Mwenyezi mungu akulipe kila la heri, nausubiri mjadalah wa Dr suleimane na pasta ndacha
@munamuna46217 ай бұрын
Saidi kinyogori tunaomba nae awepo kwenye mdahalo watu 3 kama hawapo kwenye mhadhara unakua hauna ladha ,mazinge..shafii kinyogori❤
@rashbash645
6 ай бұрын
Hiyo ni ukweli kabisa
@abcmnbb26103 ай бұрын
Mashaallah tabarakaah Yani sheikh wetu napendaga mawaiza yako Mungu akupe pepo inshaallah ❤
@Nily-kz3db6 ай бұрын
Allahu Akbar, MashaAllah 🙏
@bahatijsaha729821 күн бұрын
Masha'Allah
@QofSaidiKbsk017 ай бұрын
Sheikh sheikh ❤
@hamzalipuye71987 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana Sheghe kwa ajiri M/MUNGU
@ahmadzaid29407 ай бұрын
TUNAOMBA NA OSTAZI SHAFFI NAE AWEPO KWENYE MDAHALO WA DK SULEY NA KINYOGORI NAE TUNAOMBA AWEPO INSHAALLAH NAAMIN KWA UWEZO WA MWENYEZ MUNGU HIO SIKU YA TAREHE 16 NA 17 MAMBO YATAKUWA MAZURI
@rajuxcharity
7 ай бұрын
Umeongea kitu chamana sana tunaomba wawepo kabisa
@athumanali2969
7 ай бұрын
Si alisema hataki mtu yoyote awepo katki hao wahadhiri yeye peke yke anatisha ,
@JeanMuzaliwa-bs6qh
7 ай бұрын
shaffi awezi kuja,anamuogopa ndacha!
@mwanaikaomar8628
7 ай бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qhamuogope kwakipi hasa huyo ndacha?
@JeanMuzaliwa-bs6qh
7 ай бұрын
@@mwanaikaomar8628 maana Islam amuna ukweli na Islam bila biblia amuna kbs!
@MuhamedyKamby7 ай бұрын
Nazak llha nampenda san sekhe safii na dr sule nafulah san na kuinjoy nipo waskiliza san
@feisaldesign41567 ай бұрын
Sheikh shafii Allah azidi kukupa shufaa uzidi kutufunza
@RamadanPaul6 ай бұрын
Mashaallah
@MusaRamadhani-wj2dw7 ай бұрын
Shafii ongea na sule uwe na yeye kwenye mjadala kwani shafii uko vizuli upande wa bibilia
@user-td7ie2in6i7 ай бұрын
mash-ALLAH
@sabanirama9233
7 ай бұрын
Itakua raha siku hio wakuwepo hao waishimiwa ea wili,Insha-Allah.
@zuhramwavyoni84003 ай бұрын
❤❤❤
@user-tw9hy9bn5c6 ай бұрын
Kila amtazamae mwanamke kwa kutumani, ashazn nae moyoni.. inakuwje kuamua kwenda kuzn kbssa a.. ahhhhh shavii hapo weka saw
@hassanboru40382 ай бұрын
The best sheiks of Tz mashaaaallah..salimia pdd prof mazinge na dr sulle
@user-rt5vq5vc3k6 ай бұрын
Allhahu aqbar
@uthmanmaluja70056 ай бұрын
Mmh..Kwani tutaingia peponi kwa matendo au Kwa rehma za Allah she wangu mbona unajitabiria pepo bila hata kusema ishaallah
@bentybenty23436 ай бұрын
MASHA ALLAH 😂😂😂
@adamopitanvitanvita79587 ай бұрын
mimi namtaka said kinyogori na mazinge
@emanuelmichael76795 ай бұрын
Hahaha aisee babuu fumba machooo
@aminahkimwana1097 ай бұрын
😂😂😂😂dah!
@awadhrajabu14036 ай бұрын
Hu Msemo Wa Unatenda Zambi Unafuta Zambi Unatenda Zambi Unafuta Zambi Kwa Sitahili Hi Ni Kweli Wauni Watakuja Kuzika Wenyewe
@desderiushaule42645 ай бұрын
Mahubiri ya waislamu yamejaa porojo tupuuuuu, hii inamaanisha kwamba sheikh shafi kama angekuwapo kwenye mdahalo wa kielimu wa dr sulle vs Ndacha naye angegalagazwa kama wenzake wote waliokuwa wameketi kwenye meza ya wahadhiri wa kiislamu kwa sababu sheikh shafi hana quran nyingine tofauti na ile iliyotumika kwenye meza ya mjadala. Ukweli unabaki kuwa ukweli na uongo hausitiriki.
@maulidipazi67707 ай бұрын
Hiyo hata mm niliona buza
@user-zb2mj5nd5g7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu sheikh mbona msela sana
@chemstry4096 ай бұрын
Al habib Shaffi.....kaza wapo wawili....😂😂😂
@saddiqmageta79045 ай бұрын
😂😂😂😂
@ajuaeonlinetv97627 ай бұрын
Eti hallo jina la mtu
@Naw897 ай бұрын
Sheikh umenivunja mbavu
@sadathboutique6253
7 ай бұрын
We ni kajinga
@RamadanPaul
6 ай бұрын
@@sadathboutique6253 mjinga mwenyewe
@user-ct7zd6he2j6 ай бұрын
Yani mdahalo ukikosa mazinge,kinyogoli,mbogo na shaffi huo utakuwa sio mdahalo nimkutano wa siasa😂
@jamalmanishi72826 ай бұрын
Hakuna Muislam hata mmoja aneijuwa biblia wanachojuwa ni mandiko tu
@JeanMuzaliwa-bs6qh6 ай бұрын
mafundisho yako uongo,piano mafundisho mapotovu ya sio na maandiko!
@RamadanPaul
6 ай бұрын
Hivi wewe unashida Gani.... Kwa hiyo wewe hujui "Asalaam" Mbona Yesu alisalimia ASALAAM WALEYHKHUM
@JeanMuzaliwa-bs6qh
6 ай бұрын
@@RamadanPaul mm sina shida na mtu ila mm sitaki mtu kutumia akili zake kwa mambo ya Mungu
@RamadanPaul
6 ай бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qh ... Hebu nambie kitu ambacho wewe umekiona hakipo sawa....
@khatibal-zinjibari6956
6 ай бұрын
ASOTUMIA AKILI NI MJINGA AU ZUMBUKUKU KAMA WANYAMA @JeanMuzaliwa-bs6qh Kila mtu kapewa aqili (Liko kwenye Qur'an) na Allah (Mwenyenzi Mungu) ili aitumie kwa maisha. Baadhi ya aya humalizikia kwa suala: Afala Taaqiloun (Kwa nini hamtumii Akili)? ni mara 13 kwenye Qur'an. Waislam hawatakiwi kuwa Wajinga au Mazezeta. Lazima watumie akili watakachosoma iwe Qur'an, Biblia, Katiba au Proper (Kweli) Ganda (Uongo).
@RamadanPaul
6 ай бұрын
@@khatibal-zinjibari6956 ... Achana nae huyo bwana hana analolijua....
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
uyu muongo sana yani awa ndio ma agents wakubwa wa shetani!
@mwanaikaomar8628
7 ай бұрын
Ushindwe katika Jina la Allah.
@JeanMuzaliwa-bs6qh
7 ай бұрын
@@mwanaikaomar8628 nyie mumepotezwa kitambo
@mwawekomiuda9779
7 ай бұрын
Sasa uongo wake ni nini kama sio muumini wa kiislam nyamaza hayakuhusu fyuuuuu
@JeanMuzaliwa-bs6qh
7 ай бұрын
@@mwawekomiuda9779 muongo sana uyo nyie mumeshapotezwa!
@SaadaKiyungi-uz6jn
7 ай бұрын
We chizi mpya kama huelewi kaa kimya
@sosdododo56533 ай бұрын
Wallahi huyu bwana ah hata sijui nivipi manake ,,namkubali mimi yuko sawa lakini nadhani alipitia mambo ya mtaani wakati waujana wake ,,,Allahu yaalam ,,,ni mchangamfu
Пікірлер: 99
Mwenyezi mungu akulipe kila la heri, nausubiri mjadalah wa Dr suleimane na pasta ndacha
Saidi kinyogori tunaomba nae awepo kwenye mdahalo watu 3 kama hawapo kwenye mhadhara unakua hauna ladha ,mazinge..shafii kinyogori❤
@rashbash645
6 ай бұрын
Hiyo ni ukweli kabisa
Mashaallah tabarakaah Yani sheikh wetu napendaga mawaiza yako Mungu akupe pepo inshaallah ❤
Allahu Akbar, MashaAllah 🙏
Masha'Allah
Sheikh sheikh ❤
😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana Sheghe kwa ajiri M/MUNGU
TUNAOMBA NA OSTAZI SHAFFI NAE AWEPO KWENYE MDAHALO WA DK SULEY NA KINYOGORI NAE TUNAOMBA AWEPO INSHAALLAH NAAMIN KWA UWEZO WA MWENYEZ MUNGU HIO SIKU YA TAREHE 16 NA 17 MAMBO YATAKUWA MAZURI
@rajuxcharity
7 ай бұрын
Umeongea kitu chamana sana tunaomba wawepo kabisa
@athumanali2969
7 ай бұрын
Si alisema hataki mtu yoyote awepo katki hao wahadhiri yeye peke yke anatisha ,
@JeanMuzaliwa-bs6qh
7 ай бұрын
shaffi awezi kuja,anamuogopa ndacha!
@mwanaikaomar8628
7 ай бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qhamuogope kwakipi hasa huyo ndacha?
@JeanMuzaliwa-bs6qh
7 ай бұрын
@@mwanaikaomar8628 maana Islam amuna ukweli na Islam bila biblia amuna kbs!
Nazak llha nampenda san sekhe safii na dr sule nafulah san na kuinjoy nipo waskiliza san
Sheikh shafii Allah azidi kukupa shufaa uzidi kutufunza
Mashaallah
Shafii ongea na sule uwe na yeye kwenye mjadala kwani shafii uko vizuli upande wa bibilia
mash-ALLAH
@sabanirama9233
7 ай бұрын
Itakua raha siku hio wakuwepo hao waishimiwa ea wili,Insha-Allah.
❤❤❤
Kila amtazamae mwanamke kwa kutumani, ashazn nae moyoni.. inakuwje kuamua kwenda kuzn kbssa a.. ahhhhh shavii hapo weka saw
The best sheiks of Tz mashaaaallah..salimia pdd prof mazinge na dr sulle
Allhahu aqbar
Mmh..Kwani tutaingia peponi kwa matendo au Kwa rehma za Allah she wangu mbona unajitabiria pepo bila hata kusema ishaallah
MASHA ALLAH 😂😂😂
mimi namtaka said kinyogori na mazinge
Hahaha aisee babuu fumba machooo
😂😂😂😂dah!
Hu Msemo Wa Unatenda Zambi Unafuta Zambi Unatenda Zambi Unafuta Zambi Kwa Sitahili Hi Ni Kweli Wauni Watakuja Kuzika Wenyewe
Mahubiri ya waislamu yamejaa porojo tupuuuuu, hii inamaanisha kwamba sheikh shafi kama angekuwapo kwenye mdahalo wa kielimu wa dr sulle vs Ndacha naye angegalagazwa kama wenzake wote waliokuwa wameketi kwenye meza ya wahadhiri wa kiislamu kwa sababu sheikh shafi hana quran nyingine tofauti na ile iliyotumika kwenye meza ya mjadala. Ukweli unabaki kuwa ukweli na uongo hausitiriki.
Hiyo hata mm niliona buza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu sheikh mbona msela sana
Al habib Shaffi.....kaza wapo wawili....😂😂😂
😂😂😂😂
Eti hallo jina la mtu
Sheikh umenivunja mbavu
@sadathboutique6253
7 ай бұрын
We ni kajinga
@RamadanPaul
6 ай бұрын
@@sadathboutique6253 mjinga mwenyewe
Yani mdahalo ukikosa mazinge,kinyogoli,mbogo na shaffi huo utakuwa sio mdahalo nimkutano wa siasa😂
Hakuna Muislam hata mmoja aneijuwa biblia wanachojuwa ni mandiko tu
mafundisho yako uongo,piano mafundisho mapotovu ya sio na maandiko!
@RamadanPaul
6 ай бұрын
Hivi wewe unashida Gani.... Kwa hiyo wewe hujui "Asalaam" Mbona Yesu alisalimia ASALAAM WALEYHKHUM
@JeanMuzaliwa-bs6qh
6 ай бұрын
@@RamadanPaul mm sina shida na mtu ila mm sitaki mtu kutumia akili zake kwa mambo ya Mungu
@RamadanPaul
6 ай бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qh ... Hebu nambie kitu ambacho wewe umekiona hakipo sawa....
@khatibal-zinjibari6956
6 ай бұрын
ASOTUMIA AKILI NI MJINGA AU ZUMBUKUKU KAMA WANYAMA @JeanMuzaliwa-bs6qh Kila mtu kapewa aqili (Liko kwenye Qur'an) na Allah (Mwenyenzi Mungu) ili aitumie kwa maisha. Baadhi ya aya humalizikia kwa suala: Afala Taaqiloun (Kwa nini hamtumii Akili)? ni mara 13 kwenye Qur'an. Waislam hawatakiwi kuwa Wajinga au Mazezeta. Lazima watumie akili watakachosoma iwe Qur'an, Biblia, Katiba au Proper (Kweli) Ganda (Uongo).
@RamadanPaul
6 ай бұрын
@@khatibal-zinjibari6956 ... Achana nae huyo bwana hana analolijua....
uyu muongo sana yani awa ndio ma agents wakubwa wa shetani!
@mwanaikaomar8628
7 ай бұрын
Ushindwe katika Jina la Allah.
@JeanMuzaliwa-bs6qh
7 ай бұрын
@@mwanaikaomar8628 nyie mumepotezwa kitambo
@mwawekomiuda9779
7 ай бұрын
Sasa uongo wake ni nini kama sio muumini wa kiislam nyamaza hayakuhusu fyuuuuu
@JeanMuzaliwa-bs6qh
7 ай бұрын
@@mwawekomiuda9779 muongo sana uyo nyie mumeshapotezwa!
@SaadaKiyungi-uz6jn
7 ай бұрын
We chizi mpya kama huelewi kaa kimya
Wallahi huyu bwana ah hata sijui nivipi manake ,,namkubali mimi yuko sawa lakini nadhani alipitia mambo ya mtaani wakati waujana wake ,,,Allahu yaalam ,,,ni mchangamfu
❤❤❤