omarympambije3221
    @omarympambije32215 жыл бұрын

    hakika ukristo n ukafiri ulio dhahir

  • @lesleymambo2920
    @lesleymambo29207 жыл бұрын

    kafiri ni ww hapoooooo usokuwa na adabu kwani uliiumba hii dunia wewe

  • @alimassea612

    @alimassea612

    6 жыл бұрын

    Lesley Mambo pole

  • @rskiabdala4868

    @rskiabdala4868

    6 жыл бұрын

    Usiumie huu nd ukweli ulivo

  • @khuzeimaabdul4275

    @khuzeimaabdul4275

    6 жыл бұрын

    Lesley Mambo Ukweli unawauma

  • @mullershallshall739
    @mullershallshall7396 жыл бұрын

    Anae sema yesu nimungu au nimtoto wamungu watu hao hawataenda mbinguni kwenye uzima wamilele..ikiwa Yesu nimtoto wamungu na Eva nae nimtoto wanani?Wakiristo tafuten dini yakweli Achen kudanganywa na mapaster namapadri....

  • @yusrakhamis449

    @yusrakhamis449

    5 жыл бұрын

    muller shall shall

  • @amosichacha5675
    @amosichacha56755 жыл бұрын

    Kuukataa ukiristo ni kukubali mwenyewe kwenda jehanam ya moto ukiwa na akili zako timamu!

  • @HassanBiggston

    @HassanBiggston

    5 жыл бұрын

    We watombwa nn

  • @amosichacha5675

    @amosichacha5675

    5 жыл бұрын

    Nimekusamehe, Neema ya Bwana ikusaidie umpokee Yesu Kristo akuokoe akubadilishe yakale yawe mapya. Akutakase akubadikilishe tabia, uachane na matusi. Huyo unayemfuata hana uwezo wa kukuokoa wala kukubadilisha ukawa na tabia njema!

  • @mercyvilili
    @mercyvilili2 жыл бұрын

    Muko kimwili ndio maana hamuelewi

  • @sausalishebetyyanitishiohm7790
    @sausalishebetyyanitishiohm77908 жыл бұрын

    mola awpe Wales k wenye jambo yakheri