USTADH SHAFI AWASISIMUA WAISLAM MASJID MTOROJIJINI DAR NA HOAJA ZAKE TATA KWA WAKRISTO.
Жүктеу.....
Пікірлер: 229
@achanifumos10933 жыл бұрын
Shafi mwanangu nakupenda sana kwa ajli ya ALLAH na hio duaa ulioiomba ni haswaa....nawaombea IKHLASW na wepesi kwa kila munalolidhamiria...mwenye enzi mungu awafanyie wepesi hp duniani na kesho akhira...amiin
@AziziRajabu-mv8jz19 күн бұрын
Mashaallah mashekhe zetu Allah awape umri mrefu
@SsAa-by2ty3 жыл бұрын
Masha allah nawapenda sana kwa kazi ya mmiliki wa viumbe Allah awape muongozo mwema imsha allah
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Allah awape afya na maisha marefu wahadhiri wetu. Muwe live basi sisi wa mbali tuone.
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Amiin allahumma amiin
@user-os9ul5iu5y
3 жыл бұрын
Amin yarabi
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html
@samsonhamery38092 ай бұрын
Shekhe Shafi uko vizuri sana. porojo zako zina amsha amsha ya kutosha.
@MakataWaMakatani3 ай бұрын
Yaani mashAllah tabarakallah nafurahi sana kuona hawa magwiji wako pamoja ❤ alhamdulilah ALLAHU AKBAR
@omanbarka20533 жыл бұрын
Waallah leo patakua hapatoshi Allah awasimamie katika kazi zenu mnazo fanya tena hata mimi imefurahi sana kwenda kufanya dibeti shafi,mazinge,nawakubali wahadhili wetu kapungua doctor sulle
@ramadhanihudhaifani43763 жыл бұрын
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Maneno yenye tamu nyingi na msisimko sanjari na burudani ya kutosha toka kwa Ostadh Shaffi. Wallah huwa napata raha na ilmu ya aina yake kila nikimsikiliza Shaffi na Mazinge. Allah Awalipe pepo,In Shaa Allah!
Naam sheikh shafi wambie ukwelikabsa na Allah akupe kiralakher shafiwetu upewe umlimulefu na Allah subhanahu wataallah
@mename60203 жыл бұрын
MashaAllah tabarakallah huyo ndie SHAFIH...
@kingilazaro3443 жыл бұрын
Hahahaa mash Allah ma sheikh zetu,Allah awalinde na awajaalie umri in shaa Allah
@jumakhamis2262 жыл бұрын
Jazaka Allah khaira shekh Shafii
@bugybuster57882 жыл бұрын
Mashaalllah ALLAH awalinde mashekh wetuu kwa kazi nzuri ya kuitangaza dini ya ALLAH
@sikandarsuleimanTV
2 жыл бұрын
Amiin
@jumakhamis2262 жыл бұрын
Jazaka Allah khaira shekh shafii
@khdigahk42463 жыл бұрын
Mashallah shekh Shafii
@saidrakwe87277 ай бұрын
Mashegh hawa hawana majungu kwa waislamu wenzao..kazi yao dawa kusonga mbele…ila wengine kazi yao kubwa kuwaradi wenzao tu!! Kama wao ndio dini wameishusha 😢
@bellbell92943 жыл бұрын
Shukraan Sana jazaka Allah khaira
@husseinibrahim54383 жыл бұрын
MA SHA ALLAH
@mohdmaha7438
Жыл бұрын
Masha allah
@lkshmykomar54722 жыл бұрын
Amina Yarab alamin
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Wallahi mpaka nalia kwa maneno ya Sheikh Shafiiy Wallahi nalia maneno makali. Wallahi Waislamu laiti wangeyasikiliza maneno na kuyatia akilini wangelia Msikiti mzima.
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html
@heyumi23403 жыл бұрын
penda sana wahadhiri wetu maashaallah maashaallah
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html
@onesmoandrew13392 жыл бұрын
Mashallah
@rubenijhonisamelo57963 жыл бұрын
Nawapenda sana ,dini ya haki
@rilkabuya65193 жыл бұрын
Mashaallah tabarak allah
@lkshmykomar54722 жыл бұрын
Allahu maswali alaalih MUHMAD walaalih Muhamed kamaswa atayta alaalih ibrahmu
@yasalaam5903 жыл бұрын
Swallallahu alayhi wasallam
@kailaniddi2984
Жыл бұрын
,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲dini yakweri uyisiramu1√
@salehsuleiman12183 жыл бұрын
Insha allah allah atufanyie wepess hio Siku kanisa loote liingie ktk uislam
Ustadhi bwana pesa shetanii wee Allah atufanyie wepesi
@adijaamur9623 жыл бұрын
Ukampa pepo 😍😍😍😍😍
@hafsaali79763 жыл бұрын
Amiin Amiin🙏
@abcmnbb26102 жыл бұрын
Alhamdulillah
@ramamambosupesupa37243 жыл бұрын
Amin
@aligmoha90152 жыл бұрын
Subuanah allah
@gharibislam15863 жыл бұрын
Toa japo ni kidogo, wallahi weww ukitoa waona ni kidogo lakini mbele ya ALLAH ni kikubwa
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Swadakta maneno yako
@gharibislam1586
3 жыл бұрын
@@sabraabdilnasir8826 sasa mbona wajibu hivyo?kuna kitu kimekuudhi kwa comment?
@officialsaddmfalme53813 жыл бұрын
Jamani mlete cd ya iyo siku uku kenya penda nyinyi sanah
@hamishemed66633 жыл бұрын
Allah awape nguvu
@ramadhanimasudi690411 ай бұрын
Al'hamdul'LLAH...
@dullahdimba84232 жыл бұрын
Shafe unajua sana
@mangeraalbert79823 жыл бұрын
Twasbri hio kazi sana masheikh wetu
@jumamussa94132 жыл бұрын
Kweli
@daudetjaymaoneo9892 жыл бұрын
Allah Akbar
@onikagabriel54513 жыл бұрын
Allahu Akbar
@jumasalum26773 жыл бұрын
Shafffiiiiii acha tu
@mahmudumsuya3831 Жыл бұрын
MWENYEZIMUNGU awajaalie wahathiri awakinge na Kila baya
@saidisudi86682 жыл бұрын
حياك الله
@rehemakei81553 жыл бұрын
Mashaallah sauti inanikimbusha kipindi cha ngaliba na kawemba jamani mpe huyoooo
@heyumi2340
2 жыл бұрын
Allah awarehem
@chambalemuddy6406 Жыл бұрын
Amen
@issajuma33463 жыл бұрын
subhnllh
@kamalmukaddam12973 жыл бұрын
MashaaAllah
@nurudinehamimu56583 жыл бұрын
Kwa team hiii makafili hawachomoki nakwambia uislam dio dini.
@maryamawadhawadh1823 жыл бұрын
Shekh unakubalika
@alisaidi74773 жыл бұрын
Itakuwa live ???
@hafidhothman45882 жыл бұрын
Walllah nimecheka kuanzia usiku mpaka asubuhi
@rbagha52802 жыл бұрын
Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. We have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.
@bugybuster57882 жыл бұрын
Tatizo matajiri wengi utajiri wao si wa halali ndy maana wanakua wazito kuchangi maana pesa ya haramu kidini haina faida mbele ya ALLAH imani zao za uongo
@aliyunusu66293 жыл бұрын
Jamini isije ikawa mpango yakutumalizia ma sheikh's wetu
@khaliphamajid270
3 жыл бұрын
Ukimuamini MwenyeEzMungu kwa dhati humuogopi binadam ,Majini,mashetani na yeyeto isipokuwa Allah tu
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli
@aliyunusu66293 жыл бұрын
Tusije tukachomwa kanisani kama museveni alivio choma wafasi wakanisani Mmoja kule Uganda
@peteryukunda92393 жыл бұрын
Jamani Sulle hayupo! Kaogopa atasanifika,
@mymussept36623 жыл бұрын
Baada ya kufuatilia watoa mada wa pande zote mbili naona kila upande unaposoma aya za mwingine husoma nusu na kuifanya maana ionekane tofauti na mbaya zaidi wengi wanakoment hawafuatili jambo hili katika yote kila mtu aamini anachokiamini Na hapa mm nasema Yesu kristo ndie njia kweli na uzima inatosha
@sephania8085
2 жыл бұрын
Subir Moto ukakuchome
@olisecharo61283 жыл бұрын
pure comedy
@aminahajiahh2983 жыл бұрын
Mai zumo
@HassanAli-lt4xm3 жыл бұрын
Sheikh shaffi tosha
@ibrahimfarha38532 жыл бұрын
Ucunguuu wa Islam
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
😂😂😂 unayoyaongeya nikweli kabisa
@abdillaahirichardkasisi86913 жыл бұрын
Waislam atujielewi kabisa nawambiwa live waislam wengi awajui thaman ya uislam uwa nawashangaa Sanaa kama mtu anaslimu kama hana Imam basi anaeza Rudi alipo toka waislam ni kichwa cha mwenda wazimu
@officialsaddmfalme53813 жыл бұрын
Leo inapeperushwa wapi jamani nataka kuitazama lakini
Mikwara hatutaki kaka majibu ya sabato mwanzo 2:1-3 hapo kuna EGW
@husseinkiruta1712
3 жыл бұрын
5:15 kumbukumbu la torat Musa anapewa asali sabato atakumbuka alikuwa mtumwa nnchini misir .Sasa wew ulikuwa mtumwa wapi ?
@mwigakatumpula68522 жыл бұрын
Siku wislam tukiacha majungu mbona tuta fika mbali sana, maana kinacho tuponza wislam ni uchunguzi yaani tunakuwaga na uchunguzi sana panapo tokea swala la kuchangisha mchango 😃😃😃😃🙌🏃
@allylwanda7872 Жыл бұрын
Masheik wapiga dili hawa
@razosramadhani47884 ай бұрын
We pepuni 😂😂😂😂
@ibraimoissiaca60583 жыл бұрын
Itakua live channel gan
@ibraimoissiaca6058
3 жыл бұрын
Au online TV gan
@alimbarouk9353
3 жыл бұрын
kishki tv
@godsonndamgoba80532 жыл бұрын
Sisi hatutembei na mapepo
@daudibomani1940 Жыл бұрын
Kwenye pesa Hapo hahaha
@thegreatking85063 жыл бұрын
hahaha shafi unachekesha
@bidafumbuka8553 жыл бұрын
Wewe shafii unahoja.zaifu za kizamani Sana ,na unawadanganya waislamu
@jumakapilima56743 жыл бұрын
"Eti vichwa vya wahadhiri hawa ndio wamebeba uislam wa Tanzania" hapo kidooogo sheikh umeteleza!!
@cholomsury1548
3 жыл бұрын
Mtihani kweli kweli
@saidswalehe2807
3 жыл бұрын
We juma kateleza wap shekhe kusema wahadhir ndio wamebeba uislamu Tanzania,kama ww juma muislam uislam wako umeufanya nn kwa watanzania,hao mashekhe wanafanya kaz kubwa Sana kulko unavyowafikiria
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@saidswalehe2807 acha ujinga wewe walikuwepo kina Abubakary, Umar,At human, Ally (R.A) na wengineo wengi ,pamoja na mchango wao mkubwa wa hali na Mali katika kuupeleka mbele uislam lakini hatujawahi kuona kumbukumbu zikionyesha kuwa walidai kuwa wao ndio waliubeba uislam wa madina\makka au wa dunia kwa ujumla,,,,,,kwahiyo uache ujinga wewe!
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@saidswalehe2807 uislam si sawa na dini nyingine, ambazo mtu anaamua kuanzisha kanisa lake , kwa juhudi zake na mpaka anaweza kujiita nabii na watu wakamuamini , mifano hiyo ipo, kina T.B Joshua, kina mzee wa upako DSM, na wengineo wengi wakiwa na makanisa yao, hao wakidai kuwa ndio wanayabeba makanisa yao hatushangai,,,,,lakini sio kwa uislam ni dini ya Mungu na yeye ndio anaoulinda, wengine wote wanafanya jitihada tu lakini wasijivune kuwa eti wao ndio wanaoubeba .NB: ikumbukwe kuwa sio kwamba napinga juhudi zao , la hasha! ninachopinga Mimi ni kule kudai kwao eti wao ndio wameubeba uislam wa Tanzania, hapo ameteleza!
Пікірлер: 229
Shafi mwanangu nakupenda sana kwa ajli ya ALLAH na hio duaa ulioiomba ni haswaa....nawaombea IKHLASW na wepesi kwa kila munalolidhamiria...mwenye enzi mungu awafanyie wepesi hp duniani na kesho akhira...amiin
Mashaallah mashekhe zetu Allah awape umri mrefu
Masha allah nawapenda sana kwa kazi ya mmiliki wa viumbe Allah awape muongozo mwema imsha allah
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html
Allah awape afya na maisha marefu wahadhiri wetu. Muwe live basi sisi wa mbali tuone.
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Amiin allahumma amiin
@user-os9ul5iu5y
3 жыл бұрын
Amin yarabi
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html
Shekhe Shafi uko vizuri sana. porojo zako zina amsha amsha ya kutosha.
Yaani mashAllah tabarakallah nafurahi sana kuona hawa magwiji wako pamoja ❤ alhamdulilah ALLAHU AKBAR
Waallah leo patakua hapatoshi Allah awasimamie katika kazi zenu mnazo fanya tena hata mimi imefurahi sana kwenda kufanya dibeti shafi,mazinge,nawakubali wahadhili wetu kapungua doctor sulle
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Maneno yenye tamu nyingi na msisimko sanjari na burudani ya kutosha toka kwa Ostadh Shaffi. Wallah huwa napata raha na ilmu ya aina yake kila nikimsikiliza Shaffi na Mazinge. Allah Awalipe pepo,In Shaa Allah!
Mashaallah MASHEKHE, zetu ALLAAH,awahifadhi AMIN🙏🙏✨🌙
ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🕋🕋🕋🇸🇦🇸🇦
Mashaallah mungu amtilie wepesi amiin amiin amiin
Nimeipenda hiyo inshallah kura ilimladi kushiba
Allaah Allah... wallah inabidi tubadilikeeee sisi waislam... kutoa ndy dini....
Kwa kweli Shekh Shafi unatuvunja mbavu kwa kicheko : lakini ndiyo hali halisi ilivyo.
Allah Awape kherinyingi duniani nakesho akhera inshallah
walaikum msalam warahatullahi wabarakatuh. MashaAllah MashaAllah. Jazzakh Allahukum mashehe mungu awaongoze
Mashallah shekh shafi Allah Barik
Mashallah Allah 💕
Naam sheikh shafi wambie ukwelikabsa na Allah akupe kiralakher shafiwetu upewe umlimulefu na Allah subhanahu wataallah
MashaAllah tabarakallah huyo ndie SHAFIH...
Hahahaa mash Allah ma sheikh zetu,Allah awalinde na awajaalie umri in shaa Allah
Jazaka Allah khaira shekh Shafii
Mashaalllah ALLAH awalinde mashekh wetuu kwa kazi nzuri ya kuitangaza dini ya ALLAH
@sikandarsuleimanTV
2 жыл бұрын
Amiin
Jazaka Allah khaira shekh shafii
Mashallah shekh Shafii
Mashegh hawa hawana majungu kwa waislamu wenzao..kazi yao dawa kusonga mbele…ila wengine kazi yao kubwa kuwaradi wenzao tu!! Kama wao ndio dini wameishusha 😢
Shukraan Sana jazaka Allah khaira
MA SHA ALLAH
@mohdmaha7438
Жыл бұрын
Masha allah
Amina Yarab alamin
Wallahi mpaka nalia kwa maneno ya Sheikh Shafiiy Wallahi nalia maneno makali. Wallahi Waislamu laiti wangeyasikiliza maneno na kuyatia akilini wangelia Msikiti mzima.
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html
penda sana wahadhiri wetu maashaallah maashaallah
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/lYRlm6trnKjRn6w.html
Mashallah
Nawapenda sana ,dini ya haki
Mashaallah tabarak allah
Allahu maswali alaalih MUHMAD walaalih Muhamed kamaswa atayta alaalih ibrahmu
Swallallahu alayhi wasallam
@kailaniddi2984
Жыл бұрын
,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲dini yakweri uyisiramu1√
Insha allah allah atufanyie wepess hio Siku kanisa loote liingie ktk uislam
Shekh shafi tembea Kenya tafadhali
Incha allah
Barakallahu fiykum
Mshaallah tabarika allah
Nimimi Hassani Burundi Bujumbura USTA DH mwenyezimungu pekeyake
Alhamdulillah kwakuwa mimi muislam
Tuwashuru Sana wahaziri na tuwaombea duwa kwa mwenzi mungu hawaongoze katika dini ya haki
USTA DH SHAFI Hatunacakukuripa mwenyezimungu pekeyake
mashaalah
Shafi mashallah
Ustadhi bwana pesa shetanii wee Allah atufanyie wepesi
Ukampa pepo 😍😍😍😍😍
Amiin Amiin🙏
Alhamdulillah
Amin
Subuanah allah
Toa japo ni kidogo, wallahi weww ukitoa waona ni kidogo lakini mbele ya ALLAH ni kikubwa
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Swadakta maneno yako
@gharibislam1586
3 жыл бұрын
@@sabraabdilnasir8826 sasa mbona wajibu hivyo?kuna kitu kimekuudhi kwa comment?
Jamani mlete cd ya iyo siku uku kenya penda nyinyi sanah
Allah awape nguvu
Al'hamdul'LLAH...
Shafe unajua sana
Twasbri hio kazi sana masheikh wetu
Kweli
Allah Akbar
Allahu Akbar
Shafffiiiiii acha tu
MWENYEZIMUNGU awajaalie wahathiri awakinge na Kila baya
حياك الله
Mashaallah sauti inanikimbusha kipindi cha ngaliba na kawemba jamani mpe huyoooo
@heyumi2340
2 жыл бұрын
Allah awarehem
Amen
subhnllh
MashaaAllah
Kwa team hiii makafili hawachomoki nakwambia uislam dio dini.
Shekh unakubalika
Itakuwa live ???
Walllah nimecheka kuanzia usiku mpaka asubuhi
Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. We have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.
Tatizo matajiri wengi utajiri wao si wa halali ndy maana wanakua wazito kuchangi maana pesa ya haramu kidini haina faida mbele ya ALLAH imani zao za uongo
Jamini isije ikawa mpango yakutumalizia ma sheikh's wetu
@khaliphamajid270
3 жыл бұрын
Ukimuamini MwenyeEzMungu kwa dhati humuogopi binadam ,Majini,mashetani na yeyeto isipokuwa Allah tu
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli
Tusije tukachomwa kanisani kama museveni alivio choma wafasi wakanisani Mmoja kule Uganda
Jamani Sulle hayupo! Kaogopa atasanifika,
Baada ya kufuatilia watoa mada wa pande zote mbili naona kila upande unaposoma aya za mwingine husoma nusu na kuifanya maana ionekane tofauti na mbaya zaidi wengi wanakoment hawafuatili jambo hili katika yote kila mtu aamini anachokiamini Na hapa mm nasema Yesu kristo ndie njia kweli na uzima inatosha
@sephania8085
2 жыл бұрын
Subir Moto ukakuchome
pure comedy
Mai zumo
Sheikh shaffi tosha
Ucunguuu wa Islam
😂😂😂 unayoyaongeya nikweli kabisa
Waislam atujielewi kabisa nawambiwa live waislam wengi awajui thaman ya uislam uwa nawashangaa Sanaa kama mtu anaslimu kama hana Imam basi anaeza Rudi alipo toka waislam ni kichwa cha mwenda wazimu
Leo inapeperushwa wapi jamani nataka kuitazama lakini
Sawa unamuiga dr sule
Asalam alaikum minilikua nauliza muislamu akiritadi hakuna atua zinazo takiwa kufatwa kabla yakumuua
😂😂😂😂😢😢 shafi
Mikwara hatutaki kaka majibu ya sabato mwanzo 2:1-3 hapo kuna EGW
@husseinkiruta1712
3 жыл бұрын
5:15 kumbukumbu la torat Musa anapewa asali sabato atakumbuka alikuwa mtumwa nnchini misir .Sasa wew ulikuwa mtumwa wapi ?
Siku wislam tukiacha majungu mbona tuta fika mbali sana, maana kinacho tuponza wislam ni uchunguzi yaani tunakuwaga na uchunguzi sana panapo tokea swala la kuchangisha mchango 😃😃😃😃🙌🏃
Masheik wapiga dili hawa
We pepuni 😂😂😂😂
Itakua live channel gan
@ibraimoissiaca6058
3 жыл бұрын
Au online TV gan
@alimbarouk9353
3 жыл бұрын
kishki tv
Sisi hatutembei na mapepo
Kwenye pesa Hapo hahaha
hahaha shafi unachekesha
Wewe shafii unahoja.zaifu za kizamani Sana ,na unawadanganya waislamu
"Eti vichwa vya wahadhiri hawa ndio wamebeba uislam wa Tanzania" hapo kidooogo sheikh umeteleza!!
@cholomsury1548
3 жыл бұрын
Mtihani kweli kweli
@saidswalehe2807
3 жыл бұрын
We juma kateleza wap shekhe kusema wahadhir ndio wamebeba uislamu Tanzania,kama ww juma muislam uislam wako umeufanya nn kwa watanzania,hao mashekhe wanafanya kaz kubwa Sana kulko unavyowafikiria
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@saidswalehe2807 acha ujinga wewe walikuwepo kina Abubakary, Umar,At human, Ally (R.A) na wengineo wengi ,pamoja na mchango wao mkubwa wa hali na Mali katika kuupeleka mbele uislam lakini hatujawahi kuona kumbukumbu zikionyesha kuwa walidai kuwa wao ndio waliubeba uislam wa madina\makka au wa dunia kwa ujumla,,,,,,kwahiyo uache ujinga wewe!
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@saidswalehe2807 uislam si sawa na dini nyingine, ambazo mtu anaamua kuanzisha kanisa lake , kwa juhudi zake na mpaka anaweza kujiita nabii na watu wakamuamini , mifano hiyo ipo, kina T.B Joshua, kina mzee wa upako DSM, na wengineo wengi wakiwa na makanisa yao, hao wakidai kuwa ndio wanayabeba makanisa yao hatushangai,,,,,lakini sio kwa uislam ni dini ya Mungu na yeye ndio anaoulinda, wengine wote wanafanya jitihada tu lakini wasijivune kuwa eti wao ndio wanaoubeba .NB: ikumbukwe kuwa sio kwamba napinga juhudi zao , la hasha! ninachopinga Mimi ni kule kudai kwao eti wao ndio wameubeba uislam wa Tanzania, hapo ameteleza!
@mtupeacetz2589
3 жыл бұрын
Aujaelewa!. Uliza kwanz kwann kasema vile