USTADH SHAFI AWASISIMUA WAISLAM MASJID MTOROJIJINI DAR NA HOAJA ZAKE TATA KWA WAKRISTO.

Пікірлер: 229

  • @achanifumos1093
    @achanifumos10933 жыл бұрын

    Shafi mwanangu nakupenda sana kwa ajli ya ALLAH na hio duaa ulioiomba ni haswaa....nawaombea IKHLASW na wepesi kwa kila munalolidhamiria...mwenye enzi mungu awafanyie wepesi hp duniani na kesho akhira...amiin

  • @AziziRajabu-mv8jz
    @AziziRajabu-mv8jz19 күн бұрын

    Mashaallah mashekhe zetu Allah awape umri mrefu

  • @SsAa-by2ty
    @SsAa-by2ty3 жыл бұрын

    Masha allah nawapenda sana kwa kazi ya mmiliki wa viumbe Allah awape muongozo mwema imsha allah

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78233 жыл бұрын

    Allah awape afya na maisha marefu wahadhiri wetu. Muwe live basi sisi wa mbali tuone.

  • @sabraabdilnasir8826

    @sabraabdilnasir8826

    3 жыл бұрын

    Amiin allahumma amiin

  • @user-os9ul5iu5y

    @user-os9ul5iu5y

    3 жыл бұрын

    Amin yarabi

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery38092 ай бұрын

    Shekhe Shafi uko vizuri sana. porojo zako zina amsha amsha ya kutosha.

  • @MakataWaMakatani
    @MakataWaMakatani3 ай бұрын

    Yaani mashAllah tabarakallah nafurahi sana kuona hawa magwiji wako pamoja ❤ alhamdulilah ALLAHU AKBAR

  • @omanbarka2053
    @omanbarka20533 жыл бұрын

    Waallah leo patakua hapatoshi Allah awasimamie katika kazi zenu mnazo fanya tena hata mimi imefurahi sana kwenda kufanya dibeti shafi,mazinge,nawakubali wahadhili wetu kapungua doctor sulle

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani43763 жыл бұрын

    Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Maneno yenye tamu nyingi na msisimko sanjari na burudani ya kutosha toka kwa Ostadh Shaffi. Wallah huwa napata raha na ilmu ya aina yake kila nikimsikiliza Shaffi na Mazinge. Allah Awalipe pepo,In Shaa Allah!

  • @user-ud1rb5ck1d
    @user-ud1rb5ck1d10 ай бұрын

    Mashaallah MASHEKHE, zetu ALLAAH,awahifadhi AMIN🙏🙏✨🌙

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna14053 жыл бұрын

    ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🕋🕋🕋🇸🇦🇸🇦

  • @mosesliboston5437
    @mosesliboston54373 жыл бұрын

    Mashaallah mungu amtilie wepesi amiin amiin amiin

  • @MisangaNassoro
    @MisangaNassoro3 ай бұрын

    Nimeipenda hiyo inshallah kura ilimladi kushiba

  • @alisaidi7477
    @alisaidi74773 жыл бұрын

    Allaah Allah... wallah inabidi tubadilikeeee sisi waislam... kutoa ndy dini....

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo12433 жыл бұрын

    Kwa kweli Shekh Shafi unatuvunja mbavu kwa kicheko : lakini ndiyo hali halisi ilivyo.

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai50632 жыл бұрын

    Allah Awape kherinyingi duniani nakesho akhera inshallah

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z3 жыл бұрын

    walaikum msalam warahatullahi wabarakatuh. MashaAllah MashaAllah. Jazzakh Allahukum mashehe mungu awaongoze

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed837 Жыл бұрын

    Mashallah shekh shafi Allah Barik

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 жыл бұрын

    Mashallah Allah 💕

  • @nijimbereasia6381
    @nijimbereasia63813 жыл бұрын

    Naam sheikh shafi wambie ukwelikabsa na Allah akupe kiralakher shafiwetu upewe umlimulefu na Allah subhanahu wataallah

  • @mename6020
    @mename60203 жыл бұрын

    MashaAllah tabarakallah huyo ndie SHAFIH...

  • @kingilazaro344
    @kingilazaro3443 жыл бұрын

    Hahahaa mash Allah ma sheikh zetu,Allah awalinde na awajaalie umri in shaa Allah

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis2262 жыл бұрын

    Jazaka Allah khaira shekh Shafii

  • @bugybuster5788
    @bugybuster57882 жыл бұрын

    Mashaalllah ALLAH awalinde mashekh wetuu kwa kazi nzuri ya kuitangaza dini ya ALLAH

  • @sikandarsuleimanTV

    @sikandarsuleimanTV

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis2262 жыл бұрын

    Jazaka Allah khaira shekh shafii

  • @khdigahk4246
    @khdigahk42463 жыл бұрын

    Mashallah shekh Shafii

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe87277 ай бұрын

    Mashegh hawa hawana majungu kwa waislamu wenzao..kazi yao dawa kusonga mbele…ila wengine kazi yao kubwa kuwaradi wenzao tu!! Kama wao ndio dini wameishusha 😢

  • @bellbell9294
    @bellbell92943 жыл бұрын

    Shukraan Sana jazaka Allah khaira

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim54383 жыл бұрын

    MA SHA ALLAH

  • @mohdmaha7438

    @mohdmaha7438

    Жыл бұрын

    Masha allah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar54722 жыл бұрын

    Amina Yarab alamin

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir93073 жыл бұрын

    Wallahi mpaka nalia kwa maneno ya Sheikh Shafiiy Wallahi nalia maneno makali. Wallahi Waislamu laiti wangeyasikiliza maneno na kuyatia akilini wangelia Msikiti mzima.

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html

  • @heyumi2340
    @heyumi23403 жыл бұрын

    penda sana wahadhiri wetu maashaallah maashaallah

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html

  • @onesmoandrew1339
    @onesmoandrew13392 жыл бұрын

    Mashallah

  • @rubenijhonisamelo5796
    @rubenijhonisamelo57963 жыл бұрын

    Nawapenda sana ,dini ya haki

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya65193 жыл бұрын

    Mashaallah tabarak allah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar54722 жыл бұрын

    Allahu maswali alaalih MUHMAD walaalih Muhamed kamaswa atayta alaalih ibrahmu

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Swallallahu alayhi wasallam

  • @kailaniddi2984

    @kailaniddi2984

    Жыл бұрын

    ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲dini yakweri uyisiramu1√

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12183 жыл бұрын

    Insha allah allah atufanyie wepess hio Siku kanisa loote liingie ktk uislam

  • @ElkanoTadicha-pw1cj
    @ElkanoTadicha-pw1cj11 ай бұрын

    Shekh shafi tembea Kenya tafadhali

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino8283 жыл бұрын

    Incha allah

  • @abdoulamisi6104
    @abdoulamisi6104 Жыл бұрын

    Barakallahu fiykum

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Жыл бұрын

    Mshaallah tabarika allah

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana13832 жыл бұрын

    Nimimi Hassani Burundi Bujumbura USTA DH mwenyezimungu pekeyake

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Alhamdulillah kwakuwa mimi muislam

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed28052 жыл бұрын

    Tuwashuru Sana wahaziri na tuwaombea duwa kwa mwenzi mungu hawaongoze katika dini ya haki

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana13832 жыл бұрын

    USTA DH SHAFI Hatunacakukuripa mwenyezimungu pekeyake

  • @SaidiLubuvadu
    @SaidiLubuvadu2 жыл бұрын

    mashaalah

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm2 жыл бұрын

    Shafi mashallah

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe56403 жыл бұрын

    Ustadhi bwana pesa shetanii wee Allah atufanyie wepesi

  • @adijaamur962
    @adijaamur9623 жыл бұрын

    Ukampa pepo 😍😍😍😍😍

  • @hafsaali7976
    @hafsaali79763 жыл бұрын

    Amiin Amiin🙏

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @ramamambosupesupa3724
    @ramamambosupesupa37243 жыл бұрын

    Amin

  • @aligmoha9015
    @aligmoha90152 жыл бұрын

    Subuanah allah

  • @gharibislam1586
    @gharibislam15863 жыл бұрын

    Toa japo ni kidogo, wallahi weww ukitoa waona ni kidogo lakini mbele ya ALLAH ni kikubwa

  • @sabraabdilnasir8826

    @sabraabdilnasir8826

    3 жыл бұрын

    Swadakta maneno yako

  • @gharibislam1586

    @gharibislam1586

    3 жыл бұрын

    @@sabraabdilnasir8826 sasa mbona wajibu hivyo?kuna kitu kimekuudhi kwa comment?

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme53813 жыл бұрын

    Jamani mlete cd ya iyo siku uku kenya penda nyinyi sanah

  • @hamishemed6663
    @hamishemed66633 жыл бұрын

    Allah awape nguvu

  • @ramadhanimasudi6904
    @ramadhanimasudi690411 ай бұрын

    Al'hamdul'LLAH...

  • @dullahdimba8423
    @dullahdimba84232 жыл бұрын

    Shafe unajua sana

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert79823 жыл бұрын

    Twasbri hio kazi sana masheikh wetu

  • @jumamussa9413
    @jumamussa94132 жыл бұрын

    Kweli

  • @daudetjaymaoneo989
    @daudetjaymaoneo9892 жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @onikagabriel5451
    @onikagabriel54513 жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @jumasalum2677
    @jumasalum26773 жыл бұрын

    Shafffiiiiii acha tu

  • @mahmudumsuya3831
    @mahmudumsuya3831 Жыл бұрын

    MWENYEZIMUNGU awajaalie wahathiri awakinge na Kila baya

  • @saidisudi8668
    @saidisudi86682 жыл бұрын

    حياك الله

  • @rehemakei8155
    @rehemakei81553 жыл бұрын

    Mashaallah sauti inanikimbusha kipindi cha ngaliba na kawemba jamani mpe huyoooo

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    Allah awarehem

  • @chambalemuddy6406
    @chambalemuddy6406 Жыл бұрын

    Amen

  • @issajuma3346
    @issajuma33463 жыл бұрын

    subhnllh

  • @kamalmukaddam1297
    @kamalmukaddam12973 жыл бұрын

    MashaaAllah

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu56583 жыл бұрын

    Kwa team hiii makafili hawachomoki nakwambia uislam dio dini.

  • @maryamawadhawadh182
    @maryamawadhawadh1823 жыл бұрын

    Shekh unakubalika

  • @alisaidi7477
    @alisaidi74773 жыл бұрын

    Itakuwa live ???

  • @hafidhothman4588
    @hafidhothman45882 жыл бұрын

    Walllah nimecheka kuanzia usiku mpaka asubuhi

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. We have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.

  • @bugybuster5788
    @bugybuster57882 жыл бұрын

    Tatizo matajiri wengi utajiri wao si wa halali ndy maana wanakua wazito kuchangi maana pesa ya haramu kidini haina faida mbele ya ALLAH imani zao za uongo

  • @aliyunusu6629
    @aliyunusu66293 жыл бұрын

    Jamini isije ikawa mpango yakutumalizia ma sheikh's wetu

  • @khaliphamajid270

    @khaliphamajid270

    3 жыл бұрын

    Ukimuamini MwenyeEzMungu kwa dhati humuogopi binadam ,Majini,mashetani na yeyeto isipokuwa Allah tu

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv26742 жыл бұрын

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @aliyunusu6629
    @aliyunusu66293 жыл бұрын

    Tusije tukachomwa kanisani kama museveni alivio choma wafasi wakanisani Mmoja kule Uganda

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92393 жыл бұрын

    Jamani Sulle hayupo! Kaogopa atasanifika,

  • @mymussept3662
    @mymussept36623 жыл бұрын

    Baada ya kufuatilia watoa mada wa pande zote mbili naona kila upande unaposoma aya za mwingine husoma nusu na kuifanya maana ionekane tofauti na mbaya zaidi wengi wanakoment hawafuatili jambo hili katika yote kila mtu aamini anachokiamini Na hapa mm nasema Yesu kristo ndie njia kweli na uzima inatosha

  • @sephania8085

    @sephania8085

    2 жыл бұрын

    Subir Moto ukakuchome

  • @olisecharo6128
    @olisecharo61283 жыл бұрын

    pure comedy

  • @aminahajiahh298
    @aminahajiahh2983 жыл бұрын

    Mai zumo

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm3 жыл бұрын

    Sheikh shaffi tosha

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha38532 жыл бұрын

    Ucunguuu wa Islam

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    😂😂😂 unayoyaongeya nikweli kabisa

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi86913 жыл бұрын

    Waislam atujielewi kabisa nawambiwa live waislam wengi awajui thaman ya uislam uwa nawashangaa Sanaa kama mtu anaslimu kama hana Imam basi anaeza Rudi alipo toka waislam ni kichwa cha mwenda wazimu

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme53813 жыл бұрын

    Leo inapeperushwa wapi jamani nataka kuitazama lakini

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52412 жыл бұрын

    Sawa unamuiga dr sule

  • @sadyrajabu9318
    @sadyrajabu93182 жыл бұрын

    Asalam alaikum minilikua nauliza muislamu akiritadi hakuna atua zinazo takiwa kufatwa kabla yakumuua

  • @edriansmith5809
    @edriansmith58092 жыл бұрын

    😂😂😂😂😢😢 shafi

  • @jamesdavid4977
    @jamesdavid49773 жыл бұрын

    Mikwara hatutaki kaka majibu ya sabato mwanzo 2:1-3 hapo kuna EGW

  • @husseinkiruta1712

    @husseinkiruta1712

    3 жыл бұрын

    5:15 kumbukumbu la torat Musa anapewa asali sabato atakumbuka alikuwa mtumwa nnchini misir .Sasa wew ulikuwa mtumwa wapi ?

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula68522 жыл бұрын

    Siku wislam tukiacha majungu mbona tuta fika mbali sana, maana kinacho tuponza wislam ni uchunguzi yaani tunakuwaga na uchunguzi sana panapo tokea swala la kuchangisha mchango 😃😃😃😃🙌🏃

  • @allylwanda7872
    @allylwanda7872 Жыл бұрын

    Masheik wapiga dili hawa

  • @razosramadhani4788
    @razosramadhani47884 ай бұрын

    We pepuni 😂😂😂😂

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca60583 жыл бұрын

    Itakua live channel gan

  • @ibraimoissiaca6058

    @ibraimoissiaca6058

    3 жыл бұрын

    Au online TV gan

  • @alimbarouk9353

    @alimbarouk9353

    3 жыл бұрын

    kishki tv

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba80532 жыл бұрын

    Sisi hatutembei na mapepo

  • @daudibomani1940
    @daudibomani1940 Жыл бұрын

    Kwenye pesa Hapo hahaha

  • @thegreatking8506
    @thegreatking85063 жыл бұрын

    hahaha shafi unachekesha

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka8553 жыл бұрын

    Wewe shafii unahoja.zaifu za kizamani Sana ,na unawadanganya waislamu

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    "Eti vichwa vya wahadhiri hawa ndio wamebeba uislam wa Tanzania" hapo kidooogo sheikh umeteleza!!

  • @cholomsury1548

    @cholomsury1548

    3 жыл бұрын

    Mtihani kweli kweli

  • @saidswalehe2807

    @saidswalehe2807

    3 жыл бұрын

    We juma kateleza wap shekhe kusema wahadhir ndio wamebeba uislamu Tanzania,kama ww juma muislam uislam wako umeufanya nn kwa watanzania,hao mashekhe wanafanya kaz kubwa Sana kulko unavyowafikiria

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@saidswalehe2807 acha ujinga wewe walikuwepo kina Abubakary, Umar,At human, Ally (R.A) na wengineo wengi ,pamoja na mchango wao mkubwa wa hali na Mali katika kuupeleka mbele uislam lakini hatujawahi kuona kumbukumbu zikionyesha kuwa walidai kuwa wao ndio waliubeba uislam wa madina\makka au wa dunia kwa ujumla,,,,,,kwahiyo uache ujinga wewe!

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@saidswalehe2807 uislam si sawa na dini nyingine, ambazo mtu anaamua kuanzisha kanisa lake , kwa juhudi zake na mpaka anaweza kujiita nabii na watu wakamuamini , mifano hiyo ipo, kina T.B Joshua, kina mzee wa upako DSM, na wengineo wengi wakiwa na makanisa yao, hao wakidai kuwa ndio wanayabeba makanisa yao hatushangai,,,,,lakini sio kwa uislam ni dini ya Mungu na yeye ndio anaoulinda, wengine wote wanafanya jitihada tu lakini wasijivune kuwa eti wao ndio wanaoubeba .NB: ikumbukwe kuwa sio kwamba napinga juhudi zao , la hasha! ninachopinga Mimi ni kule kudai kwao eti wao ndio wameubeba uislam wa Tanzania, hapo ameteleza!

  • @mtupeacetz2589

    @mtupeacetz2589

    3 жыл бұрын

    Aujaelewa!. Uliza kwanz kwann kasema vile

Келесі