MAZINGE KICHANGANI, LEO KATI YA ALLAH NA YESU NANI ALIYEMUUMBA MWENZIE/ KWA NINI MTUME ALILOGWA?

Пікірлер: 515

  • @kudramzee5769
    @kudramzee57692 жыл бұрын

    Maashaallah professor Mazinge Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika kazi ya dawa unayoifanya

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    2 жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @yussfkombbo2205

    @yussfkombbo2205

    2 жыл бұрын

    @@eshasalim5496 aapqqqalpqqqpaqlaaaaapqaaqaaaqa

  • @thulaniduku3218

    @thulaniduku3218

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @hasankasam5576
    @hasankasam55762 жыл бұрын

    Shekh mazinge ww ni zawadi kutoka kwa allah.. Niseme alhamdulillah maana unavowapasha ndugu zetu wakristo mpaka nasisimka.. Allah akupe umri mrefu wenye afya inshallah.. Ila siku ukiondoka sidhani km atatokea shekhe km ww lakini madhali allah yupo na quran yake sina waswas.. Mashallah

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    2 жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @issmuking3987
    @issmuking39872 жыл бұрын

    waalykum msalaam asiemuelewa sheikh mazinge sjui nani atakae muelewa mwengine kwenye hii dunia Allaha atujaalie khusnul lkhatima ameen👏

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    2 жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @donitoalberto3154
    @donitoalberto31542 жыл бұрын

    Grande senhor Mazinge que Allha abençoe sempre você. Meus grande abraço! 🇲🇿

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri68572 жыл бұрын

    watching you from Lusaka zambia, professor Mazinge we agree with you 100% , we all should glorify Allah swt for the all favours bestowed upon us

  • @benjaminlijongwa3715

    @benjaminlijongwa3715

    2 жыл бұрын

    Glorify what? Mazinge is a primary school graduate. Pure standard seven. Not proffesor

  • @karaoglan9444

    @karaoglan9444

    2 жыл бұрын

    @@benjaminlijongwa3715 he deserves a Honoris causa...that's why he is known as a Professor...

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo50432 жыл бұрын

    Kama yahaya namkumbuka sana sheikh wangu nilikua namkubali sana kama Mazinge😭😭😭😭.

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy2 жыл бұрын

    Mashaallah Shk Mazinge Mola Akupe Umri Ziada Kuwaokowa Umma Mpaka Kupatikane Mwanafunxi Wako lnshaallah....yarabil Aalamin

  • @anthonylikoko1295

    @anthonylikoko1295

    2 жыл бұрын

    Jamani kwanini kuchambua imani za wenzenu kama yesu alikufa hakufa Mungu mwenyewe ndiye ajue dini ni njia yetu sot ya kumjua Mungu ili tumjue na kumpenda mwisho kila mtu na matendo yake ndio yatamfikisha peponi kashfa za nini hakuna mwislmu wala mkristo atajisifu dini yake ni kumpeleka peponi .Sasa kwanini kuwakufuru manabii wa Mungu ? Tunachotakiwa wanadamu tupendane tusibaguane maana kila mmoja anaomba kwa imani yake na Mungu anambariki wafundishe waamini imani yao usiingilie imani ya wengine usifikiri kusema sana kua ww uko sahihi sana heri mtu yule azuaye.ulimi wake usinene uwovu kwa jina la Yesu kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kua Yesu ni bw.

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi5982 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh wetu shukuran allah akuzidishie Umr mrefu na mwisho mwema tunakupenda kwa ajili ya allah sheikh wetu allah akulinde na husda za watu na shari mbalimbali za usk na mchan mungu akujaalie Umr kila la her

  • @thulaniduku3218

    @thulaniduku3218

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @alyumar4657
    @alyumar46572 жыл бұрын

    Ustadh mazinge tuna kutaman ktk kisiwa cha pemba mungu akufanyie wepes kabla uujaingia kaburin ufike inshallah.

  • @user-mq6lu2po3y

    @user-mq6lu2po3y

    2 жыл бұрын

    Hawa masheik hawaji Zanzibar

  • @user-mq6lu2po3y

    @user-mq6lu2po3y

    2 жыл бұрын

    Wakija wanakuja kimnya kimnya

  • @alyumar4657

    @alyumar4657

    2 жыл бұрын

    @@user-mq6lu2po3y sjuw shida nn mbona wasanii wanatembea sana japo sku za kampen ila watakuja ila masheik ndo ivo dahhhhh

  • @fatmamsiliwa8485

    @fatmamsiliwa8485

    2 жыл бұрын

    @@user-mq6lu2po3y washaja sana halaf zenji waislam wengi na watu wanajua din lkn mikoan hakuna din

  • @hamidaissa4769
    @hamidaissa47692 жыл бұрын

    Mungu akuweke shekhe ,hapo kwenye dakika 850 umpe majibu Allah umezitumiaje 😭😭pagumu ya Raby majibu sijui km turakuwa tunayo maana kuutwa wengi wako kwenye mambo ya kipuuzi

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor85282 ай бұрын

    Masha ALLAH!! MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE UMRI MREFU WENYE SIHA NA AFYA NJEMA nilipata bahati ya kuhudhulia muhadhala wako 1984 ukiwa na Prof Ngaliba, Othman matata, kawemba, sheikh said Abri na wengineo

  • @faridbashuu
    @faridbashuu2 жыл бұрын

    Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh, insha'Allah KARIBU KENYA. Sheikh Wetu Sote. Raha Sana Wallahi.

  • @MwinyialiMtali
    @MwinyialiMtali17 күн бұрын

    Professor mazinge Allah akupe umri mrefu

  • @user-qh2kr2lk4u
    @user-qh2kr2lk4u8 ай бұрын

    Shekh mazinge Allah akihifadhi insha Allah

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah77022 жыл бұрын

    Peter yaunga subiri dakika ya mwisho hapo utasema njaa zimemshika sheikh mazinge lakini nakuombea mungu yakuongoze katika njia yaukweli

  • @hafsaali7976
    @hafsaali79762 жыл бұрын

    Mashaallah shekh wetu,Allah akuweke

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82932 жыл бұрын

    Mashallah tabarak Rahman sheikh mazinge allah akulipe fii dunia wa akhera yarab ameen 🥰🥰🌹🇴🇲

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah77022 жыл бұрын

    sheikh Mazinge asalamu alaikum warahamatullah wabarakati ubarikiwe naomba masiliano mimi nawewe kwa jina la Allah. nafwatilia mihadhara Yako kwa mtandao lakini mimi sio mtz najitahidi tu kujifunza kiswahili kidogo kidogo kwa sababu napenda TZ Sana napenda kiswahili Japo misio mzaliwa lakini naipenda mungu ndo anajua kwanini nomesalitika nahio nchi mimi nimusilamu namshukuru mungu kwa kua muisilamu nenge penda niwe kati yatu ambao wanachangia kwa mihadhara Yako naomba uniletee namba ya simu Yako ishallah ili nionge nawewe

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane468011 ай бұрын

    Sheh Mazinge Mungu akulipe pepo ya juu na sisi sote 🇲🇿

  • @kellugumba8172
    @kellugumba81722 жыл бұрын

    Mash Allah mungu atujalie na mungu akuongoze na safari yako shekh wetu.

  • @amosomary7928

    @amosomary7928

    2 жыл бұрын

    Ww ustetee dini soma mandiko matakatifu upate maarifa soma biblia na korohani properly na ufundishe watu kutokana na maagizo ya MUNGU amri 10 za MUNGU sio utee uisilamu muhamadi ni muovu tu

  • @nassorhaji2637

    @nassorhaji2637

    2 жыл бұрын

    @@amosomary7928 Alookupa hilo jina nahic kama alikosea maana hilo jina la Omar ni jina tukufu kwa Allah SW yaani sayyidinaa Omar (As) sasa ww umepewa jina zuri la baba yako ..rudi kwa Allah SW vyenginevyo utakuja kufeli ndugu yangu

  • @drtee7533
    @drtee75332 жыл бұрын

    MashaAllah Mungu akuzidishie...na ulipokosea hapo kwa kusoma ayatul Qursiy pia akuwezeshe kuitamka na kuisoma vzuri in shaa Allah🤲🏼

  • @machetetz928
    @machetetz9282 жыл бұрын

    Mungu akulinde shekh mazinge na watu wabaya

  • @pilimusa3217

    @pilimusa3217

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @saidmohd7240
    @saidmohd72402 жыл бұрын

    M/Mungu akurehemu/akulinde na Maadui wa Allah! Uendelee kuutetea uislam!!!

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku32182 жыл бұрын

    Allah awarehemu ustahi Rico na wengine kafanya kazi kubwa katika uwislamu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78232 жыл бұрын

    Mashallah Mashallah Shekhe Mazinge Allah akuweke.

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Жыл бұрын

    Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umuri

  • @marcelinmdouze8025
    @marcelinmdouze80252 жыл бұрын

    Masha'Allah mungu akupe maisha ma refu Sheikh

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli6182 жыл бұрын

    Taqbeer Allahu Akbr

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Жыл бұрын

    Nitaliitia jina la BWANA WETU YESU KRISTO MUNGU aliye hai My living God is Jesus Christ 🙏🙏

  • @saddybrezzy9777
    @saddybrezzy9777 Жыл бұрын

    Professor Mazinge

  • @binbaya923
    @binbaya9232 жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын

    Mashaallaah ust wangu mola azidkusaidia ktk hilo amiin yaarabaliaalaamiin

  • @designdesign4426
    @designdesign44262 жыл бұрын

    Nakukubali sana profesa lollmodowangu....

  • @marengumohamed2715
    @marengumohamed27152 жыл бұрын

    Mungu mkubwa shekhe mazinge huu jaman nampenda sana

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 Жыл бұрын

    Allah akueke shekh wetu

  • @abdulwahidmansour5450
    @abdulwahidmansour54502 жыл бұрын

    Sheikh mazinge ayatu kursiyyu kaiyangalie vizuri maalim wangu

  • @iddmohammed1086

    @iddmohammed1086

    2 жыл бұрын

    Namimi nimeona

  • @ibad-urrahmanmedia241

    @ibad-urrahmanmedia241

    2 жыл бұрын

    Ndugu yupo sawa ameinuku kwa kiswahili vizuri tu

  • @ahmedibrahim2127

    @ahmedibrahim2127

    2 жыл бұрын

    Kukosea ipo sio km haijui

  • @fatumasalumu2869
    @fatumasalumu28692 жыл бұрын

    Mashall

  • @alialimohamed1243
    @alialimohamed12432 жыл бұрын

    Uislam ni dini ya haki

  • @mikatejunior1362
    @mikatejunior136210 ай бұрын

    Mashaalah

  • @jimjam4148
    @jimjam41482 жыл бұрын

    MASHAA ALLAH

  • @medwho959
    @medwho959 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi!!

  • @tomayodi3762
    @tomayodi37622 жыл бұрын

    Uongo uongo uongo uongoooo

  • @jumajillo2348
    @jumajillo23482 жыл бұрын

    MTU AKISEMA UKWELI ANACHUKIWA NA WATU WENGI SANA...ALLAH AKUHIFADHI UZIDI KUISHI MAISHA MAREFU..AMIIN

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu25052 жыл бұрын

    Waislamu mtakuja kulia na kusaga meno, musipo batizwa na kumkirj Yesu kuwa ni Bwana na mwokozi

  • @hilmialiomar1983

    @hilmialiomar1983

    2 жыл бұрын

    Uislamu ndo dini, soma ndugu yangu utajua ukweli.

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@hilmialiomar1983 Acha nikutoe usingizini; UKRISTO siyo dini,kwanza weka hilo kichwani. Halafu MUNGU huyu aliyeumba mbingu na nchi yeye hana Dini! MUNGU anaangalia imani ya mtu,na Ukristo ni IMANI timilifu kwa MUNGU,vile jinsi YESU alivyokuwa na IMANI hata akaweza kufufua wafu,hiyo ndio IMANI ya Kikristo.

  • @hilmialiomar1983

    @hilmialiomar1983

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 kufufua co imani kasome ndugu yangu,uwezo wa kukufua kwa Nabii Issa(A.S) nyinyi munamwita Yesu ni miujiza aliopea na Allah (SWT) na wakati wa nabii Issa (A.S) walikua wachawi na kila mtume alipewa miujiza yake kwa mfano Nabii Suleiman (A.S) alikua anaongea na wanyama,majini na vitu. Mungu anatutaka tuufate Uislamu na Mitume wote walikua waislamu.

  • @hilmialiomar1983

    @hilmialiomar1983

    2 жыл бұрын

    Nimekusudia kusema wakati au zama za Nabii Issa (A.S) watu walikua wachawi ndo maana Allah (SWT) akampa Nabii issa (A.S) uwezo wa kufufua,na kufufua sio imani ni miujiza.

  • @hilmialiomar1983

    @hilmialiomar1983

    2 жыл бұрын

    Nimekusudia kusema wakati au zama za Nabii Issa (A.S) watu walikua wachawi ndo maana Allah (SWT) akampa Nabii issa (A.S) uwezo wa kufufua,na kufufua sio imani ni miujiza.

  • @djhank2547
    @djhank2547 Жыл бұрын

    Dini ya kufuata ni kulingana na pale umezaliwa na Imani ya kwanza hutoka Kwa mama mlezi

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic29302 жыл бұрын

    Shekh Mazing nashukur san uko vizur sana Lakin nakuomb kwaheshim nenda kadom Quruan Unavurug sana yan san it is not good ur Quruan shekh pls Angaliy ulivyozisom izo AYA mbil

  • @philismusyoka637
    @philismusyoka6372 жыл бұрын

    Muhammad na kwan nn ako kwa wafu kama alikua na nguvu. Jesus is son of God and mlimwuua mkidhani mumemmaliza lkn instead akaenda akastahimili kwa maana ilikua n utabiri na lazima ungetimia amefufuka yuko hai we pray to God through Him, and through Him we will see the kingdom of God. To you Muhammad died and akufuka na hatawahi kufufuka yupo kwa wafu asubiri kuhukumiwa na huyu Yesu na ww pia

  • @shariffidriss1846

    @shariffidriss1846

    2 жыл бұрын

    Inshallah we will see,jesus is my prophet

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    💪💪🙏Thanks and God Bless you much🙏

  • @philismusyoka637

    @philismusyoka637

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 Amen

  • @hilmialiomar1983

    @hilmialiomar1983

    2 жыл бұрын

    Mungu hazai, iweje yesu awe mtoto wa Mungu

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@hilmialiomar1983 Hiyo ni miujiza na maajabu ya MUNGU,na ndio maana akaitwa MUNGU na si Allah wala Mohammad😂😎😀

  • @user-lh1ye4qe8j
    @user-lh1ye4qe8j Жыл бұрын

    Asalam Allaikum waramatullah wabarakatuh jmn naomba maoni yenu ktk nyinyi mliojaliwa na elimu, vp jmn Allah ni Nani km tunavyojua hafananishwi lkn Tukizungumza Allah tumtafakari km Nani naomba ndugu zng cz tumelizungumza lkn badhi wanasema ni spirit ya Iman je ni kweli?

  • @pascalmbusa8826
    @pascalmbusa8826 Жыл бұрын

    Mungu akupe nguvu

  • @salehrama9797
    @salehrama97972 жыл бұрын

    Profesor tunaomba uiweke hii kwny Tiktok tupate kudowload!

  • @kimonimbinda422

    @kimonimbinda422

    2 жыл бұрын

    Okoka huu ni upuzi.mohhamed was a demon possessed man.huyo atakuwa nabii wa Nani?Islam is just a scam to denie the divine power of God.it is a antichrist religion which Jesus Christ foretold will come.and any spirit that does not acknowledge that Jesus is the only son of God is not the spirit from God.jesus is God's incarnate.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын

    Mashaallaah mola akuhifadh na akupe elimu uweze kutangaza uislam na uwaelimishe makafir amiin

  • @alexandermulilison5844
    @alexandermulilison58442 жыл бұрын

    Nilikuwa Kwa hiyo debate ....Mzee Mazinge acha uongo na ushabiki.

  • @ramadhanimussa6408

    @ramadhanimussa6408

    2 жыл бұрын

    Tulia we kafiri

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92392 жыл бұрын

    Njaa inakusumbua,kila cku hujaga jipya,YesuYesu,ulidandia Dini kwa mbele,Walozaliwa kwenye Uislam wametulia manake wanajua Dini,Chakubimbi njaa

  • @jumajillo2348

    @jumajillo2348

    2 жыл бұрын

    KUWA MUISLAMU KAKA UTAJUA KUSOMA NA UTAJUA UKWELI WOTE KUHUSU UISLAMU

  • @machetetz928

    @machetetz928

    2 жыл бұрын

    Daaa mungu Wang ..... Omba msamaha kwa mungu ww.. anakufundsha unamwambia Ana NJAAA acha zalau ww

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@machetetz928 Ndio njaa tu,Waislam wengi njaa,angalia ombaomba wengi ni waislam,sasa huyo Allah kalala?hawaoni mnavyohangaika? YESU ni jibu la kila kitu njooni kwa YESU sasa muda ni mchache🙏🙏

  • @karaoglan9444

    @karaoglan9444

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 kwani umaskini ni laana? Kichwa chako ndio kina njaa ya Fikra na UBONGO wako umefilisika!!

  • @karaoglan9444

    @karaoglan9444

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 boya Kweli wewe!!

  • @user-tt3jh1mq5y
    @user-tt3jh1mq5y2 ай бұрын

    Ukristo na Uislam vyot tulivikuta muhim is all living in Unity

  • @jesusislord9190
    @jesusislord91902 жыл бұрын

    safi saaana Allah ni mjinga Mazinge anaakili kuliko Allah.. Allah anasema YESU hakuwa msarabani mazinge anasema YESU alikufa asante YESU... hukusoma je?? imeandikwa je? kunaneno gumu lolote lile..asiloliweza?? jamani 440 utakuta wako 2 tu

  • @azizymachadeson3577

    @azizymachadeson3577

    2 жыл бұрын

    Hahahaha ani wewe ni ndezi cha kwanza hujui kiswahili hujui kuandika hujui kutafakari rudi shule ani we hata huelewi inaonekana ulimpa sn mwalimu wako shida kwenye uelewa 🤣🤣 umenifurahisha ani comment ako inaonesha hamna kitu umeelewa kilichoongelewa ! Rudi kasome mkuu unajiabisha ndo mana tunaambiwa kama hujui bora ukae kimya 🤣

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    2 жыл бұрын

    KWANA WEWE MWEHU SANA YESU SIO MUNGU BADILISHA PROFILE YAKO MSHIRIKINA WEWE.

  • @seifserenge3340

    @seifserenge3340

    2 жыл бұрын

    Mitego ya Mazinge hakuna mkristo YEYOTE anayeweza kuitegua. Nyinyi mfuateni ndacha awapoteze mukapate kisago katika moto wa jahannam

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    2 жыл бұрын

    @@seifserenge3340 mitego ya wapumbavu ni kuipuuza ndivyo Bible imetuelekeza ivyo

  • @jesusislord9190

    @jesusislord9190

    2 жыл бұрын

    @@salimmalaka256 aliekwambia YESU sio MUNGU..Yy alimuona YESU..?? aliwaona majini...sio YESU..sawa?? waliomuona kwa macho na kumshika na YESU mwemyewe..alithibitisha kuwa ni MUNGU..wewe unaefuta mfu ambae hakumuona..unafuta dhana isiyo na ushahidi wa kuona wala kumsikia

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv13562 жыл бұрын

    mashaAllah MwenyeziMungu akulipe kheri n akuzidishie ummri n miaka mrefu 🤲

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын

    Mashaallaah jazakumullah kheir eid Mubarak Muslim

  • @babumsiha1573
    @babumsiha15732 жыл бұрын

    Mashallah

  • @mr.g7445
    @mr.g74452 жыл бұрын

    Alhamdullah

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    You don't have anything new just leave CHRISTIAN'S alone,will you??😎🙏

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed62632 жыл бұрын

    Akupe umri mrefu wa afya nakuwezeshe Kumikia swala

  • @abdullahiguyo7547
    @abdullahiguyo75472 жыл бұрын

    Allah akuzidishie umri sheikh wetu ,uzidi kupata khery Yaa Habib

  • @tobiasantony3644
    @tobiasantony36442 жыл бұрын

    Kila goti litapigwa na kukili Kristo ndiye Bwana na mwokozi wa ulimwengu. Pigeni kelele tu

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    2 жыл бұрын

    Unajiliwaza mbele ya moto?

  • @sleimannassor8931

    @sleimannassor8931

    2 жыл бұрын

    kama ndio bwana wako mpe tigo

  • @karaoglan9444

    @karaoglan9444

    2 жыл бұрын

    Kukili??😭

  • @PurtyEramson-vw1fo

    @PurtyEramson-vw1fo

    3 ай бұрын

    Amen achana na Uyo muamedi wao

  • @tvfoa7115
    @tvfoa71152 жыл бұрын

    Jazzakllah

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV

    @SHEIKHMWAIPOPOTV

    2 жыл бұрын

    La jamani tumuogope mungu hata mwezi mtukufu tunasema uongo pesa hizi zitatufikisha pabaya sana

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza59452 жыл бұрын

    upo vzr sn Prof. Mazinge

  • @mashaurcharles7825
    @mashaurcharles78252 жыл бұрын

    Mazinge msenge mpiga pesa tu huyu

  • @sleimannassor8931

    @sleimannassor8931

    2 жыл бұрын

    nabii tito je mkiristo mwenzenu vp hapo

  • @mashaurcharles7825

    @mashaurcharles7825

    2 жыл бұрын

    Ukristo ni matendo yanayompendeza mungu wala siyo jina

  • @jesusislord9190
    @jesusislord91902 жыл бұрын

    kainukuu mathayo...kesho atasema imetiwa mikono

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    2 жыл бұрын

    Ujinga mwingi,,,hawajui lolote zaidi ya kuhangaika,,,YESU NI BWANA

  • @jumashabani8474

    @jumashabani8474

    2 жыл бұрын

    @@josephwilliam5813 Una mfahamu bwana? Mbn hata mm ni bwana

  • @frankmpembu2505

    @frankmpembu2505

    2 жыл бұрын

    @@jumashabani8474 kuna Bwana na bwana, umeelewa?

  • @jumashabani8474

    @jumashabani8474

    2 жыл бұрын

    @@frankmpembu2505 Tofauti yake hapo ni herufi kubwa na ndogo lkn ni bwana moja tu

  • @frankmpembu2505

    @frankmpembu2505

    2 жыл бұрын

    @@jumashabani8474 🤣🤣🤣🤣umeshasema kunautofauti,🤣🤣🤣. Nenda kasome Qur'an yako vizuri, ata Qur'an yako inakubali kuna Bwana na bwana, hao ni wawili tofauti

  • @dcharles4647
    @dcharles46472 жыл бұрын

    Dah?!dunia ina mambo.

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    2 жыл бұрын

    Mambo gani?

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 Жыл бұрын

    Ww maneno mengi tatizo

  • @timothyskama6793
    @timothyskama67932 жыл бұрын

    Hahaha yaani watu wamekata kusoma vitabu wajue sasa ona mazinge atawandagaya hadi mwisho, mbona kila mtu asijisome vitabu,

  • @karaoglan9444

    @karaoglan9444

    2 жыл бұрын

    Timothy wewe ndio muongo! Mazinge yupo sawa sana nikupe andiko?

  • @timothyskama6793

    @timothyskama6793

    2 жыл бұрын

    @@karaoglan9444 ukifanya utafiti wa vitabu beyond what is written inside, uniambie sasa, but soma vitu kama mazing nikupidisha madiko tu, kwanza kama unajua petra unajua ulisilamu

  • @mnyongehilali729
    @mnyongehilali7292 жыл бұрын

    Allah atakulipa kwa kile unachokipigania

  • @johnawinda2165
    @johnawinda21652 жыл бұрын

    Hauna lolote hoja za msingi hakuna

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi15622 жыл бұрын

    Mim mkiristo lkn nafurai xana kusikia neno la mungu lkn Ktka imani yng najua wote Ni wa muumba

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande7452 жыл бұрын

    Leo wsislamu wamesikia kweli Yani mazinge awadhibitishia kwamba yesu alikufa musalabani akazikwa akafufuka , Glory to God

  • @heyumi2340
    @heyumi23402 жыл бұрын

    maashaallah

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57802 жыл бұрын

    Mzee mtundu huyu Allah akupe afya

  • @jumaazuberi9317
    @jumaazuberi93172 жыл бұрын

    Maashaallaah Maashaallaah Maashaallaah. Naona kuna mabwege fulani wanacomment ujinga tulieni nyinyi

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo50432 жыл бұрын

    Mazinge wewe ni mwalimu wa dunia kwasasa nenda kawafundishe wakristo wamjue mungu wao wanamjua yesu lakini mungu hawamjui.

  • @seiflugendo5043

    @seiflugendo5043

    2 жыл бұрын

    @Esin Esin Mazinge ni mwalimu wa walimu ndacha hana elimu yoyote yakumsumbua Mazinge

  • @nassorhaji2637

    @nassorhaji2637

    2 жыл бұрын

    @Esin Esin Huyo ndacha ni nani kwani na yuko na hadhi gani hapa duniani na kafundisha nn ili siku ya Qiama ikifika akatetewe na Allah SW

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe2 жыл бұрын

    Sheikh Fundisha watu wengin hicho kipaji

  • @shadyfungo6818
    @shadyfungo68186 ай бұрын

    Huyu jamaa atafanya nislim

  • @emanuelkitandu3076
    @emanuelkitandu30762 жыл бұрын

    Heshim kazi ya mwenge haki

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    2 жыл бұрын

    Ndiyo nini?

  • @josephdogani3419

    @josephdogani3419

    2 жыл бұрын

    Analazimisha kuskilizwa kwa kutisha watu huyu mwendawazimu

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    2 жыл бұрын

    @@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    2 жыл бұрын

    @@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.

  • @ramadhanilukambuzi9760

    @ramadhanilukambuzi9760

    2 жыл бұрын

    @@josephdogani3419 Kawatishia na nini?Mbona hana panga au Mizinga?Sheria za Mwenyezi Mungu zinatisha kuliko yote ya hapa duniani na ndiyo maana hajavuko ktk misingi ya Allah,Kifo kinatisha kuliko Mizinga na mabunduki,Kifo sio Mazinge,kama unadhani peponi watu tunaenda kwa kucheza ndomboro tu,jitafakari haraka sana.

  • @jumasaid6170
    @jumasaid61702 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie

  • @athumanzahir8316
    @athumanzahir8316 Жыл бұрын

    Wekeni mnavobishara

  • @user-yc4ui2kn8c
    @user-yc4ui2kn8c8 ай бұрын

    There's no Allah in creation, the Bible doesn't recognize that kind of God. Please Mzee Mazinge, your God hajulikani. Usijaribu tena kuzungumuza unaemuita Allah katina uumbaji. I agree he's in your books but not in the Bible.

  • @kisosekatere6282
    @kisosekatere62822 жыл бұрын

    Weka Mada sasa unafikiria usemapo watu hawana la kutafakari usemapo Wewe weka mada hazarani mada hizo tumezisikia Mara nyingi na matokeo yake uli feli ktk Ku defend unacho kidai ulishinda WAISAL ACHENI USHABIKI tumieni AKILI Sasa Ma Pastors zaidi ya 60 ukiwa peke yako si uongo huo , usemapo unafikiria watu hawafikirii sasa hiyo debate ilichukua miaka mingapì mpak ma Pastor wote wa seme elewa yamepita na Wakati Sheik umedanganya mda mrefu

  • @seiflugendo5043

    @seiflugendo5043

    2 жыл бұрын

    Wewe unachekesha nani katika dini yenu wakusimama naMazinge?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @frankmpembu2505

    @frankmpembu2505

    2 жыл бұрын

    @@seiflugendo5043 🤣🤣🤣😂😂Huyo Mazinge amegaragazwa sana na Mapasta. Kule kenya hakufanya mdahalo na Mapasta hao aliowataja, alifanya mdahalo na pasta mmoja tu, Pasta Ndasha na aligaragazwa huyo Mazinge na Ndasha kuanzia kenya hadi Tanzania

  • @user-oo7xd9ex7m
    @user-oo7xd9ex7m2 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @saramss7262
    @saramss72622 жыл бұрын

    Hivi wewe baba HiO pumzi Yako unayo tumiay unajuaa inapotoka endeleeni kuzarau pole SANA kipofu na huyo Allah wenu Mungu awasaidiye SANA

  • @jumashabani8474

    @jumashabani8474

    2 жыл бұрын

    Hilo andiko umetoa wapi?

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Жыл бұрын

    Unatisha baba!

  • @sultanmsoloni8635
    @sultanmsoloni86352 жыл бұрын

    Tatizo unajigamba saana

  • @muhdarif4321
    @muhdarif43212 жыл бұрын

    I can't understand this language but Islam zindabad love from India

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    You have been fooled by this Religion for a long time. Now,open your inner eyes and see the TRUTH of Islam if you want to be safe😎🙏

  • @shariffidriss1846

    @shariffidriss1846

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 Alhamdullillah,inshallah one day truth will prevail over falsehood

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@shariffidriss1846Ooooooh! You are out of this world, cause the TRUTH is already prevailed,just go and read Quran 3;55 and Bukhari 3443 you'll see yourself😂😀

  • @shariffidriss1846

    @shariffidriss1846

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 bukhari what🤣🤣🤣may Allah guide you

  • @shariffidriss1846

    @shariffidriss1846

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 if you continue denying your creator and start worshiping His creation,surely you are lost and hellfire is your eternity,Allah forbid and guide you to straight path

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri23122 жыл бұрын

    Hhhh mazige kiboko

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande7452 жыл бұрын

    Unachanganya wsislamu maana wao pia na ww ukataa yesu akufa musalabani,unanijichanganya kweli

  • @kulwamussa3612
    @kulwamussa36122 жыл бұрын

    Video hizi ziwekeni tktok tuzi downlodi. Itakua lahisi sana

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa55632 жыл бұрын

    Allah akupe umri mrefu

  • @swalehjuma3077
    @swalehjuma30772 жыл бұрын

    Pia naomba nijue mbna ustadh Shafii Shomari akoapi mbona amepotea

  • @sheikhfirdaus9857

    @sheikhfirdaus9857

    2 жыл бұрын

    Hapana yupo sheikh shafi

  • @swalehjuma3077

    @swalehjuma3077

    2 жыл бұрын

    @@sheikhfirdaus9857 Tumemtamani sana kwenye mijadala simuoni.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92392 жыл бұрын

    Kumbe halijui kusoma qurn,linaambiwa linaaibisha waislam,halijui kusoma hilooo,limedandia Dini kwa mbeleee,tunavunjika mbavu.

  • @zaburionlinetv6245

    @zaburionlinetv6245

    2 жыл бұрын

    Vipi wewe unaweza kuisoma Qur'an?

  • @alafasyprintingservices660

    @alafasyprintingservices660

    2 жыл бұрын

    Duniani hakun wot wanowez kusom Qur-an ipasavy nikwa7b y lafdh y ulimi kun wat hawawez mfan mzur Wahindi wakitaj Allah sio wot wanoweza

  • @masala8099

    @masala8099

    2 жыл бұрын

    Peter ww ni mtu wa motoni lazima uongee kikafiri sadaka za kanisa zinakufanya utukane Dini ya Allah na utakufa mpumbavu hivyo hivyo na chuki zako

  • @philismusyoka637
    @philismusyoka6372 жыл бұрын

    Agree with the truth of the gospel of Jesus christ and you will be set free

  • @zawadimandia2742

    @zawadimandia2742

    2 жыл бұрын

    God can't die

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu25052 жыл бұрын

    Waislamu mungu wenu hajulikani hana jina,,,Allah siyo jina bali ni cheo au sifa🤣🤣🤣

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    Wasaidie hawajui walisemalo ni vipofu wamefichwa ukweli😂😂

  • @bakariamour6024

    @bakariamour6024

    2 жыл бұрын

    Wenu anajulikana ?

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@bakariamour6024 Ndiyo anajulikana,na ndio maana anatuonekania kila tunapomuita, hushuka kwa nguvu na ushindi. Sisi ni Washindi zaidi ya Washindi Duniani😂

  • @fatmasuleiman1104

    @fatmasuleiman1104

    2 жыл бұрын

    @@editrudesmbonde9051 mungu wenu anaitwa nan

  • @editrudesmbonde9051

    @editrudesmbonde9051

    2 жыл бұрын

    @@fatmasuleiman1104 His name is Alfa and Omega.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82932 жыл бұрын

    Hawa ma sheikh ndio wakuwasaidia jamani wapigania dini yetu alhamdulilah

  • @davisrotich116
    @davisrotich1162 жыл бұрын

    Mazinge chombo cha waislamu kumtumia kupiga hela ila elimu hana

  • @alyumar4657

    @alyumar4657

    2 жыл бұрын

    Acha wivu huo wiv 2 huna hoja

  • @imamushafiiforgoodislamict5420

    @imamushafiiforgoodislamict5420

    2 жыл бұрын

    Kazi anazozifanya mazinge wewe hauziwezi Wala baba yako nahakuna hatammoja ktk ukoo wenu anaeweza, mazinge anafanya kazi kubwa sana, eti mazinge hanaelimu mpiga pesa tu, wewe kweli mjinga kazi anayoifanya mazinge bila elimu angeliweza kuifanya kazi hiyo? Ndio lazima apige pesa sasa wewe ukitaka ale wapi ? Nasisi wenyewe anaotupiga pesa tunampenda na tunazitoa hizo pesa sasa wewe inakuuma Nini? Kwanza rafiki unaumia ukiwa wapi?

  • @halfanimwakalinga9894

    @halfanimwakalinga9894

    2 жыл бұрын

    Wewe unapeleka hela kanisani za nini akili huna kabisa , usitutukanie mashekh wetu bwege wewe

  • @seifserenge3340

    @seifserenge3340

    2 жыл бұрын

    Nyinyi wakristo hamna akili hata KIDOGO. Mungu gani anazaliwa na binadam!!

  • @kasalamrisho6702

    @kasalamrisho6702

    2 жыл бұрын

    We akili huna,elim hana anayo bab ako

Келесі